UTASHANGAA AMBROS ALIVYOLIPA SHILINGI MIA KUMUOA MTOTO WA NABII MKUU GEORDAVIE "TULITUMIA ESCORT"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 окт 2024

Комментарии • 105

  • @seifntandala9137
    @seifntandala9137 8 дней назад +1

    Mungu atupe macho yakuwatambua mana kila mtu anajiita nabii. freemason wamepitia kwenye huduma ya mungu kuwapoteza watu wasiuone ufalme wa mungu

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 2 месяца назад +3

    Mmmmh apo sasa,kweli mahari inafaa kuwa effort ana the extent to which you can go to acquire "her"as "your wife"

  • @arafaally2895
    @arafaally2895 Месяц назад +1

    Kapigwa kichawi,,we shi 100 ya nyerere ikawe mahari?

  • @MtanganyikaTanganyika
    @MtanganyikaTanganyika 12 дней назад

    Nabii wa wapi uyo malaya Monika alikua bikira hapana uyo alikua mke wa mke mtu

  • @fatmamussa6134
    @fatmamussa6134 2 месяца назад +4

    Hao manabii wengi wako kwenye Chama cha blaki kadi usoni wa naweka sura ya unabii

  • @RechorMwamedi
    @RechorMwamedi 2 месяца назад +2

    Jamaa mbona anarembuwa

  • @hamzaibrahimu
    @hamzaibrahimu 2 месяца назад +4

    Nabii kutokea wapi hao na matapeli tu 😂

  • @victorsamaytu3487
    @victorsamaytu3487 Месяц назад

    Upuuuz mtupuu sh mia bebore 1961 hakuna freemanson unaendelea hapo bro umeolewa

  • @Kelvinchristopher072
    @Kelvinchristopher072 2 месяца назад +4

    Kweli uyo nabii wa uongo yaani ata watoto wake hawafananii na mambo ya unabii😢

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 2 месяца назад

      Hamna nabii karne hizi wote ni matapeli wanataka kutajirika kirahisi

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 2 месяца назад +7

    Hivi siku hizi kuna manabii 😮 hamna cha unabii hapo ni matapeli ni kutaka kujitajirisha kupitia sadaka za watanzania masikini , na hii habari mbona haina public interest 😅

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 2 месяца назад +6

    Hawa wanaojiita manabii ni matapeli wamejua asilimia kubwa watanzania ni rahisi kudanganyika kwa hiyo wanatajirika na sadaka za watanzania masikini

    • @tonie5447
      @tonie5447 2 месяца назад

      Ausio bwana Kabwela.😅

    • @neemaneychricious6493
      @neemaneychricious6493 2 месяца назад +1

      angaikaa na umaskini wako

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 2 месяца назад

      @@neemaneychricious6493 mpuuzi wewe unataka kusikia unavyotaka kusikia wewe , unafikiri watu wote ni masikini mimi siko kwenye kundi la watu masikini uko nilishatoka miaka kibao

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 2 месяца назад

      @@neemaneychricious6493 masikiriko ya nini acheni utapeli eti nabii 😅😅😅

    • @frankchipasura1814
      @frankchipasura1814 2 месяца назад

      hakuna masikini Tanzania, waza nje ya box

  • @eliurumamalisa4700
    @eliurumamalisa4700 2 месяца назад +3

    Abari ya mitano Tena mh!

  • @bless.2559
    @bless.2559 2 месяца назад +6

    Miaka 8 hamchezeani kumbe ndo maana mmeamua kuchezea akili zetu..😂😂

    • @witnessfelix3336
      @witnessfelix3336 2 месяца назад

      😅😅😅

    • @Dj2nyi
      @Dj2nyi 2 месяца назад

      😂😂😂

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 2 месяца назад

      @@bless.2559 waongo hawa wanafiki hamna watu wanafiki kama hawa wahuni tu huyo demu wa nabii feki ameshiriki miss ingawa ni mbaya mara fashioni Na nguo Na mitindo yote mambo ya kidunia wanafiki tu

  • @Clex-f5s
    @Clex-f5s 2 месяца назад +1

    Doh hilo bleach la nni sasa?

  • @Brunn-mh2bq
    @Brunn-mh2bq 2 месяца назад +3

    Hakuna sh 100 ya 1961. Tumekuwa na pesa ta Tz kuanzia 1966.

    • @naftalkileo5224
      @naftalkileo5224 2 месяца назад

      Anaonekana kabisa msanii

    • @brendashao36
      @brendashao36 2 месяца назад

      Shuguli kweli kweli

    • @jumahassankimwaga7719
      @jumahassankimwaga7719 2 месяца назад +1

      Wakati huo tulikuwa na sarafu ya Afrika Mashariki iliyokuwa inatolewa na East African Currency Board na zilikuwa na Malkia wa Uingereza. Sarafu ya Tanzania ilianza kutolewa 1966 baada ya kuanzishwa Benki Kuu ya Tanzania (BOT)

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Месяц назад

      ​@@jumahassankimwaga7719heee kumbe

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Месяц назад

      ​@@jumahassankimwaga7719nilikuwa sijuwi kama tulitumia pesa yenye nembo ya malkia wa uwingereza

