PENZI JIPYA | NITABADILISHA DINI | HELA IPO | ATANITUNZA | GOLDEN GIRL | HELLO MR RIGHT

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 фев 2024
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 612

  • @siame.abraham9707
    @siame.abraham9707 4 месяца назад +48

    Nimefurahi sana na couple ya leo yaani vitu ni Boom boom ❤❤❤❤

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 4 месяца назад +49

    Nimempenda mr right akiongea anaonekana mstaarabu na hana mdomo mdomo kama wnaume wengine 😂😂😂hongera lolo umepata bwana inshaallah abadili din kweli akuoe mama

    • @zeynabuhussen8740
      @zeynabuhussen8740 4 месяца назад

      lolo nae pia mpole mashaAllah❤

    • @salmakivo4073
      @salmakivo4073 4 месяца назад

      Lolo wanafanana na nelly

    • @rehemamgata224
      @rehemamgata224 3 месяца назад

      Wangon ni nyoko

    • @sethjohnson7266
      @sethjohnson7266 2 месяца назад

      Hapo Greyson umepata mke. Na kuhusu dini jitahidi kumshawishi Lolo atakubali kubadilisha deni baadae

    • @doriselipokea651
      @doriselipokea651 2 месяца назад

      Awa wastaarabu shkamoo

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 4 месяца назад +127

    Uyo eliza mtoeni ni bibi aende nje anakera na kuwaharibia kazi buana ,amejikuta jaji wa mr.right hafato protocol atolewe buana

    • @ghayamjombo6582
      @ghayamjombo6582 4 месяца назад +1

      😂

    • @MwaJuma-zf8sk
      @MwaJuma-zf8sk 4 месяца назад +8

      Bora angechukuliwa na yule mzee stukaaa mwananguuu 😅🤣

    • @lawijosephezekieli1078
      @lawijosephezekieli1078 4 месяца назад +2

      Eliza bibi sana na sula lake kalificha na mekapu😂😂😂

    • @athumanhamad8522
      @athumanhamad8522 4 месяца назад +3

      Ni bibi alafu masharit kibao atakua nawatoto wengi

    • @auntygee1194
      @auntygee1194 4 месяца назад +1

      For sure anabore,halafu she is too old for that stage

  • @Spicekingnushinwe.-kt5lp
    @Spicekingnushinwe.-kt5lp 4 месяца назад +9

    Lilu diva napenda unavyo cheka hadi raha my sister ❤❤🎉🎉

  • @user-su7uo3eu5b
    @user-su7uo3eu5b 4 месяца назад +26

    Nzuli sana leo iko moja to jamani huyu Elizabeth simpendi anajisikia sana huyu kaka yuko very nice ❤😢

  • @Geraldmbesere-fn2de
    @Geraldmbesere-fn2de 4 месяца назад +58

    Uyo eliza ana mambo ya kijinga siku zote haelewi ana kichwa kigumu 😂😂😂😂😂

    • @user-bx6rf6nv4x
      @user-bx6rf6nv4x 4 месяца назад +1

      Ni kiazi ajifanya nzuri

    • @Geraldmbesere-fn2de
      @Geraldmbesere-fn2de 4 месяца назад

      @@user-bx6rf6nv4x ana uzuri gani mwenyew kama bibi

    • @Geraldmbesere-fn2de
      @Geraldmbesere-fn2de 4 месяца назад

      Au yeye kawekwa kwa ajili ya kuchangamsha shoo nini

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 3 месяца назад

      Sasa bibi kizee kumbukumbuku zitoke wapi

  • @mwajabudegwa
    @mwajabudegwa 4 месяца назад +17

    Yaan aliyah apewe 🎉 meng na azid kwenye hiki kipind anajua kuwanyoosha hawa wadada❤❤

  • @ngusiupdates4363
    @ngusiupdates4363 4 месяца назад +34

    Imagin ndo umemchukua Eliza akawe mke wako my dear nakwambia utanyookaa 😅😅😅

    • @GiftAbduly
      @GiftAbduly 4 месяца назад +2

      😂😂😂😂😂😂

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 4 месяца назад

      😂😂😂 na komwe lake uyo Eliza haha bibi akalee wajukuuu uko atolewe

    • @ericmellau3783
      @ericmellau3783 4 месяца назад

      Amna uyu unamwitikia afu ungya nae ndoa unamnyosha bora ndoa ife ila ajue akuna zuzuu

