Ni MREMBO, MSOMI, ana miaka 25, ana KAMPUNI ya UJENZI kubwa inayotikisa Dar, atoa SIRI za kufanikiwa
HTML-код
- Опубликовано: 29 мар 2023
- Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web.app/buy/6Ew6mE...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali
Japokua ni wakishua lkn unajielewa na umeweza kuendeleza wat yo dad was doing,nmekua inspired unlike Kuna watoto wakishua hata hawajielewi ,wanachowaza ni Mali za wazazi wao tu
Kuna nguvu ya mzazi kumtamkia maneno mazuri mtoto maana yanaishi
Kweli kbsa
Well said ni nguvu kubwa Sana mzazi aliiwekeza
Sawa sawa,kweli kabisaaa,
Wazazi tujifunze kuwaambia maneno mazuri watoto wetu.
❤I@@NataliaKenny-vb6os
Wazazi wako wamechangia seem kubwa san kwen maisha yako washukur sana Tena sana alafu hongera saana piaaa
Few year’s to come na mm nitahojiwa hapo sns na huyu huyu sky. #savethedate
Japokuwa now cna hata mia Ila kupitia kipindi hiki hiki nitatoboa
One day yes ❤
Amiin😊
Nimeangalia hii interview kwa muda wa week moja na sijatosheka, nampenda Sana uyu Dada anajitambua, ni muwazi, very inspiring documentary,
Daaah ❤❤❤
Upo vizuri Mkunde unajielewa
Binafsi nimejifunza sana japo familia inachangia sana mtu kufika mahali fulani
Ila in short unajielewa hongera sanaaaaaaa
Nimekupendaaaaaaaaa
❤❤❤❤
She is a mentor anafundisha hafichi namtakia in future awe big supplier in EAC and beyond❤
Ila wasomi na wafanyabiashara wengi wakubwa ni wachagga. Dah Kilimanjaro kuna nini? These people are amazing!
❤
❤❤❤❤❤❤
genetical
❤❤❤❤
Babangu pia ananiambiaga amka kabla jua halijatoka ndo pesa inakuwepo MUNGU awaweke wazee wakichaga mnajuaga kutupikaaa🥰
Umeonaeee ❤❤❤❤❤❤❤❤
Very nice interview... mume kapata mke na future kids kweli wamepata bonge la role model
Inspirational interview,, a good thing i noticed is thaat she started with a prayer before vthe interview, She puts God on top of all
I learn that, if we put God first in everything we do, what we do is going to successed!
God bless you Mkunde.
Safi sanaaa MDOGO WANGU am 30+ndo nimeenzisha Shule yangu ya kindergarten.
Woow🥰🥰 hii intavyuu umenipa kitu.
Hongera mdogo wangu keep touching the rest of girls and women, God bless you. Thanks for sharing.
Jamani! hongera sana mdogo wangu, utafika mbali.
Hongera kwake kama amepata mafanikio Kwa njia za Mungu maana siku hizi sio kutamanitamani mafanikio ya watu huwezi jua kapataje Cha msingi Kila mtu anauwezo wa kufanikiwa ,naamanisha Mungu kampa kila mtu nyota yake ndio maana anatuzuia kutamani mafanikio ya wengine someni Kutoka 20:17 najua wajinga watanishambulia ila werevu wamenielewa sijaona wivu
Namuona mbali sans huyu mrembo.Sio unakuta mtu kabiashara kadogo hataki anajisahau na kurelax kama kamaliza 😢....tunsofanya bizness tunamuelewa🔥.....keep working smart and pushing harder baby boss👍🏻😍🙌🏼
This is one of the best interview! I think mnatakiwa kuhost watu kama hawa ili kujenga imani kwa vijana wajitambue mapema! Imagine she is only 25 very inspiring ! Mungu amtunze 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻🔥🔥🔥 blessed with this interview
She is danger sky you are very talented unapoint nondo za maana this is not only interview but this is a lesson.
A truly admirable young lady. May God of Israeli increase and enlarge your territory and continually bless the work of your hands🙏
Atakaye oa hii BIBI ajipange kiufupi awe mwanaume aliyekamilika kiakili asiwe MVAA NDALA PENSI NA SOKSI🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jaman mbona kaolewa nenda kwa mc gara B utaona wedding yake Hilda and Moses mwaka huu tu mwanzon
Quite bright, inspirational and amazing lady! Hongera sana and I am super proud of you. Asante sana Mtangazaji kwa kumleta huyo binti. Anatia moyo sana
Heavy interview. Hongera sana Hilda, tuwatamkie watt maneno ya baraka kwa ssb yanaishi
Mungu aendelee kukupigania ufikie lengo lako huku nikijifunza kuwa katika Dunia hii hatupaswi"""kukata Tamaa"""
Japo kuw ni wakishua uyu sister but she looks smart, confidence & she puts her faith to God more.....Kiufup hongera yake aiseee🔥
Licha na hivo alikua na vision na mungu akawa anamsaidia
Asante sana Hilda....kuna vitu nimevichukua one day nitarudisha majibu
Wajina Mchanga mwenzangu Hongera Sana nakuombea Mungu Azidi kubariki kazi ya mikono yako
Umeanza ubaguzi, sijui waga mnakwama wapi ninyi viumbe.....!
