ALIVYOVAA TU SIWEZI KUWA NAE, ANAONEKANA MUONGO, HANIFIKII KWA PESA - HELLO MR. RIGHT

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder

Комментарии • 304

  • @lucylesso7920
    @lucylesso7920 9 месяцев назад +55

    Acheni utoto jamani, you can make him what you like, change him as you wish, mwamume wako unamtengeneza wewe vile unataka awe, , wewe mwenyewe hujui hata kuvaa, na your motions is like umeambiwa mguu tembea...gwaride, kuvaa hakuhusu kabisa ukimpenda utambadilisha. Ninyi ndio mnaotaka vinavyong'aa , waume za watu ambao wametengenezwa na wake zao mkiwaona mnafikiri hao wake zao waliwakuta hivyo? Noo ..unaanza kitengeneza mwenyewe, na mwingine si kama hana hela, anazo ila ndio hivyo wengine walivyoumbwa, km ambavyo pia kuna mabinti wasiojua kuvaa wanasaidiwa na wapenzi wao wakiume..kwa kutumia hela zake hizo hizo unamfanyia shopping ya nguo unazotaka wewe sasa avae, acheni ujinga, nikija hapo nitawapa fimbo

    • @evarlynekarisa2659
      @evarlynekarisa2659 9 месяцев назад +1

      Yani nimecheka utawachapa🤣🤣🤣🤣🤣

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le 9 месяцев назад

      😂😂😂mbona fimboo😂😂😂

    • @giddie_barnabas
      @giddie_barnabas 9 месяцев назад +2

      true

    • @therealbrightonlyimo
      @therealbrightonlyimo 9 месяцев назад +3

      Point, wadada wengi apo ni watoto hawana future walanini wanatafuta mtu wa kumuumiza tuu kwa kutumia kipato chake. Upendo wa kweli haujali muonekano wala kazi

    • @hawababy120
      @hawababy120 9 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂

  • @lucylesso7920
    @lucylesso7920 9 месяцев назад +11

    Zarish, pata mume upate heshima, wacha ujinga, angalia siku hazigandi your not growing younger but older...be carefully

  • @alecheconradninje6183
    @alecheconradninje6183 9 месяцев назад +9

    Uyo Zaylish stupid muongo atuache😂😂😂

  • @justertilusubya9595
    @justertilusubya9595 7 месяцев назад +6

    Nampenda sana luludiva anajielewa sana huyu dada❤❤❤❤❤

  • @mussacharlesSongo-or4wn
    @mussacharlesSongo-or4wn 9 месяцев назад +9

    Maswali yenu yanawafanya mr light kukataliwa mnachokonoa sana punguzeni kuchokonoa mtakosa watu wa kuja

  • @ashuramahali3410
    @ashuramahali3410 9 месяцев назад +10

    Zaylish unatuchukuliaje mawakala😄😄😄 kwendraaaaaaa

  • @suzanassenga2068
    @suzanassenga2068 Месяц назад +1

    Sharish ni mpumbavu tyu ana lolote amna cha million wala laki tatu maisha yake ya kuunga unga tyuuu amna lolote 😂😂😂😂😂😂

  • @dobidotz3696
    @dobidotz3696 9 месяцев назад +64

    Mc kuna namna una disappoint yaanunazingua unashindwa kuficha emotion zako juu ya mr.right unamachaguo yako na unataka hao wadada waendane na mtazamo wako, waahe wachague don't interfere, don't show your emotion, fanya kaz ako

    • @nanaritho6850
      @nanaritho6850 9 месяцев назад +6

      Ni kweli na anaumiza kisaikologia siyo poa Kikweli!!

