Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

HATIMAE MFUNGWA WA MIAKA 30 AONGEA NA BINTI YAKE KWA MARA YA KWANZA |SIKILIZA MAZUNGUMZO NI UZUNI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 июл 2021

Комментарии • 617

  • @julianajacksoni4275
    @julianajacksoni4275 3 года назад +46

    Zahir una roho safi Sana.. Mungu aendelee kukupa maisha marefu.. Huyu kaka akija kuoa.. Akipata mtoto wa kiume ampe jina lako jaman😘😘😘😘😘

    • @veronicamasanja9809
      @veronicamasanja9809 3 года назад +4

      Uwe makini ktk kupata mke wengi watakuja kwa maslai yao binafsi ukizingatia umeshaanza kupata msingi

    • @shantellemwanakombo3703
      @shantellemwanakombo3703 3 года назад

      Ameen

    • @hawaheri5833
      @hawaheri5833 3 года назад +1

      @@veronicamasanja9809 walahi anaharaka na wanawake atakuja kulia huyo we muache wanawake hapo wanaesabu pesa tu wnawake wananja tu hao

  • @sharifafatawy9874
    @sharifafatawy9874 3 года назад +43

    Huyu jamaa nimchapakazi,yupo vizuri asaidiwe mtaji abadilishishe maisha yake.

    • @bethmsigwa6742
      @bethmsigwa6742 3 года назад +3

      Mungu akukumbuke na wewe

    • @manasadunia3458
      @manasadunia3458 3 года назад

      Nikweli

    • @jamilaabdallah3955
      @jamilaabdallah3955 3 года назад

      Naomba namba yamtangazaj ninashida nataka kutafuta baba yangu naomben msaada wadau mweneanae ijua namba anisaidie

    • @mumucha1529
      @mumucha1529 3 года назад

      @@jamilaabdallah3955 angalia kwenye hiyo habari namba zinazopita chini ndo upige

  • @rayasaid3734
    @rayasaid3734 3 года назад +4

    Vizuri sana Suleiman una mtanguliza mungu kwanza kwa kila jambo,Allah atakupa mwenzako mwenye kher na wewe,mchukue mwanao witness umtoe kwenye udhalili,kazi za ndani sio nzuri,anaweza kusomea chochote hapo Dar.

  • @qwqw1665
    @qwqw1665 3 года назад +21

    Mm nasema hivi kwamba zahiri naomba huyo kaka asije akaenda pekeyake huko lazima aende. Natuyoyote ndio usia wangu huo 🙏🙏🙏🙏

  • @rokiroki1825
    @rokiroki1825 3 года назад +16

    Zahiri ALLAH akulipe kher haki unaitafuta pepo tena pepo ya fridaus

  • @user-xh7xf2ki3r
    @user-xh7xf2ki3r 3 месяца назад

    Maa Shaa Allah nawapongeza sana wale wote waliojitokeza kumsaidia huyu kaka na imaan ana furaha huko alipo mtangazaji pia hongera sana kwa kazi yako nzuri Allah awabariki sana japo naiona leo hii interview

  • @valenakomba4453
    @valenakomba4453 3 года назад +16

    Huyo binti tayari anamiaka 19, kwa hiyo hahitaji ruhusu ya mama.

  • @qwqw1665
    @qwqw1665 3 года назад +13

    Pole kaka mtangulize mungu utayapita yaloyo magumu🙏🙏🙏🙏🙏

  • @teddyoscar6876
    @teddyoscar6876 3 года назад +9

    Ushauri wangu wasije wakamdai pesa,weshamweka jela miaka 20 keshalipa kila kitu hapo ni wajuane tu na mwanawe inatosha mana kasota gerezani kwa ajili yake,huyo selemani atafute mke akipata na Mungu awajaalie watoto basi atunze familia yake, huyo witness ameshakua mkubwa, kosa alilifanya shangazi yake huyo mwanamke.

