PENZI JIPYA | NAMPENDA SANA MUONEKANO WAKE HELLO MR RIGHT

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 янв 2024
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 271

  • @user-xo4xq6rr3f
    @user-xo4xq6rr3f 5 месяцев назад +36

    Uyu jamaa ameniboa na hiyo kutafuna tafuna😂

    • @monirangerera7155
      @monirangerera7155 4 месяца назад

      Huwa maraya Hawa wanao tafuta boblishi

    • @user-xo4xq6rr3f
      @user-xo4xq6rr3f 4 месяца назад

      @@monirangerera7155 wamekosa kutafuta wanawake inje wanaenda kununua hapo 🙆

    • @user-zx1kb7pv4p
      @user-zx1kb7pv4p 4 месяца назад

      Umeona hajieshimuuuuuu

    • @bhokejaqulineelias4197
      @bhokejaqulineelias4197 3 месяца назад

      Inamfanya mtu aonekane local Sana anatafuna Manini sasa😂😂😂😂😂

    • @theeaglefilmproduction4567
      @theeaglefilmproduction4567 2 месяца назад

      Jamani nisameheni me napendaga2 kutafuta bablish et😅

  • @mariamkibindo1741
    @mariamkibindo1741 4 месяца назад +11

    Eliza na zarish 😂😂mtakaa hapo kama mabalozi wa nyumba kumi😂

  • @omarsakwa-zs2zy
    @omarsakwa-zs2zy 5 месяцев назад +16

    Lulu diva you're beautiful..congrats

  • @fayverenah
    @fayverenah 5 месяцев назад +16

    Duuuh masikini eliza haamini anachokiona😂😂😂😂amewakataa wengi sanaa😂😂😂

  • @SashaOscar
    @SashaOscar 5 месяцев назад +14

    😂😂😂😂😂😂😂😂 leo Eliza limemkuta jambo 😅😅😅😅😅weupe wake huwa unamdanganya xana

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss8485 5 месяцев назад +13

    Uyo zarish atafte hela aache upuuzi😂😂😂et nahitaji hela nyoko zke...😂😂😂

  • @lydiagodfrey5959
    @lydiagodfrey5959 5 месяцев назад +18

    eliza anajiona sana tena kakomeshwa kabisa anajiona yeye ndoo mzur dunia nzima

  • @RoseKesi-zj4yy
    @RoseKesi-zj4yy 5 месяцев назад +15

    We kaka unajuwa kuchangua apo umepata mke mwema ❤

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 5 месяцев назад +11

    We miso misondo umepigaje hapo kwa Eliza 😂

  • @katolekiki368
    @katolekiki368 5 месяцев назад +29

    Uyu zarich amna mtu kabisa Uta kaa Sana apo

  • @kakoxspgnewton
    @kakoxspgnewton 5 месяцев назад +6

    Najua mwenye ameona hii atanipea support

  • @eleanorkinadiali4721
    @eleanorkinadiali4721 5 месяцев назад +7

    Chewing jamaniiii😢😢😢😢😢😢

  • @Soan16
    @Soan16 5 месяцев назад +5

    Eliza kapigwa n kitu kizito😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @katolekiki368
    @katolekiki368 5 месяцев назад +7

