MWANAMKE ALIYEAMBUKIZWA UKIMWI ATENGENEZA DAWA "SITUMII TENA ARVS,NILIKUWA NA KILO 22"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 790

  • @witneyjerry1293
    @witneyjerry1293 4 года назад +21

    Huyu mama hataji ili wakitaka kufanya utafiti wamlipe ndy aonyeshe mti na ndy maana hataki kuelekeza huo mti.

  • @princehancesam9892
    @princehancesam9892 4 года назад +93

    Apeleke sehem husika wengi wapone Tanzania wabunifu sema wazungu wanazingua sana

    • @princesssway1396
      @princesssway1396 4 года назад

      Sanaaa

    • @elizabethmabula101
      @elizabethmabula101 4 года назад

      Ndiyo

    • @Fgldesigns
      @Fgldesigns 4 года назад +4

      Wazungu wapotoshaji wanataka tusijiamini

    • @magrethjohn8576
      @magrethjohn8576 4 года назад +7

      Prince hance Sam,kweli kabisa sema tuna amini kuwa dawa zikitoka kwa wazungu ndo zinafaa sana kumbe hizi zetu ndo kiboko

    • @pendojackison8822
      @pendojackison8822 4 года назад +3

      Kweliiii apelekee sehem husika watu waweze kupona maana watu wanateseka si watoto na vijana na wazee

  • @pwinners
    @pwinners 4 года назад +14

    Huyu mama ni mtu muhimu sana.

  • @joharikipindula6425
    @joharikipindula6425 4 года назад +10

    Miti ni mingi sana hapa Tanzania ya kutibu kila aina ya magonjwa ila tu nikukosa maarifa tuko mbu mbu sijui aliyeturoga ni nani?

  • @samoocoolingsystem93
    @samoocoolingsystem93 4 года назад +17

    Tusimdharau Binadamu Ni Kiumbe Mwenye Ufahamu Kwahiyo Huyo Mama Anajua Nini Anaongea 🙏🙏🙏

    • @pwinners
      @pwinners 4 года назад +2

      Huyo dogo vipi, huyo ni mama ako mpe kheshma ndo uzungumze nae.

  • @mevakyavaleri6264
    @mevakyavaleri6264 4 года назад +14

    Watu kama hawawanapaswa kupewa kipaumbele na ulinzi wakutosha

  • @harmonize3476
    @harmonize3476 4 года назад +28

    Tatizo la waafrika ubinafusi

    • @johnsonjohn8590
      @johnsonjohn8590 4 года назад +2

      Tunafeli sana hapo

    • @elizabethmabula101
      @elizabethmabula101 4 года назад +2

      Sana kabisa. Hatupendani hatutakian heri,chuki,ubinafs,ndiyo maana hatuendelei

    • @amaniurio1657
      @amaniurio1657 4 года назад

      Anaweza kuekekeza watu wakatengeneza vibaya ikawa sumu

    • @alexmnane7122
      @alexmnane7122 4 года назад

      Kwan wazungu sio wabinasi?

    • @sevcomonline624
      @sevcomonline624 3 года назад

      Kwani wazungu walisha sema lengo lao na magonjwa yao kwetu?!

  • @ElizabethBosco-rs6se
    @ElizabethBosco-rs6se 5 месяцев назад +3

    Naomba namba

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 4 года назад +7

    Ukimwi ni virus na hakuna virus inayokosa antivirus but since ni biashara ya mafia ulimwengu huu ni hatari ata kwa mama huyu

  • @seifkulwa3346
    @seifkulwa3346 4 года назад +10

    Mama huo ni ujuzi wako, Mungu amekupatia kupitia matatizo tengeneza dawa uza kwa watu kwa bei nafuu Ila sasa ipuka sana kutumia media kujitangaza maana kilicho muua Dr. Sebi ni kijitangaza kwenye media na wenye viwanda vya dawa kumwandama sana!

