VICKY APIGWA CHINI NA MR RIGHT/ EX ATAKA KUHARIBU PENZI JIPYA LA CAREEN

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Kwa story zaidi za maisha, burudani, vipindi na za kila siku tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
    ►JOIN OUR WhatsApp Group chat.whatsapp....
    ►SUBSCRIBE / @stbongotv
    ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
    RATIBA ZA VIPINDI VYETU
    THE BANTU JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 10 JIONI
    SPOTLIGHT JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 12 JIONI
    TWENDE JIKONI KILA IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 JIONI
    FASHIONISTA KILA JUMAPILI SAA 1 USIKU
    MR RIGHT SHOW KILA JUMAMOSI SAA 4 USIKU
    KIU SERIES JUMATATU HADI IJUMAA SAA2:30 USIKU
    THE SPIRIT NA IBADA LIVE KILA JUMAPILI KUANZIA SAA 4 ASUBUHI
    MOVIE NIGHT NI KUANZIA JUMATANO MPAKA IJUMAA KUANZIA SAA NNE USIKU NA MARUDIO MCHANA KILA SIKU

Комментарии • 322

  • @salomevenance9555
    @salomevenance9555 Год назад +134

    Wakitoka hapo na hao wanaume wanaendaga kulala au😢maana sijui hata Kama wana Pima Ukimwi😭😭😭pia mbona huwa hamtupi mrejesho wa ndoa? Hapo mnatuchanganya

    • @mathayomwashambwa1238
      @mathayomwashambwa1238 Год назад +6

      🌚🌚🌚🌚🌚🌚🌚

    • @queenofwales
      @queenofwales Год назад +2

      😂😂😂😂

    • @salomevenance9555
      @salomevenance9555 Год назад +6

      @@queenofwales 😂😂😂kweli watupe mrejesho sio kutuacha hewani na tunataka kujua wakichukuana hapo usiku huo wanaendaga kulala au inakuwaje

    • @cosmwanri4532
      @cosmwanri4532 Год назад +4

      mwisho wa mwaka wanawaitaga wale waliofanikiwa kuoana au kuingia kwenye uchumba na wanawahoji

    • @salomevenance9555
      @salomevenance9555 Год назад +15

      @@cosmwanri4532 Kama hivyo Sawa maana nilikuwa sielewi,alafu wanakaa uchi sana hata kama nikutafuta mume sio kihivyo 🤐wanakuwa kama wadangaji

  • @jacobmakono4399
    @jacobmakono4399 Год назад +15

    Yaani Mungu inawezekana amewapa afya njema,pesa,muda,hewa na siku za kuishi..lkn leo mnatimia neema za Yesu kufanya ushenzi huu!Tubuni kabla hamjafa!

  • @peterdavid4230
    @peterdavid4230 Год назад +37

    Daah kweli dunia inaenda kasi sana yaan wadada wamefikia uku yaan mnapelekwa mnadani kama mbuzi kweli yatapuswa kuombea kizazi chetu mno kwa Muumba wetu

  • @danielsimon9007
    @danielsimon9007 Год назад +21

    Lulu vaa nguo za heshima

  • @isunga1964
    @isunga1964 Год назад +26

    Nilijua Vick 😂😂😂 kwanza huyo rafiki wa ex duh anatamani hata kurukia hiki kipendi kingekuwa live youtube Mwarabu angenipunguza mshahara😂😂

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq Год назад +8

    Subuhanalla alla mungu atusimamie Kwa hali yeyote ile maana sio mwanamke wala mwanaume wote wamechorwa tunajua watoto wakitanzania akiwa mzuri lazima achore too yake ili aonekane pia hasa sisi watoto wakiislam ndo balaa yake ewe mungu mliganiaji wa waja wako tusamehe sisi waja wako

    • @jacobmakono4399
      @jacobmakono4399 Год назад

      Kusamehewa pekee kunakuja kwa kumwamini Yesu Kristo awe Bwana na mwokozi wa maisha yako akupe uwezo wa kushinda dhambi zako zote

    • @penithaarchard
      @penithaarchard Год назад +1

      Ila siku zote naangalia chanzo ninin kama mkuu WA nchi hii angelisitisha hii setion nahisi isingeendelea nisawa na wanaokataza uvutaji WA sigara ni hatari Kwa afya ya binadamu je washakataza viwanda vya sigara kuzalisha bidhaa hy? Kama chanzo hakijakaa sawa kamwe tabia haiwezi kuisha.