    Eliza 😂😂😂yame mkuta na yeye

  • @JoyceMwangangi-qh6tf
    @JoyceMwangangi-qh6tf 3 месяца назад +1

    Mtafuno mwiiingi jamani 😢😮😂😂😂 sijapenda

  • @stellatwaah3242
    @stellatwaah3242 2 месяца назад

    Kwanza niwapokeze lulu ❤pamoja na viongozi wake jamnii nawapenda sana🥰🥰🫂🫂

  • @user-od9jk1yq1e
    @user-od9jk1yq1e 5 месяцев назад +39

    Duuuh leo nimekuwa wakwanza nipeni like zang

  • @gangmusicband3012
    @gangmusicband3012 5 месяцев назад +4

    Very nice 🎉

  • @salummakenzi4846
    @salummakenzi4846 5 месяцев назад +4

    Leo lulu diva umevaa vzr umependeza dear love you

  • @irenemacha5661
    @irenemacha5661 5 месяцев назад +6

    Eliz leo zamu yko kukataliwa😂😂😂😂

  • @francengosha7157
    @francengosha7157 5 месяцев назад +5

    Unyama sana 🎉

  • @janerachel1622
    @janerachel1622 5 месяцев назад +5

    Eliza ULIKUWA unawakataa sana watu Sasa jifunze

  • @levygasper7438
    @levygasper7438 5 месяцев назад +3

    Mr light nime mwelewa sana jama kaongea point hongela zake

  • @jennet6484
    @jennet6484 5 месяцев назад +7

    Eliza haamini kilichotokea😂😂😂

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 5 месяцев назад +16

    ELIZA LEO KAACHWA ANAJIONA MZURI😂

  • @user-sq1ew8pw3g
    @user-sq1ew8pw3g 5 месяцев назад +13

    Eliza umekoma unazidi kuchaguwa sana

    • @ashamjeni292
      @ashamjeni292 5 месяцев назад +1

      Eliza aliringa sana na nilisema atakuja penda na asipendwe,pole yake😢😊😂

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 5 месяцев назад +17

    Eliza malipo duniani 😂😂😂😂 kuna kaka uli mnanga

  • @neemapaul9073
    @neemapaul9073 5 месяцев назад +2

    Safiiiii sana mkaka my Hy ndie mkee wako

  • @rhodarichard4494
    @rhodarichard4494 5 месяцев назад +7

    " mim ni mwanamke mzuri naitaji matunzo bila hela siendi"
    Wanaume popote mlipo hebu jaribuni kuitafakari hii kauli😂😂😂,,

    • @user-bn1uv9ev9y
      @user-bn1uv9ev9y 5 месяцев назад

      hamna mke hapo atakutesa sana huyo daah yani wanawake wa ovyo kabisa

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 5 месяцев назад +9

    😂😂😂 safiii sana Elizabeth kibibi alafu anajikuta kachaguliwa na wanaume wengi sana kawakataaaa safiii kbs, kibibi atabaki apooo😂

    • @rehemamajama4670
      @rehemamajama4670 5 месяцев назад

      Hhhhhhhhhh jmn daaah Elza anatia hurum

  • @jamesbutendeli4511
    @jamesbutendeli4511 5 месяцев назад +4

    Careen is so pretty and cool

  • @user-it6to6ws5r
    @user-it6to6ws5r 4 месяца назад

    Syo mzuri uyo aliyo mchaguwa eliza beautiful ❤❤❤❤

  • @Happinesabella3654
    @Happinesabella3654 5 месяцев назад +4

    Glady na Eliza katafute wanaume mtaani hapo tumeshawachoka kila siku mpo halafu nyodo nyingi wenyewe wabayaaaaa khaaaa!!!

  • @maurinemwesh5280
    @maurinemwesh5280 5 месяцев назад +3

    Inaitwa not everyone cup of tea Eliza 😂

  • @user-nt9zj3yk9x
    @user-nt9zj3yk9x 3 месяца назад +1

    Cheko la Aliya 😂😂😂

  • @isabellamichael1025
    @isabellamichael1025 5 месяцев назад +2

    Hapa wakaka mnatakiwa mje magaidi tu 😂😂😂

  • @user-li1fl4jp3r
    @user-li1fl4jp3r 5 месяцев назад +7

    Eliza kaongea kama anaugomvi😂😂😂😂😂😂

    • @moussagiza3723
      @moussagiza3723 Месяц назад

      Namtafuta huyo eliza kama unazo contracts zake nisaidie

  • @user-wv9wc6yr1u
    @user-wv9wc6yr1u 5 месяцев назад +1

    Safi careen ni mzuri sana

  • @alhilayali4200
    @alhilayali4200 5 месяцев назад +7

    Kumbe wakipenda wao ao wanawake kisha wakakataliwa huwa wanajickia vibaya ee uyo eliza alikuwa ana uhakika kuwa atachaguliwa yeye kwa uzuri wk kumbe hajui kuwa wanaume huwa hawaangalii sn uzuri wanaangalia maini me nimefrahi sn kukataliwa mn vipande vya nyuma yeye ndo mwanamke alie chaguliwa n wanaume zaidi y 5 wote kawakataa 😂 Leo kakataliwa yeye 😂😂😂

