MFAHAMU ZAIDI LEONEL ATEBA/ANAWEZA KUFUNGA NA KUCHEZA/SIMBA WATAFAIDIKA HAPA. :GHARIBU MZINGA
HTML-код
- Опубликовано: 13 сен 2024
- Gharib Mzinga ametoa tathmini yake juu ya Leonel Ateba kuhusu wasifu wake akiwa Uwanjani.
Simba watafaidika na nini kutokana na uwezo wa Ateba?
Mshambuliaji hatari kiasi gani?
Tathmini yakinifu juu ya Mshambuliaji mpya wa Simba.
Gharibu mzinga nakuelewaga sana unajua mpira haunaga baya ❤❤
Upo vzr sana
Gharibu mzinga Big up mkuu👊
Umechambua vizuri mzinga❤
Kaka nakupenda unajua sana kuchambua mpira
Gharibu akili mingi asante kaka,kwa jibu zuri ,baada ya kuulizwa swalii na mtangazaji! Nanukuu, chagua mshambuliaji mmoja kati ya wa nne Simba utakao anzanae kwenye kikosi chako! Jibu , Valentino Mashaka! Nimeipenda sana hiyo interview 😂😂😂
Unyama sana
Kaka uko vzr sana kuchambuwa
Uya mwamba anajuwa kutangaza mpira nakubali sana
Weshs the best
Napenda date za Gharibu mzinga anatoa nondo za maana
Saut ya mamlaka mzinga unajua sana kuchambua mpira
Safi sana😅😅😅😅😅😅😅
Aiseee wew mwamba nakukubali sana, unakuja sana kutangaza mpira
Mtanzania mwenzako valentine mashaka saw kabisa
Uyu anajua mpira
Huyu jamaa yukoga vizuri
Unaonyesha jinsi unavyochambua kwa kumwogopa GSM vibahasha vinawaai isha ninyi uchwara.
2naemkubal 2juane
Mi ukinpa mpenja na mzinga nampa mzinga%
💯💯💯💯
Mchezaji ni mali ya Simba unawataje 🐸🐸🐸 for what?
Hakna kitu hapo
Njovu yako
Sawa ngoja tumuone
Ni molinga tuu Hana tofauti mechi kumi na mbili goli moja
Simba hamna chochote
Ngogwe huna jipya kafiembele😅😅😅😅😅😅
Mtangazaji unamaswali chonganishi kwa mchambuzi umestahili haya majibu kutoka kwa mchambuzi mwisho wa hii intervew jirekebishe hayo maswali yako.
Mnapenda kusifiwa wajinga Wakubw utadhani timu la yanga
Ngogwe huna jipya kafiembele😅😅😅😅😅😅😅
Kuna baadhi ya mijanamme ipo kama madem kupenda kusifiwaa
Mi ukinpa mpenja na mzinga nampa mzinga%