Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

ZAHIRI AGOMBANA VIBAYA NA SELEMANI AMEOA NA KUMTESA MKE WAKE |NUSU WAPIGANE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2021

Комментарии • 2,1 тыс.

  • @jenipherkavusha1661
    @jenipherkavusha1661 2 года назад +16

    Hongera sana kaka Zahir kwa kazi nzuri huyo alietoka jela kubadirika lazima ww umefanya sehem yako muache atakusumbua kaka yetu mzuri

    • @annamwakibinga527
      @annamwakibinga527 2 года назад

      Muache zahir huyo siyo mtu mzuri kabisa achana naye. Hee leo zahir anajazba? Hatariii

    • @lawimanumbu5103
      @lawimanumbu5103 2 года назад

      Baby nai yuko mitaani anatembea na bango lake kumtafuta mume wa kumuoa na pesa anayo biashara zake ataziona live kuliko wa oman. Lkn anavigezo vyake kamkataa muuza mkaa toka TANDAHIMBA.

    • @betitympeleta9697
      @betitympeleta9697 2 года назад

      Ndio zahir aachane nae huyu

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 года назад +142

    Wangapi tumekimbilia haraka tulivyoona neno wanagombana Zahir na Suleyman

    • @charitysambagi4463
      @charitysambagi4463 2 года назад +6

      Nipo hapa zahil nampenda sana huyu kaka

    • @ameenaameena1224
      @ameenaameena1224 2 года назад +5

      Tupo wengi mamy

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 2 года назад +3

      @@charitysambagi4463 yn acha tuu

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 2 года назад +2

      @@ameenaameena1224 karibu

    • @fatmamansour676
      @fatmamansour676 2 года назад +7

      Wengi tumekimbia ila slemani ukweli tamaa anajifanya mjanja flani hiv tz wapo wanaweke tele Wa nje utamuona vip yye yupo kule wwe huku tofauti na mume Wa nje kuoa mke Wa tz

  • @kibongobongo4608
    @kibongobongo4608 2 года назад +6

    Angalizo..... Mume au mke hatafutwi mitandaoni ni hatari sana

  • @tarajiamsuva583
    @tarajiamsuva583 2 года назад +9

    Pole kaka zahiri kaziyako ngumu sana halafu nakushauri uwe naulinzi hawa watu wengine cy wazuri

    • @naimansk6571
      @naimansk6571 2 года назад

      Kabisa yan,uko sahihi na ulichokisema

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 2 года назад +28

    Wanawake noma, mpaka voic mnatuma kwa zahiri?

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 2 года назад +14

    Team maximum Allah azidi kuwapa afya inshallah duuu muda sana seleman tujamuona kakonda Aya ajifunze kutokana na makosa ajifunze kutokana na makosa

  • @user-ow9em1kq8f
    @user-ow9em1kq8f Месяц назад

    Waandishi wengi wangekua kwenye mfumo wako kitaifa tungefika mbali sana hongera kwa kazi nzuri kaka

  • @janethkomba4485
    @janethkomba4485 Год назад +1

    Zahir leo ndonimemwona kakunja sura,pole,kwer kakukwanza Sanaa,hila nimekupenda ujasita kumchana,Mungu Atakubariki kwajitiyada zako,Usife moyo kwahili
    hila Apumzike kwa Aman😭

  • @user-lf9eh4mz1j
    @user-lf9eh4mz1j 2 года назад +24

    SubhannaAllah ww selemani muogope mungu

    • @maryamsaleh2537
      @maryamsaleh2537 2 года назад +2

      Zahir achana nae huyo ni mshenzi sana muache ateseke na dharau zake ana dharau mlevi mkubwa ndio maana hataki mwanamke mmoja sio mtu mzuri kabisa huyo suleiman leo hii anakukana ww zahir nakuomba achana nae

    • @mwanaishakhamis8069
      @mwanaishakhamis8069 2 года назад

      Huyo ataka vya mteremko 🤭🤭🇰🇪Kwa hivyo wewe wataguwa mwenye nacho .Kwa hapo utadorora Kwa Maisha sasa

  • @gaudensiayustini8669
    @gaudensiayustini8669 2 года назад +32

    Kaka zahir nakupenda bure hakika kazi yako mungu akulinde wewe ni kama Magufuli Huna baya

  • @SayyidAhmadBaalawy
    @SayyidAhmadBaalawy 2 года назад +2

    Zahir naona sasa unamwelekeo mwengine katika zoezi hili kupitia maisha ya suleiman..... 1 lazima uelewe suleiman life yake nzima imeharibikia jela kwa makosa ambayo hayana ukweli mpaka kufikia yalipofikia. 2 wewe kama ulikua na nia ya kumotivate na kumsaidia maisha mwache huru na uwache kumwandamia maisha yake. 3 ili sukeiman awe kama sukeiman nilazima suleiman ajielewe yuataka ninj kwa maisha yake sasa ajichangamshe na kuangakia maisha yake. Lamwisho kwa kaka suleiman lazima uwe smart kwa msaada uliopata jaribu kutafuta njia utoke nchini wende nje ukaanze maisha na kuangalia life yako wala sio kuishi tanzania kwa sasa utachanganyika na maisha ya misaada na kuanza kuchagua chagua hao utajitatiza mdogo wangu. Unachostahili sasa hivi kukifanya nianza maisha kwa kujituma na mengine yatajipa wenyewe ujijenge na kuwa na mke baadae.