  • @jumaselemani2720
    @jumaselemani2720 3 года назад +15

    Daaah aisee hii stori unaweza ukaitengenezea muvi na ikauzika

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 3 года назад +24

    Vunja bei Uko Wapi Jamanii ugempa mtaji Huyo Kaka Au ajira

    • @credo7837
      @credo7837 3 года назад +4

      Heri ya ngamia kupenya katik tundu la sindano kuliko tajiri kuingia katik ufalme wa mbinguni

  • @aminaally2014
    @aminaally2014 3 года назад +35

    Mimi nashauri musiwe munatangaza kiwango cha fedha zinazopatikana kwa sababu kuna watu wahuni wanaweza kumumpotezea malengo au kumuibia

  • @assiakhadijz4167
    @assiakhadijz4167 3 года назад +10

    Wallahi kila nikisikiliza taarifa za huyu kaka machozi yananitoka Allah amjaalie subra

    • @mimahmimah1595
      @mimahmimah1595 3 года назад

      Wallahy tena ni mkaka mstarabu amepitia mengi magumu Allah amfanyie wepes

    • @assiakhadijz4167
      @assiakhadijz4167 3 года назад

      @@mimahmimah1595 amiin

    • @assiakhadijz4167
      @assiakhadijz4167 3 года назад

      @@mimahmimah1595 nimependa hata anavo ongea yani anajiamini

    • @mimahmimah1595
      @mimahmimah1595 3 года назад

      @@assiakhadijz4167 sana anatia huruma wallahy

    • @assiakhadijz4167
      @assiakhadijz4167 3 года назад

      @@mimahmimah1595 yani ningelikuwa na uwezo bc ningemsaidia ila ndio ivo umasikini

  • @empresssonia1937
    @empresssonia1937 3 года назад +12

    BRO ZAHIR LETA NUMBER YA HUYU JAMAA NAPENDA WATZ SANA MM NI MKENYA🇰🇪 ILA SAI NIKO DUBAI NATAKA MTU MATURE MWENYE ANAJIELEWA KAMA HUYU JAMAA💙

    • @zanzibarspice8686
      @zanzibarspice8686 3 года назад

      mtafute kwa namba zake Hpo Juu za tigo pesa mtaongea vzr

    • @zanzibarspice8686
      @zanzibarspice8686 3 года назад

      au tafuta vedio yao ya awali namba utazipata

    • @princesssimi4905
      @princesssimi4905 3 года назад

      Yaani zahir anafanya kazi nzur sana na team yake

  • @aminakunja277
    @aminakunja277 2 года назад +6

    Kifo cha uyu kaka suleiman kimenifanya nipitie tena interview zake zote za nyuma dahh nimeumia adi nimelia lkn uyo Kuna namna tu ya kifo chake nasikitika tena kuusu familia Yake ajaiyona Miaka 20 anakuja kuniona familia anakaa kidogo anauawa dahh 😭😭mungu ampunguzie adhabu ya kabri na ampe kauli thabit marehem suleiman ila dahh nilitamani sana aishi aweze kufuraiya maisha Yake lakini mungu pia akupenda Inshalaah mungu ndo muamuzi kamwe kulaumu siwezi🙏😭

    • @mhjgkgjfjzuzu9545
      @mhjgkgjfjzuzu9545 2 года назад

      Nayaoneka alikuwa mcheshi kweli. Allah ampe kitabu chake kwa mkono wa kulia

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 2 года назад +1

      Ukiangalia kuna vile mambo yamesukwa. Kwa sababu huyo afisa elimu alitumia cheo vibaya tu kumfanyia uonevu. Huyo bint kama alikuwa underage hakutakiwa pia kuwa anafanyishwa kazi za maid alifaa kuwa shule. Siyo ajabu wamegundua atafuatilia haki wakampangia njama auwawe.

    • @reginamluviji9405
      @reginamluviji9405 2 года назад +1

      kwani kauawaaa

    • @swadatimmbaga7435
      @swadatimmbaga7435 6 месяцев назад

      Mwaka gan? Huyu Alfarik 😢😢😢

    • @SmilingPlanets-yx9rm
      @SmilingPlanets-yx9rm 5 месяцев назад

      Ameuwawa!??

