"UGUMU WA MAISHA NIKAAMBUKIZWA UKIMWI GEREZANI, NASUBIRI KIFO, NDUGU WOTE WAMEFARIKI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 авг 2019
  • #HIV #millardayo #ukimwi
  • ХоббиХобби

Комментарии • 1,4 тыс.

  • @sweetmama6885
    @sweetmama6885 4 года назад +8

    Jamani nawaomba wenye cm ya kuingia huku, mkikutana na huyu kaka muonyesheni hizi comment za humu asome. Hilo tabasabu lake litaongezeka mara laki 9😁. Jamani ni mzuri. Ana smile nzuri. Eeeh...! Mungu baba mwenyenzi muumba wa mbingu na dunia, nakuomba umfungulie huyu kaka njia sahihi katika maisha yake. Umpe baraka zako siku zote za maisha yake, furaha, amani, upendo, afya njema na maisha marefu vikatawale kwake. 🙏

  • @edithdickson3090
    @edithdickson3090 4 года назад +35

    Dah! pole sana kaka!, Matatizo kwa Mwanadamu kawaidaa Mungu anampango nawewe, jamani Bajaji inauzwa Million5, na tulioguswa humu ndani ni zaidi ya watu 3000 Embu tukunjue mioyo yetu tuoneshe mapenzi kwa huyu Mtanzania mwenzetu Aweze pata faraja tujichangishe kutoa ni moyo na wala sio utajiri.

  • @hassanmirambo564
    @hassanmirambo564 4 года назад +40

    Pole sana kwanza hongera kwa kuyakubali maisha hayo ya kuishi na maradhi pili msamehe huyo aliyekupeleka jela,ushauri wangu kwa wengine ikitokea bahati mbaya umepelekwa jela na huna ndugu usikubali kutumia kiwembe kilichotumiwa na mtu mwingine bora uwaambie hao maaskari wakupige tu maisha ya jela nayafahamu nimekaa humo askari magereza karibu 87% wanaroho mbaya SANA bora ukae na nywele zako zote mpaka zikukere,mabwana jela hivi kweli mnawafanyisha kazi wafungwa mnashindwa kuwagawia viwembe vya kutumia?jifikilieni sana kwa hili ndio maana huwa mkistaafu mnakuwa na maisha mabaya sana kutokana na roho zenu mbaya mnapokuwa kazini

  • @williamreuben9108
    @williamreuben9108 4 года назад +195

    Dah God anaweza kukupa maisha marefu kuliko ss wote

  • @leilainnocent6532
    @leilainnocent6532 4 года назад +194

    Yaani wewe kijana mzuri kweli wa sura, unatabasamu Zuri, na kuumwa sio kufa, natamani upate mfadhiri mambo yako yaende.

    • @janepatrick8961
      @janepatrick8961 4 года назад +2

      Nani kakwambia ukimwi unafuata watu wenye sura mbaya hayo ni mapito tu anapitishwa

    • @sophiakasim5153
      @sophiakasim5153 4 года назад +1

      Leila Innocent sanaaaa mashaallah

    • @leilainnocent6532
      @leilainnocent6532 4 года назад +12

      @@janepatrick8961 sina maana mbaya ila nimempenda tu alivyo.

    • @shabanigess6703
      @shabanigess6703 4 года назад +1

      Kweli

    • @shabanigess6703
      @shabanigess6703 4 года назад +2

      pole best Dunia mapito tu

  • @rahmachuji853
    @rahmachuji853 4 года назад +103

    Mungu akufanyie wepesi ufanikiwe upate Kazi 🙏Du Yani machoz yame nitoka kwa Kweri usiombe ya kukute

    • @antoinea.katembo5326
      @antoinea.katembo5326 4 года назад

      Rahma Chuji tunamsaidiaje huyo jamaa jamani? Mie nipo nje ya bara la afrika

    • @rahmachuji853
      @rahmachuji853 4 года назад

      @@antoinea.katembo5326 0788540869 namba Yake iyoapo

  • @queengee988
    @queengee988 4 года назад +45

    😭😭😭😭jamn daah tabasam zuri hiv lakn anataman kufa😢😢mpk tymbo limeum mungu akufanyie wepes usikate tamaa

  • @doctorgames5011
    @doctorgames5011 4 года назад +12

    TBC lazima wajitafakar upya...Hakika unaweza usitazame TBC na ukapata kila habar lakin ukitazama TBC tu utapitwa na kila kitu...Ingekuwa antibiotic in Medicine Ningesema Ayo TV ni Broad Spectrum!

