NYUMBANI KWA KUNGWI/KUNA DUKA LA UREMBO NDANI/ANAFAGIA SAA NANE USIKU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 251

  • @anathjuma6813
    @anathjuma6813 Год назад +5

    Waarab na wazanzibar hawajivungi,free soul...wachngamfu...Yani wakikuzoea wanaupendo sana...Ma Sha Allah

  • @elenlazaro3192
    @elenlazaro3192 Год назад +2

    Huyo lastborn anapendwa sana😂😂😂 imagine at my 20 siko home😅😅😅😅

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Год назад +13

    Mash Allah nimependa unavyo fanya ibada. Allah aendelee kukuongoza ktk imani..

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Год назад

    Ongera sana mpenzi wangu,nyumba yako nzuri sana.❤❤👍👍👍

  • @africa7479
    @africa7479 Год назад +30

    mashallah, una moyo mzuri..sasa jitahidi kuongeza stara...Allah atakusimamia zaidi mama angu kipenzi

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 Год назад

      Ipi nyingin

    • @africa7479
      @africa7479 Год назад

      @@tanzcanmediatv4473 kama wewe ni muisilamu basi huna haja ya kuuliza . ..kama sio muulize jiran yako mwisilam atakueleza.

    • @sinyooo6583
      @sinyooo6583 Год назад

      ​@@tanzcanmediatv4473kichwa waz

    • @awatifsaleh7450
      @awatifsaleh7450 Год назад

      ​@@tanzcanmediatv4473afunike nywele

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Год назад

    Kweli mpenzi wangu watoto wa kiume ni shughuli yaan,unasema wewe hadi unataka kulia.Mwisho unaingia mwenyewe kufanya usafi👍👍❤

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 Год назад +16

    Mashallah ila huyo muandishi wa habari mpaka chumbani na una mume hiyo ni sehem ya faragha na kila siku unafundisha leo unamuingiza chumbani mgeni wa kiume tena

    • @annievibes8794
      @annievibes8794 Год назад

      Huyo kaletwa special aje aone na atuonyeshe umbea😂

    • @FarhatWu-i3q
      @FarhatWu-i3q Год назад

      Kwel hakupaswa aoneshe chumba Cha mumewe sio vzr

  • @Hemeddymeddy
    @Hemeddymeddy Год назад +23

    Jamani mwanamke usafi shoga angu nyumba yang’ara na mama love wang’ara nimependa sana nyumba yako na usafi wako ❤❤❤❤❤❤❤

    • @nadyasalim7956
      @nadyasalim7956 Год назад

      kweli kwake kuzuri sanaa mashallah kusafiii

    • @VickKulekana-si1ib
      @VickKulekana-si1ib Год назад

      Yani nimepapenda napendaga nyumba iwe nzur na Safi nilikuwa napenda kusafisha nyumba paka wananitania site

    • @VickKulekana-si1ib
      @VickKulekana-si1ib Год назад

      Kawa mama paka ata usiku anaweka nyumba vizur vyombo anaosha

  • @ethanevans2971
    @ethanevans2971 Год назад +5

    Hongera mama ..kwakweli nimefurahia hii mada na mama yupo vizuri katika presentation na pia kimalezi...huu ndio ukweli...mafunzo kwa vitendo.asante mama endelea hivyohivyo na mafanikio utayaona ....

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 Год назад +10

    Mama msafi sana 👌🏽👌🏽

  • @أمطارقالبحرية
    @أمطارقالبحرية Год назад +29

    Dadaangu mwanamke wa kiislam hatakiwi aoneshe mapambo yake na uzuri wake ila kwa Mahaarim zake na mumewe
    Jitahid ujiongeze stara na nywele zako zisionekane
    Nakupenda kwa ajili.ya Allah

    • @arafakiloli749
      @arafakiloli749 Год назад +1

      ALLAH akujaze kheri zaidi

    • @azizaaziza7996
      @azizaaziza7996 Год назад

      Assalaam allaykum warahmatullah naomba namba ya huyu.mama

    • @JanethMadios-oe5ue
      @JanethMadios-oe5ue Год назад +9

      Kwendraaaaaaa bwana weweeee ndo nyinyi mnajifanya wakamilifu sana toka uko

  • @FarhatSeif-p3t
    @FarhatSeif-p3t Год назад +5

    Usioneshe sana mazingira ya nyumbani kwako. Husda na pia wezi. Chumba chako cha kulala na mumeo ni mwiko.kuonesha hadharani