Napenda unavyo ongeza ..you make me feel I can do something on my own and can be successful
Dada kanifurahisha sana ana confidence na anamtukuza MUNGU, Baraka nyingi zikuangukie dada yangu songa mbele songa dada....
Nimekupenda Hilda
Mungu akuongoze!
Uso wa Mbuzi,hakuna kucheka cheka!
Prove them wrong wew ni jembe!
I've found me in this lady kasoro his dad but i know i will succeed one day
Asanteee sana sns pia pongezi kwa dada yangu kwaku nipa motivation ❤
One of the best interview in 2023...
Asante sana Dada umenishawishi na mm kutokata tamaa kwenye biashara pia kujiamini na kuvutia wateja
Sijafika hatah dakk10 ya hii story ila nimeshamskia God akitajwa mara kadha wa kadha. Everything is God guys. Let put him first in everything we do✝️
Nimekukubali dada,hata Mimi naweza nafuata nyayo zako,nimeipenda hiyo ya Anza kidogokidogo mzuri sana
This was a very powerful interview! congratulations Hilder, meet you to the top!!
We Dada naomba unisaidie kazi mm nimwanamke ambae nimechoka sana na maisha.
hongera sana nimekiangalia kipindi chako upo vizuri
Hongera Hilda. Nimekupenda sana na nimekuelewa mnooo. Mm nafanya Biashara ya vifaa vya ujenzi . Natamani kufanya Biashara na wewe. Naomba Mungu anipe kibali tufanye kazi.
Hata mimi pia mwenzangu upo mkoa gani?
Hakika usipo jituma utatumwa,, hongera my sster Hilda
Sister I appreciate you so much ur very confident while talking, have learn many things from you, continue working hard and may Allah bless you more & more.
Nimekupenda sana makinde like me💪💪
Uko vizuri sana. Mungu akusaidie. Maelezo yako yanatia hamasa
Faith,Displine,Confidence&Focus❤🙏 true inspiration
THIS IS PURE INTELLIGENCE. WISDOM LOADED
My goodness😮😮, what an inspiration journey, May God keep blessings this Young lady. 👏🏼👏🏼👏🏼
Mungu ni mwema
Lol umeni inspire to the level ambayo cant explain, u so cute from in and out congrats HILDA
Assante sana sister kwa interview 👏👏🇲🇿🇲🇿🇲🇿 nimeipenda na somo kwangu
Masha Allah. Mungu azidi kkupa nguvu na nnaimani sio wanawake2 adi wanaume wanahitaji kuwa na confindence kma yko, na kujifunza kutokata tamaa. 4real SNS u'r inspiring, this is what we need to see everytime.
BLESSED DADA HILDA, HAKIKA UMENIPA SOMO KUBWA.
Eeeeeeeeh pole sanaa kwa kumkosaa babaa😢😢😢but nimejifunzaa mengi kiukweli babaa akiwaa hayuko watu wanaongea vibaya pole nayapitia hayo mm
very good inspiration girl child 👏, I'm inspired 😊
Believe in God 🙏, believe in yourself, smart mind,less expectations, DISCIPLINE in business 🙌
Hiii ndio best inspiration interview daaa nmeipenda sana naamini one day na my company nitafika uku kuwa inspire vijana wenzangu kama sis hilder
Wow But GOD🙌🏽🙌🏽❤. Sis we wish you all the best, Blessings za BABA na Baba yako zitakubeba.
