Jamani sulemani ujafia jela unakuja kuuliwa hivyo kweli nimeumia kwa kweli nimekumbuka alivyotoka jela na kumfata mtoto wake alipomuona mtoto wake alifurahi sana poleni family Mungu ampe pumziko la amani 😭😭😭
innalillah waina ileih rajioon 😭 polen sana kwa msiba wa ndugu yetu Suleiman Allah amrehem amsameh makosa yake ampe qaul thabit amjalie janat ferdaus amiin yarab Allah akupeni subra msiba mzito Allah awafarij
Kiukweli hyu kaka ameteseka sana yaan imagine amepelekwa jela mungu kamsaidia katoka watuwanakuja kumuuwa tu jaman mungu ailaze roho yake mahali pema nimeumia sana
Haya mauwaji yalipangwa kitambo sana japo dhana c mbaya ,alifungwa miaka yote hyo maskn hakufa ila lazma aliekewa Nia yakuangamizwa maskn,Mungu ailaze roho yake pepon 🙏
Zahiri wewe maisha ya watu unaweka rehan kwa kweli huku kujitangaza kwnye media ni mtihani ukiwa mkweli wa mambo yanayokysibu wewe na maisha yako basi utafatiliwa uuliwe
Innalillahi wainna ilayhi rajighuna..dah selemani story yake nimeanza kuifuatilil leo. Kufungwa kutoka jela hadi kumpata mwanae. Siku hii hii nafungua clip nyingine nakuta ameuawa. Dah...! Nimeumia sana😭😭😭😭 mungu amlaze mahali pema maan yate yaliyomkuta yeye ndia alimuandikia hivo. Mbele yake nyuma yetu tumtegemee mungu kwa kili mitihani inayotupata. Pole mama sela pole ndugu wa sele pole wanakigoma pole watanzanie wote kwa ujumla😭😭
Its painful saana sorry for the family...that's well planned within family revenge ndio maana they also kill mwenye bodaboda with no evidence...waah better awe kwa jella very sad
Sasa vipi simu yake umepatikana kama walikusudia kuiba? Wamemuuwa mwenye boda boda kwasababu asije kusema wakakamatwa au kakataa kumuacha walikuwa wanapambana wote.
Samia naye aangalie wa kuwasamehe wengine ni vibaka kweli ukiwatazama usoni sivyo walivyo rohoni. Huyu sele inaonekana kabisa alishindikana hadi gerezani
Kushtumu ni dhambi. Jela ukiwa umeregea utakufa kwa njaa. Kuna shughuli za ushoga ukiregea unageuzwa. Kwa hiyo uhalisia wa maisha ya jela inabidi uwe smart.
Jamani sulemani ujafia jela unakuja kuuliwa hivyo kweli nimeumia kwa kweli nimekumbuka alivyotoka jela na kumfata mtoto wake alipomuona mtoto wake alifurahi sana poleni family Mungu ampe pumziko la amani 😭😭😭
Kuna Watu wanaunyama hata Simba anaafadhali. Poleni Sana wafiwa kwakuondokewa na ndugu yetu
Tumekumiss zahir welcome back
Dah yaani nimeumia kama ni ndugu yangu vile😭😭😭 binaadamu wabayaaa
Inna lillahi wainna ilayhi rajiun Allah amsamehe makosa yake
Mimi fikira zangu zinaniambia mauwaji yalipangwa juu yake ila Allah anajua zaidi binadamu tumekuwa wanyama sana
Atamm nais ivyo😭😭
innalillah waina ileih rajioon 😭 polen sana kwa msiba wa ndugu yetu Suleiman Allah amrehem amsameh makosa yake ampe qaul thabit amjalie janat ferdaus amiin yarab Allah akupeni subra msiba mzito Allah awafarij
innalillahi wainnaillahi rajiuni.mungu anisamehe mm kwafikra yangu.ninahisi niyule Askari aliyekua anabifu naye Kyle jela kafanya mpango amalizanenaye ninahisi hivyo.Allah-aallam
Kabla ya kulaumu kuna haja ya kufanya tafakuri ya kina sana.Nyuma ya jambo hili lazima kuna lililojificha.