    • @janethkomba4485
      @janethkomba4485 Год назад +1

      Daaa 🙆Umeongea lamsingi asijutangaze yasije yakamkuta km ya Doctor seb Apumzuke kwa Amani😭

  • @ernestngalu3533
    @ernestngalu3533 4 года назад +22

    Mnaotaka ataje mti wakati kipindi recoded mnaakili kweli

  • @newbornhaule1635
    @newbornhaule1635 4 года назад +11

    Waafrika tuaakili sana ila tu wazungu wametufundisha kujidharau huku wakitoa Elimu isiyonatija kwetu

  • @petermushy9883
    @petermushy9883 4 года назад +14

    Taja mti watu tupone bhana acha roho mbaya

    • @johnsonkiwia6577
      @johnsonkiwia6577 4 года назад +3

      Mjonjoo. Kajichanganya kataja 🤣🤣🤣

    • @maxsolutionstz
      @maxsolutionstz 4 года назад +1

      hahaha

    • @janethtender6774
      @janethtender6774 4 года назад +1

      Wew unataka wengine wafanyie biashara mfuate mwenyewe

    • @marymauya9207
      @marymauya9207 4 года назад

      @@johnsonkiwia6577😂😂😂😂😂😂maskini kashautaja

  • @masoudkipara5053
    @masoudkipara5053 4 года назад +15

    Kumbe ni biashara jaman duuuh unawasaidia mamazako ili watu wajae km kwa babu eeee???

  • @geraldsiame1508
    @geraldsiame1508 4 года назад +28

    Afrika tumemwacha Mungu tukamwamini Muzungu ,watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa ,tuna miti ya kila aina kama zawadi kutoka Kwa Mungu lakini hatuna maarifa ya kuitumia

    • @ThomasMselle-rw5ej
      @ThomasMselle-rw5ej 5 месяцев назад

      Umesema kweli mno na viongozi wengi hawana nia ya kusaidia watu wasioweza kuwahonga fedha nzuri. Hawana maono wala nia ya kuinua heshima ya nchi na Africa. Wao na ndgu zao tu

    • @AminaShabani-uq9ok
      @AminaShabani-uq9ok 2 месяца назад

      Awasaidie na wengine

  • @LeonardinaBakuza
    @LeonardinaBakuza Месяц назад

    Shida iliyopo utapeleka kama huyu katumiwa mzima.ikifika huko Malibu mpk uyapate kazi.au yaweza kukatisha tamaa..Ninayo ya nilisita kujipeleka huko.

  • @namanganewsofficiallchanel8631
    @namanganewsofficiallchanel8631 4 года назад +9

    Biashara ni matangazo ila ni siri pia

  • @rodamwajuma8043
    @rodamwajuma8043 4 года назад +23

    Hacha roho mbaya taja jina la mti wengine wautumiye.

    • @jimmyjigar1468
      @jimmyjigar1468 4 года назад +1

      Dah mzee mwenzangu njoo inibox nikubembeleze utaje mti

    • @hamadshein498
      @hamadshein498 4 года назад

      Ucwape mpka mkwanja.

    • @celinadulle4104
      @celinadulle4104 4 года назад +3

      Si ndio, mama ni mbinafisi. Kwani ukitaja jina kuna nini.?

    • @glorysimon775
      @glorysimon775 4 года назад

      Asitaje wakati mwenzenu anapambana nyie mmelala kuweni na nyie wabunifu

    • @barikiarastus8770
      @barikiarastus8770 4 года назад +4

      Hii ni biashara kama biashara nyingne, ni nani anatoa ideas yake ya pesa bure? ? Nyie ndio mnaroho mbaya sana maana hamtaki afaidike yeye waje wafaidike wajanja wajanja. Acheni mama wa watu apambane apige pesa.

