PART 2: KILA NIKIKUMBUKA/ NALIA SANA/ WALINIKATISHA TAMAA/MAMA YANGU/KIMBILIO LANGU - LULU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Exclusive Interview ya Elizabeth Michael kwenye KASRI LA KIKEKE, SALIM KIKEKE, TEMIDAYO NA SARAKIKYA.
    Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: www.facebook.c...
    TIKTOK:
    www.tiktok.com...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Комментарии • 193

  • @magrethmalobola5470
    @magrethmalobola5470 3 месяца назад +78

    Huyu dada anajua sana kujieleza...mpaka raha kumsikiliza ety❤

  • @christopherjoseph9981
    @christopherjoseph9981 3 месяца назад +33

    This young lady is very good in interview!anajua sana kujieleza!Namfuatiliaga sana interview zake!anaeza sana sana kujieleza

    • @gonsalvamswaga6471
      @gonsalvamswaga6471 3 месяца назад +2

      sababu nahisi a fake maisha anaongea uhalisia wake

    • @lucykristensen7145
      @lucykristensen7145 2 месяца назад

      Hicho kingeraza mbona hazieleweki?😂😂😂

  • @FaudhiaMohamed-m1t
    @FaudhiaMohamed-m1t 2 месяца назад +13

    Mungu ndio kila kitu ndugu yangu lulu hujakosea🙏Salim kikeke hongera sana kaka unaipenda sana kazi yako allah akutangulie ktk maisha yako yote na akujaalie mwisho mwema inshaallah 😘🙏

  • @lucymoshi6866
    @lucymoshi6866 2 месяца назад +12

    Mwanangu Mungu akunyanyue mwanangu ulitaka kupoteza ukarudi kwa kasi kuliko waliokucheka big up mamy I pay for u 2

  • @florabuzoya3948
    @florabuzoya3948 3 месяца назад +32

    Hongera sana Lulu, Kwa Sala ,Sala,Maombi hayaendi bure pia ni Akiba,Hakika Ukimlilia Mungu anajibu🙏🏿Hongera kwa Hekima uliyonayo pia Hongera kwa Kumtegemea na Kumuweka Mungu wa Kwanza,Wewe ni Mshindi.

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 2 месяца назад +11

    MSANII NAMBA ONE ANAEJUA KUJIELEZEA❤❤NAMPENDA AKICHEKA LULU😂😂😂MAJIZO KAPATA MKE.HESHIMU NDOA YKO ,LEA WANAO FANYA KAZI.KUDANGA KUMEPITWA NA WAKATI.hii style kila week song za dini na dunia ni mie dadaako nko ivo kwa my car😂😂😂😂enjoy eliza wangu.ila sku nyingi suka rasta au weka wigi lisiloonekana ka wigi luv uuuuuuuuuuu

  • @3sixtv140
    @3sixtv140 2 месяца назад +23

    afu kuna huyu dada mtangazaji, mkimya, maswali mazuri, sauti nzuri yeye mwenyewe mzuri to cut a long story short ni mtangazaji mzuri.

  • @nurumichael2554
    @nurumichael2554 3 месяца назад +9

    Umebalikiwa sana na Mungu,Nimejifunza mengi.

  • @ellenpendamani6069
    @ellenpendamani6069 2 месяца назад +2

    Lulu Lulu Lulu nakuita ..you are just the best ..n this is point of my view..just Go ..May God Bless you.

  • @salomemkilima5732
    @salomemkilima5732 2 месяца назад +7

    Ila kikeke wewe ni mwandishi international hongera sana sana sana upo vizuri kwenye kuhoji unahoji kama upo BBC vile no kiswanglishi kaka yangu.

    • @betymgaya-p9l
      @betymgaya-p9l Месяц назад +1

      Yaaani hadi rahaa napenda saaana mtu anaeongea kiswahili kuliko kumtukuza mzungu

  • @ireneboniventure7434
    @ireneboniventure7434 3 месяца назад +20

    She's too smart , yani too much smartness

  • @johanjoha5262
    @johanjoha5262 3 месяца назад +12

    Dada napendaga Interviews zake
    Amenenepa amependeza sana

  • @PerfectJbo03
    @PerfectJbo03 3 месяца назад +17

    Tunakuelewa Sana Madame Lulu National

  • @SabrinaAhmad-q8z
    @SabrinaAhmad-q8z 2 месяца назад +3

    Nilikuwa nampenda Lulu mpk nilienda itv kweny kipindi cha ITV cha watoto wetu kumuona nilikua sikosi kipindi chake chcht kweny TV.❤😊

