From Dwangwa Malawi yes a moving scene the president hugging the small girl even sitting on a presidential sofa unheard of across the globe thanks the humble Mama Samia Zikomo Mama mkuu
❤ haki nasikia furaha na pia bajikia na wivu kwa ndugu zetu watanzania kwa kupata rais mzuri sana mama samia ni rais mpenda watu wake na nchi yake sio kama huyu wetu ndili mla watu.hongera mama mungu akulinde na akupe afya.
Maashaallaaaah Mama mwemwa Allah Akubariki kwamapenzi unaonesha upendo Allah akuzidishie Umuri wa Tanzania munagoja nini mumupe Guraa nyingisanaaaaaaa💞💞💞💞💞💋💋💋💋💋💋💋💪🏽💪🏽💪🏽Courage Mama Samiya🇧🇮🇧🇮💯💯💯💯💯💛💚💛💚💛💚
Natoa.Hsante kwa Rais Samia Suluhu kwa kitendo alichokifanya kwa huyo mtoto kwani kwanza ameridhika na ujasiri wake pili ameonyesha kua hana tamaa ya kufikiria kua kiti ni chake mwenyewe MUNGU amuongezee hekima Amina
Mimi Ema kirua kutoka mbezi nimefurahi sana mama kukuona unakumbatia mtoto huyo mwenye ndoto kubwa za kua kama wewe mama,mama yetu ,mama yangu Mimi natamani nikutane na wewe niongee nawewe kidogo tuuu❤♥️nakupenda mama.
Mungu wa Binguni, nakuomba kama vile doto ya huyu Binti mzuri umeitimiza, na moyo wake ukafurahia, Nakuomba Mungu wangu itimize doto yangu na unibariki Nakuomba, Niondolee umaski niweze kusomesha watoto wangu na kuwapa maisha mazuri na pia familia yangu, Yesu Nikumbuke Leo na Mimi.😢😢
Asante sana mama umefanya mambo makubwa sana ayo ni mambo ya kiroho yatakuwa kweli ktk kizazi chake uongozi wa kiti cha urais upande wa kina mama utaendelea ayo ni mambo makubwa sana ktk ulimwengu wa kimwili na kiroho
%%nakukubari sana %%%5 tena mama inakusu.umefanya mamba mengi mazuri kwa nchi yetu.akuna wa kupingana.nawewe.mama yetu kipenzi cha watanzania na duniani kwa ujmla mungu.akupe maisha malefu mama.
Mbegu bora ilivyo panda na wazazi wake kuna wazazi awajua ku muomba mungu awalindie family zao na huku wakizilinda familia zao ukipenda family yako mungu ataipenda
Ubarikiwe Sana Mheshimiwa kumtia moyo mtoto sio dogo litawapa somo watoto kuwa mawazo Yao Yana nafasi tena tunawajali Inapendeza Ubarikiwe Sana Raisi Samia
From Dwangwa Malawi yes a moving scene the president hugging the small girl even sitting on a presidential sofa unheard of across the globe thanks the humble Mama Samia Zikomo Mama mkuu
Waaaoohhh vizuri sana mtoto mzuri Mungu akutunze uje kutimiza ndoto zako
❤ haki nasikia furaha na pia bajikia na wivu kwa ndugu zetu watanzania kwa kupata rais mzuri sana mama samia ni rais mpenda watu wake na nchi yake sio kama huyu wetu ndili mla watu.hongera mama mungu akulinde na akupe afya.
Sura sio Roho
Amen and Amen and Amen 🙏🙏🙏🙏🙏
Amin
Mungu apewe sifa atimaye mtoto atimmiza ndoto zake
❤❤❤❤Hio kukalia kiti ni Very spiritual one day yes atakua Raisi
Sahii kabisa
Nimelia kwa furaha hii nimeipendaa kwa dhati❤ #ssh 🙏🙏
😢😢kumbe hata ww yanakutokeaga basi tumefanana mm nikiangalia vitu kama hv machozi yanatiririka bila sababu cjui hata kwann
Wau wonderful 🎉❤ mu h love mama mtukufu rais hongera sana
Acha kukufuru mtukufu amekua mungu au ndio uchawa
Amina Amina Amina sana.
Ndoto hii na itimie kwa jina la Yesu Kristo.