  • @rosehaule220
    @rosehaule220 4 года назад +4

    Sasa kataja mti unaitwa mjonjoo🤣🤣🤣chezea waandishi wa habari ww kataja bila kujijuwa..sasa hiyo dawa ya ukimwi mbona unakuywa kila siku..na hizo axina kipimo.miti shamba ni mibaya zaidi cos aina vipimo..nilifikiri unakunywa mara moja unapona hiv🤣🤣 sasa si utakunywa madebe mangapi..mama wee bas ingepona barikiwa ugundue zaid

  • @emmanueldutuleo3992
    @emmanueldutuleo3992 4 года назад +51

    Serikali tujalibu na huyu mama tunaweza kuwa na mwanzo mnzuri kuhusu ugonjwa huo

    • @muhudiddi5008
      @muhudiddi5008 3 года назад

      Mam mungu nimkubwa kumbuka ulivokua unajisikia maumivu wakat wa unaumwa tuambie iyoo dawa uokoe maisha ya wenzako

  • @IDDYABDU
    @IDDYABDU Месяц назад

    Kunavitu vinakera sikuizi watu Awana huruma we mama mungu anakuona

  • @namanganewsofficiallchanel8631
    @namanganewsofficiallchanel8631 4 года назад +22

    Ukikuta mtu aja like kiwa ujue kaongea point 100%

  • @ayoubhussein6625
    @ayoubhussein6625 4 года назад +8

    Roho mbaya sasa umefanya interview ya kazi gani!?

    • @iddirashid8038
      @iddirashid8038 4 года назад

      biashara hiyo

    • @siamejaylos9197
      @siamejaylos9197 4 года назад +1

      We unataka atoe siri kama watu watatengeneza vibaya wakafa. Hata ataje kutengeneza anajuwa mwenyewe huu sio ugali ahehe

  • @alshaqsi1369
    @alshaqsi1369 4 года назад +5

    Samahani mama Mwenyezi Mungu amekupa kipaji cha kujua dawa na ww pia wajibu wako usiwe mchoyo km sheytan saidia binadamu ili ukiondoka dunia ikufae ilimu ulionayo

  • @ramaninaujenzitz9395
    @ramaninaujenzitz9395 11 месяцев назад

    We tapeli kama matepeli wengine kitendo cha kukataa kutaja dawa we ni mchawi tu, tena bora hata ukimwi ukurudie mwehu ww, sasa unatusaidia nn hapo mnafiki mkubwa, et nyoko nyoko nyoko tembo huna lolote

  • @gabrieldenicc4502
    @gabrieldenicc4502 4 года назад +5

    Inabidi wampe tuzo pia waje wataaramu wamuoji na alitumia nini nani na ilikuaje mpaka akafikilia dawa flani inawezakumponyesha yangu ni hayo tusipotezee tunu yetu

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 3 года назад +6

    🙏 Mungu hatubaliki sote na hatuepushie haya maradh

  • @Gama-e5t
    @Gama-e5t Месяц назад

    Mama mi naomba nisaidie ntalipa kias chochote

  • @sanchezmmary8986
    @sanchezmmary8986 4 года назад +47

    HII NDIO TANZANIA YA MAAJABU!!! SALUTE KWA MAMA.(TANZANIA UNFORGETTABLE)

  • @IDDYABDU
    @IDDYABDU Месяц назад

    Acheni kuchezea maisha yawatu

  • @rahmakitomar7968
    @rahmakitomar7968 4 года назад +6

    siri ya dawa anaijua mganga kama mnataka dawa kunyweni kama mna mashaka waacheni wenye imani wanywe

  • @IreneMuge-s3p
    @IreneMuge-s3p 6 месяцев назад +1

    Angetajaja huo mti ili watu wajisaidie na wasaidike pia maana ndugu zetu jamaa zetu na haya ss hatuijui kesho yetu itakuwaje kwaiyo angetaja ili watu wengine na watoto wanao zariwa wanusulike jamani😱

  • @adamlipau8858
    @adamlipau8858 4 года назад +3

    Duuh! Kumbe huu ugonjwa bado upo? naona watu tunajimwaga tu condom hadi zina expire madukani...watu mwendo wa Mpoto tu...daah! Mungu atunusuru

  • @mosesnyamhanga449
    @mosesnyamhanga449 4 года назад +9

    Hapa hakuna kitu nbiashara tu! Me skizii ata....

