Utacheka!! Eliud Amtania Ommy Dimpozi hauna Hela Jifunze kwa Alikiba

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Utacheka!! Eliud Amtania Ommy Dimpozi hauna Hela Jiufunze kwa Alikiba

Комментарии • 68

  • @SwahiliAmbasador954
    @SwahiliAmbasador954 4 месяца назад +97

    Najua wachekeshaji wengine ni muda wakujifunza kwa eliud matumizi ya lugha yenye ninzamu ndio kinacho mpa nafasi sehemu nyingi

  • @ronaldkimengich8958
    @ronaldkimengich8958 4 месяца назад +11

    All the way from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Eliud you're the best

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
    @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 4 месяца назад +18

    Eliud very respectfully guy

  • @marikwilliam9886
    @marikwilliam9886 4 месяца назад +12

    Love ❤❤🎉🎉to kipotoshi and eliud😂😅

  • @othmanhamad7887
    @othmanhamad7887 4 месяца назад +9

    Kipotosh na Eliud tyr wameshapair sasa xnyng nikiwaona mkiwa pa1 jmb huwa linanoga sn hkn hata haja ya muziki yani hata DJ hkn haja ya kumkodi mnapunguza garama kwa kwl kwa wny shuguli yao🤣😂🤣😂😂na hata hamtumii nguvu safi kabisa👏👏👏👏👏👏👏

  • @user-cg9df5nt1f
    @user-cg9df5nt1f 5 месяцев назад +45

    Eliudi fans ❤ here

  • @ivethblackqt8016
    @ivethblackqt8016 5 месяцев назад +12

    Me platform kanifanya niangalie hii video♥️

  • @TinBrackTz
    @TinBrackTz 4 месяца назад +17

    Wanaotoa lifti msisimame mnatuchanganya😅😅

  • @venasalbert3930
    @venasalbert3930 4 месяца назад +7

    Hivi Eliud ulifikiri utamkuta Juma lokole wapi kama si kwa wenzie wanawake

  • @delsonandrea5223
    @delsonandrea5223 5 месяцев назад +11

    Nimemuona platform

  • @Enzo-cp
    @Enzo-cp 4 месяца назад +17

    COMEDY SAF SANA......SMOOTHLY NA HAWATUMII NGUVU

  • @vennyblack3766
    @vennyblack3766 4 месяца назад +2

    Yani nimecheka kwenye kingereza jamn😂😂

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 5 месяцев назад +5

    Vivaa

  • @BienvenueBisimwa-rn9rn
    @BienvenueBisimwa-rn9rn Месяц назад

    Vizuri bien 🇨🇩🇨🇩

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt 4 месяца назад +4

    Mmetishaaa saaaana 🤣😂😁🤣

  • @Dje-ru9wd
    @Dje-ru9wd 5 месяцев назад +14

    kingereza si lugha ya taifa letu na kulingana na mfumo wa nchi yetu ni muhimu kujua lkn pia sio muhimu kwetu kikubwa chapa kaz

    • @user-wo2ye5vh4q
      @user-wo2ye5vh4q 5 месяцев назад +1

      Hao kiingereza chaoo wanachekesha tuu watu wafurahi,tuu ndioo maana wanaongea hivyo

    • @YunisMahenge-ky4rn
      @YunisMahenge-ky4rn 4 месяца назад

      Nikweli kwamba niku kaza but

  • @user-bm3cx5mv1d
    @user-bm3cx5mv1d 4 месяца назад +3

    Nmemuangalia platform tu mm

  • @gloryantony4443
    @gloryantony4443 4 месяца назад +1

    Eliud ❤❤

  • @ellytech9757
    @ellytech9757 4 месяца назад +1

    Desert ni jangwa kwa matamshi hayo 😂😂

  • @johnenos233
    @johnenos233 2 месяца назад

    Mbona Chuchu hans yupo karibu na masha love?