    • @ancyjoakim8308
      @ancyjoakim8308 4 месяца назад

      😂

    • @user-rj4cd7oc4x
      @user-rj4cd7oc4x 3 месяца назад

      😂😂😂😂

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 4 месяца назад +34

    Grayson + lolo was natural love wameendana na kupendezana

    • @user-zt1db4wm4k
      @user-zt1db4wm4k 4 месяца назад

      Eliza aelew bwana mtoen apo

    • @FaridaCharema
      @FaridaCharema 4 месяца назад

      Huyo eliza atolewe mana hasikilizi hata maongezi,anachoreka tu

  • @israeluronu9958
    @israeluronu9958 4 месяца назад +37

    Naona kama eliza anamdomo sana na dharau pia. Angeenda zake na yule mzee baharia 😂

  • @rosemaryjohn3860
    @rosemaryjohn3860 4 месяца назад +13

    He is romantic ❤❤

  • @israeluronu9958
    @israeluronu9958 4 месяца назад +25

    Eliza bado niko na ww au wamtaka Gara B😂😂😂😂

  • @symonmhoja3102
    @symonmhoja3102 4 месяца назад +12

    Sio rahisi men kubadili dini, tuliosoma Cuba tumemuelewa mwamba, ila anazambi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @AnnoyedMarsh-is4nr
    @AnnoyedMarsh-is4nr 4 месяца назад +12

    Mashaallah wamependezana sanaa nimependa sanaa hiyo mkaka mzurii sanaaa handsome hatimaye Lolo amepata mwenzawake jamn

  • @edinarobert6716
    @edinarobert6716 4 месяца назад +6

    Nimependa wanaendana sana 😘😘😘😘😘😘😘

  • @janethdavidsanga5999
    @janethdavidsanga5999 4 месяца назад +8

    Yan hii ndoa mtuletee humu ndani tuione😊

  • @rahabu1497
    @rahabu1497 4 месяца назад +9

    Ila nikua nakapenda kalolo Kako sweet Sana I love the couple

  • @taupenisanshimirimana475
    @taupenisanshimirimana475 4 месяца назад +14

    Eliza atakuja kumaliza hizo soda tu 😂😂😂

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 4 месяца назад +7

    Huyu Msichana Mbona Anaharibi MR.. Kwanini Hamupigia Marufuku Asije Hapo Anakera Sana....

  • @edierichie
    @edierichie 4 месяца назад +10

    AISEE SIJAWAI KUKOMENTI MR RIGHT , KIUKWELI HUYU DADA ELIZA MTOENI SIONI KAMA KUNA CHOCHOTE ANACHOKIFANYA HAPO.

    • @lizndunchez720
      @lizndunchez720 4 месяца назад

      True kuwaste tu masaa nvny sura ata akna

    • @justinambrose3577
      @justinambrose3577 4 месяца назад

      Kuna huyu Eliza na kuna yule Glady ni bure kabisa.... kujifanya na ujuaji mwingi😅

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 4 месяца назад +15

    Lolo ni mzur sana hongera zake

  • @stevenemwakasimba-pt8er
    @stevenemwakasimba-pt8er 4 месяца назад +3

    Huu ni mnada wawanawake kweli dunia ipo mwisho mungu tuangalie wanao tunapotea tuoneshe njia sahihi

  • @khamoshmikidadi618
    @khamoshmikidadi618 4 месяца назад +11

    Kaka handsome Mashallah nimemuhusudu

  • @fidelitekarigirwamuyangwa973
    @fidelitekarigirwamuyangwa973 4 месяца назад +9

