GSM APIGWA MARUFUFUKU | KUANZIA LEO ASIMAME | HUU NI UPANGAJI WA MATOKEO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024

Комментарии • 274

  • @geofreymwaipopo1442
    @geofreymwaipopo1442 26 дней назад +3

    Mwambie mwamed akadhamini zilizobaki

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 26 дней назад

      Kipindi Mo alidhamini singida United na simba mlikuwa kimya. Mo kafilisika

  • @clauschaula2050
    @clauschaula2050 26 дней назад +3

    Hakuna Cha upangaji matokeo.Kinachoondelea ni kuwa Yanga ni timu inayoimarika Kila siku.Swali kama Yanga inapanga matokeo,inawezekanaje wanapokutana na simba au Azam Kwa nini wanashindwa kuifunga?Watanzania tumejinza kuwa na maneno Mengi sana kuliko kuzingatia hali halisi.Udhamini Kwa timu zetu ni muhimu sana Kwa maendeleo ya soka hapa nchini.Ongezeni umakini katika sajili za timu zenu,punguzeni porojo.

    • @JumaHaroun-l4z
      @JumaHaroun-l4z 18 дней назад

      Acheni porojo nyinyi Simba anawadhili gsm mbona mnfungwa? Kwani yanga haiwezekani kuwafunga namungo?pamba ,cost ,Kagera au mashujaa?

    • @FetyzarMselemo
      @FetyzarMselemo 13 дней назад

      Huna elimu ya mpira ww shabiki maandaz kwanza huelewi a na achoongea mchungaj

  • @omarsadiki-vi1tl
    @omarsadiki-vi1tl 26 дней назад +2

    Na kweli huna akili, kumbukumbu huna gsm alitaka kudhamini na miongoni mwa watu walokataa ni simba

  • @user-gr6hz5oq2g
    @user-gr6hz5oq2g 26 дней назад +1

    Azam anafadhili kupitia tff gsm apitie tff

  • @japhetmlowe5362
    @japhetmlowe5362 25 дней назад +1

    Mbona sport pesa alikuwa na simba,yanga na singida

  • @boscomwangosi1042
    @boscomwangosi1042 25 дней назад +2

    Simba acheni visingizio nyiewenyeww mmefungwa mala mbili mlidhaminiwa na GSM?

  • @azamsp0rtshd2kiangi3
    @azamsp0rtshd2kiangi3 20 дней назад

    Neno la mungu lonasema wafitini mawanafiki wafanyweje walaaniwe jitafakari mchungaji.

  • @user-ix8uu3ho8h
    @user-ix8uu3ho8h 26 дней назад +2

    Kenge ww

  • @NikolasPius-fk9fn
    @NikolasPius-fk9fn 26 дней назад +5

    Uko sahihi

  • @EmmanuelMagugudi
    @EmmanuelMagugudi 26 дней назад +3

    Sio point 36 weka na point 6 za Simba

    • @JosephMwaitete
      @JosephMwaitete 24 дня назад

      Kwani Simba kadhaminiwa na GSM?au hujui mada

  • @WazaeliStefano
    @WazaeliStefano 26 дней назад +1

    Azam Simba wote wamefungwa na yanga je nikwasababu ya ufadhili wa gsm

    • @JonathanMGAIWA-ow4py
      @JonathanMGAIWA-ow4py 26 дней назад

      Kuna michezo michafu mingi, usijizime data wewe. Waulize akina manula, inonga

  • @evaristgaspa6074
    @evaristgaspa6074 26 дней назад +1

    Simba mnatafuta kwakuengemea hiyote nikwasababu hazamini Simba Azam nasimba niwareware _hata GSM abaki na yanga kipigo kikoparepare _mtu kwenyehera yake hapagiwi takukuru wapo pereka mararamiko yako ira uwena ushahidi

  • @user-xi6le4lg9b
    @user-xi6le4lg9b 26 дней назад +2

    Tff sasahivi imekuwa msimamiz mkuu wa mwiko nyuma,,na mfadhili wao,,hata jukwaa kuu sasa viti vya Said na Karia vinatambulika

