PART 1: BAADA YA MIAKA 3/ SIKUAMINI/NILIPOKUTANA NAE/ SIKATI TAMAA - LULU WA UCHUNGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2025
  • Exclusive Interview ya Elizabeth Michael kwenye KASRI LA KIKEKE, SALIM KIKEKE, TEMIDAYO NA SARAKIKYA.
    Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: www.facebook.c...
    TIKTOK:
    www.tiktok.com...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Комментарии • 98

  • @yjkbcdghjb
    @yjkbcdghjb 7 месяцев назад +15

    Lulu una kipaji vingi moja wapo kuigiza, nyingine hata ungekuwa mtangazaji ukifanya vizuri maana una hekima ungekuwa unauliza watu maswali ya msingi sio hawa watangazaji . Ila hongera pia kikeke uko vizuri kwenye maswali manzuri. Hiki kipindi kinzuri sana Ila mtakiharibu mkianza kuwahoji watu ambao wahovyo kwenye jamii. Last Hongereni sana na Mungu awasimamie

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 6 месяцев назад +13

    HUWA NAPENDA SANA INTERVIEW ZA LULU.NI KAMAMA CHENYE KUJIELEWA❤❤❤ ALLAH AKUTUNZEE.MSANII NAMBA ONE ANAEWEZA KUJBU MASWALI KWA UFASAHA
    .NA LAFUDHI YKE IKO VZURI UTASEMA SIO MCHAGA.HONGERA KWAKE

    • @esterMahenge
      @esterMahenge 6 месяцев назад

      Kanaongea vizurii sana unapata na kitu cha kujifunza 😮

  • @bisengobubasha
    @bisengobubasha 7 месяцев назад +12

    Napendaga the way unavyo jieleza, big up sana Elizabeth. Tume miss sana Bongo movies kwenye big platforms. However, Kama ulivyosema pole pole ndo mwendo. Mguu mmoja baada ya mwengine 💪🏾💪🏾🙌🏽💯❤️

  • @jukaelyelisha6311
    @jukaelyelisha6311 6 месяцев назад +3

    Wao I really appreciate Raisi wangu mama samia suluhu Hassan the way lulu anaelezea naona moyo mzuri wa Mama samia

  • @witnesskessy9705
    @witnesskessy9705 7 месяцев назад +11

    Waooo nafurai kujiunga na crown RUclips chanel imetulia nawapata kwa utulivu nikiwa chalinze

  • @annaNyanda
    @annaNyanda 6 месяцев назад +3

    Pongezu kubwa kwenu crown kipindi kizuri hongera pia kwa lulu Mungu aongoze hatua zako

  • @francofisinge137
    @francofisinge137 5 месяцев назад +2

    Mungu akutunze nakuona kufika mbalia nakupenda sana

  • @joycelaura4611
    @joycelaura4611 6 месяцев назад +1

    walah nampenda mtangazaji wangu Salim Kikeke nafurahi kumsikiza tena

  • @mudrickbarton8911
    @mudrickbarton8911 7 месяцев назад +18

    Huyu mwanamke yuko matured sana

  • @alimwadima254
    @alimwadima254 7 месяцев назад +2

    Thumb up 👍 Lulu...Hiyo Hali Sawa wanaitafsiri kivyengine Kuhusu kijinsia Asilimia Kubwa lakin sivyo inavyotakikana

  • @zenashida7288
    @zenashida7288 6 месяцев назад

    Love much Lulu 💓💓💓💓

  • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
    @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k 7 месяцев назад +2

    Hapa ni nyumbaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii 😊

  • @FaridaKaduguda
    @FaridaKaduguda 7 месяцев назад +38

    Nachokiona lulu majizo anamfundisha baadhi ya vitu . Heshima kuchunga ulimi n.k. nahisi atakuja kupewa viti maalum huyu. Atakuja kuwa joketi part 2

  • @Mimi-wf7mb
    @Mimi-wf7mb 6 месяцев назад +2

    Kweli kodi za watanzania zinachezewa. Si kwa changamoto hizi zilizopo. Mahospitali hayana dawa, barabara ngo hizo, maji na umeme mtihani, mafuta, sukari, bei juu 😭😭😭 Mungu turehemu sana. Kwa hiyo bado safari yetu ni ndefu sana labda Mungu aingilie kati.