  • @SelemanMuhamed-ir5zl
    @SelemanMuhamed-ir5zl Год назад +4

    Daaa adi raha Usafi wa maana nimependa❤❤❤❤❤❤

  • @HalemaHhhh
    @HalemaHhhh 11 месяцев назад

    Nakupenda sana mamangu❤i wish ningekua karibu nawe

  • @FatmaSaidsalim
    @FatmaSaidsalim Год назад +3

    Mama weeee hutaki mkaza mwana wa kenya😂😂😂😂😂😂😂Masha Allah Masha Allah nimekupenda sanaa

    • @VickKulekana-si1ib
      @VickKulekana-si1ib Год назад

      Haha ATA mimi nilikuwa nasema nimempenda yupo mcheshi kwel

  • @Lexerjoh
    @Lexerjoh Год назад +4

    huyu kweli ni mwanamke kakupa na chai mashallah

  • @khurlainashly5686
    @khurlainashly5686 16 дней назад

    Masha allah

  • @judithkayombo1803
    @judithkayombo1803 5 месяцев назад

    Nyumba nzuri pia msafi sana

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 Год назад +11

    ❤❤❤ usafi muhim kweli mama

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 Год назад

    Mama hongera sana wewe ni mzungu kichwani unaichi kama mzungu alhamdulillah. Pia wewe mama ni mtu wadini sana maisha Allah god bless you

  • @Foodtokonly
    @Foodtokonly 2 месяца назад

    The eloquence ❤❤❤❤

  • @magrethmagonza186
    @magrethmagonza186 Год назад +2

    Ni kweli nimependa japonica nipo mbali I can't imagine ukiingia humor ndani hongera shost❤

  • @RoverRoom
    @RoverRoom Год назад

    Njoo Interview Kenya uje uone mama kungwi Bado sana yani Bado nguo Hapa 4,000$ tena nguo kaa 10

  • @ShekhahamedMuhsin
    @ShekhahamedMuhsin Год назад +1

    Masha allah. Mama love. Nimekupenda Sanaa

  • @AminaAhmed999
    @AminaAhmed999 Год назад +8

    maa shaa Allah nyumba safii

  • @ZainabAbdullah-bc6pu
    @ZainabAbdullah-bc6pu 3 месяца назад

    Mashallah mama msafi hadi raha🎉

  • @Lulualshagri
    @Lulualshagri Год назад +4

    Hiyo imeenda mama lao mashaallah nyumba yang'ara km wewe mwenyewe

  • @ninaken7109
    @ninaken7109 11 месяцев назад

    Beautiful house tour...

  • @Saripa234-u7g
    @Saripa234-u7g 7 месяцев назад

    Mashahallah mama etu mpendwa ❤❤❤❤

  • @esterjames7407
    @esterjames7407 Год назад +1

    Mhh huyu mama kweli kungwi anajua mwanamke mazingira bibi wee ona kabla ajahojiwa amekula ndizi ili ata kama kunakaharufu mdomoni kaishe nimempenda bure ❤❤❤❤❤

  • @AsmaSalim-rx4fb
    @AsmaSalim-rx4fb Год назад +51

    Haya Leo wa mwanza na mimi naombeni like zang

  • @mariamibrahim6738
    @mariamibrahim6738 2 месяца назад

    Msafiii kbs unaonekana

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 Год назад +10

    Nimependa Hivyo Viti Mie Nataka Aniuzie🙏

    • @utaani1
      @utaani1 Год назад

      Agizia dining table ya viti 6 zile refu UK, mimi nimenunua mbili moja kwa £600

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 Год назад +6

    Kwake pa safi kabisa

  • @SululuZungu-kx8ws
    @SululuZungu-kx8ws Год назад

    Sema mwanangu salehe mmbea xn na mfukunyuku xn siku uje kwangu ufukunyue ukute nyoka uone vitu

  • @nasraabdul6878
    @nasraabdul6878 Год назад +2

    Napenda anavyoongea Uyu mama❤

  • @fatimamohammed2332
    @fatimamohammed2332 Год назад +3

    maashallah tabaraka Allah mama msafi sana

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 Год назад +1

    Mansha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @fatmabby0017
    @fatmabby0017 Год назад +9