    • @marydavinembeki9482
      @marydavinembeki9482 9 месяцев назад +2

      Nahisi kuwa ni space ilikuishia ungeendelea kuachapa qwa Maneno😂😂😂

    • @ilhamswaleh3428
      @ilhamswaleh3428 9 месяцев назад +2

      Nahisi umechelewa kujua

    • @subrynerysegerow1323
      @subrynerysegerow1323 9 месяцев назад +1

      No anatakiwa kuwashawishi maana lasivyo wataganda hapo kama visiki

    • @rosemahenge9071
      @rosemahenge9071 9 месяцев назад

      ​@@marydavinembeki9482🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @emmyomary9640
    @emmyomary9640 9 месяцев назад +11

    Hawa wasichana akili hawana haki tena

  • @estermshana8081
    @estermshana8081 9 месяцев назад +13

    Kipindi kizuri lakini kwan huku nje hakuna wachumba😂😂

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 9 месяцев назад +3

    Uyu Jamaa Amejawa Tamaa Asitaili Kabisa Kuoa Kwasababu Gani Alipoona Uyo Demu Kitako Kinene Kidogo Akili Zake Zote Zimeamia Kule Kwenye Makalio Hana Msimamo Uyo Malaya Wa Kiume Afai

  • @malichanda3146
    @malichanda3146 9 месяцев назад +8

    Huyu dada muongo et kwa siku anaingiza raki tatu jamani acha ujinga kuwa na heshina dada

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 9 месяцев назад

      Anaona laki tatu rahisi kuziingiza??

    • @ZuhuraallyMbawe-zi8hk
      @ZuhuraallyMbawe-zi8hk 9 месяцев назад

      Ni ajabu sana

    • @lucylesso7920
      @lucylesso7920 8 месяцев назад

      Anaweza akawa ni kweli anaingiza hiyo laki 3 sijakataa, wapo wanaoingiza hata million kwa ukweli inategemea mitego au biashara zako unazofanya inawezekana kabisa hilo, ila sasa Mr right anakosekana! Ndio mana wako hapo ili life ikamilike siku ya kumpata huyo Mr right. Pesa iko but lonely no Hubby no Bf and no life Patner, can you turn your 3 laki to be Mr right? The answer is a big no! So play your card very well, happy life it's not about a Man with lots of money definitely no!!!

  • @themanofgod7562
    @themanofgod7562 9 месяцев назад +7

    Season hii mna wasichana wa HOVYO ambao hawawezi kujenga Hoja.

  • @slyla2565
    @slyla2565 9 месяцев назад +5

    Shoga kaumbuka anatangaza anabiashara kibao lakini hatamaesabu hayapandi kiufupi hanahata biashara uyo

  • @janetnyanchera1252
    @janetnyanchera1252 9 месяцев назад +1

    9million per month my gender can lie on the daylight 😢. Basi hata Our Kenyan president halipwi 9 million 😂

    • @teychriss3248
      @teychriss3248 8 месяцев назад

      Kaongo hako,aingize that much afu aje ahangaike kwa mr Right

  • @Un_dollar
    @Un_dollar 9 месяцев назад +5

    Napenda sana hiki kipindi yani vle ambavyo mnafanya kazi yenu miye yanifurahisha tu.... Nina matamanio ya kukutana na huyo Mc ili nami awe mentor wangu... Napenda vle anavyoendesha kipindi hicho mpaka tamati yake... Ila miye Mkenya lakini ckipendi hicho cha Kenya kwa vile wanavyoendesha Mr Right yao.... Yote tisa kumi ni kwamba muendelee vivo hivo... Salamu zangu zifikie Mc tafadali... Shukran

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 9 месяцев назад +3

    Kwan mahusiano n biashara et kipato chake hakinikiz hiki kidada kinanyodo kwa staili hio utadoda😅 mwanaume akikupa hata kidg unatakiwa kulidhika bna

  • @raajabchaka8682
    @raajabchaka8682 9 месяцев назад +3

    Ani huyo jamaa Pimbi Kichizi Ase hana Msimamo hamna Kitu kizur km upatr mwanamke anaekupendaa Anamuachaje dayana Kitu dabo difu Ikoo..😂😂😂😂😂

