ALIVYOVAA TU SIWEZI KUWA NAE, ANAONEKANA MUONGO, HANIFIKII KWA PESA - HELLO MR. RIGHT
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
Acheni utoto jamani, you can make him what you like, change him as you wish, mwamume wako unamtengeneza wewe vile unataka awe, , wewe mwenyewe hujui hata kuvaa, na your motions is like umeambiwa mguu tembea...gwaride, kuvaa hakuhusu kabisa ukimpenda utambadilisha. Ninyi ndio mnaotaka vinavyong'aa , waume za watu ambao wametengenezwa na wake zao mkiwaona mnafikiri hao wake zao waliwakuta hivyo? Noo ..unaanza kitengeneza mwenyewe, na mwingine si kama hana hela, anazo ila ndio hivyo wengine walivyoumbwa, km ambavyo pia kuna mabinti wasiojua kuvaa wanasaidiwa na wapenzi wao wakiume..kwa kutumia hela zake hizo hizo unamfanyia shopping ya nguo unazotaka wewe sasa avae, acheni ujinga, nikija hapo nitawapa fimbo
Yani nimecheka utawachapa🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂mbona fimboo😂😂😂
true
Point, wadada wengi apo ni watoto hawana future walanini wanatafuta mtu wa kumuumiza tuu kwa kutumia kipato chake. Upendo wa kweli haujali muonekano wala kazi
😂😂😂😂😂
Zarish, pata mume upate heshima, wacha ujinga, angalia siku hazigandi your not growing younger but older...be carefully
Uyo Zaylish stupid muongo atuache😂😂😂
Nampenda sana luludiva anajielewa sana huyu dada❤❤❤❤❤
Maswali yenu yanawafanya mr light kukataliwa mnachokonoa sana punguzeni kuchokonoa mtakosa watu wa kuja
Zaylish unatuchukuliaje mawakala😄😄😄 kwendraaaaaaa
Hello my
Sharish ni mpumbavu tyu ana lolote amna cha million wala laki tatu maisha yake ya kuunga unga tyuuu amna lolote 😂😂😂😂😂😂
Mc kuna namna una disappoint yaanunazingua unashindwa kuficha emotion zako juu ya mr.right unamachaguo yako na unataka hao wadada waendane na mtazamo wako, waahe wachague don't interfere, don't show your emotion, fanya kaz ako
Ni kweli na anaumiza kisaikologia siyo poa Kikweli!!
Nahisi kuwa ni space ilikuishia ungeendelea kuachapa qwa Maneno😂😂😂
Nahisi umechelewa kujua
No anatakiwa kuwashawishi maana lasivyo wataganda hapo kama visiki
@@marydavinembeki9482🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hawa wasichana akili hawana haki tena
Kipindi kizuri lakini kwan huku nje hakuna wachumba😂😂
Et hahahaha
😂😂😂😂hawachawaona eti ikabidi wajilete huku mbele
Waongo huko mitaani 😂😂😂
Uyu Jamaa Amejawa Tamaa Asitaili Kabisa Kuoa Kwasababu Gani Alipoona Uyo Demu Kitako Kinene Kidogo Akili Zake Zote Zimeamia Kule Kwenye Makalio Hana Msimamo Uyo Malaya Wa Kiume Afai
Huyu dada muongo et kwa siku anaingiza raki tatu jamani acha ujinga kuwa na heshina dada
Anaona laki tatu rahisi kuziingiza??
Ni ajabu sana
Anaweza akawa ni kweli anaingiza hiyo laki 3 sijakataa, wapo wanaoingiza hata million kwa ukweli inategemea mitego au biashara zako unazofanya inawezekana kabisa hilo, ila sasa Mr right anakosekana! Ndio mana wako hapo ili life ikamilike siku ya kumpata huyo Mr right. Pesa iko but lonely no Hubby no Bf and no life Patner, can you turn your 3 laki to be Mr right? The answer is a big no! So play your card very well, happy life it's not about a Man with lots of money definitely no!!!
Season hii mna wasichana wa HOVYO ambao hawawezi kujenga Hoja.