    Mashaallah ❤

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 Год назад +1

    Maa shaa Allah hio nguo ya manjano mbivu nzuri sana

  • @IreneHatibu
    @IreneHatibu 6 месяцев назад

    Mama mzuri na ajipenda mashallah

  • @نجمةموبيبي
    @نجمةموبيبي Год назад +5

    Mashaallah , msafi sana

  • @zezenuvel7612
    @zezenuvel7612 Год назад +1

    Mamalove kungwi nimekupenda bure ❤❤❤❤

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry Год назад +4

    Usitaje majina ya watua uliowafunda. Sema tu nasinga wanawake na wanaume tunakuelewa. Nakupenda ni mwanamke unayejiamini

  • @lilianmkumbi6770
    @lilianmkumbi6770 4 месяца назад

    MaashaAllah ❤

  • @Saripa234-u7g
    @Saripa234-u7g 7 месяцев назад

    Mama Love ❤️ kungwi ❤❤❤😂😂😂

  • @HeriethHaule-ct9gx
    @HeriethHaule-ct9gx Год назад +1

    Hata ongea yake inaonekana tu anaupendo

  • @halimadunia643
    @halimadunia643 4 месяца назад

    Salam sana mama love 🤗🤗❤❤

  • @islam.with_juneyd
    @islam.with_juneyd Год назад +1

    Allah atuhifadhi sote atuongoze katika njia ya haqi

  • @faidhacute
    @faidhacute Год назад +19

    Tuletee didaaa shaibu tufahamu mambo yake pia maana anatuinspire

  • @Ismail-kp7dx
    @Ismail-kp7dx 7 месяцев назад

    Mama hongera

  • @sidikassim6759
    @sidikassim6759 Год назад

    Siivyo mmangu unapndza kdgo kuliko kuvaa mikope ile na mboni wla hupendzi mma sio Siri lakni hvyo umpendza Mashala mmangu

  • @mawlodafarida
    @mawlodafarida 5 месяцев назад

    Mmi nakupnda❤❤❤❤❤

  • @SaidatIbrahim-l7o
    @SaidatIbrahim-l7o Год назад

    Mama kungwi hongera yako 😂😂chukua 🎉🎉yko

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu2509 Год назад +5

    Mama msafi sana , Akili zake zenyewe nyingi , Asante mama mrembo nime shukuwa jina la parfum 😂🌷

    • @Lexerjoh
      @Lexerjoh Год назад

      yan ww kama mimi

  • @SaidatIbrahim-l7o
    @SaidatIbrahim-l7o Год назад +1

    Mama kungwi umezidi chumba cha mke na mume n stara hata hao wifi zko hawatakiwi kuingia ila we mpk mitandaon hujafny vzr

  • @zulfayusra8747
    @zulfayusra8747 Год назад +2

    Uyu mama kwake simple bt smart sana nmependa sana kwake vle amekueka

    • @VickKulekana-si1ib
      @VickKulekana-si1ib Год назад

      Ndio ata Mimi nilitaka sema yupo simple Yani yupo Kama Mimi nyumban napendaga kuwe Safi nilikuwa nasafisha paka wananitania site

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Год назад +2

    Ndio viti hivyo vimeingia navipendaga na hiyo milamgo naipendaga sana

  • @lilianmkumbi6770
    @lilianmkumbi6770 6 месяцев назад

    MaashaAllah

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh Год назад +16

    Hata mimi napenda mume tuwe mbali mbali aje akiondoka

    • @mariamdullazy8166
      @mariamdullazy8166 Год назад +1

      Mmh sasa muda mwingine ukimuhitaj inakuwaje mi ndo najiuliza hapo inakuwaje

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Год назад

      @@mariamdullazy8166
      Hee shoga angu ukishasema nayo roho yako kuwa wew mutakutana baada ya siku kadhaa fine tu

    • @ukhtyrayyan7884
      @ukhtyrayyan7884 Год назад +1

      Hats mie napenda nando nipo hivo😅

    • @mariammnongo2149
      @mariammnongo2149 Год назад

      Hupend kufanya yale mambo yetu sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Год назад

      @@mariammnongo2149
      Hahahaaaa ndo kila siku?
      Si mukikutana ndio vitu vinanoga zaidi

  • @officialbntrasool5223
    @officialbntrasool5223 Год назад +9

    Nikishapata mume ntamfata huyu awe kungwi 😂😊

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le Год назад +2

      Tena usje ukasahau ana mambo mazuri huyu utakuja kuenjoy kweny ndoa Yako sina vyakukueleza dear👌👌