  • @HellenElias-q7f
    @HellenElias-q7f 2 месяца назад +1

    Yaan hachoshi kumsikiliza maan anaongea Good points 👏 big up kipenz Mungu Azidi kukupa maisha marefu tuzidi kupata Nondooo ❤❤

  • @yjkbcdghjb
    @yjkbcdghjb 3 месяца назад +6

    Mungu lazima akusaidie maana unajua kumtangaza ambacho ni kitu kizuri sana. Wengi sana walilia na ww hasa ile kesi mimi mwenyew nilikaa nikalia sana huku nasali 😢. Namuomba Mungu anipe hekima na ujasiri Kama wako. Nasubiria kipindi cha oprah. Lastly kikeke uko vizur sana

  • @mussabendera1751
    @mussabendera1751 2 месяца назад +2

    She is my best actress of all time in Tanzania

  • @stevenndossi
    @stevenndossi 3 месяца назад +58

    Kikeke anajua san huwez amin amekaa nje zaid ya miak 20 lakn hachanganyi lugha na ana huo uwez aisee hongera kwake anajua san

    • @danielmllay8332
      @danielmllay8332 3 месяца назад +2

      Umeonae 👏👏👏

    • @veridianacharles4511
      @veridianacharles4511 2 месяца назад +4

      Kwa sababu alikuwa anatumia lugha moja kwenye kufanya kazi yake

    • @AngelAfric
      @AngelAfric 2 месяца назад

      But wabongo hapahapa wanachanganya lugha 😂 sijui wapoje

    • @godlema6104
      @godlema6104 Месяц назад

      Kabisa

  • @gracejjanuary414
    @gracejjanuary414 2 месяца назад +2

    Umeweza kubeba mambo makubwa kwa umri mdogo
    Mungu akuinue ❤Nakupenda

  • @BintyJumaOg
    @BintyJumaOg 2 месяца назад +3

    My favorite actor❤

  • @besthonney3232
    @besthonney3232 3 месяца назад +5

    YOU ARE CHOOSEN ONE
    BIG UP MY SISTRE

  • @kilalomaerlymauya6632
    @kilalomaerlymauya6632 2 месяца назад +4

    sema lulu anajielewa sana ni creatable

  • @salmachuwa5147
    @salmachuwa5147 2 месяца назад

    Love youuuu more lulu upo na upeo wajuuu Ustaaa hujawahi kukubadili Tabia yako live long mdogo wangu

  • @siphifahashimu9723
    @siphifahashimu9723 14 дней назад

    AKILI KUBWAA ndani ya BONGO MOVIE❤❤❤❤ LULU

  • @FeywisNoel
    @FeywisNoel 2 месяца назад +4

    Apewe uongozi serikalin km jokate anaakili sana na anamaelezo yaliyonyooka,,,, everything is on spot. 🎉 sichokag kumsikiliza kabsa

  • @yasintayasinta1306
    @yasintayasinta1306 3 месяца назад +5

    Yani mimi uwanakupenda sana dada uaunaongeya poiti❤

  • @gloshyjm2375
    @gloshyjm2375 2 месяца назад

    This interview was so refreshing, goo girl 🔥🔥🔥 you are doing amazing for yourself

  • @jumamshana3417
    @jumamshana3417 3 месяца назад +4

    Nimefrahi kuona crown mnafatilia maoni yetu wadau kuweka logo kwenye mic zetu hongereni kwa Hilo pia..

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 3 месяца назад +10

    Dada anatema madini tuuu aisee kaka majizzo amepata mke haswaaaa

  • @salomemkilima5732
    @salomemkilima5732 2 месяца назад +6

    Lulu ana akili sana na anajua kujibu ukilinganisha umri wake na majibu anayo jibu anaonekana amekomaa na naamini akina monalisa wamemkomaza na ametulia.pia hongera sana sana unajua kuhoji wewe ni mwanahabari wa international.

