Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

SELE MFUNGWA MIAKA 30 |SITAKI KUOLEWA |WANAWAKE 40 WANANITAKA |MAJIMAMA |MAMA WITI MZURI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 авг 2021
  • SAD MOMENTS Ni Kipindi Kilichoandaliwa Maalumu na MAXIMUM TV Kwaajili Ya kugusa maisha ya watu wenye mazingira Magumu Ndani ya Tanzania
    kwa Mfano
    1 - WENYE MARADHI
    2 = WALIOTELEKEZWA NA WATOTO
    3 - UNYANYAPAAJI WA KIJINSIA
    4 - UBAKAJI
    5 - MATUKIO YA KIKATILI
    6 - AJALI
    7 - KUISHI MAZINGIRA MAGUMU
    8 - WAZEE NA WATOTO
    ___________________________________________________________________________________
    KWA HABARI ZA MATUKIO TUPIGIE
    Mawasiliano : +255 6254 66848 ( Pia inapatikana na Whatsapp )
    Pia Unawezaa kututembelea kwenye kurasa zetu za instagram , Facebook , Telegram
    Usisahau Ku-SUBSCRIBE Channel yetu ya MAXIMUM TV Ili Kuwa wakwanza kutazama Matukio Mbali Mbali na Kwa ubora zaidi.

Комментарии • 680

  • @munirachangawa2928
    @munirachangawa2928 3 года назад +6

    Uncle sule weweeeee umenifurahisha.eti mi nataka kuowa sitaki kuolewa.wapi likes za sulee...

  • @shakila3982
    @shakila3982 3 года назад +12

    Ingawa amefungwa 20 year, ametoka kama knowledge ni zengine, lakini huyu mtu ana akili sana, anajibu vizuri sana, ako vizuri sana kuongea, haropokwi, ako vizuri sana kuongea, Mwenyezi Mungu ambariki sana, na amuongoze katika njia ilionyooka, i really love his talk, may God bless 🙌maximum TV.

  • @vero57
    @vero57 3 года назад +22

    Umependeza sana kaka sele,kazi nzuri kaka zahir, mungu ni mwema sana

    • @HappynessJose
      @HappynessJose 3 года назад +2

      Zahir vp Edina wetu tunaomba habar sasa

  • @qwqw1665
    @qwqw1665 3 года назад +19

    Tulikua tunamani kumuona jamani zahiri twakuaminia natwkupenda 🙏🙏🙏🙏🙏🙏👍👍👍👍👍👍

  • @janemusumba820
    @janemusumba820 3 года назад +27

    Huyu ndugu yetu ni MWAMINIFU sana

  • @hafsaaali6518
    @hafsaaali6518 3 года назад +3

    Kwani wanawake tunafeli wapi yani mtu timchangiye sisi halafu atufanyiye mchujo kweli hapana hebu tutafuta pesa tuache kujifedhehesha hapa kwenye mchujo sijapapenda kweli wadada tufanye kazi wanaume wapo tu wazuri sana ukiwa na maisha yako uko vizuri utapata maanaume mzuri kabisa

  • @emilykadogo8931
    @emilykadogo8931 3 года назад +13

    Very good bro mwenyewezi mungu akupe umri

  • @mdzainb3722
    @mdzainb3722 3 года назад +8

    Hongereni sana mlisababisha kumfikisha hapo alipo😘😘😘

  • @rukiakhamsin9220
    @rukiakhamsin9220 3 года назад +5

    Msanii wa kaka zahir fireee twampenda sana kaka selemani,na nawaombeya sana mungu awabariki team maximum yote🥰❤❤❤❤

  • @rogathekileo6946
    @rogathekileo6946 3 года назад +7

    Asee kaka unajuwa kohojii ila sulemn anaonekana ayuko wazii sana ajitahidi afanye biashara ela inaisha inatakiwa iingie siyo kutoka

  • @qwqw1665
    @qwqw1665 3 года назад +12

    Waooo twakupenda sule ukomakin sana

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 3 года назад +5

    Amina kaka yangu Mungu awabariki pamoja na kaka Zahir🙏🏼🙏🏼

  • @rukiakhamsin9220
    @rukiakhamsin9220 3 года назад +6

    Masha Allah,seleman umenawiri lakini chunga hicho kitambi kitaharibu mambo

  • @husnashaibu6312
    @husnashaibu6312 3 года назад +5

    Mashaallah mashaallah kazi nzur sana @ Maximum TV.

