PENZI JIPYA | NAMPENDA SANA MUONEKANO WAKE HELLO MR RIGHT
HTML-код
- Опубликовано: 12 янв 2024
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder Развлечения
Uyu jamaa ameniboa na hiyo kutafuna tafuna😂
Huwa maraya Hawa wanao tafuta boblishi
@@monirangerera7155 wamekosa kutafuta wanawake inje wanaenda kununua hapo 🙆
Umeona hajieshimuuuuuu
Inamfanya mtu aonekane local Sana anatafuna Manini sasa😂😂😂😂😂
Jamani nisameheni me napendaga2 kutafuta bablish et😅
Eliza na zarish 😂😂mtakaa hapo kama mabalozi wa nyumba kumi😂
😀
Lulu diva you're beautiful..congrats
Duuuh masikini eliza haamini anachokiona😂😂😂😂amewakataa wengi sanaa😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂 leo Eliza limemkuta jambo 😅😅😅😅😅weupe wake huwa unamdanganya xana
Uyo zarish atafte hela aache upuuzi😂😂😂et nahitaji hela nyoko zke...😂😂😂
eliza anajiona sana tena kakomeshwa kabisa anajiona yeye ndoo mzur dunia nzima
We kaka unajuwa kuchangua apo umepata mke mwema ❤
Uwakika kaka umepatachombo
We miso misondo umepigaje hapo kwa Eliza 😂
Uyu zarich amna mtu kabisa Uta kaa Sana apo
Najua mwenye ameona hii atanipea support
Chewing jamaniiii😢😢😢😢😢😢
Eliza kapigwa n kitu kizito😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Eliza 😂😂😂yame mkuta na yeye
Mtafuno mwiiingi jamani 😢😮😂😂😂 sijapenda
Kwanza niwapokeze lulu ❤pamoja na viongozi wake jamnii nawapenda sana🥰🥰🫂🫂
Duuuh leo nimekuwa wakwanza nipeni like zang
Anaboa kutafuna uyoooooo aseee
Very nice 🎉
Leo lulu diva umevaa vzr umependeza dear love you
Eliz leo zamu yko kukataliwa😂😂😂😂
Unyama sana 🎉
Eliza ULIKUWA unawakataa sana watu Sasa jifunze
Mr light nime mwelewa sana jama kaongea point hongela zake
Eliza haamini kilichotokea😂😂😂
ELIZA LEO KAACHWA ANAJIONA MZURI😂
Mzuri kweli Si uongo
@@khadijaabdhalla9669 mbona haolewi anahangaika kujitangaza
Eliza umekoma unazidi kuchaguwa sana
Eliza aliringa sana na nilisema atakuja penda na asipendwe,pole yake😢😊😂
Eliza malipo duniani 😂😂😂😂 kuna kaka uli mnanga
Nitumie number nikutafute dada
Sasa
Mimi nikupe namba au uyo eliza wa mr right
Safiiiii sana mkaka my Hy ndie mkee wako
" mim ni mwanamke mzuri naitaji matunzo bila hela siendi"
Wanaume popote mlipo hebu jaribuni kuitafakari hii kauli😂😂😂,,
hamna mke hapo atakutesa sana huyo daah yani wanawake wa ovyo kabisa
😂😂😂 safiii sana Elizabeth kibibi alafu anajikuta kachaguliwa na wanaume wengi sana kawakataaaa safiii kbs, kibibi atabaki apooo😂
Hhhhhhhhhh jmn daaah Elza anatia hurum
Careen is so pretty and cool
Syo mzuri uyo aliyo mchaguwa eliza beautiful ❤❤❤❤
Glady na Eliza katafute wanaume mtaani hapo tumeshawachoka kila siku mpo halafu nyodo nyingi wenyewe wabayaaaaa khaaaa!!!
😂😂😂😂😂😂
Inaitwa not everyone cup of tea Eliza 😂
Cheko la Aliya 😂😂😂
Hapa wakaka mnatakiwa mje magaidi tu 😂😂😂
Eliza kaongea kama anaugomvi😂😂😂😂😂😂
Namtafuta huyo eliza kama unazo contracts zake nisaidie
Safi careen ni mzuri sana
Kumbe wakipenda wao ao wanawake kisha wakakataliwa huwa wanajickia vibaya ee uyo eliza alikuwa ana uhakika kuwa atachaguliwa yeye kwa uzuri wk kumbe hajui kuwa wanaume huwa hawaangalii sn uzuri wanaangalia maini me nimefrahi sn kukataliwa mn vipande vya nyuma yeye ndo mwanamke alie chaguliwa n wanaume zaidi y 5 wote kawakataa 😂 Leo kakataliwa yeye 😂😂😂
Muosha huosha
😁😁
@@florahfrancis1613muosha huoshwa
Leo kaoshwa alafu hata sio mzur ni keupe tu
Eliza huo weupe unakuzuzua unafkiri utamchanganya kila mwanaume pole mwaya leo zamu yako kukataliwa😮😮
Malipo n hapa hapa
Huyo eliza mshahili apo atafuti mume anatafuta danga Lizzy mdangaji mzuri huyu dada chamazi ukienda utamkuta sana
@@user-yr5wj5bz4w 🤣🤣🤣siyo vzr
Anachagua sana uyo eliza😂
@@user-yr5wj5bz4w mwachen achague had azeek
😂😂😂 Huyu jamaa namfahamu
Aaliah khaaaa!!!