Shoga kaumbuka anatangaza anabiashara kibao lakini hatamaesabu hayapandi kiufupi hanahata biashara uyo
Kafeli😂
9million per month my gender can lie on the daylight 😢. Basi hata Our Kenyan president halipwi 9 million 😂
Kaongo hako,aingize that much afu aje ahangaike kwa mr Right
Napenda sana hiki kipindi yani vle ambavyo mnafanya kazi yenu miye yanifurahisha tu.... Nina matamanio ya kukutana na huyo Mc ili nami awe mentor wangu... Napenda vle anavyoendesha kipindi hicho mpaka tamati yake... Ila miye Mkenya lakini ckipendi hicho cha Kenya kwa vile wanavyoendesha Mr Right yao.... Yote tisa kumi ni kwamba muendelee vivo hivo... Salamu zangu zifikie Mc tafadali... Shukran
Kwan mahusiano n biashara et kipato chake hakinikiz hiki kidada kinanyodo kwa staili hio utadoda😅 mwanaume akikupa hata kidg unatakiwa kulidhika bna
Ani huyo jamaa Pimbi Kichizi Ase hana Msimamo hamna Kitu kizur km upatr mwanamke anaekupendaa Anamuachaje dayana Kitu dabo difu Ikoo..😂😂😂😂😂
Yaani jamaa kazingua sana kamdharilisha sana Dayana.. Nimefurahi kakosa
Alafu Dayana mzuri mno ❤❤❤❤
kaka nimempenda huyu because anaongea ukweli
Na mademu wanashida ila mr. Right mshenzi sana ety😢😢😢sasa unatafuta mtu na diana mzuri na kakupenda unaanza ushenzi wa golden girl koma mfyuu😏😏😏
Unapendwaje siku moja bhana, hii n business kama business zingine😁😁
Msenge uyu nae
Huyo zarish mwenyewe wigi la elfu 5 chaaa akwendreeeee,ajui anachokiongea
uyu kaka bado ana maumivu. lkn nilichokipenda zaidi kwake ni muwazi mnooo.hana uwongo kabsa
Wananichekesha Hawa balaa....ngoja wafikishe 30 waone....watazoa hata wazee yani
Muongo huyo binti anachanganya mauzo na kipato..... 😊
Dada kajikanyaga mpaka aibu naona mimi 😂😂😂😂 maskini Ngwee
Zarishi punguza mashauzi , sura mbovu ka bakuli la bati lililopondwapondwa
😂😂kabisaaa😅
Huyo dada hata hesabu hajui anajishaua mpaka anaharibu
Natanguliza na samahani kwanza naomba tuboresshe
Kama kutakuwa na kupiga cm
Kwa Whatsapp kuchangiya
Mada hii ama kuliza maswali
Itakuwa uzuri sn kwasababu
Sisi wengine tuko nje ya nchi
Natamani sana kama itaboresha Tena Kwa video call
Pls naombo mc
Madada yanazingua majinga hayo . Fukuza hapo wakatengeneze wanaume wao
Zarish na hyo sur mbov unaon uwez kuhudumiw na huyo mkaka ungekuw mremb duh!! Dunian kusingekalik jaman
Huyu kaka pimbii ajielewi angemchukua dayana tumempendaaa sanaaa jinga hilo
Huyo demu mjinga sana, hajielewi hata kidogo
Dayana ni wife Material jamaa kazingua SANA, kwanza point kasema yeye yupo tayari kutoka nae chini, na ukiangalia namna alivowasha taa alijitafakari sana kachelewa kuwasha taa... Halafu kajiaibisha sana kaonesha hana msimao
Hawa mabinti nilichogundua ni kwamba wanatafuta ma bank teller😂😂 yani mtu anaechomokea anaingia ofisini na kutoka hata kama anapokea laki tatu na nusu...😂😂 Yani jinsi walivyo wakawaida nikajua basi vitakuwa na akili..😂😂..hivi hawamuoni Aliyah alivyo mzuri,with a career n still yupo humble
Wachambe asa haoo😂😂😂
@@nahlahassan-fd6le Yani wanachekesha kweli mtu hata ajui anataka Nini eti nataka awe anafanya kazi analipwa laki sita Kwa mwezi🤣🤣 Sasa mtu anafanya biashara anaingiza 50k kwa siku anaona haitoshi🤣..yeye anakuambia anaingiza laki 3 kwa siku ...kaja Mr right kutafuta wa laki 6 Kwa mwezi...Huku muonekano wake wa aftatu🤣Yani anaingiza millioni 9 Kwa mwezi kaja kusaka bwana kwenye runinga🤣
Nyie wanwke mtaishia kutiwa mimba tu mdangnywa na masharo nnje kla sku
Big up Gwe uko mkweli kuhusu kipato chako
Nyie hao wanawake amuwapi elim atutokuja hapo Mr light…..wapo kwa ajir ya pesa na sio mwanaume bora wa maisha…..wamejawa ujinga kichwani
😊😊 njoo mr right wang kippato tutatumia changu kkuendeleza zaid
@@dorcaskidoti249 i have cash my dear….kitu pekee nisichokipenda kuegamia kwa ela za mwanamke uwaga kuna kamda heshim inapotea trust me or not cjuagi vijana wenzangu wanamudu vipi kwa mwanamke mwenye ela…..🤔 na wala sitaki kujua!! Nikikuchukua first trip Paris🤣🤣
Kwanza hajitambui
True 🎉🎉🎉❤❤
Diana nimempenda sana. Mwanaume haeleweki.
