KIFO CHA SELEMANI NI UKATILI |KACHINJWA KAMA KUKU |WATU WAMEKUTA MIILI FAJIRI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 июн 2022

Комментарии • 108

  • @ednajeremiah928
    @ednajeremiah928 2 года назад +20

    Jamani sulemani ujafia jela unakuja kuuliwa hivyo kweli nimeumia kwa kweli nimekumbuka alivyotoka jela na kumfata mtoto wake alipomuona mtoto wake alifurahi sana poleni family Mungu ampe pumziko la amani 😭😭😭

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 2 года назад +6

    Kuna Watu wanaunyama hata Simba anaafadhali. Poleni Sana wafiwa kwakuondokewa na ndugu yetu

  • @mariamsalim9311
    @mariamsalim9311 2 года назад +5

    Tumekumiss zahir welcome back

  • @laymashabani832
    @laymashabani832 2 года назад +4

    Dah yaani nimeumia kama ni ndugu yangu vile😭😭😭 binaadamu wabayaaa

  • @mariamsalim9311
    @mariamsalim9311 2 года назад +5

    Inna lillahi wainna ilayhi rajiun Allah amsamehe makosa yake

  • @eyabdimaha3698
    @eyabdimaha3698 2 года назад +8

    Mimi fikira zangu zinaniambia mauwaji yalipangwa juu yake ila Allah anajua zaidi binadamu tumekuwa wanyama sana

    • @rahimaaaaa5682
      @rahimaaaaa5682 2 года назад +2

      Atamm nais ivyo😭😭

    • @umsulaiman7468
      @umsulaiman7468 2 года назад +2

      innalillah waina ileih rajioon 😭 polen sana kwa msiba wa ndugu yetu Suleiman Allah amrehem amsameh makosa yake ampe qaul thabit amjalie janat ferdaus amiin yarab Allah akupeni subra msiba mzito Allah awafarij

  • @shukranjazzakhaallahukheir1897
    @shukranjazzakhaallahukheir1897 2 года назад +2

    innalillahi wainnaillahi rajiuni.mungu anisamehe mm kwafikra yangu.ninahisi niyule Askari aliyekua anabifu naye Kyle jela kafanya mpango amalizanenaye ninahisi hivyo.Allah-aallam

  • @amanisalum1638
    @amanisalum1638 Год назад +3

    Kabla ya kulaumu kuna haja ya kufanya tafakuri ya kina sana.Nyuma ya jambo hili lazima kuna lililojificha.

  • @user-xh7xf2ki3r
    @user-xh7xf2ki3r 2 месяца назад

    Innalillah wainna ilayh rajiuun Allah amrehem kaka Suleiman nimeumia sana kiukweli japo ilishapita

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 2 года назад +2

    Watu wapole nao wanavitu vyao fulani fulani hiivii.....Pumzika pema Seleman

  • @happymchomvu6766
    @happymchomvu6766 2 года назад +2

    Huyo bos wake Akamatwe ukweli utajulikana jaman hzi ni nyakati za mwisho daah😭😭😭😭😭

  • @salmalopezsalmalopez524
    @salmalopezsalmalopez524 2 года назад +4

    Inna lilahi wainna ilah rajiuna daah! Allah ampe kauli thabiti nahisi hao watakuwa panya roud tu

  • @animallovers3473
    @animallovers3473 2 года назад +1

    Kiukweli hyu kaka ameteseka sana yaan imagine amepelekwa jela mungu kamsaidia katoka watuwanakuja kumuuwa tu jaman mungu ailaze roho yake mahali pema nimeumia sana

  • @mariamnjama3963
    @mariamnjama3963 2 года назад

    Haya mauwaji yalipangwa kitambo sana japo dhana c mbaya ,alifungwa miaka yote hyo maskn hakufa ila lazma aliekewa Nia yakuangamizwa maskn,Mungu ailaze roho yake pepon 🙏

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 2 года назад +1

    😭😭😭jamani mbona sielewi kauliwa kikatili kweli yani kama wamechoreshwa kulipa kisasivi😭😭wapo waliotuma mauwaji hayo wallah siobure