  • @wamugimohammed3848
    @wamugimohammed3848 3 года назад +1

    Asalam Alaykum! Masha Allah mtangazaji wetu Allah atakulipa kwa kazi nzuri unayofanyia umati Mohamad! Ila kakangu huyo Allah atamwogoza Amin! Tena kama ni utungaji wa mziki? Mm singependa kabisa kulingana na Mtihani aliyo pitia, Ajalibu sana kutowa ( NASHID) YY NI MUISILAM ASIKUFURU! DIYO NABII ISSA TWAMTABUA SANA , LAKINI ANAE TIBU NI ALLAH PEKE YAKE! ALLAH AMWONGOZI NA USHINDI ATAPATA AMIN AMIN

  • @thumnathumna5946
    @thumnathumna5946 3 года назад +11

    Kazi iendelee Mungu ailinde maxman tv na tim nzima.

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 3 года назад +4

    Huyu sele ana shukran na mtu anae ajielewa subhanallah hodari sana maskini lakini mwenyewe ana mshukuru allah

  • @fauziaabdullah3733
    @fauziaabdullah3733 3 года назад +6

    MashaAllah Allah barik zahir na team maximam hongereni

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 3 года назад +5

    Maashallah uyo mpambanaji mwenzetu vizuri Sana Allah a wafanyie wepesi mkutane mfunge ndoa lnshallah

  • @haulatysam4461
    @haulatysam4461 3 года назад +31

    Kiukwel maximum tv niyetu sote ndan ya dakika tisa viewers 153 mashaa Allah.

  • @ashakufakunoga4904
    @ashakufakunoga4904 3 года назад +12

    Ila huyu kaka anajielewa sana .. Allah aendelee kumfanyia wepesi

  • @tatumluv6054
    @tatumluv6054 3 года назад +10

    Mashallah sauti yako iko poa 👏👏😘

  • @kurwpaul1134
    @kurwpaul1134 3 года назад +5

    Nakupenda ndg yangu tumechagua Vyema kigoma Juu 🙏🙏🙏

  • @joslinchuwa1298
    @joslinchuwa1298 3 года назад +13

    Nimefurahi kumwona kaka tena,,

  • @safiyasafiya5014
    @safiyasafiya5014 3 года назад +2

    Miaka 19 mama witi mwanamke wa 3 mashallah ulikua si mchezo

  • @hanoonkarak3323
    @hanoonkarak3323 3 года назад +9

    Kaka zahir mwambie huyo atafute mwanamke asiye na kitu aanze nae maisha huyo asikurupuke

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 года назад +7

    Umependeza sana kaka angu

  • @mouwanahamisi8216
    @mouwanahamisi8216 3 года назад +2

    Nilimmic Masha Allah hongera Kwa maximum na wachangiaji kiujumla Kaz mmeifany mung atawalipa

  • @janemuthoni723
    @janemuthoni723 3 года назад +5

    Sasa yule shangazi mwenye alikufunga si ni aibu sana kwake sahiii juu dunia mzima imejua ukweli wake

  • @allyussene
    @allyussene 3 года назад +8

    Naomba like zenu

  • @aishadaba7045
    @aishadaba7045 3 года назад +4

    Masha Allah tabbaraq'Allah hongera yako bro..

