Hivi siku hizi kuna manabii 😮 hamna cha unabii hapo ni matapeli ni kutaka kujitajirisha kupitia sadaka za watanzania masikini , na hii habari mbona haina public interest 😅
@@neemaneychricious6493 mpuuzi wewe unataka kusikia unavyotaka kusikia wewe , unafikiri watu wote ni masikini mimi siko kwenye kundi la watu masikini uko nilishatoka miaka kibao
@@bless.2559 waongo hawa wanafiki hamna watu wanafiki kama hawa wahuni tu huyo demu wa nabii feki ameshiriki miss ingawa ni mbaya mara fashioni Na nguo Na mitindo yote mambo ya kidunia wanafiki tu
Wakati huo tulikuwa na sarafu ya Afrika Mashariki iliyokuwa inatolewa na East African Currency Board na zilikuwa na Malkia wa Uingereza. Sarafu ya Tanzania ilianza kutolewa 1966 baada ya kuanzishwa Benki Kuu ya Tanzania (BOT)
Mwenye Nacho Ataongezewa Masikini Hata Kidogo Alicho Nacho Atanyang'anywa Uzeni Mashati Mkanunue Mapanga Kwamana Mmewekwa Katikati Kwa Watenda Zambi Inamana Tafuta Pesa Uzidishiwe
Umaskini wa pesa ni jambo la kwanza halafu jambo baya zaidi ni umaskini wa akili Tena pale usipojua Kuna mipaka mingine ya kumuacha MUNGU ashughulike nayo maNa yeye ndio ana kurasa kila mtu
Huyu kibonge itakuwa anataka kitonga cha kula sadaka yaani Arusha kuna pisi kali kwenda kuoa mwanamke mbaya sana sura mbaya hata vimiguu kama vibiriti au spoki usafiri mbovu kabisa! Mbona huyo mke wake huyo mwanamke sura ni mbaya sana yaani hata baba yake ana sura nzuri , au mke wa nabii ni mbaya sana kama mke wa nabii ni mzuri ina maana nabii amepigwa kwa huyo mtoto au ni mtoto wake wa kufikia? 😅😅😅😅
Duu hata kama ni chuki sio hivi. Unaweza kunyamaza tu kuliko kuandika chuki wazi wazi hivi. Laiti kama tungekuwa tunaweza sura zetu sidhani kama ungeandika hivi.
@@odilomwemeziernest646 bro sio mimi niliemponda huyo dada ni yule jamaa pale juu. Mimi pia nimeshangaa sana kuona jamaa anamponda dada wa watu utadhania yeye ni malaika
@@josephjohn2114 mkuu Mimi wangu mzuri na siwezi kuwa Na demu mwenye sura ya baba yake au ya kiume huyo aliyeowa inaonekana alitaka kitonga cha maisha kupata hela za sadaka ! Tuwe ukweli Nani anataka kuwa kitandani na mwanamke mwenye sura ya kiume as if uko na mwanaume mwenzake kwa bed 🛌 that’s nightmare 😅😅😅😅🤣🤣🤣
Mungu atupe macho yakuwatambua mana kila mtu anajiita nabii. freemason wamepitia kwenye huduma ya mungu kuwapoteza watu wasiuone ufalme wa mungu
Mmmmh apo sasa,kweli mahari inafaa kuwa effort ana the extent to which you can go to acquire "her"as "your wife"
Kapigwa kichawi,,we shi 100 ya nyerere ikawe mahari?
Nabii wa wapi uyo malaya Monika alikua bikira hapana uyo alikua mke wa mke mtu
Hao manabii wengi wako kwenye Chama cha blaki kadi usoni wa naweka sura ya unabii
Jamaa mbona anarembuwa
Nabii kutokea wapi hao na matapeli tu 😂
Upuuuz mtupuu sh mia bebore 1961 hakuna freemanson unaendelea hapo bro umeolewa
Kweli uyo nabii wa uongo yaani ata watoto wake hawafananii na mambo ya unabii😢
Hamna nabii karne hizi wote ni matapeli wanataka kutajirika kirahisi
Hivi siku hizi kuna manabii 😮 hamna cha unabii hapo ni matapeli ni kutaka kujitajirisha kupitia sadaka za watanzania masikini , na hii habari mbona haina public interest 😅
Biblia inasema wapo.
kabwela CHIZI sana
Kwanini Sadaka zikienda Kwa wachungaji Mbona haigeuki utapeli?
Ila zikija kwetu zibakuwa Haram? 😂😂😂
Hawa wanaojiita manabii ni matapeli wamejua asilimia kubwa watanzania ni rahisi kudanganyika kwa hiyo wanatajirika na sadaka za watanzania masikini
Ausio bwana Kabwela.😅
angaikaa na umaskini wako
@@neemaneychricious6493 mpuuzi wewe unataka kusikia unavyotaka kusikia wewe , unafikiri watu wote ni masikini mimi siko kwenye kundi la watu masikini uko nilishatoka miaka kibao
@@neemaneychricious6493 masikiriko ya nini acheni utapeli eti nabii 😅😅😅
hakuna masikini Tanzania, waza nje ya box
Abari ya mitano Tena mh!