    Hatamimi kabadir kanifata mumewangu utapata baraka❤

    • @fatumomatano9752
      @fatumomatano9752 2 месяца назад

      Ndio kheir Mimi kama mwanaume si Muslim staki pressure

  • @bwetungegodfrey4131
    @bwetungegodfrey4131 4 месяца назад +1

    That was the best couple of all this 5th season so far.That man has dignity

  • @petroniesindarubaza2420
    @petroniesindarubaza2420 4 месяца назад +5

    Jamaniii iyi couple nimeyipendaaa❤❤

  • @fikiriisaya5803
    @fikiriisaya5803 4 месяца назад +11

    Toweni eliza hapo sio mwana mke wakuowa

  • @user-gg4kw6le3b
    @user-gg4kw6le3b 4 месяца назад +5

    Huyo anajifanya mzuri halafu bibi😂😂😂

  • @user-lu3ls3xf9y
    @user-lu3ls3xf9y 2 месяца назад +1

    I..like..the..couple..it's.. awesome..🎉🎉

  • @poulmbogo1770
    @poulmbogo1770 4 месяца назад +14

    Hakuna wanwake hapo ni matapel kama wa tuma namba hiii😅😂

  • @user-pg6db8jl2y
    @user-pg6db8jl2y 4 месяца назад +9

    Naombeni icho kibibi kieliza mkitoe pumbavu zake sanaaa

    • @DoreenDaniel-hd7kv
      @DoreenDaniel-hd7kv 4 месяца назад +1

      Anaongea kama kengele

    • @user-mm8zs1qm1f
      @user-mm8zs1qm1f 4 месяца назад

      Sigupendi gu eliza

    • @user-pg6db8jl2y
      @user-pg6db8jl2y 4 месяца назад

      @@user-mm8zs1qm1f 🤣🤣🤣Yan mm Eliza na zalishi siwaelew kabc

    • @zaitunirashidi5532
      @zaitunirashidi5532 4 месяца назад

      😂😂😂😂😂kwanz kibaya kimezeeka kama queen Elizabeth 😂

    • @user-pg6db8jl2y
      @user-pg6db8jl2y 4 месяца назад

      @@zaitunirashidi5532 😁😁😁bila shakaaaa

  • @user-cy3ro8lp8s
    @user-cy3ro8lp8s 4 месяца назад +10

    Elizza atabaki hapo hapo mpuuziiii

  • @christainc.5217
    @christainc.5217 4 месяца назад +3

    Je warundi wanakuja my❤😂

  • @GreysonMbisse
    @GreysonMbisse 2 месяца назад +1

    Congratulations wajina greyson

  • @fatumahapesamohamedfatumah4633
    @fatumahapesamohamedfatumah4633 4 месяца назад +8

    Huyo Elizaa hajielewi.Atasimama xana hapo kwenye podium

  • @bernadetageorge6039
    @bernadetageorge6039 4 месяца назад +4

    Kaka ni gentleman saana❤️🥰

  • @user-wc4dt2gy5h
    @user-wc4dt2gy5h 4 месяца назад +12

    Eliza hana bahat yakuolewa anaringa sana anajiona mzur wakat ni wakawaida tu

  • @felistafelista8319
    @felistafelista8319 4 месяца назад

    Amazing couple and love lots

  • @AminaOmary-cn5vb
    @AminaOmary-cn5vb 4 месяца назад +1

    Nimerudia mara mbili kuangalia hii .nimeipenda sana hii couple.mkaka anaupendo sana

  • @Given-Norman
    @Given-Norman 4 месяца назад +4

    Inasikitisha sana yaani kubadili dini kutoka Grayson mpaka shabani madobe duh 😂😂😂 huyu jamaa anatakiwa afikirie mala mbili mbili

    • @salmakivo4073
      @salmakivo4073 4 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌

    • @AgathaMatambula-lf7fv
      @AgathaMatambula-lf7fv 4 месяца назад

      😊😊😊😊

    • @MwaniPh
      @MwaniPh 2 месяца назад

      Kama mzize alivyobadili kutoka Clement mpaka Warid

  • @ummyhoza4495
    @ummyhoza4495 4 месяца назад +1

    Hii nimeipenda mno mungu awape maelewabo inshaallah ❤

  • @user-qv7qv5rt7k
    @user-qv7qv5rt7k 4 месяца назад

    Waooooo nawapenda sana ❤❤❤

  • @joyabby6981
    @joyabby6981 4 месяца назад

    Wow love is beautiful 😍 ❤

  • @mariamitaba3967
    @mariamitaba3967 4 месяца назад +16

    Eliza ajifunze kauli zake zinamponza

  • @deejayassamix4891
    @deejayassamix4891 4 месяца назад

    Lolo nakupendaaa bureeee umenifurahisha saana kbisa

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 4 месяца назад +2

    so nice program ❤❤❤🙏🙏🙏😂

  • @marthasonia5005
    @marthasonia5005 4 месяца назад +1

    Nice 🔥🔥

  • @nadiamugisha2913
    @nadiamugisha2913 4 месяца назад

    Manshallah wamependezana kbsa

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g 3 месяца назад +1

    Ile notion ya bcz of love, nnamashaka nayo, mwamba anaenda kula mzigo nakuuacha kwenye njiapanda🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @MwaniPh
      @MwaniPh 2 месяца назад

      😅😅😅

  • @user-wh2bl8kk6j
    @user-wh2bl8kk6j 4 месяца назад +4

    Hivi ni mweli kwenye hii stage ya mr. Right unaondoka nae au ni danganyatoto?😅

  • @user-st8uu3fo8n
    @user-st8uu3fo8n 4 месяца назад +4

    ..❤Woow🎉

  • @SamweliMwalyungu-du5ln
    @SamweliMwalyungu-du5ln 4 месяца назад +11

    Aaa ww msenge una badl din kisa uyo dem

    • @Daniella249
      @Daniella249 4 месяца назад +1

      Imagine😢😢

    • @freidyalufreidy8652
      @freidyalufreidy8652 4 месяца назад +1

      Kipenda roho kaka 😂

    • @barakalawrence742
      @barakalawrence742 4 месяца назад

      Nimeona wanaume wengi wakifanya hivyo mwishowe hurudi tena kwenye dini yake akishapata alichokitaka

  • @zarinatv2024
    @zarinatv2024 4 месяца назад

    Jaman huyu kaka anaonekana mstaarabu sana😊❤

  • @AgathaMatambula-lf7fv
    @AgathaMatambula-lf7fv 4 месяца назад +1

    Wameendana jaman lolo na grayson ❤❤❤

  • @user-ei2ud7gh5h
    @user-ei2ud7gh5h 4 месяца назад

    Kalolo kazuri ,karembo na kasitarabuu wow good couple ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤i wish you all the best❤❤❤❤

  • @rubenmsimbe934
    @rubenmsimbe934 4 месяца назад

    Ni tukio la kufurahisha sana, kuna golden girls wengi sana waliopita walipojijua kuwa ni golden girl maringo kibao,lkn huyu mrembo hakuwa na mengi,ningekuwa na namba uaje ningemtupia buku big LOLO❤❤❤

  • @leshyhaule
    @leshyhaule 4 месяца назад

    😂😂😂weeee elizaa embu poteleaa mbalii mwanakwendaa wee

  • @queensiku
    @queensiku 4 месяца назад +3

    Eliza ata shule alikuwa haelewi ni class mate wangu kichwa maji 😂

  • @aika3024
    @aika3024 4 месяца назад

    Nipeni namba ya Mr Right😍😍😍 anajielewa sana😊

  • @ChillumbaEdward-nz9xr
    @ChillumbaEdward-nz9xr 3 месяца назад

    Oya mwanangu umetisha wemkali kweli uko makin sana

  • @user-it6to6ws5r
    @user-it6to6ws5r 4 месяца назад

    Aliya tha best ana juwa kukweli wanaendanaaa ❤❤❤❤❤❤ kweli

  • @KhalfanSaid-mo9jh
    @KhalfanSaid-mo9jh 4 месяца назад +4

    Nyinyi mnaoendesha kipindi mjue mnadhambi Sanna , kweli dalili zakiama.......mnakaa uchi mitandaoni tu

  • @QUEENJoseph-kh6cb
    @QUEENJoseph-kh6cb 26 дней назад

    Woow❤

  • @mamtuhhassan809
    @mamtuhhassan809 4 месяца назад +8

    Eliza alijuwa yeye ndo golden girl ndomaana alikuwa anajizima data 😂 sasa kapigwa nakitu kizito kabaki mdomo waazi 😂😂😂😂😂😂😂

