MR.RIGHT APATA WAKATI MGUMU/AFANYA MAAMUZI HAYA
HTML-код
- Опубликовано: 22 апр 2023
- Kwa story zaidi za maisha, burudani, vipindi na za kila siku tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
►JOIN OUR WhatsApp Group chat.whatsapp.com/D8xC5Myxrkh...
►SUBSCRIBE / @stbongotv
►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
RATIBA ZA VIPINDI VYETU
THE BANTU JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 10 JIONI
SPOTLIGHT JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 12 JIONI
TWENDE JIKONI KILA IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 JIONI
FASHIONISTA KILA JUMAPILI SAA 1 USIKU
MR RIGHT SHOW KILA JUMAMOSI SAA 4 USIKU
KIU SERIES JUMATATU HADI IJUMAA SAA2:30 USIKU
THE SPIRIT NA IBADA LIVE KILA JUMAPILI KUANZIA SAA 4 ASUBUHI
MOVIE NIGHT NI KUANZIA JUMATANO MPAKA IJUMAA KUANZIA SAA NNE USIKU NA MARUDIO MCHANA KILA SIKU - Развлечения
Mwijako anapenda Sana kuwa kiongoz kwenye kila kitu Kuna muda lijifunze kukaa kimya
MashaAllah napenda lulu alivovaa
Hiii ni sawa na kusurport ushoga😢😢🙏🏿🙏🏿
Huyu aliyesema amepima mapigonya moyo amevaa vizuri I like that
Video zenu mnazikata sana zina boa
Allah awape elimu pia na akusamehen m
Huyo chitamu ana tabia mbaya Ali mkataaga mr light mzuri sana, mwachen aachwe tu
Malipo ni apa apa dunian😂😂💔
Hahaaaaa atajua hajui mwaka huu
Mmmmm allha atusaidie ndoa hii bona aina shekhe wala mchunguja jamni mungu atusaidie sijajuwa inaitwa ndoa ipi
Am favourite program I will one day mr right
Akuna Mungu Apo Pesa Na Shetani Kweli Jamani Ziko Ndoa Za Ivi Kweli Zenye Sifa Ndani Ya Msaafu Na Biblia Jamani Apa Duniani Pesa Izi Ziko Na Mambo
Ndio zipo ester alichaguliwa pia kulikuaga na show za kuchafua mke mfalme ahusuelo alimpata ester Kwa style kama hii
Mwijaku anakiherehere jamn kha!!
Mwijaku anamkono wakuozesha jamani hajawahi kufeli hongela
Wai sijapenda hat angemchagua yule mwengine uyo kaka amemchagua uyo dada anajua ataenda kulelewa
This is so interesting! than here in Kenya
Mashaallah 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Sijapenda tuu hawavai kiheshima,,,
Wakivaaa manguo wakificha miguuu utaonaje kuna wachaga ujuw
Mwen jaku nakukubali sana
Dada mkubwa kuliko kaka
da yani wanawake sijui kwanini awajithamini maisha Yao au mili Yao dunia mtaiyacha nawewe mwijaku unajifanya sana mtu wa dini apo unachochea uzinifu tu
So good
Mwijaku anaharibu
Mwakili wa zinaaa
Huku ni kujiuzaaa kbasaa daah Mungu tuhurumie
Nimependa kipindi shukran
mimi Ninaswari kwanini awo wadada Mnawaambia waje hapo Uchi😢Nawakati watoto wakiume Wamevaa nguo kwanini woteee wasivae nguo😢???
Wao wameona nguo hizo znawafaa hawajapangiwa
@@Rdj__255 Kumbee🙏
kwakweli mavazi ya wadada sio mazur
Watangazaji wa kike baadhi yao tu wanavaa nusu uchi sembuse hao mabinti? Nowadays hakuna maadili kabisa
@@vicentjulius Kabisaaa
Mwijaku❤❤❤
Ongereni
Sema kwamba hujuhi kuchagua
Mwijaku😂😂c kwa shangwe hilo.
Iyo sura tu 😢
Chitam utaondoka mwenyewe mbwa wew si ulimkataa mwanaetu 😂😂
🤣🤣🤣na ata achwa kaulizake zakijuaji sana mwanamke mjuaji sana Hua nikero kwanyumba
Yan hat mm nasema abaki tuu ni mshenzi
😂😂😂😂
@@DM_15 😂😂😂😂
Malipo ni apa apa dunian 💔💔🚮🙌
Yan video Tam na mnaikatisha
Mh mungu amisimamiye hivi halafu mkitoka hapo mwaenda pima kweli au ni hukokuvamiyana
Dunia ya leo imejaa upumbavu tu,mwijaku nilidhani anaakili kumbe ovyoooooooo!!!
😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂
Wawe wanajistill khama lulu diva hata siku moja mojaaa
Kujisitiri bila ya Imani bure
Mwijak
Hapo ndo umesha ozesha mungu tusaidie
Lulu reo burundi tumekupaga Dati mwiimbaji❤❤❤❤
Oooh God
Kweli wambien wajisti uzuri nitabia ht mm nitakujabkuongeza jiko ila wajistir nikitoka Dubai tu pnp majaaliwa
Kwaiyo utaenda apo kwenye icho kipindi 😅 mtaan kwenu wameisha
💯
Mwijaku kungwii
hivi kweli hayo mahusiano huwa yanadumu yanayopatikana kwenye kipindi hiki? muwalete baadhi wenye mfano walotokana na kipindi hiki.