  • @godelivamuswahili2988
    @godelivamuswahili2988 3 года назад +10

    Very good 👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍

  • @saudambinga3832
    @saudambinga3832 3 года назад +9

    Kikubwa anatakiwa apate kazi Ili ajisimamie kwa kweli

  • @fariarizaq7528
    @fariarizaq7528 3 года назад +6

    Mashaallah mashaallah Allah asidi kukubariki sana

  • @mamunote3507
    @mamunote3507 3 года назад +5

    Mashallah Mungu awabarikie sana ktk Familia wote

  • @monaidi1232
    @monaidi1232 3 года назад +6

    Masha Allah masha Allah

  • @mrsliverpool4235
    @mrsliverpool4235 3 года назад +5

    èhh selemani anajiona bonge moja la handsome😂😁😃😀😅😆
    na sisi tuna kipindi Chetu cha namtafuta mwenza😃😂😁

  • @aishahamid3544
    @aishahamid3544 3 года назад +1

    Saiv kawa smati hongeren maximum tv kwa juhud zene

  • @rostalameck6640
    @rostalameck6640 3 года назад +5

    Kazi nzur kak zahiri

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si 3 года назад +3

    Mungu akubariki mke mwema

  • @munirachangawa2928
    @munirachangawa2928 3 года назад

    Maximum TV hongereni.huwa nafrai nikiona mtu amekuja na shida na matatizo na akafanikiwa kupitia maximum.zahir big up bro.

  • @lailajeremia1259
    @lailajeremia1259 3 года назад +2

    Safi sana Mungu akawafanyie njia pasipo na njia.

  • @rukiakhamsin9220
    @rukiakhamsin9220 3 года назад +3

    Na sisi wanawake tuwe waelewa Huyu ni mmoja ,na ashaweka wazi kuwa amepata mtu,;mbona tuwe wabishi?hebu tuwaombee mema Kwenye safari ya ndoa yao,kuliko wanawake wengine kukaidi na kulazimisha kumtaka,na yeye ana mchumba ,inaweza ikaleta tafaruku plzz siyo kwa ubaya ,wale ambao bado wanamtaka selemani plz mucheni,na nyinyi mungu atawajaaliya mahusiano yenu /ndoa

  • @frank.medadi16frank68
    @frank.medadi16frank68 3 года назад +5

    Wakwanza kucomemt nawapenda saana

  • @rahmamungu2nusulunatamaaza404
    @rahmamungu2nusulunatamaaza404 3 года назад

    Kwakweli huyu kaka ni mzuri Mungu amjaaliye apate mke mwenye kujuwa Mungu
    Hongera sana kaka zahiri kwa kazi yako,

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 2 года назад

    zahir upo vizuri na kipindi chako hongera

  • @omarymsham2305
    @omarymsham2305 3 года назад +9

    Ni kweli hasitegee pesa ya mwanamke,majukum ya familia ni ya mume,akitolea macho pesa ya mke hapo ndoa haiwez kudumu wataishia njiani

    • @sadamrisho7719
      @sadamrisho7719 3 года назад +3

      Upo sahihi kaka uyu kaka ajielewi

    • @omarymsham2305
      @omarymsham2305 3 года назад +2

      @@sadamrisho7719 inabid ashauriwe vizur.huwez kuwa baba mwenye saut kwa kutolea macho pesa ya mke, mwanamke akichoka atamuona mbaya

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 3 года назад +4

      Angetafuta mke kwao kijijini, au atambulishwe na jamaa zake wanaojua wasichana, hawa wa mitandaoni siwaamini, tena wa Uarabuni ameshazaa na watoto inaonekana kabisa sio mwanamke wa kuachia mwanaume atumie pesa zake anazopigia deki kwa jasho kwa muarabu, Sele jihadhari sana

    • @mariamgodfrey53
      @mariamgodfrey53 3 года назад +2

      Hajielewi huyu

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 3 года назад +1

      @@darajalakidatukilomgi2362 hata hao wadada waliopo uarabun baadhi yao hawajielewi nn wamefata uarabun mm nipo uarabun sitaki shobo na mwanaume kuhusu pesa hapo kwa pesa mwanaume atanisameh ninachowashaur wadada waliopo uarabun waache kumshobokea mwanaume

  • @semenimohamed8156
    @semenimohamed8156 3 года назад +1

    Waooo tulimmis sana nikweli unakumbuka fadhila wengine hata shukran hawana

  • @mussasnally1726
    @mussasnally1726 3 года назад +4

    Mashallah big up brother

  • @robinakamwine8405
    @robinakamwine8405 3 года назад +7

    MashaAllaah

  • @sameerazanzibar3740
    @sameerazanzibar3740 3 года назад +2

    Zaheer mbav zang ety wewe nakupenda kwel kibabe.