    • @godfreyzenda9027
      @godfreyzenda9027 5 месяцев назад

      Yaani jamaa kazingua sana kamdharilisha sana Dayana.. Nimefurahi kakosa

    • @salomevenance9555
      @salomevenance9555 Месяц назад

      Alafu Dayana mzuri mno ❤❤❤❤

  • @elnecemily1306
    @elnecemily1306 9 месяцев назад +4

    kaka nimempenda huyu because anaongea ukweli

  • @faithkaganda-k3s
    @faithkaganda-k3s 9 месяцев назад +6

    Na mademu wanashida ila mr. Right mshenzi sana ety😢😢😢sasa unatafuta mtu na diana mzuri na kakupenda unaanza ushenzi wa golden girl koma mfyuu😏😏😏

    • @bestmilltz7071
      @bestmilltz7071 9 месяцев назад +1

      Unapendwaje siku moja bhana, hii n business kama business zingine😁😁

    • @angelawillium
      @angelawillium 9 месяцев назад

      Msenge uyu nae

  • @roseafrael75
    @roseafrael75 9 месяцев назад +2

    Huyo zarish mwenyewe wigi la elfu 5 chaaa akwendreeeee,ajui anachokiongea

  • @carolinepokela5076
    @carolinepokela5076 9 месяцев назад +9

    uyu kaka bado ana maumivu. lkn nilichokipenda zaidi kwake ni muwazi mnooo.hana uwongo kabsa

  • @angabilekatepa601
    @angabilekatepa601 7 месяцев назад

    Wananichekesha Hawa balaa....ngoja wafikishe 30 waone....watazoa hata wazee yani

  • @samwellwiza1098
    @samwellwiza1098 9 месяцев назад +2

    Muongo huyo binti anachanganya mauzo na kipato..... 😊

  • @salumuhafidhimtabe
    @salumuhafidhimtabe 9 месяцев назад +4

    Dada kajikanyaga mpaka aibu naona mimi 😂😂😂😂 maskini Ngwee

  • @rehemageofrey1246
    @rehemageofrey1246 9 месяцев назад +3

    Zarishi punguza mashauzi , sura mbovu ka bakuli la bati lililopondwapondwa

  • @fredrickkaweu
    @fredrickkaweu 4 месяца назад

    Natanguliza na samahani kwanza naomba tuboresshe
    Kama kutakuwa na kupiga cm
    Kwa Whatsapp kuchangiya
    Mada hii ama kuliza maswali
    Itakuwa uzuri sn kwasababu
    Sisi wengine tuko nje ya nchi
    Natamani sana kama itaboresha Tena Kwa video call
    Pls naombo mc

  • @FloraMbuya
    @FloraMbuya 5 месяцев назад +1

    Madada yanazingua majinga hayo . Fukuza hapo wakatengeneze wanaume wao

  • @IddaJovent
    @IddaJovent Месяц назад

    Zarish na hyo sur mbov unaon uwez kuhudumiw na huyo mkaka ungekuw mremb duh!! Dunian kusingekalik jaman

  • @suzanassenga2068
    @suzanassenga2068 Месяц назад

    Huyu kaka pimbii ajielewi angemchukua dayana tumempendaaa sanaaa jinga hilo

  • @bahatielias6443
    @bahatielias6443 9 месяцев назад +4

    Huyo demu mjinga sana, hajielewi hata kidogo

  • @godfreyzenda9027
    @godfreyzenda9027 5 месяцев назад

    Dayana ni wife Material jamaa kazingua SANA, kwanza point kasema yeye yupo tayari kutoka nae chini, na ukiangalia namna alivowasha taa alijitafakari sana kachelewa kuwasha taa... Halafu kajiaibisha sana kaonesha hana msimao

  • @neemaberny3598
    @neemaberny3598 9 месяцев назад +4

    Hawa mabinti nilichogundua ni kwamba wanatafuta ma bank teller😂😂 yani mtu anaechomokea anaingia ofisini na kutoka hata kama anapokea laki tatu na nusu...😂😂 Yani jinsi walivyo wakawaida nikajua basi vitakuwa na akili..😂😂..hivi hawamuoni Aliyah alivyo mzuri,with a career n still yupo humble