  • @SaadiaHamumi
    @SaadiaHamumi 9 месяцев назад +3

    Allah atulinde kwa kila hatua.

  • @rachelmuhehe7789
    @rachelmuhehe7789 Год назад +24

    Kwakweli hapo hata majambazi watapata wake bila shaka 🙄

    • @khadidjasuleiman8006
      @khadidjasuleiman8006 Год назад +1

      Hahaha 😂

    • @ibrahimngulungu
      @ibrahimngulungu Год назад

      ​@@khadidjasuleiman8006 sasa kwani jambazi si ana pipi pia au shoga yule astahili kupata mke😂😂

    • @fatumajumanne5961
      @fatumajumanne5961 Год назад +1

      😂😂😂😂Maana Kaz wengne n wafanyabiashara kumbe behind the scene

    • @khadidjasuleiman8006
      @khadidjasuleiman8006 Год назад +1

      @@ibrahimngulungu hatari saana 🤣

    • @yusuphmwanza507
      @yusuphmwanza507 Год назад

      Dunia Iko kasi sana nikumuomba MWENYEZI MUNGU tu we unaweza ukaamini kweli ao wanaokwenda apo hawana wapenz wao????

  • @nervashonza587
    @nervashonza587 7 месяцев назад +1

    Alichokisema golden girl ni sahihi huyu jamaa anaonekana wa hovyo ndyo maana kamchagua huyo mwenye sura bandia yenye mikope ..vick yupo natural anahitaji mwanaume mwenye smart brain ...nimefurahi kwakuwa Vick yupo salama Sasa...

  • @NaahSdd
    @NaahSdd Год назад +2

    Hatali Mungu atusaidie sana

  • @levisdiamond4797
    @levisdiamond4797 Год назад +17

    Yaaaani naaanza kuu feel wale wanaume wasio takaaa kuzaaa watoto wa kike imagine akiwa ni mtoto wako yuko haaaapa mpaka machozi yatakutoka. Mbona tu wazuri Kuna shida gani

    • @esterjofreyforey3663
      @esterjofreyforey3663 Год назад +1

      tengua kauli ya kukataa kuzaa watoto wakike

    • @madamshifaa8503
      @madamshifaa8503 Год назад +1

      Lazima uelewe, kuolewa ni bahati na nyota ya mtu na sio uzur, asilimia kubwa wanawake wanaojiuza ni wazur na warembo kwahyo sisi tiliokauka mashaallah tupo ndoani

    • @esterjofreyforey3663
      @esterjofreyforey3663 Год назад +2

      @@madamshifaa8503 nilitaka nimueleweshe huyo eti wanaume wanakataa watoto wakike wanao kataa kuwazaa hawana hakili maana haya mnayo yaonani nidunia tu maana hata mashoga na ndoa za jinsia moja zipo kama nihivo hatutazaa kabisa napia mkumbuke kua nyuma ya hao wanao jiuza kuna wanaume ambao niwanunuzi tena wenye ndoa zao ko jamani wakati tunashangaa haya tuombee pia vizazi vyetu

    • @levisdiamond4797
      @levisdiamond4797 Год назад

      @@madamshifaa8503 na watajuta

    • @Fx_expertmoneymaker001
      @Fx_expertmoneymaker001 Год назад

      ​@@levisdiamond4797😅😅na ww unaongezeka kwa wanaume wanaokataa watt wa kike? Akishazaliwa amezaliwa tu, hata baba amkatae vip hataondoka kwenye historia yake. Hapo ni kumuomba Mungu asimamie tu hilo. Maana pia kuna ushoga na tabia ngum wanazofanya watt wa kiume kuhatarisha uhai, vip tuogope kuzaa kabisa??