  • @Salimalnabhani
    @Salimalnabhani 2 года назад +24

    Zahir ,Selemani alionyesha mabadiliko tangu ya kuona mtoto alipokwenda bila ya kukujulisha .

  • @tiaraoscarjuma4522
    @tiaraoscarjuma4522 2 года назад +18

    Hao wadada wa Oman wanamwi enjoy tu na kumjaribu wala hawana haja na yeye, Selemani anawashobokea bure nilivyoona mimi🤣🤣🤣

    • @ziynabo9955
      @ziynabo9955 2 года назад +2

      Hahaha hatutaki mchezo kwenye hela

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 2 года назад

      @@ziynabo9955 pesazenyewe hizi za shida umpe wanaume iliiweje alafu unarudikutafutatena anakusaliti ujingatu

    • @khadijaomari9344
      @khadijaomari9344 2 года назад

      kabisa

    • @shameemrashid5219
      @shameemrashid5219 2 года назад +1

      🤣🤣🤣🤣wadada wa Oman wanapamban bana kufanya maendeleo yao alafu wamkimbilie Selemani

    • @zaitonakondo4617
      @zaitonakondo4617 2 года назад

      🤣🤣🤣

  • @efrahfarahahmed8960
    @efrahfarahahmed8960 2 года назад +16

    Zahir wanaume wote tabia moja MUNGU akubariki kwa uliomsaidia muache watu wengi wanakuhitaji

    • @mbwanakhamis9634
      @mbwanakhamis9634 2 года назад +1

      Hpo na kupinga tabia sio moja ila Zina lingana...

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 2 года назад +5

      Ukisema w'me wote wanatabia moja ni sawa na kusema w'ke wote wanatabia moja. Na kitu hicho hakipo. W'ke wanatofautiana na w'me halikadhalika.

    • @mamidadi9145
      @mamidadi9145 2 года назад +1

      Nikweli wanaume wengi wamefanya zaidi yake kunawengine washaletwa mpaka ulaya mwisho wanajiona wajanja wakisha pata paspoti wanawakimbia wake zao wanafata wanawake wengine.
      Hata wako wanawake pia ni hivo hivo kama wanaume walio letwa ulaya wakafanya hivo hivo.afadhali huyo lake ni dogo wenziwe wanafanya makumbwa

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 2 года назад

      @@mamidadi9145, Hayo ya kukimbia watu simazuri lkn na huyu jamani ubaya wake ukiachiwa utaumiza sana. Kwa sabbu maisha ya Ulaya si ya Afrika. Haya umuoe mtu Oct hatujaumaliza ushamtelekeza unatafuta wengine. Na ndio sabbu hataki kutaja majina. Maan pengine anaona akimtaja kuna anaowadanganya watashtuka wakisikia wanaotajwa sio. Anafanya kwa akili huyu na anaeza kuumiza wengi. Anaeza kuacha mpaka vitto au ujauzito pahala akarukia mwengine.

  • @ndagdenise194
    @ndagdenise194 2 года назад +5

    Hongera saaana zahir wewe ni mtuu mwema saaana.uzuri wako wewe unaongeya kweli Mungu akupe maisha marefu

    • @annamwakibinga527
      @annamwakibinga527 2 года назад +1

      Jela siyo mchezo miaka mingapi vile kakaa? Hiyo namba ingine Zahir

  • @jemimabakari
    @jemimabakari 2 года назад +13

    Mtu haoi au kwa kuolewa kwa style hii. Wanawake tulieni, wakati wa Mungu ni wakati sahihi. Seleman anawakilisha tabia za wanaume

  • @mesiamatheo2230
    @mesiamatheo2230 2 года назад +4

    Zahir..huyu si mlemavu Wala mgonjwa...tumwache apambane na maisha ya utafutaji...akiharibu shauri zake...tuendelee na wahitaji zahir...

  • @sharmelasaif47
    @sharmelasaif47 2 года назад +3

    Zahiri selemani atapendwa nawengi kwasababu ajielewa sana kisha yupo vizuri

  • @nemaodhiambo7274
    @nemaodhiambo7274 2 года назад +2

    Zahir Mungu akubariki sana Sana 🙏

  • @Sara-ne3xl
    @Sara-ne3xl 2 года назад +2

    Zahir wewe ni wapekee kabisa,yaani Mungu akulinde na akutangulie mdogo wangu

  • @danielmwamahonje9852
    @danielmwamahonje9852 2 года назад +18

    Pole sana kaka selemani hana shukrani kabsa pole sana maximum TV binadam sio watu kwakweli.

