Nime jifunza kitu katika maisha kuhusu huyu jamaa , walio chukua milioni kumi ya cheka tu, now wako wapi and eliud i think hakua namba moja but his doing good than them na ndivyo ilivyo maisha , Kuna mtu mna weza kumpa ushindi but haimanishi yule mtu atashikilia Kua pale kuonesha uhimara wake kama mlivyo zani ninyi,ila bahada yamatokeo ana Potea kabisa ,that why unaweza Kua namba moja darasani Ila kitaa ukawa hauna namba yoyote let work hard Ili wajuwe masho ya mwana dam ni haioni energy yako yakesho Itakua haje.
I appreciate your work bro, and sometimes when i' m not in good situation i use to watch your comedies so that i can revive my happy. Nice talented boe.🎉🎉🎉
Napenda Eliud ambavyo haachi kumtaja Mungu with confidence 🙏
Kabisaaa
I like him for that
Tyttyttyttytttttyyttoyippi it qq7 hi 6
Hata Mimi
Pont
Mungu akubariki kaka Eliud, kabisa maishauri Yako ni mazuri❤️🇨🇩
Eliud you are very talented... "Wee njo unikune mba"😂😂😂
Yanii siezii sema mengii but wewe ni hatarii sanaaaa....all the way from Kenya 🇰🇪........tunakupendaa
Yaani eliudi we balaaa
Tani twampenda sanaaa❤❤❤ from kenya 🇰🇪 mombasaaa
Barikiwa sna Eliud love you much.. univuja mbavu zangu
Mungu akubark sana kak Eliud na atimize haja ya moyo wako kw kile unachokiomba nakupenda bureee 👏👏👏
Best stand up comedy in Tanzania kwa sasa uko vizuri😊😊😊😊😊😊😊😊 nimecheka mpaka machozi
Eliud loves his mom so much that he has to mention his mom on every his comedy.
Genius yaani umenichekesha sana, kwa mara ya kwanza nimecomment you tube😂😂😂😂
Nime jifunza kitu katika maisha kuhusu huyu jamaa , walio chukua milioni kumi ya cheka tu, now wako wapi and eliud i think hakua namba moja but his doing good than them na ndivyo ilivyo maisha , Kuna mtu mna weza kumpa ushindi but haimanishi yule mtu atashikilia Kua pale kuonesha uhimara wake kama mlivyo zani ninyi,ila bahada yamatokeo ana Potea kabisa ,that why unaweza Kua namba moja darasani Ila kitaa ukawa hauna namba yoyote let work hard
Ili wajuwe masho ya mwana dam ni haioni energy yako yakesho Itakua haje.
Kabisa
Sure
Exactly 💯
Wewe ni hatari ndugu ,Sanaa yako Iko juu sana
Eliud ee! Mungu akuongezee maisha marefu Sana.
Nimefurah ngoja nilike
Bg up sana Eliud
Eliud nakukubali sana nakufuata nikiwa Bujumbura. Respect bro
Hongera sana Eliud kwa ucheshi wako🙏🙏
Bro uko vizur, this is our real life🤣🤣🤣🤣🤣🤣
We jamaaa ni unatisha kinoma kwa kuchekesha🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Salute bro.. Go, the door to the next level is open and waiting 🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥
Be blessed bro kila mahali muite Mungu wako
Nakupenda sana aisee mhubiri Mungu hapohapo😅
Eliud iki kyala akupele kika kya nkino. Uli kanunu fijo mwaisa sika seko isi 😂😂😂
Vizuri kaka eliud from mbeya
Great performance always! #Pastor Eliud 💧
Ameen ubarikiwe kwa muelewa ufundisha kitu
Eliud umetisha kinoma me mapembelo twa hunyuma uhwa
Mr eliud una balaa blessed😂😂😂😂...
Mwe mwe Mwaisa,nimecheka mpaka machozi
Mwaisa Mungu aendelee kukuinua 🙌🙌🙌 unajua sana kaka
Huyu ndio mwaisa wa insta
pamoja sana eliudi from zambia
Best stand up comedy 🙏🙏 be blessed bro
Wow
Mwamba anajua eliudi🔥
Mtani uko vizuri Mungu azidi kukupa maarifa
😅😂😅😂😅😂😂 Uko talented sanaa Mwaisaaa🙌🙌🙌🙌
Yes this is it ,best stand up comedian
Kaka ongera sana.....upo na comedy kulingana na hadhira,big up sana kaka.
