Asma Jamida hakuwaacha watu salama kwa vicheko - CHEKA Plus TV

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025
  • UZINDUZI WA @chekaplustv CH 414: Huyu hapa Asma mwenyewe akisema ameamua kujidhalilisha hakuna namna 😂
    Endelea kufuatilia LIVE #UTV108
    #ChekaTu #ChekaTu414 #ChekaTuPlus #ChekaPlusTV

Комментарии • 94

  • @EricMdute
    @EricMdute 2 месяца назад

    Wewe ni zaidi ya comedian mungu akubariki sana

  • @JAMESPAULO-o5z
    @JAMESPAULO-o5z 4 месяца назад

    Huyu dada mbali na sanaa pia ni msafi sana nyumbani
    Niliobahatika kwenda kwake ubungo duuu
    Ni mke bora sana
    Mwenyezi Mungu amsaidie mrembo huyo ❤

  • @TatuMabula
    @TatuMabula 2 месяца назад

    Unaweza sana dada❤❤❤

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior 8 месяцев назад +8

    Jitahidi kutafuta content nzuri zaidi mamiii

    • @elizabethmakaranga218
      @elizabethmakaranga218 8 месяцев назад

      Je ?unaweza kuwa mwalimu labda wa kufundidha coment nzuri ?mm niliona huyo anaesema hajacheka basi huwa si wakucheka huwenda ww ni wa upande wa pili ,kulia ,kama coment zake za kudharau alichofanya mwenzake ,wakati yule wameona kipaji kwako ,yy kaona hamna ,

  • @Dorambembela
    @Dorambembela 2 месяца назад

    huyu dada ana chekesha sana
    monyewe yuko siriazi👨‍👨‍👧‍👦😂😂

  • @HassanAbasi-q9o
    @HassanAbasi-q9o 8 месяцев назад +3

    Ujui

  • @Ramlatshabani
    @Ramlatshabani 7 месяцев назад +4

    Hivi watu mnazani kufany mtu acheke ni kazi rahisii eeh mumpe heshima yake anajitahid 🙌

  • @ReylaMalambo-qy6ei
    @ReylaMalambo-qy6ei 8 месяцев назад +5

    Watu wengi hawamuelewagi huyu dada tuta mmis sana martha dah😢

  • @MgoelaShoka
    @MgoelaShoka 8 месяцев назад +2

    Hivi uyu dada yupo single mm nampenda

  • @SuzanaJames-v3y
    @SuzanaJames-v3y 2 месяца назад

    Hachekeshi bwana 😂😂

  • @tullymgogo6167
    @tullymgogo6167 8 месяцев назад +6

    Jaman huyu si mchekeshaji hamna kitu hapa

  • @AishaGor
    @AishaGor 4 месяца назад +1

    Yan kwa wadad wanao chekesha namkubali neira yukovizur🎉

  • @KhalidNa-bn4gp
    @KhalidNa-bn4gp 8 месяцев назад +1

    Mie huyu huwa smueleww 😂😂 utadhan yupo kwesemina

  • @DorineLukas-c2l
    @DorineLukas-c2l 5 месяцев назад

    Penda shana❤❤ asm

  • @pyelesyamwakatika540
    @pyelesyamwakatika540 8 месяцев назад +2

    😊pensi la Arsenal

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 8 месяцев назад

    😂😂esma bhana 😂

  • @abdallanassor4866
    @abdallanassor4866 8 месяцев назад +1

    she is learning

  • @mwafrikabarz4507
    @mwafrikabarz4507 6 месяцев назад +1

    Et pensi ya Arsenal!😊😅😂😂😂😂🎉

  • @HassanSadiki-l5c
    @HassanSadiki-l5c 8 месяцев назад +3

    Yaani uliyo ongea sio vichekesho bali umeonyesha tofauti ya wanawake wa zaman na wanawake nyny....
    Jiulizeni zaman na sasa ubora wenu upo wap

  • @sarahmambali2554
    @sarahmambali2554 8 месяцев назад +1

    Hahhaha wanajiaminiiii sana anapambana
    😂😂
    Rangi ya nguo tumboni imefanana na Ngozi.
    Ila yote kwa yote anapambana

