MADEVU KWENYE BATTLE EDITION

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 205

  • @rithamsechu7220
    @rithamsechu7220 2 года назад +34

    Kati ya wote walio postiwa madevu kauwaaa ❤️🇹🇿❤️🇴🇲🇴🇲🇴🇲

  • @evancerwamugata1064
    @evancerwamugata1064 2 года назад +19

    Uchekeshaji wa Madevu n wa kiwango cha lami 🔥🔥

  • @keptenpojos821
    @keptenpojos821 2 года назад +49

    Madevu ndio Teacher wa Comedy wallah.. kamaliza 🔥🔥🎺

  • @ulimwengu5599
    @ulimwengu5599 2 года назад +21

    seriously,Madevu ni next level zaidi ya platform yenyewe 😂😂😂😂

  • @mathewben6833
    @mathewben6833 2 года назад +12

    My no 1 stand up comedian in TZ,Madevu

  • @pascalinajames9117
    @pascalinajames9117 2 года назад +6

    I love mc madevu ana kingereza kizuri sanaa🥰

  • @onesmoanthony9045
    @onesmoanthony9045 2 года назад +16

    Mandevu we ni matako sana yani umenifanya nicheke kwa nguvu niko kwenye daladala mpaka watu wameniona chizi

  • @franksylivestar7344
    @franksylivestar7344 2 года назад +42

    This is comedy we need, he's the king

  • @pascalvictorboneventurecha1731
    @pascalvictorboneventurecha1731 2 года назад +23

    I do ever comment in public issue post,but u made it bro,and i real appreciate CHEKA TU ,Big up KOI to MADEVU ntaanza kuja kwa show

  • @youngrappertz1735
    @youngrappertz1735 2 года назад +23

    naombeni battle na madevu basi😁🤣
    maana ameshashindikana

  • @kelvinjonathan648
    @kelvinjonathan648 2 года назад +11

    Broo nakukubal sana unajua yan hulazimishi jokes zinatoka tuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ngingatransportation6793
    @ngingatransportation6793 2 года назад +20

    The king is back👑

  • @cocotz1892
    @cocotz1892 2 года назад +16

    The King is back 🙌💪

  • @devothahaule9251
    @devothahaule9251 2 года назад +7

    madevu ni 🔥🔥🔥 anabalaa na nusu harafu yy mwenyew haring

  • @breikali846
    @breikali846 2 года назад +32

    Shoutouts all the way from Dubai... Kaka uko vizuri.

  • @skuh1428
    @skuh1428 2 года назад +33

    The king is back 😂😂😂👋🏼

  • @swalehawadh8612
    @swalehawadh8612 2 года назад +19

    So far so good.....Madevu is unbeatable

  • @zainabmalya1552
    @zainabmalya1552 2 года назад +7

    Katisha sana huyu jamaa💕😄😄

  • @McheshiOnlineTv
    @McheshiOnlineTv 2 года назад +13

    Madefu kocha wangu 😁😁😁😁

  • @raymondmsinde6867
    @raymondmsinde6867 2 года назад +5

    Huyu jamaa Ni fundi Sana🔥🔥

  • @eliabeliud490
    @eliabeliud490 2 года назад +2

    Kwa saiz Madevu Eliud Joel master Leonard Aza boy mh subilia tuone Moto wake n baraaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @ommyjay4622
    @ommyjay4622 2 года назад +7

    Uyu mwamba Ni noma tumechelewa kazini kwajili yake nimeamka nika play clip yake na apo ndo tatizo lilipo anzia kuja kushituka sa 4 linajua Sana limidevu

  • @josephatmassae7316
    @josephatmassae7316 2 года назад +3

    KWANINI UMEMWAGA!?
    Kwanini umemwaga ile ya mwanzo!!
    Kumbaaavuuuu

  • @budgeter4807
    @budgeter4807 2 года назад +6

    Wazazi wangu ni wazee tu hapa!