  • @faridamohamed4677
    @faridamohamed4677 3 года назад +15

    Masikin anajua kushukur🤝

  • @ashakileo4980
    @ashakileo4980 3 года назад +5

    Safi kaka zairi Kazi nzuri mungu awe nawewe

  • @pendolazaro4686
    @pendolazaro4686 3 года назад +18

    Pole sana husband material jaman utapata mwanamke mwingine

    • @sadamohammed6177
      @sadamohammed6177 3 года назад

      Dhahiri nakupa tena hongera kwa juudi na upendo na nguvu nyinyinazofanya kusaidia watu wenye matt natamani nikuine siku moja

  • @fatumaothman8884
    @fatumaothman8884 3 года назад +3

    kaka Zahih naomba hizo pesa zizuie wewe, ili zifikie malengo hata ya kununua pikipiki kwanza, aanze kazi mwenyewe na a save ili apate zaidi ya kununua bajaji, ikiwa atabaki na hela yeye mwenyewe wasiwasi wangu atazitumia iwe tatizo jengine tena, hapo nimemsikia kuhusu kanunua nguo, nguo kama anazo tatu tuu zinaatosha kabisa kwa vile ana malengo yake ya maisha. hana haja ya mahusiano kama hajakaa sawa kimaisha, asubiri kwanza asichanganye madawa.
    HAYO NI MAWAZO YANGU BINAFSI

    • @kadejahh4036
      @kadejahh4036 3 года назад

      Mawazo mazuri sa fatuma pesa Bwana ukiwa nayo mkononi mie pia niliwaza ni bola ajijenge kwanza

  • @hadijaharerimana1687
    @hadijaharerimana1687 3 года назад +9

    Zahir huyo mama aliyemfunga unaweza mpata ili ajue alichotenda sio haki kaka wa watu alifungwa bila hatia maskini wa mungu kuna watu wana roho mbaya hatary huyo mama ataenda chomwa moto kama mbwa....::siku ya kiama

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 3 года назад +11

    Ila songea asiende kama huyo mtoto ni wake atakuja tu haina haja ya kuwafuwata wao umfuwate yy nani muache akae na huyo mtoto na pili mtoto ameshakuwa mkubwa ana maamuzi yake.

  • @golder3410
    @golder3410 3 года назад +21

    Huyo mamah anakaa anamaisha magumu japo Kua aliolewa,huyu Jamaa anakaa mpambanaji wangekua mbali Sana kimaisha

  • @fatmaomary3981
    @fatmaomary3981 3 года назад +2

    Asante kk Zahir kwa kazi nzuri

  • @doreenchaula3535
    @doreenchaula3535 3 года назад +2

    Kweli huyu Kaka nimtu safii nime mpendaa bure anajua kujieleza na nimkweli sana, Zahirahir we ni Kaka mwenye moyo Safi Mungu aku zidishie

  • @reymaabintabdillah3727
    @reymaabintabdillah3727 3 года назад +3

    Kaka zahir mm naomba tuwe wapambe kwenye hii ndoa mungu atie baraka zake

  • @kadigatanzaniya4792
    @kadigatanzaniya4792 3 года назад +12

    Kaka zahir mm nimeshatuma mchango wangu ila sijampigia cm nilikuwa sina salio

  • @z.nalnabhani7194
    @z.nalnabhani7194 3 года назад +6

    Suleiman ni muelewa sana,anaeleza vizur

  • @souvenirweber7169
    @souvenirweber7169 3 года назад +7

    Huyo shangazi hovyo mwenye kutumia madaraka vibaya anatakiwa ajue alichofanya kuonea raia miaka 30 nisawa na kuua mtu.

