CHOZI LAMTOKA MWAMBA, HAAMINI KAKUBALIWA, WALIMKATAA KISA MLINZI ANAUZA MITUMBA - HELLO MR. RIGHT
HTML-код
- Опубликовано: 10 дек 2023
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder Развлечения
Huyo ndo mwanamke asiechagua mwonekano wa mt yy kapenda kutoka moyon ❤❤❤❤
Umeona ee😊
Yangu Mr right ianze hii ya Leo ya jack na rajabu nimeipenda zaidi na zaidi, hakika jamaa kupata mke mwema tena wa tofauti sana na wanawake, na naamini ndoa yenu itakua yenye Furaha na mafanikio makubwa sana. Afu nimepnda sana jack anajielewa na ndio maana ameanza hapo kuonyesha kwa mwanaum wake kuna kitu hakijakaa sawa kwa upande wa mavazi na hapo hapo akaanza wajibu wake wa kumrekebisha hayo ndio mapenz na hao ndio wanawake wanaitajika ktk ndoa. Mungu awabariki sana na mfikir malengo yenu.Amen
Ni mtego akishamsoma anatimuaaa mapema
Hongera rajabu💋
Kweli kabisa bro huyo dem tangu nimuone hapo akiwa Mr right anaongea ni mzima sana kichwani na kakutana na Mwamba watafika mbali❤❤❤
😅..
Jack bwana nmekupenda sana umenifundixha ktu nasalute kwako we mdada unajielewa sio kama huyo johari Bado hajaku
Hongera sana jacky...najua rajabu huo sio muonekano wake...alifanya hivo kwa kujua kama anaexapata mwanamke mwenye mapenzi ya kweli...angevalia vizuri ving'ang'anisi vingekua vingi vyenye havina dhamana ya maisha...jacky umepata mwanaume sahihi...mwanaume mwenye hela unaangalia tu sura yake inavyong'aaa wish you all the best guy's it's so beautiful and amazing
You said it all
Naamini jamaa ana maisha mazuri sana kaenda pale kutafta mke ndio maana kaongopa ili apate mke sahihi ❤❤
Wooooow Jackie May God bless you Both 👏🙏❤️
Wowwww❤.....Tunawaombea kheri rajabu na jaki , naamini mtafanikiwa
Jamani punguzen hiyo miziki atusikii maneno
Jacky❤❤❤❤❤❤❤❤❤ nakupenda mungu akutenze una moyo wa dhahabu
Huyu dada ni anajielewa sana jaman🥰
Nimeipenda hii jamaa anajiamini anaamini jana sio leo na leo sio kesho lolote laweza kubadilika katika kupambana safi sana♥️♥️♥️✅
Jack nzuri sana,kuliko hzo kabich zilizobaki hapo Kwa podium na kujiona ni bora zaidi.
😂😂😂😂😂😂niue jamani, kabichi zimebaki zimesimama je zitanunuliwa kweli
😂😂😂😂😂
Kabichi😂😂😂😂😂nimecheka
😂😂😂😂😂😂
kako simpo sana
Yaani huyu Binti kwanza mrembo halafu anaonekana ni ana adabu sana
Mungu akubariki
Honger a Jaki unamoy kama wa kwangu napenda MWanaume kama huyo mkadum love ❤
Woow I love the couple most specially Jacky ❤all the best I will try to help you guys if I got any connections.
I was crying when I sow the way she believes on him
I am Bilal watching from Australia 🇦🇺 ❤ 🎉
God bless you more. I'm from tanzania
Nimempenda sana huyo msichana ❤❤❤❤ Mungu awasadie
Mombo
Huyo dada alievaa nguo ya kijani unajua Kuna point ameiongea ❤
Sijawahi kukomenti ila hiii noma sanaa JACK ❤❤❤Mngu Akupe uwepes daah
Mwanamke ambae amejua kua amefuata nini hapo respect 👌👌👌👌
The guy he’s so really😭, most of really men wako so emotional msimchukulie dhaifu
Nimependa kasema.kamaliza tamaa zake za kingono anahitaji maisha
Hata miye nampenda mwanaume ambaye kamaliza tamaa na anasa za Dunia nahitaji mume ambaye kama huyu
Woow I love the couple most especially Jacky is my favourite lady watching from 🇦🇪 much 💕💕 my TZ people.
Waoooh sis akina Jack hatuna mambo mengi tukishapenda tu hatuangalii mfukooo🤸🤸🤸🤸
Kwenye harusi yao mr right naomba utuchangishe sisi mashabiki😅
Kwel kabisa mana hii ndio imekaa poa zaidi kuliko zote
Kabisaa @@hermanynoni4613
Woyooooo Jackie unajua!!! Congrats Beautiful girl🥰 Unajutambua🥳🥳🥳 Nimependa sana chaguzi Yako, una akili kuliko kawaida🥰 All the best🥳🔥🔥🔥🔥
WOOW mungu awape furaha na amani kwenye maisha yao❤❤❤ huyu bint nimempensa bure
Jak mungu akujaalie khery❤
Leo ndio nimejua kumbe wapo wanawake wanaojitambua. Hongera Sana JACK
Kwann wapo sema inategemea minute mwanaume unayemuhitaji
Mungu akupe maisha mazuri jack ❤❤❤
Nimeangalia hii clip ya Mr right namba 2 Mr Rajabu na jacky mara mia haki nimewapenda sana😛😘😘🙏ikawe heri. Kwao jamani
La heri Jaki and Rajab. Rajab anaitaji kupendwa si kung'ang'ania kupendwa.... Jaki kajitolea kwa hilo. Jaki usije ukamkosea tena. kumbuka hadithi yake iko touching sana.
Sawa kungwi😊😁
Kabisa Jack yupo vizuri na amependa toka moyoni.
@@youngrappertz1735😂😂😂
Mwenyezi Mungu ampe kila hitaji la moyo wake jack ♥️
Iyapa ndoyangu ya mwaka ❤❤❤ aise
Ila Jack yupo super women 😊❤
Kupenda siyooo kazii kazi n jee atkpnda uyoo
such an emotional and I love both of them they way wame match and Jacky naona ni msichana mzuri and nimtu hana mambo mengi, very simple lady. Wish all them all the best and ikawe best couple and kufinikisha malengo yao....I love it....hao wengine watashia kusubiria sana wanao take sugar daddies.
All da best to them
Congrats new couple in town
Allah akawalinde katika maisha yenu inshallah.
Nimependa Msichana Kwa kupenda Kijana Moyon Ila Si Muonekano Wakea Ilo Jambo Ni Nzuri Mno ,,,Wasichana Msitabuea Muonekano Wa Mtu Tambua Moya Wakea Kulingana Na Mazungumzo Yakea ,,,, Congratulations Tonea La Furaha Kwa Kijana Waaaah!
Nimelia mwenzenu😢😢😢
Such an amazing jack and a brilliant man Raaaaj, all the best to them, Mungu awasimamie na kuwaongoza all days
Aisee nyota ya mwamba kali sana watafanikiwa pakubwa sana JACK na RAJ
Katika siku zote hiii ndoo imenifurahisha
Awesome ❤❤❤ true love
Jack mungu awabariki Asante kwa kujitolea kumpenda huyo kaka, kila la heri ❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu awatangulie wafike mbali inshaAllah n mie mungu anipe sbra amina nipate mume bora inshaAllah ikawe kher kwao jack and rajab ❤
Mashallah ❤️❤️❤️ wameendana jack good girl
I love the lady nitafute upate soda yako.You're so lovely 😍
That's beautiful 😍..am happy for them
❤❤❤ waooh nimefurah San mpak nimeon wivu uyo Dada yuko vzr mapenzi ni kurekebishana
Hao Mr.wakitoka hapo wawe wanaandaliwa page zao utube ili watu tuendelee kuona na kujifunza zaidi kupitia wao.na tunafurahi mashabaki kuendelea kuwafwatilia na kuwaombea zaidi.mungu awalinde daima❤
Hongereni imekaa vizuli nimeipenda aisee
Kumbe mapenzi ya kweli bado yapo?!! Mungu naomba unipe mke mwema
Hapo namupenda sana jack kweli mapenzi mwanzo utajiri tutatafuta namtaka mwanaume mwenye mapenzi ya kweli kwangu na mimi jamani🫶🏽
Utapata tu
@@isayabukwimba unajua ninaishi ichi yenye kilakitu but mapenzi nakosa wengi waongo
@@marynoella1752nicheki
@@marynoella1752 Nichek bobo
Daah!! Pole mommy!! Ni kweli kwenye mapenzi watu wamekuwa waongo sana mommy!! Hawana mapenzi ya kweli mommy!! Mungu atakupa tu.
Am happy for them this is beautiful 🥰🥰🥰🥰Kenya love🥰🥰🥰
Inshaallah na ikawe kheri 🙏💪👏👌🥂
Lulu i like your advise,to young ladies,who want ready made marriage.
Anawasaidia sana maana mabinti wengi pale hawaeleweki macho kwenye pesa
Sijui mbona imerudia hii show mara kadha yani nimependa sana hii couple 💑 kila la heri Jaki and rajab
Yaani sio weww mm mrakumi😂😂achakabisa
@@DoreenDaniel-hd7kv yanii hapa Mungu kahusika moja kwa moja I seei👌😄😄😄😄
Tatizo kwny mr Right hua kunakua na vichakubimbi vingi sana. Unakuta kidem kinamkata mtu eti kavaa kishamba mara sjui anafanya kaz mbaya mara natakanmtu anaeingiza 50k kw siku.
My couple day is jack and Raj ❤️❤️❤️
Wafunguwe RUclips we follow them there❤❤❤❤😂😂
Huyu kaka kaongea kiutu uzima masha allah hata mimi ningemchqgua
Nipo hapa naagalia huku napata pasta +pepsi😊
Waoooo🎉 I love that Mungu amempa mke sahihi kabsa
Wow amazing ❤
Kwa face hii bado that girl still down for him that’s so sweetie
wow,,my best couple so far
Hongera sana jacky najua rajabi huo sio muonekano wake ,,alifanya .hivo kwa kujua kama anaexapata mwanamke mwenye mapenzi ya kweli angevalia vizuri ving anisi vongekua vingi vyevye havina fhamana ya maisha jacky umepata mwanaume sahihi mwanaume mwenye hela unaangalia tu sura yake inavyonga.aaa wishi you all the best guy,s. it.s so beautiful and amazing ❤❤❤❤❤❤❤🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🥀🥀🥀🥀🥀🥀
Mchukueni baharia mwenzagu nyinyi wanawake 😂😂nipenda sana
Kwanza jamaa nimemkubar anaongea ukwelii kila raher brooo
hii ndio nimeipenda kupita yote
❤❤❤ Hongera Sana Jack hayo ndio mapenzi ya kweli, nimeipenda Sana hii
sasa hiii inakua kweli ama
Dah, huyu binti ni wa wapi😢, Rajabu atakua alisali sana na Mungu ameamua kumfuta machozi, Machozi aliyotoa hapo ni ya mwisho ya kukaribisha firaha mbeleni😢, Mungu azidi kuwabarili
So amazing guyz....... wamependezana❤❤❤❤
🎉jaki chukua maua yako we ndio una mapez yakweli
This is wonderful
Wooow❤❤ couplee imenogaa uwiiiii!!! I loveyuu Jack❤
Na unawza usiamini wakaja fanikiwa sana tusichague sanaa
Hongera sana mdogo Wang jack ❤❤ ikawe ya hali
Hata jacki kwa ile na mi nimemupenda yani yeye hafati pesa jacki maisha marefu kwenye ndoa yenu ❤❤❤
Mashalla
Mwakani nikija 😂nataka boy kama huyu walh 😢😢😢mpka nataka kulia
Inshaallah
Habary yako
Sound kubwa sanaa
❤❤ leo nimeduaaa jack kavunja rekodi huyo kaka anahela sema anaigiza ilikupata mtu xahh nakapata jamani ❤❤❤❤❤❤❤ Mungu awabariki wadumu
hii ndio cap yenye kupewa tunzo hapa sio wengine wamejaa tamaa zapata na mwonekano wake kwa kutulia wasije lia
Nyieeee Jack ni genius anajua maisha ni nini. I love her❤
Dah nimeipenda hiyo jamani
Jacky ni mwanamke anaejua what love means hongera sana sana Jacky. And very nice couple Maisha mema kwao
Good moment 🎉
Mungu awatangulie jamn waish milel jack ni mwanamke wa kutengeza
Dada nimekubali jack hayo ndo mapenzi
Kipidi hiki nakipenda sana bongo st kwer nawapenda sana kabisa ❤❤❤❤❤
Rajabu ana maisha mazuri mno,sema hapo kaja kutafuta mke
Nawaombe mpendane daima na Mungu awape baraka na neema na awape maisha mazuri na yenye furaha tele na aman na afya bora mtajilie
Jacky is very gorgeous nami nimemenda pia Jacky
jamani jack ni mrembo sana hana mambo mengi mungu awabariki mtafika mbali
Nice
Hiii nimeikubali kati ya zote ni fireeeeeeeeeeeeeeee
God bless you guys
Ongera sana jack unajua nn maana yamaisha sio hao walio bki apo