MAPYA YA MREMBO CHERRY ANAYEISHI NA VIRUSI VYA UKIMWI, APATA SHAVU “MUME BADO NIPO NAE”

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 91

  • @NeemaSamson-ti8pc
    @NeemaSamson-ti8pc 5 месяцев назад +6

    Hongera dada kwa ujasiri ulionao, unyanyapaa ni ujinga pia ni imani potofu, ingawa watu bado ni wagumu kuelewa hasa watanzania, wamejaa kukejeli tu na dharau

  • @DeboraUrassa-h6n
    @DeboraUrassa-h6n Месяц назад +1

    Mungu ni mtetezi wako chery

  • @AsteriaMontgomery
    @AsteriaMontgomery 11 дней назад

    Hongera dada kwa kuelimisha

  • @najatramadhani6300
    @najatramadhani6300 5 месяцев назад +5

    Hongera dada mungu azidi kukupingania😊

  • @zainab8251
    @zainab8251 5 месяцев назад +4

    Nakupenda sana dada MUNGU akujalie maisha marefu uendelee kuelimisha jamani ❤❤❤

  • @JenifaJohn-k5d
    @JenifaJohn-k5d 5 месяцев назад +14

    Watu wana view tu hamana hata like.....anyway hongerah dada ww ninshujaaa

    • @JacqDaniels-hu5xj
      @JacqDaniels-hu5xj 5 месяцев назад

      ​@@NeemaSamson-ti8pcnaona hunajamuelewa mwenzio soma Tena coment yake

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc 5 месяцев назад

      Sorry mwaya kwa hiyo coment nimekosea stres nyingi

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc 5 месяцев назад

      @@JacqDaniels-hu5xj daaah aiseee kweli bwana cijui ni haraka

  • @zaituniendaloveyoutanasha.1258
    @zaituniendaloveyoutanasha.1258 5 месяцев назад +1

    Nakupenda sana cherry wangu mungu akutunze ❤

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 5 месяцев назад

    Hongera ni kweli kabisa ni mfano wa kuigwa watu km unavyo tumia Arv tii mashart jitambue jitunze utaishi muda mrefu sana

  • @MajaliwaMhungati
    @MajaliwaMhungati 2 месяца назад

    Pole saana pia hongera saana...wewe ni shujaa

  • @ibrahimkasim922
    @ibrahimkasim922 5 месяцев назад +1

    Hongera dada

  • @ezronhussen5401
    @ezronhussen5401 5 месяцев назад

    ❤❤❤nakupenda sana da cherry 😊

  • @Babygirl758
    @Babygirl758 5 месяцев назад +2

    ana ngozi nyororo hana hata doa, allahuma Barik

  • @lilianwaflotina1288
    @lilianwaflotina1288 5 месяцев назад +6

    Kuugua siyo kufa mungu atskusaidia

    • @Lulucut
      @Lulucut 5 месяцев назад

      Wewe mzima😂😂😂

  • @gracemil9714
    @gracemil9714 5 месяцев назад

    Nakupenda

  • @JeanneManirakiza-tg4kr
    @JeanneManirakiza-tg4kr 2 месяца назад

    🇧🇮🇧🇮 nakupenda dada

  • @gracebuhatwa6359
    @gracebuhatwa6359 2 месяца назад

    DEO good person niliwahi kufanya naye kazi

  • @matrida.lunyilija5196
    @matrida.lunyilija5196 5 месяцев назад

    Hongera sana ,tuwekee no sasa tuwasiliane na wewe

  • @neycoleclassic4426
    @neycoleclassic4426 5 месяцев назад

    Cherry ❤

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 5 месяцев назад

    Dada wewe ni shujaa, hongera sana, kwenye Elimu ungeongeza na kipengele cha ubakaji umekua mwingi mavyuoni, mashuleni, majumbani, wanaume wabadilishe tabia kubaka kunazidisha maambukizo

  • @shafiismaily9223
    @shafiismaily9223 5 месяцев назад +1

    Ugonjwa siyo kifo!! Kila mtu atakufa kwa wakati wake!! Ni wangapi wamekufa bila kuumwa!? Tambua hilo?