  • @gideonkibery3479
    @gideonkibery3479 4 месяца назад +3

    Eliyudi 😂😂

  • @YonaFrancis
    @YonaFrancis 4 месяца назад +1

    😂😂😂😂 nomaaa sn

  • @wakanaiautomotive
    @wakanaiautomotive 4 месяца назад +1

    ❤❤❤❤ Efm🇹🇿

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 5 месяцев назад +10

    Hiki kiingereza wakenya wasikisikie.😂😂😂😂

  • @aidandamian2566
    @aidandamian2566 5 месяцев назад +7

    I hope your enjoy duuh eriud jaman

  • @user-ix5uo6ks7j
    @user-ix5uo6ks7j 4 месяца назад +1

    Exactly English 😂😂😂😂 kenyan🎉🎉🎉🎉

  • @officialnewhero
    @officialnewhero 4 месяца назад +1

    GREENCITY ON FLICK

  • @HasaniJuma-ew2kw
    @HasaniJuma-ew2kw 4 месяца назад

    Nakubaliiiii

  • @kingswebe3251
    @kingswebe3251 4 месяца назад +7

    Eliud uko vizuri sana lakini jitahidi kwenye matamshi zingatia herufi, Anaitwa RAIS sio LAIS

    • @joshuamuro9494
      @joshuamuro9494 4 месяца назад +2

      Ndio uchekeshaji huo anatumia rafudhi ya kutoka Mbeya kama alama yake

    • @kingswebe3251
      @kingswebe3251 4 месяца назад

      @@joshuamuro9494 lafudhi haimfanyi mtu ashindwe kuzungumza kwa kuzingatia herufi

    • @joshuamuro9494
      @joshuamuro9494 4 месяца назад

      @@kingswebe3251 watukutoka Mara huwa wanazingatia kati ys R na L!?

    • @barakakusa7606
      @barakakusa7606 4 месяца назад +2

      Hiyo hainq tatizo watz tunapenda sana kutafuta makosa madogo

    • @haikawilson216
      @haikawilson216 4 месяца назад

      Kwenye uchekeshaji ndio unampa kujulikana

  • @victoriarichard8761
    @victoriarichard8761 4 месяца назад +1

    😂😂😂😂 nyie watu

  • @ramahassani9477
    @ramahassani9477 4 месяца назад +2

    Ahsanten kwa show, ila nina swali langu kuhusu Chanel ya E Tv mbona picha yake aipo na ubora kama chenel zingine, yaan picha inaonekana ya mawingu mawingu picha sio ang'avu.

  • @Nakomotosimfukwe
    @Nakomotosimfukwe 4 месяца назад +3

    Sisi maemic wadogo

  • @Globalpixel23
    @Globalpixel23 4 месяца назад +2

    Pesa yako inaweza lete kitu chochote karbu yako😂😂😂😂

  • @kalaganrahelhaule
    @kalaganrahelhaule 4 месяца назад +1

    Eliudiii

  • @alainpicainirakoze-rz2nt
    @alainpicainirakoze-rz2nt 4 месяца назад

    MC mzuli kabisa Eliud

  • @jamjam8734
    @jamjam8734 4 месяца назад +5

    N mimi 2 nmeona hwajachekesha ila nmeona n ujinga 2 n ulumbukeni luv frm kenya

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 4 месяца назад +10

      Kwani lazima ucoment?kama ni ujinga umeusikiliza wa nn?

    • @johnsonthadei9314
      @johnsonthadei9314 4 месяца назад

      ​@@salomewandya7257ndo namshangaa kuna watu ni wajinga yani bundle lako unaangalia mpka mwisho bado unatumia bundle lako kucoment hujacheka 😂😂 si upumbavu aseh

    • @HappyMwaigwisya
      @HappyMwaigwisya 4 месяца назад

      @@salomewandya7257 hapo Sasa

    • @agnesgodsaviour5968
      @agnesgodsaviour5968 4 месяца назад +2

      Wakenya mutuache

    • @mohammedabdala7526
      @mohammedabdala7526 4 месяца назад +1

      Wivu unakusumbua wewe

  • @BekaBoss-jl9my
    @BekaBoss-jl9my 2 месяца назад

    😅😅😅😅😅😅😅

  • @user-wg8yw3dl4j
    @user-wg8yw3dl4j 4 месяца назад

    ...dogo mukubhoomba kanunu,MUSAJIGHWEEGHE.!

  • @geophreyterry6709
    @geophreyterry6709 4 месяца назад

    😂😂😂

  • @nkansionlinetv
    @nkansionlinetv 3 месяца назад

    haha

  • @EdyFlow-zy8gu
    @EdyFlow-zy8gu 4 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @AlexLusajo
    @AlexLusajo 4 месяца назад

    😂😂😂

  • @Globalpixel23
    @Globalpixel23 4 месяца назад

    Pesa yako inaweza lete kitu chochote karbu yako😂😂😂😂