Kumbe hizi zama ni zama ambazo zinaa imehalalishwa ktk nafsi za watu wengi,inawezekanaje mtu na mkewake au mume wake,kusiwe na fursa ya kutumia au kubadilishana matumizi ya cm zao,,,yaani hapo ndio kusema dhahiri shahiri "mmehalalisha kuchepuka,kwangu mm binafsi mke ambae sina ruhusa kutumia cm yake kwa uhuru simuwezi,,,nahivyo cm yangu ipo huru yeye pia akitaka kuitumia...nahivyo ndivyo tunavyoishi na mkewangu nasasa tumemaliza miaka 29 na bado "we ❤❤❤ each other Alhamdulillaahi.
Ningependekeza namba za hawa wadada wanao tafuta Mr. Right mngeziweka public ili pia waongeze wigo wa kutafuta Mr. Right hadi kwa mashabiki na watazamaji wa hii show. Kuna wadada hapo ni wife material haswa kepeuo cha tatu na Mr. Right wao wapo huku kwa upande wa watazamaji na hawawezi poteza muda kuolewa na kuwekwa ndani. Sasa tunapataje mawasiliano yao?
Iv samhn huy glady n shosti ake johari😂😂😂😂 au vp........ila jmn heb hao wadda wawekew dressing code coz wanavaaa ovyo san jmn.....in addition merry kanyook dada we n mzuri❤
Napenda huyo dada ambaye anawivu.kwasbb kama mwanaume anakataa mke wake ashike sim yake jua kwamba mwanaume ana cheat. Kwasababu kama mwanaume aruhusu mke wake ashike sim sasa mke wake anampaka kwake?
Kwa sisi wa RUclips jamani naomba mtuwekee episode nzima jamani, ukikaa kuangalia ukae utulie mwanzo hadi mwisho kuliko ivi vipande vipande wananzengo
Kumbe hizi zama ni zama ambazo zinaa imehalalishwa ktk nafsi za watu wengi,inawezekanaje mtu na mkewake au mume wake,kusiwe na fursa ya kutumia au kubadilishana matumizi ya cm zao,,,yaani hapo ndio kusema dhahiri shahiri "mmehalalisha kuchepuka,kwangu mm binafsi mke ambae sina ruhusa kutumia cm yake kwa uhuru simuwezi,,,nahivyo cm yangu ipo huru yeye pia akitaka kuitumia...nahivyo ndivyo tunavyoishi na mkewangu nasasa tumemaliza miaka 29 na bado "we ❤❤❤ each other Alhamdulillaahi.
yaani nimajanga matupu ndugu yangu ni zinaa kwakwenda mbele
Ni kweli kabisa.
Uyu johari uyu atazeeka kwenye podium
Kweli Johari anajiona mzuri na anadharau kweli atazeeka apo apo
umenifurahisha ww😂😂😂
umenena my dear maana kila pambano yupo mwenyewe sijamsoma sijui anauza sura
😂😂😂😂😂Azeeke mara ngap jmn
@@estherboniphace2430 😂😂😂😂
MNACHOCHEA ZINAA ,KUWENI MAKINI HAYA NI MAISHA YA MUDA MTAWALIPWA NA MUNGU MLICHOKICHUMA ,MNAHALALISHA MAMBO MUNGU AMEYAKATAZA KWA DINI ZOTE.
Huyu kaka kilichomuangusha ni uvaaji tu😂😂😂😂
Naona johari kawa kama judge mkuu wa Mr.Right apewe🎉🎉yake😂😂
Nelly mrembo MASHALLAH
Ila wanawake wa apo wanachagua sana mwanaume. Ila wanatakiwa watambue ya kwamba hakuna mtyu alie perfect.
Mr right ni bondiaaaa au Kam vle anatok kweny mashoraty alivo Vaa jaman.🤭🥱
Jaman viongozi punguzen sauti ya music maneno haya skiki poa
Nikama hawasomi comments.mziki iko juu sana😮😮
Wana uwa tunatongozaa ila huyu mwamba naona alikuwa anajitongozaa
Sorry my brother don't worry you'll get it🇧🇮🇿🇦
Mmh johari umezidi kujishauwa
Damn....Aaliya is super hot❤❤
Ukimiona live anang'aa anakufanya ujione mweusi hata kama ni mweupe 😄
Mkaka wa watu mzuri jamani
Johari unachagua Sana mwisho utapata pabovu
Dah Kuna muda wanaume tuvae serious bna Sasa unavaa vest unaenda jimu,uvaaji MWINGINE unaweza kukufanya uonekane ka muhuni
Sauti ya muziki ni kubwa
Hapo shida anauza miwani hakuna kingine
😂😂 hizi aibu za kuchoreshana mimi hapana
😂😂😂😂😂😂😂😂 yaani inatak moyo
@@SashaOscar 😂😂😂
heri nitongoze vichochoroni hata nikikataliwa hakuna atakaye nijuwa😂😂😂
@@ahmaduun6523 😂😂 umeona sasa kukataliwa hadharani na kuchambuliwa kama karanga mmm hapana aibu naona mimi
Kpnz Johari ucichagua Sana mama to much my dear
Huyu johar ana jiona special 😂 haya subir malaika
ANAdomo hilo kama bustani ya kuzimu
HUYU JOHARI ANAJISHAUWA USKUTE ANA MAGONJWA KIBAO😢
😂😂😂
😂😂😂umenuna
Ukitaka kuishi kwA amani kwenye mahusiano yako au ndoa yako achana na kufuatilia sim za mpenz au mume mke mtanishukulu wasomaji😂😂😂😂😂
Hahaha jmni rahaaa sana
Nelly ana mapoz😂❤
Mr right ombi langu bado hauyajibu nataka ni pate mupendwa toka kwako
Nina swali mbele please
Johari tuta mkuta mpka season 12 huko 😂😂😂😂😂
hahahahahahahahahahahahahaha.
