PENZI JIPYA | NITABADILISHA DINI | HELA IPO | ATANITUNZA | GOLDEN GIRL | HELLO MR RIGHT
HTML-код
- Опубликовано: 16 фев 2024
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder Развлечения
Nimefurahi sana na couple ya leo yaani vitu ni Boom boom ❤❤❤❤
Nimempenda mr right akiongea anaonekana mstaarabu na hana mdomo mdomo kama wnaume wengine 😂😂😂hongera lolo umepata bwana inshaallah abadili din kweli akuoe mama
lolo nae pia mpole mashaAllah❤
Lolo wanafanana na nelly
Wangon ni nyoko
Hapo Greyson umepata mke. Na kuhusu dini jitahidi kumshawishi Lolo atakubali kubadilisha deni baadae
Awa wastaarabu shkamoo
Uyo eliza mtoeni ni bibi aende nje anakera na kuwaharibia kazi buana ,amejikuta jaji wa mr.right hafato protocol atolewe buana
😂
Bora angechukuliwa na yule mzee stukaaa mwananguuu 😅🤣
Eliza bibi sana na sula lake kalificha na mekapu😂😂😂
Ni bibi alafu masharit kibao atakua nawatoto wengi
For sure anabore,halafu she is too old for that stage
Lilu diva napenda unavyo cheka hadi raha my sister ❤❤🎉🎉
Nzuli sana leo iko moja to jamani huyu Elizabeth simpendi anajisikia sana huyu kaka yuko very nice ❤😢
Uyo eliza ana mambo ya kijinga siku zote haelewi ana kichwa kigumu 😂😂😂😂😂
Ni kiazi ajifanya nzuri
@@user-bx6rf6nv4x ana uzuri gani mwenyew kama bibi
Au yeye kawekwa kwa ajili ya kuchangamsha shoo nini
Sasa bibi kizee kumbukumbuku zitoke wapi
Yaan aliyah apewe 🎉 meng na azid kwenye hiki kipind anajua kuwanyoosha hawa wadada❤❤
Kweli aisee😂😂
Yani natamani naeza mchamba
Imagin ndo umemchukua Eliza akawe mke wako my dear nakwambia utanyookaa 😅😅😅
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂 na komwe lake uyo Eliza haha bibi akalee wajukuuu uko atolewe
Amna uyu unamwitikia afu ungya nae ndoa unamnyosha bora ndoa ife ila ajue akuna zuzuu
😂
😂😂😂😂
Grayson + lolo was natural love wameendana na kupendezana
Eliza aelew bwana mtoen apo
Huyo eliza atolewe mana hasikilizi hata maongezi,anachoreka tu
Naona kama eliza anamdomo sana na dharau pia. Angeenda zake na yule mzee baharia 😂
Hata kwenye ndoa hawez kudum
😂😂😂shituka mwanangu
Ahhahahahahahahah jamn jamn hatr na nusu hahahah
Fact
😂😂😂😂mzee baharia
He is romantic ❤❤
Eliza bado niko na ww au wamtaka Gara B😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Hahahahaaaaaa
😂😂
😂😂😂😂😂
Anataka wakumpeleka Dubai ana paspot Haina muhuri na ana leseni Haina gari
Sio rahisi men kubadili dini, tuliosoma Cuba tumemuelewa mwamba, ila anazambi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😮niww ndy uwez kwendra uko
Hahahhahaha sanaaa
Mashaallah wamependezana sanaa nimependa sanaa hiyo mkaka mzurii sanaaa handsome hatimaye Lolo amepata mwenzawake jamn
Nimependa wanaendana sana 😘😘😘😘😘😘😘
Yan hii ndoa mtuletee humu ndani tuione😊
Ila nikua nakapenda kalolo Kako sweet Sana I love the couple
Eliza atakuja kumaliza hizo soda tu 😂😂😂
Hahahahaha 🤣🤣🤣
😂😂😂😂
😅😅😅😅
Hahahaaaa
@@ashamshona9321😂😂😂😂
Huyu Msichana Mbona Anaharibi MR.. Kwanini Hamupigia Marufuku Asije Hapo Anakera Sana....
Sana
AISEE SIJAWAI KUKOMENTI MR RIGHT , KIUKWELI HUYU DADA ELIZA MTOENI SIONI KAMA KUNA CHOCHOTE ANACHOKIFANYA HAPO.