  • @stumaisanga9519
    @stumaisanga9519 8 месяцев назад +2

    Hellow.....Mr right...... Napenda sana kufatilia hiki kipindi na enjoy sana.

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 9 месяцев назад +2

    Hivi huyu kaka si anaigiza na kina bailam au macho yangu na vile nilikua nampenda 😊 ila siyo mbaya kapata chaguo lake na wameendana congratulations to them

  • @AmosSniper
    @AmosSniper Год назад +13

    Lulu acha kuanika utupu wako

  • @hassanisaimon1531
    @hassanisaimon1531 Год назад +12

    Sio kwamba hayo mavaz lulu yanakupendeza ni upuzi ndani ya upuz mtupu

  • @GladysIsiaho
    @GladysIsiaho Год назад

    Lulu nina ombi jamani kama inaezekana...show yenu iwe ndefu kiasi ili tuenjoy vizuri jamani😊😊😍😍

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui 9 месяцев назад +1

    Kwakweli Dunia imeisha!!! YAANI imefika hapa!!! Loooo!!!!

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 Год назад +17

    Mtoto wa kiislam mapaja waziu wee lulu diva muogope mola wako

    • @CharlesLeoMgaya
      @CharlesLeoMgaya 11 месяцев назад

      Ndo ujue dini sio sabab ya hekima ya mtu. Kama filauni ni filauni tu.

  • @vincentgazire7212
    @vincentgazire7212 5 месяцев назад

    Plz guys sisi tupo inje ya inchi tunaomba muwe mnatumalizia videos plz

  • @allytwahir2305
    @allytwahir2305 Год назад +4

    Mbona kama umalaya vpndi gn vy kisenge hiviiiii

  • @chelagatchelaa8859
    @chelagatchelaa8859 Год назад +2

    This Vicky looks cool aki❤

  • @WardaSruj
    @WardaSruj Год назад +2

    Muwe mnatupa mrejesho wa ndoa❤

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka1008 9 месяцев назад +1

    Hayo masiara ni vichekesho ni kupima, mapenzi ni hatua ukivuka stage moja basi msingi aufai ata kidogo, yaani process ya mahari ni ipi,je kupima kama wanao uwezo wakudunga mimba au kubeba mimba? Je ukimwi maana Tanzania, Uganda, Kenya na South Africa VVU wanaongoza barani Africa...

  • @MauwaSuleiman
    @MauwaSuleiman 9 месяцев назад

    Au wanajiuzaga 😢😢 subhanaallah naona uyo mkaka yp kila seemu😢😢

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 Год назад +5

    Wanaume washaanza kujua kua wanawake wenye makalio makubwa akili hawana

  • @mfungonishauri4234
    @mfungonishauri4234 Год назад +11

    Golden girl wivu unamsumbua tu

  • @salimkulua904
    @salimkulua904 Год назад +3

    Kila mwana dam anamapujguf yak
    uyu ana kihereher

  • @willydasilver69
    @willydasilver69 Год назад +4

    Vicky anaonekana mrembo expensive wanaume wanamuogoa😢

    • @iddykidito6441
      @iddykidito6441 11 месяцев назад +1

      Uyo Vicky alikua anakaa kinondoni nijirani tu anatamaa huyo baraa labda kama ameamua kubadlika sasa hv

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 Год назад +8

    Lulu Diva katuvalia nn 😊😊

  • @sikitunathing9429
    @sikitunathing9429 9 месяцев назад

    Vicki mshukuru Mungu hajakuchaguwa usije enda tapeliwa kama mwenzio wa zamani

  • @sarawambo3595
    @sarawambo3595 Год назад

    Mm ni 32 bt sijafika hp kutafutiwa mxee apana

  • @silamshana6249
    @silamshana6249 9 месяцев назад

    Guys kwani shindano inakuaje
    Inakua unatafuta mpenz kweli au maigizo tu?