Innalillah wainna ilayh rajiuun Allah amrehem kaka Suleiman nimeumia sana kiukweli japo ilishapita
Watu wapole nao wanavitu vyao fulani fulani hiivii.....Pumzika pema Seleman
Huyo bos wake Akamatwe ukweli utajulikana jaman hzi ni nyakati za mwisho daah😭😭😭😭😭
Inna lilahi wainna ilah rajiuna daah! Allah ampe kauli thabiti nahisi hao watakuwa panya roud tu
Ww kumbe dia unazojia
Kiukweli hyu kaka ameteseka sana yaan imagine amepelekwa jela mungu kamsaidia katoka watuwanakuja kumuuwa tu jaman mungu ailaze roho yake mahali pema nimeumia sana
Haya mauwaji yalipangwa kitambo sana japo dhana c mbaya ,alifungwa miaka yote hyo maskn hakufa ila lazma aliekewa Nia yakuangamizwa maskn,Mungu ailaze roho yake pepon 🙏
😭😭😭jamani mbona sielewi kauliwa kikatili kweli yani kama wamechoreshwa kulipa kisasivi😭😭wapo waliotuma mauwaji hayo wallah siobure
Tanzania munamambo kweli kila saa kuuana tu Allah awasaidie
Dah banaee hata unaogopa
Zahiri wewe maisha ya watu unaweka rehan kwa kweli huku kujitangaza kwnye media ni mtihani ukiwa mkweli wa mambo yanayokysibu wewe na maisha yako basi utafatiliwa uuliwe
Innalillah wainnah illah lajoun
Binaadam wa Sasa aise kheir ukutane na mnyama mkali polin Lakin sio binaadam WA Sasa wallah 😭😭
😭😭😭jamani mbona sielewi kauliwa kikatili kweli yani kama wamechoreshwa kulipa kisasivi😭😭
Dinadamu wa.egeuka kuwa wanyama RIP salemani
Zahir welcm we missed u,this is very sad 😥 😢
Am back
Mhhh mtihani kwa kweli binadamu wabaya.na roho zao mbaya.ubinadamu kazi
Aisee toka baba yetu maguful amefariki matukio ya mauwaji yamekisiri jmn mbaka inakela mungu tusaidye jmn hii nchi imefkia pabaya
Dah seleman kimekukuta nn tena
😭😭😭Sele wa Maxmum mung akupe kaul thabit hii ni fumbo mung ndio unajua kun nn kat yake
Inalilah wainalilah rajighun poleni sana
Inalilahii wainailahii rajiuniii mungu amlazee Mahala pema peponi
Innalillahi wainna ilayhi rajighuna..dah selemani story yake nimeanza kuifuatilil leo. Kufungwa kutoka jela hadi kumpata mwanae. Siku hii hii nafungua clip nyingine nakuta ameuawa. Dah...! Nimeumia sana😭😭😭😭 mungu amlaze mahali pema maan yate yaliyomkuta yeye ndia alimuandikia hivo. Mbele yake nyuma yetu tumtegemee mungu kwa kili mitihani inayotupata. Pole mama sela pole ndugu wa sele pole wanakigoma pole watanzanie wote kwa ujumla😭😭
Pole sna...mybe hao ni wale panya rod...
Itakuwa kuna mtu ambaye anakisasi naye
Mimi nashuku huyo mwanaume mwenzake alie muoa huyo msichana wake aliomtia mimba
Inalillah wainaillah rajiun
Sele wetu jamani😭😭😭
Poleni wafiwa Allah awape subra kwenye kipindi kigumu 🤲
Its painful saana sorry for the family...that's well planned within family revenge ndio maana they also kill mwenye bodaboda with no evidence...waah better awe kwa jella very sad
Sijui mapany rod seleman pumzik kma aman kak umeniumiza kwakwel😭😭😭😭😭 kak suleiman nafs yak itawalaan hawa viumb waliokufanyia iki kit
😭😭😭Dah ngumu kuamini pumzika kwa amani sele wetu😭😭😭🙏
Sasa vipi simu yake umepatikana kama walikusudia kuiba? Wamemuuwa mwenye boda boda kwasababu asije kusema wakakamatwa au kakataa kumuacha walikuwa wanapambana wote.
Innalillah wainnairaihy rajiunn
Pumzika kwa aman mpenzi wetu😭😭 mbele yako nyuma yetu🤗🤗😭😭
Jamani kapitia magumu katika dunia
@@OmanOman-sb9oz sana😭😭😭😭😭😭😭
Mmmm jamani nimeumia Sana
Innalilah wainahilllah rajuun
Inalilah waina ilahi rajiun.
