PART 2: CHANUO - "SIMPENDI TENA MADEBE, NI MKATILI SANA, WATOTO BADO WADOGO"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 янв 2024
  • PART 2: CHANUO - "SIMPENDI TENA MADEBE, NI MKATILI SANA, WATOTO BADO WADOGO"
    Hii ni sehemu ya pili ya mahojiano kati ya Muigizaji Chanuo na #Mashamsham ya Wasafi FM ambapo Chanuo amefunguka mambo mazito aliyopitia kwenye ndoa yake na msanii mwenzake Madebe Lidai
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 615

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 5 месяцев назад +15

    Bi. Chanuo wewe ni mwanamke mzuri insha Allah mwenye zi mungu atakupa Mume.

  • @fatimejamal1686
    @fatimejamal1686 5 месяцев назад +9

    Ni mrembo huyu Dada mashallah🎉Allah akufanyie wepesi

  • @AsiaAsia-sv6ok
    @AsiaAsia-sv6ok 5 месяцев назад +35

    Ila huyu dada anaonekana alimpenda sana mumewe maskini 😢

    • @NajmaHassan792
      @NajmaHassan792 5 месяцев назад

      Alimpenda n anajua kuvumilia sana😢

    • @iradukundachriskagawa
      @iradukundachriskagawa 5 месяцев назад

      Madebe ndo kaanza kufunguwa ukurasa 😂😂 lazima apendwe 😂😂

    • @KAHINDITV
      @KAHINDITV 5 месяцев назад +3

      Ukimsikiliza kwa makini bado anampenda lkn ameona bora amuache aende,inaonyesha pia amepambania sn penz lake lkn wapi co amekuja kwenye mtandao aongee apate ahueni kisha amuache aende anapopenda na yy apate kaz maisha yaende😭😭

    • @user-mr7gl5ox6u
      @user-mr7gl5ox6u 5 месяцев назад

      Ndio lazima nyie yalinitokea haya kwakwel inauma balaa

  • @elishaelishaedward9454
    @elishaelishaedward9454 5 месяцев назад +78

    Jmn Chanuo usilie mungu anamakusudi na wewe hilo nalo litapita tu. Nilikua shabiki wa Madebee Lakini kwa hili ma Left Group

    • @Fatima1234-wl1nu
      @Fatima1234-wl1nu 5 месяцев назад +2

      nimecheka kama mwehu wallah ht mm nimemchukia madebe

    • @hamzarumela1784
      @hamzarumela1784 5 месяцев назад +5

      Kwann unahukumu kwa kusikiliza upande mmoja

    • @imanimaulid8304
      @imanimaulid8304 5 месяцев назад +1

      DdDDS add a add add z as s

    • @LenatusPosiano-hi7tk
      @LenatusPosiano-hi7tk 5 месяцев назад

      ​@@hamzarumela1784kula dole mateso yote hayo😢😢😢

    • @Zaburi-
      @Zaburi- 5 месяцев назад +1

      Mungu/MUNGU sio mungu

  • @saiddaud3855
    @saiddaud3855 5 месяцев назад +22

    Mimi wakwanza nimejitoa siangalii tena filamu zake Tena maana nilikua nikimpenda sana madebe ila kwa haya Mimi nawaomba wakenya wenzangu tumejitoa

    • @collinswesonga1494
      @collinswesonga1494 5 месяцев назад

      Wakenya wenzako wapi mmejitoa nao, pumbavu zako ivo, jitoe pekee yako

  • @ZaynabMsury
    @ZaynabMsury 5 месяцев назад +18

    Yaani namwelewa Sana Huyu dada kwa ambaye hajawahi kupitiya hayo mshukuru mungu kun wanaume wapole mpk ukimwambia mtu haamni pol San dada😢😢

    • @user-mr7gl5ox6u
      @user-mr7gl5ox6u 5 месяцев назад

      Kabisa tumepitia wengi hayo kwakwel cjui wanaume wa siku hizi wapoje

    • @thuwaibamohamed2786
      @thuwaibamohamed2786 5 месяцев назад

      Allah atakufanyia wepesi in sha allah , kua na subra malipo hapa hapa duniani ikiwa anajiona jabari mbelen kidogo atalipwa wala usiwe na wasiwasi swali sana mshkuru mungu haki ya mtu siku zote hailiki

  • @user-qq1kt3hg1l
    @user-qq1kt3hg1l 29 дней назад +1

    Pole sana kipenzi chanuo

  • @tidesmwakinyuke8633
    @tidesmwakinyuke8633 5 месяцев назад +7

    Dada nakushauri Usiondoke kwenye nyumba komaa,Tafuta mtaji Tu Mungu atakujalia. Wewe ni jeshi Kubwaaaa.