Hio mnashushia na soda nimeipenda❤🇧🇮
KUMBE MNAHANGALIA PESA NYINYI WANAWAKE SEHEMU ZA SITALEHE BONGO NI MLIMANI SITE TU MPUMBAVU JAMAA KAKOSA YOTE😂😂😂
Kwani unaenda kwa mwanaume ukakizimaitaji yako jamani wadada acheni hizo mambo eti unategemea mshara wa manaume lkaki sita,wakati wewe kwa siku unaingiza laki tatu😮😮 kama siyo matope nini hii jamani
Naomba kuuliza hichi kipindi ni kwel au comedy
Www una kaa viwege muongo una itwa faiza😂😂😂
Deana umeanza uzuri mwisho unaharibu dah!mr right usiharibu na ww cheza ww kama ww
Zarish hajui anachotafuta upuzi ndio mwingi
Afu ngweee unaonekan umri unazd 23 bhan ach uong
Hata ningekuwa dayana ningemuacha. Msimamo hamna🙌
Big mistake my brother love the one you love you🇧🇮🇿🇦
Haka kajamaa kajinga...unaacha aliekuchagua unarukia nguruwe
Uyu dem mshamba sana aisee wala hana patoilo
Hichi kipindi kinanikumbusha upepo wa kisulisuli
Tuwekeeni na Sisi mr right hapa online utafute wenzaaaa❤😊
Niko hp Mr right wako
@@ozuabrahamu8079 😊😊😊
Kwl watuekee n ss tupate
@@Karyma-g3n kumbe mlioko single niweng😂😂😂🙌
Dorcas wataka mwenzaa yupo kaka yangu njoo akuoee😂😂
Mtakayote mkosa yote mr✅
Kuwa makini uloyataka umeyapata
Wanawake wanaa OVYOOO Kunavitu vinTaka moyo sana
kilaza hesabu hawezi. cjaona mtu anaingiza lak 3 kwa siku
Zarish😂😂😂😂milion 9 kwa mwez dada umevaa wigi halieleweki wigi la elf 80 hata lace frontal huna umevaa nguo ya elf 28000 kariakoo hebu tuache bwana🤣
😂😂
Naona Mnyasa kajikanyaga
😂😂😂awa wanawak wengin mashetan daaaa ila gwee tafuta Ela 😢
Zalish simuamin hata kidogo yaani ni 300k kwa siku 😮 ila mchizi pambana mkali wanawake waliowengi ndio walivo so Mungu yupo asee pull up MINGWE
Nakipenda sana hichii kipindiiiii mubarikiwe sana🙏🤲❤❤❤❤
Hao warembo bado hwajajua Chenye wamefata Hey nawaliocha vitumbo njee 😅😅😅😅
Huyu kaka malaya sio muoaji mchafuzi tu
Mzaramo wangu ad analia jomon mapenz yanauma 😂😂
Zarish mpenda pesa ...Si mapenzi anataka
Zarish mbona muongo sana jmn??laki tatu per day????😅😅😅😅
Hivi huyu zarish yuko sawa kwel ssa anajuaj kipato anachoingiza huyu mwanaume kwa kumuangalia tu mapenz cyo pesa zarish acha ushamba
Naomba kujua kama haya ni maigizo au ni ukweli?
