BABA YANGU KIPOFU Full episode/19/

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • #love

Комментарии • 944

  • @BabaJoani
    @BabaJoani  2 месяца назад +204

    CHECK US ON WHATSAP THROUGH THIS NUMBER +255768861318
    WE ARE HAPPY TO HAVE YOU OUR FAMILY GOD BLESS YOU

    • @amissemkanapate8249
      @amissemkanapate8249 2 месяца назад +9

      Hongeren kwa Kaz mzur mungu awatilie wepes

    • @Khavanny
      @Khavanny 2 месяца назад +1

      We are family now

    • @AlveraFonete
      @AlveraFonete 2 месяца назад +3

      😢😮😊

    • @hamisi-io2tb
      @hamisi-io2tb 2 месяца назад +2

      I personally appreciate what you're doing baba kalobo, but I think ile swag 50 minutes nadhan ulikuwa poa sana kuliko 30 minutes. Ni maoni 2

    • @BiziaMaziga
      @BiziaMaziga 2 месяца назад +2

      We too we appreciate your concept ❤

  • @Agentoftchauta
    @Agentoftchauta 2 месяца назад +6

    🎉🎉nakuku bari Kaká amakweri wee ni noma 100%kweri mi nipo msumbiji 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @jaysonkingcrazy198
    @jaysonkingcrazy198 2 месяца назад +193

    Kazi nzuri kakangu🙏 wapi likes zangu kutoka kenya🇰🇪

  • @SaumuRuwa-t3h
    @SaumuRuwa-t3h 2 месяца назад +26

    Wow 😲😲 baba karobo anaenda kupona,hatimae ushahidi umepatikana,

  • @MaryNjeri-zc4uo
    @MaryNjeri-zc4uo 2 месяца назад +5

    Waoo congratulations 👏 kakangu 🎉unatufuza Jambo am from Kenya

  • @modex_0376
    @modex_0376 2 месяца назад +110

    Wa kwanza Leo Kutoka kenya naomba like zenu Tafadhalii kma nishabiki mkubwa wa baba Karobo hebu nione nitafikisha 1000 leo

  • @ismaeltumaini8171
    @ismaeltumaini8171 2 месяца назад +66

    Leo nimekuwa wa kwanza kutok Burundi mnipee like zangu wakuu

  • @nsengiyumvawhite6480
    @nsengiyumvawhite6480 2 месяца назад +6

    Wawooooo vizuli saana sim imepatikana kweli adi laha baba baba karobo anaenda kuona kabisa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @IvonaRutha
    @IvonaRutha 2 месяца назад +7

    Kazi nzurii kaka anguu mungu awaongoze jamn pia na mm naomba kazi ya uigizajii jamn 😢😢

  • @Aaliyahkhamisi
    @Aaliyahkhamisi 2 месяца назад +11

    kazi nzuri sana bba karobo nawapenda sana ❤

  • @HalimaAbdalla-ce7zj
    @HalimaAbdalla-ce7zj 2 месяца назад +6

    AA huyu mtoto Yuko vizuri Sana mashalla Baba Joan KAZi nzuri Sana Ila Mimi kila Ninapo tizama natoka machozi ila epi sudi ya 10 ndo nimechoka Sana Baba kalobo anataka unyumba😂😂😂😂

  • @brayoomontana5011
    @brayoomontana5011 2 месяца назад +30

    Ndo kufika xaaa hiii wapii mafsns wa zujati kutoka tz 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥🔥💯

  • @helinasubila987
    @helinasubila987 2 месяца назад +27

    Mimi napeda zujeti aki❤❤❤❤❤❤ nigeoba awe wiifi yangu kwetu kenya wagapi munamupeda like hapa kwa wanaume wa kenya hii mali safi

  • @TumainiUrio-k7o
    @TumainiUrio-k7o 2 месяца назад +8

    Jaman hongera sana kazi nzuri na mnatuma kazi Kwa wakati mpo njema sana

  • @AngelAbeli-it8gn
    @AngelAbeli-it8gn 2 месяца назад +42

    Aaaha leo mm wa pili naomba like zangu

  • @valentineonyoni9065
    @valentineonyoni9065 2 месяца назад +5

    ❤ Wueeeh😮. I can't wait for the next episode. The one and only Representing Mombasa Kenya 🎉❤❤