  • @ollenshamba
    @ollenshamba 4 месяца назад

    Wamependezana sana Lolo yuko mucute sana jamn najiona mm huwiiiiii😅

  • @redizo_tz
    @redizo_tz Месяц назад

    Maleo Umetuwakilisha Vema Kaka😊😊😊

  • @nifaamamy1403
    @nifaamamy1403 4 месяца назад

    Hii nimeipenda hattaryyy❤❤❤

  • @mariamkibindo1741
    @mariamkibindo1741 4 месяца назад

    Wow nice ❤️

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1o 4 месяца назад +3

    Wanapendezana sana

  • @sheemaryam
    @sheemaryam 4 месяца назад +7

    Muisilamu na hana hijab subhanallah amebadika manywele ata sio ajabu hajui kuoga janaba

    • @MwaniPh
      @MwaniPh 4 месяца назад

      Wajanja hao hzo ni mbinu zakumpata mume

    • @user-il8wx3eq8i
      @user-il8wx3eq8i 2 месяца назад

      Kuoga tena jamani mmmh

    • @sheemaryam
      @sheemaryam 2 месяца назад

      @@user-il8wx3eq8i elewa sentence mwanzo nmesema kuoga janaba kama hujui n nn sema ufundishwe juu pia nyie wakristo hamjui kuoga janaba

  • @fidelitekarigirwamuyangwa973
    @fidelitekarigirwamuyangwa973 4 месяца назад +1

    Nimpendaa

  • @monicasemsey1125
    @monicasemsey1125 4 месяца назад +1

    Waoooo wamependeza

  • @iluminataeugen7625
    @iluminataeugen7625 4 месяца назад

    Wifii njoo kwetu sisi wangoni tunajua kupenda😁😁😁

  • @user-ek1wi8ly4q
    @user-ek1wi8ly4q 3 месяца назад

    Mr right yupo straight en brain ake smart sanaaa wadada hatuna akil muda mwingine

  • @luganoesomu5301
    @luganoesomu5301 3 месяца назад

    ukitaka upoteze mwelekeo na ukuu wako kwenye maisha jaribu kubadili dini hata kwasiku moja ,watu wanadhani ni jambo la kawaida kama vile kubadili nguo lakini kiukweli unapo badili dini unabadili yule unaemwabudu siku hii unaabudu mungu kesho unaabudu pepo(shetani), mungu wetu ni mungu mwenye wivu. mfalme sulemani mwana wa daudi aliemjengea mungu hekalu jerusalemu hadi watu toka dunia nzima wakawa wanaenda kuabudu huko kila mwaka, siku alipo oa mwanamke anae abudu miungu na suleimani akaiabudu .,Mungu akauvua uzao wake ukuu juu ya israel katika makabila 12 ya israeli akambakizia 2 mengine yote wakapewa wengine.nahiyo imetokea kwa wafalme wengi kama vile yeroboumu, belishaza, na wengine wengi. mwanaume yeyote mwenye misingi imara misingi yake inapimwa kwa uwezo wa kuitunza imani yake.

  • @MaryamRamadhan-n9m
    @MaryamRamadhan-n9m 7 дней назад

    Uyo eliza cmpend jman mtoeni hapoo hn hja y mchumba huyo mtu kashazeek anatk akuzeesh n wew Aalya😂😂😂

  • @lumo9999
    @lumo9999 3 месяца назад +1

    Mbona mnaleta na wabibi huku, huyo eliza m’bibi mtoeni banaa

  • @elizabethkyando3648
    @elizabethkyando3648 4 месяца назад

    Nyie hiii ni couple❤️🥰

  • @nervashonza587
    @nervashonza587 4 месяца назад +1

    Eliza shavu linachuma kunde lkn bado yumo kwenye uchambuziii....

