GSM HATUMTAKI KWA NINI ADHAMINI VILABU VINGI| MASHABIKI WA SIMBA WALILIA TFF IWASAIDIE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 29

  • @omanbarka1588
    @omanbarka1588 2 месяца назад +1

    Kusajili crabu nyingi kwenye ligi hii inatafsrika huo nimwanya wa rushwa kwa sababu hakuna kipengele kinacho mzuiya GSM kusajili wala kinacho mluhusu kusajili vilabu vingi. Hapo pana mlango wa rushwa

  • @bakanga1410
    @bakanga1410 2 месяца назад +4

    Anaehoji hana akili anasema baadhi ya wanasimba wanapinga udhaminwa gsm wkt anjua simba wote hatupendi

    • @muksinimbaruku1233
      @muksinimbaruku1233 2 месяца назад

      Machoko hawa wte wanakuwa kama papai

    • @omanbarka1588
      @omanbarka1588 2 месяца назад

      Makasiliko ya nini sasa kama unamatatizo yako unakomenti nini

  • @RHOIDAKALUKWA-bw4jo
    @RHOIDAKALUKWA-bw4jo 2 месяца назад +1

    Mwanasheria wa yanga hatoshi amalize kwanza kesi ya magoma

  • @HamzaUhuru-g6s
    @HamzaUhuru-g6s 2 месяца назад

    TFF angalieni hili la mdhamini mmoja kudhamini vilabu zaidi yamoja vyaligi moja nikuuaribu ubora waligi yetu tff liwekeni sawa kabla madhara hayaja kua makubwa

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 2 месяца назад

    TFF fanyeni utawala Bora haiwezekani mdhamini mkuu wa Yanga adhamini vilabu sita vingine. Uwezekano wa match fixing ni mkubwa sana. Hili halijakaa sawa na hamna fair competition. Hii ni tofauti na Azam ambaye analipa timu zote haki za matangazo. Takukuru mulikeni hili suala msilifumbie Macho

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 2 месяца назад +1

    Gsm ameharibu league kabsaa

  • @morrisabdon7881
    @morrisabdon7881 2 месяца назад

    Wachezaji wazuri SAAANA.

  • @mohamedsoud4166
    @mohamedsoud4166 2 месяца назад

    Mwambieni huyo tajiri yenu adhamini timu zilizobaki

  • @jitihadaharuna9448
    @jitihadaharuna9448 2 месяца назад

    Hili suala lazima twende CAF

  • @malundemoud3719
    @malundemoud3719 2 месяца назад

    Oya nadhani hata hao viongozi wa TFF Ni machawa wa GSM! Wanaharibu ligi tumachietu huyo GSM ligiyote na vilibu vyake

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai9345 2 месяца назад

    Usajiri siyo hoja ubora wa timu ndiyo chanzo cha kelele za gsm

  • @morrisabdon7881
    @morrisabdon7881 2 месяца назад

    Simple: swala lifanyiwe utafiti, kanuni zinasemaje?? Kama kuna shida, wanasheria walitumbukize CAF--- FIFA.

  • @mwemajulius5036
    @mwemajulius5036 2 месяца назад +1

    Ao wapuuzi gsm siwapendi woote ni waoga wa maisha

    • @nasseralshaibani6995
      @nasseralshaibani6995 2 месяца назад

      Gsm anaharibu kila kitu kwa magendo na mahongo nchini Tanzanian

  • @davidwatson6821
    @davidwatson6821 2 месяца назад

    Wachambuzi njaa, jana wakina Oruma

  • @omanbarka1588
    @omanbarka1588 2 месяца назад

    Kama TFF inasema hakuna kipengere kinacho mzuiya wala kinacho mluhusu kusajili krabu vyote tanzania

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 2 месяца назад

    Ww mwandishi huna maswali mengine kila siku Simba tu

  • @MirajiMohamed-be1qc
    @MirajiMohamed-be1qc 2 месяца назад

    Simba mmefeli hili. Tengeni tim msisingizie gsm

    • @muksinimbaruku1233
      @muksinimbaruku1233 2 месяца назад

      We mkundu haya yanayotokea unafikiri source yake ni nini

  • @RHOIDAKALUKWA-bw4jo
    @RHOIDAKALUKWA-bw4jo 2 месяца назад

    Mbona huyo mwanasheria wa yanga hakuwashauri tff suala la dube Ili yanga wapewe adhabu pia na magoma?

  • @kasimuhamidu8467
    @kasimuhamidu8467 2 месяца назад

    Tff mapungu pia

  • @TimoKaswahili
    @TimoKaswahili 2 месяца назад

    Roma aliimba kamaliza kirefu cha tff Tanzania football failure

  • @silvesterrichardhelenya1319
    @silvesterrichardhelenya1319 2 месяца назад +1

    Siyo baadhi ya mashabiki sisi wote hatumtaki gsm kudhamini

  • @dalalfundikila507
    @dalalfundikila507 2 месяца назад

    Hiii ligi simba tungemwachia UTOPOLO tuhamie Zanzibar tu watu wanafanya ujanja ujanja.

  • @AlexMlaba
    @AlexMlaba 2 месяца назад

    Simba hamna Jambo msitafute visingizio Kwa GSM kudhamini vilabu kuwa ndio sababu ya ubingwa wakati Simba ndio timu iliyochangia point nyingi Kwa yanga

  • @mohamedsoud4166
    @mohamedsoud4166 2 месяца назад

    Mwambieni huyo tajiri yenu adhamini timu zilizobaki