Asma Jamida hakuwaacha watu salama kwa vicheko - CHEKA Plus TV
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2025
- UZINDUZI WA @chekaplustv CH 414: Huyu hapa Asma mwenyewe akisema ameamua kujidhalilisha hakuna namna 😂
Endelea kufuatilia LIVE #UTV108
#ChekaTu #ChekaTu414 #ChekaTuPlus #ChekaPlusTV
Wewe ni zaidi ya comedian mungu akubariki sana
Huyu dada mbali na sanaa pia ni msafi sana nyumbani
Niliobahatika kwenda kwake ubungo duuu
Ni mke bora sana
Mwenyezi Mungu amsaidie mrembo huyo ❤
Unaweza sana dada❤❤❤
Jitahidi kutafuta content nzuri zaidi mamiii
Je ?unaweza kuwa mwalimu labda wa kufundidha coment nzuri ?mm niliona huyo anaesema hajacheka basi huwa si wakucheka huwenda ww ni wa upande wa pili ,kulia ,kama coment zake za kudharau alichofanya mwenzake ,wakati yule wameona kipaji kwako ,yy kaona hamna ,
huyu dada ana chekesha sana
monyewe yuko siriazi👨👨👧👦😂😂
Ujui
Hivi watu mnazani kufany mtu acheke ni kazi rahisii eeh mumpe heshima yake anajitahid 🙌
Watu wengi hawamuelewagi huyu dada tuta mmis sana martha dah😢
Hivi uyu dada yupo single mm nampenda
Hachekeshi bwana 😂😂
Jaman huyu si mchekeshaji hamna kitu hapa
Yan kwa wadad wanao chekesha namkubali neira yukovizur🎉
Mie huyu huwa smueleww 😂😂 utadhan yupo kwesemina
Penda shana❤❤ asm
😊pensi la Arsenal
😂😂esma bhana 😂
she is learning
Et pensi ya Arsenal!😊😅😂😂😂😂🎉
Yaani uliyo ongea sio vichekesho bali umeonyesha tofauti ya wanawake wa zaman na wanawake nyny....
Jiulizeni zaman na sasa ubora wenu upo wap
Hahhaha wanajiaminiiii sana anapambana
😂😂
Rangi ya nguo tumboni imefanana na Ngozi.
Ila yote kwa yote anapambana
Hiyo ndo point anapamban
Unajuw dada pambana bila sisi hainog dunia
😂😂😂pensi ya Arsenal
Wewe🎉🎉🎉🎉🎉
Hakuna mchekeshaji hapo n kuuza sura tu
Kama hakuchekeshi inakuwaje kwa mfano ,jitekenye mwenyewe halafu utacheka ,acha kudharau kazi za watu ,labda ww huwa si mchekaji labda ww ni wa kulia tuu ,atakusaidiaje?ushauri usiangalie wala kufika walipo na kuchekesha tulia home
Mmmm labda kama ndugu yako ila ukweli aambiwe sasa hapo kachekesha nin jamani aaa kuwa serious dada anapo ambiwa ni vizuri ajifunze zaidi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ww ushariwa na ndugu zako tu?nionavyo mm kama sina point basi unaacha wengine wacoment ,siyo kuanza kumuelezea huwa hachekeshe but wengine wamecheka ?acha uswahili
Kbsa kbsa
Hakuna kitu.
Why arsenal
😂😂😂😂😂😂😂 da
Anachekesha kwa kutoa ujumbe yuko vizur atafika mbal.. hapo kwenye wanawake wa zaman na wasasa amenibariki😂
huyu anapiga stori lakini hachekeshi hajui kuchekesha
hata nyiny hamtoboi . tutaish kwa kutegemeana hvohvo hata mama awape madaraka gan
😂😂😂😂😂😂
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
Hata wakuponde usiwatizame.matahira haooo
Huyu hajui kitu kelele mingi tu
KAONGEA PUMBA
Hii situation ngumu sana.. unaongea halafu mtu anakatisha mbele yako
HAKUNA KITU HAPO
Utakula ndo ule au ule ndo utakula
Huh, I br
Tina yuko wapi jaman huyu simwelewi😢
hawa wa 21century ni balaa
Huyu dada hata huwa hanichekeshi ovyooo
Mimi pia nikama ana force jmn sio talent yake😊😊😊Ana mapozi kama yote
Umeona eeeh nikajua peke yangu
hata mimi sielewi elewi
Acheni ujinga asingefika hapo Kama hachekesh Kama unafikili nijambo rahisi kuchekesha vichwa vyenye stress namaisha nirahisii kajaribu hata kwa familia yako😁😁😁
Cjui mimate imemjaa kinywani
Sasa nd uvae uchi ,nd hao wanawak wa leo hawana hayaa
Mwenzetu una jicho gani haya huo uchi uko wapi hapo😅
Ahahaaa jmn hajavaa Uchi lol
Hajava uchi ni kitamba Changuo kina fanana na mwili
Uchi 😂😂😂 mbna me sijauona
Ongera
Sasa hapo kachekesha nini sasa kavamia tasnia ya uchekeshaji
Yan sijaona hata mm
Ndio maana hata ww hujistri
Yani ww ulichukua nafas za wàchekeshaj waliopigwa chin na hauna kipaj cha uchekeshajjjj
Anatafuta bwana
Mbona Azam mnazingua nikiweka earpords hua zinapiga upande moja tu sauti mnaweka vibaya hizo mnaweka left tu
tafta ela
Walikuwa wanajisitiri miili yao wameficha mbona wewe uko uchi?
Hana maana huyo dada kama yuko uchi hivyo
Washamba kama ww utawajua tu,,tuliza komwe fashion huzijui
Kwanza huon kitambaa kile sio ngozi
Asante kwa hilo pia
Saiv unyama
Dunia bila wanawake au wamama ni kwl wanaume tupo kwenye changamoto...
Lkn kw wanawake nyinyi umnavyo Kosa haya twaweza ishi bila nyiny
@@HassanSadiki-l5caaaaaaah thubutu huwezi br
Tuombeanen her jmn tuach ubinafs na wivu
Utopolo2 hapo hamna mtu
Mbona mavazi ya kutamanisha ss unavuna magunia ya zambi shauriyoo!!!!!
ACHA TAMAA
Jamani watz acheni ushamba hiyo nguo kitambaa chake ni rangi ya mwili hapo mnadhani ni tumbo lake
Kweli binadamu ni shida SI ameeka kitambaa kinachoendana na rangi yake hapo tumboni
Hayupo uchi jaman uwii🙌🙌
Uko poa
Hivi uyu dada yupo single mm nampenda