Hongera dada kwa ujasiri ulionao, unyanyapaa ni ujinga pia ni imani potofu, ingawa watu bado ni wagumu kuelewa hasa watanzania, wamejaa kukejeli tu na dharau
Dada wewe ni shujaa, hongera sana, kwenye Elimu ungeongeza na kipengele cha ubakaji umekua mwingi mavyuoni, mashuleni, majumbani, wanaume wabadilishe tabia kubaka kunazidisha maambukizo
Jamaa Hawa ukiwaona wanafanya interview unaweza kudhani ni bure, hizo wanaofanyiwa interview WANAKUWA wamelipia, KUPATA interview ya Bure labda uwe umekutwa na tukio ambalo wao watauza habari km ajali, kuibiwa n.k
@@openglo sio kwamba nadanganya hakuna ugonjwa usiokuwa na dawa sema tumeshakaririshwa hivyo na wazungu kuwa hakuna dawa, ila suluhishi lipo, mi naamini hakuna tatizo lisilo na utatuzi hapa duniani ni sisi wenyewe waafrica tunaamua kushikiwa akili na wazungu wakati kuna miti ya kila aina na mimea ya kila aina we unadhani mungu aliumba ya nini? Miti hiyo au dawa za asili ni muhimu sana kuliko hizo dawa za kunywa kila siku ambazo zinaua figo na ini, upo?
Shida siyo ukimwi shida ni kumeza hizo ARVs kila siku tena bila kupitishanisha masaa 😢 kama hizi za mafua yakipungua kidogo unasahau kama kunakumeza dawa
kafikia stage Virusi vya ukimwi Vimelala anaweza kufanya mapenzi na mtu mwingine.Jameni ebu nitumieni picha ya virusi vya ukimwi vikiwa vimelala ndio ntaamini si tuna wataalamu muhimbili wakuweza kutueleza kama virusi viko macho au vimelala ?
Hongera dada kwa ujasiri ulionao, unyanyapaa ni ujinga pia ni imani potofu, ingawa watu bado ni wagumu kuelewa hasa watanzania, wamejaa kukejeli tu na dharau
Mungu ni mtetezi wako chery
Hongera dada kwa kuelimisha
Hongera dada mungu azidi kukupingania😊
Nakupenda sana dada MUNGU akujalie maisha marefu uendelee kuelimisha jamani ❤❤❤
Watu wana view tu hamana hata like.....anyway hongerah dada ww ninshujaaa
@@NeemaSamson-ti8pcnaona hunajamuelewa mwenzio soma Tena coment yake
Sorry mwaya kwa hiyo coment nimekosea stres nyingi
@@JacqDaniels-hu5xj daaah aiseee kweli bwana cijui ni haraka
Nakupenda sana cherry wangu mungu akutunze ❤
Hongera ni kweli kabisa ni mfano wa kuigwa watu km unavyo tumia Arv tii mashart jitambue jitunze utaishi muda mrefu sana
Pole saana pia hongera saana...wewe ni shujaa
Hongera dada
❤❤❤nakupenda sana da cherry 😊
ana ngozi nyororo hana hata doa, allahuma Barik
Kuugua siyo kufa mungu atskusaidia
Wewe mzima😂😂😂
Nakupenda
🇧🇮🇧🇮 nakupenda dada
DEO good person niliwahi kufanya naye kazi
Hongera sana ,tuwekee no sasa tuwasiliane na wewe
Cherry ❤
Dada wewe ni shujaa, hongera sana, kwenye Elimu ungeongeza na kipengele cha ubakaji umekua mwingi mavyuoni, mashuleni, majumbani, wanaume wabadilishe tabia kubaka kunazidisha maambukizo
Ugonjwa siyo kifo!! Kila mtu atakufa kwa wakati wake!! Ni wangapi wamekufa bila kuumwa!? Tambua hilo?
Nakupenda xana cherry MUNGU AKUBARIKII XANA.....