  • @z.nalnabhani7194
    @z.nalnabhani7194 3 года назад +8

    Jamani maxmam tujiandae na harusi

  • @burundishallsmile1day109
    @burundishallsmile1day109 3 года назад +7

    Maskini 😊
    "Kifungo nilichotumikia faida yake Mtoto"
    Jama anajieleza kisiasa ✊🏾

  • @superwomankulwa620
    @superwomankulwa620 3 года назад +7

    Mashallaa ongera sana kaka zairi mungu awabariki

    • @frolawihenge2078
      @frolawihenge2078 3 года назад

      Zahir kazi uloifanya ni kubwa sana Mungu azidi kukutunza na.kukupa maisha marefu na wengine waje kusaidiwa kama ulivomsaidia huyu jamaaa.

  • @mwanahawaomarimashaka197
    @mwanahawaomarimashaka197 3 года назад +4

    Adhabu nliyoitumikia inafaida yake.....Alhamdulillah

  • @aayeshakhan9962
    @aayeshakhan9962 3 года назад +3

    Mungu amusaidiye apat atazakiwanja kisha kaka zahir umujengeye kama bibi na mama zabibu kwasababu kupanga nivigumu kupata pesa zakuripa

  • @irenewile
    @irenewile 3 года назад +2

    Zahir anamuonea huruma mwanaume mwenzake kuwa hajafanya mapenzi miaka daahaa,,huo ni Upendo wa Agabe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @sharinv8864
    @sharinv8864 3 года назад +2

    Leo nimewai no 2 wacha nisikize ndipo nicomment zahir una bidii asante sana brother.

  • @felistersmejumaa5188
    @felistersmejumaa5188 3 года назад +2

    Mashallah hadi raha jamani Zahir barikiwa hki kama sio ww na media yko bac baba huyu asinge mjua mtoto wake angetoka jela maskini akawa na mawazo kibao tu xna

  • @graceshayo8465
    @graceshayo8465 3 года назад +6

    Mtoto kaliswa sumu na mama yke lkn huy kak anampend mwanae jmn wngne tunataman hta wakina baba wa kusingiziwa jmn Dunia hiiii

  • @mwanahawaomarimashaka197
    @mwanahawaomarimashaka197 3 года назад +7

    Wapili..
    Alhamdulillah

    • @sweetluc2660
      @sweetluc2660 3 года назад

      Mungu akubaliki sana kaka zahir

  • @afanamb4504
    @afanamb4504 3 года назад +10

    God is good ,good work zahir,keep it up

  • @maimunamsakamali9152
    @maimunamsakamali9152 3 года назад +2

    Kaka zahiri hongera Sana napenda unachokifanya kwa kweli nikijariwa mtoto wa kiume nitamwita zahri

  • @charlesmatesorehani5012
    @charlesmatesorehani5012 3 года назад +2

    Zaili wewe Mungu akurinde sana kwa kazi nzuri kaka 🙏

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 3 года назад +3

    Wow haya wale waso na waume mume huyo mashallah mujitahidi fursa ndoo hiyo

  • @katayaloveness5529
    @katayaloveness5529 3 года назад +5

    Masha Allah

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 3 года назад +6

    Huyo bint kidogo hajasikiliza toka mwanzo... Maswali yke kama mtu ambaye ndio kazaliwa right now.

