Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

HATIMAE MFUNGWA WA MIAKA 30 AONGEA NA MZAZI MWENZAKE |MAHABA YAMEANZA UPYA WANAPENDANA BALAA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 июл 2021

Комментарии • 1,6 тыс.

  • @shamzone388
    @shamzone388 3 года назад +57

    SULEIMAN ana roho safi sana...
    Allah atamjalia mke mwema...

  • @hailinhelen4675
    @hailinhelen4675 3 года назад +23

    Huyu jamaa akipata mtaji tu anainuka na maisha in sha allah kachangamka ma sha allah

    • @jovanafidelis2802
      @jovanafidelis2802 3 года назад

      Yaani Ni kichwa hiki.sio mchezo

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 3 года назад +1

      Kabisa yaani watu watakuja kushanga hapa hapa huyo fighter anaonekana tu machoni aisee

    • @annastaziadaniel2308
      @annastaziadaniel2308 3 года назад +1

      Mungu amsaidie kaka yetu,,apate kazi

    • @mariyaal5366
      @mariyaal5366 3 года назад +1

      @@annastaziadaniel2308 Amen

  • @lovvy854
    @lovvy854 3 года назад +18

    Mashallah Mabruqq Kaka Zahir na team yakoyote na huyu Suleiman Mimi nishawai kumskia kwenye chonmbo cha habari akieleza hiini mada Leo hii amefaulu kupitia Maximum TV imebarikiwa ipo na neehma

    • @emanuelpiniel1228
      @emanuelpiniel1228 3 года назад

      Hii haitakuwa afya kwa huyo mume wa sasa Kama selemani ataendelea kuwasiliana na huyu mama

  • @fauziaomary8903
    @fauziaomary8903 3 года назад +23

    Yaani hii family inavituko nimeipenda sana mahaba yamerudi upya

    • @aminahassanali1190
      @aminahassanali1190 3 года назад +1

      Half zahr mmbea ww🤣🤣unanong'oneza nn

    • @paschalsafari9747
      @paschalsafari9747 4 месяца назад

      Duuuuuu 😅😅😅😅😂😂😂😂😂 mahabaaaaaaaaa kneweeeeee

  • @MaryamMaryam-wp5yk
    @MaryamMaryam-wp5yk 3 года назад +23

    Maskiini mama esta inaonyesha maisha yake siomazuuri anatamani aakishike waludiane na baba mtoto wake wazamaani maskiini

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 3 года назад +6

    Baba huyu ni mtu mwenye Imani kweli . Mungu akuzidishie

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 3 года назад +8

    Kaka Zahir anacheka kwafuraha kuona mtu namwenzake kuona wanaongeya vizuri manshallah kilala Kheri kwenye kaziyako kaka 🙏

  • @felisterjames5859
    @felisterjames5859 3 года назад +21

    Yani huyu dada bado nampenda sana jmn mpenzi wake jmn

  • @munirachangawa2928
    @munirachangawa2928 3 года назад +29

    Jamani mi leo nimefurahi kwa kweli.zahir leo umenikosha.

  • @tabbywamtz501
    @tabbywamtz501 3 года назад +29

    Jamani hawa watarudiana kwa kweli mapenzi upofu😂😂❤️❤️❤️

    • @judytabby2777
      @judytabby2777 3 года назад +1

      First love😍😍

    • @khadijaomari9344
      @khadijaomari9344 3 года назад +1

      kabisa

    • @mussakhassan4904
      @mussakhassan4904 3 года назад +1

      Hatari sana

    • @monicaagapitybruno3863
      @monicaagapitybruno3863 3 года назад +1

      Umeona eeeh lkn acha waruduane tu maana matatizo ndo yaliwatenganisha 😍🥰 InshallAh 🤲🙏 rudianeni jamani 😂🤣

    • @dativajoachimwai1194
      @dativajoachimwai1194 2 года назад

      shida ni watoto wa baba wapili. wakirudiana watoto wanne wote watalelewa na baba asiye wao. shida inajiridia ileile ya witness kulelewa na baba wa kambo bila mafanikio

