For the first time I have seen a very talented stand up comedian from Tanzania that is very talented and who can compete other best comedians from East Africa. He deserves a chance at Churchill show to showcase his pure talent. All the best Mr Mandevu.
why did i just find out about this guy? dude, fuck man, it is about 22:24 in The great state of Arizona, United States of America 🇺🇸 and i feel like spending the rest of this night learning more from this guy..He's hilariously funny and educational. That's for a godamn sure 😂😂😂😂😂😂
Huyu jamaa chizi kweli yan hii shoo nilikuwepo lkn nimeqngalia apa mbavu zinaniuma nimecheka hatarii apo kwenye literature dfn...na mwalimu wa mombay😂😂
"Fitina titi la paka halifai kwa mtindi tunazungumzia watu wenye roho mbaya"😂😂😂😂 mc madevu ni fireee..... weka like kauisikia hii
Nimechekha hatari
Nilikuwa natafuta kusikia vizuri hii 😂😂😂asante
@@mwamengele 😂🤣🤣🤣🤣
One of my favourite best comedian from Tanzania this guy burst my limbs kwa kuchekaa. Mr madevu baby 😁😁😁😁
limbs tena
lakini hawatambui kilami.
😂😅🤣🤣🤣yo what ??
Simba
Wale tunaorudia video za mandevu tu like hapa maana mi naangalia kila saa utazani nasikiliza singeli
huyu jamaa hatumii nguv kipaj san
sem cmuon ckuiz
For the first time I have seen a very talented stand up comedian from Tanzania that is very talented and who can compete other best comedians from East Africa. He deserves a chance at Churchill show to showcase his pure talent. All the best Mr Mandevu.
I agree!
1q
kabisa🙌🙌
Second comment like hapa kma unamkubali mc madevu
Madeeevu🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kweli
Damshednt we
Popote ulipo madevu akigiza k vant nakujakulipa.my best all ze tym✌✌
😂😂 “Jaamaan Weee baba kumuulizia mtu tu ndo viingereza vyote ivyoo”...😂🙌
Kam umeiangilia hii video zaid ya Mara moja konga like
watanzania wanapenda vitu kubwa kweli...Its fantastic
Boya kabisaa nondo chache sanaa😂😂😂😂kingereza n sawa tu na kizaramo cha london
Nondo chache
Ni vitu vya kawaidaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂madevu baby kwenye cheka tu weye ndo King yani the Best kabisa
Laaa nimemwelewa sana huyu jamaa ni nomaaa
kuna mda anavionjo kama vya professor hamo from kenya
U made me happy mc madeve🥰😘❣
Madevu bby sikuiz anaua👌👌👌
One of my favorites and talented comedian
😂😂😂🤗 nakuona mbali sana Sir, Madevuuuuuu
Wewe Jamaa sio mamba wew kibokoo aseee 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Prince Mushy hahahaahaahahaa aisee
In this show he killed it.....one of the best show in Cheka Tu 😂
Namkubali sana huyu mwana
Milton Mugisha mi mwenyewe na mwelewa sana mkuuu
Yan kinge cha wahind kuelewa ni mtihan bora warabu hahahahah
Tushawahi kufundishwa na Mwalimu mmoja MHINDI, anaitwa MISHRA...sikuwahi elewa...hataaa
superb.. talented🇹🇿🇹🇿
Uuuuuuwi mbavu zangu jaman Mc nilienjoy sana ulipokuja TUKUZA FESTIVAL
Nc one my lvly
Kwènýè kidada kimbele mbele umen malza tena wanakuaga ñà kihehere ila kichwan patupuuuu
nilivo ona hivyo nikaona bc acha tuchape mayai noma sana uyu devu🤣🇹🇿
We jamaaa ni shidaaaaaa sana
Damshi dit you gongs like kama umejua kingereza kipy
What a TALENT 🙉😍
Mkuu huyo ni mwanafunzi mwenzetu kabisa hapa
Churchill get this guy,he is too hilarious
Aki tn nmekupend bure jmn co kw mbav iz ulizonivunja 😂😂😂😂😂uwiiiiiii
Nakukubali mwalimu wang wa makumbuxho