  • @ElliamaniGodsoni-s7x
    @ElliamaniGodsoni-s7x 24 дня назад +1

    Watanzania acheni kuwa na mawazo mafupi na sportpesa anadhamini timu ngapi Tanzania na nje ya mipaka

  • @issaisandeko6217
    @issaisandeko6217 26 дней назад +1

    Hata Azam ana timu ligi kuu kwa hiyo nayeye aondolewe udhamini

  • @husseinmgalula5864
    @husseinmgalula5864 23 дня назад +1

    Mpunga

  • @barakamtelani2313
    @barakamtelani2313 25 дней назад +2

    Kuna watu vichwa maji GSM alidhamin ligi yote madunduka wakakataa Azam anafadhili timu zote vip yeye hanufaiki je mbona Simba anagongwa nje ndan nae kadhaminiwa na GSM

  • @REGIUSMWANAWIMA
    @REGIUSMWANAWIMA 26 дней назад +2

    Ww mjinga sana umesahau goli alofunga azizi ki,nalo vipi,pacome na penati ya azizi ki?

    • @augustinokessy
      @augustinokessy 26 дней назад

      muwe mnackiliza mpk mwisho matako nyie...

  • @issapagali1330
    @issapagali1330 26 дней назад +1

    Hili linajiita Mchungaji😮. Si likasimamie "WANAKONDOO" huko. Tangu lini ukasimamia /kutumikia mabwana wawili. MAKOLO NYOKO yashaanza malalamiko na BADO. PAMBAF WAHED.

    • @omanbarka1588
      @omanbarka1588 15 дней назад

      Umelazimishwa kukoment sasa matusi ya nini mtandaoni unataka tukufungie

  • @nkilatv6307
    @nkilatv6307 26 дней назад +2

    Ww Kuma

  • @MohamedKaboza
    @MohamedKaboza 24 дня назад +1

    Haiwezi ikawa ligi kuu tanzania

  • @kaysischirwa6759
    @kaysischirwa6759 26 дней назад +3

    Mo kakatazwa

  • @mohammedmdangwe2056
    @mohammedmdangwe2056 26 дней назад +1

    GSM KAARIBU LIGI YA TANZANIA 🇹🇿 ANAONGA WACHEZAJI MAREFA

    • @boscomwangosi1042
      @boscomwangosi1042 25 дней назад

      Katika watu wenye kichwa kibovu wewe unaongoza kwani timu gani inaitwaga Rozi Muhando.simba ndiotimu pekee inayobebwa na malefa,mechi ya juzi na yanga lefa amefikia mahalo anakataa mpaka magoli yaliofungwa,penat ndio usiseme.
      Mechi ya mwakajana pia lefa alikataa gori la yanga kwenye ngao ya hisani angalia mechi ya singida prison dodoma na zingine nyingi

  • @EmmanuelSima
    @EmmanuelSima 26 дней назад +1

    Kumbe hata points 6 za Simba nazo ni ufadhili eti na awamu hii mtasema yote

  • @khamisrashidkhamis4490
    @khamisrashidkhamis4490 26 дней назад +1

    GSM aliingia kama mdhamin mwenza wa ligi kipindi yupo Barbra akaweka mgomo na wakatishia Hadi kuitoa Simba kwenye ligi mpaka akaacha gsm

  • @patrinraura1397
    @patrinraura1397 26 дней назад +1

    Ni kweli kabisa Fedha ndiyo kila kitu Kama udhamini Vilabu zaidi ya kimoja tayari kuna kila dalili ya kuua ushindani na Pia kuminya haki na kutopata Bingwa kihalali Tunakuunga mkono kabisa kwa kutoa Angalizo na kufumbua macho Vilabu vyote vya ligi kuu

    • @salummtumbukie8873
      @salummtumbukie8873 23 дня назад

      Unataka vilabu vikose pesa video na ukqta vishindwe kujiendesha na kusafili na kuweka kambi bora kama ninyi.