  • @josephinezuzi567
    @josephinezuzi567 Год назад +15

    Why is Vicky being rejected 😢😢 I think men are just afraid that they can’t afford or keep her. Cuz that’s the only explanation 😢poor Vicky love u mama❤

  • @Aminabakari-y5n
    @Aminabakari-y5n Год назад +1

    Toka umeanza kipindi sijawahi ona ndoa zao zaidi ya kupotezeana muda

  • @msostenes2079
    @msostenes2079 Год назад

    Inakuaje x nae anaingia kwenye mashindano au mr right anakua hiden??

  • @lissaIrene
    @lissaIrene 8 месяцев назад +1

    Oooh nahitaji mume ntapataje jmn

  • @BKKM11
    @BKKM11 Год назад +5

    Too many people running the show, too many people talking.

  • @zaudolutambi9895
    @zaudolutambi9895 Год назад +2

    Jaman huyu mdada alie achwa mbn chombo xana uwiii

  • @dakihamaluta4159
    @dakihamaluta4159 Год назад

    Cjaelewa somo la Mr Right

  • @stevemwandambo587
    @stevemwandambo587 Год назад +3

    kupata mtu aliye sahihi ktk mazingira kama haya ni changamoto maana hapa utakuta watu wny tabia zote washirikina,malaya,,wauwaji,,walevi nk..

  • @ramsomnanka8688
    @ramsomnanka8688 Год назад

    Kikubwa upendo

  • @sauka9622
    @sauka9622 9 месяцев назад

    Jaman iv haya mambo huwa ni mtu huchaguliwa kuja kutafta mtu hapo au hatamimi naweza kuja kuchagua

  • @Dick-M_Kisy
    @Dick-M_Kisy 9 месяцев назад +1

    Jamani nampenda sana Vicky, naombeni mniunganishe nae

  • @MarryYusuph-y9w
    @MarryYusuph-y9w Год назад

    Jamani hichikipindi mi cjakielewa kinaanzaje

  • @issahmanyenye6267
    @issahmanyenye6267 Год назад

    Hv apa huwa wanalipia au sagula sagura jikadilie mweny zari anabeba

  • @kennethbaslsias1043
    @kennethbaslsias1043 Год назад +1

    Dunia imeisha

  • @LeilaRashid-mz3bl
    @LeilaRashid-mz3bl 5 месяцев назад

    Duuuuh ama kwel hamjierew woteee naona mmeamua kufanya Dunia yenu hongeren nyny wadad mbuz 😅😅😅

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Год назад +4

    Basi wadada vaeni vyema kukaa uchi siyo ndo kupendwa

  • @sikitunathing9429
    @sikitunathing9429 9 месяцев назад

    Njo mana kutafuta mme apo sio vizuri, wengi wanakija na vijitabia viao eti wanataka mke mwengine

  • @nervashonza587
    @nervashonza587 3 месяца назад

    Huyu jamaa type zake ni zile akina dada poa golden girl yupo sahihi Sana

  • @everlyne8595
    @everlyne8595 Год назад +1

    Huyo ht xio wivu n kwel wanaume washenz

  • @mwajohari4385
    @mwajohari4385 9 месяцев назад +1

    Lulu mjue alokuumba na ukapata pumzi,hilo vazi na hayo uyafanyayo muogope mungu

  • @mwaki1992
    @mwaki1992 Год назад

    Naombeni namba ya Vicky

  • @wilsonndoro5816
    @wilsonndoro5816 Год назад +1

    Hii kitu bila DR Ofweneke it's kinda boring

  • @emilykimeta
    @emilykimeta Год назад

    Sasa huyo lady Yuko uchi....aiiii ata kama .....dress well Sio kuonyeshana matako.