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le 9 месяцев назад +1

      Wachambe asa haoo😂😂😂

    • @neemaberny3598
      @neemaberny3598 9 месяцев назад

      @@nahlahassan-fd6le Yani wanachekesha kweli mtu hata ajui anataka Nini eti nataka awe anafanya kazi analipwa laki sita Kwa mwezi🤣🤣 Sasa mtu anafanya biashara anaingiza 50k kwa siku anaona haitoshi🤣..yeye anakuambia anaingiza laki 3 kwa siku ...kaja Mr right kutafuta wa laki 6 Kwa mwezi...Huku muonekano wake wa aftatu🤣Yani anaingiza millioni 9 Kwa mwezi kaja kusaka bwana kwenye runinga🤣

  • @sidikassim6759
    @sidikassim6759 9 месяцев назад +1

    Nyie wanwke mtaishia kutiwa mimba tu mdangnywa na masharo nnje kla sku

  • @lucylesso7920
    @lucylesso7920 9 месяцев назад +6

    Big up Gwe uko mkweli kuhusu kipato chako

  • @alecheconradninje6183
    @alecheconradninje6183 9 месяцев назад +14

    Nyie hao wanawake amuwapi elim atutokuja hapo Mr light…..wapo kwa ajir ya pesa na sio mwanaume bora wa maisha…..wamejawa ujinga kichwani

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 9 месяцев назад

      😊😊 njoo mr right wang kippato tutatumia changu kkuendeleza zaid

    • @alecheconradninje6183
      @alecheconradninje6183 9 месяцев назад

      @@dorcaskidoti249 i have cash my dear….kitu pekee nisichokipenda kuegamia kwa ela za mwanamke uwaga kuna kamda heshim inapotea trust me or not cjuagi vijana wenzangu wanamudu vipi kwa mwanamke mwenye ela…..🤔 na wala sitaki kujua!! Nikikuchukua first trip Paris🤣🤣

    • @ananiamwatebela3159
      @ananiamwatebela3159 9 месяцев назад

      Kwanza hajitambui

    • @aminamwivita7690
      @aminamwivita7690 9 месяцев назад

      True 🎉🎉🎉❤❤

  • @mchellenmbunge55
    @mchellenmbunge55 9 месяцев назад +5

    Diana nimempenda sana. Mwanaume haeleweki.

  • @hawababy120
    @hawababy120 9 месяцев назад +5

    Hio mnashushia na soda nimeipenda❤🇧🇮

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 9 месяцев назад +1

    KUMBE MNAHANGALIA PESA NYINYI WANAWAKE SEHEMU ZA SITALEHE BONGO NI MLIMANI SITE TU MPUMBAVU JAMAA KAKOSA YOTE😂😂😂

  • @PureSoul-rf4xd
    @PureSoul-rf4xd 4 месяца назад

    Kwani unaenda kwa mwanaume ukakizimaitaji yako jamani wadada acheni hizo mambo eti unategemea mshara wa manaume lkaki sita,wakati wewe kwa siku unaingiza laki tatu😮😮 kama siyo matope nini hii jamani

  • @dominicksarikiaely8712
    @dominicksarikiaely8712 Месяц назад

    Naomba kuuliza hichi kipindi ni kwel au comedy

  • @mwasitinassor-lh4nx
    @mwasitinassor-lh4nx 14 дней назад

    Www una kaa viwege muongo una itwa faiza😂😂😂

  • @fredrickkaweu
    @fredrickkaweu 4 месяца назад

    Deana umeanza uzuri mwisho unaharibu dah!mr right usiharibu na ww cheza ww kama ww