Heshima yako sana Mh Rais Samia
P0❤❤❤❤❤⁰00p0
Hii ndoto ishindwe kwa jina la yesu hatutak tena kuja kuongozwa nawaha viumbe
Yesu hana uwezo wowote
Vzr xan we mtoto mzuri Mungu akubark utimize ndoto yaki
Nafaraha mimi munyarwabda 🇷🇼
❤❤❤❤❤❤
Mungu atakubariki mtoto mzuri
Nimejikuta na mfrahia mpaka nimecheka Ubarikiwe Sana mama Kwa kimtia Moyo Mtoto wetu 🎉🎉🎉🎉
Hongera sanaa mama yetu kwa upendo wako ju ya watanzania bira kujali umri Hongera sanaa mama
Nimejisikia furaha had mwili wote umesisismka wallah Masha Allah❤❤❤❤❤
Maashallah kumbe ndoto zingine ni kweli😊😊❤
Nakupenda Sana Mama yetu kiongozi Mzuri Mungu Akupe miaka mingi Akujaze Hekima za Marifa. I love My Mom Samia suruhu Hasan 🧡🧡🧡🫂
Maashaallaaaah Mama mwemwa Allah Akubariki kwamapenzi unaonesha upendo Allah akuzidishie Umuri wa Tanzania munagoja nini mumupe Guraa nyingisanaaaaaaa💞💞💞💞💞💋💋💋💋💋💋💋💪🏽💪🏽💪🏽Courage Mama Samiya🇧🇮🇧🇮💯💯💯💯💯💛💚💛💚💛💚
Pongezi kwako Mama wa taifa wa Tanzania you have a good heart keep it up your excellency.
Wow wow nice congratulations ♥️
Wow congratulations mom ❣️👏
Mashallah Raisi wangu nakupenda Sana Allah akujaalie moyo wa upendo Kwa watoto wako pia Kwa nchi nzima inayokuzunguka Ameen
This is what we call leadership nurturing the next generation for leadership ❤❤
MUNGU akubariliki mom
Congratulations our president, umeonesha kumjali huyo mtoto, ni historia nzuri kwake
Wonderful day to see little girl like this God bless you beautiful girl Have The Best fureture In Jesus Name.
Natoa.Hsante kwa Rais Samia Suluhu kwa kitendo alichokifanya kwa huyo mtoto kwani kwanza ameridhika na ujasiri wake pili ameonyesha kua hana tamaa ya kufikiria kua kiti ni chake mwenyewe MUNGU amuongezee hekima Amina
Tanzania hakuna matat ❤❤❤ i love 💕 Tanzania ❤ God bless 🙏 Tanzania god protect our Tanzania
Hongera sana rais wetu kwa. Kujali watoto mungu akupe maisha marefu
Hii ni ishara nzuri MUNGU akujalie uwe kiongozi ujae na wwe Amin
Amina mungu amjalie afya njema ili kutimiza ndoto yake nimependa kama mzazi kuona mtoto huyu akiwaza kua kiongoz bora wa inchi yetu ❤❤❤
Mimi Ema kirua kutoka mbezi nimefurahi sana mama kukuona unakumbatia mtoto huyo mwenye ndoto kubwa za kua kama wewe mama,mama yetu ,mama yangu Mimi natamani nikutane na wewe niongee nawewe kidogo tuuu❤♥️nakupenda mama.
Kumpisha huyu mtoto Ni ishara nzuri za baraka kiutawala na kmafanikio serikalini kiuchumi na kadhalika
Nani mwingine anatokwa na machozi aje hapa ajiunge na mie, this was amazing ❤
Safi Tena inafurahisha sana
Lovely Samia Hassan.we love you .Kenya
This lady shall.rise and shall be great
Wow hongera mtoto jasiri..
Mtoto kuongozwa na roho ŵa mungu. Sasa kazi kwenu chawa kusifia.