  • @Munaaa255
    @Munaaa255 2 месяца назад +12

    Good dad j God bless your work and also May God protect you all nawapenda ❤❤❤

  • @JohnJoacim
    @JohnJoacim 2 месяца назад +7

    Jmn mov tamu San lkin mnachelewesha San mwendelezo jmn baba joan

  • @GoldlistenMuro
    @GoldlistenMuro 2 месяца назад +5

    Kazi nzuri sana nimejifunza mwanamke siyo mtu nikitu zaifu

  • @HARMATONPOLE
    @HARMATONPOLE 2 месяца назад +6

    Nimechelewa lakini naomba likes zenu I'm from Kenya

  • @JacksonDieudonne-mz8en
    @JacksonDieudonne-mz8en 2 месяца назад +30

    Vidéos nzuri kuko zingine akuna sauti muzuri mimi Jackson toka DRCongo

  • @KamarizaAnnociatte
    @KamarizaAnnociatte 2 месяца назад +5

    Mi sitaki like Ila naipenda hi history baba kalobo hongel Sana mama kalobo utakoma simu imepatikana weeeeer❤❤❤❤❤❤❤

  • @GENZ-c1q
    @GENZ-c1q 2 месяца назад +90

    ❤ from 254 nawapenda sna naomba like wakenya wenzangu❤❤❤

    • @mokenyejosiah5101
      @mokenyejosiah5101 2 месяца назад +1

      @Josiah Mokenye from Kenya pokea likes zenu

    • @KKK-v6j
      @KKK-v6j 2 месяца назад +1

      Tuko pamoja ❤❤❤❤

    • @joashaminga605
      @joashaminga605 2 месяца назад

      Za nini sasa??

  • @Sarah-i1f
    @Sarah-i1f 2 месяца назад +31

    Wow kipindi hiki kitamu. Mwenye anaenjoy kama Mimi nipe like tafadhali

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 2 месяца назад +7

    😀😀😀😀😀😀 mableach kszi unsyooo etii umfukuzeee huyuu jamaa vip kazi mnayoooo

  • @OLAGWANANILEMBUSEL
    @OLAGWANANILEMBUSEL 2 месяца назад +3

    nampenda Sana sojatiy ❤❤❤mtoto mrembo nitampata wapi aki🇰🇪naombeni laiki 100 kwaniaba ya sojatiy love my sweet❤❤❤

  • @METRINEOKELLO
    @METRINEOKELLO 2 месяца назад +3

    Nimefurai juu hiyo simu imepatikana natama sana baba karobo aone movie nzuri kabisa❤

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 2 месяца назад +10

    Yan huyuu dadaa anafanisha zujat eti fashien hakutakiii. Zujat mzuri shap shape kweli mm hapo kanipita kidogoo

  • @RehemaManyeso
    @RehemaManyeso 2 месяца назад +7

    Kazi nzuri jamani Mungu awabariki🎉🎉❤❤❤❤

  • @majanjajunior5706
    @majanjajunior5706 2 месяца назад +6

    Kazi nzuri sana kaka, Kenya we love you brother😍🙏

  • @Soska-h7w
    @Soska-h7w 2 месяца назад +5

    Mm hapa wa kuchelewa kutoka kwa mtukufu William.likes kwa kazi nzuri as a team

    • @Soska-h7w
      @Soska-h7w 2 месяца назад

      Yangu hapo ya kwanza

  • @Ashabendera-x4t
    @Ashabendera-x4t 2 месяца назад +19

    Tunao tumia wifi zawa ruguru tujuane 😅😅😅😅😅kwa makopa ❤❤❤❤❤

  • @AlfredMusikoyo
    @AlfredMusikoyo 2 месяца назад +4

    Thanks you ni Alfred kutoka kenya nasemaje saa umeshika rada angalau tunaunganisha tamthilia ipasavyo kazi njema Baba Joan kila la heri

    • @AlfredMusikoyo
      @AlfredMusikoyo 2 месяца назад

      Warembo nao Bana karobo daaa umechagua wameshona😂😂

  • @jaycburundi257
    @jaycburundi257 2 месяца назад +34

    Mie kutoka Burundi nimesha fika kwa coment ya153 namkubali baba kalobo una script nzuli sana
    Gongeni likes tumuonyeshe upendo baba kalobo❤

