VICKY APIGWA CHINI NA MR RIGHT/ EX ATAKA KUHARIBU PENZI JIPYA LA CAREEN
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- Kwa story zaidi za maisha, burudani, vipindi na za kila siku tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
►JOIN OUR WhatsApp Group chat.whatsapp....
►SUBSCRIBE / @stbongotv
►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
RATIBA ZA VIPINDI VYETU
THE BANTU JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 10 JIONI
SPOTLIGHT JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 12 JIONI
TWENDE JIKONI KILA IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 JIONI
FASHIONISTA KILA JUMAPILI SAA 1 USIKU
MR RIGHT SHOW KILA JUMAMOSI SAA 4 USIKU
KIU SERIES JUMATATU HADI IJUMAA SAA2:30 USIKU
THE SPIRIT NA IBADA LIVE KILA JUMAPILI KUANZIA SAA 4 ASUBUHI
MOVIE NIGHT NI KUANZIA JUMATANO MPAKA IJUMAA KUANZIA SAA NNE USIKU NA MARUDIO MCHANA KILA SIKU
Wakitoka hapo na hao wanaume wanaendaga kulala au😢maana sijui hata Kama wana Pima Ukimwi😭😭😭pia mbona huwa hamtupi mrejesho wa ndoa? Hapo mnatuchanganya
🌚🌚🌚🌚🌚🌚🌚
😂😂😂😂
@@queenofwales 😂😂😂kweli watupe mrejesho sio kutuacha hewani na tunataka kujua wakichukuana hapo usiku huo wanaendaga kulala au inakuwaje
mwisho wa mwaka wanawaitaga wale waliofanikiwa kuoana au kuingia kwenye uchumba na wanawahoji
@@cosmwanri4532 Kama hivyo Sawa maana nilikuwa sielewi,alafu wanakaa uchi sana hata kama nikutafuta mume sio kihivyo 🤐wanakuwa kama wadangaji
Yaani Mungu inawezekana amewapa afya njema,pesa,muda,hewa na siku za kuishi..lkn leo mnatimia neema za Yesu kufanya ushenzi huu!Tubuni kabla hamjafa!
Amina
Daah kweli dunia inaenda kasi sana yaan wadada wamefikia uku yaan mnapelekwa mnadani kama mbuzi kweli yatapuswa kuombea kizazi chetu mno kwa Muumba wetu
Siyo jambo jipya
Hahahahaha mnadan kwakweli 🤣
Amina 🙏
Haya jakukuta ya kikukutq hata ww tutakukuta hapo hapo
Sad😢😢😢
Lulu vaa nguo za heshima
Nilijua Vick 😂😂😂 kwanza huyo rafiki wa ex duh anatamani hata kurukia hiki kipendi kingekuwa live youtube Mwarabu angenipunguza mshahara😂😂
😂😂
Mambo
@@FatumaOthman-hb1ug poa vp
Upo oman
Subuhanalla alla mungu atusimamie Kwa hali yeyote ile maana sio mwanamke wala mwanaume wote wamechorwa tunajua watoto wakitanzania akiwa mzuri lazima achore too yake ili aonekane pia hasa sisi watoto wakiislam ndo balaa yake ewe mungu mliganiaji wa waja wako tusamehe sisi waja wako
Kusamehewa pekee kunakuja kwa kumwamini Yesu Kristo awe Bwana na mwokozi wa maisha yako akupe uwezo wa kushinda dhambi zako zote
Ila siku zote naangalia chanzo ninin kama mkuu WA nchi hii angelisitisha hii setion nahisi isingeendelea nisawa na wanaokataza uvutaji WA sigara ni hatari Kwa afya ya binadamu je washakataza viwanda vya sigara kuzalisha bidhaa hy? Kama chanzo hakijakaa sawa kamwe tabia haiwezi kuisha.
Allah atulinde kwa kila hatua.
Kwakweli hapo hata majambazi watapata wake bila shaka 🙄
Hahaha 😂
@@khadidjasuleiman8006 sasa kwani jambazi si ana pipi pia au shoga yule astahili kupata mke😂😂
😂😂😂😂Maana Kaz wengne n wafanyabiashara kumbe behind the scene
@@ibrahimngulungu hatari saana 🤣
Dunia Iko kasi sana nikumuomba MWENYEZI MUNGU tu we unaweza ukaamini kweli ao wanaokwenda apo hawana wapenz wao????
Alichokisema golden girl ni sahihi huyu jamaa anaonekana wa hovyo ndyo maana kamchagua huyo mwenye sura bandia yenye mikope ..vick yupo natural anahitaji mwanaume mwenye smart brain ...nimefurahi kwakuwa Vick yupo salama Sasa...