  • @nooor1120
    @nooor1120 3 года назад +2

    Allah akusaidie tu ila tumuombee dua huyo shemegi awe mtu Mzuri asijekukugeuka mana sio hoja kuzungumza nae anaweza kujiact tu ila zidisha dua tu.

  • @didahnidhar8009
    @didahnidhar8009 3 года назад +4

    Kuwa makin na watu wengine wamama wengi wanataka kuua watt wawatu kwa maradhi Allah akuepushe mwaya

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 3 года назад +1

      umeonaee wee kma ulijua vile juzi tu kuna mkaka mdogo kaambukizwa baadae kabisa ndiooo mama kamwambia kuwa yy kaathirika kamdanganya kwa kutumia pesa

    • @didahnidhar8009
      @didahnidhar8009 3 года назад +1

      @@heyumi2340 umeona sasa apo kwasababu wamemuona ametoka jela wanajua atakua na mhemko na wanawake kwahiyo awe makin tu

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 3 года назад +1

      @@didahnidhar8009 pia yy mwenyewe anaoneka mpenda wanawake dar kuna kila aina ya wanawake na wengi wanakula dawa ni wako vizuri huwezi kumjua

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 3 года назад

    Kaka Zahir sagi sana allah azidi kukuongoza ktk maisha yako na kaka zahir fanya mpango wa sister Edina tujue mrejesho

  • @lucylucy3678
    @lucylucy3678 3 года назад +2

    Nilikuwa nasubiri kujua imekuaj asnte san kaka zahir mungu akutangulie jaman huyo seleman bado ajapata mwenza wake mimi nipo kulea mtoto 💜💜

  • @allyjumakukulo4972
    @allyjumakukulo4972 3 года назад +1

    Kiukweli bro zaihir Allah akuongozee unayoyafanya taraji malipo kwa allah!

  • @carenalphonce5013
    @carenalphonce5013 3 года назад +5

    Leo baba kadamsh kama anafanya kazi benk👌

  • @mumyally5901
    @mumyally5901 3 года назад +7

    sasa seleman, je ukioa utakua wampigia sim mama witiny kama unavyo mpigiaga sim kila siku, utaleta ugomvi ujue badilika sasa

  • @jenipherkavusha1661
    @jenipherkavusha1661 3 года назад +1

    Hongera sana kaka Zahir kwa kazi nzuri

  • @daishajumanne5990
    @daishajumanne5990 3 года назад

    Mmh huyu dada alio mkubali huyu kaka anamoyo sana anataka ku share biashara pamoja bila kijali wanaume wanatabia ya kubadilika musitazame uzuri kwa haraka mzuri ila huyu mwanzo alisema anamtaka yoyote wafanye maisha mala kabadilika haya tunangoja mlejesho musije kulia tu na pesa zenu za timu hamamu pesa rial zinauma mno

  • @zabiyafahmikhamis4873
    @zabiyafahmikhamis4873 3 года назад +5

    Daaah masikin huyu kaka mzuri masha Allah 😢😢😢

    • @irenewile
      @irenewile 3 года назад

      Yaani anavutia balaa,alafu anabahati,na kitambi juu

  • @joycekatangwa8263
    @joycekatangwa8263 3 года назад +2

    Una vipaji vingi mdogo wangu, Mungu azidi kukuinua

  • @mariamissa4029
    @mariamissa4029 3 года назад +2

    Naam umeongea pointy sana kaka zahir mwamme ni wajibu wake kumtunza mwanamke

  • @guenterernst5481
    @guenterernst5481 3 года назад +7

    Naomba kama ataweza amsilimishe mwanae na x wake inshaallah

  • @qwqw1665
    @qwqw1665 3 года назад +3

    Hongera sana jaman utatoboa tuu bora naww ujiongeze kwautafutaji amin tuu kwamungu🙏🙏🙏🙏🙏

