MR.RIGHT APATA WAKATI MGUMU/AFANYA MAAMUZI HAYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 апр 2023
  • Kwa story zaidi za maisha, burudani, vipindi na za kila siku tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
    ►JOIN OUR WhatsApp Group chat.whatsapp.com/D8xC5Myxrkh...
    ►SUBSCRIBE / @stbongotv
    ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
    RATIBA ZA VIPINDI VYETU
    THE BANTU JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 10 JIONI
    SPOTLIGHT JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 12 JIONI
    TWENDE JIKONI KILA IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 JIONI
    FASHIONISTA KILA JUMAPILI SAA 1 USIKU
    MR RIGHT SHOW KILA JUMAMOSI SAA 4 USIKU
    KIU SERIES JUMATATU HADI IJUMAA SAA2:30 USIKU
    THE SPIRIT NA IBADA LIVE KILA JUMAPILI KUANZIA SAA 4 ASUBUHI
    MOVIE NIGHT NI KUANZIA JUMATANO MPAKA IJUMAA KUANZIA SAA NNE USIKU NA MARUDIO MCHANA KILA SIKU
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 250

  • @yasnaghump5763
    @yasnaghump5763 Год назад +14

    Mwijako anapenda Sana kuwa kiongoz kwenye kila kitu Kuna muda lijifunze kukaa kimya

  • @user-es2fs3li5r
    @user-es2fs3li5r Год назад +16

    MashaAllah napenda lulu alivovaa

  • @ahazystanley-ew7wy
    @ahazystanley-ew7wy Год назад +8

    Hiii ni sawa na kusurport ushoga😢😢🙏🏿🙏🏿

  • @KyaruziInvestment-te6jr
    @KyaruziInvestment-te6jr 6 месяцев назад +5

    Huyu aliyesema amepima mapigonya moyo amevaa vizuri I like that

  • @essaumpuma2981
    @essaumpuma2981 Год назад +10

    Video zenu mnazikata sana zina boa

  • @user-mc7bb5yd4s
    @user-mc7bb5yd4s 11 месяцев назад +4

    Allah awape elimu pia na akusamehen m

  • @rugemalirakamgisha1543
    @rugemalirakamgisha1543 Год назад +3

    Huyo chitamu ana tabia mbaya Ali mkataaga mr light mzuri sana, mwachen aachwe tu

  • @aal8041
    @aal8041 11 месяцев назад +1

    Mmmmm allha atusaidie ndoa hii bona aina shekhe wala mchunguja jamni mungu atusaidie sijajuwa inaitwa ndoa ipi

  • @princejalloh2767
    @princejalloh2767 Год назад

    Am favourite program I will one day mr right

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Год назад +7

    Akuna Mungu Apo Pesa Na Shetani Kweli Jamani Ziko Ndoa Za Ivi Kweli Zenye Sifa Ndani Ya Msaafu Na Biblia Jamani Apa Duniani Pesa Izi Ziko Na Mambo

    • @madamhappymwalongo3653
      @madamhappymwalongo3653 Год назад +1

      Ndio zipo ester alichaguliwa pia kulikuaga na show za kuchafua mke mfalme ahusuelo alimpata ester Kwa style kama hii

  • @maryjoseph2772
    @maryjoseph2772 Год назад +1

    Mwijaku anakiherehere jamn kha!!

  • @addocharles1167
    @addocharles1167 Год назад +2

    Mwijaku anamkono wakuozesha jamani hajawahi kufeli hongela

  • @MeshackNelisan-vi8fj
    @MeshackNelisan-vi8fj 6 месяцев назад +1

    Wai sijapenda hat angemchagua yule mwengine uyo kaka amemchagua uyo dada anajua ataenda kulelewa

  • @anitahlydia
    @anitahlydia Год назад +8

    This is so interesting! than here in Kenya

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 7 месяцев назад +1

    Mashaallah 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @HappyMunisi-ig6he
    @HappyMunisi-ig6he 9 месяцев назад +3