  • @雄太-f1j
    @雄太-f1j 8 месяцев назад +2

    Unajuw dada pambana bila sisi hainog dunia

  • @magrethmalobola5470
    @magrethmalobola5470 8 месяцев назад +1

    😂😂😂pensi ya Arsenal

  • @yoshuapaul8300
    @yoshuapaul8300 8 месяцев назад

    Wewe🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Mtaalam_stan
    @Mtaalam_stan 3 месяца назад +2

    Hakuna mchekeshaji hapo n kuuza sura tu

  • @elizabethmakaranga218
    @elizabethmakaranga218 8 месяцев назад +13

    Kama hakuchekeshi inakuwaje kwa mfano ,jitekenye mwenyewe halafu utacheka ,acha kudharau kazi za watu ,labda ww huwa si mchekaji labda ww ni wa kulia tuu ,atakusaidiaje?ushauri usiangalie wala kufika walipo na kuchekesha tulia home

    • @imeldanziku9804
      @imeldanziku9804 8 месяцев назад

      Mmmm labda kama ndugu yako ila ukweli aambiwe sasa hapo kachekesha nin jamani aaa kuwa serious dada anapo ambiwa ni vizuri ajifunze zaidi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @elizabethmakaranga218
      @elizabethmakaranga218 8 месяцев назад

      Ww ushariwa na ndugu zako tu?nionavyo mm kama sina point basi unaacha wengine wacoment ,siyo kuanza kumuelezea huwa hachekeshe but wengine wamecheka ?acha uswahili

    • @rogersmsafiri9887
      @rogersmsafiri9887 8 месяцев назад

      Kbsa kbsa

  • @dripboymedia6032
    @dripboymedia6032 5 месяцев назад +1

    Hakuna kitu.

  • @LovenessDivai
    @LovenessDivai 8 месяцев назад +1

    Why arsenal

  • @vanessastafford6426
    @vanessastafford6426 7 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂😂 da

  • @VictorJohn-fu7ch
    @VictorJohn-fu7ch 7 месяцев назад

    Anachekesha kwa kutoa ujumbe yuko vizur atafika mbal.. hapo kwenye wanawake wa zaman na wasasa amenibariki😂

  • @Mayasa-o2w
    @Mayasa-o2w 5 месяцев назад +2

    huyu anapiga stori lakini hachekeshi hajui kuchekesha

  • @rockysanga6990
    @rockysanga6990 7 месяцев назад +3

    hata nyiny hamtoboi . tutaish kwa kutegemeana hvohvo hata mama awape madaraka gan

  • @AmirHk-mh1xc
    @AmirHk-mh1xc 8 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂😂

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 8 месяцев назад +1

    😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆

  • @graceedasalemba8962
    @graceedasalemba8962 2 месяца назад

    Hata wakuponde usiwatizame.matahira haooo

  • @officialrashrayz4140
    @officialrashrayz4140 8 месяцев назад +2

    Huyu hajui kitu kelele mingi tu

  • @chicharito4201
    @chicharito4201 8 месяцев назад +5

    KAONGEA PUMBA

    • @mapheneino
      @mapheneino 8 месяцев назад

      Hii situation ngumu sana.. unaongea halafu mtu anakatisha mbele yako

  • @eunho9529
    @eunho9529 7 месяцев назад +2

    HAKUNA KITU HAPO

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 8 месяцев назад +1

    Utakula ndo ule au ule ndo utakula

  • @nahimanaqueen6340
    @nahimanaqueen6340 7 месяцев назад

    Huh, I br

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 8 месяцев назад

    Tina yuko wapi jaman huyu simwelewi😢

  • @sabatoager
    @sabatoager 2 месяца назад

    hawa wa 21century ni balaa

  • @HamisiForogo
    @HamisiForogo 8 месяцев назад +25

    Huyu dada hata huwa hanichekeshi ovyooo

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 8 месяцев назад +6

      Mimi pia nikama ana force jmn sio talent yake😊😊😊Ana mapozi kama yote

    • @emmylizzo8220
      @emmylizzo8220 8 месяцев назад +2

      Umeona eeeh nikajua peke yangu

    • @shadracknyese3307
      @shadracknyese3307 8 месяцев назад +1

      hata mimi sielewi elewi

    • @nekiboychannel678
      @nekiboychannel678 8 месяцев назад +10

      Acheni ujinga asingefika hapo Kama hachekesh Kama unafikili nijambo rahisi kuchekesha vichwa vyenye stress namaisha nirahisii kajaribu hata kwa familia yako😁😁😁