  • @castoljmwalyego3778
    @castoljmwalyego3778 4 года назад +38

    Usikate tamaa broo bado uko fiti,Maambukizi sio kifo,,,,
    Na bado una nguvuuu freshiiii.....
    Utapata kazi naaminiii in Jesus Name....
    Love from Zambia

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 4 года назад +29

    Kila Kitu hutokea Kwa sababu ndugu yangu,mwamini MUNGU tuu,utaishi maisha marefu mpk ushangae broo,usikate tamaa,duniani wote tunaishi Kwa Neema tuu

  • @villageboysinatra
    @villageboysinatra 4 года назад +139

    Acheni Kutoa sifa nyingi na pole ..
    Suala jamaa anahitaji msaada mnamsaidia vipi mtanzania mwenzenu???

    • @samahstyles6776
      @samahstyles6776 4 года назад +2

      Villageboy Sinatra very true a lot of comments how do we help him does any one know him

    • @bensonisilivery6572
      @bensonisilivery6572 4 года назад

      Point

    • @nataemsuya
      @nataemsuya 4 года назад +5

      Watz ni wazur wa dua, sio pesa. Utasikia Diamond msaidie jamaa.

    • @mahmoudmwavula6182
      @mahmoudmwavula6182 4 года назад

      Kweli kabisa msaada ndio muhimu pole nyingi sana nimeona hapa

    • @Oman-bi2ej
      @Oman-bi2ej 4 года назад +1

      yes ur right....my friend for nothing this people has not talks the point.. .but still ur handsome so what if he is handsome....now let's see how together all of as going to help him

  • @uwimananadia6066
    @uwimananadia6066 4 года назад +77

    Nakuombea Mungu akupe kazi na sehem ya kuishi akupe na mke mwenye kukupenda ili usirudi nyuma kwa lolote eeeee Mungu skia kuomba kwangu🙏🙏🇧🇮

    • @verossapaul7213
      @verossapaul7213 4 года назад

      Frola nitetee mtafute atakusaidia🙏

    • @uwamahoroemanuel4020
      @uwamahoroemanuel4020 4 года назад

      Abantu bagwaye sida nibeshi gusa bomufasha kumuha icoyokola

    • @kabwelerywamwatumu5078
      @kabwelerywamwatumu5078 Год назад

      Awe na mke namehasirika?

    • @kabwelerywamwatumu5078
      @kabwelerywamwatumu5078 Год назад

      @@ywydhhd7941 ivi wewe unaona aoe mwenye ukimwi mwenzake au? Mimi naishi Finland 🇫🇮 ukigundulika una ukimwi na wakijua wewe umemwambukiza mtu fulani utafia ndani maishayako yote.

    • @ywydhhd7941
      @ywydhhd7941 Год назад

      @@kabwelerywamwatumu5078 yes mweny ukimwa mwenzake tena ndoa takatifu , hata asiye na ukimwi, ukifuata masharti

  • @Winstonfying
    @Winstonfying 4 года назад +28

    Pole sana brother, Mkasa wako unagusa sana . Tunaamini Mungu atakusimamia kwa kila hatua.
    JAMANI COMMENTS SASA NI 435, KILA MMOJA AKITOA TSH 2,000/- TUTAKUWA TUMEMSAIDIA WALAU KIDOGO, SI LAZIMA UWE NA KIKUBWA. TUMA KWNY NAMBA YAKE, MIMI PIA NAFANYA HIVYO SASA.

  • @nelsonlema4330
    @nelsonlema4330 4 года назад +45

    Wadau takribani 606 wamekomenti hapa, tukumbuke haoni hizi komenti, njia muafaka ni vitendo...mfano tungeweza kutuma hata elfu moja 1000/ kwa kila mmoja angekuwa na njia ya kuanza. Mathalani apange room ya chumba kimoja na kiasi anachoweza kupata pia kinaweza kumpa mwanzo wa kuwa na kitu endelevu cha kukabiliana na maisha. Jiulize ungekuwa ni wewe?
    Mimi nimeshamtumia teyari kiasi kidogo, naamini kitampatia mwanga kidogo. Asante Ayo TV.

    • @zainaommy5475
      @zainaommy5475 4 года назад +1

      Kweli jmn tungeunda ata grupu la whts up la kuchangia km ivi ndo thawabu zenyewe

    • @zainaommy5475
      @zainaommy5475 4 года назад

      Mungu akubark sana

    • @zainaommy5475
      @zainaommy5475 4 года назад

      Tuungane ata mia 500 buku kutoa ni moyo sio utajr dah

    • @yusuphkwaya7843
      @yusuphkwaya7843 4 года назад

      Nelson Lema nikweli kaka kumbuka umeongea poit nzuri Sana jaman tumwekee japo kidogo kimsaidie yuko kwenye mazingira magumu Sana

    • @yahyamwadini5768
      @yahyamwadini5768 4 года назад

      Ni kweli hii rai nzuri kabisa tumtukie direct bubu buku

  • @josephinaclement2129
    @josephinaclement2129 4 года назад +36

    Pole sn kk, ila kuugua ukimwi sio mwisho wa kutimiza malengo yako.naamin kila jaribu lina mrango wa kutokea, ipo ck utakuwa sawa na maisha yataendelea

