BSS 2023 SN 14 EPISODE 01 ARUSHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 14 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
    :Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
    Bongo Star Search
    Follow Our Pages
    Facebook: / bongostarsearch
    Twitter: / bongostarsearch
    Instagram: / bongostarsearch
    SnapChat: BongoStarSearch
    TikTok: bongostarsearch
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: / slidedigitaltz

Комментарии • 239

  • @CatherineJamesshirima
    @CatherineJamesshirima 9 месяцев назад +18

    Dada shishi tulia kidogo dear...usiimbe na wanao imba

  • @BettieLevison-tc3xg
    @BettieLevison-tc3xg 10 месяцев назад +15

    Master na salama wako serious na kazi yao sana😂 i love it

  • @aureliebeatrice8356
    @aureliebeatrice8356 10 месяцев назад +19

    Shilole you’re doing great unafanya vzr kakını please jaribu kukaa kimya wakati wanaimba it’s annoying

  • @godwinloburu8646
    @godwinloburu8646 10 месяцев назад +57

    Bss Kwanza waache kuwaambia watu "una nyimbo nyingine yakidunia" tuwe professional at shilole acha kujiimbisha wakati msanii anaimba angalieni wanavyofanya the voice, x factor mjifinze kitu.

    • @asmarajabu5786
      @asmarajabu5786 10 месяцев назад +4

      anakidomodomo kweli Chilole sijui kwa nini wamemuweka kimbelembele kingi

    • @Untoldafricanstories
      @Untoldafricanstories 10 месяцев назад +1

      Kabisa, au waweke wazi kama waimba gospel hawatakiwi

    • @rasmissionary7518
      @rasmissionary7518 10 месяцев назад +3

      Na kama ki design kuna beef na Ke music....mtu amepenya na Ngoma ya Kenya? Nil😔

    • @oscaricky847
      @oscaricky847 10 месяцев назад

      @@rasmissionary7518100% bro wanajudge na feelings jamaa wa rasta ameimba vizuri sana wanamtoa coz of confdence yake wamenikwaza sana

    • @MohamedMohamed-fg1kh
      @MohamedMohamed-fg1kh 9 месяцев назад +1

      Kwa season hii
      Hii ni mara yangu ya kwanza naangalia videos Bss nipo kwenye dakika ya kumi na 11 nimegundua hiki hiki ambacho unasema shilole acha fujo unamkera mpaka salama apo

  • @AbdoulKarim-u2f
    @AbdoulKarim-u2f 10 месяцев назад +5

    Huyu dada mlemvu wa mguu alipoimba nimetoa majonzi kwakweli mashallahhhh 😭😭😭😭

  • @silvernayzer4107
    @silvernayzer4107 10 месяцев назад +10

    Jamaa alive imba na kinanda alafu an a dready anajua mno walichomfanyia ndokinafanya mashindano yapoteze mvuto kila mwaka judje mudamwingine kama wana kurupuka kwenyemaamuzi napia msanii anapoingia wamwache afanye kilichomleta kwanza akimaliza ndowaanze kuongea wanafanya wawe awajiamini mtu anaanza kuimba judje anaanzisha mada ambayo at a haihusian fanyieni Ilo. kazi show nzuri Sana inajina kubwa ila mnaweka uswahili waajabu Sana ndani

  • @mdachiog5211
    @mdachiog5211 10 месяцев назад +8

    Jamaa mwenye Rasta aliye imba na kinanda ni 🔥 mrudisheni apunguze ujuaji tu

    • @MussaMkasi
      @MussaMkasi 10 месяцев назад

      Hmn kupunguzaa ujuaji kaka jamaa anajua na alichoongea ni sahih kbs kuhusiana na professional music maana aliulizwaa

  • @khalidchipa98
    @khalidchipa98 10 месяцев назад +7

    0019 hamjamtendea haki wallah.. Amefanya vizuri sanaaaaa

  • @FUNNYVIDEOS-ek1cm
    @FUNNYVIDEOS-ek1cm 10 месяцев назад +10

    Sema jamaa wa professional wamemuonea sanaaa Madam Rita unakwama sana...