Inasikitisha sana binaadam tumekosa Imani kwa wenzetu
Daaaah so sad
😪😪😪 inauma sana....Allah awpe kauli thabit yaraabi
Ukweli wa kifo cha sullema wafatishe simu yake itakuwa ni katika wanawake walio kuwa wanawasiliana nae kwa kutaka kuolewa hakuna wengine
innalilah wa inna ilah rajiun
😳😳😳 mtumeeee!!! Uyu kaka kafariki maskini niliwahi kuonana nae alichangamka mno nikawa najiuliza nimemuona wapi akasema kama unafuatilia maxmum tv basi ndo mimi duhhhh!
😢😢😢😢
allah amrehem selemani
انا لله وانا اليه راجعون الله يرحمه ويغفر له ويسكنه فسيح جناته يارب
Inalillah wainaillahi rajiun 😭😭😭 R.i.p
So sad 😭😭😭😭😭😭
Innalillah wainnailayhi rajiuun
Duuh inaumaaaa jamani kaka wawatu jamani miaka20 jela leo kifoni pumzika kwa amani sele
Hyo mume aliyeoa mwanamke aliyezaa n Suleiman ndo alipanga huo unyama
Suleiman kumbe ana ndugu zake jamani na alisemaga hana ndugu dar.
Mie nahisi walio wakata mapanga itakuwa ni watu wanao wafahamu na ndio mana wame muuwa na bodaboda kuondoa ushahidi
😢😢 looh jaman mbona km mtu analipa kisas iv
Jaman mh
Inasikitisha kwa kweli
Nazani aliwuwawa nawa police kwaju alikuwa anataka kusema mambo anapatikana jela
Maximum tv tunawapenda. Ila mtangazo yatawaharibia. R.i.p Seleman
Tunasubiri yatuharibie..
Kuanzia Leo hutaona nikiangalia Chanel yenu. Nikiangalia mnivunje mguu
@@rosenaheka5137 unamaanish nin kusema hivo ach kutisha wezie bwana ww km hutaangalia wengn tutatizam
@@minakhamiskhamisi6193 mm matangazo yananikera . Ila maximum tv wakocvizuri tuu. Co kwamba nawatisha. Ww angalia tuu
@@rosenaheka5137 ndugu hayo matangazo ndio yanayo walipa wenzio kwaio ni vizuri kuyatazama mpk mwisho
Samia naye aangalie wa kuwasamehe wengine ni vibaka kweli ukiwatazama usoni sivyo walivyo rohoni. Huyu sele inaonekana kabisa alishindikana hadi gerezani
Kushtumu ni dhambi.
Jela ukiwa umeregea utakufa kwa njaa. Kuna shughuli za ushoga ukiregea unageuzwa. Kwa hiyo uhalisia wa maisha ya jela inabidi uwe smart.
Zahir ulikua wapi jamani tumekumiss sana kaka
Nimerudi
@HAMIDA RASHIDI iddi gani kipenzi huyo dereva bodaboda au?
Inamaana aliyewaua wanamfahamu ndo maana bodaboda kauawa pia kupoteza ushahida
Yani siamini naumia Sana Kwa kweli
😢😢😢
Maybe ni panya road Bado wapo
Yani niksi zimeaza kwakina uyo mwanamke walomtia NDANI
Duuuu! Hii hatari sana
inawezekana ndo hao panya rodi
Mtihani mtu kumuwa
Dunia hii ina watu wakatili sana
Inalilah wainailahi lajiun
R l p Selemani
Wanafanana poleni hatasisitunahuzuni pia tulimzoea kupitia MXimu.
MIMI PIA SIAMINI DAH SO SAD 😭😭😭😭😭 KWA NINI UUWE MWENZAKO NAUTA KUFA REST IN PEACE.
Hapo ikokitu sibure
DUu hii dunia
Kuanzia leo natoa password kwenye cm yangu nimejifunza jambo moja hapa 😭😭😭😭
Kweli kabisa maana hatujui mambo yanayokuja mbeleni
😢😢😢
Pumzika.kwa.amani.sele.wetu.
😭😭😭jamani mbona sielewi kauliwa kikatili kweli yani kama wamechoreshwa kulipa kisasivi😭😭wapo waliotuma mauwaji hayo wallah siobure