  • @angelrichard899
    @angelrichard899 5 месяцев назад +1

    Nakupenda xana cherry MUNGU AKUBARIKII XANA.....

  • @MwanadiRajabu
    @MwanadiRajabu 5 месяцев назад

    mm nilikuwa naitaji kuonana nae

  • @NeemaKwingwa
    @NeemaKwingwa 5 месяцев назад +1

    Ayo huwa anatoa taarif zamaana nazakwel hatafut kik

  • @AmAl-x9j
    @AmAl-x9j 5 месяцев назад +1

    Kwani kua na ukimwi ni ajabuuuu

  • @MrMr-fr9dx
    @MrMr-fr9dx 5 месяцев назад +2

    Mm nataka namba zako dada

    • @vickysimon5459
      @vickysimon5459 4 месяца назад

      Ofisi zenu za nakopha kwa hapa dar ziko wapi

  • @boscokikoti
    @boscokikoti 5 месяцев назад +4

    Ww ni shujaa...nakupa maua yako

  • @TinahFrank
    @TinahFrank 5 месяцев назад

    ❤❤❤

  • @philibertphilipo9569
    @philibertphilipo9569 5 месяцев назад +2

    Nyie bila kupewa hela mnafanyia mtu Interview acheni uboya

    • @husseiniddy5401
      @husseiniddy5401 3 месяца назад

      ukiangalia tu kwenye mtandao unaweka bando nikama unawalipa

    • @2116-n
      @2116-n Месяц назад

      Jamaa Hawa ukiwaona wanafanya interview unaweza kudhani ni bure, hizo wanaofanyiwa interview WANAKUWA wamelipia, KUPATA interview ya Bure labda uwe umekutwa na tukio ambalo wao watauza habari km ajali, kuibiwa n.k

    • @2116-n
      @2116-n Месяц назад

      Hivi huyu si ndio yule alimpiga chini yule jamaa yetu aliyekubali kumuoa licha ya kwamba anamaambukizi, au namfananisha

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube 5 месяцев назад +3

    Naomba namba nijaribu nahisi sitopata ngoma

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc 5 месяцев назад +1

      Acha kumdhihaki dada wa watu pia acha dharau

    • @Asiamohammed1317
      @Asiamohammed1317 5 месяцев назад +1

      Uzuzu sio lazima kuokota makopo boya wewe uliambiwa yupo kwenye majaribio kubwa zima ovyooo

    • @Lodrickmwambene
      @Lodrickmwambene 5 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂😂

    • @Asiamohammed1317
      @Asiamohammed1317 5 месяцев назад

      @@Lodrickmwambene analeta ungese kwenye maisha ya watu sijui lina heartbreaking 😳😳

  • @ReginaErnest-cf6ji
    @ReginaErnest-cf6ji 5 месяцев назад

    Congratulations ❤❤❤❤

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 5 месяцев назад

    Huyu dada ni wamfano wa kuigwa

  • @IsmailMajani
    @IsmailMajani 5 месяцев назад

    Daa kama alibakwa na watu je walichukuliwa hatua Gani?

    • @ramlahaji830
      @ramlahaji830 2 месяца назад

      Hatua gani ?? Na watu walikimbia + Hawakupatikna

  • @hallin9561
    @hallin9561 5 месяцев назад +3

    Ukimwi unadawa majameni kazi kuziendekeza ARV Tu

    • @openglo
      @openglo 5 месяцев назад

      Wazikudanganye matapeli akuna dawa ya ukimwi.