  • @janethngowi1058
    @janethngowi1058 2 месяца назад +4

    Hapo kwenye coment za Lulu huwa napenda sana majibu yake

  • @leahsamwel1931
    @leahsamwel1931 2 месяца назад +5

    Tumpe lulu maua yake lakini tuwape watangazaji hawa wa crown media maua mengi tafadhali....hawa sasa ndo watangazaji yaaani studio imetulia maswali yanaulizwa wa kujibu anapata muda wa kujibu kwa ufasaha na muda mrefu. Sio wale wengine keleeeeeeeeeleeee😂😂

  • @Aziza-z4f
    @Aziza-z4f 3 месяца назад +1

    Mashaallah dd lulu nimejifuza kitu kwako🎉🎉🎉

  • @harrietsutta2568
    @harrietsutta2568 Месяц назад

    Daima Mungu hawezi kukuweka katika jambo ambalo hawezi kukutoa

  • @AishaSaid-yg1ou
    @AishaSaid-yg1ou 2 месяца назад

    Mash Allah lulu nampenda❤

  • @Verochanel123
    @Verochanel123 2 месяца назад

    I love this girl hongera sana ma g

  • @neemathomas2008
    @neemathomas2008 2 месяца назад +2

    ❤❤❤❤ nguvu ya maombi

  • @Binastlysh
    @Binastlysh 2 месяца назад

    This is the best interview ever

  • @GodfreyKarino
    @GodfreyKarino 3 месяца назад +7

    Mke mzuri lulu

  • @SamsonEzekiel-or9xc
    @SamsonEzekiel-or9xc 3 месяца назад +5

    Kiiingerezaaa bwana mbele ya kikeke usikute wanamcheki tu kikeke wala haongei mtaalamu

  • @rehemakilembe-e2x
    @rehemakilembe-e2x 2 месяца назад +2

    Unajua sana dada

  • @PreciousWisdom-v6j
    @PreciousWisdom-v6j 2 месяца назад

    Pendaaa sanaaa wewwewe Muumba akulinde 🎉

  • @MariaThomas-wm9iq
    @MariaThomas-wm9iq 3 месяца назад +4

    Napenda tabasamu la lulu😊

  • @elizabethjames6731
    @elizabethjames6731 2 месяца назад +1

    Big up lulu ❤

  • @TinaChaya-z4x
    @TinaChaya-z4x 2 месяца назад

    Kiukweli anakipaji na ana IQ kubwa sanaa. Nampenda sanaa huyu dada..

  • @charleskilian
    @charleskilian 2 месяца назад

    Hongera sana lulu

  • @julianajeremiah4353
    @julianajeremiah4353 3 месяца назад +4

    Lulu anaongeaga vzr Kina Mobeto hawamfikii

    • @lightnesschiwinga325
      @lightnesschiwinga325 3 месяца назад +1

      Kwan ww unamfikia😅😅😅😅😅wabongo bhn kisa unamchukia mobbeto😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @juliethmagezi3104
      @juliethmagezi3104 2 месяца назад

      Kipenzii naitwa Julieth Jeremiah Magezi

  • @bakarihussein3439
    @bakarihussein3439 3 месяца назад +5

    Mbona ampo live crown sport vp mnatuangusha

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 3 месяца назад +4

    Elizabeth mchaga kutoka Kijiji cha kirongo juu usseri rombo kilimanjaro

  • @bahatilyimo659
    @bahatilyimo659 2 месяца назад

    God loves you Lulu.

  • @nailaomar4810
    @nailaomar4810 3 месяца назад +5

    Mashaallah she's beautiful always❤

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 2 месяца назад +2

    Mim sijaona sababu yakuhojiwa mambo yaliopita kuhusu kanumba or sijui nini...kulikuwa hamna sababu ya kuongea mambo hayo...kwamana sio memory nzur

    • @arnhemzuid8885
      @arnhemzuid8885 2 месяца назад

      Kuna cha kujifunza lakini pia anapopata nafasi kama hii ataondoa ile guilty na pia atakuwa na ujasiri wa kuieleza jamii ukweli.

