CHERRY afunguka anavyoishi na mpenzi wake ELTON bila kumuambuza virusi , tunapendana sana ,hatujali

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2024

Комментарии • 28

  • @allyomary2271
    @allyomary2271 5 месяцев назад +1

    Hongereni sana kwa kujiamini kiasi hicho jamii inamtazamo hasi sana juu ya swala hili

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 5 месяцев назад +1

    Hatari mungu anisuru na kuishishi na mtu mwenywe ukimwi siyo rahis mungu anisuru ishaalah na mtu mwenywe maradhi ya ukimwi sihitaji yarabi 😢

  • @RashidAbubakar-qw6pl
    @RashidAbubakar-qw6pl 5 месяцев назад +3

    Dada uyu nimkweli kabisa ata mimi nimewai kuwa kimausiano na dada alikuwa na hiv lakin mpaka sasa mimi nimzima

  • @user-eo4hd8xu6d
    @user-eo4hd8xu6d 5 месяцев назад

    😢😢😢mmhhh mnaigiza AU kwel ,,,huo ujasiri mmeutoa wap,,,mbn mie naogopa

  • @luminyaelias3688
    @luminyaelias3688 5 месяцев назад +2

    Congratulations bro

  • @jeremiahmtui6822
    @jeremiahmtui6822 5 месяцев назад

    Mungu awatangulie na asanteni sana kwa elimu hii

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 5 месяцев назад

    Kweli mwanangu,uko sahihi👍👍👍

  • @user-se8hb2qr7y
    @user-se8hb2qr7y 5 месяцев назад

    Bro mungu akubariki

  • @shukurukitamuka6829
    @shukurukitamuka6829 5 месяцев назад +1

    Uyo kk Ana tumia vindongo vyakujilinda naukimwi, ivyo vindongo unavinywa week Kisha ndo unafanya mapenzi ila Kilasiku unatumia kimoja, hapo kila ukilala na mtu wa ukimwi uhuwezi uchukuwa ukimwi

  • @NeemaSamson-ti8pc
    @NeemaSamson-ti8pc 5 месяцев назад

    😄😄😄😄😄unanichekesha bwana sio hivyo anaishi miaka mingi tu kama mtu mwingine

  • @pascalvirgilio7208
    @pascalvirgilio7208 5 месяцев назад +1

    PREP MEDICINE

  • @mrishomkolela4633
    @mrishomkolela4633 5 месяцев назад

    Exactly

  • @Charz_lamar
    @Charz_lamar 5 месяцев назад

    Dah ngja nkapime🤕

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 5 месяцев назад

    INAKUWA LAKIN SIO RAHIS KAMA INAVYOONEKANA,,,,,MASHARTI KILA KUKICHA MPAKA KIFO CHENU..(NI NGUMU)

    • @gladnesstarimo6035
      @gladnesstarimo6035 5 месяцев назад

      Masharti ni kwamba ni kumeza dawa kwa muda sahihi kila siku, kula vizuri, kutokutumia vilevi kabisa, kuacha umalaya kabisa na kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu kwa asilimia zote.... Hayo ndiyo masharti ya muhimu na basic, ambayo watu wengine huona ni magumu mnooo, wao wameyaweza ndio maana ikawa rahisi kama hivyo unavyoona..... Usipozingatia hayo masharti,,,,, mambo yatakuwa magumu kama ndoto ya kujenga angani kwenye mawingu.... Na masharti ndio hayo sasa..... Sasa ndio mjifunze ilikusudi wanaume muache mfumo dume wenu wakusisitiza umalaya mpaka kwa watoto wenu wa kiume mkisema ni urijali, shida ipo waziwazi, shetani hana huruma na binadamu kabisaaaa siku zote anakoleza asali kwenye sumu kali anakupa bure tu, binadamu unachekelea unaona ume win kumbe umeshayatimba...... Kwani hivyo Virusi Vya Ukimwi ni uumbaji wa Mungu au ni vya asili?,,, hivyo virusi vipo kuwafadhaisha wanadamu na ni tishio mpaka kesho, labda kama itapatikana dawa ya kutibu..... Ila kwa Sasa masharti ndio hayo....

    • @amoonatnzani9834
      @amoonatnzani9834 5 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @selemanikungu8039
    @selemanikungu8039 5 месяцев назад

    😂😂

  • @billimambo9517
    @billimambo9517 5 месяцев назад

    Jamaa ana uhakika atakula peke yake

  • @FelisterMunissy
    @FelisterMunissy 5 месяцев назад +1

    Ww kaka unaishi na mtu mwenye ukimwi umeamua kuingia kwenye geneza mwenyewe kisa ngono yani ww huenda unao elemishe nn wakati ameoza huyo hamna kitu huyo anakufa mda wowote kumbe ulikuwa malaya shetani ww unajidhalilisha ww kaka kimbia geneza hilo ni kaburi liko njiani hakuna kutoka mvi huyo anakata moto mda wowote

    • @husseinbakary1969
      @husseinbakary1969 5 месяцев назад

      Daaah kuwa na stara basi we mbwa

    • @user-qm1vw9xw2b
      @user-qm1vw9xw2b 5 месяцев назад +1

      Ume​ona pia ww yuko na hasira kama ni ex wake😂😂

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 5 месяцев назад +1

      Wewe likimbie jenezq hivyo hivyo, kwanza huyo unayelala nae mmepima

    • @aminakilingamoyo6945
      @aminakilingamoyo6945 5 месяцев назад +2

      Hivi wewe mzima kweli? Eti kimbia jeneza acha ujinga,tatizo lako unaona uko salama wakati Wala hujapima, acha kunyanyapaa wenzio ni tabia mbaya sana Tena sana

    • @jamaa_17
      @jamaa_17 5 месяцев назад +2

      Hata wewe utakufa tafuta mtu akupende acha WIVU