True kuwaste tu masaa nvny sura ata akna
Kuna huyu Eliza na kuna yule Glady ni bure kabisa.... kujifanya na ujuaji mwingi😅
Lolo ni mzur sana hongera zake
Huu ni mnada wawanawake kweli dunia ipo mwisho mungu tuangalie wanao tunapotea tuoneshe njia sahihi
Kaka handsome Mashallah nimemuhusudu
Hatamimi kabadir kanifata mumewangu utapata baraka❤
Ndio kheir Mimi kama mwanaume si Muslim staki pressure
That was the best couple of all this 5th season so far.That man has dignity
Jamaniii iyi couple nimeyipendaaa❤❤
Toweni eliza hapo sio mwana mke wakuowa
😭
Huyo anajifanya mzuri halafu bibi😂😂😂
I..like..the..couple..it's.. awesome..🎉🎉
Hakuna wanwake hapo ni matapel kama wa tuma namba hiii😅😂
Ni wa kwel kabisa ata me nimepata mume apa
😂😂
Naombeni icho kibibi kieliza mkitoe pumbavu zake sanaaa
Anaongea kama kengele
Sigupendi gu eliza
@@user-mm8zs1qm1f 🤣🤣🤣Yan mm Eliza na zalishi siwaelew kabc
😂😂😂😂😂kwanz kibaya kimezeeka kama queen Elizabeth 😂
@@zaitunirashidi5532 😁😁😁bila shakaaaa
Elizza atabaki hapo hapo mpuuziiii
Huyo Eliza mjuwajii ile mbaya ikisha hajui kitu 😂😂😂😂😂😂
Je warundi wanakuja my❤😂
Congratulations wajina greyson
Huyo Elizaa hajielewi.Atasimama xana hapo kwenye podium
Kaka ni gentleman saana❤️🥰
Eliza hana bahat yakuolewa anaringa sana anajiona mzur wakat ni wakawaida tu
Amazing couple and love lots
Nimerudia mara mbili kuangalia hii .nimeipenda sana hii couple.mkaka anaupendo sana
Inasikitisha sana yaani kubadili dini kutoka Grayson mpaka shabani madobe duh 😂😂😂 huyu jamaa anatakiwa afikirie mala mbili mbili
😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌
😊😊😊😊
Kama mzize alivyobadili kutoka Clement mpaka Warid
Hii nimeipenda mno mungu awape maelewabo inshaallah ❤
Waooooo nawapenda sana ❤❤❤
Wow love is beautiful 😍 ❤
Eliza ajifunze kauli zake zinamponza
Lolo nakupendaaa bureeee umenifurahisha saana kbisa
so nice program ❤❤❤🙏🙏🙏😂
Nice 🔥🔥
Manshallah wamependezana kbsa
Ile notion ya bcz of love, nnamashaka nayo, mwamba anaenda kula mzigo nakuuacha kwenye njiapanda🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😅😅😅
Hivi ni mweli kwenye hii stage ya mr. Right unaondoka nae au ni danganyatoto?😅
..❤Woow🎉
Aaa ww msenge una badl din kisa uyo dem
Imagine😢😢
Kipenda roho kaka 😂
Nimeona wanaume wengi wakifanya hivyo mwishowe hurudi tena kwenye dini yake akishapata alichokitaka
Jaman huyu kaka anaonekana mstaarabu sana😊❤
Wameendana jaman lolo na grayson ❤❤❤
Kalolo kazuri ,karembo na kasitarabuu wow good couple ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤i wish you all the best❤❤❤❤
Ni tukio la kufurahisha sana, kuna golden girls wengi sana waliopita walipojijua kuwa ni golden girl maringo kibao,lkn huyu mrembo hakuwa na mengi,ningekuwa na namba uaje ningemtupia buku big LOLO❤❤❤
😂😂😂weeee elizaa embu poteleaa mbalii mwanakwendaa wee
Eliza ata shule alikuwa haelewi ni class mate wangu kichwa maji 😂
🤣😂🤣Ndio ni class mate wetu aelewagii na mm namjua 😂🤣
😂
Hatarii
Nipeni namba ya Mr Right😍😍😍 anajielewa sana😊
Oya mwanangu umetisha wemkali kweli uko makin sana
Aliya tha best ana juwa kukweli wanaendanaaa ❤❤❤❤❤❤ kweli
Nyinyi mnaoendesha kipindi mjue mnadhambi Sanna , kweli dalili zakiama.......mnakaa uchi mitandaoni tu
Woow❤
Eliza alijuwa yeye ndo golden girl ndomaana alikuwa anajizima data 😂 sasa kapigwa nakitu kizito kabaki mdomo waazi 😂😂😂😂😂😂😂
Wamependezana sana Lolo yuko mucute sana jamn najiona mm huwiiiiii😅
Maleo Umetuwakilisha Vema Kaka😊😊😊