  • @judithmelvinealuchio8968
    @judithmelvinealuchio8968 3 года назад +10

    Zahir wewe kiboko na mungu akujalie baraka tele na wenzio ila love iko bado tena sana na mtoto akaitwa Witness hilo jina lina maana kubwa sana kuna uwezekano wakaoana mipango ya mungu haina makoka 🙏🙏🙏🇰🇪🇪🇺

  • @zuwena1zuwena114
    @zuwena1zuwena114 3 года назад +22

    Walahi kaka umerudisha mapenzi ya utotoni 💃💃💃💃💃💕💘💘💘❤

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 3 года назад +19

    Nimependa hayo maneno ya utani yameleta hery yule mama akawa miwazi lakini angekuwa anaongea.kwa mkazo asingekuwa wazi hata kutoa ushahidi kuwa hakuwa mwanafunzi ni ushahidi tosha sasa inawezekana hata huo ushangazi sio wa kweli pengine alikuwa mfanya kazi tu.

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 3 года назад

      Kifupi alikua housegirl miaka 15, ila kosa lilitendeka, Shangazi alichukua hatua stahiki

    • @munamuna7488
      @munamuna7488 3 года назад

      Allah amsamehe

    • @msalikemedia
      @msalikemedia 3 года назад +1

      Hata Mimi naona ni hivyo huyo hakuwa shangazi kabisa ila mie nimefurah sana huyu mama sasa anaaman mtoto kawa na baba sasa daah Zahir jitahidi umulete mama witi tumuone tunampenda sana

  • @zuwena1zuwena114
    @zuwena1zuwena114 3 года назад +18

    Yani kweli walikua wanapendana ila binadamu 😍😍😍😍😍💛💛💛

  • @sophiamvungi7978
    @sophiamvungi7978 3 года назад +5

    Mwenyezi Mungu nakuomba mpe njia ya kupita huyu kijana! Mpe mwanga wa maisha yake!

  • @devothaignatus5911
    @devothaignatus5911 3 года назад +9

    Uwiiiiii jmn kaka Zahir hahaha nimecheka mpaka nimeumwa mm,, jmn Zahir unamnongoneza jmn hahaha Zahir umecheka mpaka bc, hawa watu bdo wanapendana maskn,,watardiana kabisa❤❤,,.watakopokwenda kuishi nikwababa na mama hahahaha kashanogewa jmn💃💃,,mapenzi niatr sana, Yn dada ameshadata, ata baba kashapenda,,Zahir nimeshindwa nicomenti nn,,apa nirpo nacheka mpaka mbavu cna hivi Kirikuu umepona uko urpo ? Maana najua mmcheka mpaka bc.

  • @robertmalima3111
    @robertmalima3111 3 года назад +16

    Muende polisi kwanza kabla hamjaenda kwa huyo mama wintness maana yasije akawabadirika shemeji yangu mie mngoni napia mtani wangu mtu wa kigoma

    • @lovvy854
      @lovvy854 3 года назад +1

      Kwelikabisa upatikane usalama kamili

    • @julietmlaki2816
      @julietmlaki2816 3 года назад

      TUMPIGIE KAKA ZAHIR KWA UMOJA WETU,TUMPE MAELEKEZO YA KUPATA VIBALI MAANA HUYU MUME WA ESTER ASIJEWALETEA SHIDA.INABID WAANZIE SERIKALI YA MTAA HADI POLIS IKIWEZEKAN A WAPATE NA MGAMBO WA HUKO ILI MAMBO YAENDE SAWA.ILA DAMU YA MTU NI KITU CHA AJABU SANA.

  • @swaumujuma6333
    @swaumujuma6333 3 года назад +5

    Ongeleni sana nimependa kwakweli mungu atawasaidia mpaka nimesisimka mwili mungu ni muweza wayote🤲🤲🙏🙏

  • @catherinekatuu423
    @catherinekatuu423 3 года назад +12

    Hawa wanapendana hadi mwisho, Mungu awabariki🌞🙏.