Ningependekeza namba za hawa wadada wanao tafuta Mr. Right mngeziweka public ili pia waongeze wigo wa kutafuta Mr. Right hadi kwa mashabiki na watazamaji wa hii show. Kuna wadada hapo ni wife material haswa kepeuo cha tatu na Mr. Right wao wapo huku kwa upande wa watazamaji na hawawezi poteza muda kuolewa na kuwekwa ndani. Sasa tunapataje mawasiliano yao?
Mwenye nataka diana😂😂😂
Kwakweli ni bomu haswa Hilo ni bomu kabisa 😁🤣
Aiseee
Iv samhn huy glady n shosti ake johari😂😂😂😂 au vp........ila jmn heb hao wadda wawekew dressing code coz wanavaaa ovyo san jmn.....in addition merry kanyook dada we n mzuri❤
Uyo johari mbona hapati mume ni anachagua sana
Uyu johari ni msenge
utaratibu wa kushiriki tafadhali
Wakwanz jmn uwiii mauwa yang plzz 😂😊
Ivi huyu Johari anamatatizo gani? Jiangaliye kwanza mivyu kwahiyo Hali hata upate mwana umme utaachika baada ya wiki moja unatabiya mbaya
Mziki unazidii sauti
Kumbe kutongoza kazi😂
Hilo goti la kinafiki bt huyo dada mwambieni ajiangalie sana
NAWAPATA VIZURI SANA KUTOKA ATHENS DADA ZANGU ALLIYAH LULU NA .MR RIGHT PONGEZI KWENU ❤❤🎉
johari anakisemeo usoni
Huyu johari ni kikongwe alafu kinajiona ...angekuwa kama huyo nelly tu sijui ingekuaje😂
Nitakuja Tanzania nichukue hawa ladies wote wa kimbelembele mimba mimba twaaaa😂😂😂
😂😂😂
Wakikuacha hai shukuru Mungu 😂
@@sonnyr1899 😂😂
Good job
Mi ananiboa Johar😏 kila cku nyodo mmmmh
Johari arudi kwao io podium aje mdada anaeeleweka
Johari analiinga na dharau nyingi nawakati maziwa yashalalaa
duuuuhhhhh! salaaaaala😮😮 itabidi aweke matiti fake ya bandia😂😂😂
Huu johari natamani nimuone Mr right atakaye penda
Johari mtata sana 😂😂😂😂
Ila johari anajishaua khaa
Mm naitaji mume jamani
Pore mkk
Johan dada kila kipindi upo utazeeka hapohapo uku umesimama
Yani uyo johari siku akitoka hapo sijui ni lini😅😅😅😅 naona atakua kma ruba kwa hoja zake za kipuuzi
Merry Sema kanyooka mzee
Johari atazehek apo😂
Johari ana matatizo ya akili hebu mwambieni asije hapo Tena ananikera madako yake
aise hawa watu wawe wanapimwa kisaikolojia aiseee
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Johari sizani kamayuposawa huyu ukioa kitakulamba
I don't like the way huyo Nelly amekataa huyo jamaa😏
Wivu nimbaya
Uyo johaali ana raana kama sio wazazi ni mwanaume kamlaani mbona mm natafuta mume wanitafute ila napata tu aibu ya kwenda hapo
❤❤❤❤
Amna cha girls talk weee wanakuwaga na wanawake zako wengn
Napenda huyo dada ambaye anawivu.kwasbb kama mwanaume anakataa mke wake ashike sim yake jua kwamba mwanaume ana cheat. Kwasababu kama mwanaume aruhusu mke wake ashike sim sasa mke wake anampaka kwake?
ILI JOHARI SILIPENDI🌝
😂😂😂😂
Jamani lulu khaaaaa 🤣🤣🤣
Jmn nawaomba nyie wasichana embu vaenii nguo za heshima kama wew lulu
Lazma kwenye mapenzi kuwe wivu
Johari anamapepe sana
Utabaki johari kwa hawa wakaka wa siku hizi
Lulu mzuri Sana Ila mavazi yake Sasa mmmm balaa tupuu ana vaa uchi Sana
Atoke tyu hapo anatuchosha
❤❤❤❤
Mh
Johar ananikera mim uyu dad jmn 😏😏
😢😢😢😢
😂😂😂
PUMBAVU
J