Mama huo ni ujuzi wako, Mungu amekupatia kupitia matatizo tengeneza dawa uza kwa watu kwa bei nafuu Ila sasa ipuka sana kutumia media kujitangaza maana kilicho muua Dr. Sebi ni kijitangaza kwenye media na wenye viwanda vya dawa kumwandama sana!
Afrika tumemwacha Mungu tukamwamini Muzungu ,watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa ,tuna miti ya kila aina kama zawadi kutoka Kwa Mungu lakini hatuna maarifa ya kuitumia
Umesema kweli mno na viongozi wengi hawana nia ya kusaidia watu wasioweza kuwahonga fedha nzuri. Hawana maono wala nia ya kuinua heshima ya nchi na Africa. Wao na ndgu zao tu
Hii ni biashara kama biashara nyingne, ni nani anatoa ideas yake ya pesa bure? ? Nyie ndio mnaroho mbaya sana maana hamtaki afaidike yeye waje wafaidike wajanja wajanja. Acheni mama wa watu apambane apige pesa.
Sasa kataja mti unaitwa mjonjoo🤣🤣🤣chezea waandishi wa habari ww kataja bila kujijuwa..sasa hiyo dawa ya ukimwi mbona unakuywa kila siku..na hizo axina kipimo.miti shamba ni mibaya zaidi cos aina vipimo..nilifikiri unakunywa mara moja unapona hiv🤣🤣 sasa si utakunywa madebe mangapi..mama wee bas ingepona barikiwa ugundue zaid
Samahani mama Mwenyezi Mungu amekupa kipaji cha kujua dawa na ww pia wajibu wako usiwe mchoyo km sheytan saidia binadamu ili ukiondoka dunia ikufae ilimu ulionayo
We tapeli kama matepeli wengine kitendo cha kukataa kutaja dawa we ni mchawi tu, tena bora hata ukimwi ukurudie mwehu ww, sasa unatusaidia nn hapo mnafiki mkubwa, et nyoko nyoko nyoko tembo huna lolote
Inabidi wampe tuzo pia waje wataaramu wamuoji na alitumia nini nani na ilikuaje mpaka akafikilia dawa flani inawezakumponyesha yangu ni hayo tusipotezee tunu yetu
Angetajaja huo mti ili watu wajisaidie na wasaidike pia maana ndugu zetu jamaa zetu na haya ss hatuijui kesho yetu itakuwaje kwaiyo angetaja ili watu wengine na watoto wanao zariwa wanusulike jamani😱
Huyu mama sio poa ninaamini kweli dawa zipo zaukimwi yani 90% lakini serekali zetu zaki Africa zinachangia pia watu kuteseka allah azilani kabisa ..mama wewe ulipotia mateso yote hayo imekuaje ama inakuaje unashindwa kuwasaidia watu wanao kutafuta ao basi tengeneza dawa zako ziweke sokoni watu wanunue ao uache kujisifu wakati usaidiyi watu haifayi bhana
Mimi kama Dr wa CTC( clinic za HIV) naomba unywe hiyo dawa lakini usiache vidonge. Wengi walienda kwenye miti shamba, wakaacha dawa wamerudi CD4 zimeisha na wamefariki. Kweli ARVs zina side effects ila huwa kuna sababu km unazitumia na bado CD4 hazipandi.
Naww ni kibaraka cha wazungu tu huna lolote hakuna ugojwa ambao hauna tiba hizo PowerPoint zenu za medicine baadhi zinawadanganya,image 30yrs now hakuna cure for HIV ........na hizo dawa zenu ndo mnauwa watu nyny kupitia wazungu....wenu hebu nijibu Maswali 1:why ARV akitumia mtu kama prophylaxis na uhakika ame contact na blood yenye high viral load kwa mgojwa mwenye HIV infection stage 4 huwa hapati HIV infection?,ndo dawa zimeuwa HIV au nini? na tunaambiwa HIV hafi kwa dawa yyte Bali abafubaa tu tena tunaambia no particles akiwa nje mwili ana inactive but akiwa kweny damu anakuwa active? Maswali ni mengi sana ukiweza kujibu na scientific reason nitajua umesoma kweli hukuwa unasoma PowerPoint? 2:mnapimaje viral load ikiwa HIV as retrovirus can't grow in pure culture? 3: jibu kwanza halafu nitaendelea kukuuliza ?
