ELIUD NA MAMA YAKE KWENYE SHOW YA WAISA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 94

  • @Novath_dugange.LivingGod
    @Novath_dugange.LivingGod 3 месяца назад +32

    Mchekeshaji ambae unachekesha kila lika ya watu kwasababu uchekeshaji wako siyo wa kutukana appreciate bro

    • @dorahmushi-we6ts
      @dorahmushi-we6ts 2 месяца назад

      Kweli kabisa kuna yule mrefu mwembamba, jamani mh!! Cjui kalelewa wapi!!!

  • @agogomgagagigigogo
    @agogomgagagigigogo 3 месяца назад +20

    😂😂😂yaan kiukweli Eliud ndo comedian bora nchini japo watu wana mahaba na Leonardo hatukatai ni mambo ya nyota kuzidiana but huyu jamaa ni zaidi ,yaan kipindi kimeisha kwa yeye na mama tu bila kuja na alichokitunga huko na watu wamecheka kuanzia mwanzo mpaka mwisho😂😂😂

  • @godfrey40255
    @godfrey40255 3 месяца назад +7

    bro unajua commedy hakika tena ya kistaalab salute kubwa

  • @vitalesjoelkabonda1393
    @vitalesjoelkabonda1393 3 месяца назад +6

    A very talented stand up comedian, hata hatumiii nguvu lakini watu wanavunja mbavu

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 2 месяца назад +4

    Wenye mama zao jamaniiii,
    Mungu azidi kuwatunzia, cku izi nimeona sana vijana wakijivunia mama zao.❤

  • @BabrayKharfani
    @BabrayKharfani 2 месяца назад +2

    Umetisha sana kwanza kuikataa.nyimbo.ya.babalao yani nobody is perfect saruti sana bro hii.from.cap town Ina.mawakubalisana

  • @partypatriez4871
    @partypatriez4871 3 месяца назад +7

    Eliudi best comedy 😂😂

  • @AshaMwamba
    @AshaMwamba 3 месяца назад +8

    Mungu Akita kukupa akuandiiki baruwaaaa

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 2 месяца назад +1

    Eliudi anapenda sana manguo ya rangi ya kiini cha yai la kuku wa kienyeji😂😂

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 2 месяца назад +3

    😂Anajiheshimu, anawaheshimu wasikilizaji wake wakubwa kwa wadogo, hatumii maneno machafu..kama yule,
    Mungu azidi kumuinua.

  • @SophiaZabron
    @SophiaZabron 3 месяца назад +2

    Mungu akubarik sana kaka kwa Kaz nzur jaman❤❤❤❤

  • @NdekejaKamuli-sh5pe
    @NdekejaKamuli-sh5pe 2 месяца назад

    Amen. Eliud wew the best and humble

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 Месяц назад +1

    Jamaa ameleta challege kubwa sana ..😂😂😂😂hongera sana

  • @MteuleMabuku
    @MteuleMabuku 3 месяца назад +2

    Kiongozi
    SAM ELIUDI,
    Nakutafuta

  • @Shemahonge-ku7xx
    @Shemahonge-ku7xx 6 дней назад

    😂😂wewe nichizi vibayaa

  • @semanajmv
    @semanajmv 3 месяца назад +13

    Nani kama Mama. Umenikumbusha mama yangu, I owe her something

  • @Onesmoboyz
    @Onesmoboyz 3 месяца назад +1

    🎉🎉hii nzur sana 🎉❤

  • @medeljoram5325
    @medeljoram5325 3 месяца назад +1

    😂😂😂 💥💥💥💥 Unajua Saanaaaaaa! A blessed child 🎉

  • @GevasiZabroni
    @GevasiZabroni 2 месяца назад

    Bro mungu akulinde na akuongezee kibal kwa watu

  • @minaelnathanael1846
    @minaelnathanael1846 3 месяца назад +3

    Watanzani ka! Yaani hii ya kijanja hovi comments ni chache hivi haaa. GONGA LIKE NA GOTI LA MAMA hapa