  • @arkhamitwaha3692
    @arkhamitwaha3692 4 года назад +6

    Huyu ni kuchukua madini alonayo yaani tumtumie ila ahakilishe watu wanapona sio kufubaza tu

  • @hemedisalim5522
    @hemedisalim5522 4 года назад +10

    Masiala Masiala inaweza ikawa dawa kweli

  • @jaydjuma8255
    @jaydjuma8255 Год назад +1

    Huyu mama sio poa ninaamini kweli dawa zipo zaukimwi yani 90% lakini serekali zetu zaki Africa zinachangia pia watu kuteseka allah azilani kabisa ..mama wewe ulipotia mateso yote hayo imekuaje ama inakuaje unashindwa kuwasaidia watu wanao kutafuta ao basi tengeneza dawa zako ziweke sokoni watu wanunue ao uache kujisifu wakati usaidiyi watu haifayi bhana

  • @hamadirashidi4969
    @hamadirashidi4969 2 месяца назад

    Huo mti unaitwa mkhatokhato

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 4 года назад +16

    Mimi kama Dr wa CTC( clinic za HIV) naomba unywe hiyo dawa lakini usiache vidonge. Wengi walienda kwenye miti shamba, wakaacha dawa wamerudi CD4 zimeisha na wamefariki. Kweli ARVs zina side effects ila huwa kuna sababu km unazitumia na bado CD4 hazipandi.

    • @cool809cent8
      @cool809cent8 4 года назад +7

      Apana ongeza jitihada katika reseach usitumie aklkili za kwenye vitabu tu

    • @mkdg.4skolo891
      @mkdg.4skolo891 4 года назад +3

      Naomba nipate no sake jmni mm nahtaji saaana hzo dawa

    • @geofreylucas9469
      @geofreylucas9469 4 года назад

      @@mkdg.4skolo891 0754632685

    • @zachariabin5400
      @zachariabin5400 4 года назад +4

      Naww ni kibaraka cha wazungu tu huna lolote hakuna ugojwa ambao hauna tiba hizo PowerPoint zenu za medicine baadhi zinawadanganya,image 30yrs now hakuna cure for HIV ........na hizo dawa zenu ndo mnauwa watu nyny kupitia wazungu....wenu hebu nijibu Maswali
      1:why ARV akitumia mtu kama prophylaxis na uhakika ame contact na blood yenye high viral load kwa mgojwa mwenye HIV infection stage 4 huwa hapati HIV infection?,ndo dawa zimeuwa HIV au nini? na tunaambiwa HIV hafi kwa dawa yyte Bali abafubaa tu tena tunaambia no particles akiwa nje mwili ana inactive but akiwa kweny damu anakuwa active?
      Maswali ni mengi sana ukiweza kujibu na scientific reason nitajua umesoma kweli hukuwa unasoma PowerPoint? 2:mnapimaje viral load ikiwa HIV as retrovirus can't grow in pure culture? 3: jibu kwanza halafu nitaendelea kukuuliza ?

    • @tenecioustz1767
      @tenecioustz1767 3 года назад

      @@zachariabin5400 naomba namba zako ww plz

  • @SalomePeter-pm7vn
    @SalomePeter-pm7vn 5 месяцев назад

    Taja basi tutengeneze

  • @hilalhilal8400
    @hilalhilal8400 4 года назад +6

    JAMAA NOMA. KAMHOJI MPAKA BIBI UMEMDONDOKA MDOMONI AKAUTAJA. DOH!🤣

  • @abdallahsimba
    @abdallahsimba 4 года назад +4

    NAMBA YA SIMU TUNAHITAJI YA CORONA KINGA TAFADHALI NIPO DAR

  • @JoisSamwel
    @JoisSamwel 2 месяца назад

    tutu miye namba yako

  • @janethkomba4485
    @janethkomba4485 Год назад +2

    Kwahiyo mama angu utaki kutaja uwo mti 😢ujuwe ungetaja ungepata swawabu nyingi sanaa kutoka kwa Mungu sababu ungewaokowa wengi sanaa nakunawengine wamezariwa nauwo ugonjwa pasipokuwa nahatia wanateseka😢kunawengine awana uwezo waizi cm nakuungia RUclips lakini ungetaja uwo mti nirahic habari yaiyo tiba zingewafikia kiuraic adi uko vijijini ndani ukooo🙏

