CHOZI LAMTOKA MWAMBA, HAAMINI KAKUBALIWA, WALIMKATAA KISA MLINZI ANAUZA MITUMBA - HELLO MR. RIGHT

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 дек 2023
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 427

  • @FaridaRamadhan-de1ys
    @FaridaRamadhan-de1ys 7 месяцев назад +92

    Huyo ndo mwanamke asiechagua mwonekano wa mt yy kapenda kutoka moyon ❤❤❤❤

  • @user-qy5qw1jv4s
    @user-qy5qw1jv4s 7 месяцев назад +150

    Yangu Mr right ianze hii ya Leo ya jack na rajabu nimeipenda zaidi na zaidi, hakika jamaa kupata mke mwema tena wa tofauti sana na wanawake, na naamini ndoa yenu itakua yenye Furaha na mafanikio makubwa sana. Afu nimepnda sana jack anajielewa na ndio maana ameanza hapo kuonyesha kwa mwanaum wake kuna kitu hakijakaa sawa kwa upande wa mavazi na hapo hapo akaanza wajibu wake wa kumrekebisha hayo ndio mapenz na hao ndio wanawake wanaitajika ktk ndoa. Mungu awabariki sana na mfikir malengo yenu.Amen

    • @mwamposaa
      @mwamposaa 7 месяцев назад

      Ni mtego akishamsoma anatimuaaa mapema

    • @DoreenDaniel-hd7kv
      @DoreenDaniel-hd7kv 6 месяцев назад

      Hongera rajabu💋

    • @abdultandala6576
      @abdultandala6576 6 месяцев назад +7

      Kweli kabisa bro huyo dem tangu nimuone hapo akiwa Mr right anaongea ni mzima sana kichwani na kakutana na Mwamba watafika mbali❤❤❤

    • @happyalphonce3356
      @happyalphonce3356 6 месяцев назад +1

      😅..

    • @thomaskihanda3414
      @thomaskihanda3414 6 месяцев назад +2

      Jack bwana nmekupenda sana umenifundixha ktu nasalute kwako we mdada unajielewa sio kama huyo johari Bado hajaku

  • @WycliffeAbdulLigare
    @WycliffeAbdulLigare 6 месяцев назад +34

    Hongera sana jacky...najua rajabu huo sio muonekano wake...alifanya hivo kwa kujua kama anaexapata mwanamke mwenye mapenzi ya kweli...angevalia vizuri ving'ang'anisi vingekua vingi vyenye havina dhamana ya maisha...jacky umepata mwanaume sahihi...mwanaume mwenye hela unaangalia tu sura yake inavyong'aaa wish you all the best guy's it's so beautiful and amazing

  • @japhetdeus5768
    @japhetdeus5768 6 месяцев назад +25

    Naamini jamaa ana maisha mazuri sana kaenda pale kutafta mke ndio maana kaongopa ili apate mke sahihi ❤❤

  • @Rena57478
    @Rena57478 7 месяцев назад +37

    Wooooow Jackie May God bless you Both 👏🙏❤️

  • @fatmahaji7661
    @fatmahaji7661 7 месяцев назад +25

    Wowwww❤.....Tunawaombea kheri rajabu na jaki , naamini mtafanikiwa

  • @MwanaidiSalehe
    @MwanaidiSalehe 7 месяцев назад +29

    Jamani punguzen hiyo miziki atusikii maneno

  • @RayyanRayyan-rt9cg
    @RayyanRayyan-rt9cg 7 месяцев назад +21

    Jacky❤❤❤❤❤❤❤❤❤ nakupenda mungu akutenze una moyo wa dhahabu

  • @nasfaiyogo3228
    @nasfaiyogo3228 7 месяцев назад +18

    Huyu dada ni anajielewa sana jaman🥰

  • @abdultandala6576
    @abdultandala6576 6 месяцев назад +18

    Nimeipenda hii jamaa anajiamini anaamini jana sio leo na leo sio kesho lolote laweza kubadilika katika kupambana safi sana♥️♥️♥️✅

  • @Sasmank11
    @Sasmank11 7 месяцев назад +61

    Jack nzuri sana,kuliko hzo kabich zilizobaki hapo Kwa podium na kujiona ni bora zaidi.