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 3 года назад +55

    Usicheze na roho ya mapenzi, leo Esther kajimwaga kwelikweli kwa furaha kubwa, mapenzi yanakaa moyoni kwa mtu nimeamini, hawa wapendanao watarudiana tu

    • @rosecruiz4348
      @rosecruiz4348 3 года назад +1

      🤣🤣🤣🤣Ni cheke mie

    • @sweetylove9918
      @sweetylove9918 3 года назад +3

      Hahahaaaaaa mbavuzangu mieeeee Zahir umenichekesha

    • @mariamgodfrey53
      @mariamgodfrey53 3 года назад +4

      Mmmmh hata mm sielewi 😂😂

    • @lovvy854
      @lovvy854 3 года назад +4

      Kunauwezekano🤣

    • @julietmlaki2816
      @julietmlaki2816 3 года назад +5

      EWE M.MUNGU TUSAIDIE WOOTE PAMAOJA NA TIMU YA KAKA ZAHIRI.HAKIKA NINAVYOMSIKILIZA MAMA WITI NAUMIA NAONA KAMA ANATAMAN KURUDIANA NA BWANA SULE,ETI UNAPOSEMA KUOA TU HIVYO,NIKIJA KWENYE NDOA SI NITALAZWA MUHIMBILI.HAHAHAAAA IMENIGUSA KHAA.MAPENZI ACJEN TU.

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 3 года назад +44

    Mie hapa sina mbavu kwa ajili ya Baba angu dhahir ananichekesha kweli.

    • @munamuna7488
      @munamuna7488 3 года назад +2

      Sikio linafanya kazi

    • @zennahmtoto1867
      @zennahmtoto1867 3 года назад +3

      Hata mm 🤣🤣🤣🤣

    • @africandarling6925
      @africandarling6925 3 года назад +3

      Yani Zahr leo kamua kutuvunja mbavu doo AISSEH

    • @ashakufakunoga4904
      @ashakufakunoga4904 3 года назад +2

      Zahri mpeku peku 🤣🤣🤣

    • @rukiamussa8403
      @rukiamussa8403 3 года назад +5

      😄😄uwiii mama witi et we ulishaona mtu na mzazi mwenzie wanaachana, shikamoo mapenzii😂

  • @lissapoul5227
    @lissapoul5227 3 года назад +7

    Kweli mapenzi ya kweli hayafi..Nimefurah sana leo..mmenipa furaha moyon..hawa wanadalili ya kurudiana

  • @happykimaro2025
    @happykimaro2025 3 года назад +4

    Nimewapenda kiukweliii history inasikitisha na inafurahishaaa....yaan natoa machoz ya furaha...mungu awatie nguvuuu

  • @zenaibrahim2373
    @zenaibrahim2373 3 года назад +12

    Huyo mama asipo muota sele leo kwa sauti sijui wallah naiyona ndoa imekuwa na doa mwanamke kasema aliolewa kwa ajili ya kulea mtoto siunajua tena zahiri kuwa makini

  • @rachelwilly863
    @rachelwilly863 3 года назад +31

    Hao wanapendana jamani

  • @rachelmgoo3946
    @rachelmgoo3946 3 года назад +22

    Zahir kwenye kunong'oneza tu😂😂😂😂💃 💃 💃💃💃💃💃

  • @baharainbh5468
    @baharainbh5468 3 года назад +13

    Zahir this conversation may result to something bad, i feel this lady is still in love with this man but mumewe anaweza leta tatizo

    • @eshialabonita7736
      @eshialabonita7736 3 года назад +1

      True

    • @jeannemwanza1329
      @jeannemwanza1329 3 года назад +1

      True

    • @Amidangirente
      @Amidangirente 3 года назад

      Umesema ukweli kabisaaa

    • @oqmoqmn5492
      @oqmoqmn5492 3 года назад +1

      Hiii video italeta utata kwa mume wa mama wit haya mazungumzo yamevuka mipaka mama anasema mzazi na mzazi mwenzie hua hawaachani hapana kwa kweli

    • @philbertcelestin2702
      @philbertcelestin2702 3 года назад +1

      Halafu mwanamke hakujua kama iko hewani.nami naona shaka!