Naomba namba zako
Ubarikiwe
mm nilikuwa naitaji kuonana nae
Ayo huwa anatoa taarif zamaana nazakwel hatafut kik
Kwani kua na ukimwi ni ajabuuuu
Mm nataka namba zako dada
Ofisi zenu za nakopha kwa hapa dar ziko wapi
Ww ni shujaa...nakupa maua yako
❤❤❤
Nyie bila kupewa hela mnafanyia mtu Interview acheni uboya
ukiangalia tu kwenye mtandao unaweka bando nikama unawalipa
Jamaa Hawa ukiwaona wanafanya interview unaweza kudhani ni bure, hizo wanaofanyiwa interview WANAKUWA wamelipia, KUPATA interview ya Bure labda uwe umekutwa na tukio ambalo wao watauza habari km ajali, kuibiwa n.k
Hivi huyu si ndio yule alimpiga chini yule jamaa yetu aliyekubali kumuoa licha ya kwamba anamaambukizi, au namfananisha
Naomba namba nijaribu nahisi sitopata ngoma
Acha kumdhihaki dada wa watu pia acha dharau
Uzuzu sio lazima kuokota makopo boya wewe uliambiwa yupo kwenye majaribio kubwa zima ovyooo
😂😂😂😂😂😂
@@Lodrickmwambene analeta ungese kwenye maisha ya watu sijui lina heartbreaking 😳😳
Congratulations ❤❤❤❤
Huyu dada ni wamfano wa kuigwa
Daa kama alibakwa na watu je walichukuliwa hatua Gani?
Hatua gani ?? Na watu walikimbia + Hawakupatikna
Ukimwi unadawa majameni kazi kuziendekeza ARV Tu
Wazikudanganye matapeli akuna dawa ya ukimwi.
ARV ndio tiba sahihi ww- Jielimishe- Na usiwe Mjinga
Ukimwi una dawa kwa sasa
Ndio dawa ipo ila tatizo tumeshikiwa akili na wazungu
@@NeemaSamson-ti8pchawataki kusikia kabisa hizo zingine
@@fatmazullu4933 ndio hapo sasa figo zinazidi kuharibika na ini
@@NeemaSamson-ti8pcusidanganywe wewe akuna dawa muombe Mungu yasikukute.
@@openglo sio kwamba nadanganya hakuna ugonjwa usiokuwa na dawa sema tumeshakaririshwa hivyo na wazungu kuwa hakuna dawa, ila suluhishi lipo, mi naamini hakuna tatizo lisilo na utatuzi hapa duniani ni sisi wenyewe waafrica tunaamua kushikiwa akili na wazungu wakati kuna miti ya kila aina na mimea ya kila aina we unadhani mungu aliumba ya nini? Miti hiyo au dawa za asili ni muhimu sana kuliko hizo dawa za kunywa kila siku ambazo zinaua figo na ini, upo?
Shida siyo ukimwi shida ni kumeza hizo ARVs kila siku tena bila kupitishanisha masaa 😢 kama hizi za mafua yakipungua kidogo unasahau kama kunakumeza dawa
Hapo ndipo adhabu mtu anatumikia kibaya zaidi hizo dawa zinaenda kuua figo na ini taratibu
Hauwezi kusahau kama mtu unaumwa aiseee unaweza ukala dawa hata kabla ya mda😊😊😊
@@NeemaSamson-ti8pcmmmh acha kupotosha watu ety zinauwa figo wapi
@@SarahKaima ni ukweli sio kwamba napotoaha watu
Haziuwi figo wala ini usitishe watumiaji ,maana hakuna anaetaka yamfike ila ni mipango ya mungu tu likukute @@NeemaSamson-ti8pc
kafikia stage Virusi vya ukimwi Vimelala anaweza kufanya mapenzi na mtu mwingine.Jameni ebu nitumieni picha ya virusi vya ukimwi vikiwa vimelala ndio ntaamini si tuna wataalamu muhimbili wakuweza kutueleza kama virusi viko macho au vimelala ?
😂
😂😂
😂😂😂
Ukitumia vzr dawa zako Kuna stage ikifika hauwez kumuambukiza mtu yyt yule
Sasa wewe nenda peku peku ukiwa umeaminishwa virusi vimelala usingizi ndo utajua. Cheza salama mzee 😊😊😊😊
Nakupenda
❤❤