Ndo ninachompendea
Kwa performance hii umeua sana
Huyu jamaa nilikuwa simjui vizur mara ya mwisho nilimuona ameigiza na Uswege murderer kweny Bongo starsearch season 1 kigoma
Kama me daaah yupo vzr budah
Siyo bongo star search ni Boflo star search
Umechelewa sana
Daaah u know brother 🔥 🔥 🙌
@Eliud big up #Mbeya stand up
#Nyakyusa
Big up sana Mc❤👏 but uko kimia sana uko nafanya mwezi bila hâta kutupa burudani Théo from RDC
Bro umetisha Sana upewe Maya yako🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Duh! Nimecheka mpaka nimepata mafua!!😅😅😅😅
Eshima kwako Mc wa taifa umeuwa sanaaaaaaaa😁😁😁😁
Nakukubar mc eliud 👍👍👍
Wee Eliud wewe hiv wewe ni wakumeza hatma za watu na shat lako la blue band😂😂😂🎉🎉
Unatupasua mbavu eliud tunacheka mpaka majirani wanatuuliza kuna shida gani
Smart comedian of all the time in EA
Mmeiona Mbeya kupitia nguo😂😂
Best for now 💯💯🙌
Comedy with logic inside👏
Eliud Mungu akutunze,nimechoka Hadi kupaliwa
You ate the best mkuuu 🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂
Pure talent 👏 🙌
Pamoja sana eliud I’m from dubai😂
Mwamba Eliud we ni Fundi sana..
Eliud unajua sana. Keep up
Huyu jamaa hachoshi kusikilizwa, anajua sana
Very genius and talented Eliud 😂😂😂
Genius 🙌🔥
Nainjoy Sanaa jaman dah,,🤣🤣
Daaah anajua sana bro
Daah hatari coz unatunga hapo hapo big up
I appreciate your work bro, and sometimes when i' m not in good situation i use to watch your comedies so that i can revive my happy. Nice talented boe.🎉🎉🎉
Genius talented and blessed
God bless eliud unatufanya to enjoy
uko vzr unaweza kipaji kipo
Super Talented
Talented and very interesting guy ubalikiwe sana mtumish
I like it salute to you sir
salute kwako mc Eliud
🤣🤣🤣🤣jaman eliud umeniweza Leo mana siyo kwakucheka huko
Best performance 🔥🔥🔥
Eliud you're so talented, keep up the good work 😄😄👋akili mingi
😂 😂 😂 ila alie Sema ni udereva tu Nani 😂😂eliud vitu
Eliudi acha kuvunja mbavu zangu SAWA bhana Adam fumbo from dar
Kaka umeua 🙌🔥🔥
Eliud we sio kiumbe Cha kawaida 🤣🤣🤣🤣
Sichoki kuchek comedy because of you
🤣🤣🤣 mecheka sana aise
🤣😂😀 nimecheka sana aisee
Eliud unatisha sanaa😁😁😁
Dah ,love sana
nimewakubali jamani hongereni sana
Mbeya Vipaji Vimejaa kabisa
ahahahaahaahahahaahaaha jmn hy kak mbavu sna daaah mpak laah mung azidi kukupa neem kweny kaz yak ❤❤
Mwamba wa Mbeya ,, mwamba kamili mwamba imara kabisa 😂😂😂😂😂😂
Daaah umetisha
machozi yananitoka kwa kuchekaa.. na kuficha kotee karatas ukalaa..bado ulipata C😅😅😅😂😂😂
Amazing 😄 comedy 👏
mwaisa jaman aki nimecheka😂😂😂😂
Great man
Nakubali saaana eliud
Nakubali sana broo eliud
Eliud sijambo sana,, nakupenda mno
Ubarikiwe kaka unajua sana bro
Daaaa brother unajua
eliudi congrats broo
Barikiwa Sana my brother
Talented
Mungu kwanza .nakubali unapomtangaza mngu kila wakat