    • @marefuclassic8911
      @marefuclassic8911 8 месяцев назад +1

      Cjui mimate imemjaa kinywani

  • @zaynaothman6505
    @zaynaothman6505 8 месяцев назад +2

    Sasa nd uvae uchi ,nd hao wanawak wa leo hawana hayaa

    • @ashurajuma4837
      @ashurajuma4837 8 месяцев назад +1

      Mwenzetu una jicho gani haya huo uchi uko wapi hapo😅

    • @khadijatirionaire2510
      @khadijatirionaire2510 8 месяцев назад

      Ahahaaa jmn hajavaa Uchi lol

    • @oman1oman179
      @oman1oman179 8 месяцев назад +1

      Hajava uchi ni kitamba Changuo kina fanana na mwili

    • @Ramlatshabani
      @Ramlatshabani 7 месяцев назад

      Uchi 😂😂😂 mbna me sijauona

  • @VailethRobert-xb8jt
    @VailethRobert-xb8jt 7 месяцев назад

    Ongera

  • @nuhumhagama2132
    @nuhumhagama2132 8 месяцев назад +1

    Sasa hapo kachekesha nini sasa kavamia tasnia ya uchekeshaji

  • @abdulswamadfakih7327
    @abdulswamadfakih7327 8 месяцев назад +1

    Ndio maana hata ww hujistri

  • @ashrafadam4629
    @ashrafadam4629 8 месяцев назад

    Yani ww ulichukua nafas za wàchekeshaj waliopigwa chin na hauna kipaj cha uchekeshajjjj

  • @iddyjuma8036
    @iddyjuma8036 8 месяцев назад +4

    Anatafuta bwana

  • @Xuxu-f7j
    @Xuxu-f7j 8 месяцев назад +3

    Mbona Azam mnazingua nikiweka earpords hua zinapiga upande moja tu sauti mnaweka vibaya hizo mnaweka left tu

  • @SakinaMasindi-r1c
    @SakinaMasindi-r1c 3 месяца назад

    Walikuwa wanajisitiri miili yao wameficha mbona wewe uko uchi?

  • @shabanihugo8332
    @shabanihugo8332 8 месяцев назад +2

    Hana maana huyo dada kama yuko uchi hivyo

  • @ImmaThelonewolf-bk2cx
    @ImmaThelonewolf-bk2cx 8 месяцев назад +1

    Saiv unyama

    • @HassanSadiki-l5c
      @HassanSadiki-l5c 8 месяцев назад

      Dunia bila wanawake au wamama ni kwl wanaume tupo kwenye changamoto...
      Lkn kw wanawake nyinyi umnavyo Kosa haya twaweza ishi bila nyiny

    • @matrida.lunyilija5196
      @matrida.lunyilija5196 8 месяцев назад

      ​@@HassanSadiki-l5caaaaaaah thubutu huwezi br

  • @KibibiRajabuu
    @KibibiRajabuu 7 месяцев назад +1

    Tuombeanen her jmn tuach ubinafs na wivu

  • @ElishaLupimo-jd4mf
    @ElishaLupimo-jd4mf 7 месяцев назад +2

    Utopolo2 hapo hamna mtu

  • @MkungwaNgwarumbwa
    @MkungwaNgwarumbwa 8 месяцев назад +1

    Mbona mavazi ya kutamanisha ss unavuna magunia ya zambi shauriyoo!!!!!

    • @whatif..6961
      @whatif..6961 8 месяцев назад

      ACHA TAMAA

    • @OkwSunz
      @OkwSunz 8 месяцев назад +5

      Jamani watz acheni ushamba hiyo nguo kitambaa chake ni rangi ya mwili hapo mnadhani ni tumbo lake

    • @hildachiboti6080
      @hildachiboti6080 8 месяцев назад +2

      Kweli binadamu ni shida SI ameeka kitambaa kinachoendana na rangi yake hapo tumboni

    • @rehemajoseph-ng9gv
      @rehemajoseph-ng9gv 8 месяцев назад

      Hayupo uchi jaman uwii🙌🙌

  • @OmaryAlly-ku5le
    @OmaryAlly-ku5le 8 месяцев назад

    Uko poa

  • @MgoelaShoka
    @MgoelaShoka 8 месяцев назад +3

    Hivi uyu dada yupo single mm nampenda