HILI SASA NI BALAA WAREMBO 12 WAWASHA TAA | MR RIGHT AFANYA MAAMUZI HAYA | HAUWEZI KUAMINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 фев 2024
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 148

  • @CelinCelineort
    @CelinCelineort 4 месяца назад +11

    wananyanduana ata mrejeshoo hawaletiii kama wameowana maisha yao yapoje toka wameowanaaa... wanatuzinguaaa tu... awa

  • @benhanclove5997
    @benhanclove5997 4 месяца назад +6

    Kuna mrembo mmoja anaitwa. Nasrah Daah!! Huyo ni mrembo yani kanivaa mzima mzima❤ she so gorgeous 🔥

  • @israeluronu9958
    @israeluronu9958 4 месяца назад +66

    Eliza ndugu yangu jiongeze, kwauelewa wangu mdogo hata haokina Gara B na wenzie wamekuchoka shost.

  • @ummullaqsa974
    @ummullaqsa974 4 месяца назад +31

    Yan majib anayopew eliza ni wazi wamemchok apo kw ujuaji wake😂😂c ukfny shuhul zngn we bibi😂

  • @Muhamed_mazba
    @Muhamed_mazba 4 месяца назад +11

    ElIZA NDO ANACHANGAMSHAGA MR LIGHT😂😂😂

  • @aswaneliphas2271
    @aswaneliphas2271 4 месяца назад +2

    Much love from Kenya guys like back ❤wow I like this

  • @upendoeliya9329
    @upendoeliya9329 4 месяца назад +16

    Kuna wakati Eliza alisema wauza nguo wkt mwingine hawana hela maana sio kila siku wateja wananunua nguo. Nashangaa sana leo anamtaka muuza nguo

    • @theprincejr1417
      @theprincejr1417 4 месяца назад

      Ni Fala sana huyo dem

    • @baimarrajahbuayan6237
      @baimarrajahbuayan6237 4 месяца назад

      Ajielew

    • @theprincejr1417
      @theprincejr1417 4 месяца назад

      @@baimarrajahbuayan6237 sijui hakuna namna ya kumshusha hapo mbn anazngua sana huyo dada anaharbu had content ya kipindi

    • @binthkhamis8042
      @binthkhamis8042 4 месяца назад

      😂😂😂😂

    • @theprincejr1417
      @theprincejr1417 4 месяца назад

      @@binthkhamis8042 kwanza ni li shangazi 😂 nae najkuta -25

  • @leemakonnengava9866
    @leemakonnengava9866 4 месяца назад +4

    Mwijaku angekuwa hapa angefurahisha sana

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 4 месяца назад +4

    eliza mwanaume ambaye atakuoa ana kazi kubwa sana

    • @nuruurio8319
      @nuruurio8319 4 месяца назад

      Acha tu yaani natamani kumuona atakaemuoa natamani kumjua

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 4 месяца назад +9

    Sasa eliza dada angu hapo mko kweny mashindano n kupambania ad upate ukikata tamaa utazeekea apo

  • @vickydan2869
    @vickydan2869 4 месяца назад +1

    Elizabeth comedia😅😅😅😅 nakupenda hivohivo

  • @RoseGeofrey
    @RoseGeofrey 6 дней назад

    Maembe hayo chagueni vijana😅

  • @RoseGeofrey
    @RoseGeofrey 6 дней назад

    Dunia imeisha

  • @elinapetro7136
    @elinapetro7136 4 месяца назад +3

    Tatizo Eliza anamdomo sana Mr right wote wanaokuja hapo huwa wanaangalia kipindi nakwenda moja kwa moja kwamwanamke anaempenda ila Eliza utakesha mdomo punguza nakujifanya unataka hela sana wanaume wanataka mwanamke anewaza maendeleo na sio urembo kitwa

    • @user-gg4kw6le3b
      @user-gg4kw6le3b 4 месяца назад

      Kwanza kazee nan anakataka😂😂😂

  • @AshulaAlly-yi8kq
    @AshulaAlly-yi8kq 3 месяца назад

    Mtihani up mwenyezimungu atuifadh na vizazivyetuu

  • @sharizjimmy4627
    @sharizjimmy4627 4 месяца назад +2

    Aliyah wamuezea sana Eliza

  • @bensonjonas1437
    @bensonjonas1437 4 месяца назад

    Uyo mzee sijui eliza si akalee wajukuu ahache kusumbua warembo😂😂😂😂😂

  • @carolwanjiru3077
    @carolwanjiru3077 4 месяца назад +1

    Tanzanian show is dope ,one that you can watch with kids .Kenyan maze apana haina heshima

  • @user-wm6vc2hp5b
    @user-wm6vc2hp5b 4 месяца назад

    Kuzur hakikos kasoro elza umezid my dear

  • @user-kr2yk6gn4q
    @user-kr2yk6gn4q 4 месяца назад +1

    Kipindi kizuri sana kimenivutia jamani prosses Iko kujiunga apo nataka mume .