    • @joycemmari5843
      @joycemmari5843 6 месяцев назад

      Mama anaupiga mwingi tuache😅😅

  • @sarah-um6vg
    @sarah-um6vg 6 месяцев назад

    Great interview

  • @MaryMichael-j1d
    @MaryMichael-j1d 3 месяца назад

    Nampenda sana na kumkubali Lulu

  • @eshterjulius3408
    @eshterjulius3408 6 месяцев назад

    Napenda sana huyu mdada anajitambua,anabusara

  • @MarryWariro
    @MarryWariro 6 месяцев назад

    hongera Lili Mungu Akutunze

  • @IbrahimMgende-h7j
    @IbrahimMgende-h7j 15 дней назад

    Hey nikopamoj nanyie studio

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 7 месяцев назад +3

    Hii bahati kubwa kubwa mno mno hakuna Rais yeyote anawabeba kama Tanzania sasa kazi kwenu maana hii high light kwa kweli kwa hili hongera hongera Rais kipenzi hapa nakupa 100 percent maana hawa wasanii walitumika sana sasa mpata hiyo kazi ianze mara mojasio kesbo baadaye

  • @ZabibuSeif-pj3tr
    @ZabibuSeif-pj3tr 5 месяцев назад +2

    Nampenda uyu dad jamn ❤❤❤

  • @JulianaMbeyu
    @JulianaMbeyu 7 месяцев назад +1

    Lulu mungu akubariki akufikishe hio hekima

  • @najatramadhani6300
    @najatramadhani6300 7 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Lulu mashallah

  • @irenesisamo2184
    @irenesisamo2184 7 месяцев назад +12

    Wale tunaamini walioenda mwanzo ni cream tujuane 😂

  • @juliusmoivana9844
    @juliusmoivana9844 6 месяцев назад

    Lulu jamani mungu anakuona tangulini mwanamke na wanaume wawe Sawa ebu jiulize unaitwa Lulu Nani jibu unalo

  • @AziziMapunda-vt4nv
    @AziziMapunda-vt4nv 6 месяцев назад

    Salimu like upo nimefulai😊

  • @samkimweri5893
    @samkimweri5893 7 месяцев назад

    ❤❤❤coool Elizabeth

  • @OmanSohar-d7z
    @OmanSohar-d7z 6 месяцев назад +1

    😂😂😂😂waogo hao bana majigambo mengii tu😂😂😂tusubiry mange atusimuliye😂😂😂

    • @AROSFILMS
      @AROSFILMS 6 месяцев назад

      Mange alikuepo Korea. Au ndio mungu unomuamini.

  • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
    @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k 7 месяцев назад

    Hapa ni nyumbaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 6 месяцев назад +4

    Uyu dada anajua kujibu maswali kiakili zaid anawashinda ad wakina wema

    • @DianaRichard-bu9tz
      @DianaRichard-bu9tz 3 месяца назад

      Aaaah we lulu ni namba nyingine aiseee huwezi mlinganisha na kitu chochote

  • @RoseGeofrey
    @RoseGeofrey 7 месяцев назад +1

    Lulu ana kitu atafika mbali mi binafsi naona hekima na huwa ni mkweli Mungu ampe mwisho mwema ni mzuri wa sura kichwani ana kitu kikubwa apewe heshima yake

  • @janethngowi1058
    @janethngowi1058 6 месяцев назад

    Napenda Lulu anavyojibu na kujieleza jamani

  • @esterMahenge
    @esterMahenge 6 месяцев назад

    Uyu atakuja pewa uongozi maana ana akili sanaa❤

  • @arnhemzuid8885
    @arnhemzuid8885 6 месяцев назад

    Hiyo 50 kwa 50 ni katika 5 Gender Issues: Elimu, Ajira, Kuhusishwa na Kushirikishwa katika kutoa maamuzi kuanzia ngazi ya familia mpaka nchi siyo tu kuwa wapokeaji na watekelezaji wa maamuzi, Utawala na Uongozi pamoja na kumiliki ( ardhi, uchumi etc) but tumetofautiana biologically.

  • @Sakinaamani-o1t
    @Sakinaamani-o1t 7 месяцев назад

    Karibu nyumbani

  • @JonathanHogeri
    @JonathanHogeri 7 месяцев назад

    Sauti Kuna kelele🇫🇮🇫🇮🇫🇮🇫🇮🇫🇮🇫🇮🇫🇮🇫🇮🇫🇮

  • @rehemakatundu7027
    @rehemakatundu7027 7 месяцев назад +3

    Nampendaga sana lulu 🥰🥰

  • @TalaaAbdallah
    @TalaaAbdallah 7 месяцев назад +1

    Lulu ni mfano wa kuigwa ongera my dear

  • @boscokikoti
    @boscokikoti 7 месяцев назад +16

    Rekebisheni upande wa sauti...kuna kelele zinasikika...

    • @danielngove
      @danielngove 7 месяцев назад +4

      Sio kelele thats background music...😂😂😂

    • @NibogoraLadouce
      @NibogoraLadouce 7 месяцев назад +3

      Acha makasiriko ya maendeleo 😂😂😂😊

    • @AtukuzweGift0-kg1ns
      @AtukuzweGift0-kg1ns 6 месяцев назад

      Ni simu yako dada😅😅Wala saut zipo sawa

    • @lee..8888
      @lee..8888 6 месяцев назад

      Ili ni gubu sasa eh!!