    • @agneskighenda3795
      @agneskighenda3795 3 года назад

      Anatabia za kichuga…

    • @minakhamiskhamisi6193
      @minakhamiskhamisi6193 3 года назад +1

      Yani hv ngoj niwalimishe kdg au niwape story yg kwasbb ht mm story yg n huyo bint zinafann yn inakuja hv huyo unae msikilza yote anayo uliza anauliz tuu lkn hat ule Upendo haupo kabc kwa baba yake ht ndio maaan Takia alivo aza kuongea n zahari yn yey anachukulia jambo l kawaida tuu n sio kwamb haelew anaelewa vzr hilo tatz linakuj hv n kwasbb hajakaa n huyo baba karibu n hajalelewa n yeye ndio maaan ht kweny kuongea kwake ndio maaan anaongea km mtu ambae hayupo sirious n kitu sijui una nielew vzr mimi hpa nimelelewa n bibi yangu mam yg walitengena n baba yg Kitmbo takia nikiwa mdg hata mwak sijafikish bd na mama aliodk akaniach kwa bibi yg nikiwa ht maziwa sijamalz kunyony kwaiyo mim mpk nikafik daras l 4 ndio nikaja kujua mam yg baba yg mpk Leo simjui n Wala hat pich sijawah kuona huyo mama mwenyw kaolewa huko hana ht habar n mimi mpk namaliza shule mam yg ht ile nguo tuu alikuwa hajui kwaiyo ninavo ongea hap mam yg baba yg ule upend unao uzania wewe kwa wazazi haupo hat mdaa mwgn anasem anaumw sijui mim naon kawaida tuu n Wala sione ajabu wala ile huruma haipo mtu nilie mzoea n bibi yg bc ht akisem naumwa Niko radhi naacha ht km n kazi naenda kumtizam au nampaa hela y hospital yani yale mapenz y wazazi hayapo kbc kweny kichwa Changu ninae mjali n moj tuu ambae n bib yg kwaiyo ht huyo binti Han mapenz kwa wazazi wake kwasbb hajakaa Nao inamaan akil yake ipo kwingn ndio maaan unaon anaongea tuu hana ile furah au shauku y kusem mbn n bab yg niwahi nikamuone bab yg lbd awe n furh yn yule ht ile kusem uje umtizame bab yko n km analazimishwa lkn ht ile mdii yn akil yake haipo kbc kuhus sual l baba hayupo kbc maongez yake unajua kwamb huyu mtu hayupo sirious kbc yn hiyo mdaa mwgn unawez ukalia ukawa n mawazo unawz ukajikut sehmu mbay San mim mdaa mwgn naumia lkn ndio hv kwaiyo wwee mchukulie kawaida tuu sio kwamb huyo bint ndio Anamakos hpn yn sijui nikwambie vip ndg yg ndio unielew

  • @zuenajohn8325
    @zuenajohn8325 3 года назад +6

    Machozi ya menitoka

  • @swaumujuma6333
    @swaumujuma6333 3 года назад +1

    Mashallah litaisha kwa uwezo wa Allah inshallah 🤲🤲🤲mungu awabaliki maxmam tv🤲🤲

  • @user-vn2ni9vm4b
    @user-vn2ni9vm4b 3 года назад +6

    Mashaalla

  • @Shuu.A
    @Shuu.A 3 года назад +1

    Zahir asimuamini huyo mama mana shetani akienda pekeake anaweza kumsingizia ubaya wowote amtafutie matatizo mapya kama aliweza kumfanyia ya mwanzo hashindwi na sahivi yeye na watu wake sio watu wazuri wamenharibia maisha huyu kaka

    • @neemageoffrey3586
      @neemageoffrey3586 3 года назад

      Kwa kweli ni shetani, hata mwenzie alipofugwa hakuwahi kumtembelea huko gerezani kwa miaka yote hiyo

  • @papachidi7672
    @papachidi7672 3 года назад +2

    Mashallah.. jamaa anajuwa kujielezeya napia nimkweli.

  • @fatuma5208
    @fatuma5208 Год назад

    MASHALLAH. ZAHIR.MUNGU.AKUTANGULIE.

  • @julianajacksoni4275
    @julianajacksoni4275 3 года назад +17

    Anajipenda baba witness

  • @apichitseso3073
    @apichitseso3073 3 года назад +2

    Minamuombea🙏🙏🙏 maisha mema upate mke muwe na maelewano

  • @rayasaid3734
    @rayasaid3734 3 года назад +8

    Hata mimi naunga,wazo lako kazi za ndani huko tumuondoe

  • @manasadunia3458
    @manasadunia3458 3 года назад

    Masha allah Zahir unaupendo sanaa Allah azidi kukusimamia katika kazi yako 🤲

  • @rehemaathhmani357
    @rehemaathhmani357 2 года назад

    Mashaallah mashaallah hongera maxmamu tv

  • @semenirudovick1989
    @semenirudovick1989 3 года назад +2

    Nampendaga fabi Yuko smart

  • @estertiffathomas5651
    @estertiffathomas5651 3 года назад +1

    Hongeraaa zahir jmniiii kz nzuri

  • @khalossalim3723
    @khalossalim3723 3 года назад +5

    Vigezo na masharti vizingatiwe kwa wifi yetu 😂😂😂

  • @arafamussa840
    @arafamussa840 3 года назад +1

    Pole kaka allah akufanyie wepec na ufanikiwa ktk maisha yako pia allah akujaarie mke mwema atakae mama bora

