Ana miaka 18, yupo kidato cha 5, anamiliki duka kubwa la nguo, hiki ndicho wazazi wake walimfanyia

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
    play.google.co...

Комментарии • 103

  • @mialanomanqobo6639
    @mialanomanqobo6639 7 месяцев назад +11

    She is smart lady
    Even her smoothly speaking
    Wazazi wanaweza kua na mali halafu watoto wasiwe na akili ya kuziendeleza
    Wakawa wakula bata tu

  • @user-cz1jl8rc4u
    @user-cz1jl8rc4u 7 месяцев назад +13

    Nilicho gundua watanzania tunapenda kulaumu kuliko kujifunza huyu mtoto ndio amepewa mtaji na familia ila tumejiuliza kwa umri wake amewezaje kua na mawazo ya kukuza biashara yake ikafika hapo ili cha kujifunza tunacho ila mnalaumu tu eti sky umetuleteya nini

  • @dennismongi8970
    @dennismongi8970 7 месяцев назад +21

    Sio kila baba tajiri lazima mtoto awe tajiri,akili ya mtu jamani,kuna watoto wangapi wa matajiri wameishia kula unga tu.

    • @Usertatu11683
      @Usertatu11683 7 месяцев назад +1

      Duka kafunguliwa hapo tungependa kujua Amezalisha Nini baada ya kufunguliwa Hilo duka
      .Tunataka kujua matunda

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 7 месяцев назад +1

      MALEZI BORA
      NA KUMUEKA
      MUUMBA MBELE
      HUKINGA KIZAZ CHAKO
      NA KUTUMIA MADAW UNGA

    • @rebbywealth9869
      @rebbywealth9869 7 месяцев назад

      ​@@Usertatu11683pambana uje kujua ya wanao...
      Masikini mnakuaga na nongwa sana

  • @mrkitaa7938
    @mrkitaa7938 7 месяцев назад +9

    Hii interview NZURI SANA, NIMEKUWA INSPIRED NA WAZAZI WA HUYU BINTI, WAMEMTENGENEZEA MSINGII MZURI SANA.
    KUMBE UKIFANIKIWA INAWEZA IKAWA CHACHU KUBWA SANA YA MAFANIKIO YA WATOTO WAKO. LET'S KEEP FIGHT.

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 7 месяцев назад +5

    Mwanzo mzur sana Mungu awabariki wazazi wake wamemwandalia msingi mzuri anzia elim mpaka hapo kwenye biashara tukiweka pemben uzuri na ubora wa family yake uyu mrembo amebarikiwa akili na maono piya kwaiyo hatar angetoka family ya kawaida bado ningemuona mbali

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t 7 месяцев назад +12

    Warda wangu ukue mama tupange maisha km hv,,,,eeh mwenyez Mungu nikuzie bint yngu awe wa kujitambua piah🤲🤲🤲

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 7 месяцев назад

      Mimi si wa kishua Ila kumbe mwanangu kumpikisha maandazi kabla hajamaliza kusoma

  • @ongezamaarifa2526
    @ongezamaarifa2526 7 месяцев назад +3

    Safi sana, beauty with brains, kama mzazi nimepata kitu

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 7 месяцев назад +34

    Kusema ukweli sky umetuletea mambo ya washuwa tu hapa ni mtu kakuta mali yeye anaendeleza tatufa Hustler alafu tuletee hapa huyu dada kwao Kuna mpungu wakutosha tu

    • @sleeprelaxation8431
      @sleeprelaxation8431 7 месяцев назад

      tatizo nini?kuna watoto wanazaliwa kwenye pesa na wanaishia kutumia pesa zote na kubaki na jina mjini tu, kwani hatu waoni watoto wa vigogo walivyo choka wamebaki na majina tu ya wazazi. Hili nalo na kujifunza, kwa matajili na masikini. acha kuwa na roho mbaya, toa maua ya mtu anapo fanya vizuri. Kuwa inspired sio lazima uwe inspired na mtu alite toka kwenye umasikini tu. kama sio somo lako litakufunza kukufungua macho wewe ukiwa tajiri na umezaa watoto je uta waandaa vipi ili ukiondoka kazi yako uliyo ianza iendelee. wajukuu zako wasitabikie. tatizo la weusi mna jipanga nyie tu hamppangi vizazi vyenu.