  • @AsmaAthumani-je8bh
    @AsmaAthumani-je8bh 5 месяцев назад +1

    Pole sana chanuo weesimama kama mama pambania watt wako waume wote nawaitaga maumbwaaa 2 unavyoumia mie pia nilipitia hayo ila nimesimama kama mama napambn nia maisha yangu nayamtt wangu

  • @user-fr7lm4dr4c
    @user-fr7lm4dr4c 5 месяцев назад +2

    Madebe hana tofauti na aliekua mwanaume wangu

  • @salsashmomy
    @salsashmomy 5 месяцев назад +19

    Hayo mambo yapo sana jomon omba yasikukute uyasikie tu 😢😢pole sana chanuo.

  • @user-yh4vv7gi6n
    @user-yh4vv7gi6n 5 месяцев назад +5

    Wallah da dida huyu dada ameniliza 😢😢😢😢nimetoa machozi mpka nimehisi ni mimi .Mungu awatie nguvu wanawake wote wanaopitia kipindi kama hiki.

  • @ssssd9546
    @ssssd9546 5 месяцев назад +5

    Naba yachanuwo tumusadiye weye tuko kenya🇰🇪

    • @user-hq5mo3dx7l
      @user-hq5mo3dx7l 5 месяцев назад

      Watatoa ndg zetu wakenya tunawapenda hii story inauma saaaana

  • @user-qf2gt4gl3t
    @user-qf2gt4gl3t 5 месяцев назад +4

    Pole sana chanuo inshallah mung atakufanyia wepes na hili litapta tu kwa uwezo Wa mung

  • @user-xi1kj3ui3z
    @user-xi1kj3ui3z 5 месяцев назад +3

    Mshenzi sana huyo kaka simpendi Tena ata movie zako hatutozifagilia

  • @user-ve4rs4tc7o
    @user-ve4rs4tc7o 5 месяцев назад +1

    Bado unampenda mumeo ila mmeshindwa kujuana vizuri mumeo ni penda penda mi natamani usilie Tena pambania maisha Yako mungu atakusimamia.

  • @abdullnjohole626
    @abdullnjohole626 5 месяцев назад +4

    Kunawakati muda ndio unaamua katika maisha kulio sio mwisho wa matatizo katika dunia kikubwa kumuomba mungu akufanyie wepesi katika maisha yako mtoto sio kifungo utalea siku zote watakuwa tu mungu ndio atawakuza kwakila hali
    Muomba mungu achoki
    Ila mwamba umefeli sana kumliza mwanamke kulia kote unafikilia atakaa anateseka siku zote kilakicholiwa kina stilika muombe msamaa mkeo na alidhie awe hulu na maisha yake yawew ya amani kutoa talaka na kupokea talaka ya kinyong amuna mpe uhulu andelee na yakwake

  • @user-nm4de1nj7d
    @user-nm4de1nj7d 5 месяцев назад +14

    Pole dada yangu wengi tunapita huko mungu akupe nguvu utashinda

  • @ally-26og
    @ally-26og 5 месяцев назад +4

    Huyo madebe mwambieni siku nikikutana nae atajuta kuzaliwa atageuka makopo siku hioo atafurahi na shoo pole saana chanuo mungu mbele yako inshallah biidhinillah