  • @BarakaKatsuva
    @BarakaKatsuva 2 месяца назад +6

    Vizuri sana kabisaaa nile i prend ivi n'a taka likes zangu Ku toka Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @LewisHamiltonGLD
    @LewisHamiltonGLD 2 месяца назад +4

    Kazi safi babake karobo nawapenda nyote hongereni team karobo drop maua yake hapa🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @BothainaBothaina-k6c
    @BothainaBothaina-k6c 2 месяца назад +25

    Baba karobo wewe ni Mwamba hakuna atakayekutingiza jameni likes Kwa wingi🎉🎉🎉❤❤❤❤

    • @Gueldoway
      @Gueldoway 2 месяца назад +1

      Awe ivyo mana picha yenyewe inaruhusu ivyo mana anateswa 🎉🎉 anaekubaliana Nami agonge like 👍 hapo

  • @mohamedgathu2676
    @mohamedgathu2676 2 месяца назад +5

    Kazi nzuri ila zaujati wah... Kituuu.
    Watching @saudi Arabia

  • @EliaOunja-k8r
    @EliaOunja-k8r 2 месяца назад +3

    Kipofu huwa habadilishi nguo kwahyo me ckupi like baba karobo ww unaweza bwana

  • @NancySibiaOnguti-gb9yq
    @NancySibiaOnguti-gb9yq 2 месяца назад +5

    Wewe mama kalobo utatujua sana na huo mchipuko wako simu tumeipata jamani mdomo tutakata 😂😂😂😂 like kama 19 hivi team baba kalobo

  • @Martha-uu9mb
    @Martha-uu9mb 2 месяца назад +25

    Daa!! Yaani mama karobo wee like zake❤❤🎉🇰🇪

  • @AsmaEdgar
    @AsmaEdgar 2 месяца назад +3

    Kazi nzuri mmejitaidi japokua Kuna vimakosa kidogo ila mmejitaidi pongezi kwenu

  • @user-chaliboy
    @user-chaliboy 2 месяца назад +56

    Timu Baba karobo gonga like🎉

  • @LambertKimati
    @LambertKimati 2 месяца назад +4

    Congratulation Big man mister Jacob you are strong and god bless nini wote weko kwenye hii move nawasalimu

  • @ZaedMousa
    @ZaedMousa 2 месяца назад +4

    Aisee kaka unaweza mungu akufanyie wepesi kazi yako kaka 🎉❤❤❤❤❤❤❤

  • @AllyAbdalla-d5w
    @AllyAbdalla-d5w 2 месяца назад +10

    Daa Uyu mwamba , namshauri akipata pesa Asje kujiskia na kujiona Ster atakuja kuharibu Bora Ajiona hivi hivi atafanya kazi mzuri na kuwa na kipato Zaid ya str

  • @DamarisDammie
    @DamarisDammie 2 месяца назад +23

    kama kawa team chap chap team wifi huwa tunawahi from Kenya mama karobo jameni kiboko yao then ba karobo twakukubali huku kenya any Kenyan in the house after kula teargas 😂😂😂😂

  • @J74251
    @J74251 2 месяца назад +18

    Baba karobo big up Sana 🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤oya series nzuri Sana 🎉❤🎉❤🎉

  • @EstaManyemba
    @EstaManyemba 2 месяца назад +3

    Kazi nzuriii sana baba karobo kutoka dodoma Tanzania ❤

  • @BettyMukamisha-u9b
    @BettyMukamisha-u9b 2 месяца назад +16

    From 🇺🇸 nimeway like 10 tu

  • @AminaMohammed-u7j
    @AminaMohammed-u7j 2 месяца назад +98

    Kama unampenda baba karobo nipe likes hapa

  • @petermwirigi-ut5oj
    @petermwirigi-ut5oj 2 месяца назад +8

    mm wa kwanza kutoka kenya sitaki like lkn napenda hi story xna

  • @MireilleTuyisenge-ei8fd
    @MireilleTuyisenge-ei8fd 2 месяца назад +8

    Kazi nzuri naomba like ata moja

  • @EvansMwenda-d1t
    @EvansMwenda-d1t 2 месяца назад +116

    Tangu series ianze sijawahi pewa likes ata 200

    • @Thee.Pubeen
      @Thee.Pubeen 2 месяца назад

      We unataka 200 za kwako!we huogopi?😂😂😂😂

  • @bertha57
    @bertha57 2 месяца назад +7

    Wakwanza kutoka Bujumbura nahomba liké ❤😂

  • @MariamRiziki-o8x
    @MariamRiziki-o8x 2 месяца назад +6

    Mi broo baba karobo kazi yako nzuri sanaaa chukka maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤ naomba hata kalikes kamoja tu😂😂😂😂😂😂