  • @NyatseLogistics
    @NyatseLogistics 26 дней назад +1

    Kweli kabisa

  • @YusuphMdaki
    @YusuphMdaki 26 дней назад +1

    Wewe hijui ball yanga imechukua ubingwa mara nyingi bila GSM kkiwa na wafadhili wengine acha hoja dhaifu

  • @razacklazaro6678
    @razacklazaro6678 22 дня назад +1

    Mchungaji wa watu au ng'ombe...angekua mchungaji wa din/ watu asieongea utopolo

  • @mathewmillanzi1700
    @mathewmillanzi1700 26 дней назад +1

    SIMBA AlIPIGWA TANO AMEDHAMINIWA NA YANGA

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 26 дней назад +4

    Sasa timu alizodhamini angalieni matokeo. Mbona ambazo hajadhamini ndizo zimefungwa magori mengi? Ikiwemo Simba?

    • @jumakibasame3210
      @jumakibasame3210 26 дней назад

      Kweli baadhi ya madhabiki mambumbumbuu Sana mbona hamsemi Azam alie zamini ligi nzima na matanhazo yeye,

    • @hajikatanje5961
      @hajikatanje5961 23 дня назад

      Wewe subiri yatakayo tokea siku izo timu zenu mlizo zinunua zitakapo cheza na simba alafu refa afanye uzembe utakuja nisimulia utakiona wana simba walicho jiandaa nacho hapata kalika na mpira wa Tanzania hiyo siku ndio uta kuwa stop

  • @adamsonmwaisumo6791
    @adamsonmwaisumo6791 26 дней назад +2

    Pamoja na simba kaidhamini ndio maana nakula tano mbili moja

    • @simonzelote5998
      @simonzelote5998 26 дней назад

      Zile tano katka uchunguzi Kuna watu walichukua pesa akiwepo manula

  • @elizabethkalinga0822
    @elizabethkalinga0822 26 дней назад +1

    Huyo Tayari kafungwa kwenye Match, ata wachezaji atawatoa Kwenye Mchezo.
    Mpeni Kanuni huyo, aache kukariri

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 24 дня назад +1

    Wee baba na hiyo simba sii mpe huyo GSM tuone simba sii mna moo

  • @KennedySamson-lo4pw
    @KennedySamson-lo4pw 26 дней назад +1

    Mbona alipo dhamini timu zote makoloboi mulikataa mpaka tff wakarudisha mshiko Leo anadhamini wanaotaka mnapogakelele nanyie ombeni mdhaminiwe

  • @user-yo7sj8fs4h
    @user-yo7sj8fs4h 26 дней назад +1

    Gsm sio Yanga bali ni mzamini wa Yanga

  • @user-xt3pq4hb2r
    @user-xt3pq4hb2r 26 дней назад +1

    Tatizo wanatufanya watanzania nini mazuzu hawa GSM ni chama cha siasa kuna mapapa ndani yake we known watanzania ndio maana tifua tifua hawasemi kitu imetawaliwa wote hadi. Marefa wao hii sasa sio michezo ni jambia jambia eti kuikomoa Simba huu ni ujinqa

  • @DullahNyoni-cr2fu
    @DullahNyoni-cr2fu 26 дней назад +1

    Upo sawa

  • @bbanyikwa
    @bbanyikwa 26 дней назад +4

    Kolo acha makasiriko sajiri kikosi kizuri utajikuta kila mtu unamuona mchawi wako😂😂😂

  • @simongshayo4678
    @simongshayo4678 26 дней назад +1

    Yeah upo sahihi kabisa

  • @JumaKassimmazito
    @JumaKassimmazito 23 дня назад +1

    Akili huna kweli simba kazaminiwa na gsm

  • @josemassae
    @josemassae 26 дней назад +1

    Wewe huna akili mbona Simba na Azam mmefungwa au na nyinyi ni vp

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 26 дней назад +1

    Kolo Hilo limetokea wapi? Haelewi mpira unaendeshwa vipi? Nenda kanisani ! Peleka timu umuombe udhamini halafu uone kama atakukatalia! Uingereza Kuna mdhamini MAN BETX Anadhamini timu zaidi ya mbili EPL.