  • @salimgonda4457
    @salimgonda4457 2 месяца назад

    Mtangazaji wa kike.. #SautiTajika 👌

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA 3 месяца назад +6

    Kanajua kujieleza kadada

  • @daudasajile813
    @daudasajile813 3 месяца назад +2

    Great one❤

  • @salomemassawe-d7k
    @salomemassawe-d7k 2 месяца назад

    Salim ❤❤❤

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 2 месяца назад +1

    😂😂😂😂lulu ur so charming ❤❤❤

  • @ChristinaTipp
    @ChristinaTipp 2 месяца назад

    Una miaka mingp lulu wangu😘

  • @AsteriaMontgomery
    @AsteriaMontgomery 20 дней назад

    Kikeke Anajuwa rugha kuliko .lkn humuoni akimix mix kweli waswahili noma

  • @jacquelinemwakasala9563
    @jacquelinemwakasala9563 3 месяца назад +5

    Eventually umerudia hili neno madame

    • @happysangi6847
      @happysangi6847 2 месяца назад

      Yani sio sahihi kurudia neno moja hivyo kwenye lugha

  • @siphifahashimu9723
    @siphifahashimu9723 14 дней назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @rehemakatundu7027
    @rehemakatundu7027 3 месяца назад

    #Elizabeth michael❤

  • @RaurentCasbeth
    @RaurentCasbeth 3 месяца назад +11

    ɴɪʟɪᴄʜᴏ ᴋɪᴘᴇɴᴅᴀ ᴋᴀᴍsʜɪᴋᴀ ᴍᴜɴɢᴜ ɴᴀ ᴋᴜᴊɪᴀᴍɪɴ

  • @joharijonasi5845
    @joharijonasi5845 Месяц назад

    Wee ni modo wangu

  • @restitutakisamo7607
    @restitutakisamo7607 3 месяца назад +2

    Kwa kweli huyo amekomaa kiakili sana,chezea mchaga wewe.

  • @kilwadreamsbeachresort9319
    @kilwadreamsbeachresort9319 3 месяца назад +1

    Hi Lulu naomba nikupe lulu wa miaka hiyo ni mtoto mzuri naweza kuigiza na kuimba

  • @uwasekanimba4115
    @uwasekanimba4115 3 месяца назад

    Turagukunda lulu ❤️🇺🇸🇷🇼

  • @vagashappnecy4850
    @vagashappnecy4850 2 месяца назад

    Bwana mimi nakapendaga sanaaaaaa

  • @CharlesMmari
    @CharlesMmari 2 месяца назад

    ❤❤❤

  • @ShaymaaMlanza
    @ShaymaaMlanza 3 месяца назад +1

    Kweli lulu ulikuwa unawachanganya watu ulipokuwa mdogo nakumbuka ikifka jmosi watu wanaacha kazi kuangalia runinga kaole lulu kidedea anita

  • @arnhemzuid8885
    @arnhemzuid8885 2 месяца назад

    Nyingi ni za kufikirika hazina uhalisi na jamii yetu.

  • @jukaelyelisha6311
    @jukaelyelisha6311 2 месяца назад

    Lulu MUNGU akutunze sana

  • @tatushija3775
    @tatushija3775 2 месяца назад

  • @Jordan-ov4yc
    @Jordan-ov4yc 3 месяца назад

    My young sister anajua kuigiza lulu ukifanya mpe chanc

  • @drusilaSumari
    @drusilaSumari 3 месяца назад +3

    Ebu nihojini na mm jamani Nina historian yangu😢

    • @Jasminadamu
      @Jasminadamu 2 месяца назад

      Tulie mpaka tuchakae😢

  • @emilegentil9538
    @emilegentil9538 3 месяца назад +1

    Moto😊

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle9288 3 месяца назад +2

    Lulu kichwa

  • @EufranciaManka
    @EufranciaManka 2 месяца назад +3

    Mama samia mpe huyu lulu ukuu wa mkoa

  • @agricolajoseph2017
    @agricolajoseph2017 2 месяца назад

    Lulu wewe ni mwimbaji maarufu kuliko hata tamthilia
    Imba Gospel utafika mbali zaidi pamoja na kwamba upo mbali.
    Ndiyo maneno yangu kila siku nasemaga LULU NI MWIMBAJI hata kama sikukufikia
    Ni mwimbaji maarufu imba imba imba kabisa.

  • @WemaMaeda
    @WemaMaeda 2 месяца назад

    Penda chana wewe mdada❤

  • @KhadijaShamusi
    @KhadijaShamusi 2 месяца назад

    Mungu akuntunze katka mikono salama,maana unajua saaana

  • @rkcomercialenterprises3209
    @rkcomercialenterprises3209 3 месяца назад +6

    Changanya lugha ni dalili ya kisomo finyo. Acheni hii tabia ni aibu kwa vijana wa taifa hili.