  • @jacobshauri4799
    @jacobshauri4799 9 месяцев назад

    Zarish hajui anachotafuta upuzi ndio mwingi

  • @IddaJovent
    @IddaJovent Месяц назад

    Afu ngweee unaonekan umri unazd 23 bhan ach uong

  • @ellymwampashe8927
    @ellymwampashe8927 9 месяцев назад +3

    Hata ningekuwa dayana ningemuacha. Msimamo hamna🙌

  • @fistonnibigira167
    @fistonnibigira167 7 месяцев назад

    Big mistake my brother love the one you love you🇧🇮🇿🇦

  • @samochristopherroche9953
    @samochristopherroche9953 9 месяцев назад

    Haka kajamaa kajinga...unaacha aliekuchagua unarukia nguruwe

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 9 месяцев назад +2

    Uyu dem mshamba sana aisee wala hana patoilo

  • @ElsonAsimwe
    @ElsonAsimwe 8 месяцев назад

    Hichi kipindi kinanikumbusha upepo wa kisulisuli

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 9 месяцев назад +8

    Tuwekeeni na Sisi mr right hapa online utafute wenzaaaa❤😊

    • @ozuabrahamu8079
      @ozuabrahamu8079 9 месяцев назад +1

      Niko hp Mr right wako

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 9 месяцев назад

      @@ozuabrahamu8079 😊😊😊

    • @Karyma-g3n
      @Karyma-g3n 9 месяцев назад

      Kwl watuekee n ss tupate

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 9 месяцев назад

      @@Karyma-g3n kumbe mlioko single niweng😂😂😂🙌

    • @BEATRISFHEMAHEMA
      @BEATRISFHEMAHEMA 9 месяцев назад

      Dorcas wataka mwenzaa yupo kaka yangu njoo akuoee😂😂

  • @fredrickkaweu
    @fredrickkaweu 4 месяца назад

    Mtakayote mkosa yote mr✅
    Kuwa makini uloyataka umeyapata

  • @mubaraqotyeno9061
    @mubaraqotyeno9061 9 месяцев назад +3

    Wanawake wanaa OVYOOO Kunavitu vinTaka moyo sana

  • @lesilale
    @lesilale 7 месяцев назад

    kilaza hesabu hawezi. cjaona mtu anaingiza lak 3 kwa siku

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 9 месяцев назад +2

    Zarish😂😂😂😂milion 9 kwa mwez dada umevaa wigi halieleweki wigi la elf 80 hata lace frontal huna umevaa nguo ya elf 28000 kariakoo hebu tuache bwana🤣

  • @bwetungegodfrey4131
    @bwetungegodfrey4131 9 месяцев назад +2

    Naona Mnyasa kajikanyaga

  • @yassingawaza5097
    @yassingawaza5097 5 месяцев назад

    😂😂😂awa wanawak wengin mashetan daaaa ila gwee tafuta Ela 😢

  • @alfredrweyemamu7807
    @alfredrweyemamu7807 9 месяцев назад +1

    Zalish simuamin hata kidogo yaani ni 300k kwa siku 😮 ila mchizi pambana mkali wanawake waliowengi ndio walivo so Mungu yupo asee pull up MINGWE

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 9 месяцев назад +5

    Nakipenda sana hichii kipindiiiii mubarikiwe sana🙏🤲❤❤❤❤

  • @jacklinekavishe4995
    @jacklinekavishe4995 9 месяцев назад +2

    Hao warembo bado hwajajua Chenye wamefata Hey nawaliocha vitumbo njee 😅😅😅😅

  • @salomevenance9555
    @salomevenance9555 Месяц назад

    Huyu kaka malaya sio muoaji mchafuzi tu

  • @neemamkuchu
    @neemamkuchu 9 месяцев назад

    Mzaramo wangu ad analia jomon mapenz yanauma 😂😂

  • @leemakonnengava9866
    @leemakonnengava9866 7 месяцев назад

    Zarish mpenda pesa ...Si mapenzi anataka

  • @niyonkuruconsolee7820
    @niyonkuruconsolee7820 9 месяцев назад +1

    Zarish mbona muongo sana jmn??laki tatu per day????😅😅😅😅

  • @subbyraibrahimu250
    @subbyraibrahimu250 9 месяцев назад

    Hivi huyu zarish yuko sawa kwel ssa anajuaj kipato anachoingiza huyu mwanaume kwa kumuangalia tu mapenz cyo pesa zarish acha ushamba

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 8 месяцев назад

    Naomba kujua kama haya ni maigizo au ni ukweli?