  • @FarheenSara-n9q
    @FarheenSara-n9q 3 месяца назад +30

    Like huwa mnafanyiaga nn haya nipeni na mimi

    • @marytemba-c7y
      @marytemba-c7y 3 месяца назад +1

      Uroho tu kuoga aaaaah 😁😁

    • @bongosimulizi
      @bongosimulizi 2 месяца назад +1

      ruclips.net/video/an8tMWrZjvc/видео.htmlsi=DsiBMortoyex1fi_

  • @DoraZacharia
    @DoraZacharia 2 месяца назад

    Daah mpaka nmelia sana kaka uko vzr jmn

  • @RynoFiree
    @RynoFiree 3 месяца назад +3

    Sauti inakua chini haisikiki vizur Kaka Eliud

  • @MoreenMichaelmichael
    @MoreenMichaelmichael 3 месяца назад +3

    😂😂😂😂et mnacheka mama wa mwenzenu

  • @bukurufreddy28
    @bukurufreddy28 3 месяца назад +2

    Mze wa story za mama hahahahaa yani wwe tutakusikiya sanaaaa Kama kilasa angaliki hayi Mungu ampe Maisha marefu Mama yako ni big Bland Anajuwa linda Bland @Yere mmi nishabiki yenu wwe na mama😂😂😂😂😂

  • @Shadia544
    @Shadia544 3 месяца назад +2

    😂😂😂😂😂Eliud jamaniii 😂😂😂walifu wakubwa 😂😂😂😂

  • @erickdeogratias7718
    @erickdeogratias7718 3 месяца назад +1

    Nani kama mama jamani l ❤ Mama anguu❤❤❤❤❤

  • @omarymnuru8746
    @omarymnuru8746 2 месяца назад +1

    Sauti iko chini sana

  • @Iampanther_
    @Iampanther_ 3 месяца назад +2

    Kuangalia show za eliud😂🎉it’s worth it

  • @nathanmmasi3890
    @nathanmmasi3890 2 месяца назад

    Uyu eliud Mungu anamuana mpumbavu kweli yani 😂😂😂😂😂

  • @Elshadaiconsolateur
    @Elshadaiconsolateur 3 месяца назад +1

    Bwana mkubwa Eliud tuko pamoja huku DrCongo

  • @GevasiZabroni
    @GevasiZabroni 2 месяца назад

    Bro me mchekeshaji ningeomba company yako

  • @nicodemshello163
    @nicodemshello163 3 месяца назад +2

    Umeonyesha Upendo mkubwa Kwa mama HONGERA KIJANA

  • @martinemayunga2357
    @martinemayunga2357 2 месяца назад

    Unajua sana mwamba

  • @janethmarealle3594
    @janethmarealle3594 2 месяца назад

    Hadi raha

  • @getrudezawadi184
    @getrudezawadi184 3 месяца назад +1

    mnafanana sana

  • @TheRealAguu_Official_tz
    @TheRealAguu_Official_tz Месяц назад +1

    AMEN

  • @QUEENBEEOG
    @QUEENBEEOG 2 месяца назад

    Mnacheka mama wawenzenu😂😂

  • @jacqlinemaganiko5108
    @jacqlinemaganiko5108 3 месяца назад

    wow!🥰

  • @JasinthaAlex
    @JasinthaAlex 2 месяца назад

    🔥🔥🔥

  • @NuruNgolle
    @NuruNgolle 3 месяца назад

    Mungu usimusche kakaangu ndio nguzo yako.kumbuka nilikuandikia toka mko kugombaniana no

