Halafu yeye anatembea na chochote, nahisi anaweza panda amejipanga na jokes zake halafu mazingira yakamfanya asitumie joke hata moja😅😅, he is really talented
ELLIUD UNAWEZA KUMTAZAMA VICHEKESHO VYAKE UKIWA NA WATOTO WAJUKUU WAKWE WAZAZI NA WACHUNGAJI...HAVINA MANENO MACHAFU KAMA YULE , cjui kalelewa na nani yule, hapana hajalelewa ametunzwa na nani yule? Kuna kumlea mtoto na kumtunza.
Kitu nimejifunza wasanii asilimia kubwa wanawapenda sana mama zao...Diamond,mama yake anainjoy, anakula mema ya nchi😂 Harmonize kasababisha mama kushhikana mkono na mama Samia.,na kawajengea mjengo, leo tunamuona Eliud na kapu la mama😂😂😂😂 Tusiwazuie watoto kuwa wasanii jamani😂
Hiyo ni tafsiri halisi ya kwamba mpe nafasi mtoto afanye kitu anachopendezwa nacho hali ya kuwa ni halali na chema machoni pa watu na Mungu ataweka Mikono yake na si kulazimisha mtoto afanye vile Wazazi watakavyo.
Aisee unakipawa kaka mungu aku bariki kwa kumuheshimisha mama 😢😅😊😊 😊 😊 ni furaha najua ulitamani kulia basi ni kazi ukajikaza hongera kaka hongeraaaaaaa
Eliudi hatuna doubt naye kwa uwezo wake ila watu mnafanya editings mnazidisha hiyo sauti au watu wanaocheka mmezidisha hiyo siyo sauti za audience kuna wakati hata mtu akiguna wanacheka 😎 hey admin punguza weka uhalisia na editings kidogo siyo kwa eliudi pekee unazidisha napenda unachofanya lakin chukua ushauri
The first and best comedian in Tanzania.. Kwanza hahusiahi matusi kwenye vichekesho vyake...
Top talented jamaa hatumii matus ka wengine
Ndicho ninachompendea
Kwasababu ameokoka,unajua ukiwa na YESU matusi yote yanakukimbia
Yaan mtambue katk cheka tu nzima uyu nd habar Yao atumii nguvu maneno bila jasho unacheka iyo nd original stand up comedy.. big up eliud
Halafu yeye anatembea na chochote, nahisi anaweza panda amejipanga na jokes zake halafu mazingira yakamfanya asitumie joke hata moja😅😅, he is really talented
@@noelmarapachi1808san
Kuna mnyama Leonardo na ndaro
Nampemda sana huyu jamaaaa
Nawashangaa eti Leonardo...wkt eliud ndo kila kitu
Nnavomuona Eliud na mamake namuona kbs Alvin wangu ipo siku atanishangaza
We Bahati 😅
Jamaa nampenda maana anaishi kwenye uhalisia
Kwangu mimi Eliud Ni #1, mharifu mkubwa huyu 😂😂 top top comedian
Huyu jamaa anajua namna ya kuchekesha bila kutumia nguvu
Eliudi Ni msanii Wa Vichekesho mwenye Mapinduzi makubwa
My favourite comedian 😂😂😂😂
Nyie watu mnaujua huu msemo UMMENYE MWAMPOSA
PLEASE LIKE KWANGU KAMA MNAUJUA KWENYE BUNJI ❤
RAHA SANA MAMA AKO AKIFURAHIA UNAVYOMTUNZA
Saana
ELLIUD UNAWEZA KUMTAZAMA VICHEKESHO VYAKE UKIWA NA WATOTO WAJUKUU WAKWE WAZAZI NA WACHUNGAJI...HAVINA MANENO MACHAFU KAMA YULE , cjui kalelewa na nani yule, hapana hajalelewa ametunzwa na nani yule?
Kuna kumlea mtoto na kumtunza.
Kabisa dear , maadili yamezingatiwa
Yule nani😂😂😂
Sana yaan Hana lugha chafu😎😎
hkik kk
Eliudi anajuwa hatukani
Uyu jamaa ni talented Sanaa
Kitu nimejifunza wasanii asilimia kubwa wanawapenda sana mama zao...Diamond,mama yake anainjoy, anakula mema ya nchi😂 Harmonize kasababisha mama kushhikana mkono na mama Samia.,na kawajengea mjengo, leo tunamuona Eliud na kapu la mama😂😂😂😂
Tusiwazuie watoto kuwa wasanii jamani😂
Hiyo ni tafsiri halisi ya kwamba mpe nafasi mtoto afanye kitu anachopendezwa nacho hali ya kuwa ni halali na chema machoni pa watu na Mungu ataweka Mikono yake na si kulazimisha mtoto afanye vile Wazazi watakavyo.
Ni kweli kabisa
Uyu jamaa ni level nyingine
Eliud kamwingiza mama kwenye nfumo tusubiri mzee wake 😂😂😂😂
Na huyu inaonekana kabezi Kwa mama yake tuu
Kwaiyo mnacheka mama wa wawezenu
😂
Eliud umebalikiwa na kipaji cha ukweli ukweli😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤
Eliudi!! Nakupenda! Nakukubali! Na ninakuombea sana!! Maana hakika unajuaaaa❤❤❤
Woo barikiwa sana Kwa upendo ulionao
Hongera eliud unamjali mama
Mungu akutunze Eliud na Mama jmn.