  • @polycarpchuwa2276
    @polycarpchuwa2276 9 месяцев назад +2

    Si mzime backsounds .
    Its now annoying.

    • @ozuabrahamu8079
      @ozuabrahamu8079 9 месяцев назад

      Fact wanazngua xn mziki mkubwa kuliko hta kinachoendlea hakisikiki

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 9 месяцев назад +2

    Huyu kaka kanichekesha spo kwenye chimama

  • @Luckynayza
    @Luckynayza 9 месяцев назад +5

    Demu anasura mbaya kama uji ulio lala

  • @preceenosent6324
    @preceenosent6324 9 месяцев назад +2

    Zarishi Hana kipato hicho muongo kbs

  • @chanceakimana405
    @chanceakimana405 9 месяцев назад +1

    Hawa kweli nawaitaj mausiyano serious?ao ni umalaya

  • @innocentkanyata9923
    @innocentkanyata9923 9 месяцев назад

    Mc ajaribu kuheshim utu wa mtu

  • @atomphoton5000
    @atomphoton5000 9 месяцев назад +3

    Gara B hadi huu msimu uishe asipoangalia atavunja nda yake, Aaliyah ni kazuri na ana kapersonality moja amazing sana

    • @faithfaith-zr6gz
      @faithfaith-zr6gz 9 месяцев назад +2

      😂😂 Ni mzuri Sana Aliyah, Lakini amfikii mke wa GARA ni mzuriiiiiiiii ntakuambia ni mzuriiii ukimuona live lazima useme....

    • @sarazacharia
      @sarazacharia 9 месяцев назад

      @@faithfaith-zr6gz 😂😂😂

  • @miriamchirwa7659
    @miriamchirwa7659 3 месяца назад

    Mmmh huyu wajina kazingua

  • @BarakaLekasy
    @BarakaLekasy 5 месяцев назад

    Hamna mke hapo sanuka mr ngwee

  • @AshuraKigoma-vf7wb
    @AshuraKigoma-vf7wb 9 месяцев назад +2

    Huyu muongo

  • @LovelyCoastline-il1lr
    @LovelyCoastline-il1lr 7 месяцев назад

    Miaka 23 mbona kama sio kweli

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 9 месяцев назад +1

    Unaweza ukafanya kazi ofcn na ukawa unapokea lak mbili ko sio kila anafanya kaz ofcn anahela, kwanza ni kugumu bora kujiajiri

  • @Samuellukumy
    @Samuellukumy 4 месяца назад

    Huyo ndio mwanamke

  • @salummakenzi4846
    @salummakenzi4846 9 месяцев назад +2

    Mr Right Ajielewi

  • @ammydaniel8947
    @ammydaniel8947 9 месяцев назад +2

    Mr ukiulizwa tena kihusu mtoto we sema sina! Haina haja ya kujieleza san

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 9 месяцев назад +1

      Ķabisa

    • @YFM-rq9td
      @YFM-rq9td 7 месяцев назад

      Jamaa ana changamoto kisaikolojia ,,si wote wanaojua kuchanganua yapi ya kusema na yapi ya kumeza,,,,

  • @HASSANTL-m7c
    @HASSANTL-m7c 9 месяцев назад +7

    Jamaa mbwa kweli unamuacha dayana unang'ang'ania neli atakupeleka wap uenda hata dayana hana biashara zake angekusevu kidog kwenye maisha yako 😮

    • @MtegekiKaijage
      @MtegekiKaijage 9 месяцев назад +1

      Mr Ngwe kazingua mimi ningesepa na dayana no matter chaguo la kwanza limeshafeli. Dayana popote ulipo ukuje kwangu tupambane maisha yasonge

