NAOMBA UWE WANGU, NIMEPENDA KIPINI CHAKO, TABASAMU, UNYWELE, RANGI YAKO - HELLO MR. RIGHT

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 121

  • @Annie-tt8fi
    @Annie-tt8fi 9 месяцев назад +10

    Kwa sisi wa RUclips jamani naomba mtuwekee episode nzima jamani, ukikaa kuangalia ukae utulie mwanzo hadi mwisho kuliko ivi vipande vipande wananzengo

  • @maalimjaffar5563
    @maalimjaffar5563 9 месяцев назад +5

    Kumbe hizi zama ni zama ambazo zinaa imehalalishwa ktk nafsi za watu wengi,inawezekanaje mtu na mkewake au mume wake,kusiwe na fursa ya kutumia au kubadilishana matumizi ya cm zao,,,yaani hapo ndio kusema dhahiri shahiri "mmehalalisha kuchepuka,kwangu mm binafsi mke ambae sina ruhusa kutumia cm yake kwa uhuru simuwezi,,,nahivyo cm yangu ipo huru yeye pia akitaka kuitumia...nahivyo ndivyo tunavyoishi na mkewangu nasasa tumemaliza miaka 29 na bado "we ❤❤❤ each other Alhamdulillaahi.

    • @Yangaone-h8j
      @Yangaone-h8j 9 месяцев назад

      yaani nimajanga matupu ndugu yangu ni zinaa kwakwenda mbele

    • @DaudNyamsinja
      @DaudNyamsinja 9 месяцев назад

      Ni kweli kabisa.

  • @faridalihondo3322
    @faridalihondo3322 9 месяцев назад +26

    Uyu johari uyu atazeeka kwenye podium

    • @bintqassimidarous1636
      @bintqassimidarous1636 9 месяцев назад +3

      Kweli Johari anajiona mzuri na anadharau kweli atazeeka apo apo

    • @miriammkambe4267
      @miriammkambe4267 9 месяцев назад +1

      umenifurahisha ww😂😂😂

    • @samiahJoseph
      @samiahJoseph 9 месяцев назад

      umenena my dear maana kila pambano yupo mwenyewe sijamsoma sijui anauza sura

    • @estherboniphace2430
      @estherboniphace2430 9 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂Azeeke mara ngap jmn

    • @bintqassimidarous1636
      @bintqassimidarous1636 9 месяцев назад +1

      @@estherboniphace2430 😂😂😂😂

  • @Angaza708
    @Angaza708 8 месяцев назад +2

    MNACHOCHEA ZINAA ,KUWENI MAKINI HAYA NI MAISHA YA MUDA MTAWALIPWA NA MUNGU MLICHOKICHUMA ,MNAHALALISHA MAMBO MUNGU AMEYAKATAZA KWA DINI ZOTE.

  • @UpeenduIvantibu-dd6nh
    @UpeenduIvantibu-dd6nh 9 месяцев назад +4

    Huyu kaka kilichomuangusha ni uvaaji tu😂😂😂😂

  • @neemamkuchu
    @neemamkuchu 9 месяцев назад +2

    Naona johari kawa kama judge mkuu wa Mr.Right apewe🎉🎉yake😂😂

  • @fatumahapesamohamedfatumah4633
    @fatumahapesamohamedfatumah4633 9 месяцев назад +4

    Nelly mrembo MASHALLAH

  • @FiriWise-q8v
    @FiriWise-q8v 3 месяца назад

    Ila wanawake wa apo wanachagua sana mwanaume. Ila wanatakiwa watambue ya kwamba hakuna mtyu alie perfect.