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 5 месяцев назад

      😂😂😂 kweli umechafukwa

    • @ZulfaSalehe-qz4jr
      @ZulfaSalehe-qz4jr 5 месяцев назад

      😂😂😂😂😂

    • @Joe-tr2vk
      @Joe-tr2vk 5 месяцев назад

      Madebe anapiga ngumi balaa,usijaribu kumgusa ukikutana naye😂

  • @HalimaSuleiman-kt5wi
    @HalimaSuleiman-kt5wi 5 месяцев назад +1

    Pole mama boss usilie kipenz mungu akupe subir kipenz

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 5 месяцев назад +3

    Wanawake n visirani sn, asa wakipata mtu akiwapigilia msumari ndio huja kujitilisha huruma km ivi, ila kiukweli asa wanawake ndio wanaanza kisha cc tunamaliza, big up sn Madebe🎉

    • @hamidawamba
      @hamidawamba 5 месяцев назад +1

      E makubwa ko hao wanawake wote ndio wanashida ? Nisameh ila nakutukana wew ni mjinga

    • @MadamAsya2024England
      @MadamAsya2024England 5 месяцев назад

      Hata km ni mwanamme mwenzio unausapoti ujingavkm anaoufanya madebe kumbuka wanawake ni mama zetu .imagine huyu dada ni ndugu yako wa dam ungefirahia ndugu yako apitie hayo.hujui ulitendalo kwa kweli. Na dunia itamfunza

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 5 месяцев назад

      @@hamidawamba nimeshakusamehe zamani sn ww endelea kutukana zaidi na zaidi na kamwe mm cwezi jibu tusi wala siumii coz huna tusi jipya utarudiaridia tu😃 ila mm nawafahamu wanawake kwa uzoefu wa kuishi nao lkn pia kwa kuwasoma , yan mwanamme acpokua na ustahimilivu wa hali ya juu anapoishi na mwanamke ndio hutokea hayo, coz wanawake n visirani sn...

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 5 месяцев назад +1

      @@MadamAsya2024England tatizo lenu n kuckiliza kesi upande mmoja n lazma ule upande mwingine utauona m'baya, ila ukwl huwezi kuujua coz hawezi kuuzungumza ukwl ulivyo hasa, hivi ww unadhani yy huyo Chanuo n mkamilifu hana mapungufu yake? Jeee amesema hata moja na yy alilowahi kumkosea mmewe? Ujue kwmb ukwl hasa bdo haujasemwa mpk pale atakapopewa mda na muhucka wa upande mwingine, yan usihukumu kwa kuckiliza upande mmoja...

    • @user-mr7gl5ox6u
      @user-mr7gl5ox6u 5 месяцев назад

      Huyu kabila moja sio bure na ndo mibaba ya hovyo kama huyo madebe aan mijaume kero tupu kama wametoka kuzimu aan mtihan

  • @KAHINDITV
    @KAHINDITV 5 месяцев назад +16

    😢😢😢😢ndoa niache mapenzi niache😢😢😢😢omba Mungu uishie kuona na kusikia tu kwa mwenzio yasikukute

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 5 месяцев назад +1

      EEEEH

    • @SifaWangyaShabani-nt5ww
      @SifaWangyaShabani-nt5ww 5 месяцев назад +1

      Niatari

    • @KAHINDITV
      @KAHINDITV 5 месяцев назад +2

      @@SifaWangyaShabani-nt5ww Mungu atufanyie wepesi kwa akili zetu hatuwezi

    • @KAHINDITV
      @KAHINDITV 5 месяцев назад

      @@allahisone6386 Mungu atupiganie binadamu tumebadilika sana tumekuwa wanyama kupita hata hao wanyama wenyewe

  • @user-gf5sd1ye7n
    @user-gf5sd1ye7n 5 месяцев назад +3

    Mamy yote mitihani ya maisha na mungu haezi mpa mja wake mtihani asio uweza mamy Mungu yuko kilakitu kitakua sawa😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @asminkachengome7428
    @asminkachengome7428 5 месяцев назад +3

    Chanuo ww dada mpambanaji na unakipaji sana kuwa n subra ukianguka usichoke kusimama mungu yupo

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk 5 месяцев назад +1

    Kamambwaimbwaitu asante mtangamwenzangu kwakuwekawazi umefichua mamboyake bigpuusilie mungu yupo

  • @MwanaOmary-xn2oh
    @MwanaOmary-xn2oh 5 месяцев назад +1

    Ataoa mpaka Majini mwache, mungu akufanyie wepes

  • @user-ci2jg1ux4e
    @user-ci2jg1ux4e 5 месяцев назад +2

    Uwiiiiii yani pole unapita sehemu ngumu kama nilikopita miaka kumi ilopita but now GLORY TO GOD. yatapita dada japo siyo rahisi sana mwamini Mungu tuu.