Hii nimeipenda hattaryyy❤❤❤
Wow nice ❤️
Wanapendezana sana
Muisilamu na hana hijab subhanallah amebadika manywele ata sio ajabu hajui kuoga janaba
Wajanja hao hzo ni mbinu zakumpata mume
Kuoga tena jamani mmmh
@@user-il8wx3eq8i elewa sentence mwanzo nmesema kuoga janaba kama hujui n nn sema ufundishwe juu pia nyie wakristo hamjui kuoga janaba
Nimpendaa
Waoooo wamependeza
Wifii njoo kwetu sisi wangoni tunajua kupenda😁😁😁
Mr right yupo straight en brain ake smart sanaaa wadada hatuna akil muda mwingine
ukitaka upoteze mwelekeo na ukuu wako kwenye maisha jaribu kubadili dini hata kwasiku moja ,watu wanadhani ni jambo la kawaida kama vile kubadili nguo lakini kiukweli unapo badili dini unabadili yule unaemwabudu siku hii unaabudu mungu kesho unaabudu pepo(shetani), mungu wetu ni mungu mwenye wivu. mfalme sulemani mwana wa daudi aliemjengea mungu hekalu jerusalemu hadi watu toka dunia nzima wakawa wanaenda kuabudu huko kila mwaka, siku alipo oa mwanamke anae abudu miungu na suleimani akaiabudu .,Mungu akauvua uzao wake ukuu juu ya israel katika makabila 12 ya israeli akambakizia 2 mengine yote wakapewa wengine.nahiyo imetokea kwa wafalme wengi kama vile yeroboumu, belishaza, na wengine wengi. mwanaume yeyote mwenye misingi imara misingi yake inapimwa kwa uwezo wa kuitunza imani yake.
Uyo eliza cmpend jman mtoeni hapoo hn hja y mchumba huyo mtu kashazeek anatk akuzeesh n wew Aalya😂😂😂
Mbona mnaleta na wabibi huku, huyo eliza m’bibi mtoeni banaa
Nyie hiii ni couple❤️🥰
Eliza shavu linachuma kunde lkn bado yumo kwenye uchambuziii....
😂😂😂wallah
Nimependa Hilo kbs
Eliza asubiri wazee waliofiwa waje kumchukua 😂😂😂😂
J,ai aime cette couple ❤
Uyo dada asipande on stage wapen watu nafasi ya kumpata mr.right wao
Wow kijana wa kingon mr right
Wanapendezana kinoma ❤
Jamaa kanichukulia lolo wangu aise dahhh
Bhanaaa hawa wadada wanataka nini lakini😢😢 alivyoita hiyo eliza......chaiiiii this guy ooo😊😊
Wakina Elizabeth sio kama ww hujitambui dada utazeeka hapo
Linaboa sana alafu linajikuta kigori kumbe saa kumi jioni.
Hahahaha
Hili nikundi lavibaka mapenz gn sikuiyo iyo wanapendana hakuna ata kuzoeana mara unaingiza shingp kwa mwez yn hawa wanaunda kundi lavibaka
Ntakuja niondoke na huyo mwanamke mwenye kidomo domo Eliza jiandae nakuja kukutoa hapo 😂😂
Huyu msela zaifu sana! Na huyu demu huko mbele ya safar atampelekesha sana msela
Umeona kama mm😮
Hapana kawaida tu
Hawez kubadili anamdanganya ivi nyie wakatolik mnawajua Yan hapa kasema tu ila mwanaume kubadili Dini anaweza kubadili mbele za watu lakin badae akalud lait wangemuwa wanatupatia mrejesho tungejua
daaaah kweli jamaaa zaifu sanaaa dem atamutesa mnooo
Yan apo anamchukua anaend kuhakikish binti kafall atachagua yy kupotez mwanaum au kufat dini ya mwanaum😂 uyo kaka akibadil niitwe mbwa
Ivi uyo dada naitwa eliza uwa anajielewa kweli😂😂😂
Mbona ndoa na maisha yao hamtuleteiii,,,ili tuendelee kuamini kazi zenu tupeni feedback😅
wanao watafutia wapenzi wenyewe hawana wapenzi daaaa this life😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😅😅😅
Eliza na huyo mwenzake mungu awape pigo,au wanamtaka mwanaume yupi,bc wakae uchi kama akina fulani walosahau hofu ya mungu
Waauuh couple nzuri❤❤❤
Katika Mr right zote hii n couple pendaaaaa saana
Wamependezana sanaa
Sijapenda yaan #LOLO kukubali kiurahisi maana mwanzo alikuwa mgumu lolo
Siku zote ukijifanya muelevu mambo yatakushinda😂😂😂😂😂 eliza kwani apo alikua kua teacher ama vip??