  • @victormutua4043
    @victormutua4043 2 года назад +4

    Tanzania munamambo kweli kila saa kuuana tu Allah awasaidie

  • @muniraabdulrahman5656
    @muniraabdulrahman5656 2 года назад +2

    Zahiri wewe maisha ya watu unaweka rehan kwa kweli huku kujitangaza kwnye media ni mtihani ukiwa mkweli wa mambo yanayokysibu wewe na maisha yako basi utafatiliwa uuliwe

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 2 года назад +1

    Innalillah wainnah illah lajoun
    Binaadam wa Sasa aise kheir ukutane na mnyama mkali polin Lakin sio binaadam WA Sasa wallah 😭😭

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 2 года назад +1

    😭😭😭jamani mbona sielewi kauliwa kikatili kweli yani kama wamechoreshwa kulipa kisasivi😭😭

  • @florenceamata5705
    @florenceamata5705 2 года назад +4

    Dinadamu wa.egeuka kuwa wanyama RIP salemani

  • @luckydubebello1131
    @luckydubebello1131 2 года назад +3

    Zahir welcm we missed u,this is very sad 😥 😢

  • @munirachangawa2928
    @munirachangawa2928 2 года назад +1

    Mhhh mtihani kwa kweli binadamu wabaya.na roho zao mbaya.ubinadamu kazi

  • @leiratykisura6718
    @leiratykisura6718 2 года назад +1

    Aisee toka baba yetu maguful amefariki matukio ya mauwaji yamekisiri jmn mbaka inakela mungu tusaidye jmn hii nchi imefkia pabaya

  • @rehemaabdy2830
    @rehemaabdy2830 Год назад +1

    Dah seleman kimekukuta nn tena

  • @munakhamis982
    @munakhamis982 2 года назад +1

    😭😭😭Sele wa Maxmum mung akupe kaul thabit hii ni fumbo mung ndio unajua kun nn kat yake

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq Месяц назад

    Inalilah wainalilah rajighun poleni sana

  • @user-ur6zr7wc8n
    @user-ur6zr7wc8n 2 года назад +1

    Inalilahii wainailahii rajiuniii mungu amlazee Mahala pema peponi

  • @ismailmatari916
    @ismailmatari916 2 года назад +2

    Innalillahi wainna ilayhi rajighuna..dah selemani story yake nimeanza kuifuatilil leo. Kufungwa kutoka jela hadi kumpata mwanae. Siku hii hii nafungua clip nyingine nakuta ameuawa. Dah...! Nimeumia sana😭😭😭😭 mungu amlaze mahali pema maan yate yaliyomkuta yeye ndia alimuandikia hivo. Mbele yake nyuma yetu tumtegemee mungu kwa kili mitihani inayotupata. Pole mama sela pole ndugu wa sele pole wanakigoma pole watanzanie wote kwa ujumla😭😭

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 2 года назад +1

    Pole sna...mybe hao ni wale panya rod...

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 2 года назад +5

    Itakuwa kuna mtu ambaye anakisasi naye

    • @daylight1707
      @daylight1707 21 день назад

      Mimi nashuku huyo mwanaume mwenzake alie muoa huyo msichana wake aliomtia mimba

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 2 года назад +2

    Inalillah wainaillah rajiun

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog6752 2 года назад +3

    Sele wetu jamani😭😭😭

  • @aishaissa2512
    @aishaissa2512 2 года назад +2

    Poleni wafiwa Allah awape subra kwenye kipindi kigumu 🤲

  • @abdijibarmaalim3173
    @abdijibarmaalim3173 2 года назад

    Its painful saana sorry for the family...that's well planned within family revenge ndio maana they also kill mwenye bodaboda with no evidence...waah better awe kwa jella very sad

  • @mamawawili4069
    @mamawawili4069 2 года назад

    Sijui mapany rod seleman pumzik kma aman kak umeniumiza kwakwel😭😭😭😭😭 kak suleiman nafs yak itawalaan hawa viumb waliokufanyia iki kit

  • @samiamamy1011
    @samiamamy1011 2 года назад +4

    😭😭😭Dah ngumu kuamini pumzika kwa amani sele wetu😭😭😭🙏

  • @Rose-ue2ho
    @Rose-ue2ho 2 года назад +2

    Sasa vipi simu yake umepatikana kama walikusudia kuiba? Wamemuuwa mwenye boda boda kwasababu asije kusema wakakamatwa au kakataa kumuacha walikuwa wanapambana wote.