  • @juliusmagoti5650
    @juliusmagoti5650 26 дней назад +2

    This is hopelessness of the highest order. Watu wa Simba tengenezeni timu, acheni arguments za kitoto. Mpira ni mchezo wa wazi. Kama Yanga walifika fainali ya shirikisho, GSM alikuwa anadhamini timu gani huko? Wew mwenyewe unakubali Yanga wana timu nzuri, unatarajia afungwe na timu gani kwenye ligi yetu. Msitafute vichaka vya kujificha. Hata MO akitaka kufadhili timu afanye hivyo, timu ndogo zinahitaji sana ufadhili ili zijiendeshe. Mchungaji try to be scientific

  • @CastorNyondo
    @CastorNyondo 22 дня назад

    GSM adhami na Simba ili msipigwe misumari,Bomba makolo

  • @rachelbujuli4487
    @rachelbujuli4487 26 дней назад +1

    Visingizi vya Nyauuuuuuu

  • @chatnami
    @chatnami 25 дней назад +1

    Hoja ingekuwa Azam hafadhili vilabu moja kwa moja. Azam anadhamini ligi kupitia TFF. GSM ana mkataba wa moja kwa moja na vilabu

  • @user-vh9wt8zh4n
    @user-vh9wt8zh4n 26 дней назад +1

    Kwani Simba anafungwa na yanga kwasababu anadhaminiwa na Gsm

  • @daudkondo4069
    @daudkondo4069 26 дней назад +1

    Wee huna akili kweli, ivi una Aziz una Pacome Una Nzengeli unasema habari ya mashujaa bwege sana

  • @jimmyjoseph4800
    @jimmyjoseph4800 8 дней назад

    Hujui kitu

  • @millardGaiga-vh9yh
    @millardGaiga-vh9yh 26 дней назад +1

    Kwani wewe msenge mbona mliliwa tano GSM anadhamini Simbilizi Fc piah ❓🤣😂

    • @omanbarka1588
      @omanbarka1588 15 дней назад

      Matopo yanachojua ni matusi tu manyau nyie huo uchawi wenu mwaka huu ubaya ubwela wanga nyie

  • @WaUkaye
    @WaUkaye 26 дней назад +1

    GSM alipotaka kufadhili vilabu vyote Simba walikataa KUVAA logo ya GSM

  • @user-pr8tz8tc8s
    @user-pr8tz8tc8s 26 дней назад +2

    Ww mchungaji bwege gsm aliweka hela tim zote nyie mlizigomea

  • @ismailmohamed502
    @ismailmohamed502 26 дней назад +1

    Mbona mlikataa

  • @bethmahela2182
    @bethmahela2182 25 дней назад +1

    Wewe hujui tofauti ya mdhamini na mfadhili,ukielewa huu utofauti utaacha kulaumu tff na Gsm

  • @mussai.sillas3796
    @mussai.sillas3796 26 дней назад +1

    Namungo ilipokuwa inadhaminiwa Mo hukuona. Unaona GSM tu? Kilaza,hujui hata maana ya unachosema. Simba wamefungwa mara nyingi. Je Simba wanafadhiliwa na GSM?

