PART 2: CHANUO - "SIMPENDI TENA MADEBE, NI MKATILI SANA, WATOTO BADO WADOGO"
HTML-код
- Опубликовано: 17 янв 2024
- PART 2: CHANUO - "SIMPENDI TENA MADEBE, NI MKATILI SANA, WATOTO BADO WADOGO"
Hii ni sehemu ya pili ya mahojiano kati ya Muigizaji Chanuo na #Mashamsham ya Wasafi FM ambapo Chanuo amefunguka mambo mazito aliyopitia kwenye ndoa yake na msanii mwenzake Madebe Lidai
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Bi. Chanuo wewe ni mwanamke mzuri insha Allah mwenye zi mungu atakupa Mume.
Ni mrembo huyu Dada mashallah🎉Allah akufanyie wepesi
Ila huyu dada anaonekana alimpenda sana mumewe maskini 😢
Alimpenda n anajua kuvumilia sana😢
Madebe ndo kaanza kufunguwa ukurasa 😂😂 lazima apendwe 😂😂
Ukimsikiliza kwa makini bado anampenda lkn ameona bora amuache aende,inaonyesha pia amepambania sn penz lake lkn wapi co amekuja kwenye mtandao aongee apate ahueni kisha amuache aende anapopenda na yy apate kaz maisha yaende😭😭
Ndio lazima nyie yalinitokea haya kwakwel inauma balaa
Jmn Chanuo usilie mungu anamakusudi na wewe hilo nalo litapita tu. Nilikua shabiki wa Madebee Lakini kwa hili ma Left Group
nimecheka kama mwehu wallah ht mm nimemchukia madebe
Kwann unahukumu kwa kusikiliza upande mmoja
DdDDS add a add add z as s
@@hamzarumela1784kula dole mateso yote hayo😢😢😢
Mungu/MUNGU sio mungu
Mimi wakwanza nimejitoa siangalii tena filamu zake Tena maana nilikua nikimpenda sana madebe ila kwa haya Mimi nawaomba wakenya wenzangu tumejitoa
Wakenya wenzako wapi mmejitoa nao, pumbavu zako ivo, jitoe pekee yako
Yaani namwelewa Sana Huyu dada kwa ambaye hajawahi kupitiya hayo mshukuru mungu kun wanaume wapole mpk ukimwambia mtu haamni pol San dada😢😢
Kabisa tumepitia wengi hayo kwakwel cjui wanaume wa siku hizi wapoje
Allah atakufanyia wepesi in sha allah , kua na subra malipo hapa hapa duniani ikiwa anajiona jabari mbelen kidogo atalipwa wala usiwe na wasiwasi swali sana mshkuru mungu haki ya mtu siku zote hailiki
Pole sana kipenzi chanuo
Dada nakushauri Usiondoke kwenye nyumba komaa,Tafuta mtaji Tu Mungu atakujalia. Wewe ni jeshi Kubwaaaa.
Pole sana chanuo weesimama kama mama pambania watt wako waume wote nawaitaga maumbwaaa 2 unavyoumia mie pia nilipitia hayo ila nimesimama kama mama napambn nia maisha yangu nayamtt wangu
Madebe hana tofauti na aliekua mwanaume wangu
Hayo mambo yapo sana jomon omba yasikukute uyasikie tu 😢😢pole sana chanuo.
Wallah da dida huyu dada ameniliza 😢😢😢😢nimetoa machozi mpka nimehisi ni mimi .Mungu awatie nguvu wanawake wote wanaopitia kipindi kama hiki.
Naba yachanuwo tumusadiye weye tuko kenya🇰🇪
Watatoa ndg zetu wakenya tunawapenda hii story inauma saaaana
Pole sana chanuo inshallah mung atakufanyia wepes na hili litapta tu kwa uwezo Wa mung
Mshenzi sana huyo kaka simpendi Tena ata movie zako hatutozifagilia
Bado unampenda mumeo ila mmeshindwa kujuana vizuri mumeo ni penda penda mi natamani usilie Tena pambania maisha Yako mungu atakusimamia.