Ahsante na hongera sana,mungu akusimamie usibadilike unapendeza sana ulivyo naamini mtu hupeneza sana akiwa mwema.mungu akubariki sana nimejifunza kitu kikubwa sana
Mtoto wa maskini kufikia ndoto zake huwa ni mtihani zaidi ni Mungu tu
hakuna mtoso wa maskini wala wa tajiri ni kila mtu ana rizki yake na hupewa kwa wakati wake
Woooow so cute I'm proud of you namesake hopeful I shall be so successful just like you dr
Nimegundua ni bora mtu ufanye biashara uweke watoto wako tuuu au mkeo
kbs mtoto wako unakua una mfunza kitu na mkeo siku apo au una umwa ata simama mbadala wako
je watoto ulionao wanauelekeo huo unaowaza wewe
Na huyo mtoto bora wakike co wakiume maana wakiume akioa tu umekwisha 😂
Sahh bos wangu kaweka watt wake mke wake wote wanaenda nje kufunga mzigo mtt wa kwanza had wa sita mdogo wote wapambanaji
@@catherinekiwipa9271 wow 🎉
Dada asante sana,interview nzuri sana,imenifundisha vzr sana
Mimi kama muha nawapenda wachaga kinoma Ni Watu smart
🙏🥰🥰 sijui kwann watoto wa 1997 tunauchungu sana na maisha
Wa pili Mimi yaani hata nikiumwa naona napoteza time ya kufanya kazi😅😅😅
@@irakozegracia183 yani tupo ivi sisi tunachukia umasikini
Huyo wa miaka 25
@@hanifahanifa1010 naoan lkn watu watoto wa 1990 mpk elf 2000 wanazeeka haraka sjui kujipamba sna kma hyu 25 utasema 45
@@malak-lz6kx 😂 mbona mimi wa 90 kama ninamiaka 25 tu nikimwambia mtu miaka yangu hawamini 😂
Good Job Hilda😘
You truly look classy,❤❤❤❤KEEP IT UP,NEVER GIVE UP💪👍💖
Uko vizuri madame na nimekuelewa sana wewe ni mpambanaji 👍. Natamani nifanye biashara na na wewe siku moja
Wooow 😍😍😍
I love your energy,your confidence,your courage, I love everythng In and out mkunde wangu♥️♥️♥️
Go go go mama👏👏👏Mungu yuko na wewe
Very nice your powerful girl, long life, never ruturn back, be blessed more
Safi sana Dada umeniespaya sana💯🙏👍
Congratulations dear, keep shinning!.
Am so excited with you
Congratulations to you young lady
NIMEKUPENDA BUREEE MKUNDE NIMEONA BANGO LAKO PALE UBUNGO MAJI KUMBE NI WWW MASHALLLAHLIBARIKIWE TUMBO LA MAMA ALOKULETA DUNIANI ABARIKIWE BABA ALLAH AMPE MWANGA KTK NYUMBA YAKE YA MILELE YAANI UMENIHAMASISHA SN MAANA NAAMINI NA MIMI NDOTO YANGU ITAFIKA NINA KITU MOYONI MWANGU NATAMANI KITIMIE INSHAALLAH MUNGU ASIKUPUNGUKIE MDOGO WANGU UMETUPA MADINI
Great interview! It is very inspiring and powerful. Hongera zake nyingi sana, the best is yet to come. Keep your head up, and God first. ❤❤❤
Congrat's
Nimependa history ya hyu, But ingekuwa vzr ukamleta yule ambaye ametoka kwenye familia duni kbsa, ambaye hkupata hta nafasi ya kusoma,
The name HILDA 😭😭😭 reminds me many things, my wife Hilda I wish she could be here aone another HILDA, she is making a break even 🙋🙋😭 everything happens for a reason.
Hongera sana , umeweza 👏🏻
Am inspired, with the girl…. And big up mwandishi uko vizuri
Nime enjoy sana na hii interview ongera sana mdogo wangu I real Love u
Very inspiring kwakweliii wewe Ni mtu na nusuu
I'm so inspired, it's amazing,
You stop living when you stop believing in yourself
🤗🤗🤗🤗
Inspiration.....yuh gud
Sky bro big up sana kwa hii interview
Hii interview kama hujajifunza kitu chochote kwa huyu Dada wew sasa sijui tukuweke kwenye fungu gan
😀😀
😂
Wow am so enspered with this beautiful young successful woman.
This story melt and touch my heart ❣️ , i see me from her .....
Hongera sana binti, una akili sana na nimefurahi unavyoishi na ushauri wako mzuri kuhusu biashara.
Safi sana ... nimefurahi sanaa.. hongera sana Hilda... Mungu azidi kukuinua
Wow the best interview and I love her passion and how it originated. Congratulations dear Hilda (Aika). More blessings to you
I Loved what she said about the words from her Dad I am a testimony of that too inspiring words from parents can change your whole life.
Sema nilicholearn kila kitu kinaanzia kwenye familia
Very fantastic interview . thank you for your motivation one day I will success
Huyu dada nimemuelewa sana aisee dah
aiseeee nmependa mnooo yarabi najiona kabiaa kqa hilda au aika insha Allah ktk biashara tofauti
Siku moja inshallah nitahojiwa mm hapo sns ❤
Ishallah na Mimi .
So inspiring 🎉❤
Hongera sana dada mungu akuzidishie umenipa moyo sana
Am inspired ❤❤❤❤
Very inspirational interview
Nimepata kitu thank you so much Hilda❤
Waooh hongera sana namesake your so inspiration,
Nimekupenda bure Nkunde nimefurahia sana Intaviu yako pambana mwanangu na mungu akushike
Mungu akuzidishie.
Amaizing interviews ❤
She is definitely smart and God fearing❤...