  • @pillykenedy2140
    @pillykenedy2140 4 года назад +9

    Natamani kukusaidia ila sina uwezo😭😭😭😭

  • @oscaroscaroscar7974
    @oscaroscaroscar7974 4 года назад +90

    kapime Tena!.......Mungu Atatoa Ayo Maradhi Niamini mimi brother ukikaaa nenda kapime tena

    • @allyderossi9742
      @allyderossi9742 4 года назад +2

      Oscar oscar Oscar;;Mm niko ZNZ lkn nimeshindwa kuimaliza hii story,,hebu nisaidie mawazo broo 2msaidie vp huyu ndg ye2
      UKITAKA KUJUWA UCHUNGU WA HILI JAMBO IFIKIRIE NAFC YAKO WW KAMA YANGEKUKUTA WW BINAFSI.

    • @poureenkunambi6413
      @poureenkunambi6413 4 года назад +3

      Oscar oscar Oscar in JESUS NAME

    • @marrionwatima797
      @marrionwatima797 4 года назад

      @Jojo Hihi amen n amen

    • @mpondaahamida2146
      @mpondaahamida2146 4 года назад +3

      Nikweli, inawezekana ktk jina la Yesu.

    • @abuyunusmohamed6961
      @abuyunusmohamed6961 4 года назад +7

      kapime tena na tumia black seed kila siku tena tembe saba tafuna kwa muda wa miezi mitatu utapona kwa uwezo wa mwenyezi mungu.Nenda kwa abdu swamad pale kariakoo karibu na stendi ya mwenge ni mtaalam wa dawa za asili

  • @geofreyjulius377
    @geofreyjulius377 4 года назад +3

    Natangaza uponyaji kwako kwa Damu ya Yesu,hautakufa in Jesus Mighty Name,pepo ukimwi hatakatiza maisha yako in Jesus Name.Yawezekana ujumbu huu usiuone lakini Mungu wetu ni mwema anasababisha uhai tena ndani mwako.Ukienda kupima hautakuta huo ugonjwa tena .na mpokee Kristo Bwana yeye atayatengeneza maisha yako upya.

  • @omarymbalala6224
    @omarymbalala6224 4 года назад +30

    Maisha bila Mama nimagum Sana aisee mungu amrehem mamangu

  • @casandrahhelman7639
    @casandrahhelman7639 4 года назад +31

    Jamani Cabayser dah. Pole ndugu yngu. Nakumbuka ulikua driver wangu mzuri tu.😢😢😢 m/mungu akupe nguvu mpnz.

    • @theresaeward4933
      @theresaeward4933 4 года назад

      Please help me even secretly

    • @ismaelmatano3571
      @ismaelmatano3571 2 года назад

      Hi I'm from Kenya pliz if you know this guy I think we can help him casandrah pliz

  • @twobrothers8228
    @twobrothers8228 4 года назад +10

    Inasikitisha Sana ila Huyu Kaka anahitaji Spiritual healing kwanza hizi Kanisa zetu jamani Mpeni Kazi kanisani Naona Mungu Ana kusudi naye amtumie Kama chombo chake ili watu wamjue , anaweza Hata kuponywa, 😭

  • @RAFIKI_TANZANIA
    @RAFIKI_TANZANIA 4 года назад +131

    JAMANI HAPA INAONEKANA SWALA HILI LIMETUGUSA WOTE
    SASA TUNAFANYEJE KUMSAIDIA HUYU KAKA
    NINAOMBA KAMA UMEGUSWA TUUWASILIANE TUCHANGE TUMOELEKEE HUYU KAKA SIMU NA ANGALAU PESA YA CHUMBA APATE PAKULALA NA TUFAITI APATE KAZI.MUNGU AWABARIKI SANA.
    0712927987
    PIGA TUJADILI.

    • @bernadinangasi7664
      @bernadinangasi7664 4 года назад +10

      Cha msingi tuungane kila mmoja tumnunilie bajaji

    • @irenemanjoli7955
      @irenemanjoli7955 4 года назад +1

      Mmhh achen uongo

    • @chalazaonetv4749
      @chalazaonetv4749 4 года назад +1

      Me nipo tayari

    • @RAFIKI_TANZANIA
      @RAFIKI_TANZANIA 4 года назад +10

      @@bernadinangasi7664 NI KWELI BASI TWAUNGANAJE BILA KUMFIKIA MLENGWA SISI TUNA KIKUNDI CHETU TUTATOA 500000
      NA SIMU MOJA APATE MAWASILIANO KAMA WAPO WANAOTUUNGA MKONO KARIBUNI

    • @RAFIKI_TANZANIA
      @RAFIKI_TANZANIA 4 года назад

      @@chalazaonetv4749 acha namba tuwasiliane

  • @Cryptocurrency_Tanzania
    @Cryptocurrency_Tanzania 4 года назад +3

    Nahisi kupitia kujitangaza na kujiweka wazi kwa ndugu yetu huyu iwe nafasi kwa selikali kupitia na taasisi zinazopambana na Ukimwi kumtumia kwenye matangazo ya kuhamasisha vijana kupima afya zetu.... Mungu akubariki Kwa utajiri wa uthubutu aliokupa.... Hautakufa utaishi.