  • @abigaelmabuga1315
    @abigaelmabuga1315 3 года назад +5

    Nilimiss kumuona tena huyu kaka,hivyo nimefurahi

  • @fatumamohamedy4725
    @fatumamohamedy4725 3 года назад +2

    Jamani Kaka zahir et nakupenda sanaaa

  • @zettyhassani2244
    @zettyhassani2244 3 года назад +2

    Hakika mungu nimwema Kila kitu kitakaa sawa inshallah

  • @golder3410
    @golder3410 3 года назад +2

    Unasema hukuwajibu vibaya Ila uliwajibu vibaya naona unasahau ulikotoka,Sasa nakwambia ukweli mm Sisi team fulusi hatuaminiki

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 3 года назад

      tuliopo uarabun tuache shobo kumshobokea mwanaume au wanaume wa kwenu mtandao

  • @ukhtyrayyan7884
    @ukhtyrayyan7884 3 года назад +4

    Mtoto ulokia mamaake hujamuowa simwanao sele hasa weee ukikita nimuislam

  • @bimgenabdulrasool5987
    @bimgenabdulrasool5987 3 года назад +5

    Aslm alkm zahir tumewamiss bibi na babu

  • @sharinv8864
    @sharinv8864 3 года назад +4

    Sule amekuwa mzuri jamani kaka zahir mchukuwe msaidiane nae kazi jamani anajuwa kuongea then kwa kila jambo anaweka mungu mbele , mimi naona wangechukuwana na edna 😄😄😄

  • @hadijaharerimana1687
    @hadijaharerimana1687 3 года назад +2

    Alafu nilichogundua seleman ana bahati sele kama unasoma hiz comment nakutakia maisha mazur

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 3 года назад

      Kweli ana bahati ya asili watu wa namna hii ufanikiwa katika jinsi ya kushangaza sana mpaka na watu wakabaki midomo wazi

    • @hadijaharerimana1687
      @hadijaharerimana1687 3 года назад

      @@Mpakauseme haswa da mi namuombea kila la Kher

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 3 года назад +1

    Mashallah sele mungu azidi kumfanyia wepesi ameen

  • @waleedalrashdi6416
    @waleedalrashdi6416 3 года назад +1

    Jamani peesa siyo kitu Sisi tuko omani tunaogopo waniumu watazani wanapenda pesa Sana 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲

  • @mwanajinacayemite2336
    @mwanajinacayemite2336 3 года назад +1

    Angalia sana wanawake usio wajua wasije wakakutoa kafara kwa utajiri wao. Mjue kwanza ujue anafanya nini walau ujue wanaomzunguka kidogo. Usije ukavutika kwa sababu yupo nje ya Tanzania.

  • @qwqw1665
    @qwqw1665 3 года назад +4

    Nakweli huku oman tunapambana sana nakilamtu anabangaloo lanyumba asiejenga nimmoja kawahio tunashukuru sana piawaambie wajitangaze nao watapata wanaume wengine wanataka kuolewa jamani

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 3 года назад +2

      Hongera kwa kujenga majumba, inaonyesha mmetimiza yale yaliyowapeleka, lakini majumba yenu nayo yana masimango kwa mwanaume kuja kuishi, akipigiza mlango ataambiwa usinivunjie mlango hujui hata bei yake, bado ndugu nao watasimanga umeoa hujaleta chochote vyote vya mwanamke, mhhh masimango, mwanamke hata akinunua kitanda ndani ya nyumba mji mzima utajua mwanaume analalia kitanda cha mwanamke, majumba yenu mazuri lakini tunaogopa masimango