    • @Josiah_Miraji
      @Josiah_Miraji 3 месяца назад +2

      Kwani shida ipo wapi akichanganya lugha!? Ndio mana tuko nyuma sana kwenye lugha ya kiingereza wakenya hoyee

    • @EdnaMbowe
      @EdnaMbowe 3 месяца назад

      Ndio inanoga

    • @Bobhov
      @Bobhov 2 месяца назад

      Kweli, Yuko vizuri sana Binti angepata tu mtu wa kumwelewesha kwamba, Lugha huwa haichanganyi, Lakin namkubali sana mdada, Mungu aendelee Kua nae, 🎉

  • @lukandamizasimbi44
    @lukandamizasimbi44 2 месяца назад

    Doctor cheni ni mtu ambaye alikua na wewe bega kwa bega hilo nalijuwa vizuri sana

  • @gordiansoko9113
    @gordiansoko9113 3 месяца назад +4

    Wa-Tanzania na hususani hawa wasania kujifaragua na lugha ya kizungu ili waonekane ni wasomi ni ushamba tu unawatawala vichwa vyao.

  • @eliasthomas1547
    @eliasthomas1547 3 месяца назад +2

    Nimekuelewa momu gg.

  • @JosephMichael-z5y
    @JosephMichael-z5y 3 месяца назад +2

    Mapema tuuu

  • @rkcomercialenterprises3209
    @rkcomercialenterprises3209 3 месяца назад +3

    Kikeke toani somo hapo mnapofanya mahojiano. Changanya English na Kiswahili ni uboya

    • @nataemsuya
      @nataemsuya 3 месяца назад

      Yani sijawahi kuona mzungu Wa Europe kuchanganya lugha 2 ktk mahojiano🙂‍↔️

  • @Ufahamu-01
    @Ufahamu-01 3 месяца назад +1

    🎉

  • @happyalicko8571
    @happyalicko8571 2 месяца назад

    Kafupi lkn akili kibwa nakapendaaa

  • @eliashopeministriestanzani8033
    @eliashopeministriestanzani8033 2 месяца назад

    Lulu anajua kujieleza lkn namshauri achague lugha ya kutumia , kama English or Swahili,

  • @richardmbasha1411
    @richardmbasha1411 3 месяца назад +6

    Ukimuambia aongee tu english hawezi... ila tuswanglish miingi rubish

    • @abuumohamed7090
      @abuumohamed7090 3 месяца назад +2

      Mtoto wa kiume makasiriko ya nn au pungaa😂 she's the best.Be positive.Unampunguzia nn,nyau wee

    • @EdnaMbowe
      @EdnaMbowe 3 месяца назад

      @@abuumohamed7090👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

    • @irenemlay9104
      @irenemlay9104 2 месяца назад

      Ni stage towards perfection. Au asifanye ?

  • @rosejulius1916
    @rosejulius1916 2 месяца назад +1

    Wa rombo tupewe maua yetu😂

  • @majimototv5670
    @majimototv5670 3 месяца назад +2

    😮😮

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
    @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 3 месяца назад +3

    Kuna neno nimelisikia eventually ...limejirudia hilo

  • @DativaMbowe
    @DativaMbowe 3 месяца назад +2

    😂😂😂😂😂 Lulu 🎉🎉🎉🎉

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 2 месяца назад +1

    Majizo aliona kitu

  • @zuwenazuwena7764
    @zuwenazuwena7764 3 месяца назад

    Mashallah kwenda kwenye radio ya ex wake good job lulu

  • @alhamdullilla5108
    @alhamdullilla5108 2 месяца назад

    Kwa sura gani ulikuwa nayoooo 😅😅😅😅 paka watu wanakukumbatia wanakulia kwa uzuri gani ulikuwa naooo ww 😅😅😅😅

  • @arnhemzuid8885
    @arnhemzuid8885 2 месяца назад

    Sikuwahi kumlaumu Lulu wa wakati ule kwani muda wote niliamini ni mtoto aliyehitaji si kuongozwa tu bali pia kulindwa. Nililaumu KAOLE kwa kushindwa kumlinda. hawakumlinda

  • @latifagogola1863
    @latifagogola1863 3 месяца назад +1

    Hivi eventually maana yake nini

    • @Mtoto-ig5vw
      @Mtoto-ig5vw 2 месяца назад +1

      Hatimaye😂😂😂😂