  • @allymtapera5370
    @allymtapera5370 26 дней назад +1

    Sport pesa England alikuwa na tim 4 ,we hujui chochote

  • @user-rl1pn4ln5e
    @user-rl1pn4ln5e 26 дней назад +1

    Wagonjwa nyie dhamini nyie Simba nayo gsm

  • @allymtapera5370
    @allymtapera5370 26 дней назад +1

    Muulize huyo ana muda gani ktk mpira muulize mo alizamini team ngapi,

  • @HajiJuma-oy1jy
    @HajiJuma-oy1jy 26 дней назад +1

    Huyu hajielewi Simba nayeye pia kazaminiwa na GSM alikula 5

  • @charlesSomeke
    @charlesSomeke 24 дня назад +1

    Simba so mlikataa

  • @japhetmlowe5362
    @japhetmlowe5362 25 дней назад +1

    Maneno ya mkosaji ayo

  • @allyr.mavura7878
    @allyr.mavura7878 26 дней назад +2

    Sio kweli, hakuna team inayotaka kufungwa ili ishuke daraja

  • @Zubedarajabu-y6v
    @Zubedarajabu-y6v 26 дней назад +1

    Tengezenu timu mbwa nyinyi

  • @MhojaFunuki
    @MhojaFunuki 26 дней назад +1

    Mo.hajawahi kufazili tim zaidiyamoja

  • @AsanteRashidi-w7f
    @AsanteRashidi-w7f 23 дня назад +1

    Atoke huyo anaharibu mpira wa bongo

  • @JumaKassimmazito
    @JumaKassimmazito 23 дня назад +1

    Hahahaha mzeeee zeze

  • @azamsp0rtshd2kiangi3
    @azamsp0rtshd2kiangi3 20 дней назад

    Chuki tuu mbaka mchungaji jorekebishe mkuu

  • @jacobsadock3530
    @jacobsadock3530 21 день назад

    Azam ni mdhamini mkuu wa ligi, GSM ni mdhamini mkuu wa club ya yanga lakini ni mdhamini mdogo wa club nyingine 6 ko mchungaji uko sawa

  • @user-iq9yo2gj5p
    @user-iq9yo2gj5p 26 дней назад +2

    Je? Simba wanaofungwa na yanga Simba nayo imezaminiwa na Simba acha kujizarau unajizima data mwanzo simba walikataa au data zako zimeyumba?

  • @amanisebastiani2827
    @amanisebastiani2827 26 дней назад +3

    Unagongwa we umepigwa 5 nawewe umedhaminiwa na GSM

    • @augustinokessy
      @augustinokessy 26 дней назад

      inaonesha ht shule ulikuwa box...ludi memkwa

  • @kafulirahillaryhabel6728
    @kafulirahillaryhabel6728 26 дней назад +3

    Kwanini MO asidhamini timu zilizobaki?

  • @user-lb2jh4ss6v
    @user-lb2jh4ss6v 26 дней назад +1

    Shida hamujitambuwi

  • @user-jk3qx3dt6c
    @user-jk3qx3dt6c 26 дней назад +1

    Hivi ni sawa na kusema kuwa timu 15 zinatakiwa kumpa pointi Azam FC ? Amwambie MO achague timu azifadhili Ili wampe points Ili Simba ishinde!

    • @FetyzarMselemo
      @FetyzarMselemo 13 дней назад

      Mo Mtu na elimu yake anafadhil tim Moja usimgananishe na gsm wako anaharibu ushindan wa ligi yetu

  • @khmissalum3881
    @khmissalum3881 12 дней назад

    Msenge sana wewe nenda kazamini wewe mama Ako shenziiiiiiiiiiii

  • @vicentmwamba155
    @vicentmwamba155 23 дня назад +1

    Dah huyu sijui anatumia nn kujfikili

  • @Tostao36
    @Tostao36 26 дней назад +1

    Huyu jamaa hajui lolotee.Mbona Azam anafadhili timu zote na ana timu yake huko.Cheza ngoma yako brother

  • @kafulirahillaryhabel6728
    @kafulirahillaryhabel6728 26 дней назад +1

    Azam anafungwa na yanga, anadhaminiwa na GSM?

  • @IssaAusi-s6h
    @IssaAusi-s6h 18 дней назад

    Serikali yote ni yanga sisi Simba 2subilie Samia atoke madalakani

  • @JumaHaroun-l4z
    @JumaHaroun-l4z 18 дней назад

    Sure boy, mkude faridi musonda, kibwana wanacheza simba panga pangua ubaya ubwela ,unyama mwingi slogun hiz hazisaidii bila kua na wachezaji bora

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn 26 дней назад +2

    Sawa brooo nakuaminia

  • @azamsp0rtshd2kiangi3
    @azamsp0rtshd2kiangi3 20 дней назад

    Kumbe unaijua yanga nzuri unakiri Sasa unawachafua Gsm kwasanabu gani ongea ukweli kama hivo yanga ni Bora uashusha heshima Yako bwana kua mlweli kama hivo

