VIWANJANI | Sakata la Awesu Awesu kurejeshwa KMC kutoka Simba; Je, nini kiko nyuma ya pazia?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Ni mjadala na uchambuzi wa kina kuhusu usajili wa kiungo Awesu Awesu ambaye alishatangazwa kusajili na Simba lakini sasa Kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji ya TFF imemrejesha KMC huku ikitoa onyo kwa Simba...
    Je, nini kiko nyuma ya pazia... ??
    Ungana na wachambuzi Rashid Hamis akiwa na Michael Hyera kutoka #Viwanjani ya leo Agosti 14, 2024.
    Host ni Pascal Kabombe...

Комментарии • 9