    Sijapenda tuu hawavai kiheshima,,,

    • @AnnaMuhema
      @AnnaMuhema 9 дней назад

      Wakivaaa manguo wakificha miguuu utaonaje kuna wachaga ujuw

  • @rukiamkwayo6302
    @rukiamkwayo6302 Год назад

    Mwen jaku nakukubali sana

  • @makrinaibinga-on2qx
    @makrinaibinga-on2qx 10 месяцев назад +6

    Dada mkubwa kuliko kaka

  • @OMANOman-qc1lm
    @OMANOman-qc1lm Год назад +3

    da yani wanawake sijui kwanini awajithamini maisha Yao au mili Yao dunia mtaiyacha nawewe mwijaku unajifanya sana mtu wa dini apo unachochea uzinifu tu

  • @franciskimosong7750
    @franciskimosong7750 Год назад +1

    So good

  • @BrenderMartin-eb2on
    @BrenderMartin-eb2on Год назад +2

    Mwijaku anaharibu

  • @sabahsalim3306
    @sabahsalim3306 Год назад +1

    Mwakili wa zinaaa

  • @Sarahsaid2648
    @Sarahsaid2648 Год назад

    Huku ni kujiuzaaa kbasaa daah Mungu tuhurumie

  • @Winniequinepretty-wm7rr
    @Winniequinepretty-wm7rr Год назад

    Nimependa kipindi shukran

  • @janethkomba4485
    @janethkomba4485 Год назад +7

    mimi Ninaswari kwanini awo wadada Mnawaambia waje hapo Uchi😢Nawakati watoto wakiume Wamevaa nguo kwanini woteee wasivae nguo😢???

    • @Rdj__255
      @Rdj__255 11 месяцев назад

      Wao wameona nguo hizo znawafaa hawajapangiwa

    • @janethkomba4485
      @janethkomba4485 11 месяцев назад

      @@Rdj__255 Kumbee🙏

    • @user-rq7kl4mq5k
      @user-rq7kl4mq5k 10 месяцев назад +1

      kwakweli mavazi ya wadada sio mazur

    • @vicentjulius
      @vicentjulius 9 месяцев назад +1

      Watangazaji wa kike baadhi yao tu wanavaa nusu uchi sembuse hao mabinti? Nowadays hakuna maadili kabisa

    • @janethkomba4485
      @janethkomba4485 9 месяцев назад

      @@vicentjulius Kabisaaa

  • @bigirumanalululouise4540
    @bigirumanalululouise4540 Год назад

    Mwijaku❤❤❤

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 Год назад

    Ongereni

  • @juniversal.onlinetv4163
    @juniversal.onlinetv4163 Год назад +6

    Sema kwamba hujuhi kuchagua

  • @faithfaith-zr6gz
    @faithfaith-zr6gz 7 месяцев назад

    Mwijaku😂😂c kwa shangwe hilo.

  • @janethjassonjoseph-se2ub
    @janethjassonjoseph-se2ub Год назад +2

    Iyo sura tu 😢

  • @arushamedia6812
    @arushamedia6812 Год назад +5

    Chitam utaondoka mwenyewe mbwa wew si ulimkataa mwanaetu 😂😂

    • @DM_15
      @DM_15 Год назад +1

      🤣🤣🤣na ata achwa kaulizake zakijuaji sana mwanamke mjuaji sana Hua nikero kwanyumba

    • @khayrathahamadi656
      @khayrathahamadi656 Год назад

      Yan hat mm nasema abaki tuu ni mshenzi

    • @sarazacharia
      @sarazacharia Год назад

      😂😂😂😂

    • @sarazacharia
      @sarazacharia Год назад

      ​@@DM_15 😂😂😂😂

    • @tracymasangula213
      @tracymasangula213 Год назад

      Malipo ni apa apa dunian 💔💔🚮🙌

  • @AnnaMuhema
    @AnnaMuhema 9 дней назад

    Yan video Tam na mnaikatisha

  • @user-gz6dk8hu8c
    @user-gz6dk8hu8c Год назад

    Mh mungu amisimamiye hivi halafu mkitoka hapo mwaenda pima kweli au ni hukokuvamiyana

  • @JohnMalingumu-nh9le
    @JohnMalingumu-nh9le Год назад +5

    Dunia ya leo imejaa upumbavu tu,mwijaku nilidhani anaakili kumbe ovyoooooooo!!!