  • @al-amoodysaid2859
    @al-amoodysaid2859 7 месяцев назад

    Munaharibu kipindi

  • @ngwacahnyagwaswa9979
    @ngwacahnyagwaswa9979 9 месяцев назад +1

    Mshika mawili mmoja huponyoka

  • @HassanMsawa-h1r
    @HassanMsawa-h1r 6 месяцев назад

    hivi ukumbi uko wap

  • @NASMEDIATV
    @NASMEDIATV 9 месяцев назад +2

    😂😂😂😂weee zombi{Aaliya na Diamond❤} Mc Gara noma sana

  • @SerenakaremboDzombo
    @SerenakaremboDzombo 8 месяцев назад

    Huyu mdada kiwigi anaboo sasa kama hela unazo si utafute wakukuoenda tu mungu awatolee njia zaid sasa huyu anavyotaka n hela mshenzi sana 🙄🙄😏😏kiwigi ka chandarua

  • @kennedjohn5785
    @kennedjohn5785 9 месяцев назад +5

    Hizo soda mngeweka take away ingependeza zaidi na kuleta comfortability katikka kuishika/kuibeba na kuepuka kuvunjikabkwa hao walioweka kwenye podium

    • @ilhamswaleh3428
      @ilhamswaleh3428 9 месяцев назад

      Kabisa yaani ikiteleza hapo😂

    • @andrewmmbaga1665
      @andrewmmbaga1665 9 месяцев назад

      Ili mtu akikataliwa asijekurusha chup😂

  • @ChillumbaEdward-nz9xr
    @ChillumbaEdward-nz9xr 6 месяцев назад

    Bora amekosa wote

  • @YFM-rq9td
    @YFM-rq9td 7 месяцев назад

    Jina tu 😂😂😂😂,,,kama anakamua maziwa ya Fisi😂😂😂 ila wazazi wakati mwingine huwa wanatukosea sana,,,wawe wanasubiri tuwe wakubwa tuchague majina😂😂😂

  • @ZenaSelemani-s6h
    @ZenaSelemani-s6h 9 месяцев назад +1

    Mbona ngwee anatuchanganya

  • @AminaAminaa-ox7ft
    @AminaAminaa-ox7ft Месяц назад

    Chimama chibaba 😂😂

  • @YFM-rq9td
    @YFM-rq9td 7 месяцев назад

    Kunywa Soda yoyote et kwasababu ni Ofa ,,hii ni moja ya dalili za Umasikini😂😂😂

  • @RoseNyasa-zi3fr
    @RoseNyasa-zi3fr 3 месяца назад

    Hahahaha zarishi hamnazo

  • @bahatielias6443
    @bahatielias6443 9 месяцев назад +1

    Duu Kuna wanawake wajinga na wapuuzi kweli jamani

  • @fatumamfumia4507
    @fatumamfumia4507 9 месяцев назад

    Hivi hapa kwenye Mr Wright kwani watu wanakuja kutafuta MUME au ATM. Yaani mume ni KITEGA UCHUMI SASA🙄 I WISH NA MIMI I CAN GET ONE

  • @MwanangeniAyubu-nn1hw
    @MwanangeniAyubu-nn1hw 8 месяцев назад

    Huna baya hujarogwa wanawake ukimpenda mtu usijaj kipato chake maelewani kwanza rizki mungu anatoa usimdharau usiemjua

  • @robsonwisdom1994
    @robsonwisdom1994 9 месяцев назад +1

    Kwel wanawake hawajui wanataka nini huyu demu msenge kwel

  • @alecheconradninje6183
    @alecheconradninje6183 9 месяцев назад +2

    Ngwee kaferi kukubwa😂😂😂

  • @WitnessJjk
    @WitnessJjk 9 месяцев назад

    wambie wadada wako wasifikirie pesa sana kuliko upendo,naunaweza pata aliejitisheleza napesa ikawa shida mwishoni,pesa tafuteni pmj