  • @leylahbillah4876
    @leylahbillah4876 3 года назад +11

    Daah hatar jmn hadi raha yaan baada ya dhiki Faraja Alhamdulillah 😊🤲

  • @ellenmbota1241
    @ellenmbota1241 3 года назад +4

    Hongera sana kaka zahili kwa kazi hiyo ya kumusaidia huyo baba

  • @sophiekindem9071
    @sophiekindem9071 3 года назад +19

    Zahir🧐😂😂😂😍😍 Love in the air❤️💯

  • @mikemunishi1364
    @mikemunishi1364 3 года назад +18

    Ha ha ha.... Ogopa San'a... Mapenzi...
    Usijethubutu hata siku moja kupora mtu Mke /Mume....
    Watarudiana tu.... 👌
    Hogera San'a Sele kwa ukomavu wa Kuwa na Roho ya Kusamehe """

    • @lightnessmuro7579
      @lightnessmuro7579 3 года назад

      Huyu mama wit anavunja nd a yake labda mme awe mpol

  • @halimamimarich3799
    @halimamimarich3799 3 года назад +20

    plz kaka zahair ukienda uko plz plz nendii na police....juu amuez juaa....plz chukuenii police bro....

  • @hadijaharerimana1687
    @hadijaharerimana1687 3 года назад +4

    Huyo kaka mstaarab sana god bless him jamani i wish him the best in life

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 3 года назад +17

    Dhahir unayaweza

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 3 года назад +10

    Jamani alie sikia vya kupyatila angonge like za kutosha nimecheka sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👏👏👏

    • @zohoraramadan4540
      @zohoraramadan4540 3 года назад

      Mbavu zangu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆

    • @mariamadam7697
      @mariamadam7697 3 года назад

      Ngoni moja iyo

  • @asdasd9253
    @asdasd9253 3 года назад +14

    Hahahaa jamani watuwazima tumeona bado mnapendana bwana

  • @lebaokinda6009
    @lebaokinda6009 3 года назад +21

    Interview ya leo iko 🔥🔥🇰🇪

    • @mohammedsaid2746
      @mohammedsaid2746 3 года назад +1

      Mungu akuongoze brother kwamagumu uliopitia

    • @gracekamenwa6014
      @gracekamenwa6014 3 года назад

      👍🔥🔥

    • @gracekamenwa6014
      @gracekamenwa6014 3 года назад

      Makubwa🙈😂😂nimewapenda zaidi,naomba warudiane,wewe Zahir hill skip 👂utaliuma jamani😂

  • @Mazoea
    @Mazoea 3 года назад +8

    Nimejifunza kitu kwa uyu kaka ni kusamehe na kusahau ...daah uyu kaka ana moyo

  • @safiyasafiya5014
    @safiyasafiya5014 3 года назад +17

    Mungu wangu kesi mtampigisha buree😃😃labda muifute ili bwana yake asiskie mengine ila wanapendana bado

  • @JehadAlzadjali
    @JehadAlzadjali 3 года назад +24

    Nauliza anaemiliki xwangu nani😂😂 yaan leo strees zimeondoka kwa mda nimefurahi sana Leo khaaa😅😅

    • @lovvy854
      @lovvy854 3 года назад +2

      Achahiileo sasa kwenye utamuzaidi ni pale watakapo kutanishwa wote watatu mama na Baba Witney na mwanao🤣

    • @balqisabdullah6200
      @balqisabdullah6200 3 года назад

      😀😀😀😀😀

    • @oqmoqmn5492
      @oqmoqmn5492 3 года назад

      Jamani nimecheka cna hivi huyu mume wa mama witines akisikia haya maneno ndoa hakuna balafu za mia sambusa

    • @lovvy854
      @lovvy854 3 года назад

      @@oqmoqmn5492 Ukweli kwabahati mbaya or mzuri akiiona hii vedio duhhh ataudhika Sana tena kama mumewake mama witnes

    • @umakramzahor4836
      @umakramzahor4836 3 года назад

      @@lovvy854 akizingua narudi kwa suleman hhhhh

  • @veronicapilot9702
    @veronicapilot9702 3 года назад +12

    Hongera kaka una moyo wa upendo

  • @amockkalinga1520
    @amockkalinga1520 3 года назад +4

    Live long brother zahir,and GOD bless you so much!