💪💪💪💪💪 superwoman 🥰🥰🥰✊✊🤝🤝
Mungu wa Binguni, nakuomba kama vile doto ya huyu Binti mzuri umeitimiza, na moyo wake ukafurahia, Nakuomba Mungu wangu itimize doto yangu na unibariki Nakuomba, Niondolee umaski niweze kusomesha watoto wangu na kuwapa maisha mazuri na pia familia yangu, Yesu Nikumbuke Leo na Mimi.😢😢
Vizur sana nimependa l love you president Samia big up
❤❤❤❤❤ mungu akusaidie Sikh moja ndot yako ije itimie
Taratibu mama samia umeanza kuwa kama mgufuli hongera mama❤❤
Mavazi ya huyu mama mash Allah
Wow wow that was so good
Nimependa sana❤❤❤
Ila umaarufuu ni kitu kidogo sanaa jmnii😂😂😂
May almighty bless you mama
Asante sana mama umefanya mambo makubwa sana ayo ni mambo ya kiroho yatakuwa kweli ktk kizazi chake uongozi wa kiti cha urais upande wa kina mama utaendelea ayo ni mambo makubwa sana ktk ulimwengu wa kimwili na kiroho
acha ushamba
Mama umefanya kitu sijawahi kukiona katika maisha yangu wewe ni kweli mama unamapenzi na watoto
Mbariwa🎉
❤❤❤ Furaha sana
Maashaallah❤❤
❤❤ i Bless her to succeed.
Kama mkenya nimefurai sana hakuna ndoto kubwa maishani thatsks 🎉so much mama
Mungu akulinde utimize ndoto yako
Daaa inapendeza sana hongera Rais wetu kwa upendo wako .
Beautiful gal so confident
So nice❤❤❤❤❤
Asante kwa rais Mungu akutangulie mbele
Nimeipenda hii mtoto hiyo ni baraka kubwa baadae jitunze utakuwa kiongozi mkubwa baadae mama hongera
Hakika inatia moyo watoto kutamani urais. Tuwatie moyo
Hogera san 🎉
%%nakukubari sana %%%5 tena mama inakusu.umefanya mamba mengi mazuri kwa nchi yetu.akuna wa kupingana.nawewe.mama yetu kipenzi cha watanzania na duniani kwa ujmla mungu.akupe maisha malefu mama.
Unaupendo wa zati mama maisha marefu nakuombea kipenzi wamoyo wangu nakupend mm
Tido mhando ni mtu muhimu sana kwa taifa letu anautu Mungu azidi kumlinda mtu huyu tido mhando
Mungu amubariki sana
Daaah mpaka guz bam…aseee😊😊
Mbegu bora ilivyo panda na wazazi wake kuna wazazi awajua ku muomba mungu awalindie family zao na huku wakizilinda familia zao ukipenda family yako mungu ataipenda
Woooooow ❤️🥰🥰🥰🥰🥰
Extremely fabulous
Allah azidi kuiweka salama Tanzanie
Woow 🎉
saf nimeipenda sana hiyo
Waoooiih❤❤❤
My eyes where just shading tears,....... dear lord,if possible lets have president Georgia in the next years
Wonderful
Mau mengi kw mkuu wetu wa nchii unavitu vya kipekee mama 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mungu amjalie uzima afikie ndoto yake
Ubarikiwe Sana Mheshimiwa kumtia moyo mtoto sio dogo litawapa somo watoto kuwa mawazo Yao Yana nafasi tena tunawajali Inapendeza Ubarikiwe Sana Raisi Samia
Amen
Wao wao yapendeza sana.
This woman is extraordinary
Mtoto mwenyewe anaonekana maisha Bora sio Kama wakwetu
Huku Kenya jamaa wetu haezi fanya hilo..😂😂🤣🤣
Nice mma samia
Sikuzote mwanamke anauwezo wakufanya vitu adimu. Hongera mama samia
❤Mama wetu sote
Ohhh ❤
Dogo kawa Rais kwa muda kidogo
Nakupenda sana rais wangu
Masha Allah
Marshallah
Ubalikiwe sana mtoto
Hakika mama ww unastahili Kwa furaha nliyokuwa nayo mpaka machozi!🎉
Mungu na atimize ndoto za huyu mtoto🎉
Mungu na atimize ndoto za huyu mtoto🎉
Excerent
Good generation
Nyieee ma presidents wengine niwamalaiya alafu kuna wengine wako kama yuda duuuuuh🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Kina regina tuna bahat sana
Napenda
safi sana
Hii ni Ishara tayari ya kuwa kiongozi mkubwa huyu mtoto MUNGU aliye hai alitimeze hili