FULL SHOO ya ERIC OMONDI ALIVYOMVUNJA MBAVU PASTOR TONY KAPOLA na MAKONDA - CHURCHILL SHOW...
HTML-код
- Опубликовано: 8 фев 2025
- FULL SHOO ya ERIC OMONDI ALIVYOMVUNJA MBAVU PASTOR TONY KAPOLA na MAKONDA - CHURCHILL SHOW...
💪💯JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV🔥🔥 chat.whatsapp....
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx Развлечения
East Africa we are one people no matter what one love
We are Tanzanian and we are full of love 🤩🤩
Erick ni janga Kawa na tabia chafu ubaguzi tulimbeba sisi tz mpaka akatoboa tukiwa kwao anajimwambafy akwende akachekeshe kwao
@@group9computer116he is not funny anymore
Kabisa jirani
Safi Eric
You are brilliant. You spoke the truth.... stay blessed..... we really Miss Magufuli...until today and forever
Umepokelewa vizuri sana na tutakupokea vzur sana ila chuki atunaga Tz
Hapo kwa wanawake wa tanzania 🇹🇿 hongera yao mm n kenya 🇰🇪 ila mke wangu n tanzania 🇹🇿 ♥️
Karibu sanaaa Tanzania 🇹🇿❤️
Pia mm mke wangu n mtanzania na tuko na 1 kid kwa miaka mbili nimekua naye
Magufuri hata sahaulika katika uso wa Dunia
sikupenda hajamtaja hivi aliwakosea mpaka wakenya au akimtaja show itasimamishwa
dunia gani
The correct translation should be, "Magufuri will not be forgotten on the face of the earth".
I salut this Guy.king of comedy in east Africa 🎉
Eric Mungu akubariki Sana. Kweli magufuli tunamkumbuka sana❤❤
Tanzania we need to honor Magufuli for a specific day to be remembered once a year.
You mean you don't have a holiday named after him😢
@@SirEriqueMugambisadly Yes
Ni vizuri alivykuja sisi waTanzania tunasifa ya ukarimu hapo alipo lazima nafsi yake atakuwa anajisikua vibaya kipindi kile alivyokuwa anatia maneno
Uko Tanzania kunafaa kua na Maghufuli city, Maghufuli street, Maghufuli road.
Mlipata kiongozi mwenye busara.
Kenya twawapenda🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Exactly
Iko Magufuli city aliijenga mwenyewe vizuri sana unaeza kusema uko Europe
Eric Omondi alitumia the Magufuli card ili kupata kibali kwa Tz . Very smart
Brother you’re really president of comedian 🎉
We miss Magufuli in kenya 🇰🇪
Churchhill u are blessed. So humble
Omondi mbaguzi sana jifunze acha tabia mbaya
Erick. ✨✨✨✨✨
Mr. Omondi Eric, walai hii haijanibamba leo venye hunibamba... You didn't look prepared at all! Anyways, 61%; good trial bro..🤥🤥😏😏😏.
President of comedy🔥🔥
Uko bien bro
😂😂😂erick mnafiki sana
Unamsifia Diamond we mnafiki
Mchizi anarudia rudia,kila show hivo hivo,wanao amini eric sio creative,gonga like😂😂
Hii n kma mara ya tano
Kwa east Africa cjaona comedian kama Eric
Kwa miaka Gani?@EmmanuelMoses-pb1zh
Sasa ona,unataka kuaibisha Erick! Ona likes umeomba😂😂😂 you are the joke now😂😂😂
Huyu hajui kabisa Kwa sasa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Huyu mshenzi amejua kuniliza na kicheko
Jamaa anafundisha pia
Hatari campaign on the movie hatari sana siasa mbaya sana 😊
IMSO Jemutai, the mdogo wangu lady who was just stopping by, Mzee Shayo and the Turkey suit dude were the only who seemed well prepared and impressed. Element of surprise content. I bet comedy needs some scholarly discipline for freshness and continuity in this era. I dint see Leonardo and the UG black dude why? Well done still to organizers. Happy newyear.
ata hii Haina ladha..........n kuwafunika tu....🎉
Erick sahii content iliisha
Tanzania tuwe na siku ya magufuli day , tunaomba iwe tarehe yake ya kuzaliwa
Tutalipeleka bungeni tunalifanyia kazi😅
Naunga mkono hoja though sidhani kama itawezekana
MSIJALI NITALIFIKIRIA HILO.
Kweli
Inawezekana kwa minajili ya yote(miradi) aliyofanya na mapinduzi ya uongozi.
we love you 💕 you so much Eric omondi from kitale Kenya
Magufuli was the african king
Why are some people blaming Eric here?
You have to support kwenu, halafu ndiyo utoke nje kwingine.
Lol ,He is literaly suffering from Xenophobia,Envy .I think he is ashamed ,The Tanzanians he is trying to shit on are always humble and less reactive
Erico is the best
Hamjajiandaa vizuri
Very true. They don't look well prepared!
Mama wa Africa Samia hoyee
2025 wacheni beef za ujinga wakenya n Tanzanian. Africa unite! One ❤.
Wewe nilikumaind Ila wacha nikupe 🎉🎉🎉🎉🎉 tupopamoja
Erik umetisha
Kazi nzur
Unajua lakn Unarudia sana sjui unatuchukuliaje tz
Uko vizur unatoa stress
blobal tv next time msipost pumba kama hii
Hiyo chuki rudisha milembe😅
Omondi mnafki jamanii khaaa ona anavyowaponda wakenya jamani leo😂😂.. khaaa pesa hizii😅😅
Reporter jo!
