RUBANI MDOGO MTANZANIA ANAYERUSHA NDEGE AFUNGUKA CHANGAMOTO ALIZOKUTANA NAZO AFRIKA KUSINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 фев 2022
  • RUBANI MDOGO MTANZANIA ANAYERUSHA NDEGE ZA KIVITA AFUNGUKA CHANGAMOTO ALIZOKUTANA NAZO AFRIKA KUSINI
    Hivi karibuni tulikuletea simulizi ya Ndege ya kivita ya Ukraine, MiG-29 Fulcrum inayoongozwa na rubani aliyebatizwa jina la The Ghost of Kyiv (Mzimu wa Kyiv) ambayo ilikuwa gumzo.
    Ndege hiyi ilipata umaarufu mkubwa kutokana na oparesheni za kijeshi inazozifanya katika Jiji la Kyiv ambapo ilisemekana kuziangusha ndege sita za kivita za Urusi.
    Inaelezwa kwamba ndege sita za Urusi zilitunguliwa Februari 24, 2022 muda mfupi baada ya Urusi kuanza mashambulizi ya anga dhidi ya serikali ya Ukraine na kuanzia hapo, The Ghost of Kyiv amepata umaarufu mkubwa na kuungwa mkono na wananchi wengi wa Ukraine.
    Tukiachana na stori hiyo, turudi hapa Bongo na tukutane na simulizi nyingine ya binti Mtanzania mwenye umri mdogo ambaye anaweza kuendesha helkopa inayoweza kutumika kwenye vita.
    Huyu si mwingine bali ni luteni Usu Hasnat Akbar.
    Ni binti ambaye hivi karibuni alitunukiwa tuzo ya kuhitimu masomo yake ya urubani Afrika Kusini.
    Amesimulia changamoto alizokutana nazo pamoja na mambo mengine mengi. Karibu umsikilize….
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Комментарии • 42

  • @dorcasseruhere6875
    @dorcasseruhere6875 2 года назад +4

    Hongera sana na Mwenyezi Mungu akuongezee kujiamini na kazi iendelee.nakupa Big up.watunze wazazi wako

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 2 года назад +3

    Mashallah ALLAH barik

  • @bartondidas849
    @bartondidas849 Год назад +1

    hongera sana dear Mungu azidi kukubariki na kukuongoza

  • @magrethmollel1078
    @magrethmollel1078 2 года назад +2

    Hongera sana binti yetu we real proud about you

  • @joackimpeter6501
    @joackimpeter6501 2 года назад +1

    Ongera sana dada kazana utuwakilishe watanzania big up

  • @RonnieMchatta-pr5bd
    @RonnieMchatta-pr5bd 2 месяца назад +1

    Hongera sana dada keep it up

  • @SaidMkwabi-ho8yy
    @SaidMkwabi-ho8yy Месяц назад

    Hongerasana kwakweli mungu akusaidie najua utapitia mitihani mingi

  • @irenembisso1601
    @irenembisso1601 2 года назад +2

    Hongera Sana Asnat akbar

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 Год назад +1

    hongera mtt mzuri Mungu akusimamie lnshallha

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 года назад

    Mashallah, hongera sana mdogo wangu, 😘❤️

  • @mkanamc8341
    @mkanamc8341 2 года назад +2

    👏👏👏👏Never give up

  • @yusufkisome639
    @yusufkisome639 2 года назад +2

    Hongera Sana binti yetu

  • @saddamrashidmohmmedsaddamr7378
    @saddamrashidmohmmedsaddamr7378 2 года назад +1

    Nice

  • @mariasixmund7964
    @mariasixmund7964 2 года назад

    Hongera kwake

  • @RonnieMchatta-pr5bd
    @RonnieMchatta-pr5bd 2 месяца назад

    Very good

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 2 года назад

    Hongera sana

  • @faridaaloyce7672
    @faridaaloyce7672 2 года назад

    Hongera dada

  • @yusuphkassimu227
    @yusuphkassimu227 2 года назад +8

    Ni jambo la kawaida sana kwani urubani hata kijana wa kdato cha nne anasoma tatizo ni kwamba unapataje nafasi kama auna mtu kwenye mfumo .