  • @craty_01
    @craty_01 3 месяца назад

    Daaah Rest In Peace mama

  • @israeluronu9958
    @israeluronu9958 3 месяца назад

    Mnafanana hadi kucheka jmn😂😂😂 raha sana

  • @fatmamrihani6828
    @fatmamrihani6828 3 месяца назад

    Mimi ilo busuu lakoo tuuuu😂😂

  • @festusbokoro1615
    @festusbokoro1615 3 месяца назад +3

    Kama hutaki kutoa Hela Siri ni Moja tu uchukue video ama ucheke Sana

  • @richardsesa7494
    @richardsesa7494 3 месяца назад

    Eliud kilasiku tunamwona mama je baba yukowap

  • @FazohMedia
    @FazohMedia 3 месяца назад

    Sauti ipo chini sana

  • @JacksonRungwe
    @JacksonRungwe 3 месяца назад +7

    Like zangu jamani leo nimekuwa wa kwanza

    • @RooneyYohana
      @RooneyYohana 3 месяца назад

      Yaan eliud hahahhaha tunakupenda

  • @more_hundreds_TV
    @more_hundreds_TV 3 месяца назад +1

    Nipateee likeee namm

  • @NshomaSayi
    @NshomaSayi 3 месяца назад

    eliuid mbavu zangu😂😂😂

  • @theogeorge3773
    @theogeorge3773 2 месяца назад

    K.K.K -Kyimo Kijiji Kitulivu

  • @franccoz94
    @franccoz94 3 месяца назад

    Eliud😂

  • @jaxjaxon8838
    @jaxjaxon8838 3 месяца назад

    Eti analia😢

  • @elikindomondo3569
    @elikindomondo3569 3 месяца назад

    kaka eliudi una tuuwa mwaka huu dah

  • @gideongerald2846
    @gideongerald2846 3 месяца назад

    👍👍👍

  • @TetekoOg
    @TetekoOg 3 месяца назад

    Eliudi we bro unajua natak ck Moja niwe kama ww

  • @EdwinMedson
    @EdwinMedson 2 месяца назад

    If you have mother do samething for her

  • @edsonisrael8996
    @edsonisrael8996 3 месяца назад +1

    Nunueni camera yenye HD mnaboaa

    • @benshark3212
      @benshark3212 3 месяца назад

      Hata wakodishe tu

    • @QUEENBEEOG
      @QUEENBEEOG 2 месяца назад

      Nunua simu nzuri bby😂😂

    • @SamuelGervac
      @SamuelGervac 6 дней назад

      😂😂😂😂😂😂 roho​@@QUEENBEEOG

  • @UwimanaRabia-q3v
    @UwimanaRabia-q3v 3 месяца назад +1

    😂😂😂

  • @Ellybeny
    @Ellybeny 3 месяца назад

    😅😅😅😅 ❤❤❤❤

  • @justinmganiwa2790
    @justinmganiwa2790 3 месяца назад

    Naona kaona dawa ya mkopo

  • @irenekarume1470
    @irenekarume1470 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 3 месяца назад

    mi sijasikia nisiwe mnafiki

  • @masangalitz
    @masangalitz 3 месяца назад

    WEWE MUUNI HAPO NDIO UNACHEKESHA HIVYOOO 😁😁😁😁😁😁

  • @Lizzyktd
    @Lizzyktd 3 месяца назад

    😅😅😅😅

  • @noahmadali7150
    @noahmadali7150 3 месяца назад +1

    Sauti mbovu video quality mbovu shida nn cjui

    • @Qnn_iy
      @Qnn_iy 3 месяца назад

      Kwani nyie mnatumia simu gani?

    • @Qnn_iy
      @Qnn_iy 3 месяца назад

      Labda simu zenu

    • @noahmadali7150
      @noahmadali7150 3 месяца назад

      Kher uko ulimwengu gan ndg

    • @QUEENBEEOG
      @QUEENBEEOG 2 месяца назад

      Simu Yako bby😂😂😂

  • @adamsanga-g8x
    @adamsanga-g8x 2 месяца назад

    Aa,

  • @kahenatz3594
    @kahenatz3594 3 месяца назад +2

    Sadaka buku unatunza comedian 100,000

    • @geofreyexaut5862
      @geofreyexaut5862 3 месяца назад

      Uwezi kutuchagulia moyo wa mtu

    • @geofreyexaut5862
      @geofreyexaut5862 3 месяца назад +1

      Wako wanaopeleka 100000 kanisani home watoto awana chakula

    • @JohnMadusa
      @JohnMadusa 3 месяца назад

      Hahahhahahahah ukwel mtupu

    • @more_hundreds_TV
      @more_hundreds_TV 3 месяца назад

      Ww unatoa tsh ngap

    • @anuaryyusuph9705
      @anuaryyusuph9705 3 месяца назад +2

      hiyo sadaka haina kikomo hata mia inafaa pia komed chochote ulicho nacho sasa hivi manbii mmekua fek we mpaka airin woya ety ni pasta hizo sadaka atatoa nani na watu wanajua ni mpigaji au anaigiza ili apate pesa

  • @kesphaanyitike7751
    @kesphaanyitike7751 3 месяца назад +1

    😂😂😂

  • @luluray2115
    @luluray2115 3 месяца назад +1

    😂😂😂