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 7 месяцев назад +1

      KILA KITU
      NI MWANZO MZURI SANA

    • @ZarinatKarim
      @ZarinatKarim 7 месяцев назад +6

      Nimepata bahati ya ku sapotiwa na wazazi wangu and I’m grateful , the real hard work inakuja kuendeleza biashara na kuifanya isimame
      Unaweza ukaipambania mtaji ukaanza biashara lakini usiwe unajua jinsi ya kufanya biashara indelee na ikue
      Consistency is everything
      That’s where the real hustle lies

    • @francisnyalali
      @francisnyalali 7 месяцев назад +6

      Sio kila mtu anatumia hela ya washua vizuri🤣kuna watu wanatoka familia za kishua na wanaishia kuwa mavuta bangi na mateja! Usi kremu maisha

    • @rebbywealth9869
      @rebbywealth9869 7 месяцев назад +4

      Pambana na wewe watoto wako wawe washua.... kuanzia 0 sio sifa

  • @user-cd2np5by6g
    @user-cd2np5by6g 7 месяцев назад +6

    Wakishua ao sky misingi wamepewa na wazee wao

  • @ZarinatKarim
    @ZarinatKarim 7 месяцев назад +9

    Thank you so much for your lovely comments ❤️

    • @momocolman
      @momocolman 7 месяцев назад

      Big up sis

    • @leedsoldat4189
      @leedsoldat4189 5 месяцев назад

      Congratulations
      Achana na hao waliocomment negative,,ni uwezo tu wa kufikiria mambo

    • @thobiethalibutu1465
      @thobiethalibutu1465 5 месяцев назад

      Cheers to you baby girl. I wish you much better ,I love you
      Keep moving ❤

    • @JosephZachariah-is6vl
      @JosephZachariah-is6vl День назад

      Zari how are you!!!

  • @zainabkazige7388
    @zainabkazige7388 7 месяцев назад +2

    Safi sana binti mdogo akili kubwa, keep it up!🥳👌

    • @gibbs1320
      @gibbs1320 6 месяцев назад

      Zaina nataka nikuoe nime kupenda.

    • @zainabkazige7388
      @zainabkazige7388 6 месяцев назад

      @@gibbs1320 😂😂😂😂lete mahari kwetu

  • @dennismongi8970
    @dennismongi8970 7 месяцев назад +11

    Acheni comment za kitoto,kuna wazazi wangapi hapa duniani wanapesa za kutosha angalia watoto wao walivyo hali mbaya,kwa hiyo mwacheni dada yetu ana roho ya uthubutu na maono

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 7 месяцев назад

      Ndugu nlichojifunza humu kwenye mitandao asilimia kubwa ni watu wenye very tiny visions ndio maana kuna comments unauliza Hivi Huyu mtu anafikra kweli.

    • @anastaziamehadi9143
      @anastaziamehadi9143 6 месяцев назад

      This is very good. As mom it has inspired me. Sio kwamba Nina hela nyingi, lkn kumbe tunaweza kuendeleza ndoto za watt wetu tangu wadogo. Huyu atakuja kuwa mjaririamali mkubwa. Ana uwezo mkubwa sana wa kuniamini. Kuna uwezekano mkubwa sana kuwa kiongozo mkubwa sana miaka inayo.

  • @prophetichealer100
    @prophetichealer100 7 месяцев назад +2

    Proud of you baby girl ..keep going

  • @user-du4yg5cj3v
    @user-du4yg5cj3v 6 месяцев назад +1

    Asant kwa Kipindi kizur tunapata kusoma sana kaka tumo kukufatilia

  • @mandyfitnesstv6738
    @mandyfitnesstv6738 4 дня назад

    Hongera dogo!

  • @user-mr7gl5ox6u
    @user-mr7gl5ox6u 7 месяцев назад +3

    Wabongo kwa roho mbaya na wivu salute 🫡 kaekezewa na wazaz wake na ww wekeza kwa watoto wako na wanajifanya wamekasirishwa na hii interview ndo wale wasihudumia watot wao

  • @neemamollel840
    @neemamollel840 Месяц назад

    Mimi kila siku nawaambia ukitakakupata shabiki kibao acha kutuletea watu ambao kwao ni matajiri njoo tukupe story zetu changamoto tulizopitia na tumetoboa

  • @user-mr7gl5ox6u
    @user-mr7gl5ox6u 7 месяцев назад +1

    Big up kipenz na Mungu aendelee kukusimia zaid ❤😊

  • @amospagala6347
    @amospagala6347 7 месяцев назад +2

    Hizi interview zinanunuliwa sky asingemtafuta huyu hana content yyt, hela imetembea

  • @omarsalum4052
    @omarsalum4052 4 месяца назад

    Hongera sana sky hongera pia binti
    Upo vzuri sana but you have to learn so that you can improve on speaking unaongea kwa ufupi sana huongei kitu kwa upana zaidi

  • @estermuganda9298
    @estermuganda9298 7 месяцев назад

    Sasa kwani wa kishua hawastahili au nini mbona sijaelewa baadhi ya comments kama za makasiriko hivi.muhimu tujifunze kama wazazi kuwafunza watoto maisha wajielewe haijalishi ni maskini au tajiri.