  • @aishaibrahim5607
    @aishaibrahim5607 3 года назад +2

    😪😪😪😪so sad jmn ila mingu nimwema sana

  • @sabrinasab2910
    @sabrinasab2910 3 года назад +1

    Hongera kaka seleman

  • @chabakakilumanga2206
    @chabakakilumanga2206 3 года назад

    Nakipenda sana hiki kipindi. Hongera sana Maximum TV

  • @ashakufakunoga4904
    @ashakufakunoga4904 3 года назад +9

    Yaan nimetokwa na machozi jamani😭😭

  • @linnahndelwa6351
    @linnahndelwa6351 3 года назад +1

    Nakupenda sana zahir mungu akutunze naendelea na huo moyo kaka

  • @amour5535
    @amour5535 3 года назад +2

    Kaka zahri huyu kaka asiende pekeake na pia. Lazima afike kituo cha polisi apate kampani ya usalama kabsaa 🙏🙏🙏Ahsate wote Alhamdullah

  • @lucasmlowezi9214
    @lucasmlowezi9214 3 года назад

    Story inafurahisha na kuhudhunisha pia. Hongera sana mtangazaji, kazi nzuri sana

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 3 года назад +2

    Zahri ongera kwa kazi nzuri

  • @ramlajuma1598
    @ramlajuma1598 3 года назад +5

    Mashaallah 😊😍😍

  • @user-nr1bf7iu8z
    @user-nr1bf7iu8z 3 года назад +1

    MashaAllah MashaAllah. mungu nimkubwa

  • @samsungj7pro64gb5
    @samsungj7pro64gb5 3 года назад +10

    MashaAllah walhadulilah jamnj kka furaha km zote❤

  • @fariarizaq7528
    @fariarizaq7528 3 года назад +1

    Mashaallah huyu baba anawogea ukweli kabisa Allah akubariki sana inshaallah

  • @mauamnobwa7412
    @mauamnobwa7412 3 года назад +2

    Hongera bro umechangamka

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 3 года назад +5

    Hongera Sana kaka, wewe ni mwanaume mwenye hofu ya mungu.

  • @catherinekatuu423
    @catherinekatuu423 3 года назад

    Mungu ni wa ajabu kiukweli na atakufungulia mlango na kuchapa job😍😘💝💞🌞🙏.

  • @Randm-
    @Randm- 3 года назад +5

    Zahir unakosea yule sie mke wake... yule mama ameshaolewa.. Mumewe akisikiliza hii interview unamtafutia shida mama wa watu

    • @joymadambby3290
      @joymadambby3290 3 года назад

      Kwani amesema anamtaka yy anatk mtt wake

    • @Randm-
      @Randm- 3 года назад +1

      @@joymadambby3290 najua sana anataka mtoto wake. Sikiliza zahir anavyoingea then uje hapa uko commet utopoli

    • @shamimushittindi1418
      @shamimushittindi1418 3 года назад

      Mzazi mwenzie haifutiki

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 3 года назад +2

    Mungu mkubwa brother 😍😍😍🇴🇲👌

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007 3 года назад +1

    Baba anajua kujieleza hapindishi hata moja hongera sana

  • @rosemzava5149
    @rosemzava5149 3 года назад

    Baba kama ww mpo wachache sana mungu akupe maisha marefu baba mwenye busara na hekima🥰

  • @mussamivache4986
    @mussamivache4986 3 года назад +1

    Baba anaupendo sana na mtoto wake😍 natamani ningepata baba kama huyu naumia sn nimetelekezwa mimi pamoja na wadogozangu baba ajali chochote kuhusu sisi wakati anajua mama alisha faliki😭😭😭

  • @mamajd269
    @mamajd269 3 года назад +1

    Wow . 😭 Mungu awabariki MaximumTv

  • @thadeusmarkiminja9653
    @thadeusmarkiminja9653 3 года назад +1

    Usichoke Zahir habari hii inasisimua,hongera sana iko siku nataka nikuone live.