  • @mamymdogomamy3670
    @mamymdogomamy3670 2 года назад +4

    Kaka Zahir naomba ufanye mchango wa msikit ama kisima In Sha Allah

  • @mesajuma4843
    @mesajuma4843 2 года назад +1

    Uyu Jamaa amenoboo KaZahir achana nae ustuletee tena apa Maximum TV atumtak kumuona anakuchafulia kazi yako

  • @shrefa123moosa7
    @shrefa123moosa7 2 года назад +3

    Hawa ndy wale matapeli wa mapenzi 🤣👋👋👋

  • @marthamaligo458
    @marthamaligo458 2 года назад +12

    Mtu huyu 🙌🙌😂😂😂😂mm bado nacheka kufunga ndoa kwa simu siwezi 😂😂😂😂wacha nibaki single tu

    • @wemakalamu3538
      @wemakalamu3538 2 года назад

      🤣🤣🤣asante

    • @marthamaligo458
      @marthamaligo458 2 года назад

      @@wemakalamu3538 😂😂😂😂😂🙌hapana mm mambo hayo bola nibakwe tu na warabu bila kujua ukiamka umerowa so vitu vya kujitakia kifo bule😂😂😂😂😢

    • @fatumasaid2460
      @fatumasaid2460 2 года назад

      Martha maligo ndugu yangu huyu mwana ume ninge kuwa mimi ninge muonyesha tu

    • @aminaamiri7684
      @aminaamiri7684 2 года назад

      @@marthamaligo458 😀😀😀😀mabangal wamejaaa

    • @marthamaligo458
      @marthamaligo458 2 года назад

      @@fatumasaid2460 daah

  • @ashaa4896
    @ashaa4896 2 года назад +22

    Dah jaman wadada mliopo Oman fanyen kazi wanaume hakuna nakingine mtu umfahamu inakuaje unaolewa nae ndomana wengine mnauliwa

    • @hussainsajin9915
      @hussainsajin9915 2 года назад +1

      Kwanz nashangaa mwanamke una kaz yako unaangaik na wanaume wa mitandaoni

    • @justamtungirehe3881
      @justamtungirehe3881 2 года назад +1

      Zahir umenisaidia ila hana shukrani tapeli

    • @yusuphkassimu227
      @yusuphkassimu227 2 года назад

      Kwani huko Oman akuna wanaume .

    • @sast8409
      @sast8409 2 года назад

      @@yusuphkassimu227 kwanza wanatutia aibu tu wengine

    • @maryamoscar438
      @maryamoscar438 2 года назад

      Hy msichan nahis anafany kaz omn😆 wadda msikurupuke jmn. On anatak mwanamke mweny pesa

  • @Itzurfavpetpo
    @Itzurfavpetpo 2 года назад +8

    Kaka Zahir video kama hizi za marhemu tunaomba uzifute tena maana mwenzetu ameshatangulia tuweke mazuri yake tumsitiri ili na Allah atusitiri na sie

    • @chai_r
      @chai_r Год назад

      Sidhani atafuta yeye anajali views…

  • @filimonmpinge6039
    @filimonmpinge6039 2 года назад

    Pole sana ka zahir

  • @user-lf9eh4mz1j
    @user-lf9eh4mz1j 2 года назад +14

    Duh tunao fanya kazi omani tukae kwa kutulia wanaume hawaaminiki

    • @faridamohamed4677
      @faridamohamed4677 2 года назад

      amataka hela tu

    • @rithamsechu7220
      @rithamsechu7220 2 года назад

      Yani tunavyo pambana uku tukaonge wanaume 🤣🤣🤣

    • @khadijaomari9344
      @khadijaomari9344 2 года назад

      mm siwataki

    • @zaitonakondo4617
      @zaitonakondo4617 2 года назад

      Kwanza mtu unakubali VIP kuolewa na mtu bila kuonana nae uzisome tabia zake

    • @salmadhiab2693
      @salmadhiab2693 2 года назад

      @@rithamsechu7220 dada yangu fanya kaziyako kwaumakini save pesayako ukafanye mamboyako sikuhizi hakuna wanaume wote matapeli wewe unahangaika usiku na mchana ukamuhonge yy katundika miguu kirabuni anashusha gogo ww unapambana hapana fanyayako kama mume ataletwa na mungu sio kwenyemitandao

  • @lathifaa860
    @lathifaa860 2 года назад +9

    💃💃💃💃😂😂😂😂 Oman
    Pole sana dada

    • @halimahassan3225
      @halimahassan3225 2 года назад +1

      😀😀😀😀ila na nyinyi hamtongozwi hadi mtongoze jmni raha ya mwanamke utongozwe jmni mmh

    • @zoainamuscat6835
      @zoainamuscat6835 2 года назад

      Saitakuaje butwhy ntambia nini watu 😀😀😀😀

    • @sast8409
      @sast8409 2 года назад

      @@zoainamuscat6835 😂

  • @TheBase6Base
    @TheBase6Base 26 дней назад

    Kakosea ila Si wa kumuanika hivo..,futa video zake kaka Dhahiri,si vizuri kubakia hivo,inna lillah wainna ilayh raajioun.