  • @AishaMaganga-vd1jg
    @AishaMaganga-vd1jg 5 месяцев назад +1

    Chanuo pole my. Usilie kamahivyo! Utakufa uache watoto wako juu ya mwanaume filauni. Mungu akulinde. Wanawake klasiku mnaambiwa msijenge na wanaume. Madebe yamkojo, rudisha akauti yamwenzio kwajili yakupata riziki na watoto wenu sura mchemsho wewe🥺🥺

  • @Emmymajula5838
    @Emmymajula5838 5 месяцев назад +1

    W chanuo ww mzuri Sana usilie

  • @user-wc1kt9mj8m
    @user-wc1kt9mj8m 5 месяцев назад +1

    Pole Sana mungu anamuona

  • @vissedon7847
    @vissedon7847 5 месяцев назад +1

    Jmn dida wallah nakupenda sana daaaahh...!!eti unajua mwisho wake kipindi chenu kinaraha

  • @glorygodson
    @glorygodson 5 месяцев назад +1

    Dada Pole sana Mungu awe no moja kwako muachilie msamehe anza maisha yako upya naamini Mungu amekupitisha hapo darasani usome ujifunze minazani wale watu wanaojifanya waelimisha jamii ndio wanaongoza kufanya uhalifu nakupotosha jamii chozi lako haliendi bure Mshukuru Mungu sana dada Mungu atakusaidia

  • @AsiaAsia-sv6ok
    @AsiaAsia-sv6ok 5 месяцев назад +9

    Ila wanaume wengine jmn wanajuwa kutupa mateso yaliyopitiriza hadi mtu unajikatia tama 😢eeh Mungu tusaidie 💔😭

  • @user-bk6hu9up6e
    @user-bk6hu9up6e 5 месяцев назад

    Dah! Mm nimeumia sana jaman dada pole na mungu akutie nguvu na hiyo nyumba usiiachie pamban ili uishi na watoto kwa amani

  • @user-vo9kw1fw6s
    @user-vo9kw1fw6s 5 месяцев назад +3

    Mungu akufanyie wepesi babyyy inshalla 🥺🥺🥺😔🙌🏾

  • @lehabbizdoncare8574
    @lehabbizdoncare8574 5 месяцев назад +4

    Hata hili litapita kipenzi, pole sana

  • @kombokichwa815
    @kombokichwa815 5 месяцев назад +5

    Shanua pambana usilie wanaume wapo weng tu endeleza maisha yako achana nae

    • @Zainab_salat
      @Zainab_salat 5 месяцев назад +1

      Sio shanuo ni chanuo😂😂😂😂 jamani

    • @kombokichwa815
      @kombokichwa815 5 месяцев назад

      @@Zainab_salat 😂😂😂😂😂

    • @Zainab_salat
      @Zainab_salat 5 месяцев назад

      @@kombokichwa815 umefurahi? 🤣🤣🤣🤣

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 5 месяцев назад

    Mimi kuazia leo sitazami tena move zako madebe unamtesa mdogo wangu chanua

  • @salamasalum6956
    @salamasalum6956 5 месяцев назад

    Pole sana chanuo mungu atakulipia usimuachie nyumba pambana simama imara kama mwanamke pambania hakiyako

  • @user-kr1dh3lr1c
    @user-kr1dh3lr1c 5 месяцев назад +2

    Wanawake mwalimu wetu kipofu ila Nakupenda tunajua jamani mungu tusaidie.😢😢😢

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 5 месяцев назад +1

    😭😭😭😭 pole Mwanamke mwenzangu

  • @ZainabuBiting
    @ZainabuBiting 5 месяцев назад +1

    Usijari. Dada. Yangu. Yote. Nichangamoto. Za maisha usirie. Pambana

  • @YustinMoheli
    @YustinMoheli 5 месяцев назад

    Pole san chanuo usilie jipe moyo utashind huwez jua mungu amekuepush namangp yanbelen esabu haikuwa lizk namwingne atakja zaid yake❤

  • @user-kf4vn2kp9n
    @user-kf4vn2kp9n 5 месяцев назад +1

    insha'Allah chozilako halianguki bule atakujakwamagoti Munguyupo mpenz polesana my dear angalia MaIsha pambana kwaajiliyawtt wako Mungu atakupa hitaji lamoyowako.