Kwahiyo mama angu utaki kutaja uwo mti 😢ujuwe ungetaja ungepata swawabu nyingi sanaa kutoka kwa Mungu sababu ungewaokowa wengi sanaa nakunawengine wamezariwa nauwo ugonjwa pasipokuwa nahatia wanateseka😢kunawengine awana uwezo waizi cm nakuungia RUclips lakini ungetaja uwo mti nirahic habari yaiyo tiba zingewafikia kiuraic adi uko vijijini ndani ukooo🙏
Dawa za magonjwa makuu kama hayo zipo sema wanao mtukuza shetani mpone, marecan walikuwa wanaongoza watu weusi kutengeneza hizo dawa lkn waliuliwa wote walikuwa 50 .na nikependekeza Tanzania waendelee kutengeneza hizo dawa na wawauzie na wengine lkn najuwa wazungu watatuletea vita.
Wasaidie watu mama na wewe utabarikiwa. La kufanya peleka hiyo dawa Nemc wakaifanyie utafiti kwa undani. Wape maelekezo muhimu na wakupe hati Miliki. Wazarishe dawa hizo dawa kwa kiwango cha kimataifa .
Yaani nilikuwa nakusikiliza lakini ulivyosema uwez kuutaja nikaingia kwenye uwanja wa coment na kukuachia ujumbe huuu ACHA ROHO MBAYA MAANA ATA MUNGU AMETENDA WEMA KUKUPA UZIMA TENA🚶♂️🚶♂️🚶♂️
Wapi walio pona. Toa orodha. Kupona vvu si jambo la kawaida. Ni jambo laweza Fanya utembee uchi bila fahamu. Wacheni kufanyia biashara maisha ya waathiriwa.
Yan naogopa sana watu skuiz awaaminiki, labda atuonyeshe karatas zake za vipimo kuwa alikua na ukimwi na docta athibitishe kweli hana tena ,,,,maana wasaniii wengi
Ila ziboreshwe.wagojwa wengi wa hiv ni wabunifu wa dawa kwan wanaangaika mnoo kutafuta uponyaji wanagundua vingi mnoo waangaliwe kwa macho mawili uenda wakasahidia
Tusiwe wajinga.mtu akitumia ARV ukimpima uwezi kabsaa kuona vitusi.miaka na muonekano tofauti...dawa zinaweza kufanya bzuri kwa mmoja na zikakataa kwa mwengine..tumieni kitunguu swaumu jaman..jaman uongo haifai Kansas ukiwa ujajiandaa n ngumu kupangilia
Kwanini mtu alazimishwe kutaja? Watu bwana. Mnataka tumieni hamtaki basi. Zawadi yake kwa kujitahidi kwake kwanini atoe bure. Msipende bure sana wanadamu kah!
Hiyo kadi siyo ya CTC .....SEMA DAWA INAONGEZA CD4 AMBAYO NDIYO KINGA ..INAYOZUIA MAGONJWA MNYEMELEZI..KUPONYA NINA MASHAKA KINGA ZIKIWA JUU UNAKUWA SALAMA
Mtu anapona kabisa amini maana kinachofanya tuseme mtu anapona Ni kwasababu mtu anakunywa Mara moja hanywi Tena na anapona, ndiyo maana ya kupona, Kama haiponyeshi angeendelea kunywa kila siku
Kwanini huamini kupona? Ukweli ni kwamba ukitumia hizo dawa zao unaua kinga zako za asili unaleta kinga mpya artificial hivyo ukiacha kutumia kinga zitashuka na kuleta balaa kwa mgonjwa sio kwamba virusi vililala eti vimeamka hiyo si kweli kama tunavyoaminishwa.
Ki ukweliii hapo iyo dawa ya Corona ina limao tangawizi hoho nk vina content ya alikali ndani yake ambayoo ni Tina tosha na ni ukweli alkali mwilini ndo kila kitu
Huyu mama hataji ili wakitaka kufanya utafiti wamlipe ndy aonyeshe mti na ndy maana hataki kuelekeza huo mti.
Apeleke sehem husika wengi wapone Tanzania wabunifu sema wazungu wanazingua sana
Sanaaa
Ndiyo
Wazungu wapotoshaji wanataka tusijiamini
Prince hance Sam,kweli kabisa sema tuna amini kuwa dawa zikitoka kwa wazungu ndo zinafaa sana kumbe hizi zetu ndo kiboko
Kweliiii apelekee sehem husika watu waweze kupona maana watu wanateseka si watoto na vijana na wazee
Huyu mama ni mtu muhimu sana.
Hana 49 niuongo
Miti ni mingi sana hapa Tanzania ya kutibu kila aina ya magonjwa ila tu nikukosa maarifa tuko mbu mbu sijui aliyeturoga ni nani?
Tusimdharau Binadamu Ni Kiumbe Mwenye Ufahamu Kwahiyo Huyo Mama Anajua Nini Anaongea 🙏🙏🙏
Huyo dogo vipi, huyo ni mama ako mpe kheshma ndo uzungumze nae.
Watu kama hawawanapaswa kupewa kipaumbele na ulinzi wakutosha
Tatizo la waafrika ubinafusi
Tunafeli sana hapo
Sana kabisa. Hatupendani hatutakian heri,chuki,ubinafs,ndiyo maana hatuendelei
Anaweza kuekekeza watu wakatengeneza vibaya ikawa sumu
Kwan wazungu sio wabinasi?
Kwani wazungu walisha sema lengo lao na magonjwa yao kwetu?!
Naomba namba
Ukimwi ni virus na hakuna virus inayokosa antivirus but since ni biashara ya mafia ulimwengu huu ni hatari ata kwa mama huyu
Mama huo ni ujuzi wako, Mungu amekupatia kupitia matatizo tengeneza dawa uza kwa watu kwa bei nafuu Ila sasa ipuka sana kutumia media kujitangaza maana kilicho muua Dr. Sebi ni kijitangaza kwenye media na wenye viwanda vya dawa kumwandama sana!
Daaa 🙆Umeongea lamsingi asijutangaze yasije yakamkuta km ya Doctor seb Apumzuke kwa Amani😭
Mnaotaka ataje mti wakati kipindi recoded mnaakili kweli
hahahaaa; jamaa unaakili sana
Hahahaaaaa kha mbavu zangu mie
😂😂😂😂😂😂umeuwaaa
Uchizi wetu nn
Hatuna 😂😂
Waafrika tuaakili sana ila tu wazungu wametufundisha kujidharau huku wakitoa Elimu isiyonatija kwetu
Taja mti watu tupone bhana acha roho mbaya
Mjonjoo. Kajichanganya kataja 🤣🤣🤣
hahaha
Wew unataka wengine wafanyie biashara mfuate mwenyewe
@@johnsonkiwia6577😂😂😂😂😂😂maskini kashautaja
Kumbe ni biashara jaman duuuh unawasaidia mamazako ili watu wajae km kwa babu eeee???
Afrika tumemwacha Mungu tukamwamini Muzungu ,watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa ,tuna miti ya kila aina kama zawadi kutoka Kwa Mungu lakini hatuna maarifa ya kuitumia
Umesema kweli mno na viongozi wengi hawana nia ya kusaidia watu wasioweza kuwahonga fedha nzuri. Hawana maono wala nia ya kuinua heshima ya nchi na Africa. Wao na ndgu zao tu
Awasaidie na wengine
Shida iliyopo utapeleka kama huyu katumiwa mzima.ikifika huko Malibu mpk uyapate kazi.au yaweza kukatisha tamaa..Ninayo ya nilisita kujipeleka huko.
Biashara ni matangazo ila ni siri pia
Hacha roho mbaya taja jina la mti wengine wautumiye.
Dah mzee mwenzangu njoo inibox nikubembeleze utaje mti
Ucwape mpka mkwanja.
Si ndio, mama ni mbinafisi. Kwani ukitaja jina kuna nini.?
Asitaje wakati mwenzenu anapambana nyie mmelala kuweni na nyie wabunifu
Hii ni biashara kama biashara nyingne, ni nani anatoa ideas yake ya pesa bure? ? Nyie ndio mnaroho mbaya sana maana hamtaki afaidike yeye waje wafaidike wajanja wajanja. Acheni mama wa watu apambane apige pesa.
Sasa kataja mti unaitwa mjonjoo🤣🤣🤣chezea waandishi wa habari ww kataja bila kujijuwa..sasa hiyo dawa ya ukimwi mbona unakuywa kila siku..na hizo axina kipimo.miti shamba ni mibaya zaidi cos aina vipimo..nilifikiri unakunywa mara moja unapona hiv🤣🤣 sasa si utakunywa madebe mangapi..mama wee bas ingepona barikiwa ugundue zaid
Serikali tujalibu na huyu mama tunaweza kuwa na mwanzo mnzuri kuhusu ugonjwa huo
Mam mungu nimkubwa kumbuka ulivokua unajisikia maumivu wakat wa unaumwa tuambie iyoo dawa uokoe maisha ya wenzako
Kunavitu vinakera sikuizi watu Awana huruma we mama mungu anakuona
Ukikuta mtu aja like kiwa ujue kaongea point 100%
Roho mbaya sasa umefanya interview ya kazi gani!?
biashara hiyo
We unataka atoe siri kama watu watatengeneza vibaya wakafa. Hata ataje kutengeneza anajuwa mwenyewe huu sio ugali ahehe
Samahani mama Mwenyezi Mungu amekupa kipaji cha kujua dawa na ww pia wajibu wako usiwe mchoyo km sheytan saidia binadamu ili ukiondoka dunia ikufae ilimu ulionayo
We tapeli kama matepeli wengine kitendo cha kukataa kutaja dawa we ni mchawi tu, tena bora hata ukimwi ukurudie mwehu ww, sasa unatusaidia nn hapo mnafiki mkubwa, et nyoko nyoko nyoko tembo huna lolote
Inabidi wampe tuzo pia waje wataaramu wamuoji na alitumia nini nani na ilikuaje mpaka akafikilia dawa flani inawezakumponyesha yangu ni hayo tusipotezee tunu yetu
🙏 Mungu hatubaliki sote na hatuepushie haya maradh
Hi dear
Mama mi naomba nisaidie ntalipa kias chochote
HII NDIO TANZANIA YA MAAJABU!!! SALUTE KWA MAMA.(TANZANIA UNFORGETTABLE)
Nahitaji na mimi napataje
@@rosemoses7244YESU AWEZA YOTE
Yanmama
Acheni kuchezea maisha yawatu
siri ya dawa anaijua mganga kama mnataka dawa kunyweni kama mna mashaka waacheni wenye imani wanywe
Angetajaja huo mti ili watu wajisaidie na wasaidike pia maana ndugu zetu jamaa zetu na haya ss hatuijui kesho yetu itakuwaje kwaiyo angetaja ili watu wengine na watoto wanao zariwa wanusulike jamani😱
Duuh! Kumbe huu ugonjwa bado upo? naona watu tunajimwaga tu condom hadi zina expire madukani...watu mwendo wa Mpoto tu...daah! Mungu atunusuru
Hapa hakuna kitu nbiashara tu! Me skizii ata....
Yaani. Hadi kichefuchefu.
Tapika basi
Huyu ni kuchukua madini alonayo yaani tumtumie ila ahakilishe watu wanapona sio kufubaza tu
Masiala Masiala inaweza ikawa dawa kweli
Huyu mama sio poa ninaamini kweli dawa zipo zaukimwi yani 90% lakini serekali zetu zaki Africa zinachangia pia watu kuteseka allah azilani kabisa ..mama wewe ulipotia mateso yote hayo imekuaje ama inakuaje unashindwa kuwasaidia watu wanao kutafuta ao basi tengeneza dawa zako ziweke sokoni watu wanunue ao uache kujisifu wakati usaidiyi watu haifayi bhana
Huo mti unaitwa mkhatokhato
Mimi kama Dr wa CTC( clinic za HIV) naomba unywe hiyo dawa lakini usiache vidonge. Wengi walienda kwenye miti shamba, wakaacha dawa wamerudi CD4 zimeisha na wamefariki. Kweli ARVs zina side effects ila huwa kuna sababu km unazitumia na bado CD4 hazipandi.
Apana ongeza jitihada katika reseach usitumie aklkili za kwenye vitabu tu
Naomba nipate no sake jmni mm nahtaji saaana hzo dawa
@@mkdg.4skolo891 0754632685
Naww ni kibaraka cha wazungu tu huna lolote hakuna ugojwa ambao hauna tiba hizo PowerPoint zenu za medicine baadhi zinawadanganya,image 30yrs now hakuna cure for HIV ........na hizo dawa zenu ndo mnauwa watu nyny kupitia wazungu....wenu hebu nijibu Maswali
1:why ARV akitumia mtu kama prophylaxis na uhakika ame contact na blood yenye high viral load kwa mgojwa mwenye HIV infection stage 4 huwa hapati HIV infection?,ndo dawa zimeuwa HIV au nini? na tunaambiwa HIV hafi kwa dawa yyte Bali abafubaa tu tena tunaambia no particles akiwa nje mwili ana inactive but akiwa kweny damu anakuwa active?
Maswali ni mengi sana ukiweza kujibu na scientific reason nitajua umesoma kweli hukuwa unasoma PowerPoint? 2:mnapimaje viral load ikiwa HIV as retrovirus can't grow in pure culture? 3: jibu kwanza halafu nitaendelea kukuuliza ?
@@zachariabin5400 naomba namba zako ww plz
Taja basi tutengeneze
JAMAA NOMA. KAMHOJI MPAKA BIBI UMEMDONDOKA MDOMONI AKAUTAJA. DOH!🤣
NAMBA YA SIMU TUNAHITAJI YA CORONA KINGA TAFADHALI NIPO DAR
Ulipata namba?
tutu miye namba yako
Kwahiyo mama angu utaki kutaja uwo mti 😢ujuwe ungetaja ungepata swawabu nyingi sanaa kutoka kwa Mungu sababu ungewaokowa wengi sanaa nakunawengine wamezariwa nauwo ugonjwa pasipokuwa nahatia wanateseka😢kunawengine awana uwezo waizi cm nakuungia RUclips lakini ungetaja uwo mti nirahic habari yaiyo tiba zingewafikia kiuraic adi uko vijijini ndani ukooo🙏
Huo ni mti wa Ming’ongo/ amarula tree
kwan wewe unaujuwa mti huo na umeskia unatumika
Tuanze kunjwa amarula sio
Ming'ongo IPO mingi singida
I
Mi wala siujui
Namba ya mawasiliano
Hy dawa inapatikana wap
Tunataka Jin ama semani namba yke plzz
Dawa za magonjwa makuu kama hayo zipo sema wanao mtukuza shetani mpone, marecan walikuwa wanaongoza watu weusi kutengeneza hizo dawa lkn waliuliwa wote walikuwa 50 .na nikependekeza Tanzania waendelee kutengeneza hizo dawa na wawauzie na wengine lkn najuwa wazungu watatuletea vita.
Nani mwingine anaona sahiv hyo kichwa pekee ndo ina kilo 22??😂😂😂
Naomba like zangu jaman
Hance senya. Umenichekesha sana
Hahaha
Mimi naomba
Dawa ya ukimwi ipo sema wazungu walishaturoga tyamini vyakwao na mimea aliotuumbia Allahu hatuiamini, ila dawa zipo na zinatibu kabisa
Kweli brooh zipo
Kweli?
Jamani msifanye utani na roho za watu!
Tatizo watanzania hatupendi kujishughulisha Na kutumia fursa zetu ni mpaka tusubir wazungu tukijishughulisha tunaweza kikubwa imani tu
Mti_unaitwa_mnjeunjo_na_namba_za_simu_kataha_vipi_hamusikizi_vuzuri_inge_kuwa_hana_Nia_Njema_asinge_jitangaza
11:25 kataja huo mti huo mnjonjo
Unaufahamu huo mti dada manake tuna ndugu zetu wanataabika.
Sasa hataki kusema kwahyo anataka rais amuombe ndo aseme au
Edwin gwesso ndo ivo na ni haki yke na yy apate rizik
Ahhahahahha
Lak na 50 anataka
@@felisterandrew8741 ndo alivyokwambia mkuu
Wasaidie watu mama na wewe utabarikiwa. La kufanya peleka hiyo dawa Nemc wakaifanyie utafiti kwa undani. Wape maelekezo muhimu na wakupe hati Miliki. Wazarishe dawa hizo dawa kwa kiwango cha kimataifa .