Kunawakati muda ndio unaamua katika maisha kulio sio mwisho wa matatizo katika dunia kikubwa kumuomba mungu akufanyie wepesi katika maisha yako mtoto sio kifungo utalea siku zote watakuwa tu mungu ndio atawakuza kwakila hali
Muomba mungu achoki
Ila mwamba umefeli sana kumliza mwanamke kulia kote unafikilia atakaa anateseka siku zote kilakicholiwa kina stilika muombe msamaa mkeo na alidhie awe hulu na maisha yake yawew ya amani kutoa talaka na kupokea talaka ya kinyong amuna mpe uhulu andelee na yakwake
Pole dada yangu wengi tunapita huko mungu akupe nguvu utashinda
Huyo madebe mwambieni siku nikikutana nae atajuta kuzaliwa atageuka makopo siku hioo atafurahi na shoo pole saana chanuo mungu mbele yako inshallah biidhinillah
😂😂😂 kweli umechafukwa
😂😂😂😂😂
Madebe anapiga ngumi balaa,usijaribu kumgusa ukikutana naye😂
Pole mama boss usilie kipenz mungu akupe subir kipenz
Wanawake n visirani sn, asa wakipata mtu akiwapigilia msumari ndio huja kujitilisha huruma km ivi, ila kiukweli asa wanawake ndio wanaanza kisha cc tunamaliza, big up sn Madebe🎉
E makubwa ko hao wanawake wote ndio wanashida ? Nisameh ila nakutukana wew ni mjinga
Hata km ni mwanamme mwenzio unausapoti ujingavkm anaoufanya madebe kumbuka wanawake ni mama zetu .imagine huyu dada ni ndugu yako wa dam ungefirahia ndugu yako apitie hayo.hujui ulitendalo kwa kweli. Na dunia itamfunza
@@hamidawamba nimeshakusamehe zamani sn ww endelea kutukana zaidi na zaidi na kamwe mm cwezi jibu tusi wala siumii coz huna tusi jipya utarudiaridia tu😃 ila mm nawafahamu wanawake kwa uzoefu wa kuishi nao lkn pia kwa kuwasoma , yan mwanamme acpokua na ustahimilivu wa hali ya juu anapoishi na mwanamke ndio hutokea hayo, coz wanawake n visirani sn...
@@MadamAsya2024England tatizo lenu n kuckiliza kesi upande mmoja n lazma ule upande mwingine utauona m'baya, ila ukwl huwezi kuujua coz hawezi kuuzungumza ukwl ulivyo hasa, hivi ww unadhani yy huyo Chanuo n mkamilifu hana mapungufu yake? Jeee amesema hata moja na yy alilowahi kumkosea mmewe? Ujue kwmb ukwl hasa bdo haujasemwa mpk pale atakapopewa mda na muhucka wa upande mwingine, yan usihukumu kwa kuckiliza upande mmoja...
Huyu kabila moja sio bure na ndo mibaba ya hovyo kama huyo madebe aan mijaume kero tupu kama wametoka kuzimu aan mtihan
😢😢😢😢ndoa niache mapenzi niache😢😢😢😢omba Mungu uishie kuona na kusikia tu kwa mwenzio yasikukute
EEEEH
Niatari
@@SifaWangyaShabani-nt5ww Mungu atufanyie wepesi kwa akili zetu hatuwezi
@@allahisone6386 Mungu atupiganie binadamu tumebadilika sana tumekuwa wanyama kupita hata hao wanyama wenyewe
Mamy yote mitihani ya maisha na mungu haezi mpa mja wake mtihani asio uweza mamy Mungu yuko kilakitu kitakua sawa😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Chanuo ww dada mpambanaji na unakipaji sana kuwa n subra ukianguka usichoke kusimama mungu yupo
Kamambwaimbwaitu asante mtangamwenzangu kwakuwekawazi umefichua mamboyake bigpuusilie mungu yupo
Ataoa mpaka Majini mwache, mungu akufanyie wepes
Uwiiiiii yani pole unapita sehemu ngumu kama nilikopita miaka kumi ilopita but now GLORY TO GOD. yatapita dada japo siyo rahisi sana mwamini Mungu tuu.