  • @marryjackson6080
    @marryjackson6080 3 года назад +4

    Ety uko fresh😂😂😂aiii love is beautiful 🤩
    I swear❤️

  • @mwajumakabesha5662
    @mwajumakabesha5662 3 года назад +6

    Nimecheka interview ya leo nzur 🤣🤣🤣 kweli Mungu Awazidishie watu wa Maximum TV.

  • @rukiaamadadi3582
    @rukiaamadadi3582 3 года назад +12

    Nimewahi wa 14 Leo kazi njema my brother

  • @fatemaligalawa1918
    @fatemaligalawa1918 3 года назад +11

    Namwona mama witness amekolea kuishu na baba mtoto wake

  • @najma3268
    @najma3268 3 года назад +4

    Mashaallah , nimefurahi sana wallah, mungu awabariki sana mummlee
    Mtt wenu

  • @jomaliagro8837
    @jomaliagro8837 3 года назад +4

    Wow praise the Lord god blessed your family brod🙏🙏

  • @chainbre275
    @chainbre275 3 года назад +5

    True love never dies Hawa Bado wanapendana snaaaaa

  • @hanifamasudi9732
    @hanifamasudi9732 3 года назад +11

    Mulicho kifanya sio vizuri haya mameno sio vizuri kumuweka live wakati anamume please usirudi tena

    • @material_liv4674
      @material_liv4674 3 года назад

      Kweli ni hatari kama simu tu alikata je akisikia haya itakuaje?
      Yaani nna wasiwasi na huyo jamaa

    • @saidhamad533
      @saidhamad533 3 года назад

      Ata mimi sijapenda zahiri hi mmekosea sana yani hi akitazam mume wa huyo dada atajisikiaje yani huyu kaka asipoangalia atajiingiza katika tatizo jingine

    • @ummsalyass1096
      @ummsalyass1096 3 года назад

      Ni kweli kabisa hii interview haina usalama kabisa naskia kutetemek sana😢

    • @ummiissaabdulissaabdul8117
      @ummiissaabdulissaabdul8117 3 года назад

      @@material_liv4674 zahir apa akufanya vizur kabisa yuajitafutia shida sasa mwanaume yoyote awezi kusikiza hii na akavumilia

    • @mimahmimah1595
      @mimahmimah1595 3 года назад

      Mi naogopa asije kurudi jela jamani mana asije kuitwa kama alivyoitiwa mimba kumbe ndio kesi anarudishwa jela jamani hii ni hatari zahir kuwa makini usije muingiza kwenye matatizo mana huyu ni mke wa mtu sai

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 3 года назад +7

    Huyu kaka namkubali na ni husband material 😍

  • @happyfihavango4151
    @happyfihavango4151 3 года назад +9

    Hawa wanarudiana kabisaaaaaa tutaona yajayo yanafurahisha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😘😘😘😘😘😘

  • @emmaonalloh5515
    @emmaonalloh5515 3 года назад +20

    Zahir please shugulikeni na mtoto wachaneni na mama mtamwaribia ndoa yake

  • @mangisenya4012
    @mangisenya4012 3 года назад +4

    Hapo mtangazaji unaanza kuharibu ndoa ya watu,huko sio kujenga bali nikubomoa.lengo lilikuwa kumwona mtoto sasa hayo mengine yametoka wapi??