  • @user-dy7po1lg4h
    @user-dy7po1lg4h 4 месяца назад

    Pole yake

  • @AntonyMM-tx3yj
    @AntonyMM-tx3yj 3 месяца назад

    Kabisa namuunga mkono aliyah kumfamisha Eliza atazeekea apo kwenye podiam aliyah kiboko yao hongera nawapenda nyote pia lulu na mc nawapenda bure # Eliza naomba mtafute ule stuka mwanaangu atavumilia huo ubibi wakwako

  • @ashazuber6548
    @ashazuber6548 4 месяца назад +2

    Eliza unamiaka mingapi hapo una mdomo sana khaa kweli kizur hakikosi kasoro

  • @linahmwakyandwike
    @linahmwakyandwike 4 месяца назад +2

    Uwiiiiiiiiii 😮

  • @user-wm6vc2hp5b
    @user-wm6vc2hp5b 4 месяца назад

    Elizabeth pole sana utazeekea hapo hpo na mdomo wako mchafu

  • @najmasalim-rg6ow
    @najmasalim-rg6ow 4 месяца назад +2

    Mmmh soko la kujiuza kabisa

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka1008 4 месяца назад +2

    Jamaa mnyarwanda kabisa... nao wamesha ingia tena wengi nchini Dodoma na mwanza wamejaa...

  • @josminimsigwa5146
    @josminimsigwa5146 4 месяца назад +1

    Ila bongo bwAna eti hana matiti nafikilia angekua hana shepu pia sijui ingekuaje Tanzania nchi yangu nakupenda sana 😂😂

  • @levygasper7438
    @levygasper7438 4 месяца назад

    Wanaenda Sana hawa wawili

  • @user-tr5ld8sv8i
    @user-tr5ld8sv8i 4 месяца назад

    😅Hhhhh eliza mwenyew kama mzimu hhh

  • @nancyfamilysharesmoments7634
    @nancyfamilysharesmoments7634 4 месяца назад +1

    Mr light kajua kuchagua namimi niliona kabla huyo wanaendana

  • @didasseveline9013
    @didasseveline9013 4 месяца назад +1

    Ivi kumbe hawa viumbe ni kama nyanya sokoni🤔 unachagua chenye unataka!😂😂

  • @andrewmallya5182
    @andrewmallya5182 4 месяца назад

    Huyo eliza hata nipewe nimle na kachumbari hawezi shuka tumboni 😂😂

  • @christainc.5217
    @christainc.5217 4 месяца назад +1

    ❤❤

  • @user-jq5ti5uh3j
    @user-jq5ti5uh3j 3 месяца назад

    Eliza fanya uende kwa adunje,ukasafishe nyota so kwa gundu hili😂😂😂😂😂

  • @user-vh8us1et8i
    @user-vh8us1et8i 4 месяца назад +2

    Mnawajua wajaluo vizuri.

  • @FidasMwaiteghelesya-hw9qs
    @FidasMwaiteghelesya-hw9qs 4 месяца назад

    Wanawake we mbamba kwa maneno mhuuu mcharuko mno

  • @HebronMwaisombe-lv8lq
    @HebronMwaisombe-lv8lq 2 месяца назад

    Mbona Hilo balaah

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 4 месяца назад

    Aliza Unajiona Kama Hakuna Zaidi Yake ila Mchaguwa Wengi..Mwisho.Huondokea Pabovu...?????

  • @fatimafatuma4848
    @fatimafatuma4848 4 месяца назад

    ❤❤❤

  • @mitioneline5189
    @mitioneline5189 4 месяца назад

    Kama ingekua Mimi nisinge chagua 😂😂😂 hata mmoja ndo maana Wana washa taaa wooote ... Nani abaki Elizabeth mtamlaumu anao pambana nao 😂😂😂😂😂

  • @paulombay6884
    @paulombay6884 4 месяца назад +1

    Eliza hawez kumpat mwnaume

  • @tabiangonyani3526
    @tabiangonyani3526 4 месяца назад

    Moyo wa eliza umemdondokea mtoto wawatu😅😅

  • @user-rb7jc1id7w
    @user-rb7jc1id7w 3 месяца назад

    Eliza Ana kihereher sana shida anakujata rihana

  • @andrewpeter4321
    @andrewpeter4321 4 месяца назад

    Eliza ana tatizo la kiafya mchunguze ni vzr 😂😂😂

  • @restypeter1141
    @restypeter1141 4 месяца назад

    Wamekomaa sn hao wadada mi singechagia😅

  • @hawababy120
    @hawababy120 4 месяца назад +1

    Eliza arudi tu kwenu unachosha san

  • @user-wv8eu8iy6q
    @user-wv8eu8iy6q 4 месяца назад

    Nyie Eliza hajielew jmn aaaah aboa😏

  • @tradamus4158
    @tradamus4158 4 месяца назад +1

    Wanajichukulia wanawake tu kaa karanga vile😅😊

  • @user-zk1sc8fi5p
    @user-zk1sc8fi5p 4 месяца назад

    Eliza unamiaka mingapi hpo maana weeeeeee unamdomo sna pole yko mrembo😅😅😅😅😅😅

  • @user-vo5et5jn7l
    @user-vo5et5jn7l 4 месяца назад

    Eliza kivuruge jmn hahahah ana gunduuu uyoo

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 4 месяца назад

    Nataka kushiriki nikiwa nje ya tz

  • @brunoh_bx
    @brunoh_bx 4 месяца назад

    Hii ni platform nzuri sana ya kuwakutanisha watu wawili walio serious maana haya mapenz siku hiz unaweza serious kwa mwenzio kumbe yeye hata hayupo serious. Natamani sana na mimi nipate mwanamke humu alie serious humu nifunge nae ndoa kabisa hata kabla ya kuanza kuishi pamoja🙏😊

  • @happynesssamwel4249
    @happynesssamwel4249 4 месяца назад

    Huyu Eliza anaonekana ni mtata Sana 🤣 atazeekea hapo kwenye podium

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 4 месяца назад

    😂😂😂😂😂 Eliza

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 4 месяца назад

    Eliza kama chizi yan alikuja mpole kumbe chenga umeshazeeka eliza tuliza wenge umri hauruhusu halafu hapo unashindana na watoto wa 2000 tulia shangazi😂😂😂😂

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 4 месяца назад

    Si mtoeni Eliza jamani tumemchoka anaziba nafasi tu aingie mdada mwingine hapo khaa

  • @WemaMwasote-eo5ry
    @WemaMwasote-eo5ry 4 месяца назад

    Jmn habar zenu humu ndani,, ni siku gani mnafanya hiyo mr right na ni wapi????

  • @Huncho_taitan_breezy
    @Huncho_taitan_breezy 4 месяца назад

    Eliza jirekebishe mama hakuna mwanaume anapenda mwanamke mwenye hasira na kuongea sana

  • @user-fk7sh3vk2s
    @user-fk7sh3vk2s 4 месяца назад +2

    😂😂 siku akichaguliwa Eliza mnambie 😂😂

  • @Happinesabella3654
    @Happinesabella3654 4 месяца назад

    Hahahhaaaaaa zarish jaman ndo kusimama Kama uko jeshini umechoka na mguu pande hahaaaa nimechoka sana

  • @user-pg6db8jl2y
    @user-pg6db8jl2y 4 месяца назад

    Mmejua kumshushua uyo kibibi eliza 😅😅😅 alaf inaonekana anataka mwanamme ambae yeye ndio atamtawala na nikitu ambacho akitakiwi.utazeekea hapo hapo ww bibi

  • @shamaamohamed5361
    @shamaamohamed5361 4 месяца назад

    Eliza kawasha taa😮

  • @vicentpeter9907
    @vicentpeter9907 4 месяца назад

    Kuna warembo wanauzuria kama wameajiriwa hahaha

  • @malkiakinyemi5282
    @malkiakinyemi5282 4 месяца назад

    Uyu Eliza sijui Ako na shida gn upo kwenye stage ya miss right alafu unataka uwashe taa mwenyewe nonsense

  • @JacksonAntony-jo2cb
    @JacksonAntony-jo2cb 4 месяца назад

    Eliza hbr ya shule aliogopa umande pia Hana uzr wowote

  • @marthesifa-5803
    @marthesifa-5803 4 месяца назад

    Eliza nakuonea haibu kabisa sio siri wamekuchoka hapo kwenye MR Right

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 4 месяца назад

    Iwe live jaman na sie wa RUclips muwe mnasoma comment zetu

  • @IreneMwenda-nl2hu
    @IreneMwenda-nl2hu 4 месяца назад

    Eliza kanuna hatarii 😂😂😂😂😂

  • @EmmmaTembo
    @EmmmaTembo 4 месяца назад +2

    Mwaka huu bibi Eliza atakosa hatapakuchungulia

  • @hawaa341
    @hawaa341 4 месяца назад

    Eliza unaona wanakurusha roho 😂

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 4 месяца назад +2

    Kw hawa mademu waliopo leo mm ningeondoka bila ata y kuchagua lkn c kw kimbaumbau icho hakina ata maziwa loo😂 km mwananume mwenzangu ashindwe😂