Si mzime backsounds .
Its now annoying.
Fact wanazngua xn mziki mkubwa kuliko hta kinachoendlea hakisikiki
Huyu kaka kanichekesha spo kwenye chimama
Demu anasura mbaya kama uji ulio lala
😂😂😂😂😂wanajiona humu afu wa hovyo tu
Hawajielewi kabisaa
😅😅😅😅😅
Zarishi Hana kipato hicho muongo kbs
Hawa kweli nawaitaj mausiyano serious?ao ni umalaya
Mc ajaribu kuheshim utu wa mtu
Gara B hadi huu msimu uishe asipoangalia atavunja nda yake, Aaliyah ni kazuri na ana kapersonality moja amazing sana
😂😂 Ni mzuri Sana Aliyah, Lakini amfikii mke wa GARA ni mzuriiiiiiiii ntakuambia ni mzuriiii ukimuona live lazima useme....
@@faithfaith-zr6gz 😂😂😂
Mmmh huyu wajina kazingua
Hamna mke hapo sanuka mr ngwee
Huyu muongo
Miaka 23 mbona kama sio kweli
Unaweza ukafanya kazi ofcn na ukawa unapokea lak mbili ko sio kila anafanya kaz ofcn anahela, kwanza ni kugumu bora kujiajiri
Huyo ndio mwanamke
Mr Right Ajielewi
Mr ukiulizwa tena kihusu mtoto we sema sina! Haina haja ya kujieleza san
Ķabisa
Jamaa ana changamoto kisaikolojia ,,si wote wanaojua kuchanganua yapi ya kusema na yapi ya kumeza,,,,
Jamaa mbwa kweli unamuacha dayana unang'ang'ania neli atakupeleka wap uenda hata dayana hana biashara zake angekusevu kidog kwenye maisha yako 😮
Mr Ngwe kazingua mimi ningesepa na dayana no matter chaguo la kwanza limeshafeli. Dayana popote ulipo ukuje kwangu tupambane maisha yasonge
Munaharibu kipindi
Mshika mawili mmoja huponyoka
hivi ukumbi uko wap
😂😂😂😂weee zombi{Aaliya na Diamond❤} Mc Gara noma sana
Huyu mdada kiwigi anaboo sasa kama hela unazo si utafute wakukuoenda tu mungu awatolee njia zaid sasa huyu anavyotaka n hela mshenzi sana 🙄🙄😏😏kiwigi ka chandarua
Hizo soda mngeweka take away ingependeza zaidi na kuleta comfortability katikka kuishika/kuibeba na kuepuka kuvunjikabkwa hao walioweka kwenye podium
Kabisa yaani ikiteleza hapo😂
Ili mtu akikataliwa asijekurusha chup😂
Bora amekosa wote
Jina tu 😂😂😂😂,,,kama anakamua maziwa ya Fisi😂😂😂 ila wazazi wakati mwingine huwa wanatukosea sana,,,wawe wanasubiri tuwe wakubwa tuchague majina😂😂😂
Mbona ngwee anatuchanganya
Chimama chibaba 😂😂
Kunywa Soda yoyote et kwasababu ni Ofa ,,hii ni moja ya dalili za Umasikini😂😂😂
Hahahaha zarishi hamnazo
Duu Kuna wanawake wajinga na wapuuzi kweli jamani
Hivi hapa kwenye Mr Wright kwani watu wanakuja kutafuta MUME au ATM. Yaani mume ni KITEGA UCHUMI SASA🙄 I WISH NA MIMI I CAN GET ONE
Huna baya hujarogwa wanawake ukimpenda mtu usijaj kipato chake maelewani kwanza rizki mungu anatoa usimdharau usiemjua
Kwel wanawake hawajui wanataka nini huyu demu msenge kwel
Ngwee kaferi kukubwa😂😂😂
wambie wadada wako wasifikirie pesa sana kuliko upendo,naunaweza pata aliejitisheleza napesa ikawa shida mwishoni,pesa tafuteni pmj