  • @violethulomi329
    @violethulomi329 Год назад

    Da!kwani uzuri ni mpaka kuvaa uchi?wanawake tunajidhalilisha sana

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 9 месяцев назад

    Very nice 🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @marynjeri8277
    @marynjeri8277 Год назад

    Sure

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 7 месяцев назад

    😅😅😅Lulu yupo uchi sana leo 😮😮😮😢

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 9 месяцев назад

    Huyu mwinjaku ANA halibu program

  • @BJM-j2t
    @BJM-j2t 8 месяцев назад

    Halloooooo siku hizi matamko mengi waume hawapendi nyooo😂😂

  • @harounsalim-jt9sl
    @harounsalim-jt9sl Год назад +5

    warembo wote wa Mr.right ni wazuri lakini wengine wanavaa nguo ambazo zinawaharibia kipindi. mtu haki yake kuvaa anavyotaka lakini nyinyi wenye kipindi msiwaruhusu kuvaa nguo zisizo eleweka. una mkuta mtu kavaa nguo machuchu nje

    • @rosemahenge9071
      @rosemahenge9071 Год назад +1

      Watawazuiaje sasa wakati wao wenyewe wanavaa ujinga huyo Lulu Diva mapaja yote yapo nje hata aibu haoni kisa 🌟

    • @jacobmakono4399
      @jacobmakono4399 Год назад

      acha upumbavu wewe..hapa ni ushetani mtupu..hata wakija uchi Mimi sitashangaa!

  • @SwiratyKweka-iv7qp
    @SwiratyKweka-iv7qp Год назад

    Ivi ni kweli au

  • @serasera8413
    @serasera8413 Год назад +2

    Vicky ako n shida Gani jamani

  • @fatumajumanne5961
    @fatumajumanne5961 Год назад +3

    Munafcha upuuz yaan mnataka m2 abebeshwe bomu.

  • @faudollary9177
    @faudollary9177 Год назад

    Huyo Vicky nae akaogelee baharini🤣🤣🤣atoe nuksi

  • @Lewinglovbi6699
    @Lewinglovbi6699 Год назад +8

    Huyo lulu diva anatuvalia uchi Kwa nini ? anawapa mafuzo ngani watoto under age ?😂😂😂😂😂😂

    • @madawamchuwa8253
      @madawamchuwa8253 Год назад +2

      Hata hajapendeza mwanamke anapendeza akivaa vizuri na sio kukaa uchi

    • @BabaBalingasi-hp6gd
      @BabaBalingasi-hp6gd Год назад +1

      Hatarii. Wataoto hawaruhusiwi kuangali

  • @HarrisOthman-p7i
    @HarrisOthman-p7i Год назад

    Kwanz mwanaume au mwanamke hatafutw ivo ,hata kujistir haipo nashangaa sana

  • @HassanMwiru-x7v
    @HassanMwiru-x7v Год назад +2

    Lulu muogope mungu kama na wewe wataka mume si upange folen ovyo sana wanawake kama nyanya

  • @evalumumba5513
    @evalumumba5513 Год назад

    Love sana hii sesion

    • @FamtamAli-vl2wx
      @FamtamAli-vl2wx Год назад

      Kuna watu wana mkufuru Mungu jaman kwani wakiomba kwa Mungu watakosa ndoa mmh dunia 🙄🙄😳😳😳😏😏😏🙆🙆akuna kitu apo

  • @EmmamatogoFredy
    @EmmamatogoFredy 10 месяцев назад

    Namm naweza kuja kushiriki kumutafuta nimpendae

  • @lilianemeena768
    @lilianemeena768 Год назад +5

    Huyo Vivian ni wivu unamsumbua hana lolote anataka kumwaribia mwenzake

  • @maimunaussi-lr3ze
    @maimunaussi-lr3ze 9 месяцев назад

    mbn mm niko single alf niko tu ndani 😮😮😮

  • @silvanusjack6
    @silvanusjack6 9 месяцев назад

    Mwenye namba ya vicky

  • @samsonmwakyembe4499
    @samsonmwakyembe4499 Год назад

    Mwendeshaj wakipindi anakaa uchi

  • @AmaniMollel-m1b
    @AmaniMollel-m1b 8 месяцев назад

    haya mahusiano kweli Huwa yanadumu?? au wakishatoka hapo ndio bac Tena?