  • @IddaJovent
    @IddaJovent Месяц назад

    Mr right ni bondiaaaa au Kam vle anatok kweny mashoraty alivo Vaa jaman.🤭🥱

  • @giddie_barnabas
    @giddie_barnabas 9 месяцев назад +1

    Jaman viongozi punguzen sauti ya music maneno haya skiki poa

    • @milcahmuyama
      @milcahmuyama 9 месяцев назад

      Nikama hawasomi comments.mziki iko juu sana😮😮

  • @charles23436
    @charles23436 9 месяцев назад +2

    Wana uwa tunatongozaa ila huyu mwamba naona alikuwa anajitongozaa

  • @fistonnibigira167
    @fistonnibigira167 7 месяцев назад

    Sorry my brother don't worry you'll get it🇧🇮🇿🇦

  • @ChremeMzava
    @ChremeMzava 9 месяцев назад +1

    Mmh johari umezidi kujishauwa

  • @ellymwampashe8927
    @ellymwampashe8927 9 месяцев назад +6

    Damn....Aaliya is super hot❤❤

    • @thabitdaudi9815
      @thabitdaudi9815 9 месяцев назад

      Ukimiona live anang'aa anakufanya ujione mweusi hata kama ni mweupe 😄

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 8 месяцев назад +1

    Mkaka wa watu mzuri jamani

  • @upendoshoo2635
    @upendoshoo2635 9 месяцев назад +1

    Johari unachagua Sana mwisho utapata pabovu

  • @sintohayuma7281
    @sintohayuma7281 9 месяцев назад +1

    Dah Kuna muda wanaume tuvae serious bna Sasa unavaa vest unaenda jimu,uvaaji MWINGINE unaweza kukufanya uonekane ka muhuni

  • @nangasixmshamba
    @nangasixmshamba 9 месяцев назад +1

    Sauti ya muziki ni kubwa

  • @Erik-kj5no
    @Erik-kj5no 9 дней назад

    Hapo shida anauza miwani hakuna kingine

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 9 месяцев назад +4

    😂😂 hizi aibu za kuchoreshana mimi hapana

    • @SashaOscar
      @SashaOscar 9 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂 yaani inatak moyo

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 9 месяцев назад

      @@SashaOscar 😂😂😂

    • @ahmaduun6523
      @ahmaduun6523 9 месяцев назад

      heri nitongoze vichochoroni hata nikikataliwa hakuna atakaye nijuwa😂😂😂

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 9 месяцев назад

      @@ahmaduun6523 😂😂 umeona sasa kukataliwa hadharani na kuchambuliwa kama karanga mmm hapana aibu naona mimi

  • @jacquelineringo8973
    @jacquelineringo8973 9 месяцев назад

    Kpnz Johari ucichagua Sana mama to much my dear

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 9 месяцев назад +2

    Huyu johar ana jiona special 😂 haya subir malaika

    • @amosmahona433
      @amosmahona433 Месяц назад

      ANAdomo hilo kama bustani ya kuzimu

  • @AbdurazakiKisoma
    @AbdurazakiKisoma 9 месяцев назад +5

    HUYU JOHARI ANAJISHAUWA USKUTE ANA MAGONJWA KIBAO😢

  • @josminimsigwa5146
    @josminimsigwa5146 9 месяцев назад

    Ukitaka kuishi kwA amani kwenye mahusiano yako au ndoa yako achana na kufuatilia sim za mpenz au mume mke mtanishukulu wasomaji😂😂😂😂😂

  • @AbdarahFadhil
    @AbdarahFadhil 8 месяцев назад

    Hahaha jmni rahaaa sana

  • @maythammohdyahya7410
    @maythammohdyahya7410 9 месяцев назад +1

    Nelly ana mapoz😂❤

  • @musondolirobert3922
    @musondolirobert3922 8 месяцев назад

    Mr right ombi langu bado hauyajibu nataka ni pate mupendwa toka kwako
    Nina swali mbele please

  • @fredanthony740
    @fredanthony740 9 месяцев назад +2

    Johari tuta mkuta mpka season 12 huko 😂😂😂😂😂

    • @gemarhn4483
      @gemarhn4483 9 месяцев назад

      hahahahahahahahahahahahahaha.

  • @atomphoton5000
    @atomphoton5000 9 месяцев назад +3

    Ningependekeza namba za hawa wadada wanao tafuta Mr. Right mngeziweka public ili pia waongeze wigo wa kutafuta Mr. Right hadi kwa mashabiki na watazamaji wa hii show. Kuna wadada hapo ni wife material haswa kepeuo cha tatu na Mr. Right wao wapo huku kwa upande wa watazamaji na hawawezi poteza muda kuolewa na kuwekwa ndani. Sasa tunapataje mawasiliano yao?