  • @shukuruiddi82
    @shukuruiddi82 5 месяцев назад +1

    dah pole sana dada unastahili kupata mwanaume mwenye upendo na uelewa na uvumilivu juu ya ndoa. atajua siku ambayo umepata pumziko lako la moyo.

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika1996 5 месяцев назад +1

    Pole sana kipenzi changu

  • @user-hl5qv2nu7o
    @user-hl5qv2nu7o 5 месяцев назад +1

    Madebe kumbuka kama Kuna Mungu kutesa mkee na watoto wajifanya mzuri kuogeza kutaka sifa kwatu kwako kwaharibika Mungu atalipiya huyo mwanamke kwa chozi lake Allah atakufanyia wepesi dada

  • @gullkhan3399
    @gullkhan3399 5 месяцев назад +6

    Nimelia kwawuchung😭😭😭😭allah akuekee wepes kwakila jambo

    • @aminamohammed-rq7ew
      @aminamohammed-rq7ew 5 месяцев назад

      Dah nimelia kwa uchungu sana allah akujaalie subra na uvumilivu insha Allah 😢

  • @hussen8592
    @hussen8592 5 месяцев назад

    Naipenda movie yake kaanzaa na Mungu ibariki Tanzania maneno mazuri sana kumbe hivyooo ipo siku nae atapiga magoti

  • @omangalaxy1657
    @omangalaxy1657 5 месяцев назад +1

    Subuhana llahu polesana mwanamkemwanzangu najuwa wakati unapitia najuwahayomaumivi unapitia nishawahi kuyapitia polesana allah akupe subra nanguvu

  • @user-lk2hb8dk3s
    @user-lk2hb8dk3s 5 месяцев назад

    Mim nipo zanzibr naomba asijiumize m kiukwer nimeumia san kwani maumivu unayptia niliteseka ila ss nimepona nipo singo nahtji mke km huyo aliepitia kipnd kigumu km m nampnd sn chanuo❤❤❤❤❤

  • @maisarahnassoro814
    @maisarahnassoro814 5 месяцев назад

    Jamani acha kulia unatuliza wengi unalia kwa hisia sana unaumia ipo siku utafurahi utasahau yaani hadi mtoto hajaingia shule unalia sana hadi mtua akiangalia unajikuta na wewe unalia pole Allaah atakupa mume mwema

  • @starangelnguma3644
    @starangelnguma3644 5 месяцев назад +2

    Jamni huyu dada kanifanya nilie kwa uchungu utafikiri ni mimi. Mungu amsaidie

  • @hassanboru
    @hassanboru 5 месяцев назад

    Pole Dada yangu mungu akupe mume mzuri usilie siz ❤️ madebe

  • @mrzaggaog2200
    @mrzaggaog2200 5 месяцев назад

    Uxipo hajibika kama mke ujuwe kuna mke mwingine zaidi yako
    Madebe lidai ❤

  • @user-en3ey5ex5l
    @user-en3ey5ex5l 5 месяцев назад

    pole sana daaha yani nimeumia sana pole mdogo wangu mungu akutie nguvyu katika ichi kipindi ichi kingumu

  • @user-zq5zr8vl1z
    @user-zq5zr8vl1z 5 месяцев назад

    pole sana mdogo wangu usilie simama na watoto wako mungu atakusaidia

  • @EsterStanslaus-dj6kp
    @EsterStanslaus-dj6kp 5 месяцев назад

    Pole mamy mungu akutie nguvu mm cha kukushauri usikate tamaa

  • @EvelinJuma
    @EvelinJuma 5 месяцев назад +2

    Dada
    Ninakuelewa sana mm nimesha wahi kuishi na mwanaume kama huyo ninamuelewa sna Yani wanaume kama hao jaman wapo Yani mtu haamin mpka atokewe umesha nitokea hiyo na inauma sna 😭😭😭😭ila mm kusema ukweli wangu madebe anaonekana tu hayuko sawa kabsa sio mtu mzuli huyo kabsa inauma mapenzi yanauma san jamoni