  • @ashurakodd1589
    @ashurakodd1589 6 месяцев назад +10

    Yaani huyu Binti kwanza mrembo halafu anaonekana ni ana adabu sana
    Mungu akubariki

  • @user-li1fl4jp3r
    @user-li1fl4jp3r 7 месяцев назад +11

    Honger a Jaki unamoy kama wa kwangu napenda MWanaume kama huyo mkadum love ❤

  • @bilalNumii
    @bilalNumii 5 месяцев назад +18

    Woow I love the couple most specially Jacky ❤all the best I will try to help you guys if I got any connections.
    I was crying when I sow the way she believes on him
    I am Bilal watching from Australia 🇦🇺 ❤ 🎉

    • @user-jc2ym1di9z
      @user-jc2ym1di9z 5 месяцев назад

      God bless you more. I'm from tanzania

  • @sophiasimule2182
    @sophiasimule2182 6 месяцев назад +15

    Nimempenda sana huyo msichana ❤❤❤❤ Mungu awasadie

  • @abubakariswai
    @abubakariswai 7 месяцев назад +13

    Huyo dada alievaa nguo ya kijani unajua Kuna point ameiongea ❤

  • @user-uh6og9fj7b
    @user-uh6og9fj7b 6 месяцев назад +9

    Sijawahi kukomenti ila hiii noma sanaa JACK ❤❤❤Mngu Akupe uwepes daah

  • @josminimsigwa5146
    @josminimsigwa5146 7 месяцев назад +9

    Mwanamke ambae amejua kua amefuata nini hapo respect 👌👌👌👌

  • @Ligobatov
    @Ligobatov 7 месяцев назад +7

    The guy he’s so really😭, most of really men wako so emotional msimchukulie dhaifu

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007 7 месяцев назад +23

    Nimependa kasema.kamaliza tamaa zake za kingono anahitaji maisha

    • @monirangerera7155
      @monirangerera7155 5 месяцев назад

      Hata miye nampenda mwanaume ambaye kamaliza tamaa na anasa za Dunia nahitaji mume ambaye kama huyu

  • @milkamkiwa5457
    @milkamkiwa5457 7 месяцев назад +36

    Woow I love the couple most especially Jacky is my favourite lady watching from 🇦🇪 much 💕💕 my TZ people.

  • @jacklinebarnabas
    @jacklinebarnabas 7 месяцев назад +10

    Waoooh sis akina Jack hatuna mambo mengi tukishapenda tu hatuangalii mfukooo🤸🤸🤸🤸

  • @RayyanRayyan-rt9cg
    @RayyanRayyan-rt9cg 7 месяцев назад +20

    Kwenye harusi yao mr right naomba utuchangishe sisi mashabiki😅

    • @hermanynoni4613
      @hermanynoni4613 6 месяцев назад +1

      Kwel kabisa mana hii ndio imekaa poa zaidi kuliko zote

    • @norahmosha854
      @norahmosha854 2 месяца назад

      Kabisaa ​@@hermanynoni4613

  • @deboramuhoja1777
    @deboramuhoja1777 6 месяцев назад +5

    Woyooooo Jackie unajua!!! Congrats Beautiful girl🥰 Unajutambua🥳🥳🥳 Nimependa sana chaguzi Yako, una akili kuliko kawaida🥰 All the best🥳🔥🔥🔥🔥

  • @NoratJuma-sl6mb
    @NoratJuma-sl6mb 6 месяцев назад +7

    WOOW mungu awape furaha na amani kwenye maisha yao❤❤❤ huyu bint nimempensa bure

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 7 месяцев назад +11

    Jak mungu akujaalie khery❤

  • @hermanynoni4613
    @hermanynoni4613 6 месяцев назад +19

    Leo ndio nimejua kumbe wapo wanawake wanaojitambua. Hongera Sana JACK

    • @user-jc2ym1di9z
      @user-jc2ym1di9z 5 месяцев назад

      Kwann wapo sema inategemea minute mwanaume unayemuhitaji

  • @user-mn3bm8ey3f
    @user-mn3bm8ey3f 6 месяцев назад +6

    Mungu akupe maisha mazuri jack ❤❤❤

  • @user-ld7tp4uc3l
    @user-ld7tp4uc3l 6 месяцев назад +6

    Nimeangalia hii clip ya Mr right namba 2 Mr Rajabu na jacky mara mia haki nimewapenda sana😛😘😘🙏ikawe heri. Kwao jamani

  • @nat037
    @nat037 7 месяцев назад +19

    La heri Jaki and Rajab. Rajab anaitaji kupendwa si kung'ang'ania kupendwa.... Jaki kajitolea kwa hilo. Jaki usije ukamkosea tena. kumbuka hadithi yake iko touching sana.

    • @youngrappertz1735
      @youngrappertz1735 7 месяцев назад +1

      Sawa kungwi😊😁

    • @user-mh8vn5yu4t
      @user-mh8vn5yu4t 6 месяцев назад +1

      Kabisa Jack yupo vizuri na amependa toka moyoni.

    • @jaymwinyi6957
      @jaymwinyi6957 6 месяцев назад

      ​@@youngrappertz1735😂😂😂

  • @MwombokaPili-kg5un
    @MwombokaPili-kg5un 6 месяцев назад +4

    Mwenyezi Mungu ampe kila hitaji la moyo wake jack ♥️

  • @mubuyafrancis3979
    @mubuyafrancis3979 7 месяцев назад +5

    Iyapa ndoyangu ya mwaka ❤❤❤ aise

  • @daydaypapaa7709
    @daydaypapaa7709 7 месяцев назад +7

    Ila Jack yupo super women 😊❤

  • @mwamposaa
    @mwamposaa 7 месяцев назад +9

    Kupenda siyooo kazii kazi n jee atkpnda uyoo

  • @mpendwalove4390
    @mpendwalove4390 7 месяцев назад +3

    such an emotional and I love both of them they way wame match and Jacky naona ni msichana mzuri and nimtu hana mambo mengi, very simple lady. Wish all them all the best and ikawe best couple and kufinikisha malengo yao....I love it....hao wengine watashia kusubiria sana wanao take sugar daddies.

  • @marylinebarasa1764
    @marylinebarasa1764 7 месяцев назад +7

    All da best to them

  • @omarsakwa-zs2zy
    @omarsakwa-zs2zy 7 месяцев назад +6

    Congrats new couple in town

  • @user-nv7ji3wi3p
    @user-nv7ji3wi3p 7 месяцев назад +7

    Allah akawalinde katika maisha yenu inshallah.

  • @marcellaflominah9231
    @marcellaflominah9231 7 месяцев назад +4

    Nimependa Msichana Kwa kupenda Kijana Moyon Ila Si Muonekano Wakea Ilo Jambo Ni Nzuri Mno ,,,Wasichana Msitabuea Muonekano Wa Mtu Tambua Moya Wakea Kulingana Na Mazungumzo Yakea ,,,, Congratulations Tonea La Furaha Kwa Kijana Waaaah!

  • @margrethamsechu7088
    @margrethamsechu7088 7 месяцев назад +9

    Nimelia mwenzenu😢😢😢

  • @azizaaziz9261
    @azizaaziz9261 6 месяцев назад +5

    Such an amazing jack and a brilliant man Raaaaj, all the best to them, Mungu awasimamie na kuwaongoza all days

  • @therealaitar4149
    @therealaitar4149 7 месяцев назад +13

    Aisee nyota ya mwamba kali sana watafanikiwa pakubwa sana JACK na RAJ

  • @J.JlogCruz
    @J.JlogCruz 7 месяцев назад +11

    Katika siku zote hiii ndoo imenifurahisha

  • @amonkay7104
    @amonkay7104 6 месяцев назад +8

    Awesome ❤❤❤ true love

  • @mwenifiona797
    @mwenifiona797 7 месяцев назад +3

    Jack mungu awabariki Asante kwa kujitolea kumpenda huyo kaka, kila la heri ❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @user-pv4vw4kl4r
    @user-pv4vw4kl4r 6 месяцев назад +3

    Mungu awatangulie wafike mbali inshaAllah n mie mungu anipe sbra amina nipate mume bora inshaAllah ikawe kher kwao jack and rajab ❤

  • @najmahhassan7853
    @najmahhassan7853 7 месяцев назад +4

    Mashallah ❤️❤️❤️ wameendana jack good girl

  • @olympiamtenga8761
    @olympiamtenga8761 7 месяцев назад +3

    I love the lady nitafute upate soda yako.You're so lovely 😍

  • @isaacmutinda7070
    @isaacmutinda7070 6 месяцев назад +3

    That's beautiful 😍..am happy for them

  • @ElishaJoakim-ir2qf
    @ElishaJoakim-ir2qf 6 месяцев назад +2

    ❤❤❤ waooh nimefurah San mpak nimeon wivu uyo Dada yuko vzr mapenzi ni kurekebishana

  • @lydiampayo597
    @lydiampayo597 2 месяца назад +2

    Hao Mr.wakitoka hapo wawe wanaandaliwa page zao utube ili watu tuendelee kuona na kujifunza zaidi kupitia wao.na tunafurahi mashabaki kuendelea kuwafwatilia na kuwaombea zaidi.mungu awalinde daima❤

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 7 месяцев назад +4

    Hongereni imekaa vizuli nimeipenda aisee

  • @user-qc2vd6xj4r
    @user-qc2vd6xj4r 6 месяцев назад +6

    Kumbe mapenzi ya kweli bado yapo?!! Mungu naomba unipe mke mwema

  • @marynoella1752
    @marynoella1752 7 месяцев назад +17

    Hapo namupenda sana jack kweli mapenzi mwanzo utajiri tutatafuta namtaka mwanaume mwenye mapenzi ya kweli kwangu na mimi jamani🫶🏽

    • @isayabukwimba
      @isayabukwimba 7 месяцев назад +1

      Utapata tu

    • @marynoella1752
      @marynoella1752 6 месяцев назад +2

      @@isayabukwimba unajua ninaishi ichi yenye kilakitu but mapenzi nakosa wengi waongo

    • @lakasid3860
      @lakasid3860 6 месяцев назад

      ​@@marynoella1752nicheki

    • @ramadhanirama7970
      @ramadhanirama7970 6 месяцев назад

      @@marynoella1752 Nichek bobo

    • @sirurithomas3126
      @sirurithomas3126 6 месяцев назад

      Daah!! Pole mommy!! Ni kweli kwenye mapenzi watu wamekuwa waongo sana mommy!! Hawana mapenzi ya kweli mommy!! Mungu atakupa tu.

  • @NaomMonda-si6zq
    @NaomMonda-si6zq 6 месяцев назад +8

    Am happy for them this is beautiful 🥰🥰🥰🥰Kenya love🥰🥰🥰

  • @user-rx1kp7xm3t
    @user-rx1kp7xm3t 7 месяцев назад +5

    Inshaallah na ikawe kheri 🙏💪👏👌🥂

  • @omarsakwa-zs2zy
    @omarsakwa-zs2zy 7 месяцев назад +8

    Lulu i like your advise,to young ladies,who want ready made marriage.

    • @giddie_barnabas
      @giddie_barnabas 7 месяцев назад

      Anawasaidia sana maana mabinti wengi pale hawaeleweki macho kwenye pesa

  • @everlyneiminza5722
    @everlyneiminza5722 7 месяцев назад +18

    Sijui mbona imerudia hii show mara kadha yani nimependa sana hii couple 💑 kila la heri Jaki and rajab

    • @DoreenDaniel-hd7kv
      @DoreenDaniel-hd7kv 6 месяцев назад +1

      Yaani sio weww mm mrakumi😂😂achakabisa

    • @everlyneiminza5722
      @everlyneiminza5722 6 месяцев назад +1

      @@DoreenDaniel-hd7kv yanii hapa Mungu kahusika moja kwa moja I seei👌😄😄😄😄

  • @xaverymachumu
    @xaverymachumu 7 месяцев назад +12

    Tatizo kwny mr Right hua kunakua na vichakubimbi vingi sana. Unakuta kidem kinamkata mtu eti kavaa kishamba mara sjui anafanya kaz mbaya mara natakanmtu anaeingiza 50k kw siku.

  • @marynoella1752
    @marynoella1752 7 месяцев назад +7

    My couple day is jack and Raj ❤️❤️❤️

  • @DaughterofUbuntu1988
    @DaughterofUbuntu1988 7 месяцев назад +3

    Wafunguwe RUclips we follow them there❤❤❤❤😂😂

  • @hanifamasudi9732
    @hanifamasudi9732 6 месяцев назад +3

    Huyu kaka kaongea kiutu uzima masha allah hata mimi ningemchqgua

  • @user-bi7wf4nz2d
    @user-bi7wf4nz2d 7 месяцев назад +5

    Nipo hapa naagalia huku napata pasta +pepsi😊

  • @polynechamshama3990
    @polynechamshama3990 6 месяцев назад +1

    Waoooo🎉 I love that Mungu amempa mke sahihi kabsa

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 7 месяцев назад +3

    Wow amazing ❤

  • @user-mo9nm2vv8l
    @user-mo9nm2vv8l 6 месяцев назад +1

    Kwa face hii bado that girl still down for him that’s so sweetie

  • @avynines1754
    @avynines1754 7 месяцев назад +2

    wow,,my best couple so far

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika1996 5 месяцев назад

    Hongera sana jacky najua rajabi huo sio muonekano wake ,,alifanya .hivo kwa kujua kama anaexapata mwanamke mwenye mapenzi ya kweli angevalia vizuri ving anisi vongekua vingi vyevye havina fhamana ya maisha jacky umepata mwanaume sahihi mwanaume mwenye hela unaangalia tu sura yake inavyonga.aaa wishi you all the best guy,s. it.s so beautiful and amazing ❤❤❤❤❤❤❤🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🥀🥀🥀🥀🥀🥀

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 7 месяцев назад +3

    Mchukueni baharia mwenzagu nyinyi wanawake 😂😂nipenda sana

  • @user-pf2cf4hp6w
    @user-pf2cf4hp6w 7 месяцев назад +8

    Kwanza jamaa nimemkubar anaongea ukwelii kila raher brooo

  • @Aplustz-mh5dx
    @Aplustz-mh5dx 7 месяцев назад +8

    hii ndio nimeipenda kupita yote

  • @sesiliaraphael8744
    @sesiliaraphael8744 6 месяцев назад +3

    ❤❤❤ Hongera Sana Jack hayo ndio mapenzi ya kweli, nimeipenda Sana hii

  • @soltv8268
    @soltv8268 5 месяцев назад +1

    Dah, huyu binti ni wa wapi😢, Rajabu atakua alisali sana na Mungu ameamua kumfuta machozi, Machozi aliyotoa hapo ni ya mwisho ya kukaribisha firaha mbeleni😢, Mungu azidi kuwabarili

  • @happymbwambo
    @happymbwambo 6 месяцев назад

    So amazing guyz....... wamependezana❤❤❤❤

  • @timamulituto
    @timamulituto 7 месяцев назад +4

    🎉jaki chukua maua yako we ndio una mapez yakweli

  • @jacobshauri4799
    @jacobshauri4799 4 месяца назад

    This is wonderful

  • @user-xz4pc1ho4c
    @user-xz4pc1ho4c 6 месяцев назад +3

    Wooow❤❤ couplee imenogaa uwiiiii!!! I loveyuu Jack❤

  • @Grace_Ministry_International
    @Grace_Ministry_International 7 месяцев назад +3