  • @khadjaiddlis283
    @khadjaiddlis283 2 года назад +1

    Innalillah wainnairaihy rajiunn

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 2 года назад +2

    Pumzika kwa aman mpenzi wetu😭😭 mbele yako nyuma yetu🤗🤗😭😭

  • @sarahmwampulo4401
    @sarahmwampulo4401 Год назад

    Mmmm jamani nimeumia Sana

  • @nemajaquecene9167
    @nemajaquecene9167 2 года назад

    Innalilah wainahilllah rajuun

  • @marryamyusuph1699
    @marryamyusuph1699 2 года назад +2

    Inalilah waina ilahi rajiun.

  • @ridhwanfaki9738
    @ridhwanfaki9738 2 года назад

    Inasikitisha sana binaadam tumekosa Imani kwa wenzetu

  • @fataomedia7050
    @fataomedia7050 2 года назад +1

    Daaaah so sad

  • @najmaaa6548
    @najmaaa6548 2 года назад

    😪😪😪 inauma sana....Allah awpe kauli thabit yaraabi

  • @SamsungGalaxy-kx2zj
    @SamsungGalaxy-kx2zj 2 года назад

    Ukweli wa kifo cha sullema wafatishe simu yake itakuwa ni katika wanawake walio kuwa wanawasiliana nae kwa kutaka kuolewa hakuna wengine

  • @latifairakoze4256
    @latifairakoze4256 2 года назад

    innalilah wa inna ilah rajiun

  • @hawamkamba50
    @hawamkamba50 Год назад

    😳😳😳 mtumeeee!!! Uyu kaka kafariki maskini niliwahi kuonana nae alichangamka mno nikawa najiuliza nimemuona wapi akasema kama unafuatilia maxmum tv basi ndo mimi duhhhh!

    • @angle3600
      @angle3600 5 месяцев назад

      😢😢😢😢

  • @mariamkitwana6148
    @mariamkitwana6148 2 года назад +2

    allah amrehem selemani

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 2 года назад +4

    انا لله وانا اليه راجعون الله يرحمه ويغفر له ويسكنه فسيح جناته يارب

  • @mwanamisakulembwa1147
    @mwanamisakulembwa1147 2 года назад

    Inalillah wainaillahi rajiun 😭😭😭 R.i.p

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 2 года назад +1

    So sad 😭😭😭😭😭😭

  • @ridhwanfaki9738
    @ridhwanfaki9738 2 года назад

    Innalillah wainnailayhi rajiuun

  • @amisamussa4433
    @amisamussa4433 2 года назад

    Duuh inaumaaaa jamani kaka wawatu jamani miaka20 jela leo kifoni pumzika kwa amani sele

  • @fauziatumbo8221
    @fauziatumbo8221 Год назад

    Hyo mume aliyeoa mwanamke aliyezaa n Suleiman ndo alipanga huo unyama

  • @mariamgodfrey53
    @mariamgodfrey53 2 года назад

    Suleiman kumbe ana ndugu zake jamani na alisemaga hana ndugu dar.

  • @salhamohamed9240
    @salhamohamed9240 2 года назад

    Mie nahisi walio wakata mapanga itakuwa ni watu wanao wafahamu na ndio mana wame muuwa na bodaboda kuondoa ushahidi

  • @felisteredward8922
    @felisteredward8922 11 месяцев назад

    😢😢 looh jaman mbona km mtu analipa kisas iv

  • @felisterandrew8741
    @felisterandrew8741 Год назад

    Jaman mh

  • @zwinaalhabsi664
    @zwinaalhabsi664 2 года назад

    Inasikitisha kwa kweli

  • @Inzaghi809
    @Inzaghi809 2 года назад

    Nazani aliwuwawa nawa police kwaju alikuwa anataka kusema mambo anapatikana jela

  • @rosenaheka5137
    @rosenaheka5137 2 года назад +2

    Maximum tv tunawapenda. Ila mtangazo yatawaharibia. R.i.p Seleman

    • @maximumtvonline
      @maximumtvonline  2 года назад +1

      Tunasubiri yatuharibie..