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
😄😄😄😄eti kaacha kwenye gari
Huku ni Kuendelea Ku promote UZINIFU TU
Ni kweli kabisa
Sure kbsa huwez kutft mwenza kwa style hii ni upuuz mtupu
Aseeeeee vijana watanzania kama vile tumeamua kujiuza kitaalamu ivi wazazi wao wanaona huu jinga wanao ufanya kwel😢such a shame
Nikweli kabisa
modern day prostute
Mnaongea sana,kila mtu anaongea.
Bona mm na enjoy 😂😂😂😂
@@mercymbithe0001 Me pia sijakutaja wewe kwamba unakerwa.
Jamn mnapatikana wp wapendwa
Hiv wanaendaga wapi baada yahapo
🎉🎉🎉🎉
Hiki kipindi inatakiwa MC awe mmoja tu. kuwa watu 4 haileti maana pia contents zinapotea maana wanaongea sana wao tu
Wanambwembqe nyingi zisizo na maana
Uyu mama itakuwa anaela uyu semajamaaa alishtukiya iyo ndomana akamchaguwa
Mnaongea sana
Wanawake tufanye kazi, tusije tukajiuza kwa mbwa wagonjwa 😏
😂😂😂😂 dah nmecheka
🥰🥰🥰🥰👏👏👏👏
Hiyo kijana hatoshi na like jaguo,,,daa!!!
Wanavaa vibaya n kama malaya tu hawana adabu hata kidogo
Ndoa za kizazi hiki 😂😂😂 kazi mnayo 😂😂😂😂😂
Et Dont dissapointed me😂😂😂😂 MWIJAKU
Kwa iyo apo ndo kashapata mke au mbona sielewi
ivi jaman tunaelekea wap Kuna ndoa za hivi kweliii ee mungu tusamehe ee mungu linda na watoto wetu wasipotoshwe
Bro ujachaguwa mtu sahihi mana uyo dem anaonekana kbd ni pashukuna
I saf, watu wamenyetuka uko wamechoka sasa wanajiongeza ninyi ni kuponda tulien
Si mnitumie location na mm nije npate mubaba😂
Tanzania hakuna pressure 😂😂😂😂 nitakuja tena
Mbona eriza hawamchagui jamani
Sasa Hao wanawake kwa nn wamuwambii wawe wanajaribu kujistiri sahapo mnafundisha nn
Hili mbona ni dangulo, serikali iko wapi?
😂😂😂aya sasa
😂😂😂
Waiting for such comment
Hovyo kbsaa
@@rehemakanyere4188 watu wanatafuta wake banaa😜
Jmn mr right ije na mikoan
Ivii apo unachagua mke au wa kwenda kulala naeh hii dunia ipo siku tu tufany yote ilaaa tutaona
Na mimi nitaftieni mume jamani ❤
Njoo nikuoe
Unakosaje sasa
Kumbe mnawauza😢😢
Huyu mwanaume aliye kukura hela mfukoni anakiherehere kingii😅😅😅😅 bila msimamo
Uko sasa kuuziana mbuzi kwenye gunia
😂😂😂😂❤❤❤❤
Hivi ni kweli au maigizo maana mi siamni mke yuko uchi mke gani huyo
Hua naulza lkn cjawah pata majibu, hch kipindi kinatoa fundisho gan kwa jamii?😳😳😭😭
Kuuzana 😂🤣🤣🤣🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🫢🤷🏼♀🙆🏼♀🙆🏼♀🙆🏼♀🙆🏼♀
Hicho kipind ni kwa ajili ya mzinifu kutafuta mtu wa kuzini nae
@@mohamedally5225😂😂😂😂
Napita2
Jamani iki kipindi ni cha kweli au
Sasa haya ndo madili gani ya kitanzania madili Hawa ndo wanachochea uharibifu watoto
Sirias gara B kamaind maamuz ya mr right😂😂
Ammy gel una mikelele mbaka una boa
Huu ni mchezo au comedy?? Mbona haiingii kichani wanachaguana kuwa marafiki au wanandoa, 😂😂😂😂
hakuna wife materiel anaweza kusimama ati anatafute mume wote waongo ao
Inamaana sharti la mr lite lazima awe mrefu😥
Ndoa ziko wapi jamani
Ameacha chombo ile daah
I'd pick the lady in black as well, she did better in terms of modesty
She looks like she is in her 50s .
Watu wakubwa makerere tupu kwani tunawatch nyinyi
Mwijaku huyu mdada anae kikumbatia vip hajaolewa huyu alisema ndo wakat woko wakutoa
Huyo mwanamke hajitambui
The lady is older than her spouse
🔥🔥🥰🥰🥰🥰👏👏👏
Kina raheem atukosei😊
Mdada be mkubwa jmnii
Mashee Na Wachungaji Mko Wapi Kondoo Wanapotea Ivi Madanguro Ya Waziwazi Aya
Halafu wanapiga marufuku madanguro ya mafichoni km kinondoni, hata mbeya mafyati
Mbona wanapendeza au naww unataka
Kipindi kizuri ila wadada wanavaa hovyo
Kipindi ni kizuri, Ila ambieni hao wadada wawe wanajistili jamani khaaaaah
Wanahisi ili wapendwe lazima wakae uchi kumbe sivyo mwanamme alie timamu awezi chagua mwanamke alie acha mapaja mbele za watu
Kabisa yan wanavaa uchi uchi tu hata wanaotaman wanaojistiri wanashndwa kutokana na hayo mazingira
Nakuunga mkono maana wote wanavaa nguo fupi mxuuuiew
Watangazaji wenyew wako uchi ndo watajistir washirik best
Mungu akujaze kheir dada
Wameendana mana sio kw sura hizo
Garabi mbona we hujichangulishe?
Naitaji kujuwa jinsi yakujiunga