  • @giftmlange3327
    @giftmlange3327 4 года назад +7

    😭😭😪😪mweee mwanangu Mungu akufanyie wepesi akuponye na akawe faraja akuponye kwa damu ya Yesu mwanangu 😭😭😭😭😪😪

  • @santalover
    @santalover 4 года назад +8

    Mungu anaweza kukuponya there’s hope to those who believe in God trust me brother unaweza kupoana kabisa na maisha yakaendelea kabisa

    • @marthajohn9120
      @marthajohn9120 Год назад

      Kweli kabisa, haende madhabau sahihi, kwa PROPHET SS ROLINGA

  • @irinemacha2951
    @irinemacha2951 4 года назад +64

    Baba wa
    Mbinguni nakuomba umtie nguvu kiumbe wako kwaanayoyapitia. Kiukweli inauma sana

    • @yusufally6853
      @yusufally6853 4 года назад +2

      Irine Macha ..Amiiim

    • @irinemacha2951
      @irinemacha2951 4 года назад +1

      @@yusufally6853 I wish ningekuwa nauwezo nimsaidie

  • @antybabybintrashid2333
    @antybabybintrashid2333 4 года назад +4

    Subhanallah what a inocent soul ata uyo alokupeleka segelea akiona hino vdeo atajihukumu

  • @annekayi273
    @annekayi273 4 года назад +4

    Story yako ndungu inaguza natumai umepata usaidizi jameni watazania msimuache huyu kijana angaike kijana mzuri jameni mfugulieni ata kama nibiashara apate kibaji cha maisha agekua Kenya nigemkombolea kanyumba kidogo na nimpe kabiashara ajiendeleze kimaisha mungu akusaidie ndungu

  • @vianmarcel818
    @vianmarcel818 4 года назад +16

    Pole sana kaka,. Mungu akutie nguvu uyashinde ya dunia. Kaka UKIMWI ni ugonjwa wa kawaida tu, magonjwa mabaya yapo mengi na yasiyo na tiba,. Kansa, Sukari, Ebola na mengineyo ni mabaya sana pengine kuliko ukimwi., Mungu nisamehe kama nimekosea. Be strong bro, our ALMIGHTY GOD IS WITH YOU..

    • @mutalemwagabriel2277
      @mutalemwagabriel2277 4 года назад

      😭😭😭😭😭😭

    • @j-sonlian8053
      @j-sonlian8053 4 года назад

      Hepatitis B( ugonjwa wa ini ni hatari kuliko UKIMWI)

    • @judymasunzu7517
      @judymasunzu7517 4 года назад

      Daah pole sana kijana. Mungu akuangazie nuru yake upate mfadhili. jamani wenye nyumba zisizo na wakaaji mpeni huyu kaka chumba. Duuh kesi ya kuiba Bajaji rumande miaka 2!?

    • @devothadonaldsimbi3499
      @devothadonaldsimbi3499 4 года назад +2

      @@judymasunzu7517 Mimi nyumba yangu Haina mtu wa kuishi kumbe Kuna binadamu wanahangaika Hawana pa kulala jamani laiti ningalikuwaTanzania ningemsaidia

  • @ezzy_e2450
    @ezzy_e2450 4 года назад +12

    Kuna MALKIA WA NGUVU NA jasiri,,, mnaonaje tukaanzisha na MFALME WA NGUVU jasiri,, kwanza pole bro we NI MFLAME WA NGUVU NA JASIRI, Tumsaidie km kijana mwrnzetu linaumiza kwa kweli dah!!!

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b 4 года назад +1

    Pole brother, kuugua kwa ngoma sio mwisho wa maisha wala sio mwisho wa ndoto zako usikate tamaa maisha ayana formula shida na raha tunapitia mungu akupe afya njema na maisha marefu mungu akusimamie kila unalo nia nalo.

  • @DAUDIMADELEM
    @DAUDIMADELEM Год назад +2

    Kuna muda tunapaswa kujifunza kwa kusikia kuliko kuona mwamba ana roho ya dhahabu Mungu ampe maisha marefu mema Sana. Mungu hutuambia vitu kutumia watu hili ni funzo 🙏🕊️🕊️🕊️🕊️

  • @saumushabani1628
    @saumushabani1628 4 года назад +38

    Pole sana kaka yangu

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 3 года назад +3

    Mwenyezi Mungu atakuponyesha inshaallah.
    Anza kutumia dawa upate Kinga ya mwili.
    Na endelea na maisha.Kazi iendelee

  • @mwanaidally4368
    @mwanaidally4368 4 года назад +21

    Dah nipo tayari kuishi nawewe bila kubangua afya yako ngoja nikutafute umeniumiza san

  • @magrethjohn8576
    @magrethjohn8576 4 года назад +12

    Watu wana ukimwi miaka nenda rudi wanaolewa na wanaoa na wanazaa watoto salama na wnafurahia maisha yao!usiogope kifo kipo popote.