    • @rosenaheka5137
      @rosenaheka5137 2 года назад

      Kuanzia Leo hutaona nikiangalia Chanel yenu. Nikiangalia mnivunje mguu

    • @minakhamiskhamisi6193
      @minakhamiskhamisi6193 2 года назад +1

      @@rosenaheka5137 unamaanish nin kusema hivo ach kutisha wezie bwana ww km hutaangalia wengn tutatizam

    • @rosenaheka5137
      @rosenaheka5137 2 года назад

      @@minakhamiskhamisi6193 mm matangazo yananikera . Ila maximum tv wakocvizuri tuu. Co kwamba nawatisha. Ww angalia tuu

    • @siasia5469
      @siasia5469 2 года назад

      @@rosenaheka5137 ndugu hayo matangazo ndio yanayo walipa wenzio kwaio ni vizuri kuyatazama mpk mwisho

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 2 года назад

    Samia naye aangalie wa kuwasamehe wengine ni vibaka kweli ukiwatazama usoni sivyo walivyo rohoni. Huyu sele inaonekana kabisa alishindikana hadi gerezani

    • @salimharrasy7047
      @salimharrasy7047 Год назад

      Kushtumu ni dhambi.
      Jela ukiwa umeregea utakufa kwa njaa. Kuna shughuli za ushoga ukiregea unageuzwa. Kwa hiyo uhalisia wa maisha ya jela inabidi uwe smart.

  • @salamanauthar480
    @salamanauthar480 2 года назад +3

    Zahir ulikua wapi jamani tumekumiss sana kaka

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 2 года назад +3

    Inamaana aliyewaua wanamfahamu ndo maana bodaboda kauawa pia kupoteza ushahida

  • @luludisniper2436
    @luludisniper2436 2 года назад

    Yani siamini naumia Sana Kwa kweli

  • @mwanaherhussani7425
    @mwanaherhussani7425 Год назад

    😢😢😢

  • @olivajoseph1697
    @olivajoseph1697 2 года назад

    Maybe ni panya road Bado wapo

  • @SihabaAbdallah-li6dx
    @SihabaAbdallah-li6dx 3 месяца назад

    Yani niksi zimeaza kwakina uyo mwanamke walomtia NDANI

  • @jojikeneth9024
    @jojikeneth9024 2 года назад

    Duuuu! Hii hatari sana

  • @user-vn2ni9vm4b
    @user-vn2ni9vm4b 2 года назад +1

    inawezekana ndo hao panya rodi

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 года назад +1

    Mtihani mtu kumuwa

  • @roselambert6700
    @roselambert6700 2 года назад +1

    Dunia hii ina watu wakatili sana

  • @rahma6189
    @rahma6189 2 года назад

    R l p Selemani

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla9949 2 года назад

    Wanafanana poleni hatasisitunahuzuni pia tulimzoea kupitia MXimu.

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 2 года назад +1

    MIMI PIA SIAMINI DAH SO SAD 😭😭😭😭😭 KWA NINI UUWE MWENZAKO NAUTA KUFA REST IN PEACE.

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla9949 2 года назад

    Hapo ikokitu sibure

  • @salamaseif4183
    @salamaseif4183 2 года назад

    DUu hii dunia

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 года назад +1

    Kuanzia leo natoa password kwenye cm yangu nimejifunza jambo moja hapa 😭😭😭😭

  • @hadijahadija4699
    @hadijahadija4699 2 года назад

    Pumzika.kwa.amani.sele.wetu.

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 2 года назад

    😭😭😭jamani mbona sielewi kauliwa kikatili kweli yani kama wamechoreshwa kulipa kisasivi😭😭wapo waliotuma mauwaji hayo wallah siobure