  • @maishailiyasi2935
    @maishailiyasi2935 9 месяцев назад +8

    SHILOLE UNAKERA KURUKIA RUKIA MTU AKIWA ANAIMBA UNAHARIBUUUU

  • @saidikikoko
    @saidikikoko 9 месяцев назад +9

    Shilole apunguze sifa anaharibu taste ya mashindano anaboa

  • @mamaabup5817
    @mamaabup5817 9 месяцев назад +2

    Dada wa kizungu ameimba vizuri semeni nyie ndio hamuelewi kizungu

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 10 месяцев назад +2

    Kumamae zenu majaji wote huyo jamaa professional anajua sana tena sana tu sijui ni nongwa au usenge tu pumbavu zenu

  • @eddiedonald7483
    @eddiedonald7483 10 месяцев назад +15

    KuSEMA ZA UKWELI SHILOLE ANABOAAA

    • @asmarajabu5786
      @asmarajabu5786 10 месяцев назад +1

      kweli kabisa mimi ananiuzi

    • @isabelavictor9964
      @isabelavictor9964 10 месяцев назад

      Yeye mwenyewe hajui kuimba hata kuvaa hajui

    • @asmarajabu5786
      @asmarajabu5786 10 месяцев назад

      @@isabelavictor9964 umeona eee kazi yake mdomo tu

    • @saidikikoko
      @saidikikoko 9 месяцев назад

      Salama anaboreka kinoma

  • @sugutaNyamagara
    @sugutaNyamagara 10 месяцев назад +7

    Iv shilole anaujua mziki upi adi awe judge jamani

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 10 месяцев назад +2

    Abby unajua sana tu wala usikate tamaa hapo wasenge hawajui chochote Mungu akubles kwa njia nyingine utafanikiwa unajua unajua unajua tena ❤❤❤❤

  • @dullywa9973
    @dullywa9973 10 месяцев назад +4

    Amina❤❤mshindani mzuri sana, ila kafanya vzuri sana

  • @mtanzaniamwenzangu181
    @mtanzaniamwenzangu181 10 месяцев назад +3

    Jamaaa profesional wamemuonea

  • @audifacejosephat7071
    @audifacejosephat7071 8 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂😂arusha hiii

  • @adamkisheta8439
    @adamkisheta8439 9 месяцев назад +1

    All in all mtambue hapo ma jaj n wawil tu master j na salama wengne washehereheshaj tuu'

  • @WilliamLuvanda
    @WilliamLuvanda 10 месяцев назад +3

    Shilole mbon unachek sna kweny vit muhimu km ivyo

  • @calvinkawiche3665
    @calvinkawiche3665 9 месяцев назад +1

    amina uyo mtoto anajua yani kama vile matokeo yamepangwa asichaguliwe

  • @saudatoller642
    @saudatoller642 21 день назад

    Hyu shilole anaharibu sana

  • @happynesslamecky8268
    @happynesslamecky8268 10 месяцев назад +5

    Shilole mwili mkubwa akili kisoda anaboa bana.

  • @Olperbenjamin
    @Olperbenjamin 10 месяцев назад +4

    Jaman shishi bhana kwenye hii show ana nikosha sana❤

  • @fridammari1523
    @fridammari1523 9 месяцев назад +4

    Mko vyedi sana ila naomba msiwe mnawaingilia washiriki wakiwa wanaonyesha vipaji vyao. Muwapa nafasi ya kuwasikiliza wakimaliza ndio mtoe comment zenu😊

  • @Boaz22
    @Boaz22 10 месяцев назад +3

    Huyo Benedict james ndo mshindi wa msimu huu, wekeni hii comment yangu, mtakuja ikumbuka🙌

  • @aslayjuniorroberto2444
    @aslayjuniorroberto2444 2 месяца назад

    Check artist time 16 minutes 50second he has nailed it. be fair. ameimba sawia na mwenye wimbo

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 9 месяцев назад +2

    Nikiangalia BSS namkumbuka Maunda Zorro .. Rest easy .. her songs are still alive today.

    • @paragraphcomedy
      @paragraphcomedy 9 месяцев назад

      true

    • @paragraphcomedy
      @paragraphcomedy 9 месяцев назад

      ruclips.net/video/ERb6YA0dlcI/видео.htmlsi=NaIcfNLxXMBk3jJC

  • @manyamamagambo8890
    @manyamamagambo8890 9 месяцев назад +1

    Amina ni moto aiseeee

  • @jimwafula4733
    @jimwafula4733 9 месяцев назад +3

    shilole please when the contestants are singing just listen cz when you join it is now not ok

  • @julokenga1410
    @julokenga1410 9 месяцев назад

    Jaji Salama,sio vizuri kumkatisha mshiriki Abby Africa tamaa Jamaa anakipaji naomba umpe nafasi aendeleze ndoto yake.