    • @ashuraa9079
      @ashuraa9079 4 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂 ndio kashapenda mwenzi kibaya kwako tu

  • @annertz9969
    @annertz9969 4 месяца назад

    Eliza abaki hapo mpaka mwaka uishe aendelee kutuchangamsha

  • @SwagaboyStyle
    @SwagaboyStyle 3 месяца назад

    Hivi nikwer wanapendan kabis au mnaigiza tu😮😮

  • @user-gb3sf9fy2u
    @user-gb3sf9fy2u 4 месяца назад +1

    Tatizo eliza anajiona mzur sana hiyo rangi inamdanganya yan atazeekea hapo hapo

  • @happymrema7487
    @happymrema7487 4 месяца назад

    Yan huyu Dada anajidhalilosh jaman

  • @mwanashasjambia8572
    @mwanashasjambia8572 4 месяца назад

    Uyuu Eliza simumtowee tuu yuatuboo kwl

  • @ananiamwatebela3159
    @ananiamwatebela3159 4 месяца назад

    Leo kaumbuka kwanza kafupi na kanajiona kazur kapumbavu haka

  • @elizabethswai7777
    @elizabethswai7777 4 месяца назад

    Eliza inaonyesha Hana shule kichwani-0

  • @zuraissa
    @zuraissa 4 месяца назад

    Elisa kama aujampata wakulizika nao SI utoke

  • @mkambaselemani-ej7np
    @mkambaselemani-ej7np 4 месяца назад

    Anazima elza kwani yeye Hakuwa na mahusiano?kwanini mnasikiliza mahusiano ya upande mmoja?

  • @raulentlishoni898
    @raulentlishoni898 4 месяца назад +1

    😅

  • @godlovemanase3423
    @godlovemanase3423 4 месяца назад

    Eliza nenda kanisani ukaombewe... Ndo utapata mchumba

  • @Sakina-sk8rn
    @Sakina-sk8rn 4 месяца назад

    Iki kitu kinachekesha kweli

  • @siame.abraham9707
    @siame.abraham9707 4 месяца назад

    Huu daktari ananimaliza

  • @LukasMabena
    @LukasMabena 4 месяца назад

    So madem mbna kama wanajiuza ao madem Awana tofaut na wale wakimboka

  • @user-wr2zu2rf2k
    @user-wr2zu2rf2k 4 месяца назад

    Yaan wamekua kama mafungu ya nyanya sokon

  • @LeilaRashid-mz3bl
    @LeilaRashid-mz3bl 2 месяца назад

    Bwn huko n kuzaliLishana2

  • @ibba8082
    @ibba8082 4 месяца назад +2

    Mbona Hana NYONYO Nyooooo

    • @paulalove1223
      @paulalove1223 4 месяца назад

      Hana nyonyo lkn anakatako flan hv na vihips amazing

  • @user-xt7my9mg2i
    @user-xt7my9mg2i 4 месяца назад

    Hahahahahah jmn eliza mpk huruma

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 4 месяца назад

    Umechokwa Eliza umezidi kwani we nani

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 4 месяца назад

    Wote wabaya jaman kama wasichana wa tandika

  • @fidonsostenes
    @fidonsostenes 4 месяца назад

    Wanamzoom 😂😂

  • @nuruabraham3769
    @nuruabraham3769 3 месяца назад

    Eliza anamatatizo mtafutieni daktari Please

  • @damaskusare9777
    @damaskusare9777 4 месяца назад

    Ha😅😅😅😅😅😅😅😅 elizaaaaa

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 4 месяца назад

    Eliza anamtaka gara B

  • @bebebebe5677
    @bebebebe5677 4 месяца назад

    Uyo Eliza kwenda uko mbuz ww gara b Asirud ten hapo

  • @frediemary4386
    @frediemary4386 2 месяца назад

    Eliza unabowa

  • @metrineomega1635
    @metrineomega1635 4 месяца назад +1

    Zarish kasimama aje jamani hizo miguu

  • @user-dg6js1px4l
    @user-dg6js1px4l 4 месяца назад

    Eliza kazi unayo