Miaka 8 hamchezeani kumbe ndo maana mmeamua kuchezea akili zetu..😂😂
😅😅😅
😂😂😂
@@bless.2559 waongo hawa wanafiki hamna watu wanafiki kama hawa wahuni tu huyo demu wa nabii feki ameshiriki miss ingawa ni mbaya mara fashioni Na nguo Na mitindo yote mambo ya kidunia wanafiki tu
Doh hilo bleach la nni sasa?
Hakuna sh 100 ya 1961. Tumekuwa na pesa ta Tz kuanzia 1966.
Anaonekana kabisa msanii
Shuguli kweli kweli
Wakati huo tulikuwa na sarafu ya Afrika Mashariki iliyokuwa inatolewa na East African Currency Board na zilikuwa na Malkia wa Uingereza. Sarafu ya Tanzania ilianza kutolewa 1966 baada ya kuanzishwa Benki Kuu ya Tanzania (BOT)
@@jumahassankimwaga7719heee kumbe
@@jumahassankimwaga7719nilikuwa sijuwi kama tulitumia pesa yenye nembo ya malkia wa uwingereza
Nice sana
Et nabiii mhii mtihaan
Acha chuki chizi wewe
Mtu wa maana kabisa
Hawa waabudu mashetani manabii wa uongo watakokota wengi kuzimu
Usije ukawa wewe kuzimu!
Mwenye Nacho Ataongezewa Masikini Hata Kidogo Alicho Nacho Atanyang'anywa Uzeni Mashati Mkanunue Mapanga Kwamana Mmewekwa Katikati Kwa Watenda Zambi Inamana Tafuta Pesa Uzidishiwe
Sasa RAIS kaingiaje hapo?😂😂😂😂😂😂
Si kajitmbulish mwnzo km ni m2 wa chama jmn😂😂😂
Freemasonry baba Yao
Ndio mawazo ya kila masikini
Hahaaaaaa🎉
Kuma la Mama yako wewe acha mawazo ya kimasikini mmbwa wewe
Umaskini wa pesa ni jambo la kwanza halafu jambo baya zaidi ni umaskini wa akili Tena pale usipojua Kuna mipaka mingine ya kumuacha MUNGU ashughulike nayo maNa yeye ndio ana kurasa kila mtu
Tafuta hela
Mmmmm tuta tubu san
❤❤❤
Hizi comedy
Upuuzi mtupu
😢😢😢
Vizuri
Mmmmmmmmmh
Hizo kucha mhh
🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
😂😂 km shetan vo
Mmmmm
Mia
🤭🤭🤭😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
Kweli
Kaolewa hiyu
@@davidmalisa8043 limeolewa hilo bonge kwa tamaa ya kupata dezo maishani ndio maana limeoa demu baya sura la kiume
Hyo mwenyewe ni mtoto wa tajir wananmasheli kibao hata ile ya panone pale kisongo ni Yao hajatoka familia ya kichov
Mh
Huyu kibonge itakuwa anataka kitonga cha kula sadaka yaani Arusha kuna pisi kali kwenda kuoa mwanamke mbaya sana sura mbaya hata vimiguu kama vibiriti au spoki usafiri mbovu kabisa! Mbona huyo mke wake huyo mwanamke sura ni mbaya sana yaani hata baba yake ana sura nzuri , au mke wa nabii ni mbaya sana kama mke wa nabii ni mzuri ina maana nabii amepigwa kwa huyo mtoto au ni mtoto wake wa kufikia? 😅😅😅😅
Duu hata kama ni chuki sio hivi. Unaweza kunyamaza tu kuliko kuandika chuki wazi wazi hivi. Laiti kama tungekuwa tunaweza sura zetu sidhani kama ungeandika hivi.
@@josephjohn2114 miongoni mwa wajinga wa karne na wewe umo.katika karne hii bado kuna watu wanafikra za namna hii?tuonyeshe wa kwako mzuri.
@@odilomwemeziernest646 bro sio mimi niliemponda huyo dada ni yule jamaa pale juu. Mimi pia nimeshangaa sana kuona jamaa anamponda dada wa watu utadhania yeye ni malaika
@@josephjohn2114 mkuu Mimi wangu mzuri na siwezi kuwa Na demu mwenye sura ya baba yake au ya kiume huyo aliyeowa inaonekana alitaka kitonga cha maisha kupata hela za sadaka ! Tuwe ukweli Nani anataka kuwa kitandani na mwanamke mwenye sura ya kiume as if uko na mwanaume mwenzake kwa bed 🛌 that’s nightmare 😅😅😅😅🤣🤣🤣
@@josephjohn2114 sasa huyo demu si ana sura za kiume Na ni mbovu sasa wengine sio wanafiki kupindisha maneno watanzania mmezoea unafiki !
Hawa waabudu mashetani manabii wa uongo watakokota wengi kuzimu