  • @beatricekadzo5215
    @beatricekadzo5215 7 месяцев назад

    nice

  • @ramadhanmanzi661
    @ramadhanmanzi661 7 месяцев назад +1

    🎉

  • @naibusanga9416
    @naibusanga9416 7 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @aishaomary4498
    @aishaomary4498 7 месяцев назад

    Rais akiiweza nchi nanyie mtaweza tu

  • @TobiasJuma-zi8qm
    @TobiasJuma-zi8qm 6 месяцев назад

    Lulu toka bado mdogo nkichea

  • @alawimohd
    @alawimohd 7 месяцев назад

    Salim kikeke ameanguka sana

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada 2 месяца назад

    Kadada kanaongea kama joketi mwegelo

  • @wapnewsTv
    @wapnewsTv 6 месяцев назад

    Haasa😂

  • @wasemavyotv7736
    @wasemavyotv7736 7 месяцев назад +1

    Kumbhe hata katoto kaweza kujieleza eeeeeeee mh amekuwa

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 7 месяцев назад

    Hapa ni nyumbani

  • @swaiseif2989
    @swaiseif2989 7 месяцев назад +1

    Hapa ninyumbaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @lolamhanuzi410
    @lolamhanuzi410 7 месяцев назад +2

    Alipo Lulu nipo, ninapenda unavyojieleza na majibu yako mazuri.

  • @shau78
    @shau78 7 месяцев назад

    Lulu umependeza. hayo manywele ya bandia ni tatizo kidogo. wazo lakini. tupende uasili

  • @dalilahmubago5131
    @dalilahmubago5131 6 месяцев назад

    Kipindi kizuri.
    Msichanganye lugha. Kiswahili kiwe Kiswahili tu.

  • @gracekaboigora189
    @gracekaboigora189 7 месяцев назад

    Mmmmm???

  • @Tupena-ov7xq
    @Tupena-ov7xq 7 месяцев назад

    Yaani huyu mwanamke aliua, hili haliwezi kufutika, watoto wake na vijukuu vitakuja kujua kua she is a killer

    • @MaryamaAlly
      @MaryamaAlly 7 месяцев назад +2

      Wewe hujielewi itakua😮

    • @ministerkresensia7888
      @ministerkresensia7888 7 месяцев назад +3

      How sure you're, vingine jitahid viishie kwenye mawazo yako it's not necessary kuonyesha unavyowaza kwa watu duu

    • @ShaymaaMlanza
      @ShaymaaMlanza 7 месяцев назад

      Mwacheni atakuwa mwezi mchanga

    • @DevothaKilanzi
      @DevothaKilanzi 7 месяцев назад +1

      Dishi limeyumba apelekwe milembe akarekebishwe.

    • @margaretnyamwilahila292
      @margaretnyamwilahila292 7 месяцев назад +2

      Pole sana chuki yako haikusaidii hata!! Huyu bint atafika mbali sana. Big up Elizabeth.

  • @nadhifamustapha7557
    @nadhifamustapha7557 6 месяцев назад

    Since way back alikua anajua kupangua maswali na sio mkurupukaji wa kujibu…japo unapokua na mtu makini anazidi kujuongezea maarifa@faridakaduguda

  • @alimwadima254
    @alimwadima254 7 месяцев назад

    Thumb up 👍 Lulu...Hiyo Hali Sawa wanaitafsiri kivyengine Kuhusu kijinsia Asilimia Kubwa lakin sivyo inavyotakikana

  • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
    @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k 7 месяцев назад

    Hapa ni nyumbaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @Lanihsarumu
    @Lanihsarumu 7 месяцев назад

    ❤❤❤❤

  • @RoseGeofrey
    @RoseGeofrey 7 месяцев назад

    Lulu ana kitu atafika mbali mi binafsi naona hekima na huwa ni mkweli Mungu ampe mwisho mwema ni mzuri wa sura kichwani ana kitu kikubwa apewe heshima yake

  • @RoseGeofrey
    @RoseGeofrey 7 месяцев назад +16

    Lulu ana kitu atafika mbali mi binafsi naona hekima na huwa ni mkweli Mungu ampe mwisho mwema ni mzuri wa sura kichwani ana kitu kikubwa apewe heshima yake

  • @RehemaMissinzo
    @RehemaMissinzo 7 месяцев назад

    ❤❤❤❤

  • @RoseGeofrey
    @RoseGeofrey 7 месяцев назад

    Lulu ana kitu atafika mbali mi binafsi naona hekima na huwa ni mkweli Mungu ampe mwisho mwema ni mzuri wa sura kichwani ana kitu kikubwa apewe heshima yake

  • @neemathomas2008
    @neemathomas2008 6 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤

  • @SakinaJuma-n8u
    @SakinaJuma-n8u 6 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤❤