MFAHAMU ZAIDI LEONEL ATEBA/ANAWEZA KUFUNGA NA KUCHEZA/SIMBA WATAFAIDIKA HAPA. :GHARIBU MZINGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • Gharib Mzinga ametoa tathmini yake juu ya Leonel Ateba kuhusu wasifu wake akiwa Uwanjani.
    Simba watafaidika na nini kutokana na uwezo wa Ateba?
    Mshambuliaji hatari kiasi gani?
    Tathmini yakinifu juu ya Mshambuliaji mpya wa Simba.

Комментарии • 33

  • @gabrielnybala2165
    @gabrielnybala2165 28 дней назад +13

    Gharibu mzinga nakuelewaga sana unajua mpira haunaga baya ❤❤

  • @protaspessa8615
    @protaspessa8615 28 дней назад +7

    Upo vzr sana

  • @israelmunuo7938
    @israelmunuo7938 27 дней назад +3

    Gharibu mzinga Big up mkuu👊

  • @AllyAme-r7x
    @AllyAme-r7x 27 дней назад +2

    Umechambua vizuri mzinga❤

  • @JusteneNgole
    @JusteneNgole 27 дней назад +2

    Kaka nakupenda unajua sana kuchambua mpira

  • @israelmunuo7938
    @israelmunuo7938 27 дней назад +6

    Gharibu akili mingi asante kaka,kwa jibu zuri ,baada ya kuulizwa swalii na mtangazaji! Nanukuu, chagua mshambuliaji mmoja kati ya wa nne Simba utakao anzanae kwenye kikosi chako! Jibu , Valentino Mashaka! Nimeipenda sana hiyo interview 😂😂😂

  • @IbrahimMakonga
    @IbrahimMakonga 28 дней назад +5

    Unyama sana

  • @malofuchala1050
    @malofuchala1050 27 дней назад +2

    Kaka uko vzr sana kuchambuwa

  • @jamesraphael9581
    @jamesraphael9581 28 дней назад +4

    Uya mwamba anajuwa kutangaza mpira nakubali sana

  • @LydiaAdam-p9s
    @LydiaAdam-p9s 23 дня назад

    Weshs the best

  • @kaizerabilahi5958
    @kaizerabilahi5958 27 дней назад +2

    Napenda date za Gharibu mzinga anatoa nondo za maana

  • @BugumbaMakolo
    @BugumbaMakolo 19 дней назад

    Saut ya mamlaka mzinga unajua sana kuchambua mpira

  • @Mudricklucas
    @Mudricklucas 21 день назад

    Safi sana😅😅😅😅😅😅😅

  • @johnmashauri-qo8qq
    @johnmashauri-qo8qq 26 дней назад

    Aiseee wew mwamba nakukubali sana, unakuja sana kutangaza mpira

  • @IbraMwakipesile
    @IbraMwakipesile 22 дня назад

    Mtanzania mwenzako valentine mashaka saw kabisa

  • @lonidoboymnyama6763
    @lonidoboymnyama6763 27 дней назад +2

    Uyu anajua mpira

  • @BisendoMagige
    @BisendoMagige 28 дней назад +2

    Huyu jamaa yukoga vizuri

  • @jonathansirkintungi7434
    @jonathansirkintungi7434 27 дней назад +1

    Unaonyesha jinsi unavyochambua kwa kumwogopa GSM vibahasha vinawaai isha ninyi uchwara.

  • @NestoryJoseph-i4k
    @NestoryJoseph-i4k 25 дней назад

    2naemkubal 2juane

  • @NestoryJoseph-i4k
    @NestoryJoseph-i4k 25 дней назад

    Mi ukinpa mpenja na mzinga nampa mzinga%

  • @OmaryTakiu
    @OmaryTakiu 28 дней назад

    💯💯💯💯

  • @jessemathew4696
    @jessemathew4696 28 дней назад +1

    Mchezaji ni mali ya Simba unawataje 🐸🐸🐸 for what?

  • @IddiHassani-s9j
    @IddiHassani-s9j 28 дней назад +1

    Hakna kitu hapo

  • @SalimRamsei-ok9el
    @SalimRamsei-ok9el 28 дней назад

    Sawa ngoja tumuone

  • @daudkondo4069
    @daudkondo4069 28 дней назад

    Ni molinga tuu Hana tofauti mechi kumi na mbili goli moja

  • @EmmanuelGurisha
    @EmmanuelGurisha 27 дней назад

    Simba hamna chochote

    • @Gisakijamaduda
      @Gisakijamaduda 26 дней назад

      Ngogwe huna jipya kafiembele😅😅😅😅😅😅

  • @selemanialawi4012
    @selemanialawi4012 26 дней назад

    Mtangazaji unamaswali chonganishi kwa mchambuzi umestahili haya majibu kutoka kwa mchambuzi mwisho wa hii intervew jirekebishe hayo maswali yako.

  • @AbuuAyubu-t7c
    @AbuuAyubu-t7c 28 дней назад

    Mnapenda kusifiwa wajinga Wakubw utadhani timu la yanga

    • @Gisakijamaduda
      @Gisakijamaduda 26 дней назад

      Ngogwe huna jipya kafiembele😅😅😅😅😅😅😅

    • @AbuuAyubu-t7c
      @AbuuAyubu-t7c 26 дней назад

      Kuna baadhi ya mijanamme ipo kama madem kupenda kusifiwaa

  • @NestoryJoseph-i4k
    @NestoryJoseph-i4k 25 дней назад

    Mi ukinpa mpenja na mzinga nampa mzinga%