    • @romanambelle6356
      @romanambelle6356 2 года назад +2

      Mpe hongera mbona kama unalalamika kwa wivu

    • @magrethmollel1078
      @magrethmollel1078 2 года назад +1

      Kama ni jambo la kawaida mabinti wooooote wangekuwa huko pamoja na wewe mpe mtoto wa mwenzio hongera na wakwako atafanikiwa

    • @yusuphkassimu227
      @yusuphkassimu227 2 года назад +2

      @@magrethmollel1078 Hyo fani tatizo garama za malipo tu ni makubwa lakini akuna cha ajabu kwenye urubani jaribu kufatilia uone tatizo wandishi wa bongo wamechukulia kama kitu cha ajabu sana ndio nacho Pinga .

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 Месяц назад

      ​@@yusuphkassimu227urubani una vitu vingi, masuala ya kusema hakuna cha ajab ni kelele za tembo, otherwise kila mtu nchi hii angekuwa rubani

  • @alfamweta9922
    @alfamweta9922 Месяц назад

    Salut dada

  • @prefectalex9397
    @prefectalex9397 Год назад +1

    ONGERA SANA...........ADAA HAPO SH GAPI

  • @vintz338
    @vintz338 2 года назад +7

    Huna connection undeshe ndege ya Nan? Endesha ungo wako msumbuane huko mtaani. Kunawatoto huku mtaani ni talented had unaumia ,hawana exposure tu,Ila fresh ...watu wa kawaida huku mtaani ndo wanaolewa

    • @benitoilulatvpilla144
      @benitoilulatvpilla144 2 года назад

      Keel big

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 Месяц назад

      Haina connection, kwa jeshi la wananchi kama una vigezo wanavyotaka wanakupeleka kozi wenyewe

  • @user-fx2gx6fo1e
    @user-fx2gx6fo1e Месяц назад

    Daaah tulikua wote pale TMA monduli

  • @user-pt3io6ud2h
    @user-pt3io6ud2h Месяц назад

    Sasa siamna vita..

  • @Jr_gavana
    @Jr_gavana 2 года назад +1

    Bongo bwana

  • @edgarnandonde48
    @edgarnandonde48 2 года назад +1

    wabongo bhana sasa huyu helkopta yule wa uganda anayesukuma ndege kubwa mbona awajisifii hivi dah😂😂😂😂😃😃😃😃

    • @Thomas-lm1dq
      @Thomas-lm1dq Месяц назад

      Hivi unajua license ya ATPL na CPL au unaropoka tu.
      Huyo anaweza kurusha ndege kubw kabisa ya abiria.
      Fuatilia hizo kozi za leseni za urubani alizosema zina kuwezesha kurusha ndege gani. Siyo helicopter (hovercraft) pekee.

  • @justinemico1871
    @justinemico1871 2 года назад +2

    Hii nchi bwana kama huna watu wewe wahi shamba lako tu huko kijijini. Watu hata salute tu hamna kitu .

    • @faridamohamed4677
      @faridamohamed4677 2 года назад

      Hongera binti wa Rashid Ajali Akbaru .mmefanana sana baba Allah amrehem

    • @dodwiedwin3944
      @dodwiedwin3944 2 года назад

      Kwa hiyo ulitaka akusaluti ww!

  • @mdosephayta8075
    @mdosephayta8075 Месяц назад

    😂😂😂ebwana eeeh atakayesema bongo bahati mbaya mpige makofi

    • @malitomalito
      @malitomalito 27 дней назад

      Bongo sio Bahati mbaya viongozi ndio Bahati mbaya

  • @muhammadjuma8457
    @muhammadjuma8457 Месяц назад

    Gost sio mtu icho ni kikosi maalum cha jeshi huku ukreni kinaitwa ivo na sio mtu

  • @mongosimon2065
    @mongosimon2065 Месяц назад

    Vp

  • @samlove6339
    @samlove6339 2 года назад

    Kabinti kazuri

  • @sebastianmwantuge5597
    @sebastianmwantuge5597 2 года назад

    Nani kamwona yule dada corporal,nimemfurahia anavyo'match'

    • @user-ui1qs9yl1n
      @user-ui1qs9yl1n Месяц назад

      Nimemuona mzee na anabeba mzigo nyuma kinomanoma