  • @ummuismail7597
    @ummuismail7597 4 года назад +3

    ni mcheshi kaka hadi nimekupenda...sio mwisho wa maisha kula dawa zako vizuri...mungu atakusaidia in sha Allah

  • @annen3923
    @annen3923 4 года назад +18

    This is so sad and painful. Kakaangu kile naeza kukuambia ni kwamba, usife moyo maana Mungu ni muweza wa yote. Kua na virusi si mwisho wa maisha. Our God is a great healer. He is the father to the fatherless and he will heal you if only you believe. Please give your life to Jesus and expect his miracles in your life. Don't try to kill your self or hurt your self in anyway. God loves you and he cares about you. I wish l can reach you and give you courage but l will still remember you in my prayers. Be healed in Jesus name

  • @bintikiziwi4600
    @bintikiziwi4600 4 года назад +5

    Pole sana kakangu Mungu amponye aki,but ni handsome hata mimi naeza mpenda na hyo avya yake hivo he's so cute wallahi

    • @evanslawrence7764
      @evanslawrence7764 4 года назад

      Binti Kiziwi
      na wee ni binti kiziwi kweli, yaana anakwambia yeye ana umwa ukimwi, huku unamtamani' endelea tu na kujifanya kiziwi uta ula wa chuya kwa uvivu wa kuchambua

  • @sifamugwaneza1178
    @sifamugwaneza1178 4 года назад +1

    Dah! Mwenyezi Mungu akujaalie pakuishi na pia kazi inshaallah Mungu ndo mtowaji kaka Ake utapata na na ukimwi sio kifo bro aisee mpaka umeniliz kbs tamasam lako yan dh 😭🙏🙏🙏 Mungu mjaliee kijana wako nina imani kilakitu anetowa ni wewe Mungu 🙏

  • @williamcasmir5068
    @williamcasmir5068 4 года назад +3

    Daaaaaah Pole Sana Kaka Mungu Atakusimamia Kwa Kila Hitaji Unalo Hitaji"""Unafurahi Na Marafki Zako Moyoni Unamaumivu Yasiyo Futika 😢😢

  • @danielimeshack3712
    @danielimeshack3712 4 года назад +13

    Nimetokwa na machozi na kulia😭😭 mwenyezi mungu akulinde akuhifadhi kuwa na maisha mema

    • @RAFIKI_TANZANIA
      @RAFIKI_TANZANIA 4 года назад

      0712927987
      PIGA SIMU TUUNGANE KUMUINUA NDUGU YETU DUNIANI TUNAPITA LEO KWAKE KESHO KWETU POLE HAISAIDII WALA KULIA HAISAIDII MWENZETU ANAZIDI KUTESEKA LAKINI KUMBUKA UMOJA NI NGUVU TUNAWEZA KUMFANYIA JAMBO LA MSINGI NAYE AKAJIHISI MTU KATIKA WATU.
      KAFIBUNI SANA CHANNEL YANGU INAITWA MAPITO NA HII NAMBA YANGU NAPATIKANA MUDA WOTE NA IPO WHATSAP
      JIUNGE NASI NITAKUUNGA GROUP LA WALE TULIOAMUA KUFANYA JAMBO KWAAJILI YA KIJANA MWENZETU.

    • @gracenavilo7946
      @gracenavilo7946 Год назад

      Usiogope Anza kunywa dawa ,,hutakufa Bali utaishi

  • @godfreylyimo4177
    @godfreylyimo4177 4 года назад +1

    Yupo Mungu bro anayeweza badilisha maisha yako na ndie tumaini letu sote. Tafuta Mtumishi wa Mungu anayeweza kujenga upya ufahama wako. Pia watz tumsaidie ndg yetu

  • @abdallahjuma242
    @abdallahjuma242 4 года назад +1

    Pole sana bro InshaAllah hakuna kitu kinachoshindikana mbele ya ALLAH ... atakufanyia wepesi wa kila jambo lako na utarudi kwenye maisha yako ya furaha.

  • @maliethnyoni2847
    @maliethnyoni2847 4 года назад +31

    Daa nimeumia mm daa 😢😢jmn mpeni Dada frola atamchangishia

  • @lucyjoachim8319
    @lucyjoachim8319 4 года назад +4

    Tabasamu lako lisiishe usoni....mungu katupa maisha bila tarehe ya mwisho....tunakufa kila siku kifo kipo tu hakikwepeki MUNGU AKUPE NGUVU .

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily85 4 года назад +2

    Allaah Amuhefadhi in sha Allaah. Maadaam ana imani na moyoo wa subrah.na MashaAllaah mcheshi.Allaah Atamsitirih na kumfunguliyaaa Ayatakayoo.na kulaa mwenye shidaa Allaah Atawafunguliyaaa.kkwa mwenyezimngu kwake nikunfaa ya qoun..

  • @rahmasuweyd827
    @rahmasuweyd827 4 года назад +5

    Wallah inatoa machozi Allah ampe shifaa na ampe kazi in Sha Allah

  • @elishalucumay7743
    @elishalucumay7743 4 года назад +30

    Mungu akuponye ndugu yangu hayo ni mapito tu 😰😰😕😕

  • @softymoha5484
    @softymoha5484 4 года назад +6

    Hakii,,, nimeumia kama mzazi tumbo limechemka. Usijali Allah atakuponya insha allah ameen. Nawapenda ndugu zangu salamu zangu kutoka kenya

  • @ruthjmkombozi5990
    @ruthjmkombozi5990 4 года назад +1

    Daah pole sana kaka angu, nimejisikia vbaya sana kwa hii story, hukutakiwa kupitia yote haya, Mungu ni mwema atakusaidia

  • @dogogaga8804
    @dogogaga8804 4 года назад +1

    Dah! Pole sana mwanangu {#Kabaisa!} Kila hatua dua Mungu azidi kukupa Afya Njema.

  • @aishavogelmann6735
    @aishavogelmann6735 4 года назад +5

    Amini Mola utaishi maisha marefu....Insha allah kila kitu itakuwa sawa....😭😭😭.......Insha allah mola atakufungulia nautapata bajaji yako kuwa na imani .....Hakuna kitu kubwa mbele ya Mola ,na hakuna kinamshinda....🙏

    • @stanpeter1076
      @stanpeter1076 4 года назад

      Very sory man, yote yanapita usikate tamaa.

    • @mamaenjoymamaprince6919
      @mamaenjoymamaprince6919 3 года назад

      Pole Sana mwananguu mwenyezi MUNGU azidi kukupa ujasiri na Afya njema mwenyezi mungu amekuandalia mema ondowa mawazo ya kujiuwa mwananguu frank

  • @willyngendakumana6996
    @willyngendakumana6996 4 года назад +8

    Dah pole sana bro Mungu yuko na atakusaidia

  • @salimamasanja4659
    @salimamasanja4659 4 года назад +1

    Kikubwa kua na ujasili na kujikubali pindi unapopata matatizo makubwa,hongera my kaka kwa ujasiri huko vizuri sana,mungu akupe maisha marefu na uelewa,pole sana

  • @mamaprose9800
    @mamaprose9800 4 года назад +28

    Daaah inauma sana😢😢pole sana kaka angu mungu atakufanyia wepes

  • @najma3268
    @najma3268 4 года назад +3

    Kaka mzur Mashaallah, kuumwa
    Cyo kufa,kwanza ww huumwi yaan tu ni cdf zimepungua bado kijina na unanguvu , tena unaweza kufanya kaz na ukaanzisha familia yako

  • @hamidahamadi3609
    @hamidahamadi3609 4 года назад +5

    Huyu kijana kaniumiza sn wallah dah Allah akufanyie wepesi Inshaallah

  • @serafinamalecela4728
    @serafinamalecela4728 2 года назад +1

    Bhanaaa ukiwa na ukimwiii haimaaanishi huna haki ya kufanya mapenzi wewe ni binadamu hata huyo mwanamke wako kama akikutaka tena be hers na tafadhari u can get somebody who can love you 😍 UKIMWI sio mwisho wa maishaaa kijana mwenzetuuuu usifikirie kujiua baba😓plz unanafasi ya kuwa mwanaume tenaaa baba wa familia na ukazaa watoto wengine ambao hawana maambukizi tafadhari mwenye namba ya huyu kaka tafadhari

  • @majitube6682
    @majitube6682 4 года назад

    Pole saana monyezi mungu atakusimamia inshallah dont give up na nawapengeza saana milard ayo my faveret chanal keept up na kazi nzuri unafanya from mombasa

  • @fadiasly5001
    @fadiasly5001 4 года назад +4

    Pole kaka umeniliza jamani halafu upo na matatizo lakini unatabasamu jamani mwenyezi mungu akuondolee hayo maradhi jamani 😭😭😭😭

  • @fintaniferx9535
    @fintaniferx9535 4 года назад +43

    Kweli ni tatizo ila broo ila kutotumia dawa badala ya kuishi myaka ishilini utaishi kumi kwaiyo meza dawa kuna watu washa ishi na mahambukiz myaka 30 bado wana kula maisha2 ndugu ata dalili za kufa awana kabisa kwaiyo meza dawa ndugu