  • @irenekarume1470
    @irenekarume1470 Год назад +5

    Wawe wanajistill khama lulu diva hata siku moja mojaaa

    • @Ann-Strong
      @Ann-Strong Год назад +1

      Kujisitiri bila ya Imani bure

  • @AnnaMuhema
    @AnnaMuhema 9 дней назад

    Mwijak

  • @tatuaamuuinyi9633
    @tatuaamuuinyi9633 10 месяцев назад

    Hapo ndo umesha ozesha mungu tusaidie

  • @cimpayeriziki6680
    @cimpayeriziki6680 5 месяцев назад

    Lulu reo burundi tumekupaga Dati mwiimbaji❤❤❤❤

  • @edwinewanjala2521
    @edwinewanjala2521 Год назад

    Oooh God

  • @abdallahnassoro2460
    @abdallahnassoro2460 Год назад +3

    Kweli wambien wajisti uzuri nitabia ht mm nitakujabkuongeza jiko ila wajistir nikitoka Dubai tu pnp majaaliwa

    • @user-go6xm3ef1o
      @user-go6xm3ef1o Год назад +1

      Kwaiyo utaenda apo kwenye icho kipindi 😅 mtaan kwenu wameisha

  • @aika3024
    @aika3024 Год назад

    💯

  • @sophiajuma6798
    @sophiajuma6798 Год назад

    Mwijaku kungwii

  • @annamakome2979
    @annamakome2979 11 месяцев назад +1

    hivi kweli hayo mahusiano huwa yanadumu yanayopatikana kwenye kipindi hiki? muwalete baadhi wenye mfano walotokana na kipindi hiki.

  • @bmstudio3712
    @bmstudio3712 11 месяцев назад

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @hashimlowela294
    @hashimlowela294 Год назад

    😄😄😄😄eti kaacha kwenye gari

  • @binloufy454
    @binloufy454 Год назад +23

    Huku ni Kuendelea Ku promote UZINIFU TU

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 Год назад +1

      Ni kweli kabisa

    • @saidijuma9386
      @saidijuma9386 Год назад +2

      Sure kbsa huwez kutft mwenza kwa style hii ni upuuz mtupu

    • @martinakimaro3302
      @martinakimaro3302 Год назад +2

      Aseeeeee vijana watanzania kama vile tumeamua kujiuza kitaalamu ivi wazazi wao wanaona huu jinga wanao ufanya kwel😢such a shame

    • @ashurakhamis5787
      @ashurakhamis5787 Год назад +1

      Nikweli kabisa

    • @assadlugendo5583
      @assadlugendo5583 11 месяцев назад +1

      modern day prostute

  • @GracieTyno
    @GracieTyno Год назад +14

    Mnaongea sana,kila mtu anaongea.

    • @mercymbithe0001
      @mercymbithe0001 Год назад +1

      Bona mm na enjoy 😂😂😂😂

    • @GracieTyno
      @GracieTyno Год назад

      @@mercymbithe0001 Me pia sijakutaja wewe kwamba unakerwa.

  • @RuthySulle-yc5dq
    @RuthySulle-yc5dq 8 месяцев назад

    Jamn mnapatikana wp wapendwa

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 Год назад +3

    Hiv wanaendaga wapi baada yahapo

  • @cathelinendayishimiye9206
    @cathelinendayishimiye9206 Год назад

    🎉🎉🎉🎉

  • @hamisshabani3126
    @hamisshabani3126 Год назад +9

    Hiki kipindi inatakiwa MC awe mmoja tu. kuwa watu 4 haileti maana pia contents zinapotea maana wanaongea sana wao tu

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 11 месяцев назад +1

    Uyu mama itakuwa anaela uyu semajamaaa alishtukiya iyo ndomana akamchaguwa

  • @rhodapyuza6053
    @rhodapyuza6053 10 месяцев назад

    Mnaongea sana

  • @rachelmuhehe7789
    @rachelmuhehe7789 Год назад +4

    Wanawake tufanye kazi, tusije tukajiuza kwa mbwa wagonjwa 😏

  • @cynthiajoyce4574
    @cynthiajoyce4574 Год назад

    🥰🥰🥰🥰👏👏👏👏

  • @Kenyan_Duke
    @Kenyan_Duke Год назад

    Hiyo kijana hatoshi na like jaguo,,,daa!!!