Hatali Mungu atusaidie sana
Yaaaani naaanza kuu feel wale wanaume wasio takaaa kuzaaa watoto wa kike imagine akiwa ni mtoto wako yuko haaaapa mpaka machozi yatakutoka. Mbona tu wazuri Kuna shida gani
tengua kauli ya kukataa kuzaa watoto wakike
Lazima uelewe, kuolewa ni bahati na nyota ya mtu na sio uzur, asilimia kubwa wanawake wanaojiuza ni wazur na warembo kwahyo sisi tiliokauka mashaallah tupo ndoani
@@madamshifaa8503 nilitaka nimueleweshe huyo eti wanaume wanakataa watoto wakike wanao kataa kuwazaa hawana hakili maana haya mnayo yaonani nidunia tu maana hata mashoga na ndoa za jinsia moja zipo kama nihivo hatutazaa kabisa napia mkumbuke kua nyuma ya hao wanao jiuza kuna wanaume ambao niwanunuzi tena wenye ndoa zao ko jamani wakati tunashangaa haya tuombee pia vizazi vyetu
@@madamshifaa8503 na watajuta
@@levisdiamond4797😅😅na ww unaongezeka kwa wanaume wanaokataa watt wa kike? Akishazaliwa amezaliwa tu, hata baba amkatae vip hataondoka kwenye historia yake. Hapo ni kumuomba Mungu asimamie tu hilo. Maana pia kuna ushoga na tabia ngum wanazofanya watt wa kiume kuhatarisha uhai, vip tuogope kuzaa kabisa??
Hellow.....Mr right...... Napenda sana kufatilia hiki kipindi na enjoy sana.
Hivi huyu kaka si anaigiza na kina bailam au macho yangu na vile nilikua nampenda 😊 ila siyo mbaya kapata chaguo lake na wameendana congratulations to them
Lulu acha kuanika utupu wako
Sio kwamba hayo mavaz lulu yanakupendeza ni upuzi ndani ya upuz mtupu
Lulu nina ombi jamani kama inaezekana...show yenu iwe ndefu kiasi ili tuenjoy vizuri jamani😊😊😍😍
Kwakweli Dunia imeisha!!! YAANI imefika hapa!!! Loooo!!!!
Mtoto wa kiislam mapaja waziu wee lulu diva muogope mola wako
Ndo ujue dini sio sabab ya hekima ya mtu. Kama filauni ni filauni tu.
Plz guys sisi tupo inje ya inchi tunaomba muwe mnatumalizia videos plz
Mbona kama umalaya vpndi gn vy kisenge hiviiiii
This Vicky looks cool aki❤
Muwe mnatupa mrejesho wa ndoa❤
Hayo masiara ni vichekesho ni kupima, mapenzi ni hatua ukivuka stage moja basi msingi aufai ata kidogo, yaani process ya mahari ni ipi,je kupima kama wanao uwezo wakudunga mimba au kubeba mimba? Je ukimwi maana Tanzania, Uganda, Kenya na South Africa VVU wanaongoza barani Africa...
Au wanajiuzaga 😢😢 subhanaallah naona uyo mkaka yp kila seemu😢😢
Wanaume washaanza kujua kua wanawake wenye makalio makubwa akili hawana
We tutake radhi kha kwan akili ipo kichwan au kwenye makalio🤣🤣
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Golden girl wivu unamsumbua tu
Kila mwana dam anamapujguf yak
uyu ana kihereher
Vicky anaonekana mrembo expensive wanaume wanamuogoa😢
Uyo Vicky alikua anakaa kinondoni nijirani tu anatamaa huyo baraa labda kama ameamua kubadlika sasa hv
Lulu Diva katuvalia nn 😊😊
😂❤
Vicki mshukuru Mungu hajakuchaguwa usije enda tapeliwa kama mwenzio wa zamani
Mm ni 32 bt sijafika hp kutafutiwa mxee apana
Guys kwani shindano inakuaje
Inakua unatafuta mpenz kweli au maigizo tu?
Why is Vicky being rejected 😢😢 I think men are just afraid that they can’t afford or keep her. Cuz that’s the only explanation 😢poor Vicky love u mama❤
That's not the case????gentleman love small petit nyash period
Macho yake ya uongo uongo
@@yasinlau5074 🤣🤣🤣jamani
Afford kwani anauza samosa
Shape yake sio nzuri
Toka umeanza kipindi sijawahi ona ndoa zao zaidi ya kupotezeana muda
Inakuaje x nae anaingia kwenye mashindano au mr right anakua hiden??
Oooh nahitaji mume ntapataje jmn
niko hapa
Too many people running the show, too many people talking.
Jaman huyu mdada alie achwa mbn chombo xana uwiii
Cjaelewa somo la Mr Right
kupata mtu aliye sahihi ktk mazingira kama haya ni changamoto maana hapa utakuta watu wny tabia zote washirikina,malaya,,wauwaji,,walevi nk..