  • @charleskoechkoech8241
    @charleskoechkoech8241 2 месяца назад +8

    Watching from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @jantykerry5948
    @jantykerry5948 2 месяца назад +10

    Watching from🇰🇪🇰🇪🎉🎉🎉

  • @PentergonHonesty
    @PentergonHonesty 2 месяца назад +5

    Big up sana team baba kalombo pamoja sana mwanzo mwishooo

  • @emmanuelwalubengo9672
    @emmanuelwalubengo9672 2 месяца назад +8

    kazi nzuri nimefuatilia tangu mwanzo,,, kenya locked

  • @MarthaManjale
    @MarthaManjale 2 месяца назад +5

    Kazi nzuri baba karobo na mama karobo

  • @danielofficial255
    @danielofficial255 2 месяца назад +16

    Mi leo wakwanza natamani sana nipate nafasi ya kuigiza nanyi

  • @InayanailahissaNurdin
    @InayanailahissaNurdin 2 месяца назад +5

    Mimi kutoka burundi naomba like na nampenda sana baba karobo na karobo

  • @Saumu-kb2rg
    @Saumu-kb2rg 2 месяца назад +11

    Kazi nzuri sana nilikuwa naisubr kwa hamu ila huyu mwanamke hana roho mbya sna

    • @umfahad2609
      @umfahad2609 2 месяца назад

      Angekua hana roho mbaya. Acngempa upofu Bb Karobo bana….

    • @RizikiZiki
      @RizikiZiki 2 месяца назад

      Jamani sioivo ye anarikisha ujumbe move ndoipangwa aweivo musimushutumu bure uwasiliya kunawatu wakoivo

  • @SuzzyNjee
    @SuzzyNjee 2 месяца назад +3

    Wow nice simu imepatikana finely 😂😂😂

  • @MerchyPaula
    @MerchyPaula 2 месяца назад +6

    Mmn kalobo feki anawez uwowujing wak wunamupendez🎉🎉🎉

  • @OdetteNITUNGA-qy3vk
    @OdetteNITUNGA-qy3vk 2 месяца назад +29

    From 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 nataka like ❤❤❤❤

  • @EmilyOchando
    @EmilyOchando 2 месяца назад +5

    From Kenya love your movie Baba Joan ❤

  • @ButoyiRukiya
    @ButoyiRukiya 2 месяца назад +3

    Safi saana sim imepatikana 😂 Mama Karobo umekwisha

  • @MrUhakikaTz
    @MrUhakikaTz 2 месяца назад +15

    Mr uhakika from tz 🇹🇿🇹🇿

  • @MarylineMakhungu-t9z
    @MarylineMakhungu-t9z 2 месяца назад +10

    Watching from Kenya

  • @Mosetieunice
    @Mosetieunice 2 месяца назад +10

    Much love from Kenya 🇰🇪

  • @HakizimanaElias-zk5vg
    @HakizimanaElias-zk5vg 2 месяца назад +12

    munafanya kazi nzuri sana hongereni

  • @samsonmusafiri8275
    @samsonmusafiri8275 2 месяца назад +24

    From zambia nataka hâta likes tana❤😂

  • @Idmmuedacente
    @Idmmuedacente 2 месяца назад +4

    ❤❤❤🎉🎉🎉ila huyu mama karobo dahh angekua dada angu vibaooooooo😢

  • @mwesigyeglory215
    @mwesigyeglory215 2 месяца назад +2

    Mi wa kwanza kutoka Tanzania naomba like zenu 😮

  • @SalomeSumbizi-ll9wc
    @SalomeSumbizi-ll9wc 2 месяца назад +10

    Nimefurah San simu kuwa mikononi mwa Mr Lahasa

  • @dawnstarmusic8342
    @dawnstarmusic8342 2 месяца назад +3

    Kazi safi sana kaka, endeleeni hivo hivo

  • @ericnduwimana8246
    @ericnduwimana8246 2 месяца назад +3

    Natamaana sana baba karobo apone, kumbe bado wapo watoto ambao wana mapenzi ya dhati? Dada zuu hongera saana kabisa