  • @sallahsultan2404
    @sallahsultan2404 3 года назад +1

    Alogundua mahawara hawaachani gonga like... kwa mbaaaaaali penz linarudi

  • @mamakeaisha4926
    @mamakeaisha4926 3 года назад +2

    Zahir jaman una bidiii kaka si haba mungu akusimamie kwa kila hatua unayopiga inshaallah

  • @sophiankwera9020
    @sophiankwera9020 3 года назад +13

    Asante tunashukuru kwa kutuheshim kwetu nyumbi bombi😁

  • @fatemaligalawa1918
    @fatemaligalawa1918 3 года назад +21

    Zahir wewe 🤣🤣🤣mbavuzangu hapo ushavunja Ndoa 🙆🙆

  • @fariarizaq7528
    @fariarizaq7528 3 года назад +2

    Mashaallah huyu baba ana roho safi sana wallah mungu akubariki sana na kaka zahir Allah akubariki pia sana wallah huyu mama bado anampenda suiman sana oh

  • @felistersmejumaa5188
    @felistersmejumaa5188 3 года назад +2

    Yaani mama witi mashallah amekubali baba etu kwa moyo mmoja alhamdulillah 🤣🤣🤣 Zahir wewe barikiwa mkubwa wngu naona baba mdogo akiachwa hapa mbona raha jamani 🤣🤣🤣👌👌👌❤️❤️❤️

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 3 года назад +21

    Watu wazima mmeelewaaa lkn?????🤣🤣🤣

  • @rachelmgoo3946
    @rachelmgoo3946 3 года назад +11

    Mungu ampe haja ya moyo wke

  • @queenlynne4157
    @queenlynne4157 3 года назад +2

    Hongera Sana maximum TV ..yaani napenda kazi yenu..natamani kuishi tz Sana 😚😚

  • @sidratybinkhamis2837
    @sidratybinkhamis2837 3 года назад +2

    Warudiane jamani mapenzi ni kumpendana jamani na moyo ukimpenda mtu hatakam yuko wapi miaka mingapi lkn akirudi we hatari usikie tuuu. 😢😢😍😍😍

  • @judithmelvinealuchio8968
    @judithmelvinealuchio8968 3 года назад +7

    ningumu roho kutoka kwa paka so sijawai juwa maanake much love to my brother Zahir Fabi na kirikuu mujasiri ila I hope this guy asiwe anataka kulipisha kisasi my beloved brother Zahir be careful nakuombea sana huyo mama asiwe na ukaribu na huku kaka yetu kipenzi maombi mbele 🇰🇪🙏

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 3 года назад +25

    Wambea tucheke jamani 😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ila muna hekima sana .nawapenda 2.

  • @AbdulAbdul-pr9qe
    @AbdulAbdul-pr9qe 3 года назад +15

    Zahir bana, naona unamng'ata sikio jamaa😂😂😂unatia udambwidambwi kidogo 😂😂😂inapendeza sana, LIKE kwake Zahir na timu nzima ya Maximum T.v.

  • @janesemngindo4878
    @janesemngindo4878 3 года назад +1

    Selemani amejawa na hekima sana siku moja awe anawashauri maximum tv team yote Kama part timer au volunteer....ana kichwa kizuri Sana huyu mtoto. Kuwa nae karibu zaidi Zahir hatujui Mungu amewakutanisheni kwa Nini maana njia za Mungu hazichunguziki kibinadamu

  • @rukiaamadadi3582
    @rukiaamadadi3582 3 года назад +16

    😂😂😂😂😂😂😂bado ana mpenda jamani upendo auzeeeki

  • @agathathobias8690
    @agathathobias8690 3 года назад +6

    Leo ni🔥🔥🔥🔥🔥

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 3 года назад +11

    Jina sio shida anauweza badilisha nimefurahi kuona mumeongea kwaamani zahir unanongoneza 🤣🤣🤣🤣🤣nini Kwa msisitozo 🤣🤣🤣🤣 mama mwenye hekma

  • @khadijaabdullah6328
    @khadijaabdullah6328 3 года назад +10

    😂😂😂😂😂😂😂mama wit mcharuko balaa jmn heee sasa mumewe akisikia haya itakuaje uuuwiiiiiii🙆‍♀️