  • @yasintagidion8493
    @yasintagidion8493 2 года назад

    Hongera Sana Zahir mungu azidi kukupa maisha marefu sababu wewe umekua kioo cha jamii yaann mimi nakufananisha na Magufuli umekua mstar wa mbele kutetea wanyonge

  • @giftkondo5215
    @giftkondo5215 2 года назад +6

    Selemani kapatikana duh mtihani

  • @asmarajabu5786
    @asmarajabu5786 2 года назад +8

    Huyo marioo 😀😀😀imekula Kwake🤪🤪🤪🤪

  • @shamzone388
    @shamzone388 2 года назад +1

    Subhana allah pesa fedheha..... sijategemea kama atakuwa hivi hata siku 1....
    Jaman tuweni macho na wanaume wa online tufanyeni kazi tujenge maisha yetu tusihadaike

  • @khalfanjuma7678
    @khalfanjuma7678 2 года назад +3

    Zahir kaka nakupenda sana kaka yangu

  • @enothmutika852
    @enothmutika852 2 года назад +6

    Duuuugh!!!!.huyu kaka haeleweki zahir.mbona kama amelewa

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 2 года назад +18

    Zahir Huyo ulishamsaidia Achana nae.. Akina faidina Wapo wengi

    • @maryamsaleh2537
      @maryamsaleh2537 2 года назад

      Huyo kalewa jamani kasahau katoka kwenye shida zahir mpotezee huyo kwanza jeuri ni mtu wakubadilisha maneno atakuletea tabu ashapata msaada kutoka nje sasa amekuwa na kiburi kwanza kawa mlevi

    • @maryamsaleh2537
      @maryamsaleh2537 2 года назад +1

      Sura zake anaonesha kawa mlevi kwanza huyo akija kupata anakiburi sana achana nae zahir atakuja kukusumbuwa

    • @fesalchambuso8023
      @fesalchambuso8023 2 года назад

      🤣🤣🤣

    • @mwanahamis5487
      @mwanahamis5487 2 года назад +1

      @@maryamsaleh2537 kabisa

    • @salmashaweji1030
      @salmashaweji1030 2 года назад

      Nadhani huyu kaka Hana busara hata kidogo nadhani zahir ungemwacha tu iwe ndio mwisho wake maana anaonekana Ana tamaaa ya Mali za mwanamke atafute zake aliona wap mwanaume kitegemezi Kama anavyo taka yeye Hana shukrani hata kidogo huyooooo 🤔🤔🤔🤔🤔

  • @devothafesto9853
    @devothafesto9853 2 года назад

    Ahsante Mungu Kwa kuniweka upande mwingine wa Imani najua Imani hatufanyi ujinga wa kufanya ndoa na mtu usomjua tena kwa simu.... yote hayo ni shida ya kutaka ndoa jaman Ee Mwenyenzi Mungu tusaidie🙏🙏🙏

  • @faridaaloyce7672
    @faridaaloyce7672 2 года назад

    Tamaa ..mwisho wake Ni mfupi..changanya na UWONGO Ni balaa

  • @winnievincent9063
    @winnievincent9063 2 года назад +4

    Aisee kazi ipo. Pole sana kaka Zahir

    • @annajoseph9955
      @annajoseph9955 2 года назад

      Jitu zima hovyo, ukishaona mtu anajiproud hvyo ujue hakuna kitu hapo

    • @wemakalamu3538
      @wemakalamu3538 2 года назад +1

      Inshort huyo hafai ni tegemezi

    • @winnievincent9063
      @winnievincent9063 2 года назад

      Ni kwl ila amejiharibia sana angemckiliza kaka Zahir na kuwa mkweli ingemsaidia sana.

    • @rubenprince8990
      @rubenprince8990 2 года назад

      @@winnievincent9063 huyo kaharibu mpaka mimi naogopa kutafuta mchumba afrika nyege zkiniuwa huyo bwana seleman atajibu kwa mungu mimi huku Australia naishi peke yangu sina demu

  • @margaretwambete1228
    @margaretwambete1228 2 года назад +53

    Dont be mad with him Zahir.He missed stages in life.So he wants to prove his manhood. He needs a role model to mentor him.His mind is still in prison,muelekeze plz.

  • @khayratsalim8576
    @khayratsalim8576 2 года назад

    Hatari anapenda mserereko

  • @leilabuisha9976
    @leilabuisha9976 2 года назад +1

    Nyooo Bab Sule Vimacho kama mjusi alobanwa na mlango🤣🤣🤣 Unatetemeka, utapeli umekuzidi Nyooo' Ka Zahir achana nae huyo.. mwenyeez'mungu atakulipia.. mpaka ndoa pia kakuficha ' hugo achana nae mbwa koko huyo.. kwanza mfukuzlie mbele apo atoke'

  • @naamohamed1042
    @naamohamed1042 2 года назад +30

    Kizuri hakikosi kasoro naamini kila kiumbe kinamapungufu yake

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 2 года назад +7

    Kweli kaka Zahir wanawake tunahitaji kuheshimiwa kanichefua

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 2 года назад

      Halafu ati unakuta wanatokea w'ke wanampa dharura ati kakaa jela, ugwadu, asipangiwe aachwe....km kakaa jela na anaugwadu si angeenda kutafuta malaya wanaojiuza huko? Anatarget nn w'ke kuwadanganya atawaoa...na inaonekana anaowapata visichana havijijui havijitambui maskini, maana watu wazima wenye akili zao hawapati. Ndoa gani hzo za kumuona mtu Utube???