    • @mariampaul9271
      @mariampaul9271 4 года назад +1

      Pole sana kaka Mungu atakusaindia

    • @parma786
      @parma786 4 года назад

      Brother F, tafadhali ukipata dawa we meza na mtangulize Allah kwa Kila unalotaka kufanya inshallah kwa uwezo wake mwenyezi mungu utafanikiwa kupona kabisa na utapata maisha marefu na pia utapata kazi nzuri mapato mazuri na utaishi maisha mazuri na familia yako usikate tamaa amin hivyo Kila kitu hapa chini ya jua kina ungozwa na ALLAH SUBHANA WA TAALA ameen, (pole sana my brother)

  • @wahidashabaz5982
    @wahidashabaz5982 4 года назад +36

    ila wanaume ni wanaume maana kwa stori yako ungekuwa mwanamke angeshatoa machozi dahh pole kaka

  • @bosskubwa2727
    @bosskubwa2727 4 года назад +1

    Broo Mungu azidi kukulinda, Njia yako safi na una Moyo Mgumu. Ipo siku maisha yatanyoka MUNGU YU PAMOJA NAWE KAKA

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 4 года назад +24

    Your very handsome broo,ila tumia Dawa kaka pls,

  • @miriamgasper8792
    @miriamgasper8792 4 года назад +16

    imeniuma sana mungu akujalie yaani me na mtoto wa kiume huwa namuombea kwa mungu maana mtoto wa kiume haaminiki wakumsaidia hamna tuombee vizazi vyetu yaani nimelia. mungu bariki vizazi vyetu.

  • @hassanbazi8790
    @hassanbazi8790 4 года назад +3

    Pole sana kaka inshaallh kwauwezo wa (allha) inshaallha utapona kwa jili yake inshaallha bada ya siku 6 kapime tena inshaallh 🇹🇿

  • @Alvinjoely91
    @Alvinjoely91 4 года назад +16

    Kaka Milard Ayo fanya hata group hivi au tafuta namba tuweze msaidia mwenzetu...Sijambo jepesi kuongea hali yake adharani naomba utusaidie tufanye jambo

  • @anusiatadickson3814
    @anusiatadickson3814 4 года назад +4

    Kuna mazingira Mungu anaruhusu unayapitie akijua wewe pekee ndio unaweza kuyastahimili, Mwisho wa siku unasema Asante Mungu.... Pamoja na yote kaka wa watu tabasamu lake halijajificha

  • @dienovernakshy5647
    @dienovernakshy5647 4 года назад +8

    Bro ukimwi unaishi kuliko malaria Kunawatu wameungua MOTO Moro walikuwa hawaumwi ivo kifo hakitazami ukimwi ulichokiandika Ndio utakufa siku hiyo

  • @zainabissa7986
    @zainabissa7986 Год назад

    Such a Handsome with very nice smile, Binafsi ntakutafta. Usimuache Mungu anampango mzuri sana na wewe na ugonjwa ulionao utapona kabisa na maisha yako utayafurahia.. MTEGEMEE MUNGU...

  • @rashidimuhibu6832
    @rashidimuhibu6832 4 года назад +3

    Daaah hii story imenitoa chozi bro kwa kweli you are strong boy kaka
    Allah atakuweka milele daima na utapata hitaji lako

  • @jellysemwali3509
    @jellysemwali3509 4 года назад +5

    Kwa jina la yesu alie hai kapime tena utakutana na majibu tofauti kaka

  • @lailmeeea4908
    @lailmeeea4908 4 года назад +8

    Dah! maisha haya pole sana kakaangu

  • @masagabulemela3228
    @masagabulemela3228 2 года назад +1

    Hawa wenye hela ni wangese sana wanajiona maisha wameyamaliza na wanaona hakuna kitu mtu unaweza kufanya kama huna pesa ila Daaah pole sana kwa kweli inauma mno

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 4 года назад +1

    Mwanaume ni mwanaume he is very strong though amepitia maisha magumu ,pole Sana dogo yote yataisha tu .

  • @ukhutysalmaah1463
    @ukhutysalmaah1463 4 года назад +9

    Pole sana kwa mitihani iliyokukuta 😢

  • @aay2925
    @aay2925 4 года назад +3

    Pole Sana kaka Allah yuko nawe usikate tamaa bro ayush from 254

  • @thumnathumna5946
    @thumnathumna5946 Год назад +1

    Mungu akupe moyo wa subra na akufanyie wepesi katika maisha yako uishi kwa furaha.cha kukupa sina dua yangu muhimu sana kwako.

  • @theopistamganwa7752
    @theopistamganwa7752 4 года назад +1

    Ukweli na uwazi wako mungu akusikie kilio chako. Mungu uwafungue wenye mapenzi mema waweze msaidia huyu kaka katika hitaji lake. shukrani zimfikie Mwandishi wa habari hii uwe na moyo huo huo wa kumjali kila mmoja Amina.