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si 3 года назад +7

    Zahir ni moto Allah akubariki sana

  • @evegebo
    @evegebo 3 года назад +9

    Huyu dada bado anampenda mchumba wake wazamani

  • @nowelaniyonkuru7166
    @nowelaniyonkuru7166 3 года назад +8

    Kasema kabeba miba akiwa na umli wa myaka 15 mtoto wake wakwanza Ano 19 Mama kwasasa ni 36

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 3 года назад +7

    Msimutafutie mke huyu mjamaa anarudiana na mpenzi wake, tena bado ana uzazi watazaa mtoto hawa, sasa alifungwa kwa kumpa mimba ya utoto atafungwa tena kwa kuharibu ndoa Songea

    • @moanamohammed1406
      @moanamohammed1406 3 года назад

      🤣🤣🤣

    • @mrsliverpool4235
      @mrsliverpool4235 3 года назад +2

      natamani warudi ane hadI naskia wivu wllahi

    • @hajeralqaidi2115
      @hajeralqaidi2115 3 года назад

      Na mumewe je

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 3 года назад +2

      @@mrsliverpool4235 kwa kweli wanapendana hawa..na huyo dada km ana mume nakwambia jamaa lazima aone wivu hehehe

    • @fatmaally7252
      @fatmaally7252 3 года назад +1

      🤣🤣🤣🤣 yaaaani kwa sasa atafungwa kwa kosa la kuharibu ndoa

  • @pillyraphael3943
    @pillyraphael3943 3 года назад +12

    Zahir ww mungu anakuona.

  • @tatumluv6054
    @tatumluv6054 3 года назад +15

    Yaan leo zahri ww 😂😂😂😂😂

  • @edinahmaganga2722
    @edinahmaganga2722 3 года назад +2

    Huyu kaka mpole mzuri sana anajieleza vizuri nimempenda sana

  • @narlt229
    @narlt229 3 года назад +1

    Very touching story kama movie vile. Zahir unajua kupangilia kipindi na kurejesha furaha za watu. Suleiman kachangamka sana leo hata mama Witty pia

  • @mamanbinwashadrack2257
    @mamanbinwashadrack2257 3 года назад +7

    😂😂😂 Zahir umenichekesha kwa kweli, yaani sio kwa kunong’oneza huko 🤣🤣🤣

    • @tausir.mgeleka1433
      @tausir.mgeleka1433 3 года назад

      Hahahaha hahahaha 😂😂😂 jamani mimi mbavu zangu

    • @azizahassan6803
      @azizahassan6803 3 года назад

      Hahaaaaaa uwiiii walahi wapenzi hawaachan jaman uwiii

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 года назад +11

    Irudiwe irudiwe kipindi walichokuwa wapenz mie sikuwepo in witness voice 🤣🤣🤣🤣

  • @user-nr1bf7iu8z
    @user-nr1bf7iu8z 3 года назад +2

    MashaAllah MashaAllah MashaAllah. kwakweli nifuraha mungu zaidi kifungua njia inshaAllah

  • @zeddydaqueensy4612
    @zeddydaqueensy4612 3 года назад +12

    Suleiman yuwajipenda xana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @abdulazizalqamshoaui8421
    @abdulazizalqamshoaui8421 3 года назад +31

    nyie mtanvunja ndoa ya watu

    • @mrsliverpool4235
      @mrsliverpool4235 3 года назад +1

      inaregarega kwanza😃😂😁😁

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 3 года назад +2

      Si umemsikia kuwa sio ajabu kwani unajua ninavyoishi?