    • @daishajumanne5990
      @daishajumanne5990 3 года назад

      @@darajalakidatukilomgi2362 heeeh ndio mulivyo nyie wanaume muna masimango ndio nasie tume teseka na warabu tume jenga lazima mwanaume akae na kutulia akifanya mchezo atatolewa begi nje kweupe huku uwarabuni ni mateso tosha na tuna jifunza mengi sasa wanaume hawanaga shukrani pia

  • @sophiasanga5218
    @sophiasanga5218 3 года назад +7

    Mashaallah

  • @user-to1xr1uq4j
    @user-to1xr1uq4j 3 года назад +1

    Hapo umesema kaka zahiri good

  • @marianamontoedi2333
    @marianamontoedi2333 3 года назад +3

    Baba Witi kitambi hichooo

  • @hadijaharerimana1687
    @hadijaharerimana1687 3 года назад +3

    Kiuhalisia seleman anajipenda

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 3 года назад +3

    Masha Allah

  • @mariamufungo9619
    @mariamufungo9619 3 года назад

    Hongera sana kaka zahir kwa huruma yako,mungu akuzidishie ulipopungukiwa.

  • @salamanauthartanzania6301
    @salamanauthartanzania6301 3 года назад +1

    Mashaallah pongezi nyingi kwako Zahir

  • @asiyaamoury8556
    @asiyaamoury8556 3 года назад +3

    Zahir mungu atakulipa

  • @liliankemuma9475
    @liliankemuma9475 3 года назад

    Wa kumuo Sele ni mkristu au mwislamu

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 3 года назад

    Mashallah umependeza Baba angu Allah akuongezee riziki yenye khery na ww.

  • @trishaali2742
    @trishaali2742 3 года назад +3

    Jamani zahir Allah akueke

  • @kadigatanzaniya4792
    @kadigatanzaniya4792 3 года назад +3

    Mashallah umenenepa kweli

  • @agnithabetram9783
    @agnithabetram9783 3 года назад +4

    Waooo seleman wetu

  • @aishajeanine3552
    @aishajeanine3552 3 года назад +2

    Masha'Allah jmn kaka selemani ni mchangamushi

  • @kabintmpase1544
    @kabintmpase1544 3 года назад +1

    Weeee kina sisi ao ngoja na mm nianze kutafuta wang💃💃

  • @gaudensiayustini8669
    @gaudensiayustini8669 3 года назад +4

    Uyu ili takiwa akae na Edina😜😜😜😜😜😜wangekuwa ngoma droo

    • @ednambata9503
      @ednambata9503 3 года назад

      Jaman huyu mm simuwezi.kabisaaa hata kwa bure.yeye ndo anakua

    • @gaudensiayustini8669
      @gaudensiayustini8669 3 года назад

      @@ednambata9503 😂😂😂😂😂😂

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 3 года назад +4

    Manshallah tabarakallah 🥰🥰🥰🥰🥰

  • @fsaad5116
    @fsaad5116 3 года назад +3

    Hiyo hela ndio uizalishe kaka bahati haiji mara zote. Make use of it

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 3 года назад

    Haaaaaa ka zahiri leyo kiboko salamu kwa shairi hongera kaka sele wetu mungu azidi kukusimamiya

  • @tamaraseff.9707
    @tamaraseff.9707 3 года назад +5

    Mijimama mama eti.😃😃😃😃

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 3 года назад +3

    Zahir ungefungua kipengele cha kuhoji wafungwa na umuweke Sele atangaze, anayo sauti ya kuhoji, anajua kupozi sauti, ana busara ya kujibu maswali na anajua kusoma nyakati, Zahir lifanyie kazi

  • @hawaabdallah4782
    @hawaabdallah4782 3 года назад +3

    Masha allah

  • @naidasuleyman6005
    @naidasuleyman6005 3 года назад +1

    Maa Shaa Allah baba yuko very smart