  • @GideonKelvin-cm5pp
    @GideonKelvin-cm5pp 7 месяцев назад

    Toa huyu usituletee, sio hustler. Kwnz tutaach fatlia ujnga wenu huu, sas watt wakxhua c weng, ebu mtuit na sis weny isa kweny makampun makubw tulzowekew na wazaz wet, mbn hamtuit

  • @mybedroom9984
    @mybedroom9984 6 месяцев назад

    Tatizo watu wanakalili kua kufanikiwa ni mpaka kuhustle, hata kusimamia kazi ikasimama ni zaidi ya utajiri.

  • @atomphoton5000
    @atomphoton5000 7 месяцев назад +3

    Hii ni mali safi, huko Ukerewe wanaitaga "Beauty&Brain". Sky tutunzie hii mali

    • @jacforti3091
      @jacforti3091 7 месяцев назад +1

      Ukerewe wanajua uchawi mambo ya elimu sio mambo yao

  • @hadijamandanje6189
    @hadijamandanje6189 7 месяцев назад +4

    Niko hapa kujifunza

  • @victoriajoachim7271
    @victoriajoachim7271 7 месяцев назад +2

    Mbona mtoto wangu ana miaka 18 yuko form six huo umri si sawa tu.

    • @gibbs1320
      @gibbs1320 6 месяцев назад

      Una zungumzia yule mtoto tuliye zaa wote Victoria ?! Mhhh mtoto wetu kafikisha miaka 18 kumbe jamani...

  • @user-ib7ow2zq6r
    @user-ib7ow2zq6r 5 месяцев назад

    Uyo kwao mpunga upo tuleteee mtu aliyefight kwa akili yake

  • @VanessarXavery-iu3rd
    @VanessarXavery-iu3rd 7 месяцев назад +2

    Congrats ❤

  • @RealG-ie7sv
    @RealG-ie7sv 7 месяцев назад

    Kama Ni Chakula Wanasema WITH NO SEASONING, Hakuna Depth / Substance Still Has A Lot More To Learn Kukalia Hichi Kiti Bro, But Nice Stuff Supporting The Younger Genration, Hii Ilifaa Iwe Interview Ya Kawaida Sio Hustlers Diary.. To Be In The Hustlers Diary You Need To Have Couple Pages On Yo Hustle Diary Too.

    • @SnuglyLingerie1
      @SnuglyLingerie1 7 месяцев назад +2

      She is young, that’s already a hustle, juggling between school and business is tough,biashara ni ngumu nyie jamani, haijalishi mtu ana pesa kiasi gani. Pesa sio kila kitu kwa Businesss bali running a business ni ngumu.Business is not easy, but amestruggle mpk kucreate a profit na kuendelea kukua kibiashara mpaka hapo alipofika. So I believe this is a right title and platform for her

  • @gaudenceassenga1900
    @gaudenceassenga1900 7 месяцев назад +1

    Very good

  • @khamisshee803
    @khamisshee803 7 месяцев назад +2

    MashaAllah
    ❤❤❤
    AKA BACHUCHU Mombasa 001
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @willymaulidi3991
    @willymaulidi3991 7 месяцев назад

    Mimi hiyo ahinipi shida .Niko USA. Kampuni minayo fanyiya kazi .BOSS wangu alisha nunua uwanja wapili anaandaa kampuni ya pili kwa niaba ya mtoto wake wapili tena mwanamke.hona sasa baba anakutegemea wewe ale hapo vipi?

  • @DoreenMwanga-ne1dt
    @DoreenMwanga-ne1dt 7 месяцев назад +1

    Upuuzi huu😮 mtu amefunguliwa tayari tuletee watu waliojitafuta wenyewe sio my mom my mom🙁

    • @SnuglyLingerie1
      @SnuglyLingerie1 7 месяцев назад +1

      Mungu aje akusaidie na ww mwanao aweze kuja kukusifia kama ivo, apo ndo utaona raha ya kua mama ni nini. Lakini hutokuja kusikia iyo raha kama hujamtengenezea mtoto wako msingi mzuri😊

    • @rebbywealth9869
      @rebbywealth9869 7 месяцев назад

      Mpuuuzi ni wewe dada....
      Pambana na wewe wanao waseme my mom my mom.