    • @michaelkapaya5996
      @michaelkapaya5996 2 года назад

      Kweli kabsa

  • @mamakeaisha4926
    @mamakeaisha4926 2 года назад +1

    Sele mjanja Sanaa huyo mfungwa wa zaidi ya miaka kumi na nane ni mfungwa sugu hakuna kitu mtamueleza huyu nlikua namshuku since day one

  • @catherinemasiga6666
    @catherinemasiga6666 2 года назад +1

    Zahir Uko vizuri Sana. Unajua huyo alikaa jela mda mrefu Sana alikosa upande wa vitotoz so anapitapita kwa vicheche. Huyo wengine watamkataa kwa Tabia zake

  • @robbemanase9051
    @robbemanase9051 2 года назад +11

    Selemani ana jitambua, kwa dunia ya sasa lazima michango itoke pande mbili ya ni toka kwa mke na mume , wote wachange kujenga maisha ya familia.
    Suala la kuoa mwanamke mwenye pesa hilo ni jambo la maana sana. unapo oa ni una taka kuhakiisha future ya watoto wenu ni nzuri haswa pale mmoja wenu atakapo ondoka duniani, familia nyigi zina bomoka na kuingia kwnye umasikini mkubwa baada ya mzazi mmoja ambaye ndio kila kitu kuondoka duniani .
    So kwa mawazo yake ya kutaka oa mwanamke mwenye pea ili alicho nacho kijichanganye na chake ni sahihi kabisa.

    • @mimahmimah1595
      @mimahmimah1595 2 года назад +1

      Mi ata sijaona Kibaya apo alichoongea selemani dunia ya sasa usitarajie kuolewa ikahudumiwe na mwanamme kila kitu lazima na ww uwe na chakujishikiza ili maisha yawe mepesi

    • @jazzymkalitv5535
      @jazzymkalitv5535 2 года назад +3

      Ni sawa lakini asiwe muongo muongo. Eti hajaoa na wakati kesha oa. Tuwe na hofu ya Mungu.
      Na huyo Shani Shomari atamkataa. 😅😅😅

    • @sophiamirambo9656
      @sophiamirambo9656 2 года назад

      Kabisaa yupo sahihi halafu mtu amekaaa jela miaka 30 kweli atatakiwa awe na mtu mchovu Sio kweli Ila wametaka kumchafua hao wanawake wasiojielewa

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 Год назад

      @@sophiamirambo9656 tumuombee alishatangulia mbele zahaki🤗🤗🤝🤝💔💔😭😭

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena1224 2 года назад +3

    😲😲😲😲yamekuwa hayo Tena duu

  • @ukhtylatifa1062
    @ukhtylatifa1062 2 года назад +2

    Nani mwangine alorudi kuangalia hii video baada ya kuskia kafariki Allah amrehemu

  • @user-cf9so5sk1w
    @user-cf9so5sk1w 2 года назад +5

    Hatuna mtu hapa wallah (mushkra)kweli tends wema uende zako Bora familia yakina Happy kuliko wakina Fadina wanaongezeka

    • @tumainimatembo8741
      @tumainimatembo8741 2 года назад

      Huruma za watu unamfanya ajione star

    • @judithrobert7769
      @judithrobert7769 2 года назад

      Huyo ni tapeli Kwanza hapo anapoongea anaonekana kanywa pombe

  • @mammam4701
    @mammam4701 2 года назад +6

    Tapeli👌📢

    • @mwanakhatib5825
      @mwanakhatib5825 2 года назад

      Huyo mshenzi Sana Hana fazira hats kidogo anakukoromea Hana ishu no aibu tupu kwaoe

  • @aeshamrange6540
    @aeshamrange6540 2 года назад +1

    Zahir nakupenda tu brother 👏👏👏👏👏👏

  • @mohammadnasir8946
    @mohammadnasir8946 2 года назад +1

    Awoo ndoo wanaumee

  • @nadiakhalfan3332
    @nadiakhalfan3332 2 года назад +8

    Mwisho Kaamuwa Kumtaja Jina Mchumba Kwa Zahir Kumkalia Shingoni Yani Hata Huyo Anayetaka Kuolewa Naye Ajipangea Anaonekana Korofi mbaya Sana duh! Pôle sana Zahir ALLAH azidi Kukupa Subrah

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 года назад

      huyu shida yake pesa tapeli huyu

    • @salmadhiab2693
      @salmadhiab2693 2 года назад

      @@heyumi2340 sana tapeli ndio kakaakimya hatakikumtaja huyo mchumba wake na yy akiingia kichwakichwa yatamkuta bora kukaabilamume lakini kwahuyu simume ni maradhi yasiotibika

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 года назад

      @@salmadhiab2693 huyo hafai kabisa hata macho yanaonesha tapeli kabisa wanawake tuliopo nje tuacha shobo kwa wanaume kama hao wanaojifanya wametoka gerezan wako na dhiki ya misaada kwa kwa kujifaidisha

  • @andreaskapeller9127
    @andreaskapeller9127 2 года назад +18

    Ninachokupendea Zahir na team nzima ya maximum tv, hamtaki maujinga, Alah awaepushe na mithani

  • @najmasaleh5536
    @najmasaleh5536 2 года назад

    Mhh kwakweli zahir kazi unayoo daaa

  • @asmitacatering8660
    @asmitacatering8660 2 года назад +2

    Huyo kaka mjanja sana anaongea kupita maelezo.. kaka Zahir unafanya kazi nzuri.

  • @azizajimmy4739
    @azizajimmy4739 2 года назад +10

    Duuuh mtihan kwakwel subhanallah yarab

  • @OmanOman-ik9sp
    @OmanOman-ik9sp 2 года назад +13

    Uwii kaka selemani anadanga🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @wangaalex70
    @wangaalex70 2 года назад

    Zahiri pole kwa Soliman, hawa Sofia, Fadina hawana shukran kwako. Mi hufatilia vipindi zako za maximum sana.