  • @happynessmwenda
    @happynessmwenda Год назад +1

    HUWA inakuwaje😅

  • @CASFETATIADSM
    @CASFETATIADSM Год назад +2

    😢😢😢😢😢😢 to vickie

  • @jonasbosco05
    @jonasbosco05 8 месяцев назад

    ivi kufika hapo inakuaj mm sielew unajua

  • @MarthaSimoni-c5m
    @MarthaSimoni-c5m 6 месяцев назад

    An huyo mwanaume ni chizi jaman

  • @harounsalim-jt9sl
    @harounsalim-jt9sl Год назад +4

    Wasichana kama Vicky wanaleta nuksi

  • @jjtm164
    @jjtm164 Год назад

    Mimi Nina miaka hamsini naweza pata?

  • @everyaman4260
    @everyaman4260 Год назад

    Mwana umezingua 😂 kitu gani iyo umechaguaa.

  • @lydi791
    @lydi791 Год назад +2

    Wanawake wivu

  • @brigitamathias4043
    @brigitamathias4043 Год назад

    Gara B kanichekesha 😂 eti Eeeeh,,!

  • @XhebyHuxen
    @XhebyHuxen Год назад

    Kweli xhep cy bahat

  • @jumahumbo8625
    @jumahumbo8625 Год назад

    Mwendo bado mjamaliza😢😢😢😢

  • @sharifu-story4644
    @sharifu-story4644 5 месяцев назад

    Vijana tafuten pesa mambo ya kutongoza sio mpango kwenye dunia hii yaleo kila k2 kpo sokoni ni ww na pesa yako

  • @MauwaSuleiman
    @MauwaSuleiman 9 месяцев назад

    Uyo mkaka anaitaj warembo wangp naona kila kweny mista ✔️ yupo

  • @bentetakalekye9787
    @bentetakalekye9787 Год назад +1

    Hili shape haikukalishi vzuri dada km n ya kuongezwa enda utolewe dada

  • @kennethbaslsias1043
    @kennethbaslsias1043 Год назад

    Mh dunia imeisha

  • @BarakaJohn-z2x
    @BarakaJohn-z2x Год назад

    Duuh hatarii hii kwisiney

  • @HelenamjanjaMakende
    @HelenamjanjaMakende Год назад

    Vicky 😢😢😢😢

  • @HappySteven-ue5bx
    @HappySteven-ue5bx Год назад

    wakiondoka nahao wanaume huwa wanaenda wapi maana sizani Kama wanipima afya zao kwanza

  • @Sarahsaid2648
    @Sarahsaid2648 Год назад +2

    Aibu naona mimi hapa kujiuza huku uwiii

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 Год назад

      Kweli kabisa

    • @ashamaneno9819
      @ashamaneno9819 Год назад

      Alf awa wanalipw nan hk kipind m sielew mwezenu au n kama gest aw akina diva ndo wanauz awa mademu

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 7 месяцев назад

    😂😂😂Et anamnywete ana madevu garab na lulu. Aminaga akili

  • @roseisaya1436
    @roseisaya1436 Год назад

    😃😃😃😃na mimi Ngoja nitafute wangu😊

  • @kensimiyu5926
    @kensimiyu5926 Год назад +1

    Vicky ndie mke huyu mwingine hatoshi hapa kenya

  • @mercyndoli5296
    @mercyndoli5296 Год назад

    Kwani hy vick shp si uremboo😂😂😂

  • @evelynesabina8168
    @evelynesabina8168 Год назад

    Punguza muziki please