Chanuo pole my. Usilie kamahivyo! Utakufa uache watoto wako juu ya mwanaume filauni. Mungu akulinde. Wanawake klasiku mnaambiwa msijenge na wanaume. Madebe yamkojo, rudisha akauti yamwenzio kwajili yakupata riziki na watoto wenu sura mchemsho wewe🥺🥺
W chanuo ww mzuri Sana usilie
Pole Sana mungu anamuona
Jmn dida wallah nakupenda sana daaaahh...!!eti unajua mwisho wake kipindi chenu kinaraha
Dada Pole sana Mungu awe no moja kwako muachilie msamehe anza maisha yako upya naamini Mungu amekupitisha hapo darasani usome ujifunze minazani wale watu wanaojifanya waelimisha jamii ndio wanaongoza kufanya uhalifu nakupotosha jamii chozi lako haliendi bure Mshukuru Mungu sana dada Mungu atakusaidia
Ila wanaume wengine jmn wanajuwa kutupa mateso yaliyopitiriza hadi mtu unajikatia tama 😢eeh Mungu tusaidie 💔😭
Dah! Mm nimeumia sana jaman dada pole na mungu akutie nguvu na hiyo nyumba usiiachie pamban ili uishi na watoto kwa amani
Mungu akufanyie wepesi babyyy inshalla 🥺🥺🥺😔🙌🏾
Hata hili litapita kipenzi, pole sana
Shanua pambana usilie wanaume wapo weng tu endeleza maisha yako achana nae
Sio shanuo ni chanuo😂😂😂😂 jamani
@@Zainab_salat 😂😂😂😂😂
@@kombokichwa815 umefurahi? 🤣🤣🤣🤣
Mimi kuazia leo sitazami tena move zako madebe unamtesa mdogo wangu chanua
Pole sana chanuo mungu atakulipia usimuachie nyumba pambana simama imara kama mwanamke pambania hakiyako
Wanawake mwalimu wetu kipofu ila Nakupenda tunajua jamani mungu tusaidie.😢😢😢
😭😭😭😭 pole Mwanamke mwenzangu
Usijari. Dada. Yangu. Yote. Nichangamoto. Za maisha usirie. Pambana
Pole san chanuo usilie jipe moyo utashind huwez jua mungu amekuepush namangp yanbelen esabu haikuwa lizk namwingne atakja zaid yake❤
insha'Allah chozilako halianguki bule atakujakwamagoti Munguyupo mpenz polesana my dear angalia MaIsha pambana kwaajiliyawtt wako Mungu atakupa hitaji lamoyowako.
dah pole sana dada unastahili kupata mwanaume mwenye upendo na uelewa na uvumilivu juu ya ndoa. atajua siku ambayo umepata pumziko lako la moyo.
Pole sana kipenzi changu
Madebe kumbuka kama Kuna Mungu kutesa mkee na watoto wajifanya mzuri kuogeza kutaka sifa kwatu kwako kwaharibika Mungu atalipiya huyo mwanamke kwa chozi lake Allah atakufanyia wepesi dada
Nimelia kwawuchung😭😭😭😭allah akuekee wepes kwakila jambo
Dah nimelia kwa uchungu sana allah akujaalie subra na uvumilivu insha Allah 😢
Naipenda movie yake kaanzaa na Mungu ibariki Tanzania maneno mazuri sana kumbe hivyooo ipo siku nae atapiga magoti
Subuhana llahu polesana mwanamkemwanzangu najuwa wakati unapitia najuwahayomaumivi unapitia nishawahi kuyapitia polesana allah akupe subra nanguvu
Haswa Mungu akupe uvumilivu na subra
Mim nipo zanzibr naomba asijiumize m kiukwer nimeumia san kwani maumivu unayptia niliteseka ila ss nimepona nipo singo nahtji mke km huyo aliepitia kipnd kigumu km m nampnd sn chanuo❤❤❤❤❤
Jamani acha kulia unatuliza wengi unalia kwa hisia sana unaumia ipo siku utafurahi utasahau yaani hadi mtoto hajaingia shule unalia sana hadi mtua akiangalia unajikuta na wewe unalia pole Allaah atakupa mume mwema
Jamni huyu dada kanifanya nilie kwa uchungu utafikiri ni mimi. Mungu amsaidie
Pole Dada yangu mungu akupe mume mzuri usilie siz ❤️ madebe
Uxipo hajibika kama mke ujuwe kuna mke mwingine zaidi yako
Madebe lidai ❤
pole sana daaha yani nimeumia sana pole mdogo wangu mungu akutie nguvyu katika ichi kipindi ichi kingumu
pole sana mdogo wangu usilie simama na watoto wako mungu atakusaidia
Pole mamy mungu akutie nguvu mm cha kukushauri usikate tamaa
Dada
Ninakuelewa sana mm nimesha wahi kuishi na mwanaume kama huyo ninamuelewa sna Yani wanaume kama hao jaman wapo Yani mtu haamin mpka atokewe umesha nitokea hiyo na inauma sna 😭😭😭😭ila mm kusema ukweli wangu madebe anaonekana tu hayuko sawa kabsa sio mtu mzuli huyo kabsa inauma mapenzi yanauma san jamoni
Mnamlaumu huyu bint wote WAPUMBAVU
Dada watu mzuri mwenyewe
Pole sana chanuo kipenzi chetu wanaume mda mwingine wanakera ila nakushauri t achana nae fanya maisha yako
Upo sahihi sana
Madebe ni mshenzi sanaaa kwenye jamiiiii hafai kabisaaaa
Jamni usiliye chanuo mwachiye mungu kwachozi lako atalilipia siku moja Madebe laana unayo kwamachozi yamkeo😢😢😢
Pole sana dada yetu daaaaah hadi watoto wake nifala Sana madebe sio mwana ume uyo bana
Pole mwaya chanuo kwakupokea nguo ya mtu alie uchi
mwanamke ana nafasi kubwa sn kwenye media, akijielezea wa kwanza wew madebe watu awatomuamini asemalo lkn ukwel anajua mungu
Uyu dada kaniliza 😢😢😢 love from UK in Newcastle
❤
@mama ngwajima msaidiye chanuo🙏🙏
Aaaa,! Chanuo ,huyu dada anahitaji mwanaume atakayempenda upendo wa dhati hadi asahau machungu, pole sana.