  • @mwastimsingi9373
    @mwastimsingi9373 2 года назад

    Kakazahar mwache usisapoti rena dunia itamuonyesha hanashukrani hata kidogo

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 2 года назад +5

    Wanawake tumezidi kihelehele acha yawakute mtu kashakukataa bado umemng'ang'ania 🤣🤣😂

    • @shamsamuhammad3677
      @shamsamuhammad3677 2 года назад +3

      umenichekesha kimemukuta kitu alafu huyu kama kalewa😂😂😂😂

    • @aishachambo8663
      @aishachambo8663 2 года назад

      @@shamsamuhammad3677 😂😂😂😂

    • @shamsamuhammad3677
      @shamsamuhammad3677 2 года назад

      @@aishachambo8663 watuach wachapa kaz wa Oman waowaji wenyew watak kulelewa 😅😅😅

  • @namungolubala6700
    @namungolubala6700 2 года назад +5

    Zahir.huyo hafai muongo huyo tena mkorofi
    Tumemsoma wanawake tuwemakini na mtukama selemani

  • @zainabzz7241
    @zainabzz7241 2 года назад +1

    Khaaaa uyu broo kanishinda Tabia uwiiiii🤣🤣😂😂yani nimuongo na muongo tena haaaaaaah atare na nusu

  • @halimaswaheli1495
    @halimaswaheli1495 2 года назад +1

    Uyu Kaka Ana tamaa nanyinyi wenzangu tulio uku omana ivikwann tunakulupuka jaman lizk zetu zipo tusivamie ndomana tuna tapeli WA

  • @hamidakondo4579
    @hamidakondo4579 2 года назад +14

    Huyu si mume anarohombaya

  • @mename6020
    @mename6020 2 года назад +12

    Mmm mtihan.. pole sana ka Zahir... Seleman kakukwaza na kawakwaza wengne... Seleman tamaa ni mbaya...

  • @Lissarams
    @Lissarams 2 года назад

    Anasema jina linaeza kua lake bt cheti c chake😂😂😂😂😂earth is hard😂😂😂🙌🏼

  • @raudhashaaban3146
    @raudhashaaban3146 2 года назад +1

    Pole sana zahir mungu tukopamoja naww ndo maana anaadhirika

  • @sadayusuf887
    @sadayusuf887 2 года назад +10

    Huyu mshindani na simuoaji anataka mteremko

    • @moonaamli6835
      @moonaamli6835 2 года назад

      Ahahahaaaa anataka Kitonga

    • @sadayusuf887
      @sadayusuf887 2 года назад

      @@moonaamli6835 kabisa mtu akitaka kuoa huwa hachagui

  • @prettynayally2177
    @prettynayally2177 2 года назад +6

    Na urembo wangu wote nikapangwe kama mafugu alafu mtu aanze nichagua napata wapi nguvu ya kumtumia mwanaume picha eti anichague hhahaha huu ujiga watu watakuja kulia Hahaha oman mnatia aibu fanyeni kazi achaneni na hawa wanaume mario

    • @kudratsaburi7386
      @kudratsaburi7386 2 года назад

      Wambie ndugu hao wasiyo jielewa wapenda ndoa sijui wanakasolo gani 😏😏mtu mwenyew katoka jela ujui kama ni mvuta bangi au tapeli

    • @prettynayally2177
      @prettynayally2177 2 года назад

      @@kudratsaburi7386 angalia hiyo video anavyiogea machochichini na watumia mbagi pombe ndo wako hivyo hiyo msigara alikuwa akivuta huko Zanzibar kwanz inaonesha tu nimtumiage wanawake wamekosa haya 😏😏😏

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 2 года назад

    Aisee Zahir ww muungwana kabisa. Hutoteseka kabisa ktk maisha yako dah. Zahir unamoyo. Allah akulipe