We misomisondo umpepigaje apo🤣🤣🤣 Eliza haaminiiii anachokionaaaa🤭🤭🤭
Kingine waking lulu na wenzie wapunguze kuongea sana wana kula muda wa kipindi
Uyu zarish nimjuaji tu, kila mwanamume anakuàga na kasoro kwake yy kila kitu kwake tatizo ajui kuchanganua mambo.
Looo white and black ndo inanoga naona watu kumyari Eliza wa watu 😢
Weeeeeh nkaliii hiii
Inawezakana napi siowake
Eti mzuri nataka matunzo. Number huyo dada anajiuza. Shenzi
Zarish ni mwehu kwa kweli
Eliza you're cute
HIVI HAWA WASICHANA WANAOENDA UKU WANA AKILI. KWELII HAWA
Hata wanaume pia wanaowafuata huko wanaakilikweli
Glady fanya uondoke umekaa mda mrefu sana
Tens mapema anajifanya kasoma sana anachagua chagua
Tens mapema anajifanya kasoma sana anachagua chagua
Tens mapema anajifanya kasoma sana anachagua chagua
Kupigwa ndio mapenz
Hao wanaume ni waongo wangekua wanaulizwa na max wao wangeaibika
Hivi wanapimaga afya kwanza huyu kanywa alafu kamnywesha
Mate hayana maambukizi
Zarish anamaanisha anajiuza arikua anataka hela kwa mme wake
Mbona wazeee
Brother nimekubali uchaguzi sahihi kabisa
Yy si hodar kukataa wt ss leo kwa kwake
Dada lulu like beautiful ❤
Uyu dada alikuja wakwake akawakataa akomae
Maisha yanaenda kasiii sana huyu glady nae anakosoa wanaume😂 sura kama mkuki wa mmasai😂..huyo zarish si alisema kwa siku anaingiza laki 6😂😂 imekuaje tena kaja kwenye kipindi kudanga😂😂
apo kwenye sura kama mkukii😅😅
Huyo glad angekua mzuri tungekoma😂😂😂 msomi lakin elimu yake Bado haija msaidia.. kingereza cha hovyo … pia pointless kila akiongea😂
Mtu a natafuta Kama mbuzi 😂😂😂
Nice
Mr. Right anajua kuchagua kweli kaacha Eliza pisi kali..😅😅
Dj mwendelezo jmn
Huyo Eliza Acha akome wanaumme wengi wame mupenda lakini anawakata .kajiona mzuri sana kazaniya kwamba watamuchaguwa yeye ona sasa mubaya anaondoka unabaki nauzuri wako apo😃😃😃
😂😂😂😂
Ata huyo alio ondoka sio mbaya ukisema mbaya kwan kajiumba umeongea vzl ila hilo neno umekosea eti mbaya
😂😂😂
Elizabeth kuchamba kwingi ndio😮😮
Eliza Leo kaachwa mzuri❤😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂
Ex mtamu ww🎉😂😂
Eliza.... mwenyew ashaga mkataa mdau😂
😂😂😂
Aibuuu Kwa eliza
Hakuna mke hapo bali kuna wake za watu walioachika kisa pesa,aloooo Dunia inaenda kasi sana.
Mmmh Eliza wamuajiri tu auze hizo soda mana podium ishamzoeaa😂😂😂
Eliza mimi nampenda balaa
Hhhhhhh elizaa jogoo mnyonge 😂😂😂
Yan hili li dayan lina dharau na linavaa uchi
Umeonaje hiyoo
Eleza Unaonaje Mimi Nipo Kwaajiliyako...???
Kupigwa ndio mapenz😮😮
Mbona Eliza mwenyewe mzeee
😂😂Mimi nilijua tu.Eliza kutoboa ni issue,inabidi abadilike kwanza.Eliza kumuweka ndani shughuli
nakuja apo kumchukua eriza
Mr right .dont ever go to the show..chewing ,bad manners
Anataftia confidence
True! Shameful!!!
Mbuzi Mtu yule😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Jamani gala b punguzeni Saudi ya mziki mana hatuwaskii waledwa
❤❤
Hii mr. right wanawake ni walewale? Mbona wanawake waliyopata waume Mbona still wapo mjengoni?
Ama kweli huu Ndio uongo uliyoenda shule 😂😂😂
We zayrish una uzuri gani kimeo tu au urefu kwa mwanamke Ni uzuri siku izi
Shoga haamini anachokiona
Eti mi mzuri unajiona lakini alafu sijui kwanini mibaya ndio inalinga sana
Nainjoi sana
Zarishi mpuuzi we nan kakudanganya wewe mzuri
Mbona anatafuna kama mbuzi aonyeshi awareness kwamba yuko sehemu ya interview
Zaylish mjinga sana Kaz kukosoa Mr right
Eliza weeeeeeeeee
Jamani huyo zaylish atolewe maana anaker nakuharibu pia
Mbona mnakera Sana nyie video fupi fupi sa Kuna haja gani yakurusha humu
Hata mimi ningechagua huyo black maana yuko normal hana mambo mengi✅✅✅✅
Kitukizito hichooo