    • @marklaire8880
      @marklaire8880 9 месяцев назад

      Mwenye nataka diana😂😂😂

  • @elisharaphael8680
    @elisharaphael8680 9 месяцев назад

    Kwakweli ni bomu haswa Hilo ni bomu kabisa 😁🤣

  • @sophiankwera9020
    @sophiankwera9020 9 месяцев назад

    Aiseee

  • @VoiceofVoctorytzVOV
    @VoiceofVoctorytzVOV 9 месяцев назад

    Iv samhn huy glady n shosti ake johari😂😂😂😂 au vp........ila jmn heb hao wadda wawekew dressing code coz wanavaaa ovyo san jmn.....in addition merry kanyook dada we n mzuri❤

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo 9 месяцев назад

    Uyo johari mbona hapati mume ni anachagua sana

  • @roseraymond4954
    @roseraymond4954 9 месяцев назад

    Uyu johari ni msenge

  • @sefanianaftari6
    @sefanianaftari6 9 месяцев назад +1

    utaratibu wa kushiriki tafadhali

  • @AnitherSalum-ly6fd
    @AnitherSalum-ly6fd 9 месяцев назад +1

    Wakwanz jmn uwiii mauwa yang plzz 😂😊

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 9 месяцев назад +1

    Ivi huyu Johari anamatatizo gani? Jiangaliye kwanza mivyu kwahiyo Hali hata upate mwana umme utaachika baada ya wiki moja unatabiya mbaya

  • @addysiwall4427
    @addysiwall4427 9 месяцев назад +1

    Mziki unazidii sauti

  • @jescachandarua5898
    @jescachandarua5898 9 месяцев назад

    Kumbe kutongoza kazi😂

  • @danielstephano9723
    @danielstephano9723 9 месяцев назад

    Hilo goti la kinafiki bt huyo dada mwambieni ajiangalie sana

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 9 месяцев назад

    NAWAPATA VIZURI SANA KUTOKA ATHENS DADA ZANGU ALLIYAH LULU NA .MR RIGHT PONGEZI KWENU ❤❤🎉

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 Месяц назад

    johari anakisemeo usoni

  • @neemaberny3598
    @neemaberny3598 9 месяцев назад

    Huyu johari ni kikongwe alafu kinajiona ...angekuwa kama huyo nelly tu sijui ingekuaje😂

  • @jairusbarasa2544
    @jairusbarasa2544 9 месяцев назад +1

    Nitakuja Tanzania nichukue hawa ladies wote wa kimbelembele mimba mimba twaaaa😂😂😂

    • @tato8979
      @tato8979 9 месяцев назад

      😂😂😂

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 9 месяцев назад +1

      Wakikuacha hai shukuru Mungu 😂

    • @jairusbarasa2544
      @jairusbarasa2544 9 месяцев назад +1

      @@sonnyr1899 😂😂

  • @rahamrahma6259
    @rahamrahma6259 9 месяцев назад

    Good job

  • @SiaEldar
    @SiaEldar 9 месяцев назад +1

    Mi ananiboa Johar😏 kila cku nyodo mmmmh

  • @giddie_barnabas
    @giddie_barnabas 9 месяцев назад

    Johari arudi kwao io podium aje mdada anaeeleweka

  • @michaelak8082
    @michaelak8082 9 месяцев назад +1

    Johari analiinga na dharau nyingi nawakati maziwa yashalalaa

    • @ahmaduun6523
      @ahmaduun6523 9 месяцев назад

      duuuuhhhhh! salaaaaala😮😮 itabidi aweke matiti fake ya bandia😂😂😂

  • @ashahussein2734
    @ashahussein2734 9 месяцев назад

    Huu johari natamani nimuone Mr right atakaye penda

  • @praygodexaud6756
    @praygodexaud6756 9 месяцев назад

    Johari mtata sana 😂😂😂😂

  • @jamilahussein1071
    @jamilahussein1071 9 месяцев назад

    Ila johari anajishaua khaa

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo 9 месяцев назад

    Mm naitaji mume jamani

  • @MwajeyEthany
    @MwajeyEthany 2 месяца назад

    Pore mkk

  • @Fetty-e1o
    @Fetty-e1o 9 месяцев назад

    Johan dada kila kipindi upo utazeeka hapohapo uku umesimama

  • @RayyanRayyan-rt9cg
    @RayyanRayyan-rt9cg 9 месяцев назад

    Yani uyo johari siku akitoka hapo sijui ni lini😅😅😅😅 naona atakua kma ruba kwa hoja zake za kipuuzi