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 5 месяцев назад +12

    Mnamlaumu huyu bint wote WAPUMBAVU

  • @user-lr8vm9yd4l
    @user-lr8vm9yd4l 5 месяцев назад +2

    Dada watu mzuri mwenyewe

  • @khadjaiddlis283
    @khadjaiddlis283 5 месяцев назад +1

    Pole sana chanuo kipenzi chetu wanaume mda mwingine wanakera ila nakushauri t achana nae fanya maisha yako

  • @ramadhanikiwanda8392
    @ramadhanikiwanda8392 5 месяцев назад +1

    Madebe ni mshenzi sanaaa kwenye jamiiiii hafai kabisaaaa

  • @pahesalmakai6005
    @pahesalmakai6005 5 месяцев назад

    Jamni usiliye chanuo mwachiye mungu kwachozi lako atalilipia siku moja Madebe laana unayo kwamachozi yamkeo😢😢😢

  • @user-sl6su8cv1g
    @user-sl6su8cv1g 5 месяцев назад

    Pole sana dada yetu daaaaah hadi watoto wake nifala Sana madebe sio mwana ume uyo bana

  • @KimZoo-gx7do
    @KimZoo-gx7do 5 месяцев назад +1

    Pole mwaya chanuo kwakupokea nguo ya mtu alie uchi

  • @kidykodyyusufukod-ud6vg
    @kidykodyyusufukod-ud6vg 5 месяцев назад

    mwanamke ana nafasi kubwa sn kwenye media, akijielezea wa kwanza wew madebe watu awatomuamini asemalo lkn ukwel anajua mungu

  • @mwaminindayishimiye3149
    @mwaminindayishimiye3149 5 месяцев назад +1

    Uyu dada kaniliza 😢😢😢 love from UK in Newcastle

  • @AishaMadizel-nm8de
    @AishaMadizel-nm8de 5 месяцев назад +1

    @mama ngwajima msaidiye chanuo🙏🙏

  • @yonasimion3130
    @yonasimion3130 5 месяцев назад

    Aaaa,! Chanuo ,huyu dada anahitaji mwanaume atakayempenda upendo wa dhati hadi asahau machungu, pole sana.

  • @aishaaisha4549
    @aishaaisha4549 5 месяцев назад +1

    Mungu anakuona madebe mschana wa watu mkarimu.

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y 5 месяцев назад

    Maskini Shanuo Pole mtoto mzuri wataabika sio vzr akii

  • @rehemaathuman7303
    @rehemaathuman7303 5 месяцев назад +1

    Wewe madebe sijui mitungi..kumbuka Kuna mungu..unatesa damu yko!

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 5 месяцев назад

    Mungu atakupa mume mwema madebe kumbee ndio alivo looh

  • @user-nd8gg4ig7m
    @user-nd8gg4ig7m 5 месяцев назад +1

    Asantee dada dida kwa ushauri wako

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 5 месяцев назад

    Pole sana my mungu atakusaidia baadhi ya wanaume mungu anawaona😭😭

  • @ShadyAbdallah-vu7iu
    @ShadyAbdallah-vu7iu 5 месяцев назад +1

    Pole sana chanuo

  • @user-cz6gs3cj3z
    @user-cz6gs3cj3z 5 месяцев назад

    Dah kusema kweli nimeumia Sana mi nilikuwa napenda Sana kazi za madebe kuanzia Leo kazi zake Sina mda nazo

  • @shabani_kitemba
    @shabani_kitemba 5 месяцев назад +1

    YANI NILICHO FIKILIA KWAMBA UYO DADA MADEBE ANA MPENDA SANA SASA ANATAKA KUMTOA MOYONI HARAKA SO NA MSHAULI ASIMTOE MOYON HALAKA .PLS NA KWENYE NYUMBA ASIKAE ATAFUTE UTALATIBU WA KUPANGISHA AU AMLUD ELA