HAWA waachee Wiziii kabisaa Maana Tayaliwashajipataaa
Mbaguzi sana huyu jamaaa
Kakubagua nini
Alikubagua wap wew mbona mnakua wanafki
Kumbe nyie mafala hamjui huyu eric aliongea nn wiki si nyingi nyuma.Eric ni fala sana
Wakenya wako hivyo wote
Wao mfumo wao n kibepari sisi n wajamaaa kwahyo ubaguzi kwao n kitu cha kawaida
We omond haujui!!!!!
Mbwa wewe unaweza kinoma good job
Haupo creative Bro unarudia show mara nyingi, hakuna kitu kipya ulichoongeza.
We Omondi mbwa sanaa Hapo kwenye kuingilia Taarifa Nikweli Ushamba huoo upooo hata Kenya na Ugandaa 😂😂😂😂
Sisi watanzania ni wakarimu sana karibuni wakenya tz
Elic bwana 😂😂😂😂😂❤
Erick ww mnafiki kaa huko huko tz ucrudi kenya 🇰🇪
😂😂😂😂😂😂😂😂😂utajua mwenyewe
Kwa nn bint yangu
😂😂😂😂😂😂😂 mnafiki wenu tuko nae tugeza
Comedian, Wacha afanye kazi. Wa tz hatuna baya..🇹🇿
@@angelsalome2207 comedy yenyewe ni unafiki"🤣acha atengeneze pesa
Broo tukuambue kweli au tukuache,,,,umechuja hamna creativity kabisa
Aki huyu eric😂😂😂..kweli n rais wa comedy
Hapo kwa wachungaji kuwapa watu kazi halafu wanapandia kwa juu😂 kweliii kabisa
Mhe. Makonda ni mbunifu sana ni hazina kubwa sana
Bwege tu ww Erick
Upo vinzur yan unachekesha pamoja na kufundisha bgap
As a Kenyan... I'll say Eric lost his charisma, and his comedic output with it. Prime Eric would have brought the roof down.
Magufuli never the die
Abadiriki kbs huyu jamaa nizile zile
Hawa akina Eric omondi ndo walikuwa wanaleta ubaguzi kwa watanzania Kenya,leo ajiosha bila aibu,wajifunze kuwa wema kwa watu wote.
Eric omond leo anafanya show bongo anaenjoy wasanii wetu wakienda kwao anahamasisha vurugu
Ajabu na kweli
Mbona wa kawaida sana level za cheka 2 na watu baki hafiki
Heshima yake kwa ukongwe tu
hana lolote
Daaaah, hivi unaelewa kitu kukeep the memory of good work? Huyu bwana si kwamba si creative, anachofanya ni kuwamezesha kazi zake bora zisisahaulike mapema.
Atuna shida sisi wa kenya mna wivu
Mi mkenya lkn hapo lweli
Eric amerudia punch lines zake from the begining to the End Hana jipya😂
Amefikir tushazisahau,,,zote karudia@@T_Darius
Kwani hamjamuona kasongo v16 turbo😂
That really finished me!!!..kasongo is just there chilling!😂😂😂😂
Uyu jamaa anarudia sana content
Hawa wanafki kwann mnakuwa humble kwao
Ila omond kajiharibia mashabiki
King of comedy
Eric omondi nimecheka sana apo kwa pastor 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
eliki omondi😂😂😂😂😂,👏👏👏👏
President of comedy 🤣🤣
Sisi tunamuonesha kama Tanzania hatuna noma
Safi sana kwa kuja Eric umenipa raha hapo kwa Baba Mseven
I don't know why am finding it dry.
Am a Kenyan but all the jokes are dry right from prof.Amo
@gladystinah5928 they're forcing issues
Erick we mnafiki Ndiomana umeanguka watz hatuna roho mbaya
Hawa wakenya wanavyo ipondea nchi yao utafkiri hawatarudi tena
Ukirud kenya unaongea utumbo mpuuz wew
Sasa hivi umeishiwa Erick unarudiarudia tropic
Uendewe Sasa kama una maneno
Arusha mpo wapi nije😅😅😅
😂😂😂 ameshaishiwa content
Eric ujifunze kwetu sisi hatuna vurugu na roho mbaya, sio Kama kwenu
Kazi yenu hapo nikuchafua Kenya be Abit ethical.
Na Simba la masimba dangote
Eric omondi umeisha kubali mbwana
Sema omondi jifunze kutoka TZ hawana chuki vitu haziko personal ivo ona walivokupokea na hawakuulizi kitu 😅 wameinjoy aaf kiroo safi tu
Bana
Nakubaliana nawe kutoka kenya
Hajafanya kitu elewa maana ya comedy😊
Huyu Omond simkubali kabisa,anachukia Watanzania
Hawa ndio wanaleta maswara kwa muziki ya kenya bt kenya iko juu sana
ivi ni mimi tu au tupo wengi tunaotamani akitoka Samia aingie Makonda??🤔🤔 Maana ni magufuli mtupu💯🙌
Leo unajifanya kumsifia diamond wakat ulishabikia kufanyiwa vueugu toka hapa
Elewa comedy
Mond unajua sema
Ameongea ukweli😂
Na hapo ndio mtajua kua wakenya hawapotezi fursa😅😂😂😂
Eric unajua
Wanawake wa bongo ndo wanaongoza kwa vitambi😅😅
I can see the only one in savana tranding in Tick tok without having a page Mr warthog Kasongo