    • @pendothomas7258
      @pendothomas7258 6 месяцев назад

      Nenda wewe uliyejitafuta ukatoe story yako 😂😂

  • @user-jp7ix6fc6y
    @user-jp7ix6fc6y 7 месяцев назад

    Hee kumbe huyu ana udongo wa kizungu hapo alipo ana miaka 18 kwel sky jamani 😅 ah sawa me namuombea dua

  • @user-gb5vz6wm2q
    @user-gb5vz6wm2q 7 месяцев назад +1

    Sky umetuzingua sana tena sana,Huyo kakuta utajiri hana cha kutwambia tuletee Muhustler

  • @ruwaydaali5144
    @ruwaydaali5144 6 месяцев назад

    Welldone

  • @Usertatu11683
    @Usertatu11683 7 месяцев назад +3

    Mnatuletea wakishua
    Sasa huyo kapambana vp.
    Kwanza anasoma shule tu analipa milion saba na kitu.wengine kusoma secondary tumepitisha daftari tukachangiwa Ada elfu arobaini.
    Kujakupatikana miezi mitatu wenzako walishasoma wewe ndio unaenda.
    Labda mtangazaji utuambie amekuja kutangaza biashara yake,.
    Labda hapo tumejifunza ukitokea familia ya kishua kutoboa ni rahisi

    • @rebbywealth9869
      @rebbywealth9869 7 месяцев назад

      Pambana wanao wawe wa kishua pia.. halafu watoboe kirahisi.

    • @pendothomas7258
      @pendothomas7258 6 месяцев назад

      Huelewi hata umeongea nini. Mungu akusaidie 😢

    • @leedsoldat4189
      @leedsoldat4189 5 месяцев назад

      Acha izo ww,,,ila mwisho wa siku wafanyabiashara wote wanahitaj wateja ili kupata pesa

  • @mbwawafillingstation
    @mbwawafillingstation 7 месяцев назад

    Hajui kiswahilie

  • @ijsound5149
    @ijsound5149 7 месяцев назад +3

    Unatuletea watu washaandaliwa maisha na wazee wao washua sky acha uduanzi bhana hamn cha kujifunz hapa

    • @jumakhamis226
      @jumakhamis226 7 месяцев назад

      Kabisaaaa

    • @rexstudio4303
      @rexstudio4303 7 месяцев назад +2

      Wewe ndo ujifunze kuwekeza kwa mtoto wako😅, sio mzazi unauwezo alafu kizazi chako kinakua maskini, ndo familia nyingi za hapa nyumbani

    • @rebbywealth9869
      @rebbywealth9869 7 месяцев назад

      Cha kujifunza pambana na wewe wanao wawe wakishua, uwafungulie wanao biashara au waje wafanye kazi kwenye kampuni yako.
      Lakini kwako hazikutoshi, huwezi kuona hilo

  • @ZainabJolie
    @ZainabJolie 7 месяцев назад

    Angeongea kiswahili ingependeza zaidi🙃

  • @redemptajerry5446
    @redemptajerry5446 7 месяцев назад +2

    nauliza kama naweza kupata kwa wholesale

    • @redemptajerry5446
      @redemptajerry5446 7 месяцев назад

      naomba tuwasiliane mimi ni mama nauza nguo pia. nimependa nguo zako sana

  • @trillionthamani
    @trillionthamani 7 месяцев назад

    Mtu anasoma feza si wakishua jamani huyo

  • @OnaTimestv
    @OnaTimestv 7 месяцев назад

    Ameshaandaliwa maisha apo anatangaza duka tu wakishua huyo hajui Njaaa huyo.

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 7 месяцев назад

      😅😅

    • @SnuglyLingerie1
      @SnuglyLingerie1 7 месяцев назад

      Wazazi wake wamemuandalia msingi mzuri ili hiyo njaa asipate kuijua maishani mwake. Sio mpk kila mtu ateseke bana

  • @didasseveline9013
    @didasseveline9013 6 месяцев назад

    Hamna cha kujifunza hapa!