  • @saumunassoro9983
    @saumunassoro9983 2 года назад

    Sivizur hivo kaka zahir yamadalilisa

  • @leylahbillah4876
    @leylahbillah4876 2 года назад +10

    Khee subhanallah yaarabby mmh yamekuwa hayo tena 🙄🤨😐

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 2 года назад +13

    Kitambo nilisema seleman ni control freak

    • @bahatimalambaya9398
      @bahatimalambaya9398 2 года назад

      Marioooo huyo mwanaume chefuu

    • @bahatimalambaya9398
      @bahatimalambaya9398 2 года назад

      Jamani mwanawake wezangu huyu ni jibu tena lisilopona

    • @bahatimalambaya9398
      @bahatimalambaya9398 2 года назад

      Yaani ukiolewa na huyu unaongeza muzigo hafai

    • @wemakalamu3538
      @wemakalamu3538 2 года назад

      @@bahatimalambaya9398 🤣🤣🤣🤣

    • @hamidaala2832
      @hamidaala2832 2 года назад

      @@bahatimalambaya9398 tenaNzigoMimiSwezi😁😂😁nipoOmanMwakaWasaba

  • @janesemngindo4878
    @janesemngindo4878 2 года назад +1

    Anajibu tu bila mpangilio maneno hayawiani kabisaaa Zahir upo vizuri ushahidi wote umejitosheleza huyu ni mshenzi tu achana nae asikupotezee muda la kuvunda halina ubani huyu ni la kuvunda hata ulitie ubani halitaacha kutoa harufu ya kuvunda. Achana nae ila nasema tena dunia itamfundisha maana anajiona mjanja sana maneno mengi kumbe muongo mkubwa tena uwongo usio na akili kabisa. Amepata sapoti kwa mgongo wako leo anakuinulia sauti ama kweli ushenzi huu unakera sidhani kama ametoa sadaka popote kumshukuru Mungu kumtoa jela salama. Achana nae Zahir huyu hafai kuwa family ya maximum tv online. Nyinyi Mungu atazidi kuwang'arisha zaidi kwa mitihani mnayopitia amen

  • @mwajumakilobwa6237
    @mwajumakilobwa6237 2 года назад +1

    Jamani nimeamua kurudinyuma kdg baada ya kifo cha selemani sinauhakika na kifo chake ila ninawasisi na hili lamda alichukua helazawatu akajidai selanyingi 😭😭😭 mungu msamehe mjawako

    • @mchellenmbunge55
      @mchellenmbunge55 Год назад

      Jamani huyu kaka amebadilika ,Mngemshauri labda Jamani. Sasa naanza kuelewa kwa nn jela alikuwa anasemwa mkorofi. Daaaah Mungu asaidie tu

  • @salmameshack4502
    @salmameshack4502 2 года назад +6

    Hebu ona mishipa ya kichwa ilivyomsima😂😂😂

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 2 года назад +16

    Kaka yake Uchebe wanafanana balaaaa😉

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 2 года назад +1

      🤣🤣

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 2 года назад +2

      @@khadijahali4837 Anaonekana mkorofii huyuuuuu

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 2 года назад +1

      @@dorcaskidoti249 ameshazoea shida hk kupigana km nyangumi gerezani

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 2 года назад +3

      @@khadijahali4837 Anapenda kulelewa uje ukiwa na kakiwanja na elf 20 ya kuanzia😂😂😂😂😂😂😂😂👌

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 2 года назад

      @@dorcaskidoti249 asaiv watu hawaongi labda wakupe tuu

  • @fatumamohamedi4666
    @fatumamohamedi4666 2 года назад +2

    Zahir mchesh lkn ukimvuruga anakufurug nampendea hpo tuu

  • @sofiasofia7557
    @sofiasofia7557 2 года назад

    Wanawake wenzangu tuache kukurupukia wanaume wote baba mmoja mama mmoja

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 2 года назад +6

    Shani shomari jiandae kupigwa na kitu kizito🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @salmadhiab2693
      @salmadhiab2693 2 года назад +1

      Kupigwa tu na kumfilisi mpaka chupi alovaa anaonesha tapeli mzuri wa kuongea utatoa hata kilicho uvunguni

    • @aishachambo8663
      @aishachambo8663 2 года назад

      @@salmadhiab2693 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @hamidaala2832
      @hamidaala2832 2 года назад +1

      JamaniN.kachanganyikiwa😃😂sikwakureokodiwaHuko😁😂hatari

    • @hamidaala2832
      @hamidaala2832 2 года назад +1

      SasaHiviHatakuwaMakini

    • @aishachambo8663
      @aishachambo8663 2 года назад

      @@hamidaala2832 😂😂😂

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 2 года назад +10

    Mzanzibari gani huyo aliye jichanganya, jamani!!duh

    • @salmadhiab2693
      @salmadhiab2693 2 года назад +2

      Namuonea huruma maskini hakumjua kama tapeli

    • @khadijaomari9344
      @khadijaomari9344 2 года назад

      😀😀😀

    • @user-rd7jt1vi5x
      @user-rd7jt1vi5x 2 года назад

      Seleman alikuwa mtu mzuri sana na mwenye kujitambua sjui shida inakuja wapi mpka anakuwa hivyo

    • @mwanaishakhamis8069
      @mwanaishakhamis8069 2 года назад

      @@user-rd7jt1vi5x Tamaa mbele selemani katikati🤪🇰🇪

    • @victoriabayo7704
      @victoriabayo7704 2 года назад +1

      Suleiman umechemka unasaidiwa lakini hausaidiki wala haushauriki bora nafasi huyo uwaachie wahitaji we nenda kapambane mitaani

  • @nahishakiyeassuman5541
    @nahishakiyeassuman5541 2 года назад

    Kwakweli watu wanapata bahati kama izo kwakweli Ani selemani Ani atopata tena bahati kama iyo kwakweli brother zahiri Ani sisi wenye apa tunatafuta kwakweli mtu kwakweli wakufanya naye maisha lakini watu wanakuwa sio wakweli ata kidogo Ani kwa mimi kwakweli ningepata mtu kwakweli kama uyo Ani. Kwnza ningemshukuru mungu Kwanza 🤲🤲🤲🇨🇵🇾🇹 tunatafuta watu wakweli katika maisha brother zahiri

  • @khadijarusimbi3504
    @khadijarusimbi3504 2 года назад +2

    Huyu baba anatamaa ya maisha pole sana zahir hiyo ndio mitihani ya kusaidia watu ila muache aendelee na maisha yake

  • @lukamwingila146
    @lukamwingila146 2 года назад +5

    😭😭😭 pole kaka zahir jmn

  • @aburetalreginaelias2919
    @aburetalreginaelias2919 2 года назад +3

    Duh,Suleiman angalia usije ukarudi jela tena,kwani hujajifunza juu ya wanawake,usiwe na macho ya tamaa,usiangalie mwanamke mwenye uwezo,

  • @stellah3844
    @stellah3844 2 года назад +2

    Aibu imemkuta balaaa, wanaume kama hawa wa hovyo sana aisee, Sjawah olewa na Naogopa kuolewa kwasababu ya wanaume kama hawa, Hasa anapac nini, Zahir hebu achana na huyu mtu Dunia itamfunza kwa mara ya pili alaaa.