  • @senorinamtei8202
    @senorinamtei8202 4 года назад +19

    Huo ni mti wa Ming’ongo/ amarula tree

  • @Princessheer-gn1gi
    @Princessheer-gn1gi 19 дней назад

    Namba ya mawasiliano

  • @Princessheer-gn1gi
    @Princessheer-gn1gi 19 дней назад

    Hy dawa inapatikana wap

  • @queenlove366
    @queenlove366 4 года назад +3

    Tunataka Jin ama semani namba yke plzz

  • @mariamwakabuta1034
    @mariamwakabuta1034 4 года назад +4

    Dawa za magonjwa makuu kama hayo zipo sema wanao mtukuza shetani mpone, marecan walikuwa wanaongoza watu weusi kutengeneza hizo dawa lkn waliuliwa wote walikuwa 50 .na nikependekeza Tanzania waendelee kutengeneza hizo dawa na wawauzie na wengine lkn najuwa wazungu watatuletea vita.

  • @hancesenya5259
    @hancesenya5259 4 года назад +14

    Nani mwingine anaona sahiv hyo kichwa pekee ndo ina kilo 22??😂😂😂
    Naomba like zangu jaman

  • @Suzanayared-k8y
    @Suzanayared-k8y 19 дней назад

    Mimi naomba

  • @munnawwaryaqub8524
    @munnawwaryaqub8524 4 года назад +22

    Dawa ya ukimwi ipo sema wazungu walishaturoga tyamini vyakwao na mimea aliotuumbia Allahu hatuiamini, ila dawa zipo na zinatibu kabisa

  • @bennamush1549
    @bennamush1549 4 года назад +3

    Tatizo watanzania hatupendi kujishughulisha Na kutumia fursa zetu ni mpaka tusubir wazungu tukijishughulisha tunaweza kikubwa imani tu

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan1065 4 года назад +1

    Mti_unaitwa_mnjeunjo_na_namba_za_simu_kataha_vipi_hamusikizi_vuzuri_inge_kuwa_hana_Nia_Njema_asinge_jitangaza

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 4 года назад +5

    11:25 kataja huo mti huo mnjonjo

    • @frankkajoba8372
      @frankkajoba8372 3 месяца назад

      Unaufahamu huo mti dada manake tuna ndugu zetu wanataabika.

  • @edwingwesso6818
    @edwingwesso6818 4 года назад +5

    Sasa hataki kusema kwahyo anataka rais amuombe ndo aseme au

  • @richardkaiza74
    @richardkaiza74 4 года назад +4

    Wasaidie watu mama na wewe utabarikiwa. La kufanya peleka hiyo dawa Nemc wakaifanyie utafiti kwa undani. Wape maelekezo muhimu na wakupe hati Miliki. Wazarishe dawa hizo dawa kwa kiwango cha kimataifa .

  • @kimmenelus7835
    @kimmenelus7835 4 года назад +11

    Yaani nilikuwa nakusikiliza lakini ulivyosema uwez kuutaja nikaingia kwenye uwanja wa coment na kukuachia ujumbe huuu
    ACHA ROHO MBAYA MAANA ATA MUNGU AMETENDA WEMA KUKUPA UZIMA TENA🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️

    • @elizabethmabula101
      @elizabethmabula101 4 года назад +2

      Umeona eeh. Hataki anatak apige pesa peke ake tu. Ubinafsi sio mzuri. Bora hata asingehojiwa acha akae na ukimwi wake ba dawa yake.

    • @ruthmaeja6340
      @ruthmaeja6340 4 года назад +1

      Atatajirikia wapi sasa?