  • @GeorgeChitemo-kt8sw
    @GeorgeChitemo-kt8sw 7 месяцев назад +8

    Umeniuzi bhana mtangazaji tuletee watu ambao kweli wanatafuta wenyewe

    • @rebbywealth9869
      @rebbywealth9869 7 месяцев назад

      Anzisha channel yako na wewe ulete wa kwako...... umasikini sio sifa

    • @GeorgeChitemo-kt8sw
      @GeorgeChitemo-kt8sw 7 месяцев назад

      @@rebbywealth9869 hunaakili wewe kila MTU akiwa na Chanel yake kuna MTU ataangalia Kama MTU amefanya makosa asiambiwe ??? Asiambiwe .mfano hata selikali ikikosolewa na kutoa maoni Kwa wananchi .selikali itajibu wananchi wanzishe selikali yao??.hunaakili kabisa wewe Sisi tunAcoment kulingana na kichwa cha habari kilivyo na kuangalia habari NI tofauti na kichwa cha habari.ss siyo mbumbumbu Kama wewe lazma MTU aambiwe kweli .Kama hataki ukweli aache au afunge channel yake

    • @GeorgeChitemo-kt8sw
      @GeorgeChitemo-kt8sw 7 месяцев назад

      @@rebbywealth9869 kwani yeye angesema mtoto WA miaka 18 amefungiliwa Duka na wazazi wake Sisi tungeongea???

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa 6 месяцев назад

      Jifunze apo ili umuandalie mtt mambo mazriii . Mnapenda umasikini tu🤌

    • @GeorgeChitemo-kt8sw
      @GeorgeChitemo-kt8sw 6 месяцев назад

      @@mwanaidimussa huna akili wewe Mimi nimekwambia hivo kuwa napenda umasikini Nani amekwambia Mimi masikini???tutaongea kichwa cha habari alichokiwwka nitofauti na maana halisi

  • @niyongendakosamuel858
    @niyongendakosamuel858 7 месяцев назад +1

    Watoto wengine ndomana wanafanikiwa ungezaliwa kwenye familia zetu daaaaaaah unanza kujipambania at the same time unapambania familia wakati capital yenye hujapata unabahati sanaaaaaa aise unakua ulishafanyiwa savings na wazazi aiseeeeee

  • @songweairport7602
    @songweairport7602 7 месяцев назад

    NC

  • @KRIPHMWAKILOVOKO-rd7wy
    @KRIPHMWAKILOVOKO-rd7wy 6 месяцев назад

    Uyo kapewa pesa bn

  • @omanmct135
    @omanmct135 7 месяцев назад

    Naic❤

  • @dontilapaschal2278
    @dontilapaschal2278 7 месяцев назад

    Wakishua huyu😮

  • @mwanaidimussa
    @mwanaidimussa 6 месяцев назад

    Kwan kunawatoto wangapi wakishuaa wajingaaa hawajui ata kuendesha miradi ya wazazi wao !! Wapo wapo tu wanatumia pesaa hovyooo !!!!!! Jifunzeni na kwamatajiriiiiii ili watoto wenu muwafanyieee hayooooooo piaaaaa mnajua kuchamba tu …. Fyuuuuuuu

  • @user-bb2lz9fx4e
    @user-bb2lz9fx4e 7 месяцев назад +1

    Ni kweli tafuta watu low class

    • @pendothomas7258
      @pendothomas7258 6 месяцев назад

      Kwakuwa na wewe ni low class😢

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa 6 месяцев назад

      Kunawatto wengi wakishua hawana ata uwezo wakuendesha walichopewa na wazaz wao … jifunze kotekote wew fyuuuu

  • @user-jf3zz7ql1y
    @user-jf3zz7ql1y 7 месяцев назад +1

    kama huyo ana miaka 18 basi mim nina minne😂

    • @giztony2009
      @giztony2009 7 месяцев назад

      Kifua kimejaa kama mbena vyuma

    • @SnuglyLingerie1
      @SnuglyLingerie1 7 месяцев назад

      @@giztony2009 be respectful! She is a child. Hujafa, hujaumbika . Mungu alinde kizazi chako cha leo na cha baadae

    • @rebbywealth9869
      @rebbywealth9869 7 месяцев назад

      Kichwa chako kimejaa kamasi

  • @GeorgeChitemo-kt8sw
    @GeorgeChitemo-kt8sw 7 месяцев назад +2

    Yani unaleta mtu ambaye kafunguliwa duka

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa 6 месяцев назад +1

      Ili ujifunze uje mfungulia mwanao

  • @OnaTimestv
    @OnaTimestv 7 месяцев назад

    Maelekezo yapo home tayar kitonga tu

  • @mrkitaa7938
    @mrkitaa7938 7 месяцев назад +5

    Hii interview NZURI SANA, NIMEKUWA INSPIRED NA WAZAZI WA HUYU BINTI, WAMEMTENGENEZEA MSINGII MZURI SANA.
    KUMBE UKIFANIKIWA INAWEZA IKAWA CHACHU KUBWA SANA YA MAFANIKIO YA WATOTO WAKO. LET'S KEEP FIGHT.