HILI SASA NI BALAA WAREMBO 12 WAWASHA TAA | MR RIGHT AFANYA MAAMUZI HAYA | HAUWEZI KUAMINI
HTML-код
- Опубликовано: 23 фев 2024
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder Развлечения
wananyanduana ata mrejeshoo hawaletiii kama wameowana maisha yao yapoje toka wameowanaaa... wanatuzinguaaa tu... awa
Kuna mrembo mmoja anaitwa. Nasrah Daah!! Huyo ni mrembo yani kanivaa mzima mzima❤ she so gorgeous 🔥
Eliza ndugu yangu jiongeze, kwauelewa wangu mdogo hata haokina Gara B na wenzie wamekuchoka shost.
Fact
Kabc wameshamchoka
😂😂
Kwanin eliza😂
Yan majib anayopew eliza ni wazi wamemchok apo kw ujuaji wake😂😂c ukfny shuhul zngn we bibi😂
Kwl 😂
ElIZA NDO ANACHANGAMSHAGA MR LIGHT😂😂😂
Much love from Kenya guys like back ❤wow I like this
Kuna wakati Eliza alisema wauza nguo wkt mwingine hawana hela maana sio kila siku wateja wananunua nguo. Nashangaa sana leo anamtaka muuza nguo
Ni Fala sana huyo dem
Ajielew
@@baimarrajahbuayan6237 sijui hakuna namna ya kumshusha hapo mbn anazngua sana huyo dada anaharbu had content ya kipindi
😂😂😂😂
@@binthkhamis8042 kwanza ni li shangazi 😂 nae najkuta -25
Mwijaku angekuwa hapa angefurahisha sana
eliza mwanaume ambaye atakuoa ana kazi kubwa sana
Acha tu yaani natamani kumuona atakaemuoa natamani kumjua
Sasa eliza dada angu hapo mko kweny mashindano n kupambania ad upate ukikata tamaa utazeekea apo
Elizabeth comedia😅😅😅😅 nakupenda hivohivo
Maembe hayo chagueni vijana😅
Dunia imeisha
Tatizo Eliza anamdomo sana Mr right wote wanaokuja hapo huwa wanaangalia kipindi nakwenda moja kwa moja kwamwanamke anaempenda ila Eliza utakesha mdomo punguza nakujifanya unataka hela sana wanaume wanataka mwanamke anewaza maendeleo na sio urembo kitwa
Kwanza kazee nan anakataka😂😂😂
Mtihani up mwenyezimungu atuifadh na vizazivyetuu
Aliyah wamuezea sana Eliza
Uyo mzee sijui eliza si akalee wajukuu ahache kusumbua warembo😂😂😂😂😂
Tanzanian show is dope ,one that you can watch with kids .Kenyan maze apana haina heshima
😂😂😂manzeee I want to join them
Kuzur hakikos kasoro elza umezid my dear
Kipindi kizuri sana kimenivutia jamani prosses Iko kujiunga apo nataka mume .
Pole yake
Kabisa namuunga mkono aliyah kumfamisha Eliza atazeekea apo kwenye podiam aliyah kiboko yao hongera nawapenda nyote pia lulu na mc nawapenda bure # Eliza naomba mtafute ule stuka mwanaangu atavumilia huo ubibi wakwako
Eliza unamiaka mingapi hapo una mdomo sana khaa kweli kizur hakikosi kasoro
Uwiiiiiiiiii 😮
Elizabeth pole sana utazeekea hapo hpo na mdomo wako mchafu
Mmmh soko la kujiuza kabisa
Jamaa mnyarwanda kabisa... nao wamesha ingia tena wengi nchini Dodoma na mwanza wamejaa...
Lakini mzuri unaona
Ila bongo bwAna eti hana matiti nafikilia angekua hana shepu pia sijui ingekuaje Tanzania nchi yangu nakupenda sana 😂😂
Wanaenda Sana hawa wawili
😅Hhhhh eliza mwenyew kama mzimu hhh
Mr light kajua kuchagua namimi niliona kabla huyo wanaendana
Ivi kumbe hawa viumbe ni kama nyanya sokoni🤔 unachagua chenye unataka!😂😂
Huyo eliza hata nipewe nimle na kachumbari hawezi shuka tumboni 😂😂
❤❤
Eliza fanya uende kwa adunje,ukasafishe nyota so kwa gundu hili😂😂😂😂😂
Mnawajua wajaluo vizuri.
Kina ndakutemurupanga😂😂😂😂😂
Wanawake we mbamba kwa maneno mhuuu mcharuko mno
Mbona Hilo balaah
Aliza Unajiona Kama Hakuna Zaidi Yake ila Mchaguwa Wengi..Mwisho.Huondokea Pabovu...?????