  • @DanielLugenge
    @DanielLugenge 20 дней назад

    Yanga inakikosi Bora,acheni maneno ya kuonyeaha kufeli

  • @NelsonJames-qr5vq
    @NelsonJames-qr5vq 15 дней назад

    Moo sijui tajiri wa ngapi afrika adhimi zote zilizo Baki yanga balaa.tafuta kingine Cha kusema

  • @ClementHemmed
    @ClementHemmed 21 день назад

    Acha kudanganya.wananchiiiiiii

  • @KhalidJuma-j7h
    @KhalidJuma-j7h 19 дней назад

    Na hawa mlio wasajiri muwatowe simba ilifungwa ngao ya jamii na yanga hawaja pewa rushwa na hao Mchungaji mpira huu wezi

  • @AwaziHinda
    @AwaziHinda 26 дней назад

    Sio kweli

  • @azamsp0rtshd2kiangi3
    @azamsp0rtshd2kiangi3 20 дней назад

    Yanga inawachezaji wazuri kaiza ilifugwa mayo imezaminiwa na Gsm unatudanganya tena we nimchumgaji

  • @JumaHaroun-l4z
    @JumaHaroun-l4z 18 дней назад

    Kwani kuna kanuni au sheria ya mdhamini (limit)kwamba mwisho tim kadhaa sasa kama hakuna acheni ujinga sajilini tim bora

  • @JumaHaroun-l4z
    @JumaHaroun-l4z 18 дней назад

    Mimi naona kudhamini tim sta(6) sio kosa , kosa kubwa ni kwamba injinia Heris kua mwenyekiti wa vilabu barani Africa maana ataendakupokea point sita kwa kila tim barani Afrika dah haya majanga!!!!

  • @AloyceSiwingwa
    @AloyceSiwingwa 26 дней назад

    We mjinga Simba walikataa kuvaa logo ya Gsm

  • @sospeterdaniel5116
    @sospeterdaniel5116 20 дней назад

    Azam pia anatimu pia nae aondolewa, usijifanye huna kumbukumbu.

  • @Mbwana-uw1vw
    @Mbwana-uw1vw 20 дней назад

    Ngao mbona mmepigwa GSM amewadhamini

  • @omanbarka1588
    @omanbarka1588 15 дней назад

    Gsm mhuni anazamini timu nyingi kwa kwa kanuni ipi hakuna kinacho mluhusu wala kinacho kataza kusajii vilabu vingi huo nimwanya wa rushwa afikishwa fifa

  • @thomasdominick8604
    @thomasdominick8604 11 дней назад

    Iko wazi haihitaji ufafanuzi WA kina zaidi

  • @MchungajiNzelani
    @MchungajiNzelani 16 дней назад

    Wameshikwa pabayaaaaa

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 6 дней назад

    Hakuna mchezaji bora anaye hitaji miezi miwili kuzoeana na wenzake. Hao watakuwa sio wachezaji wa maana na huenda watahitaji kukaa miezi 6 ili wazoeane na huku ligi inaendelea.

  • @NicholausFungo
    @NicholausFungo 26 дней назад +2

    Mambo yapo kwenye sheria, ukiona Tff wamekaa kimya maana yake ni kwamba sio kosa kisheria.na hakuna kanuni inayomzuia mdhamini kuwa na timu zaidi ya 2. Mudi naye akafadhili timu zilizobaki. Kama vipi mudi aombe kufadhiliwa.

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 26 дней назад +2

    Sawa 😅tunakubali GSM kasababisha kutoa point 6 kutoka simba kwa hiyo GSM ANAIDHAMINI SIMBA 😅PIA MNAHANGAIKA SIMBA INA MUHAHO MARA OOO WANATUMIA MADAWA YA NGUVU MARA GSM ANADHAMINI 😅MARA OOO YANGA WANANUNUA 😅KWISHA HABARI YENU

  • @user-ms1xg1fp4v
    @user-ms1xg1fp4v 9 дней назад

    Umesema la maana lkn huo ndio Mpira.Sasa kama timu yako haina uwezo wakupiga fitina za kimichezo umeumia Boss.Hata kombe la Dunia lazima siasa itembee