  • @zawadikinyashi5684
    @zawadikinyashi5684 2 года назад

    Zahir Allah akulipe heli katika kazi yako

  • @bahatjuma7458
    @bahatjuma7458 2 года назад +6

    Zahri kaka Achana na huyo jamaa, anakuharinia sifa zako!!!

    • @wemakalamu3538
      @wemakalamu3538 2 года назад

      Kweli kabisa anaonekana anakunywa gongo muangalie vile anakaa majanga matupu

    • @rubenprince8990
      @rubenprince8990 2 года назад

      @@wemakalamu3538 eti nae kawa supastaa akishakunywa gongo anachukuwa simu anawasha data anaingia kwenye mtandao anaanza kuwavuwa chupi na kuoa hapo hapo kesho yake akiulizwa na zahir anasema hakumbuki chochote kweli gongo isiruhusiwe vichaa wanaongezeka kila siku

    • @gohalasiauliza7424
      @gohalasiauliza7424 2 года назад

      Asikuaribie kaz kaka zahir kashapoteza mjana wake jera kwa tamaa ya kudanga na wanawake bure angekuwa mstaarabu angejitiokeza kwa wazazi hata jera hasingeenda achana nae

  • @listerlujiso6009
    @listerlujiso6009 2 года назад +15

    Kaka zahir tunakupenda naomba huyu seleman achana nae kama hana shukran Mungu atakulipa kwa fadhira alizozipata kupitia wewe

  • @aliciahmbura5943
    @aliciahmbura5943 2 года назад +1

    Uyu mmbaba bado anatafuta wanawake waache kubabaika bure kabisa

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 2 года назад +9

    🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️mimi hapana, mariyoo hapana.

  • @zabiyafahmikhamis4873
    @zabiyafahmikhamis4873 2 года назад +20

    Huyu inaonesha ni mlevi 😏 maneno mengiii lakin kashazoea vita ya gereza

  • @swdaalii6892
    @swdaalii6892 2 года назад

    Ivi zahir Kwa anayoingea seleman yupo sahihi kabisa maisha ya sasa ni kusaidiana isitoshe yy BD kimaisha

  • @minakhamiskhamisi6193
    @minakhamiskhamisi6193 2 года назад +1

    Wadada wa Oman tulieni fanyeni kazi acheni mambo y wanaum wa mtandaoni mtafeli Sana maliza kufny kazi panga maish yako vzr rudi nyumbn tafut mume pole pole aachaneni ujinga wa kukumbilia wanaume wa mitandao mnaon sas hiii n aibu kumbwa San

  • @qwqw1665
    @qwqw1665 2 года назад +5

    Naepia namlaumu kuko oman watengeneza maishayako mwaolewa olewatu sasahivi wanaume nimizigo tuu

    • @hfjfjhfjffj455
      @hfjfjhfjffj455 2 года назад

      Uko sahihi kabisa ingawa sio wote ila ni wengi wao wapenda mteremkoo

  • @gaudensiayustini8669
    @gaudensiayustini8669 2 года назад +14

    Mbona na Edina kakimbia hatupi mrejesho kaka zahir?

    • @salmadhiab2693
      @salmadhiab2693 2 года назад

      Samahani nimekosea nimegonganisha majina nilidhani fadina sory nduguyangu sawa

    • @ashurakiswamba7085
      @ashurakiswamba7085 2 года назад

      Wewe unaye muulizia edina kwani huangalii mirejesho huyo edina waliimpeleka zahr mahakamani alafu akawahoji bas zahri Atakuwa chiz kuhoji uwe unaangalia vizur na kuelewa watu wasio jielewa tumemwambia zahri asijichoshe akili kwa wasio hitaji msaada. Utakuwa umeelewa

    • @everlyneiminza5722
      @everlyneiminza5722 2 года назад +1

      @@ashurakiswamba7085 kaulizia Edina sio fadina, Edina ni mrembo alipokuja hapa muximum kujitangaza anaitaji mwanaume, kumbe wewe ndio uangalie vizuri vipindi wengine wetu tupo makini sana na kila video inayo uploaded,

    • @gaudensiayustini8669
      @gaudensiayustini8669 2 года назад

      @@ashurakiswamba7085 aisee sijaona hicho kipindi Jamani nafuatiliaga kila hatua so hiyo sijaona mtume kumbe ilikuwa hivyo

    • @ashurakiswamba7085
      @ashurakiswamba7085 2 года назад +1

      Zahir akimbii mtu ila watu wanakimbia baada ya kupata mchango