❤❤❤
Kama ingekua Mimi nisinge chagua 😂😂😂 hata mmoja ndo maana Wana washa taaa wooote ... Nani abaki Elizabeth mtamlaumu anao pambana nao 😂😂😂😂😂
Eliza hawez kumpat mwnaume
Moyo wa eliza umemdondokea mtoto wawatu😅😅
Eliza Ana kihereher sana shida anakujata rihana
Eliza ana tatizo la kiafya mchunguze ni vzr 😂😂😂
Wamekomaa sn hao wadada mi singechagia😅
Eliza arudi tu kwenu unachosha san
Nyie Eliza hajielew jmn aaaah aboa😏
Wanajichukulia wanawake tu kaa karanga vile😅😊
Eliza unamiaka mingapi hpo maana weeeeeee unamdomo sna pole yko mrembo😅😅😅😅😅😅
Eliza kivuruge jmn hahahah ana gunduuu uyoo
Nataka kushiriki nikiwa nje ya tz
Hii ni platform nzuri sana ya kuwakutanisha watu wawili walio serious maana haya mapenz siku hiz unaweza serious kwa mwenzio kumbe yeye hata hayupo serious. Natamani sana na mimi nipate mwanamke humu alie serious humu nifunge nae ndoa kabisa hata kabla ya kuanza kuishi pamoja🙏😊
Huyu Eliza anaonekana ni mtata Sana 🤣 atazeekea hapo kwenye podium
😂😂😂😂😂 Eliza
Eliza kama chizi yan alikuja mpole kumbe chenga umeshazeeka eliza tuliza wenge umri hauruhusu halafu hapo unashindana na watoto wa 2000 tulia shangazi😂😂😂😂
Si mtoeni Eliza jamani tumemchoka anaziba nafasi tu aingie mdada mwingine hapo khaa
Jmn habar zenu humu ndani,, ni siku gani mnafanya hiyo mr right na ni wapi????
Eliza jirekebishe mama hakuna mwanaume anapenda mwanamke mwenye hasira na kuongea sana
😂😂 siku akichaguliwa Eliza mnambie 😂😂
😂😂😂😂😂😂
😀😀
Hahahhaaaaaa zarish jaman ndo kusimama Kama uko jeshini umechoka na mguu pande hahaaaa nimechoka sana
Mmejua kumshushua uyo kibibi eliza 😅😅😅 alaf inaonekana anataka mwanamme ambae yeye ndio atamtawala na nikitu ambacho akitakiwi.utazeekea hapo hapo ww bibi
Eliza kawasha taa😮
Kuna warembo wanauzuria kama wameajiriwa hahaha
Uyu Eliza sijui Ako na shida gn upo kwenye stage ya miss right alafu unataka uwashe taa mwenyewe nonsense
Eliza hbr ya shule aliogopa umande pia Hana uzr wowote
Eliza nakuonea haibu kabisa sio siri wamekuchoka hapo kwenye MR Right
Iwe live jaman na sie wa RUclips muwe mnasoma comment zetu
Eliza kanuna hatarii 😂😂😂😂😂
Mwaka huu bibi Eliza atakosa hatapakuchungulia
Eliza unaona wanakurusha roho 😂
Kw hawa mademu waliopo leo mm ningeondoka bila ata y kuchagua lkn c kw kimbaumbau icho hakina ata maziwa loo😂 km mwananume mwenzangu ashindwe😂
😂😂😂😂😂😂 ndio kashapenda mwenzi kibaya kwako tu
Eliza abaki hapo mpaka mwaka uishe aendelee kutuchangamsha
Hivi nikwer wanapendan kabis au mnaigiza tu😮😮
Hii ni show,nahisi imeshapangwa
Tatizo eliza anajiona mzur sana hiyo rangi inamdanganya yan atazeekea hapo hapo
Atazeeka ashazeeka tayari😂😂kibibi icho
Yan huyu Dada anajidhalilosh jaman
Uyuu Eliza simumtowee tuu yuatuboo kwl
Leo kaumbuka kwanza kafupi na kanajiona kazur kapumbavu haka
Eliza inaonyesha Hana shule kichwani-0
Elisa kama aujampata wakulizika nao SI utoke
Anazima elza kwani yeye Hakuwa na mahusiano?kwanini mnasikiliza mahusiano ya upande mmoja?
😅
Eliza nenda kanisani ukaombewe... Ndo utapata mchumba
Iki kitu kinachekesha kweli
Huu daktari ananimaliza
So madem mbna kama wanajiuza ao madem Awana tofaut na wale wakimboka
Yaan wamekua kama mafungu ya nyanya sokon
Bwn huko n kuzaliLishana2
Mbona Hana NYONYO Nyooooo
Hana nyonyo lkn anakatako flan hv na vihips amazing
Hahahahahah jmn eliza mpk huruma
Umechokwa Eliza umezidi kwani we nani
Wote wabaya jaman kama wasichana wa tandika
Wanamzoom 😂😂
Eliza anamatatizo mtafutieni daktari Please
Ha😅😅😅😅😅😅😅😅 elizaaaaa
Eliza anamtaka gara B
Uyo Eliza kwenda uko mbuz ww gara b Asirud ten hapo
Eliza unabowa
Zarish kasimama aje jamani hizo miguu
😂😂😂😂 kama sio mdada
Eliza kazi unayo