NIMR not NEMC
Yaani nilikuwa nakusikiliza lakini ulivyosema uwez kuutaja nikaingia kwenye uwanja wa coment na kukuachia ujumbe huuu
ACHA ROHO MBAYA MAANA ATA MUNGU AMETENDA WEMA KUKUPA UZIMA TENA🚶♂️🚶♂️🚶♂️
Umeona eeh. Hataki anatak apige pesa peke ake tu. Ubinafsi sio mzuri. Bora hata asingehojiwa acha akae na ukimwi wake ba dawa yake.
Atatajirikia wapi sasa?
Roho mbaya sn ameiyonesha dhahir kbsaa
Hati miliki
Kwel kbx n kwa roh hyo kupona utakuskia tu
Mungu ni mwaminifu yupo kutuokoa na mauti tanzania nitaifa teule
Amina
Tunaomba mamba Mama
Basi wizara ya afya iangalie pengine kweli itasaidia tafadhal pengine kweli itafanya haki
Ili usaidie ulimwengu inatakiwa utaje mchanganyiko wote na jinsi ya kuitengeneza kila mhanga ajitengenezee dawa
Wapi walio pona.
Toa orodha.
Kupona vvu si jambo la kawaida. Ni jambo laweza Fanya utembee uchi bila fahamu. Wacheni kufanyia biashara maisha ya waathiriwa.
Kwel
Wazungu watakuua wewe mama wakigundua, maana wale jamaa, hawapendi waafrica tujiongeze
Kazi ya utangazaji inalipa mtangazaji mashavu amevimba amekua round ka mpira ndo maana anamwambia mama mambo
🤣🤣🤣🤣 Mungu anakuona
Inabidi apeleke hiyo Dawa NIMRI wakaifanyie utafiti Kwanza.
Mimi nilipona ukimwi kwa kunywa Mulonge au moringa.jaribuni muone matokeo
Ule wenye vijani vidogo vidogo. Mronge
Naomba nitafute please namba yko
Thibitisha tuone
Naomba namba zako
Naomba namba yako
Yan naogopa sana watu skuiz awaaminiki, labda atuonyeshe karatas zake za vipimo kuwa alikua na ukimwi na docta athibitishe kweli hana tena ,,,,maana wasaniii wengi
Mbona alionyesha?
Yote hayo nimagonjwa ya biriget
Ila ziboreshwe.wagojwa wengi wa hiv ni wabunifu wa dawa kwan wanaangaika mnoo kutafuta uponyaji wanagundua vingi mnoo waangaliwe kwa macho mawili uenda wakasahidia
Amina mama Mungu ndio kakupa iyo dawa mama Mungu hakubalik
Tusiwe wajinga.mtu akitumia ARV ukimpima uwezi kabsaa kuona vitusi.miaka na muonekano tofauti...dawa zinaweza kufanya bzuri kwa mmoja na zikakataa kwa mwengine..tumieni kitunguu swaumu jaman..jaman uongo haifai Kansas ukiwa ujajiandaa n ngumu kupangilia
Kitungu swaumu
Tutapataje? Nambar yahuyo mama?
Mimi pia nahitaji no ya mama
0745632685 sikilizeni video kataja Leo najitolea kutaja watu wengi wakomboke
Kasema 0711903060, 0754632685 hiyo hapoooo
Kama nikweli hongera mama na unastahili kupewa uprofesa kabisaaa
kama MUNGU amekusaidia ukapata ufahamu wakutumia huu mti mbona uwe mchoyo
Tz twawaogopa nyinyi tangu enzi za loliondo😂😂but mbona corona hamna tz
Mbona inafanana na spirit jamani hiyo dawa ya kuongeza kinga
Kwanini mtu alazimishwe kutaja? Watu bwana. Mnataka tumieni hamtaki basi. Zawadi yake kwa kujitahidi kwake kwanini atoe bure. Msipende bure sana wanadamu kah!
Tegeneza na ya kupona kabisa
Mie nnaijua. Lakini sitibu.