  • @meowzna
    @meowzna Год назад +7

    Super MaMa😍 Masha'Allah🙏

  • @HaiyamFatawi
    @HaiyamFatawi Год назад

    Haya namm naomba link

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Год назад

    Okay 🎉

  • @nadyasalim7956
    @nadyasalim7956 Год назад +5

    Mashallah Mama kwako kuzuri nakupenda sana ❤

  • @SharifaOm
    @SharifaOm Год назад +2

    Mm nampenda sana huyu mama

  • @MaryamAmour-k7m
    @MaryamAmour-k7m 11 месяцев назад

    Upo daa jmn huku zenj nakuhitaji

  • @jamilamnetya6228
    @jamilamnetya6228 Год назад +6

    Nampenda sanaa uyu mama

  • @marthahozza2964
    @marthahozza2964 Год назад

    😀😀 mh jmni binadamu

  • @mariamibrahim6738
    @mariamibrahim6738 Год назад +30

    Nampendaga uyu mama yanii na ni msafii

  • @nuruyusuph5562
    @nuruyusuph5562 Год назад +2

    Mashallah msafi

  • @FarhatSeif-p3t
    @FarhatSeif-p3t Год назад

    Hongera mjukuu wangu nakupenda sana. ❤

  • @Saripa234-u7g
    @Saripa234-u7g 7 месяцев назад

    Mama niambie Uwo Ubani maalum niujue

  • @agathachughu
    @agathachughu Год назад

    Mbona wachoyo ule kaketi kule mbona hamuna Karibu 😮😮😮😮😮😮😮

  • @sinyooo6583
    @sinyooo6583 Год назад +4

    Duu mama msafi huyu nitamuiga na mimi

    • @skymoontravel7140
      @skymoontravel7140 Год назад

      Usafi ni mtu kuzaliwa nayo unaweza kuiga ukaishiwa njiani😅

    • @sinyooo6583
      @sinyooo6583 11 месяцев назад

      😂Apana bn

  • @mombasa0076
    @mombasa0076 Год назад +1

    Ni upotezaji wa mda tu

  • @minafadhil3837
    @minafadhil3837 Год назад +3

    Mamaa msafi huyu

  • @Kijijihomestead
    @Kijijihomestead Год назад

    Kamara mam hafai.....anatupa kizunguzungu.....tuliza kamera....kaa

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Год назад

    Viti vizur na neza napendaga iyo ya mbele ya tv.makochi nayaonaga kwa wanapouza masofa kumbe sebulen yanapendeza ivyo

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Год назад +9

    Mashaalah ❤

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 Год назад +1

    Kungwi na mc nimeshapata bado mume sasa🤗

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 Год назад

    Mmbona kama mmegeuza kwenye bei hongera wifi yetu tunakusubiri kwa ham

  • @yusufuyasin2347
    @yusufuyasin2347 Год назад

    Mi namtaka Allyyy😂😂

  • @fauzhaji7149
    @fauzhaji7149 Год назад +1

    It's 9.99 not 66..

  • @JescaMuyabi-ix8ly
    @JescaMuyabi-ix8ly Год назад

    Hongera

  • @Boaz22
    @Boaz22 Год назад

    Jamani natafuta nyumba kama hii ila nataka iwe ni chumba kimoja master na vingine vyote viwe hivi hivi, kama kuna dalali naomba jibu comment yangu tuchekiane ata kesho nakuja kulipia kodi

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Год назад +2

    Tuko wengi anapenda kukaa nyumban kama mim

  • @ashamavunde3913
    @ashamavunde3913 Год назад +8

    kwake pako vizuri na usafi anaujua

  • @nasramduli5097
    @nasramduli5097 Год назад +2

    Love u mama

  • @w4058
    @w4058 Год назад

    Mwanamke hufai kumsinga wanaume

  • @AngelAfric
    @AngelAfric 11 месяцев назад

    😂 kipafyum kimoja tu Kama dawa

  • @gloriakoku2766
    @gloriakoku2766 Год назад +1

    Napenda sana usafi… Hongera mama kwa usafi

  • @MissRafikieli
    @MissRafikieli 7 месяцев назад

    Dola $9.99 sio dola 66.6$. No such thing. Kwahi ni around 26,153.67 TZ shillings.

  • @w4058
    @w4058 Год назад

    User uko right kabisa

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Год назад +1

    Mama naye hivyp hivyo wanawe ndio marafiki zake

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Год назад +1

    Mimi mwenyewe nikiongeaga wananiambiaga inatakuwa ungekuwa MC

  • @JoviniRocky
    @JoviniRocky Год назад

    Super mama

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Год назад +1

    Na mtangazaji nampendaga

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel Год назад

    Mpitie na kwangu jamani

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Год назад

    Anauza bei rahis hadi raha