    • @sweetylove9918
      @sweetylove9918 3 года назад +1

      @@hadijamandanje6189 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @lovvy854
      @lovvy854 3 года назад +3

      Yaani hapa ikitokea Yule Baba afanye kosa kiasi Tu anaeza akamkosa mkewake ndo ikawa kama sababu warudiane na Suleiman

    • @azizahamisi7349
      @azizahamisi7349 3 года назад +2

      Siamesema anaishi maisha magumu

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 3 года назад +13

    NASIKIA RAHA KWELI DAH ZAHRI BE BLESSED

  • @makorimarion1131
    @makorimarion1131 3 года назад +6

    Yaaani hawa watu wanapendana 💖💖

  • @sarahsuddy7870
    @sarahsuddy7870 3 года назад +2

    jaman jaman mpen huyu baba mwanae amuone mama wit baba kamtumikia mwanae miaka 20 alafu mnapangia mashart zahir nakupenda sana kakang kwa kusaidia watu

  • @fauziaomary8903
    @fauziaomary8903 3 года назад +6

    Wallah leo nimecheka sana, nimefurahi mama ameanza kurudisha moyo kwa selemani

  • @mzeeniwewe136
    @mzeeniwewe136 3 года назад +25

    Hii ya Leo imenifanya nimecheka kama mjinga😂😂😂

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 3 года назад +1

      Kwa kweli nimecheka sana

    • @lovvy854
      @lovvy854 3 года назад +1

      Inafurahisha sana

    • @user-xg9cs9xc3o
      @user-xg9cs9xc3o 3 года назад +3

      Kweli alaf ajuw kama yupo Online itakua je akiiona mumewe hii

    • @azizahassan6803
      @azizahassan6803 3 года назад

      Yaani hawa jaman watajiwaooo

    • @allamki2661
      @allamki2661 3 года назад

      Maongezi..yao ..yamenifurahisha...ni mejeka saaana

  • @marrymenas
    @marrymenas 2 года назад

    Asante Mngoni nimekusikia. Ubarikiwe

  • @happynessswai3922
    @happynessswai3922 3 года назад +3

    😆😆😜😜🤣🤣jamna mnamchoresha huyo mama hajui,akickiliza hii clip ataficha sura kama jogoo🙉

  • @mrsliverpool4235
    @mrsliverpool4235 3 года назад +8

    zahir wewe mnafiki sana 😃😂😁😀nimecheka sana unavyomng'ong'oneza

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si 3 года назад +12

    Walidhulumiwa masikini mapenzi yao

  • @frolawihenge2078
    @frolawihenge2078 3 года назад +1

    Mungu akubariki anko Selemani kwa kusamehe yote ulopitia na wote walokutenda ubaya Mungu anawaona.

  • @SamiraSamira-oe4xk
    @SamiraSamira-oe4xk 3 года назад +9

    This man is very good person Allah will help u and give u good life 🙏

  • @faridamkesso97
    @faridamkesso97 3 года назад +12

    Wallahi nimecheka sana Mngoni mwenzangu umenifurahisha sana, karibu sana shemeji yetu Seleman, Zahir Mwenyezi Mungu akujaze kheri na baraka tele maana kuunganisha damu za watu ni baraka kubwa sana

    • @robertmalima3111
      @robertmalima3111 3 года назад +3

      Wangoni oyeee tunaweza kulea jamaani

    • @faridamkesso97
      @faridamkesso97 3 года назад +2

      @@robertmalima3111 kabisa kwa kweli nimeona raha sana itabidi nimtafute mama witness nimpe hongera yake

    • @teddyndungurusabnu4792
      @teddyndungurusabnu4792 3 года назад

      Hahaha zahir umbea huoooo😅😅😜

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 2 года назад

      @@robertmalima3111 hallooo wangoni oyeee wakunyumbaaa

  • @munirahiddy963
    @munirahiddy963 3 года назад +9

    Zaheer anacheka jmn

  • @hamizaramadhan1275
    @hamizaramadhan1275 3 года назад +2

    Nimecheka sanaaa haki ya mungu😂😂😂😂Duuuh yaaan Kaka Zahir kibongo yaan unamfundisha

  • @mariamm2724
    @mariamm2724 3 года назад +1

    Zahir umejuwa kunifurahisha na umbea wako kwenye sikio la baba withines ,na nilikuwa na stress zimeisha wallah hawa watu tambueni kbs hawakugombna kwa iyo love lazima iwepo ya kutosha hasa mama withi