    • @nasraabdallah850
      @nasraabdallah850 4 года назад +1

      Roho mbaya sn ameiyonesha dhahir kbsaa

    • @ernesttomas85
      @ernesttomas85 4 года назад

      Hati miliki

    • @zashamloli1233
      @zashamloli1233 4 года назад

      Kwel kbx n kwa roh hyo kupona utakuskia tu

  • @beresreuben1351
    @beresreuben1351 4 года назад +7

    Mungu ni mwaminifu yupo kutuokoa na mauti tanzania nitaifa teule

  • @princesssway1396
    @princesssway1396 4 года назад +5

    Basi wizara ya afya iangalie pengine kweli itasaidia tafadhal pengine kweli itafanya haki

  • @joelboya9888
    @joelboya9888 3 года назад +2

    Ili usaidie ulimwengu inatakiwa utaje mchanganyiko wote na jinsi ya kuitengeneza kila mhanga ajitengenezee dawa

  • @Kanga-pu6yl
    @Kanga-pu6yl 3 месяца назад

    Wapi walio pona.
    Toa orodha.
    Kupona vvu si jambo la kawaida. Ni jambo laweza Fanya utembee uchi bila fahamu. Wacheni kufanyia biashara maisha ya waathiriwa.

  • @deodatusrweyongeza2880
    @deodatusrweyongeza2880 3 года назад +1

    Wazungu watakuua wewe mama wakigundua, maana wale jamaa, hawapendi waafrica tujiongeze

  • @sharonmasawe5381
    @sharonmasawe5381 4 года назад +4

    Kazi ya utangazaji inalipa mtangazaji mashavu amevimba amekua round ka mpira ndo maana anamwambia mama mambo

  • @JK-uq1tv
    @JK-uq1tv 4 года назад +2

    Inabidi apeleke hiyo Dawa NIMRI wakaifanyie utafiti Kwanza.

  • @neemawambui4842
    @neemawambui4842 4 года назад +1

    Mimi nilipona ukimwi kwa kunywa Mulonge au moringa.jaribuni muone matokeo

  • @coletashirima2193
    @coletashirima2193 4 года назад +2

    Yan naogopa sana watu skuiz awaaminiki, labda atuonyeshe karatas zake za vipimo kuwa alikua na ukimwi na docta athibitishe kweli hana tena ,,,,maana wasaniii wengi

  • @emanuelmlowe6854
    @emanuelmlowe6854 3 года назад +1

    Yote hayo nimagonjwa ya biriget

  • @rosehaule220
    @rosehaule220 4 года назад +4

    Ila ziboreshwe.wagojwa wengi wa hiv ni wabunifu wa dawa kwan wanaangaika mnoo kutafuta uponyaji wanagundua vingi mnoo waangaliwe kwa macho mawili uenda wakasahidia

    • @wilsonemanuel9915
      @wilsonemanuel9915 2 года назад

      Amina mama Mungu ndio kakupa iyo dawa mama Mungu hakubalik

  • @gesusgegangphray7689
    @gesusgegangphray7689 4 года назад +1

    Tusiwe wajinga.mtu akitumia ARV ukimpima uwezi kabsaa kuona vitusi.miaka na muonekano tofauti...dawa zinaweza kufanya bzuri kwa mmoja na zikakataa kwa mwengine..tumieni kitunguu swaumu jaman..jaman uongo haifai Kansas ukiwa ujajiandaa n ngumu kupangilia

    • @dear.26
      @dear.26 2 года назад

      Kitungu swaumu

  • @yahayatemu1858
    @yahayatemu1858 4 года назад +5

    Tutapataje? Nambar yahuyo mama?