  • @SaimonKazimoto-xt1zo
    @SaimonKazimoto-xt1zo 2 месяца назад +1

    Nice sana

  • @NursamiaKiligaliga
    @NursamiaKiligaliga 2 месяца назад +5

    Et nabiii mhii mtihaan

  • @devissyprian1526
    @devissyprian1526 2 месяца назад +7

    Mtu wa maana kabisa

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 2 месяца назад +4

    Hawa waabudu mashetani manabii wa uongo watakokota wengi kuzimu

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 2 месяца назад

    Mwenye Nacho Ataongezewa Masikini Hata Kidogo Alicho Nacho Atanyang'anywa Uzeni Mashati Mkanunue Mapanga Kwamana Mmewekwa Katikati Kwa Watenda Zambi Inamana Tafuta Pesa Uzidishiwe

  • @dommycash1
    @dommycash1 2 месяца назад +2

    Sasa RAIS kaingiaje hapo?😂😂😂😂😂😂

  • @majariwabarasokoroza9701
    @majariwabarasokoroza9701 2 месяца назад +4

    Freemasonry baba Yao

    • @Benny318m
      @Benny318m 2 месяца назад +1

      Ndio mawazo ya kila masikini

    • @malkiarosemuhando3310
      @malkiarosemuhando3310 2 месяца назад +1

      Hahaaaaaa🎉

    • @Peterchila-un2lx
      @Peterchila-un2lx 2 месяца назад +1

      Kuma la Mama yako wewe acha mawazo ya kimasikini mmbwa wewe

    • @karibunyumbani3824
      @karibunyumbani3824 2 месяца назад +1

      Umaskini wa pesa ni jambo la kwanza halafu jambo baya zaidi ni umaskini wa akili Tena pale usipojua Kuna mipaka mingine ya kumuacha MUNGU ashughulike nayo maNa yeye ndio ana kurasa kila mtu

    • @neemamjema1067
      @neemamjema1067 2 месяца назад +1

      Tafuta hela

  • @Fortune-x5q
    @Fortune-x5q 2 месяца назад

    Mmmmm tuta tubu san

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 2 месяца назад +3

    ❤❤❤

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 2 месяца назад

    Hizi comedy

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 2 месяца назад

    Upuuzi mtupu

  • @Backtz
    @Backtz 2 месяца назад

    😢😢😢

  • @givenessdavid3743
    @givenessdavid3743 2 месяца назад

    Vizuri

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 2 месяца назад

    Mmmmmmmmmh

  • @mwajumaanthony5470
    @mwajumaanthony5470 2 месяца назад

    Hizo kucha mhh

  • @RaymonDbertha
    @RaymonDbertha 2 месяца назад

    Mmmmm

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 2 месяца назад +1

    Mia

  • @OscarAsukenie
    @OscarAsukenie 2 месяца назад

    🤭🤭🤭😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣

  • @SamwelMollel-br9md
    @SamwelMollel-br9md 2 месяца назад

    Kweli

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa8043 2 месяца назад

    Kaolewa hiyu

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 2 месяца назад

      @@davidmalisa8043 limeolewa hilo bonge kwa tamaa ya kupata dezo maishani ndio maana limeoa demu baya sura la kiume

    • @ProsperReuben-fg6uh
      @ProsperReuben-fg6uh 2 месяца назад

      Hyo mwenyewe ni mtoto wa tajir wananmasheli kibao hata ile ya panone pale kisongo ni Yao hajatoka familia ya kichov

  • @AgnessMgaza
    @AgnessMgaza 2 месяца назад

    Mh

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 2 месяца назад

    Huyu kibonge itakuwa anataka kitonga cha kula sadaka yaani Arusha kuna pisi kali kwenda kuoa mwanamke mbaya sana sura mbaya hata vimiguu kama vibiriti au spoki usafiri mbovu kabisa! Mbona huyo mke wake huyo mwanamke sura ni mbaya sana yaani hata baba yake ana sura nzuri , au mke wa nabii ni mbaya sana kama mke wa nabii ni mzuri ina maana nabii amepigwa kwa huyo mtoto au ni mtoto wake wa kufikia? 😅😅😅😅

    • @josephjohn2114
      @josephjohn2114 2 месяца назад +9

      Duu hata kama ni chuki sio hivi. Unaweza kunyamaza tu kuliko kuandika chuki wazi wazi hivi. Laiti kama tungekuwa tunaweza sura zetu sidhani kama ungeandika hivi.

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 2 месяца назад

      @@josephjohn2114 miongoni mwa wajinga wa karne na wewe umo.katika karne hii bado kuna watu wanafikra za namna hii?tuonyeshe wa kwako mzuri.

    • @josephjohn2114
      @josephjohn2114 2 месяца назад

      @@odilomwemeziernest646 bro sio mimi niliemponda huyo dada ni yule jamaa pale juu. Mimi pia nimeshangaa sana kuona jamaa anamponda dada wa watu utadhania yeye ni malaika

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 2 месяца назад

      @@josephjohn2114 mkuu Mimi wangu mzuri na siwezi kuwa Na demu mwenye sura ya baba yake au ya kiume huyo aliyeowa inaonekana alitaka kitonga cha maisha kupata hela za sadaka ! Tuwe ukweli Nani anataka kuwa kitandani na mwanamke mwenye sura ya kiume as if uko na mwanaume mwenzake kwa bed 🛌 that’s nightmare 😅😅😅😅🤣🤣🤣

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 2 месяца назад

      @@josephjohn2114 sasa huyo demu si ana sura za kiume Na ni mbovu sasa wengine sio wanafiki kupindisha maneno watanzania mmezoea unafiki !

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 2 месяца назад +1

    Hawa waabudu mashetani manabii wa uongo watakokota wengi kuzimu