    Na unawza usiamini wakaja fanikiwa sana tusichague sanaa

  • @user-ly6qc3nh7c
    @user-ly6qc3nh7c 7 месяцев назад +5

    Hongera sana mdogo Wang jack ❤❤ ikawe ya hali

  • @musondolirobert3922
    @musondolirobert3922 5 месяцев назад

    Hata jacki kwa ile na mi nimemupenda yani yeye hafati pesa jacki maisha marefu kwenye ndoa yenu ❤❤❤

  • @user-pf2cf4hp6w
    @user-pf2cf4hp6w 7 месяцев назад +2

    Mashalla

  • @SaoblackSaoblack
    @SaoblackSaoblack 7 месяцев назад +6

    Mwakani nikija 😂nataka boy kama huyu walh 😢😢😢mpka nataka kulia

  • @AbdulAdam-mh8km
    @AbdulAdam-mh8km 7 месяцев назад +4

    Sound kubwa sanaa

  • @thomaskihanda3414
    @thomaskihanda3414 6 месяцев назад +1

    ❤❤ leo nimeduaaa jack kavunja rekodi huyo kaka anahela sema anaigiza ilikupata mtu xahh nakapata jamani ❤❤❤❤❤❤❤ Mungu awabariki wadumu

  • @rehemashinsi
    @rehemashinsi 7 месяцев назад +5

    hii ndio cap yenye kupewa tunzo hapa sio wengine wamejaa tamaa zapata na mwonekano wake kwa kutulia wasije lia

  • @josephinechuwa6662
    @josephinechuwa6662 5 месяцев назад

    Nyieeee Jack ni genius anajua maisha ni nini. I love her❤

  • @ashurakodd1589
    @ashurakodd1589 7 месяцев назад +3

    Dah nimeipenda hiyo jamani

  • @fatumamfumia4507
    @fatumamfumia4507 3 месяца назад

    Jacky ni mwanamke anaejua what love means hongera sana sana Jacky. And very nice couple Maisha mema kwao

  • @emmilianlukaye3125
    @emmilianlukaye3125 7 месяцев назад +2

    Good moment 🎉

  • @PaschalMoyombya
    @PaschalMoyombya 2 месяца назад

    Mungu awatangulie jamn waish milel jack ni mwanamke wa kutengeza

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 7 месяцев назад +4

    Dada nimekubali jack hayo ndo mapenzi

  • @cimpayeriziki6680
    @cimpayeriziki6680 4 месяца назад

    Kipidi hiki nakipenda sana bongo st kwer nawapenda sana kabisa ❤❤❤❤❤

  • @maryjonathan1578
    @maryjonathan1578 6 месяцев назад +5

    Rajabu ana maisha mazuri mno,sema hapo kaja kutafuta mke

  • @monirangerera7155
    @monirangerera7155 5 месяцев назад

    Nawaombe mpendane daima na Mungu awape baraka na neema na awape maisha mazuri na yenye furaha tele na aman na afya bora mtajilie

  • @danielndei5420
    @danielndei5420 3 месяца назад

    Jacky is very gorgeous nami nimemenda pia Jacky

  • @rosie8704
    @rosie8704 7 месяцев назад +3

    jamani jack ni mrembo sana hana mambo mengi mungu awabariki mtafika mbali

  • @marthasonia5005
    @marthasonia5005 7 месяцев назад +2

    Nice

  • @praygodexaud6756
    @praygodexaud6756 7 месяцев назад +2

    Hiii nimeikubali kati ya zote ni fireeeeeeeeeeeeeeee

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 4 месяца назад

    God bless you guys

  • @user-rb3uz9mk5u
    @user-rb3uz9mk5u 7 месяцев назад +2

    Ongera sana jack unajua nn maana yamaisha sio hao walio bki apo