    • @princesssway1396
      @princesssway1396 4 года назад

      Mimi pia nahitaji no ya mama

    • @carptentv6848
      @carptentv6848 4 года назад +1

      0745632685 sikilizeni video kataja Leo najitolea kutaja watu wengi wakomboke

    • @esterpantaleo246
      @esterpantaleo246 3 года назад

      Kasema 0711903060, 0754632685 hiyo hapoooo

  • @fredyfile623
    @fredyfile623 4 года назад +3

    Kama nikweli hongera mama na unastahili kupewa uprofesa kabisaaa

  • @wee2587
    @wee2587 4 года назад +3

    kama MUNGU amekusaidia ukapata ufahamu wakutumia huu mti mbona uwe mchoyo

  • @judymukui7171
    @judymukui7171 4 года назад +2

    Tz twawaogopa nyinyi tangu enzi za loliondo😂😂but mbona corona hamna tz

  • @josephmbwambo8883
    @josephmbwambo8883 3 года назад +1

    Mbona inafanana na spirit jamani hiyo dawa ya kuongeza kinga

  • @haikamsechu8039
    @haikamsechu8039 4 года назад +11

    Kwanini mtu alazimishwe kutaja? Watu bwana. Mnataka tumieni hamtaki basi. Zawadi yake kwa kujitahidi kwake kwanini atoe bure. Msipende bure sana wanadamu kah!

  • @testmyphone1305
    @testmyphone1305 4 года назад +14

    Tegeneza na ya kupona kabisa

    • @hilalhilal8400
      @hilalhilal8400 4 года назад

      Mie nnaijua. Lakini sitibu.

    • @maidreamz4364
      @maidreamz4364 4 года назад +1

      @@hilalhilal8400 naomba mawasiliano yako tafadhal

    • @hilalhilal8400
      @hilalhilal8400 4 года назад +1

      @@maidreamz4364 weka no yako. Ntakutafuta

    • @hilalhilal8400
      @hilalhilal8400 4 года назад

      @@maidreamz4364 ok nishakuona. Unaweza kuifuta hapo. Ntakutafuta

    • @maidreamz4364
      @maidreamz4364 4 года назад

      Ok sawa

  • @kirupyseleman582
    @kirupyseleman582 4 года назад +23

    Mird najua mna mawasiliano na huyo mama mwambie hivi hatujasahau babu ya loliondo

    • @msalikemedia
      @msalikemedia 4 года назад +2

      Hahaha yaan wewe

    • @bintiiddy7043
      @bintiiddy7043 4 года назад +1

      😂😂🤣🤣🤣🤣🤣😁😁😁

    • @nyabahailani3169
      @nyabahailani3169 4 года назад +4

      Babu wa loliondo kwani aliumwa? yeye alikua hana ushahidi wa kujitosheleza ndio maana

    • @wisperfect1960
      @wisperfect1960 4 года назад +1

      Na ww ulikunywa kikombe😂😂

    • @kirupyseleman582
      @kirupyseleman582 4 года назад

      @@msalikemedia 😁😁😪 nipigie

  • @DonaldDaniford-fg6tf
    @DonaldDaniford-fg6tf Год назад

    Mam upo wap

  • @fatmabaraka3191
    @fatmabaraka3191 3 года назад +1

    Uyu mtangazaji namuonaga ana dharau sana' fatilia Interview zake akioji mtu

  • @BrayaniSammy
    @BrayaniSammy 7 месяцев назад

    Duu

  • @janethnkembo5808
    @janethnkembo5808 4 года назад +2

    Mhh ukimwi auna Dawa. Watu walio acha dawa wakaenda loliondo wengi walikufa.. Hakuna unafuu mbona na iyo niya kunywa kila Siku.?km arv

  • @AnnDorcus
    @AnnDorcus 10 месяцев назад +1

    hongera mama na utakam lini kenya uzaidie watu wengi humu nchini kenya

  • @zachariebutoyi6401
    @zachariebutoyi6401 3 года назад +1

    NINA MUSHUKURU UYO MAMA JE NINAWEZA KUPATA NUMBER YAKE MIMI NI ZAKARIYA WA BURUNDI

  • @annajohn175
    @annajohn175 4 года назад +3

    Hiyo kadi siyo ya CTC .....SEMA DAWA INAONGEZA CD4 AMBAYO NDIYO KINGA ..INAYOZUIA MAGONJWA MNYEMELEZI..KUPONYA NINA MASHAKA KINGA ZIKIWA JUU UNAKUWA SALAMA