  • @enonmwanza5736
    @enonmwanza5736 4 года назад +4

    Polee sana mwamba jipe moyo mungu yu pamoja nawe

  • @rehemaahamadiahmadi566
    @rehemaahamadiahmadi566 4 года назад +4

    Lnk uko handsome Sana usijali mungu yupamoja nawe

  • @mkwijimadeni4833
    @mkwijimadeni4833 4 года назад +1

    Pole sana kaka usikate tamaa mungu tuko pamoja na wewe kuwa na subra Allah atakufanyia wepesi more than pain

  • @lucasmatonya2332
    @lucasmatonya2332 4 года назад +1

    Daaaaah aliyemfunga alikosea Sana kitu kimeishapotea kimepotea hakiwez kurudi ila jamaa nimekukubali Sana Maana hutaki hela ila unataka kazi ili upate hela ya kutumia Daaaaah respect

  • @davidwilliam1189
    @davidwilliam1189 4 года назад +6

    Mtegemee YESU atakuponya, usione kuwa huo ugonjwa unauwa, maana yupo aliyekufa kwa ajili yako, dai haki yako kwenye hiyo Dam

    • @marthasumaye6017
      @marthasumaye6017 3 года назад

      Kilichoua ndg zake ndo kilichomtia mikosi yaani maombi tu ndo yatamsaidia

  • @bboyblackfire
    @bboyblackfire 4 года назад +17

    they see me smile but they don't know what i feel inside 😞 😞 😞

    • @lindaemily981
      @lindaemily981 4 года назад +1

      They don't know by chronixx

    • @gambajunior2275
      @gambajunior2275 4 года назад

      BBoy Blackfire daaah too immotional bro watu wanapitia hard time

    • @_naimali
      @_naimali 4 года назад +1

      BBoy Blackfire facts!

    • @bboyblackfire
      @bboyblackfire 4 года назад +1

      @@_naimali ❤❤

  • @peacemollel2347
    @peacemollel2347 4 года назад +1

    Kha! Mungu akupe maisha marefu... Siamini kijana mzuri hv khaaa! Sina neno ila mungu Ni muweza wa yote

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 4 года назад +2

    Usijiue kaka Hao ndio binadamu ukiwa hauna kitu wanakunyanyapaa Pole sana kaka Mungu atakubariki baba

  • @vivaidaramsy7415
    @vivaidaramsy7415 4 года назад +13

    May Gods Favour Locates And Healing is your portion

    • @janejohn1083
      @janejohn1083 4 года назад

      kaka nimekupenda tabasamu lakomungu akutienguvu piakuwa naukimwi siomwishowa maisha .

    • @judithkatembwe277
      @judithkatembwe277 3 года назад

      Jamani 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @gersonjohn4353
    @gersonjohn4353 4 года назад +5

    Mungu akutie nguvu , dah maisha yanachagamoto nyingi sana kuumwa sio kufa chamsingini kutokukata tamaa na Mungu atafanya njia katika maisha yako

  • @evelynmon9423
    @evelynmon9423 4 года назад +1

    Usikate tamaa ndg yangu Mungu yupo aponyae atakuponya wewe nenda makanisa ya kiroho mpokee Yesu kuwa Bwana na mwokozi wako atakuponya kuna maisha mazuri ndani ya Yesu wewe ni kijana mzuri sana ukimtumikia Yesu hatakuacha usiangalie mambo ya udini nenda kwa Yesu ukaponywe

  • @frenkfrancis4151
    @frenkfrancis4151 4 года назад +2

    Nashukuru kwa comments nilizopata kwenye video hii, kwa wale ambao wangependa kujua zaidi ninavyoendelea, mnaweza mkanipata kwenye Instagram, jina "Frenk_Muhina" na kwenye Facebook ni Frenk Muhina.

  • @milcahjosiah3967
    @milcahjosiah3967 4 года назад +8

    Duuuh kaka mzur wew jmn polee😭😭😭

  • @castoadriano1753
    @castoadriano1753 4 года назад +5

    "Silver and gold I have not what I have I give you in the name of JESUS" BE HEALED
    Act 3:6 (TLV Version )

  • @abdullmalik7847
    @abdullmalik7847 4 года назад +2

    Allah akufanyie wepesi,,🇰🇪Dawa muhimu,brother

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 2 года назад +1

    Pole sana kaka Mungu akufanyie wepesi wa maisha yako kaka akupe mwisho mwema kaka🙏🤲

  • @esharamadhani3438
    @esharamadhani3438 4 года назад +13

    Pole sana !,pole sana kaka Kwatabasam ulilokua nalo Mungu akuzidishie naakufanyie wepesi

  • @damianmachilutv1167
    @damianmachilutv1167 4 года назад +3

    Dahhh inauma sana, na ukimuangalia huwezi kuamini MUNGU amsimamie.

  • @dezideliusandrew2139
    @dezideliusandrew2139 4 года назад

    Kuugua sio kufa Mungu yupo jikaze Bado unanafasi ya kutimiza ndoto zako...pole sana frank

  • @suratibrahim6417
    @suratibrahim6417 Год назад +2

    Be blessed 🙏🙏🙏🙏🙏