@@hilalhilal8400 naomba mawasiliano yako tafadhal
@@maidreamz4364 weka no yako. Ntakutafuta
@@maidreamz4364 ok nishakuona. Unaweza kuifuta hapo. Ntakutafuta
Ok sawa
Mird najua mna mawasiliano na huyo mama mwambie hivi hatujasahau babu ya loliondo
Hahaha yaan wewe
😂😂🤣🤣🤣🤣🤣😁😁😁
Babu wa loliondo kwani aliumwa? yeye alikua hana ushahidi wa kujitosheleza ndio maana
Na ww ulikunywa kikombe😂😂
@@msalikemedia 😁😁😪 nipigie
Mam upo wap
Sikiliza vizur kipindi ametaja namba
Uyu mtangazaji namuonaga ana dharau sana' fatilia Interview zake akioji mtu
Duu
Mhh ukimwi auna Dawa. Watu walio acha dawa wakaenda loliondo wengi walikufa.. Hakuna unafuu mbona na iyo niya kunywa kila Siku.?km arv
hongera mama na utakam lini kenya uzaidie watu wengi humu nchini kenya
NINA MUSHUKURU UYO MAMA JE NINAWEZA KUPATA NUMBER YAKE MIMI NI ZAKARIYA WA BURUNDI
Msikilize vizur kataja namba
Hiyo kadi siyo ya CTC .....SEMA DAWA INAONGEZA CD4 AMBAYO NDIYO KINGA ..INAYOZUIA MAGONJWA MNYEMELEZI..KUPONYA NINA MASHAKA KINGA ZIKIWA JUU UNAKUWA SALAMA
Mtu anapona kabisa amini maana kinachofanya tuseme mtu anapona Ni kwasababu mtu anakunywa Mara moja hanywi Tena na anapona, ndiyo maana ya kupona, Kama haiponyeshi angeendelea kunywa kila siku
Sio kupona kabisa kiongoz inaongeza kinga
Kwanini huamini kupona? Ukweli ni kwamba ukitumia hizo dawa zao unaua kinga zako za asili unaleta kinga mpya artificial hivyo ukiacha kutumia kinga zitashuka na kuleta balaa kwa mgonjwa sio kwamba virusi vililala eti vimeamka hiyo si kweli kama tunavyoaminishwa.
Ila mama Hana matumaini ya kusaidia watu maana dawa ni ghali mno asiejiweza atakufa tuu sababu akuna mtu ila matajiri tuu ndiyo lakini sio Kwa mda
Kwel kabsa nia yake atajilikie apo dawa gali kwel masikin je alaf anasema amewai kutuma mpaka kwa elf 10,000 sio kwel
Aseme huo mti kwajilu yakuokoa wenzie kama watanzania lasivyo atajua anatafuta pesa
real thngs
Kivip boss
fanya na dawa ya miguu kuvimba na zitafuta sana
Kuna mtu anatumia dawa yake ,nasubiri amalize doz ,akienda kupima ntaenda nae kupata ushuuda .
Naombn namba y huyu mam nna ndug yngu akajarbu
Bado hajapata majibu? .@munira mbona kataja hapo mwishon
Tupe majibu ya iyo dawa kwa uyo ndugu yako
Unasubiriwa utoe jib
Lete majibu boss
Ki ukweliii hapo iyo dawa ya Corona ina limao tangawizi hoho nk vina content ya alikali ndani yake ambayoo ni Tina tosha na ni ukweli alkali mwilini ndo kila kitu
Ayo naomba namba ya huyu mama
Dawa zipo sema tu ni kuzijua,alaf ukigundua kama hiv ukajitangaza watakuua wakidai unawaharibia biashara zao
Si useme ni.mti gani UTAPERI.mtupu
Mbona vitu alivyochanganya mwenyewe anataja kwa kufikiria kama hakumbuki?
Roho mbay yamsumbua huyu ubinafsi sio mzuri
Hataki ataje anaona watu watajingenezea wenyewe
Iv miti shamba unaweza changanya nadawa yahospitali.(kunywa)
@pendo pendo unaweza kuchanganya sababu hizo za miti shamba hazina side effects yoyote kama hizo za hospital
Unakufa mara mojaa
Tuonyeshe evidence mwandishi unafeli wapi
Namba ya WhatsApp
Bongo hawaamini dawa zao ila ingekuwa kagunduwa mzungu asubuhi tu serikali ingefatilia.
Naomba kujua hivi dawa ya ukimwi iko nawezakuipataje nikiwa Kenya?+254713160063.EMAIL ADDRESS rescuemissionsministries@gmail.com