    • @lilianluhasi5053
      @lilianluhasi5053 4 года назад

      Mtu anapona kabisa amini maana kinachofanya tuseme mtu anapona Ni kwasababu mtu anakunywa Mara moja hanywi Tena na anapona, ndiyo maana ya kupona, Kama haiponyeshi angeendelea kunywa kila siku

    • @deonikolausdeonikolaus62
      @deonikolausdeonikolaus62 4 года назад

      Sio kupona kabisa kiongoz inaongeza kinga

    • @idrisjuma2259
      @idrisjuma2259 4 года назад +5

      Kwanini huamini kupona? Ukweli ni kwamba ukitumia hizo dawa zao unaua kinga zako za asili unaleta kinga mpya artificial hivyo ukiacha kutumia kinga zitashuka na kuleta balaa kwa mgonjwa sio kwamba virusi vililala eti vimeamka hiyo si kweli kama tunavyoaminishwa.

  • @silperaura5637
    @silperaura5637 2 года назад +1

    Ila mama Hana matumaini ya kusaidia watu maana dawa ni ghali mno asiejiweza atakufa tuu sababu akuna mtu ila matajiri tuu ndiyo lakini sio Kwa mda

    • @djbenmusicsound6274
      @djbenmusicsound6274 2 года назад

      Kwel kabsa nia yake atajilikie apo dawa gali kwel masikin je alaf anasema amewai kutuma mpaka kwa elf 10,000 sio kwel

  • @BktvJusto
    @BktvJusto 2 месяца назад

    Aseme huo mti kwajilu yakuokoa wenzie kama watanzania lasivyo atajua anatafuta pesa

  • @mu-crzymahez9229
    @mu-crzymahez9229 3 года назад +2

    real thngs

  • @pascalkashiya4016
    @pascalkashiya4016 3 года назад +1

    fanya na dawa ya miguu kuvimba na zitafuta sana

  • @hassanmkomwa6298
    @hassanmkomwa6298 3 года назад +1

    Kuna mtu anatumia dawa yake ,nasubiri amalize doz ,akienda kupima ntaenda nae kupata ushuuda .

  • @dorcasdavid336
    @dorcasdavid336 4 года назад +1

    Ki ukweliii hapo iyo dawa ya Corona ina limao tangawizi hoho nk vina content ya alikali ndani yake ambayoo ni Tina tosha na ni ukweli alkali mwilini ndo kila kitu

  • @leonardmwanza2731
    @leonardmwanza2731 4 года назад +12

    Ayo naomba namba ya huyu mama

  • @Last403
    @Last403 4 месяца назад

    Dawa zipo sema tu ni kuzijua,alaf ukigundua kama hiv ukajitangaza watakuua wakidai unawaharibia biashara zao

  • @rinaldaoman7892
    @rinaldaoman7892 2 года назад

    Si useme ni.mti gani UTAPERI.mtupu

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 4 года назад +2

    Mbona vitu alivyochanganya mwenyewe anataja kwa kufikiria kama hakumbuki?

  • @issangyabertha5741
    @issangyabertha5741 4 года назад +2

    Iv miti shamba unaweza changanya nadawa yahospitali.(kunywa)

    • @zuriathkajwangya1724
      @zuriathkajwangya1724 4 года назад +1

      @pendo pendo unaweza kuchanganya sababu hizo za miti shamba hazina side effects yoyote kama hizo za hospital

    • @oliverdenis8321
      @oliverdenis8321 4 года назад

      Unakufa mara mojaa

  • @manfredkibona3126
    @manfredkibona3126 5 месяцев назад

    Tuonyeshe evidence mwandishi unafeli wapi

  • @KalhamaMarie
    @KalhamaMarie 9 месяцев назад

    Namba ya WhatsApp

  • @majaliwajohn7319
    @majaliwajohn7319 4 года назад +8

    Bongo hawaamini dawa zao ila ingekuwa kagunduwa mzungu asubuhi tu serikali ingefatilia.

  • @davidgona3825
    @davidgona3825 3 года назад

    Naomba kujua hivi dawa ya ukimwi iko nawezakuipataje nikiwa Kenya?+254713160063.EMAIL ADDRESS rescuemissionsministries@gmail.com