  • @frenciustryphone4531
    @frenciustryphone4531 Год назад +1

    Wanavaa vibaya n kama malaya tu hawana adabu hata kidogo

  • @emmagodson3048
    @emmagodson3048 5 месяцев назад

    Ndoa za kizazi hiki 😂😂😂 kazi mnayo 😂😂😂😂😂

  • @Iamfarhya
    @Iamfarhya Год назад +1

    Et Dont dissapointed me😂😂😂😂 MWIJAKU

    • @valerianmtowe7822
      @valerianmtowe7822 Год назад

      Kwa iyo apo ndo kashapata mke au mbona sielewi

    • @deogratuskakuru
      @deogratuskakuru Год назад

      ivi jaman tunaelekea wap Kuna ndoa za hivi kweliii ee mungu tusamehe ee mungu linda na watoto wetu wasipotoshwe

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 6 месяцев назад

    Bro ujachaguwa mtu sahihi mana uyo dem anaonekana kbd ni pashukuna

  • @user-sp8zu7oh2n
    @user-sp8zu7oh2n 4 месяца назад

    I saf, watu wamenyetuka uko wamechoka sasa wanajiongeza ninyi ni kuponda tulien

  • @SidiNahj-my5qc
    @SidiNahj-my5qc Год назад

    Si mnitumie location na mm nije npate mubaba😂

  • @peterkichochi7510
    @peterkichochi7510 Год назад +1

    Tanzania hakuna pressure 😂😂😂😂 nitakuja tena

  • @user-fn6uo7bb9u
    @user-fn6uo7bb9u 5 месяцев назад

    Mbona eriza hawamchagui jamani

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu Год назад +2

    Sasa Hao wanawake kwa nn wamuwambii wawe wanajaribu kujistiri sahapo mnafundisha nn

  • @petermwenda6470
    @petermwenda6470 Год назад +13

    Hili mbona ni dangulo, serikali iko wapi?

  • @dynalizzy
    @dynalizzy Год назад

    Jmn mr right ije na mikoan

  • @KelvinJackson-bf1ki
    @KelvinJackson-bf1ki Год назад

    Ivii apo unachagua mke au wa kwenda kulala naeh hii dunia ipo siku tu tufany yote ilaaa tutaona

  • @user-mr1fe8kx3t
    @user-mr1fe8kx3t 11 месяцев назад +1

    Na mimi nitaftieni mume jamani ❤

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 4 месяца назад

    Kumbe mnawauza😢😢

  • @SharonEndesha
    @SharonEndesha 11 месяцев назад

    Huyu mwanaume aliye kukura hela mfukoni anakiherehere kingii😅😅😅😅 bila msimamo

  • @tiffahrajabu5892
    @tiffahrajabu5892 Год назад +1

    Uko sasa kuuziana mbuzi kwenye gunia

  • @anithanduwimana4521
    @anithanduwimana4521 4 месяца назад

    😂😂😂😂❤❤❤❤

  • @veronicahpallangyoh6065
    @veronicahpallangyoh6065 10 месяцев назад

    Hivi ni kweli au maigizo maana mi siamni mke yuko uchi mke gani huyo

  • @anselmoonolius
    @anselmoonolius Год назад +6

    Hua naulza lkn cjawah pata majibu, hch kipindi kinatoa fundisho gan kwa jamii?😳😳😭😭

    • @Zuuh4286
      @Zuuh4286 Год назад

      Kuuzana 😂🤣🤣🤣🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🫢🤷🏼‍♀🙆🏼‍♀🙆🏼‍♀🙆🏼‍♀🙆🏼‍♀

    • @mohamedally5225
      @mohamedally5225 Год назад +1

      Hicho kipind ni kwa ajili ya mzinifu kutafuta mtu wa kuzini nae

    • @alaidertolatine4750
      @alaidertolatine4750 Год назад

      @@mohamedally5225😂😂😂😂

  • @jacklinewilbard
    @jacklinewilbard Год назад

    Napita2

  • @tinerpatrick6386
    @tinerpatrick6386 Год назад

    Jamani iki kipindi ni cha kweli au

  • @OMANOman-qc1lm
    @OMANOman-qc1lm Год назад +1

    Sasa haya ndo madili gani ya kitanzania madili Hawa ndo wanachochea uharibifu watoto

