MR RIGHT KAMKATAA SARAH KAENDA KWA GLORY
HTML-код
- Опубликовано: 21 май 2023
- Kwa story zaidi za maisha, burudani, vipindi na za kila siku tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
►JOIN OUR WhatsApp Group chat.whatsapp.com/D8xC5Myxrkh...
►SUBSCRIBE / @stbongotv
►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
RATIBA ZA VIPINDI VYETU
THE BANTU JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 10 JIONI
SPOTLIGHT JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 12 JIONI
TWENDE JIKONI KILA IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 JIONI
FASHIONISTA KILA JUMAPILI SAA 1 USIKU
MR RIGHT SHOW KILA JUMAMOSI SAA 4 USIKU
KIU SERIES JUMATATU HADI IJUMAA SAA2:30 USIKU
THE SPIRIT NA IBADA LIVE KILA JUMAPILI KUANZIA SAA 4 ASUBUHI
MOVIE NIGHT NI KUANZIA JUMATANO MPAKA IJUMAA KUANZIA SAA NNE USIKU NA MARUDIO MCHANA KILA SIKU Развлечения
Ongera sana kwa bonge ❤️🇹🇿 Because now niwachache sana wanaelewa ila wale na boys wasio Kuwa naakili kazi kutafuta mkee anae juwa sex kitandani na sio mkee wa ndoa apo ni ndoa sio kama munavyo tafuta sex urizike na sio mkee wa ndoa tupo sisi kuwasadia ulipenda sex na sio education physique Moral intellectuelle mama ndo mwalimu wa home baba mtafutaji wa ziriki home 🏠
wow so lovely❤
Mashallah 😘😘
Ivi kweli wanaoana,wawe wanarudisha mirejesho ya kipindi hiki
Kabisa tuone ndoa
@@sarahburetta8547 umeona eeeh
Ni kweli kabisa dear
❤❤❤❤❤ I like that ooh my way
Naomba maelekezo ya kufika Mr huko
Hii kitu inadhalilisha sana wanawake.
Kwa kiasi chake kuna ktu hakipo sawa.
Umewaza kma mm na i wonder why wanawake wanaenda kujidhalilisha hivyo au wanalipwa huko?
Kweli kabisa
Wanajidhalilisha mno alf mtu ukiwa mnene akili sijui zinaendaga wap
Alafu najiuliza WHY MAN HAWAPO WENGI WANAWAKE NDO WAMEJAAAA?
chaguo sahihi Mr Right ila duuu kuna vyumaaa aiseeee
Jaman
Show pambe kweli kwelii
🥰🥰 from Kenya
Nice couple 😘😘🙏 na nikawa ndoa
Mwijaku
Kaka zangu wanyaturu huwa hawapo romantic jmn uwiii
🤣🖐
Walah umenenaaaaaaaaaaaa Kaka zetu hawako romantic
Mh acheni umbea
Kakwambia nani aona aibu tu huyo
😂😂😂😂unaharibu buana
hongera sana umechagua Mali kari
Bora kikombe kimoja cha kunywa maji kuliko kujaribu mswaki moja watu 100 achaongea Pumba eti inazalisha wanawake not 🚫 ila wanawake awo majasiri pia awaitaji chezewa tena na watu kama nyie musie juwa umuhimu wa mwanamkee au kutafautisha mkee na akili na education Moral
Branza umefanya kazi zuri
Leten mwendelezo wao
Alipenda out fit
💕 you
😢unauma Sana ata Mimi inauma
Wamependezana
King'amuz gan inaonyesha hii
🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
Hizi rangi za nembo ni usenge.zinahamasisha kujamiiyana jinsia moja
❤❤❤❤❤
Mnada uu sio mzuri
Nimefrah sana jmn❤❤
Ila kwel kuna watot wazur ,iyo ni njia nzr kwa wenye uhitaj wa ndoa ki ukwel
Yaaan Viki jmn kila akijaribu hachaguliwi uuuwii
Naitaj kufika kwenyu Na ninayang nayaitaji nikimpata sin chakumpa zaid yaupendo kwang
Mungu saidia wanawake jamani 😭🤷
homeboy
Ndioo anakuwaa mke wakoo kwelii auu
❤❤❤
Upwiruuu😂😂
😂😂😂😂😂
Huyu jamaa kenda kuwaona
Sauti ya mtot uyo🥰🥰🥰
Hahaha mnyaturu
uyu kachagua sasa
Ivi kweli munapima ukimwi
Mnavaa uchiiiiii
Mimi nimepeda huyo mwenye hapo
mtoto mkali
Wanaendana wamependezana
Hii inamanisha au ndoo sitair za kutafuta pesa
Sasa hapa unachagua mwenye hataujuwi hali yake natayari mshaowana... Alaah 😅😅 sasa mkeenda HIV TEST mmoja apatekana nayokimfano Mnaachana tena ama😂😂
Na mimi ntakuj kuopoa huko
Kwahiyo hapo ndio wanaenda kuishi mke na mume?
Xo inadhalilixha wanawake inawapa fursa
Mr.Right ameokota dodo chini ya mpera
Kwa nini jamani😂
@@nzeyimanaabdallah131 kapata toto kali 😄
Utajuaje yaliyomo yamo
Swali langu ni kwamba wamepima😂😂
Etiii umekaba koo... nini uwo?
Upwiiiruuu😅😅😂
Nimemwona kijana Angu anatafuta mchumba hapa nakati me najua Yuko chuo
Hahahhh
Ahahaha
Haha
Haaaaaaaa
Hivi kweli niache kufanya Kaz zangu ndo niende kufanya ujinga huu wa kujianika
Ila uyu bonge 🤣🤣🤣
Binti yangu usifanye huu ujinga nikiwa hai ntakuvunja pua
😁😁😁
Kweri wanawake tubadilike
Mi nauliza ni harisia? Kwamba unachangua mke wa kuoa? Au ni michezo tuu ya kila wiki?
Hata mm cyelew
Broo unaoa Moja Kwa moja
Naisi mke wakuowa kabisa
Kwaiyo hawa wanaoana kweli au maigizo??😂
Huu ni udhalilishaji wakuu
huyo dada mweupe mbn achaguliwag kwann
Weupe sip tatizo nyota
Kashachaguliwa tyr
❤❤
Huyo bonge sas duuh akajipange2
😂😂😂mm nitaanza kubeba magunia ya mkaa nipungue sasa
Ni upuuzi mtupu kabisa. Acheni kudhalilisha wadada . Acheni kudhalilisha wadada.
Wanajidhslilisha wenyewe
Wamependezana