The man is talented
😂😂😂
kweli kabisa wahindi kizungu chao nishida
Kwenye ulimi ndy kanimaliza kabisa😂😂😂😂😂 kwenye muindi sasa😂😂😂😂😂😂😂
His voice thou
Plus his unique technique
Deep voice
Niaje
Huyu jamaa ni very talented 😃😃😃😃🤣
Madevu siongopi hata mungu shahidi huwa si comment Kabisa lakini umetisha acha nikuite madevu babalao
Weee jamaa ni mnoma sana 😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂hakuna mtu hapa
Huyu jamaa kaweza kunichekesha asee
dahhh ticha mechack asee
😁😁😂😂🤣 inakufaaaa Sana hiyo kazi 🤣
2024 am here
Aahh hii kali saana... 👏👏👏🇺🇸🇺🇸
Big up madevu
Huyu jamaa ni noma ila wamempoteza sana
Tisha sana madevu vizangeli noma
kwa wahindi hapo umepatia 😂
Haki nimecheka hadi mkojo umepita🤣🤣🤣🤣
hiy lafudh imenikosha walahi
Waaaaaaaaaaaaooooh that's my name madam herieth 😂😂😂♥️
😂😂😂🤣🤣😂
Heritage jqman wapi ulipo
😂 safi sana MC Madevu 👍
Madevu unajua sana 😂😂😂
😂😂😂😂😂 omg I really like you
Mamaee huyu jamaa anajuaaaa
Huyu jamaa 🔥🔥🔥🔥
Fitina titi la paka Halifai kwa mtindi....hapa tinaongelea watu wenye roho mbaya...dah umetisha madevu
Jamaa anajua sana 🙌🙌🙌🙌🙌
Huyu sio teacher Meshaki wale wanangu wa literature
Dah """ ni kitambo sana 2005,08 middle land hyo
Midland sec hiyo
Ndio yeye asee😀😀😀
katisha kinoma🔥
Madevu ametisha sana humu
Madevuuuuuu
😂😂😂👍👍👍
Big up bro.....
Wewe Kaka unajua
Genius🙌🙌
Dah, madevu ni noma 😁😁😁
TALENTED❤
Umeniua from rwanda.kipaji hiki.
Mpumbav nmecheka sana
We noma mwanangu ahahaha
Nice oneeeeeeeee
why did i just find out about this guy? dude, fuck man, it is about 22:24 in The great state of Arizona, United States of America 🇺🇸 and i feel like spending the rest of this night learning more from this guy..He's hilariously funny and educational. That's for a godamn sure 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂🤣🤣😂😂😅😂🤣🤣😂😂🤣🤣😭😭nimecheka mpaka machoz😭😭🤣😂😂😂😂😂
Nomaaaaaaa damshed we
Jamnii 😂😂😂🔥🔥
Hahahaaaaaa wewe ni noma
Noma bro!!!!
😂😂😂😂😂atar sana nakukubal sana
We ni mdosi madevu.
Jamani mwenye number ya madevu anisaidie.
Fitina titi La paka halifai kwa mtindi😂😂😂😂😂
Oh my God Aki wew
Churchill show muone huyu mtu aje awachekeshe kenya
Haezi mzae Churchill ni watu wamebobea wanaongea bila kupanga show wakifika stage inatoka mada hpo hapo
Weeewe humfahamu uyu mtu angalia free style aliyopiga kwenye final edition/free style and cut/unrehasaled
Churchill mpo vzr l appreciate from Arusha Tz sisi wa Bongo ndo kwanza tunaanza
@@mohamedsheealom8745 nakubali lkn si wote ni baadhi kama Mamitto,mcJesse,Yy,Churchill himself,MCA trick na Jemutai.
Kinachonifurahisha hata upande wa lugha yupo vizuri,sasa hawa ndio natural comedian
nimecheka atar nakubar madevu 😁😁😁
Hakuna kitu hapa
Mchekeshaji wa kwanza mtz niliyemkubali. Yaonekana na Ingilishi inapanda pia. Pia yaonekana ni msomi
n mwalimu jamaa wa english meshack kanifundsha mwaka 2006
Duh noma sana huyu jamaa.
Madevu your the One
Hahaha aise ili libaba jinga saan mwenzio hadi😂😥😥😥dhuuh
Kiindiiiiiiiiiii jaman!!
Huyu jamaa chizi kweli yan hii shoo nilikuwepo lkn nimeqngalia apa mbavu zinaniuma nimecheka hatarii apo kwenye literature dfn...na mwalimu wa mombay😂😂
Story teller
Yupo vzr xn
Huyu Jamaa Ni Balaaaa Sanaaaaaaaaaaaa
Hapo kwenye muhindi apo sasa🤣🤣🤣
Smart guy on stand up commedy
Tisha sana Mzee mbavu zinauma hahahahahahaaaahahahaaa
Mandevu umetishi
World class. Abit rough round the edges but best in tz