  • @user-yr3ff4hw2v
    @user-yr3ff4hw2v 5 месяцев назад

    Chanuo iyo mitiani tuuh mungu ata kupitisha inshaallah

  • @PiliKhamis-mb6ty
    @PiliKhamis-mb6ty 5 месяцев назад

    Duuh atr nanusu madebe kumbe ww uko ivo pole sana chanuo

  • @janethjerald1737
    @janethjerald1737 5 месяцев назад +9

    Madebe future yake ishaingia doa..ogopa chozi la mtu kumwagika kwa ajili yako

  • @ZainabJuma-iy3qt
    @ZainabJuma-iy3qt 5 месяцев назад

    Dah inaskitisha kwakwel pole sana chanuo mungu atakusimamia kwahilo😢

  • @rerisamba
    @rerisamba 5 месяцев назад

    Waa wanawake 10 ukwimi shikamoo dada shukru Mungu umeachana nae tena nenda kapime huyo hapishi ana pepo la ngono

  • @nurianaramadhan
    @nurianaramadhan 5 месяцев назад

    Hapo madebe sio handsome,angekua handsome huyu kaka si angesumbua sana khaaa

  • @user-tn2io6vk1g
    @user-tn2io6vk1g 5 месяцев назад

    Pole sanaaa dada mungu akutie nguvu

  • @MagdalenaHoja-jh9qg
    @MagdalenaHoja-jh9qg 5 месяцев назад

    Mungu anisamehe madebe ni mbaya wasura ata aendani namrembo uyu,achana nalo limadebe kwenye nyumba usitoke rud kwenye kuigiza basiii

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 5 месяцев назад +1

    Kuna mtu mmoja aliniambia uwe makini sana na wanaume wanaokwambia wameachana wake zao alafu wanakuja kwa gia ya kutaka kuoa wanasiri nyingi sana Hapa sasa namuelewa alichokuwa anamaanisha

  • @user-lk2hb8dk3s
    @user-lk2hb8dk3s 5 месяцев назад

    Mim nipo zanzibr naomba asijiumize m kiukwer nimeumia san kwani maumivu unayptia niliteseka ila ss nimepona nipo singo nahtji mke km huyo aliepitia kipnd kigumu km m nampnd sn chanuo❤

  • @user-os6ut7wy1m
    @user-os6ut7wy1m 5 месяцев назад

    Pole sana da chanuo ni changamoto za ndoa

  • @kerryrummy633
    @kerryrummy633 5 месяцев назад

    She is so beutifuly changamka mabwana wapo wanaokutaka😂

  • @aminamareta9297
    @aminamareta9297 5 месяцев назад

    Chanuo mungu atakiripia kwairo

  • @user-rn3xc9dl7z
    @user-rn3xc9dl7z 5 месяцев назад +1

    Pole sana dada nilikuwa mfusi wake sana lkn nimemtoa akili

  • @liylahahmed829
    @liylahahmed829 5 месяцев назад +2

    InshaAllah kheri ndoa hizi.....

  • @user-zo7bd8tj4y
    @user-zo7bd8tj4y 5 месяцев назад

    Pole dada nmelia kama ww hv sasa Alhamdulillah

  • @user-ms2fk8db8d
    @user-ms2fk8db8d 5 месяцев назад

    Chanuo usijar kila mtihani ni neema mungu amekuandalia neema kubwa mbele muombe mungu

  • @zainabumsafir1182
    @zainabumsafir1182 5 месяцев назад

    Pole sna kipenz na hili nalo litapita kipenz chang Lia na mung atalipa

  • @Chumpa_96
    @Chumpa_96 5 месяцев назад +2

    Pole sana Dada,, ila anachosema Dida kuwa wanaume tumekuwa katili, ni kweli kama anavyosema ila wanawake wamekuwa kama wafanyabiashara wanapenda kitu kwa mwanaume ndio maana tunakuwa kama tunawakomesha hivi, ila kukomesha huku kwa madebe ni Too much...

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 5 месяцев назад

    Polesana chanuo niliyapitia hayoo lakini inshaallah utasimama mungu yupoo

  • @khadijaalmas7578
    @khadijaalmas7578 5 месяцев назад

    Pole mungu atakujibu Pole sana