Upo sahihi
On point ☝️
Kikubwa upendo
Jaman iv haya mambo huwa ni mtu huchaguliwa kuja kutafta mtu hapo au hatamimi naweza kuja kuchagua
Jamani nampenda sana Vicky, naombeni mniunganishe nae
Jamani hichikipindi mi cjakielewa kinaanzaje
Hv apa huwa wanalipia au sagula sagura jikadilie mweny zari anabeba
Dunia imeisha
Duuuuh ama kwel hamjierew woteee naona mmeamua kufanya Dunia yenu hongeren nyny wadad mbuz 😅😅😅
Basi wadada vaeni vyema kukaa uchi siyo ndo kupendwa
Njo mana kutafuta mme apo sio vizuri, wengi wanakija na vijitabia viao eti wanataka mke mwengine
Huyu jamaa type zake ni zile akina dada poa golden girl yupo sahihi Sana
Huyo ht xio wivu n kwel wanaume washenz
Lulu mjue alokuumba na ukapata pumzi,hilo vazi na hayo uyafanyayo muogope mungu
Naombeni namba ya Vicky
Hii kitu bila DR Ofweneke it's kinda boring
Sasa huyo lady Yuko uchi....aiiii ata kama .....dress well Sio kuonyeshana matako.
Da!kwani uzuri ni mpaka kuvaa uchi?wanawake tunajidhalilisha sana
Very nice 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Sure
😅😅😅Lulu yupo uchi sana leo 😮😮😮😢
Huyu mwinjaku ANA halibu program
Halloooooo siku hizi matamko mengi waume hawapendi nyooo😂😂
warembo wote wa Mr.right ni wazuri lakini wengine wanavaa nguo ambazo zinawaharibia kipindi. mtu haki yake kuvaa anavyotaka lakini nyinyi wenye kipindi msiwaruhusu kuvaa nguo zisizo eleweka. una mkuta mtu kavaa nguo machuchu nje
Watawazuiaje sasa wakati wao wenyewe wanavaa ujinga huyo Lulu Diva mapaja yote yapo nje hata aibu haoni kisa 🌟
acha upumbavu wewe..hapa ni ushetani mtupu..hata wakija uchi Mimi sitashangaa!
Ivi ni kweli au
Vicky ako n shida Gani jamani
Apunguze matako ake
Munafcha upuuz yaan mnataka m2 abebeshwe bomu.
Huyo Vicky nae akaogelee baharini🤣🤣🤣atoe nuksi
Huyo lulu diva anatuvalia uchi Kwa nini ? anawapa mafuzo ngani watoto under age ?😂😂😂😂😂😂
Hata hajapendeza mwanamke anapendeza akivaa vizuri na sio kukaa uchi
Hatarii. Wataoto hawaruhusiwi kuangali
Kwanz mwanaume au mwanamke hatafutw ivo ,hata kujistir haipo nashangaa sana
Lulu muogope mungu kama na wewe wataka mume si upange folen ovyo sana wanawake kama nyanya
Love sana hii sesion
Kuna watu wana mkufuru Mungu jaman kwani wakiomba kwa Mungu watakosa ndoa mmh dunia 🙄🙄😳😳😳😏😏😏🙆🙆akuna kitu apo
Namm naweza kuja kushiriki kumutafuta nimpendae
Huyo Vivian ni wivu unamsumbua hana lolote anataka kumwaribia mwenzake
Kwani hui mchezo ni live au maigizo
mbn mm niko single alf niko tu ndani 😮😮😮
Mwenye namba ya vicky
Mwendeshaj wakipindi anakaa uchi
haya mahusiano kweli Huwa yanadumu?? au wakishatoka hapo ndio bac Tena?
HUWA inakuwaje😅
😢😢😢😢😢😢 to vickie
Mhhh 🤔 MUNGU tusaidiyee Sana Sisi vijana wako
Kwr kbsa
ivi kufika hapo inakuaj mm sielew unajua
An huyo mwanaume ni chizi jaman
Wasichana kama Vicky wanaleta nuksi
Mbona
Mimi Nina miaka hamsini naweza pata?
Mwana umezingua 😂 kitu gani iyo umechaguaa.
Wanawake wivu
Gara B kanichekesha 😂 eti Eeeeh,,!
Kweli xhep cy bahat
Mwendo bado mjamaliza😢😢😢😢
Vijana tafuten pesa mambo ya kutongoza sio mpango kwenye dunia hii yaleo kila k2 kpo sokoni ni ww na pesa yako
Uyo mkaka anaitaj warembo wangp naona kila kweny mista ✔️ yupo
Hili shape haikukalishi vzuri dada km n ya kuongezwa enda utolewe dada
Mh dunia imeisha
Duuh hatarii hii kwisiney
Vicky 😢😢😢😢
wakiondoka nahao wanaume huwa wanaenda wapi maana sizani Kama wanipima afya zao kwanza
Aibu naona mimi hapa kujiuza huku uwiii
Kweli kabisa
Alf awa wanalipw nan hk kipind m sielew mwezenu au n kama gest aw akina diva ndo wanauz awa mademu
😂😂😂Et anamnywete ana madevu garab na lulu. Aminaga akili
😃😃😃😃na mimi Ngoja nitafute wangu😊
Ndio nipo hapa
Vicky ndie mke huyu mwingine hatoshi hapa kenya
Kwani hy vick shp si uremboo😂😂😂
Punguza muziki please