Mchekeshaji Neila awaacha hoi Waziri Nape, Joseph Kusaga, Mwana FA
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2025
- CHEKA PLUS TV CH 414: Huyu hapa @officiallneila
akihakikisha hakuna anayetoka Mlimani City akiwa amenuna! 😅
Endelea kufuatilia LIVE #UTV108
#ChekaTu #ChekaTu414 #ChekaTuPlus #AzamTVBurudani
she was supposed to be a psychologist, anachekesha same time anaponya misongo ya mawazo, she teaches as well. big up
Kaka ww chimba chumvi
Kweli masikini tunashida presha tupu ila wemdada unachekesha 😂😂😂
Kwa kweli mimi nakupa 9/10
😂😂😂😂😂😂😂Uyu Mshikaji muongo et ooh temboo😅😅😂😂 Nimekubal San Kaz nzur 🔥🔥🔥✌️
I like it 👌
Kwel. Jisi. Wanavy. Vaa nivichekesh😂😂😂❤❤
Congraturations
DADA UNAWEZA SANA NA UNAJIAMINI
Odo kaza Mungu akupe kutimiza malengo yko
Yuko vizuri😂😂😂😂😂 very funny
Anajua
Nmechekaaaaaa😅😅😅
That is magic😅
Nella ni number 1 comedian in tz afu leonard Ana fata
Ana content sema hapangilii vizuri wapi agonge ili aache nafasi watu wacheke
Amazing
Neila anajua anaongelea vitu ambavyo wengi wame experience😅
😂😂😂😂 nimemkubali buree
Namkubal sana neilaaaaaa
Nimemkubari uyu dada
Yuko vizuri😂
Hahaha ❤❤❤❤❤❤
Uyuu ni mwalimu anajisahau sana 😂😂
Huyu yuko mmmwaaaa kuliko yule wa purple
❤❤❤
Sister umejitaidi mtu mwenye stress hawezi kuelewaah ila umenichekesha sanaaa
😂😂😂 huyu demu asma na mtamanigi kishenzi sana na amini ipo moja tu.
😂😂😂 utakufa na hamu zako Bure
😂😂😂@@mossesgadiye2200
Anajua😂😂
😂😂😂😂 mbn kukojoa😂😂
Namkubali sana
Attar
Super star hotel 😂😂😂😂😂
😂😂badala ya five star anasema super star😂😂😂
COMEDY CHANGED INTO INSPIRATION
L & R it is still a problem in our tz 😢
show ikoo poa kinoma but sound ya vyombo kwa tunaotazama mtandaoni iko chini sn
😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mimi hata sioni ucheshi hapo
Hi guys udoin
Anachekesha sana ila anarudia rudia maneno inachosha
Nchi za huko mbele hakuna kulipia vitu cash kila kitu kwa credit - sio sifa kulipia cash. Nyumba mkopo, gari mkopo, nguo mkopo. Muda wa kulipa miaka 5 hadi 20. Na sio kwamba hawana vyeo na pesa ila wajanja wanaona bora kufanyia miradi hizo pesa na kuishi maisha mazuri badala ya kujibana ama kuiibia serkali ili kupata hivyo vitu.
We una kitu
@ Kiswahili kigumu 😥
❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂
Hakuna kipaji kigumu kama live comedy 🎭 kuchekesha watu live😝😝😝
Hakuna kipaji kigumu coz kipaj akisomwi mwenye nacho ni kirahisi kufanya
#kwakingeleza
😂😂😂😂😂❤❤❤
Komaa na Kiswahili, Watanzania hata kama wanajua haipendi
Unajua maana ya commed
🎉❤❤❤😅
Upo vizur mdogo
Mtuache na majuba na madira yetu hayo ni maneno ya mkosaji,na kzuri knajiuza kbaya ndo knajtangaza
Elew hapo yupo katika KAZI sio kuwa kamaanisha
❤
Yan unachosema kipo sahii kabisa
Kazi nzuri Neila
Umejitahidi 80%
Naona ungetumia tu kishahili ambacho unaweza kuongea kwa ufasaha kuliko kiingereza chenye matege but gud work
ayo matege ndo comedy yenyew, mwache dada etu 🤣😂🤣😂😂
Mbavu zangu hiyo yote ni ili ucheke
Ndo namna yake ya uchekeshaji, hayupo seriou
Inawezekana anajua kuongea Vzur but inabid aongee Brocken English ili watu wacheke zaid siku
Hakuna mtu hapa
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
Kwenye kukojoa sasa
𝐒𝐦 𝐲𝐚𝐤𝐨 𝐢𝐦𝐞𝐨𝐳𝐚
saut ipo chin sana au ni simu yangu?
Simu yako
😂😂😂😂
Simu yako tu
Ww Acha kupaniki hi nisana 2
Ooh temboo
Uturuki walikaa masaa 6 bila kushushwa , hiyo ya kamba
Huyu hajui kuchekesha , ana dhihaaki dini na tamaduni za watu inderectly , kwaio.
Kingereza mingi kuliko kaziyako 😂😂😂 hebu wana weke muna penda sifa walayi wenzako wameongeya kiswahili alafu wewe kingereza thuuuuu
Muhaya hyo
Ungesoma saiv usingekua unalalamika
Kiswahili we mwenyew hujui kukiandika vzr
🧐mmh
Haya bhana
Mbona anarafudhi Yama mfipa wa sumbawanga huyu!!!
Ni pure mkulya
Mpumbavu kweli kabisa kujistiri huoni umuhim
Usiwe namakasiriko
Ni wanawake wasiojielewa
Kimimi siwezi simama nikatoa sauti yangu mbele ya halaiki
Kizur chaji uza kibaya chajitembeza
Mwanamke kukaa ndani ni tunu kubwa sana
Alhamdulillah najivunia kua mwanamke bora
🤣🤣🤣🤣✋✋
Hahahah 😂
Hiyo habari ni mbaya,,,,unafundisha tabia mbaya
Unajua kipenzi changu
Ingilishi
Acha kuporomoti ushetani
Sijacheka Ila tu anatoa ushauri naona
Hata sijaelewa sana bado kidogo shogangu jitahidi upya hujachekesha
Kama huna akili huwezi muelewa huyu dada
Au ukiwa na strees huwez elewa
@@israelkusalula5831kwelii hapo Kama huna D mbilii huezii elewa😁😁😁😁
Saut mmmh
Itakuwa una F ww
Mi cjamuelewa presentation yake anaongea haraka bila kituo
una mtindio wa akil8 jikague
Ueleweki kwani wewe mzungu
Sijamuelewa ata kdg hachekeshi bhn
Una mawazo sana ya maisha yaliyo zidi uwezo wake wa kuchekesha
Km huna D mbili huez mwelewa
Punguza stress za madeni
Ila wewe mtoto
Psychologist automatically
Mpumbavu
Hahahahahah
Unaongea upuuzi
Miyayusho sana anazingua
Mbna. nimremb. hanachekesha. nin
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