  • @francinenamucho5274
    @francinenamucho5274 4 месяца назад +1

    Nimependa Hilo kbs

  • @deborahmollel3170
    @deborahmollel3170 Месяц назад

    Eliza asubiri wazee waliofiwa waje kumchukua 😂😂😂😂

  • @user-hs5wq5tm9e
    @user-hs5wq5tm9e 4 месяца назад +7

    J,ai aime cette couple ❤

  • @user-mo3wn6cc7h
    @user-mo3wn6cc7h 2 месяца назад

    Uyo dada asipande on stage wapen watu nafasi ya kumpata mr.right wao

  • @salmamumba8507
    @salmamumba8507 4 месяца назад

    Wow kijana wa kingon mr right

  • @billytresorndayiragije7238
    @billytresorndayiragije7238 4 месяца назад

    Wanapendezana kinoma ❤

  • @GodlyPaschal-yv8gv
    @GodlyPaschal-yv8gv 4 месяца назад

    Jamaa kanichukulia lolo wangu aise dahhh

  • @ellymwampashe8927
    @ellymwampashe8927 4 месяца назад

    Bhanaaa hawa wadada wanataka nini lakini😢😢 alivyoita hiyo eliza......chaiiiii this guy ooo😊😊

  • @user-km6lj1sm6o
    @user-km6lj1sm6o 4 месяца назад +4

    Wakina Elizabeth sio kama ww hujitambui dada utazeeka hapo

  • @chimamilion
    @chimamilion 4 месяца назад +1

    Hili nikundi lavibaka mapenz gn sikuiyo iyo wanapendana hakuna ata kuzoeana mara unaingiza shingp kwa mwez yn hawa wanaunda kundi lavibaka

  • @bilshanmartin7660
    @bilshanmartin7660 4 месяца назад

    Ntakuja niondoke na huyo mwanamke mwenye kidomo domo Eliza jiandae nakuja kukutoa hapo 😂😂

  • @AmosSniper
    @AmosSniper 4 месяца назад +7

    Huyu msela zaifu sana! Na huyu demu huko mbele ya safar atampelekesha sana msela

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 4 месяца назад +2

      Umeona kama mm😮

    • @Switielie
      @Switielie 4 месяца назад

      Hapana kawaida tu

    • @banguha
      @banguha 4 месяца назад

      Hawez kubadili anamdanganya ivi nyie wakatolik mnawajua Yan hapa kasema tu ila mwanaume kubadili Dini anaweza kubadili mbele za watu lakin badae akalud lait wangemuwa wanatupatia mrejesho tungejua

    • @paulmchele1627
      @paulmchele1627 4 месяца назад

      daaaah kweli jamaaa zaifu sanaaa dem atamutesa mnooo

    • @magreciousthomas3527
      @magreciousthomas3527 4 месяца назад

      Yan apo anamchukua anaend kuhakikish binti kafall atachagua yy kupotez mwanaum au kufat dini ya mwanaum😂 uyo kaka akibadil niitwe mbwa

  • @elizabethcharles6527
    @elizabethcharles6527 3 месяца назад

    Ivi uyo dada naitwa eliza uwa anajielewa kweli😂😂😂

  • @lydiampayo597
    @lydiampayo597 4 месяца назад +1

    Mbona ndoa na maisha yao hamtuleteiii,,,ili tuendelee kuamini kazi zenu tupeni feedback😅

  • @user-zr5rg5ul3q
    @user-zr5rg5ul3q 4 месяца назад +1

    wanao watafutia wapenzi wenyewe hawana wapenzi daaaa this life😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-sq4mo3mg2q
    @user-sq4mo3mg2q 4 месяца назад +1

    Eliza na huyo mwenzake mungu awape pigo,au wanamtaka mwanaume yupi,bc wakae uchi kama akina fulani walosahau hofu ya mungu

  • @hawababy120
    @hawababy120 4 месяца назад

    Waauuh couple nzuri❤❤❤

  • @upendogidion5167
    @upendogidion5167 4 месяца назад

    Katika Mr right zote hii n couple pendaaaaa saana

  • @RayyanRayyan-rt9cg
    @RayyanRayyan-rt9cg 4 месяца назад +1

    Wamependezana sanaa

  • @user-xs1yx1mr5k
    @user-xs1yx1mr5k 4 месяца назад

    Sijapenda yaan #LOLO kukubali kiurahisi maana mwanzo alikuwa mgumu lolo

  • @lilianeerica3318
    @lilianeerica3318 4 месяца назад +2

    Siku zote ukijifanya muelevu mambo yatakushinda😂😂😂😂😂 eliza kwani apo alikua kua teacher ama vip??