    • @florahfrancis1613
      @florahfrancis1613 5 месяцев назад

      Muosha huosha

    • @joyce55727
      @joyce55727 5 месяцев назад

      😁😁

    • @joyce55727
      @joyce55727 5 месяцев назад

      ​@@florahfrancis1613muosha huoshwa

    • @banguha
      @banguha 5 месяцев назад

      Leo kaoshwa alafu hata sio mzur ni keupe tu

  • @roseafrael75
    @roseafrael75 5 месяцев назад +47

    Eliza huo weupe unakuzuzua unafkiri utamchanganya kila mwanaume pole mwaya leo zamu yako kukataliwa😮😮

    • @amoslucas1247
      @amoslucas1247 5 месяцев назад +2

      Malipo n hapa hapa

    • @user-yr5wj5bz4w
      @user-yr5wj5bz4w 5 месяцев назад +3

      Huyo eliza mshahili apo atafuti mume anatafuta danga Lizzy mdangaji mzuri huyu dada chamazi ukienda utamkuta sana

    • @roseafrael75
      @roseafrael75 5 месяцев назад

      @@user-yr5wj5bz4w 🤣🤣🤣siyo vzr

    • @aceeofficial255
      @aceeofficial255 5 месяцев назад +1

      Anachagua sana uyo eliza😂

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 5 месяцев назад

      @@user-yr5wj5bz4w mwachen achague had azeek

  • @prijoseph4665
    @prijoseph4665 4 месяца назад +1

    😂😂😂 Huyu jamaa namfahamu

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 3 месяца назад

    Aaliah khaaaa!!!

  • @kizaikonsolat70
    @kizaikonsolat70 5 месяцев назад +1

    We misomisondo umpepigaje apo🤣🤣🤣 Eliza haaminiiii anachokionaaaa🤭🤭🤭

  • @mwanaimaagrey6857
    @mwanaimaagrey6857 5 месяцев назад +3

    Kingine waking lulu na wenzie wapunguze kuongea sana wana kula muda wa kipindi

  • @ASUKULUNYASSA-hf6wk
    @ASUKULUNYASSA-hf6wk 5 месяцев назад +2

    Uyu zarish nimjuaji tu, kila mwanamume anakuàga na kasoro kwake yy kila kitu kwake tatizo ajui kuchanganua mambo.