  • @VuwaiVuwai-eb2zy
    @VuwaiVuwai-eb2zy 6 месяцев назад

    Sirias gara B kamaind maamuz ya mr right😂😂

  • @mashaali6519
    @mashaali6519 Год назад +2

    Ammy gel una mikelele mbaka una boa

  • @emmagodson3048
    @emmagodson3048 5 месяцев назад

    Huu ni mchezo au comedy?? Mbona haiingii kichani wanachaguana kuwa marafiki au wanandoa, 😂😂😂😂

  • @kishkiozil2156
    @kishkiozil2156 10 месяцев назад +1

    hakuna wife materiel anaweza kusimama ati anatafute mume wote waongo ao

  • @suleimanmkombo3576
    @suleimanmkombo3576 10 месяцев назад

    Inamaana sharti la mr lite lazima awe mrefu😥

  • @user-ch8pu1dr2o
    @user-ch8pu1dr2o Год назад

    Ndoa ziko wapi jamani

  • @MtaboraMuhidini
    @MtaboraMuhidini Месяц назад

    Ameacha chombo ile daah

  • @Aginga264
    @Aginga264 Год назад +4

    I'd pick the lady in black as well, she did better in terms of modesty

  • @rusiahnyabuto1741
    @rusiahnyabuto1741 Год назад +1

    Watu wakubwa makerere tupu kwani tunawatch nyinyi

  • @abdallahnassoro2460
    @abdallahnassoro2460 Год назад

    Mwijaku huyu mdada anae kikumbatia vip hajaolewa huyu alisema ndo wakat woko wakutoa

  • @JohnMalingumu-nh9le
    @JohnMalingumu-nh9le Год назад

    Huyo mwanamke hajitambui

  • @user-hj5xu3ee3b
    @user-hj5xu3ee3b Год назад +1

    The lady is older than her spouse

  • @Zuuh4286
    @Zuuh4286 Год назад

    🔥🔥🥰🥰🥰🥰👏👏👏

  • @rajtz6283
    @rajtz6283 Год назад

    Kina raheem atukosei😊

  • @user-hq5vq7gx2q
    @user-hq5vq7gx2q 7 месяцев назад

    Mdada be mkubwa jmnii

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Год назад +1

    Mashee Na Wachungaji Mko Wapi Kondoo Wanapotea Ivi Madanguro Ya Waziwazi Aya

    • @petermwenda6470
      @petermwenda6470 Год назад

      Halafu wanapiga marufuku madanguro ya mafichoni km kinondoni, hata mbeya mafyati

  • @PreciousMayunga-xy9hb
    @PreciousMayunga-xy9hb 11 месяцев назад +1

    Mbona wanapendeza au naww unataka

  • @elizabethsamson4923
    @elizabethsamson4923 11 месяцев назад

    Kipindi kizuri ila wadada wanavaa hovyo

  • @menahallie5301
    @menahallie5301 Год назад +44

    Kipindi ni kizuri, Ila ambieni hao wadada wawe wanajistili jamani khaaaaah

    • @raybby9291
      @raybby9291 Год назад +4

      Wanahisi ili wapendwe lazima wakae uchi kumbe sivyo mwanamme alie timamu awezi chagua mwanamke alie acha mapaja mbele za watu

    • @agathaaroni7783
      @agathaaroni7783 Год назад +1

      Kabisa yan wanavaa uchi uchi tu hata wanaotaman wanaojistiri wanashndwa kutokana na hayo mazingira

    • @LoreenBernard-lr6cg
      @LoreenBernard-lr6cg Год назад +2

      Nakuunga mkono maana wote wanavaa nguo fupi mxuuuiew

    • @ZulfahAbdillah-fd5gq
      @ZulfahAbdillah-fd5gq Год назад

      Watangazaji wenyew wako uchi ndo watajistir washirik best

    • @tamimbinaltan1325
      @tamimbinaltan1325 Год назад +1

      Mungu akujaze kheir dada

  • @rachealhalima4162
    @rachealhalima4162 Год назад

    Wameendana mana sio kw sura hizo

  • @cimpayeriziki6680
    @cimpayeriziki6680 5 месяцев назад

    Garabi mbona we hujichangulishe?

  • @Hamidu-he1eq
    @Hamidu-he1eq 11 месяцев назад

    Naitaji kujuwa jinsi yakujiunga