😂😂😂yaan kiukweli Eliud ndo comedian bora nchini japo watu wana mahaba na Leonardo hatukatai ni mambo ya nyota kuzidiana but huyu jamaa ni zaidi ,yaan kipindi kimeisha kwa yeye na mama tu bila kuja na alichokitunga huko na watu wamecheka kuanzia mwanzo mpaka mwisho😂😂😂
Mze wa story za mama hahahahaa yani wwe tutakusikiya sanaaaa Kama kilasa angaliki hayi Mungu ampe Maisha marefu Mama yako ni big Bland Anajuwa linda Bland @Yere mmi nishabiki yenu wwe na mama😂😂😂😂😂
hiyo sadaka haina kikomo hata mia inafaa pia komed chochote ulicho nacho sasa hivi manbii mmekua fek we mpaka airin woya ety ni pasta hizo sadaka atatoa nani na watu wanajua ni mpigaji au anaigiza ili apate pesa
Mchekeshaji ambae unachekesha kila lika ya watu kwasababu uchekeshaji wako siyo wa kutukana appreciate bro
Kweli kabisa kuna yule mrefu mwembamba, jamani mh!! Cjui kalelewa wapi!!!
😂😂😂yaan kiukweli Eliud ndo comedian bora nchini japo watu wana mahaba na Leonardo hatukatai ni mambo ya nyota kuzidiana but huyu jamaa ni zaidi ,yaan kipindi kimeisha kwa yeye na mama tu bila kuja na alichokitunga huko na watu wamecheka kuanzia mwanzo mpaka mwisho😂😂😂
Hakika , Eliud anatisha sana
bro unajua commedy hakika tena ya kistaalab salute kubwa
A very talented stand up comedian, hata hatumiii nguvu lakini watu wanavunja mbavu
Wenye mama zao jamaniiii,
Mungu azidi kuwatunzia, cku izi nimeona sana vijana wakijivunia mama zao.❤
Umetisha sana kwanza kuikataa.nyimbo.ya.babalao yani nobody is perfect saruti sana bro hii.from.cap town Ina.mawakubalisana
Eliudi best comedy 😂😂
Mungu Akita kukupa akuandiiki baruwaaaa
Eliudi anapenda sana manguo ya rangi ya kiini cha yai la kuku wa kienyeji😂😂
😂Anajiheshimu, anawaheshimu wasikilizaji wake wakubwa kwa wadogo, hatumii maneno machafu..kama yule,
Mungu azidi kumuinua.
Mungu akubarik sana kaka kwa Kaz nzur jaman❤❤❤❤
Amen. Eliud wew the best and humble
Jamaa ameleta challege kubwa sana ..😂😂😂😂hongera sana
Kiongozi
SAM ELIUDI,
Nakutafuta
😂😂wewe nichizi vibayaa
Nani kama Mama. Umenikumbusha mama yangu, I owe her something
🎉🎉hii nzur sana 🎉❤
😂😂😂 💥💥💥💥 Unajua Saanaaaaaa! A blessed child 🎉
Bro mungu akulinde na akuongezee kibal kwa watu
Watanzani ka! Yaani hii ya kijanja hovi comments ni chache hivi haaa. GONGA LIKE NA GOTI LA MAMA hapa
Like huwa mnafanyiaga nn haya nipeni na mimi
Uroho tu kuoga aaaaah 😁😁
ruclips.net/video/an8tMWrZjvc/видео.htmlsi=DsiBMortoyex1fi_
Daah mpaka nmelia sana kaka uko vzr jmn
Sauti inakua chini haisikiki vizur Kaka Eliud
😂😂😂😂et mnacheka mama wa mwenzenu
Mze wa story za mama hahahahaa yani wwe tutakusikiya sanaaaa Kama kilasa angaliki hayi Mungu ampe Maisha marefu Mama yako ni big Bland Anajuwa linda Bland @Yere mmi nishabiki yenu wwe na mama😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂Eliud jamaniii 😂😂😂walifu wakubwa 😂😂😂😂
Nani kama mama jamani l ❤ Mama anguu❤❤❤❤❤
Sauti iko chini sana
Kuangalia show za eliud😂🎉it’s worth it
Uyu eliud Mungu anamuana mpumbavu kweli yani 😂😂😂😂😂
Wivu huo
Bwana mkubwa Eliud tuko pamoja huku DrCongo
Bro me mchekeshaji ningeomba company yako
Umeonyesha Upendo mkubwa Kwa mama HONGERA KIJANA
Unajua sana mwamba
Hadi raha
mnafanana sana
AMEN
Mnacheka mama wawenzenu😂😂
wow!🥰
🔥🔥🔥
Mungu usimusche kakaangu ndio nguzo yako.kumbuka nilikuandikia toka mko kugombaniana no
Daaah Rest In Peace mama
Mnafanana hadi kucheka jmn😂😂😂 raha sana
Mimi ilo busuu lakoo tuuuu😂😂
Kama hutaki kutoa Hela Siri ni Moja tu uchukue video ama ucheke Sana
Eliud kilasiku tunamwona mama je baba yukowap
Sauti ipo chini sana
Like zangu jamani leo nimekuwa wa kwanza
Yaan eliud hahahhaha tunakupenda
Nipateee likeee namm
eliuid mbavu zangu😂😂😂
K.K.K -Kyimo Kijiji Kitulivu
Eliud😂
Eti analia😢
kaka eliudi una tuuwa mwaka huu dah
👍👍👍
Eliudi we bro unajua natak ck Moja niwe kama ww
If you have mother do samething for her
Nunueni camera yenye HD mnaboaa
Hata wakodishe tu
Nunua simu nzuri bby😂😂
😂😂😂😂😂😂 roho@@QUEENBEEOG
😂😂😂
😅😅😅😅 ❤❤❤❤
Naona kaona dawa ya mkopo
😂😂😂😂😂
mi sijasikia nisiwe mnafiki
WEWE MUUNI HAPO NDIO UNACHEKESHA HIVYOOO 😁😁😁😁😁😁
😅😅😅😅
Sauti mbovu video quality mbovu shida nn cjui
Kwani nyie mnatumia simu gani?
Labda simu zenu
Kher uko ulimwengu gan ndg
Simu Yako bby😂😂😂
Aa,
Sadaka buku unatunza comedian 100,000
Uwezi kutuchagulia moyo wa mtu
Wako wanaopeleka 100000 kanisani home watoto awana chakula
Hahahhahahahah ukwel mtupu
Ww unatoa tsh ngap
hiyo sadaka haina kikomo hata mia inafaa pia komed chochote ulicho nacho sasa hivi manbii mmekua fek we mpaka airin woya ety ni pasta hizo sadaka atatoa nani na watu wanajua ni mpigaji au anaigiza ili apate pesa
😂😂😂
😂😂😂