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 5 месяцев назад +3

    Looo white and black ndo inanoga naona watu kumyari Eliza wa watu 😢

  • @jumwablandina5773
    @jumwablandina5773 3 месяца назад

    Weeeeeh nkaliii hiii

  • @nashatHashimmohamad
    @nashatHashimmohamad Месяц назад

    Inawezakana napi siowake

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 5 месяцев назад

    Eti mzuri nataka matunzo. Number huyo dada anajiuza. Shenzi

  • @Dorcaskiwale-ir6ec
    @Dorcaskiwale-ir6ec 2 месяца назад

    Zarish ni mwehu kwa kweli

  • @omarsakwa-zs2zy
    @omarsakwa-zs2zy 5 месяцев назад +4

    Eliza you're cute

  • @fabiannjovu2273
    @fabiannjovu2273 5 месяцев назад +4

    HIVI HAWA WASICHANA WANAOENDA UKU WANA AKILI. KWELII HAWA

    • @user-qe5sk4gd6e
      @user-qe5sk4gd6e 5 месяцев назад +1

      Hata wanaume pia wanaowafuata huko wanaakilikweli

  • @Lushinge27
    @Lushinge27 5 месяцев назад +8

    Glady fanya uondoke umekaa mda mrefu sana

    • @bhokesamo6369
      @bhokesamo6369 5 месяцев назад

      Tens mapema anajifanya kasoma sana anachagua chagua

    • @bhokesamo6369
      @bhokesamo6369 5 месяцев назад

      Tens mapema anajifanya kasoma sana anachagua chagua

    • @bhokesamo6369
      @bhokesamo6369 5 месяцев назад

      Tens mapema anajifanya kasoma sana anachagua chagua

  • @nashatHashimmohamad
    @nashatHashimmohamad Месяц назад

    Kupigwa ndio mapenz

  • @FidasMwaiteghelesya-hw9qs
    @FidasMwaiteghelesya-hw9qs 5 месяцев назад +1

    Hao wanaume ni waongo wangekua wanaulizwa na max wao wangeaibika

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 5 месяцев назад +5

    Hivi wanapimaga afya kwanza huyu kanywa alafu kamnywesha

  • @JumaMarwa-hc9te
    @JumaMarwa-hc9te 16 дней назад

    Zarish anamaanisha anajiuza arikua anataka hela kwa mme wake

  • @janemartine5967
    @janemartine5967 5 месяцев назад

    Mbona wazeee

  • @JacksonMartin-pb2vq
    @JacksonMartin-pb2vq 4 месяца назад

    Brother nimekubali uchaguzi sahihi kabisa

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 5 месяцев назад +2

    Yy si hodar kukataa wt ss leo kwa kwake

  • @abdulkarimaliissa4352
    @abdulkarimaliissa4352 4 месяца назад

    Dada lulu like beautiful ❤

  • @user-wu6dx3ho4e
    @user-wu6dx3ho4e 5 месяцев назад +3

    Uyu dada alikuja wakwake akawakataa akomae

  • @neemaberny3598
    @neemaberny3598 5 месяцев назад +3

    Maisha yanaenda kasiii sana huyu glady nae anakosoa wanaume😂 sura kama mkuki wa mmasai😂..huyo zarish si alisema kwa siku anaingiza laki 6😂😂 imekuaje tena kaja kwenye kipindi kudanga😂😂

    • @CelinCelineort
      @CelinCelineort 5 месяцев назад +1

      apo kwenye sura kama mkukii😅😅

    • @angelamgalula8457
      @angelamgalula8457 5 месяцев назад

      Huyo glad angekua mzuri tungekoma😂😂😂 msomi lakin elimu yake Bado haija msaidia.. kingereza cha hovyo … pia pointless kila akiongea😂

  • @user-be8lg5wb3m
    @user-be8lg5wb3m Месяц назад

    Mtu a natafuta Kama mbuzi 😂😂😂

  • @user-ep4hl6jd4q
    @user-ep4hl6jd4q 4 месяца назад

    Nice

  • @Abdumfaume
    @Abdumfaume 5 месяцев назад +6

    Mr. Right anajua kuchagua kweli kaacha Eliza pisi kali..😅😅

  • @user-ok2pi9im3d
    @user-ok2pi9im3d 2 месяца назад

    Dj mwendelezo jmn

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 5 месяцев назад +7

    Huyo Eliza Acha akome wanaumme wengi wame mupenda lakini anawakata .kajiona mzuri sana kazaniya kwamba watamuchaguwa yeye ona sasa mubaya anaondoka unabaki nauzuri wako apo😃😃😃

    • @niyonkuruconsolee7820
      @niyonkuruconsolee7820 5 месяцев назад

      😂😂😂😂

    • @joyce55727
      @joyce55727 5 месяцев назад +1

      Ata huyo alio ondoka sio mbaya ukisema mbaya kwan kajiumba umeongea vzl ila hilo neno umekosea eti mbaya

    • @user-qm3ov7mj6u
      @user-qm3ov7mj6u 5 месяцев назад

      😂😂😂

  • @user-sj6qh3yr5t
    @user-sj6qh3yr5t 3 месяца назад

    Elizabeth kuchamba kwingi ndio😮😮

  • @JackineMdugala-xs8ht
    @JackineMdugala-xs8ht 2 месяца назад

    Eliza Leo kaachwa mzuri❤😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂

  • @jafthomthomas6420
    @jafthomthomas6420 5 месяцев назад

    Ex mtamu ww🎉😂😂

  • @JosephDeogratias-up3im
    @JosephDeogratias-up3im 5 месяцев назад +2

    Eliza.... mwenyew ashaga mkataa mdau😂

  • @user-fr1ck1ii7p
    @user-fr1ck1ii7p 4 месяца назад +1

    Aibuuu Kwa eliza

  • @African511
    @African511 5 месяцев назад

    Hakuna mke hapo bali kuna wake za watu walioachika kisa pesa,aloooo Dunia inaenda kasi sana.