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 9 месяцев назад

    Dah huyo jamaa wa professional kaua sana ila siwaelewi majaji walai

  • @brianinnocentke210
    @brianinnocentke210 9 месяцев назад +1

    0057 aliimba vizuri shida ni hao majudge na watanzania in general kwani amukuenda darasa la kingereza .startime ningeomba mtafute majudges wenye wanaelewa pia kingereza mbona wanakill talent ya huyo dada ama mkuje kenya tuwafunze

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 10 месяцев назад +4

    😂😂😂😂 hospitali ya milembe ipelekwe Arusha

  • @Sasmank11
    @Sasmank11 9 месяцев назад +2

    Shishi mzuriiiii

  • @jalinachilala8465
    @jalinachilala8465 9 месяцев назад

    Bss iwe kila siku jaman msikae sana mnatupa raha muno❤❤❤

  • @pizzoyoungpaul1324
    @pizzoyoungpaul1324 9 месяцев назад

    Professional music mmembania yuko vizur

  • @vansclassic2131
    @vansclassic2131 9 месяцев назад +1

    bongo star search big up 2023 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @AdonisNtihabose-ip1py
    @AdonisNtihabose-ip1py 10 месяцев назад +1

    Waooo 100% nimependa hii post maana nindefu❤❤❤❤❤❤ mina ali thank you keep post videos like this one don't send shot vedeos

  • @vocalizertz6868
    @vocalizertz6868 10 месяцев назад +2

    Shilole ni kichaa sana

  • @JohOyiaya
    @JohOyiaya 9 месяцев назад +1

    From 254 bt the girl 019 knows how to sing 🎉...do disappointing that u picked the louder voice than the fillings.

  • @dullywa9973
    @dullywa9973 10 месяцев назад +1

    Amina ❤❤❤❤

  • @kachee-kenya
    @kachee-kenya 9 месяцев назад +1

    You are such a beautiful sings 😂😂😂😂😂 wueh!

  • @westcijosh
    @westcijosh 9 месяцев назад +1

    Jamaa wa professional music wamemkata tu kichuki ila anaeza

  • @PatrickFelly
    @PatrickFelly 10 месяцев назад +2

    Madam rudisha ommy dimpoz au bella wengin watusumbua tu

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 10 месяцев назад +2

    Wasenge wakubwa amina anajua sana tu ❤❤ halafu mtoto mkali kama mmemkataa kumamae zenu

  • @oldtv6981
    @oldtv6981 9 месяцев назад +2

    sijui ma judge wana angalia nn but 21 13:42 & 19 deserved kuliko wote walio pata nafasi alaf kuna yule chalii wa professional music wame muomea sana just because amesema anajua professional music wame amua kumprove wrong kwalazima honestly I'm very disappointed

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses7694 10 месяцев назад +1

    Sema chugga patam sana

  • @dullaliverpool6978
    @dullaliverpool6978 10 месяцев назад +4

    Sema huyo mwamba professional wamemuonea pia nilichogundua mageorge hawapendi watu wanaojua sana

  • @dommykatey3037
    @dommykatey3037 9 месяцев назад

    Unafanana na Ssaru wa Manyaru from my homeland Kenya🥰

  • @barakaj.j.1976
    @barakaj.j.1976 9 месяцев назад +1

    UNAPO HITAJI KUONYESHA KIPAJI CHAKO USIZIDISHE VIUNGO SABABU VITATUMIKA KUFICHA KIPAJI CHENYEWE, ITAWAPA UGUMU MAJAJI KUTAMBUA KIPAJI CHAKO.

  • @khalliddzoro3293
    @khalliddzoro3293 10 месяцев назад +1

    Razak mnoma natekea tu saana bss from🇺🇸🇺🇸

  • @mbarakasaidi8243
    @mbarakasaidi8243 9 месяцев назад

    Wamemtoa Amina bule aisee

  • @rabielfadhili994
    @rabielfadhili994 10 месяцев назад +2

    Huyu shilole ameharibu kipindi

  • @bhokesaid3264
    @bhokesaid3264 9 месяцев назад +2

    Sasa huyo Najma na huyo dada mwenye koti jekundu who's best???mnazingua uyo demu Najma ndio angebaki maana hata kale kademu keupe kamemzidi achen upendeleo wa muonekano🙌🙌😒