  • @jadekavusa9309
    @jadekavusa9309 2 месяца назад +1

    Bonge la filamu big up to all of you , l'm congo from Kinshasa nime tizama épisode zote bora upone ili filamu iwe tamu🎉🎉❤❤

  • @Pauline-254
    @Pauline-254 2 месяца назад +3

    Aki leo nimechelewa lakini kazi nzuri ❤❤❤

  • @ParissHuntMorgan
    @ParissHuntMorgan 2 месяца назад +6

    IKO wapi like ya Congo🇨🇩

  • @RoseShao-t5t
    @RoseShao-t5t 2 месяца назад +16

    Yani hongera sana movie hii

  • @zmboy7522
    @zmboy7522 2 месяца назад +25

    baba joan badilisha hizo nguo,kama na wewe unasema abadilishe nguo gonga like hapa.

    • @LilianeJoakim
      @LilianeJoakim 2 месяца назад +1

      Anaigiza uhalicia hawez kubal nguo ata haribu nea2re ya mv

    • @zmboy7522
      @zmboy7522 2 месяца назад

      @@LilianeJoakim vipofu kibao huku mtaani wanabadilisha nguo,kwanini yeye asibadilishe,acha kuongea kitu ambacho hukijui,uhalisia gani kwahiyo vipofu hawabadilishagi nguo?

    • @mossikombo959
      @mossikombo959 2 месяца назад

      Hana wa kumshughulikia ndio habadili nguo

    • @mossikombo959
      @mossikombo959 2 месяца назад

      Yaani matunzo mke mwenyewe ndio hivyo ukali tu mda wote😂

  • @AminRound
    @AminRound 2 месяца назад +11

    From kibahaa sitak like ila tumpongozee mama karoboo 🔥🔥

    • @umfahad2609
      @umfahad2609 2 месяца назад +3

      Kwa lipi??😯😯

    • @AminRound
      @AminRound 2 месяца назад

      @@umfahad2609 yupo serious kazini kwake kuna kazi

  • @FélixKira
    @FélixKira 2 месяца назад +1

    Ninafulahi sana Leo,daa simu inapatikana ooh mungu kaleti autre parti.je vous suis depuis BURUNDI Thank you for this

  • @Ruthndanu
    @Ruthndanu 2 месяца назад +7

    Karobo akona sim kwamfuko 🙆🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @FrancisNairenge
    @FrancisNairenge 2 месяца назад +2

    aa waa baba kalobo anapitia lakini mungu wagu wakenya tusiwe hifi

  • @mwavuapaulo4142
    @mwavuapaulo4142 2 месяца назад +3

    Aiseee leo nimewah jamn kaaaah 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @Shayojjj
    @Shayojjj 2 месяца назад +11

    WA 16 Leo aiseee hii move inanihuzunisha

  • @ErastoBilali
    @ErastoBilali 2 месяца назад +4

    Muongeze episodes.
    Muwe mnaweka hata 2 Kwa pamoja.
    Niombi langu.

  • @MsafiryChitema
    @MsafiryChitema 2 месяца назад +2

    Daaaah brother kazi nzuri sana congratulations

  • @SamyBoudan
    @SamyBoudan 2 месяца назад +7

    Yaani nilisubiriya muda nyingi sana inshallah 🙏🏿🙏🏿 naombeni like yangu jameni kwa Ku jiunga ku sapoti baba karobo

  • @InnocentCatfish-dz2uo
    @InnocentCatfish-dz2uo 2 месяца назад +5

    Kazi nzuri😊😅😅😅

  • @vallesndayishimiye2396
    @vallesndayishimiye2396 2 месяца назад +3

    ❤❤❤ Burundi much love nimewahi kidogo

  • @amaniburton7385
    @amaniburton7385 2 месяца назад +4

    From America Los Angeles county give me more likes 😊

  • @MrUhakikaTz
    @MrUhakikaTz 2 месяца назад +12

    Kutoka tz like zangu jamani

  • @FailaOg-c2q
    @FailaOg-c2q 2 месяца назад +9

    Team kalobo Bado tupa pamoja na movie yetu ❤🎉

  • @SleepingEyes-ej3ir
    @SleepingEyes-ej3ir 2 месяца назад +10

    Mm wa mwisho nipeni like wapenzi 😢😊😊😊

  • @veronicamathema5630
    @veronicamathema5630 2 месяца назад +4

    Good job baba kalobo❤❤