Kusajili crabu nyingi kwenye ligi hii inatafsrika huo nimwanya wa rushwa kwa sababu hakuna kipengele kinacho mzuiya GSM kusajili wala kinacho mluhusu kusajili vilabu vingi. Hapo pana mlango wa rushwa
TFF angalieni hili la mdhamini mmoja kudhamini vilabu zaidi yamoja vyaligi moja nikuuaribu ubora waligi yetu tff liwekeni sawa kabla madhara hayaja kua makubwa
TFF fanyeni utawala Bora haiwezekani mdhamini mkuu wa Yanga adhamini vilabu sita vingine. Uwezekano wa match fixing ni mkubwa sana. Hili halijakaa sawa na hamna fair competition. Hii ni tofauti na Azam ambaye analipa timu zote haki za matangazo. Takukuru mulikeni hili suala msilifumbie Macho
Kusajili crabu nyingi kwenye ligi hii inatafsrika huo nimwanya wa rushwa kwa sababu hakuna kipengele kinacho mzuiya GSM kusajili wala kinacho mluhusu kusajili vilabu vingi. Hapo pana mlango wa rushwa
Anaehoji hana akili anasema baadhi ya wanasimba wanapinga udhaminwa gsm wkt anjua simba wote hatupendi
Machoko hawa wte wanakuwa kama papai
Makasiliko ya nini sasa kama unamatatizo yako unakomenti nini
Mwanasheria wa yanga hatoshi amalize kwanza kesi ya magoma
TFF angalieni hili la mdhamini mmoja kudhamini vilabu zaidi yamoja vyaligi moja nikuuaribu ubora waligi yetu tff liwekeni sawa kabla madhara hayaja kua makubwa
TFF fanyeni utawala Bora haiwezekani mdhamini mkuu wa Yanga adhamini vilabu sita vingine. Uwezekano wa match fixing ni mkubwa sana. Hili halijakaa sawa na hamna fair competition. Hii ni tofauti na Azam ambaye analipa timu zote haki za matangazo. Takukuru mulikeni hili suala msilifumbie Macho
Gsm ameharibu league kabsaa
Wachezaji wazuri SAAANA.
Mwambieni huyo tajiri yenu adhamini timu zilizobaki
Hili suala lazima twende CAF
Oya nadhani hata hao viongozi wa TFF Ni machawa wa GSM! Wanaharibu ligi tumachietu huyo GSM ligiyote na vilibu vyake
Usajiri siyo hoja ubora wa timu ndiyo chanzo cha kelele za gsm
Simple: swala lifanyiwe utafiti, kanuni zinasemaje?? Kama kuna shida, wanasheria walitumbukize CAF--- FIFA.
Ao wapuuzi gsm siwapendi woote ni waoga wa maisha
Gsm anaharibu kila kitu kwa magendo na mahongo nchini Tanzanian
Wachambuzi njaa, jana wakina Oruma
Kama TFF inasema hakuna kipengere kinacho mzuiya wala kinacho mluhusu kusajili krabu vyote tanzania
Ww mwandishi huna maswali mengine kila siku Simba tu
Simba mmefeli hili. Tengeni tim msisingizie gsm
We mkundu haya yanayotokea unafikiri source yake ni nini
Mbona huyo mwanasheria wa yanga hakuwashauri tff suala la dube Ili yanga wapewe adhabu pia na magoma?
Tff mapungu pia
Roma aliimba kamaliza kirefu cha tff Tanzania football failure
Siyo baadhi ya mashabiki sisi wote hatumtaki gsm kudhamini
Hiii ligi simba tungemwachia UTOPOLO tuhamie Zanzibar tu watu wanafanya ujanja ujanja.
Mpaka mseme bado hamjasema
Simba hamna Jambo msitafute visingizio Kwa GSM kudhamini vilabu kuwa ndio sababu ya ubingwa wakati Simba ndio timu iliyochangia point nyingi Kwa yanga
Mwambieni huyo tajiri yenu adhamini timu zilizobaki