  • @hadijaharerimana1687
    @hadijaharerimana1687 3 года назад +1

    Aisee safi sana ..

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 3 года назад +1

    Mungu atakusaidia bro, hongera kwa busara zako za kutaka kumjua mwanao.

  • @sharifaabdullah6825
    @sharifaabdullah6825 3 года назад +1

    Mungu mkubwa alhamdulilah😘😘

  • @3azxtv843
    @3azxtv843 3 года назад +21

    Khadija
    Zahir uyo asiende kwa iyo mama asije wakamtumia watu akapigwa

    • @fatemaligalawa1918
      @fatemaligalawa1918 3 года назад +3

      Wataenda wote na kaka Zahir

    • @shantellemwanakombo3703
      @shantellemwanakombo3703 3 года назад +2

      Wataandamana na Zahir

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 3 года назад +2

      @@fatemaligalawa1918 watu wakitaka kufanya ubaya ZAHIRI atazuia nn

    • @fatemaligalawa1918
      @fatemaligalawa1918 3 года назад +2

      @@heyumi2340 siumesikia awaendi kamawao razima wafuate Sheria wanakotoka na wanakoelekea razima wapitie kwenye uongozi waukokwao

    • @rehemalontinaremysaleh7807
      @rehemalontinaremysaleh7807 3 года назад

      @@shantellemwanakombo3703 🤣🤣🤣🤣

  • @tinachacha1502
    @tinachacha1502 3 года назад +2

    😭😭😭naumia xn mungu yumwema xn uyumungu niwawote jamani

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho8138 3 года назад

    Mashallah maboork nimependa hii

  • @hadijaharerimana1687
    @hadijaharerimana1687 3 года назад +4

    Zahir waweza mtafuta huyo mama ... aliyemfunga ili ajue alichokifanya sio fair

  • @zuleikhaomar4657
    @zuleikhaomar4657 3 года назад +3

    MashaAllah kapata kuongea na mwanawe na mtoto kajua ukweli

  • @sadamohammed6177
    @sadamohammed6177 3 года назад +1

    Na uyo mtt ni mkubwa ssivi ana maanuzi yake km akiona mama amtendei haki kwa kaishi maisha marefu bila kujua kitu kuusu babaake ss amempata babaake wampe nafasi awe karibu na babaake

  • @noorlheyaljabri602
    @noorlheyaljabri602 3 года назад +2

    allah awajaliye kilalakheri kila alojitoleya awazifishiye walipopunguza

  • @zeddydaqueensy4612
    @zeddydaqueensy4612 3 года назад +1

    Inshaallah Allah ampe wepesi

  • @saidanasiru7808
    @saidanasiru7808 3 года назад +1

    Mashaallah allah atakupa mke mwema kuwa na subra

  • @sumaiyaochu875
    @sumaiyaochu875 3 года назад +1

    Mashallha mtoto ana masuali yakikubwa

  • @Maryam-yt8lw
    @Maryam-yt8lw 3 года назад +2

    Allah atakuzidishia baraka inshaallah

  • @zainakuzenza759
    @zainakuzenza759 3 года назад

    Hongera baba wit kwa kuwa mkweli umekusaidia na utakusaidia maishani

  • @semenimohamed8156
    @semenimohamed8156 3 года назад +5

    Nimewah mlike na mkoment

  • @salama1113
    @salama1113 3 года назад +1

    Masha allah ww mstarabu

  • @lall2037
    @lall2037 3 года назад +8

    Hakuna usiende uko ñdugu yangu kaka zahiri msiende uko

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena1224 3 года назад +1

    Alhamdullh mungu mwema