NEW COUPLE | NAMPENDA SANA | KWANZA MWEMBAMBA NAWEZA KUMBEBA | NAMSHUKURU MUNGU KWA HUYU | LAST BORN
HTML-код
- Опубликовано: 7 апр 2024
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
Hv hii channel haielewagi au.PUNGUZENI BACK SOUND NYINYI
Sauti ya sound iko juu kuliko sauti za watu
True
Asante kwa kuwajuza maana nateseka😂
Nunua simu yenye uwezo mkubwa sauti na sound viko kawaida 😂😂
Nipe namba zako za wasp nikutumie smu nayotumia..then uje ujibu tena hapa
@@Hajer-be2kh usipanik bhana mi natania tu sema kwangu iko sawa kabisa
Amevaa vizur saana victory
Kafanana na MB DOG wallah tena nilijua ni yeyeeee
jaman shangazi eliza yupo wap 🤣,i real miss her
Sauti ya mziki ipo juu sana producer
Uyu ndiye sahii sana
Show yenu inakuwa ya kipumbavu Yani nikama hamjui namna ya kutumia vyombo vyenu. Punguza au toa kabisa hiyo back sounds
Yaanii back sounds leooo mmetuweza
Mwanamke anajielewa sana huyo ...👍👍
mungetuletea na mirejesho hao waliokwenda huko waliko japo kuja kusalimia tukajua wapo salamaa😂
Kwel aisee😂
Wengine wanakujaga
@@ShabaniMaulidi-32 kumbee sijaona
@@sabihaibrahim143 Msimu Ulioisha alikuja Mmoja na Mtu Wake na alikaribishwa Mbele
@@ShabaniMaulidi-32 kama hivo raha anajulikana anaendeleaje na mzigo mpya
GARA B PLEASE MTATUHARIBIA SIMU HATA TUONGEZE SAUTI YA KWEN IPO JUUU
Sauti ya mziki ineharibu 100% ya hii video.
😂😂😂😂Dah wallah hii sound jmn siskii kitu chochote ata makofi yenyewe yanazidiwa
Mwanamke inatosha kumuacha kwa kumfumania mara moja tu coz hawa wanawake ndio Hawa 😂😂😂
Huyu kaka misitalaiti yua very nice 😂😂❤
Vely Tluuuuu 😂😂❤
Mnubi huyu si ndugu yangu kweli
gara B pungunzen music inaumiza masikio
Mungu awatayarishie
Ndoa njema
HUYO IT HASOMAGI COMMENT MPUUZ😮
Mungu awafikish mbali
Wow so nice I'm happy for you guys❤️👌🇿🇦🇧🇮
Siku akinenepa utamuacha😢😮
Unashamgaa nn ungekuwa ww ngoma droooo😅😅😂😂😂
Ukisikia neno nakula chakula nashiba tambua kuna muda kinashuka elewa,punguza maswali Dr Lulu
Beautiful couple ❤
T.I.D NDAN YA MJENGO😅😅😅 KALIB SANA
😂😂😂waturudishie aaliyah wetu tu, ingawa nimecheka sana nilivomuona
Tunaomba❤ feedback Za wale waliopata mr right mahusiano na mwelekeo upoje au wameshaachana 😂😂😂😂😂
Uwaa awarudigi wakiendaa ndoivo wanapoteqq uko😅😅
hawawezi kutoa feedback
Faith kashaachwa bila notification😆
Bro your story touch me it's like mine or it's painful🇿🇦🇧🇮
Raha saana leo jaman😊😊😊
Why uwa mnataka life back ya mtu sometimes uwa inakata vibes dem kujua life ya mwanaume before
😂😂😂😂😂❤nimeipendaa kaka anahikima nabusara
Punguzeni sauti ya background mnauzi kweli sauti ya watu haisikiki Ni kelele za music tu ndo
Eliza lazima aende kanisani kwanza akapate kufunguliwa awezi ishi na yyte kama ana hisia 😂nacheka ila muhim kuliko
Mbn simuoni eliza amevaa nini leo
@@munamuna3921ata mimi namtafuta simuoni😂😂😂😂
Punguzeni back ground sound
Hongera Vickieee
Wamependeza wanafaana jmn❤
Katika mahojiano tafadhali muwe mkitoa hiyo sauti plz.
Hongera sana wajina Vee🥰
Kula anashiba lazima adinye si ndomanake😅😅
Wameendana sana
Alhamdulilah sisi wanubii twajuwa kulea alhamdulilah
Pungezen saut ya sound
Wakina Rahma sio Poa mungu atawalipa
Mikono hawajiamini kwasababu ya cream jaman
Eliza anajiona yeyendo queen wa Tanzania wakati wapo wazuri zaidi yake yeye 🤣🤣
Apo sasa😂😂😂
Mnzingua mziki upo juu sana sauti ya mr right aiskiki
Sound, iko juu kuliko voice ya wazi gumzaji so siku nyingine m balance maana napenda Sana hiki kipindi najifunza mengi
Victory umependeza sana ila sasa odoo wanguu😅😅 mikorogo mikono hiyoo bidada
Ila mnubi anafanana na MB dog kabisa alafu yupo mpole mpamka raha kipindi kizuri saana
Eeeh wat2letee mirejesho Cozy hatujui wanadum uko maana wanamapepe sana🤣🤣
Jaman na Mimi natafuta mchumba uku 😂😂😂
Who Eliza!! which country is this?
Sauti😢😢😢
Hizi story z kutunga hebu pata mke hpo kisha utupee majibu 😊
Wow nimefurahi dah ikawe heri
Hii couple haikupagwaa kweli mbona kama kitu imewekwa kwenye njia
Wow🎉
Why are you passing between my interviews in the hoooouusseeee😂😂
Huyo kaka apewe maua yake,wanaume wavumilivu km hao kwa sasa hawapo maana wanawake wengi sana na ni wazuri sana.
I love it
Dada mzuri anatabasamu kweli vizur
Namwona why between my interview passing around 😂
Back sound mnaboa sana aixeee😮😢
Jamn nimempenda bule uyo kaka
Asante
mwanaume tokea lini aje hapo aseme ukweli wake 😂nyiye chukuwaneni tu mukatwangane kwa mbele
Point
Ase hii nimeipenda 🥰🥰🥰🥰
Anamaanisha anakula ,anashiba ,mwanaume akila akishiba anataka mzigo ,hvyo yani!kwahyo pita pita lazma ziwepo
Hii nimeikubali nendeni mkawe mmoja,,,naiwe kweli
Nimeipenda sanaaa❤❤
Inapendeza sana wote mmependana
Lazima apitie demu ila anakuwa hajampata wa kufanyanae maisha
Uyu si petima wa Hesma???😮
Walinazi yupo😅😅😅😅😅
Sugu za Viki ndio mana niliacha kujichubuwa 😂😂😂😂
Jamn Eliza leo mana sijamuona
Abaya la Victoria liko supuuu
Wali nazi 3 😂🎉
Kiukweli nimependa huyo dada victoria ,anajielewa
Babu wa kipara yupo kumbe
Kumbe umemsikia😂😂
Me pia nimesikia 😅😅😅😅
Iliza Anakosa mchumba kwasababu Anaongeya sana na Anazarahu sana 😢hupaswi kumzarahu mwanaume.wewe umekuja kutafuta mcumba sasa unatakiwa kuwa nahekima
Kwel
Walahi sitakagi mwanamke anayeongea kama chirikuu 😮
Wanajuwana hawo😅😅😅 toka zamani
Si amina uyo ndyo Victoria jaman kheee mbona hii show kama naanza kuionq ya mchongo
Eliza alichukuliwà na mkulima na àlikua mmiliki wa trecta
Heri huyo mkulima watawezana na Eliza😅atalimwa qweliqweli na atulie hadi apandwe😅😅
Alimkataa wa trecta
Naona kama kutakua na ndoa achana nawale😂😂😂
Hiyo couple kikweli wanapendeza
Mara sio mwimbaj
Mziki upo juu sana sisikii
hivi mbona nyie mnaambiwa kila siku kuhusu hiyo sound yenu na bado hamfanyii kazi au dhrau
Sasa mnashindwa nn kupunguza hii sound ya mziki jamani mnakera na ni bora tuu msitupostie mnatumalizia bando.
Kwan iyo sound yenu haina sehem ya kupunguzia kama hamtaki kutum acheni
Nice
Sauti kubwa
Bora mlivyo watoa wale mashangazi
😂😂😂😂hatuji sasa😂😂😂maana nahii miili mikubwa
Mumearibu Sana na back sound nkt
Ila hao wadada wamekuja kuuza sura sio kutaka wenza,mkaka wa watu wa madawa wamemkataa
Je siku akinenepa?utamuacha
pengine hizo stori za uongo
Apo kwenye ndizi nyama ndugu yangu mii mwenzio hata ndizi na dagaa unaniuwa
YAAN T.I.D😂😂😂😂