  • @YazrinKajia-rk8fc
    @YazrinKajia-rk8fc 3 месяца назад

    Mmmh Eliza wamuajiri tu auze hizo soda mana podium ishamzoeaa😂😂😂

  • @bahatiiddibahatiiddi-be5nj
    @bahatiiddibahatiiddi-be5nj 5 месяцев назад +1

    Eliza mimi nampenda balaa

  • @user-tr5ld8sv8i
    @user-tr5ld8sv8i 3 месяца назад

    Hhhhhhh elizaa jogoo mnyonge 😂😂😂

  • @kingthedon508
    @kingthedon508 5 месяцев назад +1

    Yan hili li dayan lina dharau na linavaa uchi

  • @josierjosmail4195
    @josierjosmail4195 4 месяца назад

    Umeonaje hiyoo

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 5 месяцев назад +2

    Eleza Unaonaje Mimi Nipo Kwaajiliyako...???

  • @nashatHashimmohamad
    @nashatHashimmohamad Месяц назад

    Kupigwa ndio mapenz😮😮

  • @janemartine5967
    @janemartine5967 5 месяцев назад

    Mbona Eliza mwenyewe mzeee

  • @chrisantusnditi8670
    @chrisantusnditi8670 2 месяца назад

    😂😂Mimi nilijua tu.Eliza kutoboa ni issue,inabidi abadilike kwanza.Eliza kumuweka ndani shughuli

  • @DanielyLuyenga-zf1bb
    @DanielyLuyenga-zf1bb Месяц назад

    nakuja apo kumchukua eriza

  • @omarsakwa-zs2zy
    @omarsakwa-zs2zy 5 месяцев назад +7

    Mr right .dont ever go to the show..chewing ,bad manners

  • @mwanaimaagrey6857
    @mwanaimaagrey6857 5 месяцев назад

    Jamani gala b punguzeni Saudi ya mziki mana hatuwaskii waledwa

  • @abdulkarimaliissa4352
    @abdulkarimaliissa4352 4 месяца назад

    ❤❤

  • @user-wh2bl8kk6j
    @user-wh2bl8kk6j 5 месяцев назад

    Hii mr. right wanawake ni walewale? Mbona wanawake waliyopata waume Mbona still wapo mjengoni?
    Ama kweli huu Ndio uongo uliyoenda shule 😂😂😂

  • @user-pg9dv9vo8p
    @user-pg9dv9vo8p 3 месяца назад

    We zayrish una uzuri gani kimeo tu au urefu kwa mwanamke Ni uzuri siku izi

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 5 месяцев назад +2

    Shoga haamini anachokiona

  • @SefuHabibu-sn8cx
    @SefuHabibu-sn8cx 5 месяцев назад

    Eti mi mzuri unajiona lakini alafu sijui kwanini mibaya ndio inalinga sana

  • @jumamarere9790
    @jumamarere9790 3 месяца назад

    Nainjoi sana

  • @user-wi3wf8im3q
    @user-wi3wf8im3q 5 месяцев назад

    Zarishi mpuuzi we nan kakudanganya wewe mzuri

  • @PureSoul-rf4xd
    @PureSoul-rf4xd Месяц назад

    Mbona anatafuna kama mbuzi aonyeshi awareness kwamba yuko sehemu ya interview

  • @BerthaMwisu
    @BerthaMwisu 5 месяцев назад

    Zaylish mjinga sana Kaz kukosoa Mr right

  • @HADSONPAUL
    @HADSONPAUL 5 месяцев назад

    Eliza weeeeeeeeee

  • @user-zm9sd4cm3d
    @user-zm9sd4cm3d 3 месяца назад

    Jamani huyo zaylish atolewe maana anaker nakuharibu pia

  • @zakaliajoseph7705
    @zakaliajoseph7705 5 месяцев назад +3

    Mbona mnakera Sana nyie video fupi fupi sa Kuna haja gani yakurusha humu

  • @abdultandala6576
    @abdultandala6576 5 месяцев назад

    Hata mimi ningechagua huyo black maana yuko normal hana mambo mengi✅✅✅✅

  • @rewardmnyone9722
    @rewardmnyone9722 5 месяцев назад

    Kitukizito hichooo