Mwenderezo jamaa namkubali sana😂
Kipaji cha kweli
Kwa Yesu yote yanawezekana
Hakika Ni Neema juu ya Neema
Eliudiiii bwanaa we ninomaaa❤❤❤❤
Eliud unajua sana my best comedian😂😂😂
Uyu jamaa anajuaaaa❤
Ukiona 2000 ni ya Mnyakyusa mwenzio eliud 😅😅😅😅😅😅
Yani wenye majina woteee ya ELIUD tuko vizuri Sanaa Yani kila kona
Eliudi ulistahili ushindi wa kwanza Wallah
Top talented 👏 👏 big up Eliud
Aisee unakipawa kaka mungu aku bariki kwa kumuheshimisha mama 😢😅😊😊 😊 😊 ni furaha najua ulitamani kulia basi ni kazi ukajikaza hongera kaka hongeraaaaaaa
Jamaa ni mnoma sana..pure talent
Hatumii nguvu nyingi hata hii nikipaji cha another level ❤
Ahsanteni kwa kumtunza mama🎉🎉🎉🎉
Natural talent
Eliud atumii nguvu😂😂😂
He's very talented
On the top. Men keep on
Kwakweli si kila kuchekesha lazima utumie matusi, Mungu akubariki kwa Atlanta hii
Hapo sawa Eliud. Nyanza za juu uchagani😂
Appreciate you Broo unamtambua mama yako👏
Hongera sana kwake, Eliud. Kipaji halisi 😅
Kila neno linalotoka linachekesha dah
safi sana Mungu ampe maisha marefu mama
Ukiionaaa 2000 ya mnyachusaa mwenzio😂😂😂
Alotoa ela nyungi nipeni namb zake manq nishaona mwanamme wa ndoto zangu yuko uku😂😂😂
Wew habu amka hapo utalibwanda😂😂😂
Haki nimm nimemuona ndio mungu aliniandalia
@@user-tk8de2pl4j hahahahhahhahahahaaaaq
😂😂😂😂😂😂Ila eliud
Eliud unajua sana bro
Yani nmecheka Eliud ni noma 😂🙌🏾
Asante eliud nimecheka
Nimecheka Kama chizi....dah he is the best
Kumbe hakua namba Moja kwenye Cheka tu mlimuonea sana walahi😂😂😂
Kupitia kipaji changu,ipo siku mama utafurahia maisha
😂😂😂😂😂Sukari eliud 😂
mama👏👏👏👏🤝🙏
Lamata Leo cyo wewe hahaha yaan eliud bonge la comedian kwel
😂😂😂ila eriud
Next level my bro
nmecheka sana😂😂😂😂😂
Eliud salute mwaisa
Ila eliudi msicheke mama wa wenzenu 😂😂😂
Mama apa ndio ofisini bro uko vizuri😂❤
Heshima kaz
Elyud
Nipo pekeangu ila nimepiga makofi aisee eliud et amelemaaaa
Dah❤️❤️❤️
Eliudi hatuna doubt naye kwa uwezo wake ila watu mnafanya editings mnazidisha hiyo sauti au watu wanaocheka mmezidisha hiyo siyo sauti za audience kuna wakati hata mtu akiguna wanacheka 😎 hey admin punguza weka uhalisia na editings kidogo siyo kwa eliudi pekee unazidisha napenda unachofanya lakin chukua ushauri
😂😂😂😂 Eliud ni kiboko
Waoooo😍
Eti ukiona elfu mbili ya mnyakyusa mwenzio😂😂unampa mama wamwenzio mia tano!!?😂🤣🤣
Focus kbao
Nacheka lkn sjui mm ntampandisha ndege lini na akiwa anaenda wp😢
Hakuna linaloshimdikana, ukifanya jitihada na kumtanguliza Mungu
😂😂😂 Nimecheka hadi machiz
😂😂😂😂😂😂😂😂WWE ndo Mmi mze
❤❤❤
Ila Eliudi!!!
Hongera sana
❤❤❤❤
Super star😊😊
Utengweeeeee😂
Mungu ni mwemaa 🎉🎉
Huyu nakipaj atumii nguv kukuchekdha😅
Hahaha ila Eliud Jaman duuuu
❤
Nakukubali sana
Nauliza jeeee
Mnacheka Mama wa wenzenu
Naenjoe sana na wwe kaka
Kilasa 😂😂
Kamera man akajifunze video hazielewek
Kipajiiii😅😅😅
Saf sanaaaa🥰🥰🥰
Kijana anajua kuchekesha
Hiiii video walikuwa wanarekodia kiswaswadu?
kitu nimependa eliud hua hatukani kwenye uchekeshaji wake.
Hahahahaha ila Eliudi
Ukiona elfu 2000 ujue ni mnyakyusa mwenzio
Safiii
😂😂😂😂😂 nomaaa