    • @JohOyiaya
      @JohOyiaya 9 месяцев назад

      It's so annoying mazeee

  • @allydimmy6885
    @allydimmy6885 8 месяцев назад +1

    here bcoz of 43:51 favourite jmniii yoh

  • @Iddahm-vb7nc
    @Iddahm-vb7nc 10 месяцев назад +3

    Shilole unaboa acha mdomo😊

  • @joelkihogo9312
    @joelkihogo9312 9 месяцев назад

    Hapo hamna majudge hamko perfect mmemuonea namba 0019

  • @Moneygamer-1
    @Moneygamer-1 9 месяцев назад +1

    0019 what the hell dada kaimba vizuri sanaaa

  • @yasminmariambintyusuf5443
    @yasminmariambintyusuf5443 10 месяцев назад +1

    Ati beautiful sings 😂😂😂😂 alah.God have mercy😂😂

  • @nicetasmnganya5680
    @nicetasmnganya5680 10 месяцев назад +10

    I'm no sure kama ni mimi tu nime notice,Sina ujuzi sana kwenye mambo ya music ila kwa Shilole ni wrong choice ya judge, I love & Respect her But Again she doesn't deserve to stand there as judge 🙏

  • @dianamoshi167
    @dianamoshi167 9 месяцев назад +1

    Sasa shilole naye ana utaalamu gani kwenye mziki? Huu ni ubabaishaji

  • @yasminmariambintyusuf5443
    @yasminmariambintyusuf5443 10 месяцев назад

    So vizuri .. Hawajudges mumekuja chagua watu. Ama kuwacheka .. ..?? This bad..that guy on a tight trouser tried

  • @JacqDaniels-hu5xj
    @JacqDaniels-hu5xj 9 месяцев назад +1

    Salama c astaafu xx hapendezei Tena bna

  • @MariumOmari
    @MariumOmari 9 месяцев назад +1

    Mkaka mweusi alieimba kingereza amenikosha

  • @ImaniBauhati
    @ImaniBauhati 5 месяцев назад

    Dada good ❤❤

  • @ramlahmohamed6465
    @ramlahmohamed6465 9 месяцев назад +1

    Salama kiukweli hata mimi hiyo chombo ilivyovua miwani nimeiyelewa

  • @KibunjaOliver
    @KibunjaOliver 6 месяцев назад

    Shilole na master j punguzeni biffu vijana wako sawa ila nyie mnazingua kinyama

  • @LeilaAbdull-jg6ho
    @LeilaAbdull-jg6ho 4 месяца назад

    Sikuiti shishi nakuita zuwena mbona unazalau Sana salama mumefer Sana Kua nashishi hapo Mimi mfatiliaji Ila Safar hii shishi anawaangusha

  • @jacklinemsechu221
    @jacklinemsechu221 9 месяцев назад

    Uyu wa shalom wajamen

  • @BdjdhHshssgsg
    @BdjdhHshssgsg 9 месяцев назад

    Minaona gospels watahama sana kw1 style hii wakifik dar gospel bas

  • @MonaLis418
    @MonaLis418 9 месяцев назад +1

    Arusha kama uturuk jman

  • @yasminmariambintyusuf5443
    @yasminmariambintyusuf5443 10 месяцев назад +2

    Disability is not inability

  • @kevinwachira4617
    @kevinwachira4617 10 месяцев назад +3

    The lady 0019 has talent she was supposed to go to dar judges I appeal her case.

    • @KhalifaMunyagane
      @KhalifaMunyagane 10 месяцев назад

      I second that -she's extremely good! I'm disappointed by the judges kuacha such a talent!

  • @khalifasultan2677
    @khalifasultan2677 9 месяцев назад +1

    Wekeni Watu Wa Mziki Kama Master Jay,Huyo SHILOLE Mziki Anaujulia Wapi Huyo?? Kwanza Wasanii Wanaimba Na Yeye Mara Aimbe Mara Awakatishe,Mara Acheke!! ANAZINGUA,Muiteni Hata Christian Bella Akae Kwenye Kiti Cha Shilole!!