Mungu anakuona madebe mschana wa watu mkarimu.
Maskini Shanuo Pole mtoto mzuri wataabika sio vzr akii
Wewe madebe sijui mitungi..kumbuka Kuna mungu..unatesa damu yko!
Mungu atakupa mume mwema madebe kumbee ndio alivo looh
Asantee dada dida kwa ushauri wako
Pole sana my mungu atakusaidia baadhi ya wanaume mungu anawaona😭😭
Pole sana chanuo
Dah kusema kweli nimeumia Sana mi nilikuwa napenda Sana kazi za madebe kuanzia Leo kazi zake Sina mda nazo
YANI NILICHO FIKILIA KWAMBA UYO DADA MADEBE ANA MPENDA SANA SASA ANATAKA KUMTOA MOYONI HARAKA SO NA MSHAULI ASIMTOE MOYON HALAKA .PLS NA KWENYE NYUMBA ASIKAE ATAFUTE UTALATIBU WA KUPANGISHA AU AMLUD ELA
Chanuo iyo mitiani tuuh mungu ata kupitisha inshaallah
Duuh atr nanusu madebe kumbe ww uko ivo pole sana chanuo
Madebe future yake ishaingia doa..ogopa chozi la mtu kumwagika kwa ajili yako
Dah inaskitisha kwakwel pole sana chanuo mungu atakusimamia kwahilo😢
Waa wanawake 10 ukwimi shikamoo dada shukru Mungu umeachana nae tena nenda kapime huyo hapishi ana pepo la ngono
Hapo madebe sio handsome,angekua handsome huyu kaka si angesumbua sana khaaa
Pole sanaaa dada mungu akutie nguvu
Mungu anisamehe madebe ni mbaya wasura ata aendani namrembo uyu,achana nalo limadebe kwenye nyumba usitoke rud kwenye kuigiza basiii
Kuna mtu mmoja aliniambia uwe makini sana na wanaume wanaokwambia wameachana wake zao alafu wanakuja kwa gia ya kutaka kuoa wanasiri nyingi sana Hapa sasa namuelewa alichokuwa anamaanisha
Mim nipo zanzibr naomba asijiumize m kiukwer nimeumia san kwani maumivu unayptia niliteseka ila ss nimepona nipo singo nahtji mke km huyo aliepitia kipnd kigumu km m nampnd sn chanuo❤
Pole sana da chanuo ni changamoto za ndoa
She is so beutifuly changamka mabwana wapo wanaokutaka😂
Chanuo mungu atakiripia kwairo
Pole sana dada nilikuwa mfusi wake sana lkn nimemtoa akili
InshaAllah kheri ndoa hizi.....
Pole dada nmelia kama ww hv sasa Alhamdulillah
Chanuo usijar kila mtihani ni neema mungu amekuandalia neema kubwa mbele muombe mungu
Pole sna kipenz na hili nalo litapita kipenz chang Lia na mung atalipa
Pole sana Dada,, ila anachosema Dida kuwa wanaume tumekuwa katili, ni kweli kama anavyosema ila wanawake wamekuwa kama wafanyabiashara wanapenda kitu kwa mwanaume ndio maana tunakuwa kama tunawakomesha hivi, ila kukomesha huku kwa madebe ni Too much...
Polesana chanuo niliyapitia hayoo lakini inshaallah utasimama mungu yupoo
Pole mungu atakujibu Pole sana