    • @ramlahaji830
      @ramlahaji830 2 месяца назад

      ARV ndio tiba sahihi ww- Jielimishe- Na usiwe Mjinga

  • @bienvenukichambaomar5067
    @bienvenukichambaomar5067 5 месяцев назад

    Ukimwi una dawa kwa sasa

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc 5 месяцев назад

      Ndio dawa ipo ila tatizo tumeshikiwa akili na wazungu

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 5 месяцев назад

      ​@@NeemaSamson-ti8pchawataki kusikia kabisa hizo zingine

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc 5 месяцев назад

      @@fatmazullu4933 ndio hapo sasa figo zinazidi kuharibika na ini

    • @openglo
      @openglo 5 месяцев назад +1

      ​@@NeemaSamson-ti8pcusidanganywe wewe akuna dawa muombe Mungu yasikukute.

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc 5 месяцев назад

      @@openglo sio kwamba nadanganya hakuna ugonjwa usiokuwa na dawa sema tumeshakaririshwa hivyo na wazungu kuwa hakuna dawa, ila suluhishi lipo, mi naamini hakuna tatizo lisilo na utatuzi hapa duniani ni sisi wenyewe waafrica tunaamua kushikiwa akili na wazungu wakati kuna miti ya kila aina na mimea ya kila aina we unadhani mungu aliumba ya nini? Miti hiyo au dawa za asili ni muhimu sana kuliko hizo dawa za kunywa kila siku ambazo zinaua figo na ini, upo?

  • @rashowshine7849
    @rashowshine7849 5 месяцев назад

    Shida siyo ukimwi shida ni kumeza hizo ARVs kila siku tena bila kupitishanisha masaa 😢 kama hizi za mafua yakipungua kidogo unasahau kama kunakumeza dawa

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc 5 месяцев назад

      Hapo ndipo adhabu mtu anatumikia kibaya zaidi hizo dawa zinaenda kuua figo na ini taratibu

    • @khadijabakari2932
      @khadijabakari2932 5 месяцев назад

      Hauwezi kusahau kama mtu unaumwa aiseee unaweza ukala dawa hata kabla ya mda😊😊😊

    • @SarahKaima
      @SarahKaima 2 месяца назад

      ​@@NeemaSamson-ti8pcmmmh acha kupotosha watu ety zinauwa figo wapi

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc 2 месяца назад

      @@SarahKaima ni ukweli sio kwamba napotoaha watu

    • @SalmaMoris-d5r
      @SalmaMoris-d5r 28 дней назад

      Haziuwi figo wala ini usitishe watumiaji ,maana hakuna anaetaka yamfike ila ni mipango ya mungu tu likukute ​@@NeemaSamson-ti8pc

  • @franktangeki9342
    @franktangeki9342 5 месяцев назад +4

    kafikia stage Virusi vya ukimwi Vimelala anaweza kufanya mapenzi na mtu mwingine.Jameni ebu nitumieni picha ya virusi vya ukimwi vikiwa vimelala ndio ntaamini si tuna wataalamu muhimbili wakuweza kutueleza kama virusi viko macho au vimelala ?

    • @lickymaker5857
      @lickymaker5857 5 месяцев назад

      😂

    • @vickysteven1172
      @vickysteven1172 5 месяцев назад

      😂😂

    • @HamidaMwenje
      @HamidaMwenje 5 месяцев назад

      😂😂😂

    • @dorcassalvatory1518
      @dorcassalvatory1518 5 месяцев назад +1

      Ukitumia vzr dawa zako Kuna stage ikifika hauwez kumuambukiza mtu yyt yule

    • @edwinalexander1170
      @edwinalexander1170 5 месяцев назад +1

      Sasa wewe nenda peku peku ukiwa umeaminishwa virusi vimelala usingizi ndo utajua. Cheza salama mzee 😊😊😊😊

  • @khadijabuberwa3362
    @khadijabuberwa3362 5 месяцев назад

    Nakupenda

  • @kajalamaganga1913
    @kajalamaganga1913 5 месяцев назад

    ❤❤