  • @lusakejackson1515
    @lusakejackson1515 2 года назад +5

    We jamaa n nomaaaaa

  • @Officialmaftah
    @Officialmaftah 2 года назад +15

    The king is back

  • @joycezaleart2995
    @joycezaleart2995 2 года назад +7

    Come to chuchil show in kenya

  • @nassboffical911
    @nassboffical911 2 года назад +9

    My bro big up

  • @isaiahthomas3059
    @isaiahthomas3059 2 года назад +7

    Huyu jmaaaa nihatareeee

  • @karimchindema9823
    @karimchindema9823 2 года назад +7

    Haahaaaaa noma sana

  • @vailethymbwambo584
    @vailethymbwambo584 2 года назад +2

    Nakupenda San jaman.. unanivunja mbavu Sana. 🙌

  • @chilubafedrick5740
    @chilubafedrick5740 2 года назад +2

    huyu jamaa ni real stand up comedian, appreciate 😅

  • @chuwajunior2249
    @chuwajunior2249 Год назад +2

    The real king is back 🙌 😂😂😂

  • @afandebrighttz2887
    @afandebrighttz2887 2 года назад +2

    Madevu ,,,,,naomba mpambano wew uchekeshe me nicheke

  • @_blessedann
    @_blessedann 2 года назад +5

    The best of them all😂😂

  • @swiden369
    @swiden369 2 года назад +13

    😂😂😂this guy is mad

  • @jerrycharz25
    @jerrycharz25 2 года назад +7

    Huyu mwamba hana mtu wa kubatle nae ebu tuwe serious

  • @isayayohana6341
    @isayayohana6341 2 года назад +1

    Aise uyu jamaa ni nomaa

  • @esterstaphord5184
    @esterstaphord5184 2 года назад +6

    King unajuaaa 😂😂😂😂😂

  • @nicholausmbilinyi3587
    @nicholausmbilinyi3587 2 года назад +3

    Aisee hakuna kama madevu jamani..achana nae kabisa huyu mtu...hahahah

  • @eliakanyunyi7473
    @eliakanyunyi7473 2 года назад +1

    Koi muzungu uko fresh ma man na kipindi chako ila ndugu yangu hichi kipindi nicha comedy ila sasa kuna wachekeshaji wanaongea matusi tunaona aibu kwakweli mara mama mkwe yupo uchi,wapa sawa ila wengi nivijana hawajaowa wanaona kawaida tu nakuomba sana ndugu najua

  • @dannymoshi4144
    @dannymoshi4144 2 года назад

    Noma sana. You are the best mzee. Tunaweza kukutumia ikibidi nchi zishindane kwenye comedy

  • @sportsarena5620
    @sportsarena5620 2 года назад +5

    mc madevu ni king 👐✋

  • @karimchindema9823
    @karimchindema9823 2 года назад +5

    Uliiteka show kiukweli bro

  • @isaiahthomas3059
    @isaiahthomas3059 2 года назад +13

    The king is back for sureeeeee

  • @mashaloyuzo1296
    @mashaloyuzo1296 2 года назад

    The king is back ..niachen na mbichwa wangu..madev upo poa

  • @lutetz3400
    @lutetz3400 2 года назад +5

    Kama Churchill show

  • @mosesvanga725
    @mosesvanga725 2 года назад

    Madevu ndo mfuniko aisee. Very organised, like this guy

  • @geofreycr7866
    @geofreycr7866 2 года назад +2

    Real king comedian is back

  • @DrNick-hg6il
    @DrNick-hg6il 2 года назад +3

    Superb

  • @pelagiaegogo6797
    @pelagiaegogo6797 2 года назад +1

    Mr madevu ni noumaaaaa😘

  • @sophiaseif3147
    @sophiaseif3147 2 года назад

    Yan ndonamchik leo nmempenda bureeee madevu

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 2 года назад +1

    Madevu anajua sana😂😂😂😂😂🇹🇿.

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 2 года назад +5

    WaBongo tuna stresses sana, Yani hivi ndo munacheka😳😳😳😳😳

    • @rilaandmel3842
      @rilaandmel3842 2 года назад +1

      Nlikua natafuta comment ya mtu ambae hajacheka, nafikiri mimi tu ndio sijacheka nkajua nnatatizo.

    • @hamoudcreator6343
      @hamoudcreator6343 2 года назад +1

      @@rilaandmel3842 Umeona Ehh😳😳

    • @rilaandmel3842
      @rilaandmel3842 2 года назад

      @@hamoudcreator6343 acha tu

    • @mosessabena17
      @mosessabena17 2 года назад +1

      Kucheka sio kwamba he is the best...... bas tu anapendwa ....the way anamiliki stage anaonekana and the way anatumia saut yake he seems to be the best
      Bravo mc madevu

    • @zaynabyusuf4324
      @zaynabyusuf4324 2 года назад

      Kacheki bandama it seems like haliko sawa😃

  • @dewjiambwene7491
    @dewjiambwene7491 2 года назад +5

    Madevu the great!!!

  • @halcyonmrosso7002
    @halcyonmrosso7002 Год назад

    The King is back🔥🔥

  • @mtaalamwamambo2099
    @mtaalamwamambo2099 2 года назад +1

    Madevu ata Kama unafundish mathematics lazima wafauluu aseee 😂😂😂😂😂

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 2 года назад +4

    Madevu hatari 😅😄🇹🇿

  • @selemanjuma1595
    @selemanjuma1595 2 года назад

    Huyu mtu ni mbaya Sana kwenye comedy ni teacher wenu hata coyo hutoboi kwa madevu 🔥🔥🔥

  • @neymardekutele8452
    @neymardekutele8452 2 года назад +4

    Huyu jamaa na Leonardo ni balaa

  • @salvatoryleonce8970
    @salvatoryleonce8970 2 года назад +1

    Very talented brother

  • @OpportunityTvchambuaonline
    @OpportunityTvchambuaonline 2 года назад +3

    Madevu hana kazi mbovu, nimeanza kucomment kabla ya kuview...