  • @MussaMkasi
    @MussaMkasi 10 месяцев назад +9

    Jamaa wa profession mmemjudge kwa muzikii wake au mmetumia nn kumjudgee....he is sooo goood

  • @JacqDaniels-hu5xj
    @JacqDaniels-hu5xj 9 месяцев назад

    Na uzee wote huo hamtaki shkamoo mungu wangu cjui wamama wa ckuiz wakoje jmn😢

  • @neemaneychricious6493
    @neemaneychricious6493 10 месяцев назад +1

    Kutokumskiliza mtu hapo mnaonekana ovyo kwel asa we shilole unacheka nin mtu anapoanza kuimba c unyamaze au hakuna mtu ajui kuimba ila nikwamba tumetofautian unapomcheka mtu maan ake nin we mwenyew sauti mbayaa bora hao wanaojarib anapoimba mtu funga kibakuli

  • @VicentAron-t9j
    @VicentAron-t9j 9 месяцев назад +1

    Kweli ata me nimesicmka sio Siri anaimba vzr sana

  • @marwafrancis1377
    @marwafrancis1377 10 месяцев назад +2

    Aliyeimba dakika ya 15 hadi 17 kaua, na mimi naungana nae.Kaimba vizuri na blaza anaenda mbali. Aliyefuata kapigaje kumzidi? Kiingereza au?

  • @kamole3
    @kamole3 9 месяцев назад +1

    17:05 mark his words. 👏👏👏

  • @calvinkawiche3665
    @calvinkawiche3665 9 месяцев назад

    jamani amina uyooo

  • @AmisiIbolecho
    @AmisiIbolecho 11 дней назад

    Nyiii mnakaha apo kutukana au vp wasengenyiih

  • @Rastaztz
    @Rastaztz 9 месяцев назад

    Huyu aliyeimba always love you ana tone ya dunia

  • @kevinwachira4617
    @kevinwachira4617 10 месяцев назад +5

    0413 will be top 5 in this season BSS take that to the bank.

  • @adamkisheta8439
    @adamkisheta8439 9 месяцев назад

    Anajuaa razak

  • @Grace_Ministry_International
    @Grace_Ministry_International 9 месяцев назад

    0143 please add your confidence and your punch

  • @ZiaraMwatawala
    @ZiaraMwatawala 10 месяцев назад +2

    Hivi sisi kama mashabiki tunawezaje fanye kitu huyu shilole habari ziwafikie kuwa hatakiwi kuwa judge apewe mwengine?

  • @zebedemirambi3067
    @zebedemirambi3067 9 месяцев назад

    Kiukweli huyujama aliye imbia kwakinanda wanywele za dredi aliimba vizurisana tena Sana Sasa huyu juge mwanaume kiukweli Bado haujuwi classic music!!! Sorry for that Tanzania tafuteni wa juges wenye wanajuwa music# fwatiliya maajabu talent from DRC mutashangaa♥️🇨🇩 apo munacheza bana

  • @cathymama4010
    @cathymama4010 9 месяцев назад

    Enyewe uyo zachu sasaa😂😂😂😂😂

  • @BakaliKiliga
    @BakaliKiliga 9 месяцев назад

    Mnafanyiwa kila kitu ila hamuwez kuchagua vipaji miyeyusho bss

  • @LoveAron
    @LoveAron 10 месяцев назад

    Shishi bby miwani ile ya blue umeuwa sn 😍🔥🔥🔥👌

  • @georgemaster4909
    @georgemaster4909 10 месяцев назад +1

    yani lishishi linazingua litoeni halipo serious kabisa linadakia dakia badala litulie liskilize teali mdomo alijui ata principle za kujudge

  • @furahinimbwambo
    @furahinimbwambo 10 месяцев назад +3

    😂😂😂😂Hii ndio Chuga MasterJ viatu vimeenda😂

  • @richzebest2029
    @richzebest2029 7 месяцев назад

    Nashangaa huyo namba 19 imekuaje ajapita..shame
    Huyo dada ni star..tuko hapa
    Namtabiria mema, kama anasoma huu ujumbe yeye ni msanii mkubwa kuliko anavyojitazama..sasa ole wake akate tamaa

  • @djkoblo1
    @djkoblo1 9 месяцев назад

    When it is Kenyan music you discourage the young talented man,,shame on Master jay🤧

  • @ngomakitaafestival
    @ngomakitaafestival 9 месяцев назад

    ❤❤❤

  • @yasminmariambintyusuf5443
    @yasminmariambintyusuf5443 10 месяцев назад

    The guy.with the rasta was okay seriously its not good😢😢

  • @yesunialamayakiama.9013
    @yesunialamayakiama.9013 9 месяцев назад

    Watu wana moyo, unaimba huku wanakusimanga, dah!