  • @Mr.Nyingi
    @Mr.Nyingi 9 месяцев назад

    Merry Sema kanyooka mzee

  • @MerosNkurunziza
    @MerosNkurunziza 9 месяцев назад

    Johari atazehek apo😂

  • @gracegofrey4677
    @gracegofrey4677 9 месяцев назад +2

    Johari ana matatizo ya akili hebu mwambieni asije hapo Tena ananikera madako yake

  • @HilaryAmaniMmbughu
    @HilaryAmaniMmbughu 9 месяцев назад

    Johari sizani kamayuposawa huyu ukioa kitakulamba

  • @willywilly3238
    @willywilly3238 9 месяцев назад +1

    I don't like the way huyo Nelly amekataa huyo jamaa😏

  • @hassansammy1076
    @hassansammy1076 9 месяцев назад

    Wivu nimbaya

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo 9 месяцев назад

    Uyo johaali ana raana kama sio wazazi ni mwanaume kamlaani mbona mm natafuta mume wanitafute ila napata tu aibu ya kwenda hapo

  • @ShirleenFrank
    @ShirleenFrank 9 месяцев назад

    ❤❤❤❤

  • @agnestemu8382
    @agnestemu8382 9 месяцев назад

    Amna cha girls talk weee wanakuwaga na wanawake zako wengn

  • @gastondofra9151
    @gastondofra9151 9 месяцев назад

    Napenda huyo dada ambaye anawivu.kwasbb kama mwanaume anakataa mke wake ashike sim yake jua kwamba mwanaume ana cheat. Kwasababu kama mwanaume aruhusu mke wake ashike sim sasa mke wake anampaka kwake?

  • @fabiannjovu2273
    @fabiannjovu2273 9 месяцев назад +1

    ILI JOHARI SILIPENDI🌝

  • @maggemonalisa4331
    @maggemonalisa4331 9 месяцев назад

    Jamani lulu khaaaaa 🤣🤣🤣

  • @MaryMangowi
    @MaryMangowi 8 месяцев назад

    Jmn nawaomba nyie wasichana embu vaenii nguo za heshima kama wew lulu

  • @MusondoliRobert-ve4wz
    @MusondoliRobert-ve4wz 7 месяцев назад

    Lazma kwenye mapenzi kuwe wivu

  • @Rozeey610
    @Rozeey610 9 месяцев назад

    Johari anamapepe sana

  • @bonifacekilaviri9698
    @bonifacekilaviri9698 7 месяцев назад

    Utabaki johari kwa hawa wakaka wa siku hizi

  • @katolekiki368
    @katolekiki368 9 месяцев назад

    Lulu mzuri Sana Ila mavazi yake Sasa mmmm balaa tupuu ana vaa uchi Sana

  • @IbrahMafrizo-ld3ig
    @IbrahMafrizo-ld3ig 9 месяцев назад

    Atoke tyu hapo anatuchosha

  • @metrineomega1635
    @metrineomega1635 9 месяцев назад

    ❤❤❤❤

  • @PericeSembe
    @PericeSembe 4 месяца назад

    Mh

  • @AnitherSalum-ly6fd
    @AnitherSalum-ly6fd 9 месяцев назад

    Johar ananikera mim uyu dad jmn 😏😏

  • @ChakoriChakori-z1x
    @ChakoriChakori-z1x 9 месяцев назад

    😢😢😢😢

  • @marthasonia5005
    @marthasonia5005 9 месяцев назад

    😂😂😂

  • @mwajumaalimasi2364
    @mwajumaalimasi2364 9 месяцев назад

    PUMBAVU

  • @ashurakodd1589
    @ashurakodd1589 9 месяцев назад

    J