  • @elikanaiamosi5229
    @elikanaiamosi5229 2 года назад

    Nakukubali Sana kakaangu

  • @TigerNtore
    @TigerNtore 5 месяцев назад

    Good job

  • @isayayohana6341
    @isayayohana6341 2 года назад +1

    Mandefu kani uwa leo aose bgp sana kaka

  • @Hanskapella
    @Hanskapella 2 года назад +1

    Daah huyu mwamb.

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV 2 года назад

    Kwa bongo huyu Mzee anatisha

  • @robertdominikomichael2416
    @robertdominikomichael2416 2 года назад

    Leo hukuimba haijawa nzuri

  • @BigDrones
    @BigDrones 2 года назад +1

    Ukisema unachekesha uwe Kama Huyu Sasa Sio jolmaster anatuletea upuuzi maandazi

  • @mctidohondoa1652
    @mctidohondoa1652 2 года назад

    Madevu mbwa kabisaa

  • @allexmathias3593
    @allexmathias3593 2 года назад +1

    Safi Sana

  • @cbegram6161
    @cbegram6161 2 года назад +1

    Bora hata nimepata mc wa harusi yangu

  • @amanigalawa7422
    @amanigalawa7422 2 года назад

    Kwakwwli huyu ndo master wa Comedy

  • @robertayubu3394
    @robertayubu3394 2 года назад +1

    👏👏👏 ur the best bro

  • @benedictboniface3442
    @benedictboniface3442 2 года назад

    Huyo dada aliyelewa angeishiwa nauli ndo angenyooka vizuri

  • @salimdibundile4872
    @salimdibundile4872 2 года назад +1

    Madevu amenichekesha mno.. jaman me nna pumu

  • @yoabuonesmondanzi3460
    @yoabuonesmondanzi3460 2 года назад

    Very professional

  • @ambroambrocen1821
    @ambroambrocen1821 2 года назад

    nmezaliwa kw operation...

  • @lilymatoli7117
    @lilymatoli7117 2 года назад +3

    Madev nimah aisee

  • @jacksonpeter7484
    @jacksonpeter7484 2 года назад

    Hakuna sehem mnayo boa kamakwenye sauti ya jingo ya cheka tu kubwa lakini sauti ya mic mnazotumia hovyo kabisa sauti mnasikika kwa mbali kelele tupu mnaboa bwana kampuni kubwa ila mnazingua sana

  • @PeterMsoma-ru1wx
    @PeterMsoma-ru1wx 4 месяца назад

    Madevu nakuomba uwe mc wangumi boxing Sauti yako inafaa

  • @mariamsaimon7898
    @mariamsaimon7898 2 года назад

    Jamaa anajua uyu

  • @NoelyNdauka
    @NoelyNdauka Год назад

    Noma

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli6926 2 года назад

    Madevu yupo vzuli na sauti yake iyo mashallah

  • @dullywa9973
    @dullywa9973 2 года назад +1

    😀😀big man

  • @stories4796
    @stories4796 2 года назад +1

    Aah yan namkubal kama wiizi

  • @sirdavis7054
    @sirdavis7054 2 года назад +1

    Oya 😂😂👏👏

  • @patrickbwanafika6574
    @patrickbwanafika6574 2 года назад

    Nkubal broo

  • @tracemsolla7604
    @tracemsolla7604 2 года назад

    Waoooh this guy z genius

  • @ibrahimpatrick5871
    @ibrahimpatrick5871 2 года назад +3

    King🤣

  • @zakayomuhurioficial8232
    @zakayomuhurioficial8232 2 года назад

    Wanatisha

  • @apolinaryprimus5542
    @apolinaryprimus5542 2 года назад

    U r the best

  • @witneywilly
    @witneywilly 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 eti imezaliwa kwa operation

  • @kingwandeally5971
    @kingwandeally5971 2 года назад

    Madevu salute km kiba

  • @jofreywilliam9111
    @jofreywilliam9111 2 года назад

    Nimechekaaaa hatari hili jamaa ni hatari

  • @stevenhassan269
    @stevenhassan269 2 года назад

    Hatari sana

  • @witneyjerry1293
    @witneyjerry1293 2 года назад +1

    Madevu ni faya ...

  • @swalehesaad1143
    @swalehesaad1143 Год назад

    Ety maulidi we ni snichiii😂😂😂

  • @M-double
    @M-double 2 года назад

    😂😂😂😂😂😂 GENIUS MADEVU

  • @yassinimkwama8217
    @yassinimkwama8217 2 года назад

    Madevuu🔥🔥🔥🔥