Br ....kipindi chako ni kizuri sana ila tafadhali angalia utavunja ndoa ya mama wit maswali unayomuuliza hayafai kuwemwa mtandaoni jitahidi uwe una edit vingine ...na kuvunja ndoa unajua ni dhambi
Mashallah hongera Zahir Hivi yule afisa elimu aliyemfunga Suleiman anajisikiaje kwasasa Mungu hakawii wala hachelewi Alimkatili sana mtoto wake maana anaonyesha anapenda Suleiman kuliko kawaida
@@neemakilomoni4258 yaani nimefikiria sana kumbe mama witi wala hakuwa mwanafunzi amemkosesha furaha yake bila sababu za msingi zambi sana pia ni funzo kwa walezi wengine kama mtoto hasomi na mwanaume amekubali majukumu acha aolewe tu
Sema likuepikalo linakheri baba wity mungu atampa uhai na rizki Za ajabu kamtesa sana wity kukaa bila wazazi wawili mtihani Sana Baba wity pesa zipo lkn anamipango mingi sana hawezi kutumia pesa vby kajifunxa mengi
Zahir hongera kwa kazi nzuri . Mungu atakulipa. Ila usiweke hasira juu ya Seleman. Sele amekaa sana gerezani hivyo bado hajakaa sawa ndio maana anamaamuzi ya haraka sana. Nakisihi endelea kumdaidia kadri Mungu atakavyokujalia
Sele kamwambia hivyo mama wit ili asijisikie vibaya ila baado yupo na msimamo wake tu wakuowa mke mungine 🙏🙏🙏🙏musipaniki jaman munajuwa lazima sele afanye hivyo ili awe kule hulu kabsa 🙏🙏🙏
Mama Wity Mngoni mwenzangu unanifurahisha sana jamani @zahir naomba no ya Mama Wity nataka nimpongeze Wakunyumba ndugu yangu, Mwenyezi Mungu akuzidishie kheri Zahir na Familia nzima ya Maximum Tv
Afu Zahir nimengudua kwamba ww ndo unamuunganisha Sulaiman n'a n'a huyo binti wa Dubai si vibaya ila, Sulaiman anahitaji mwanamuke wa karibu wakumufariji c wa mbali aanze Tena kuumizwa n'a dry spells n'a ako Uhuru
MashaAllah MashaAllah. hinterland nyote time zahir.hayo mengine yamchumba wake alitanianatu na aliye kua mwanzawake sidhani kama nikweli unampenda huyo bint.inshaAllah kila kitu kitakua sw
Hii kitu kweli san nilitama sana kusikia nimefurah sana kusikia mama witness baba witness mashine hatar nimecheka mbk naumwa hatari kwel ila inauma san n ongera sana mama witness mungu akutangulie uishi milele n family yako ,kaka zahir nitakup zawad kubwa kw hili mungu azidi kukupenda milele daima.
Yooo nimegundua kitu hapa hawa hawaku Hachana isipokua huyo shangazi yake ndie alie mfungisha ila walikua wamependa sasa walipo kutana nilazima wafurahiane Hongera sana zahiri kwa kuwa kits nisha
Tunashukuru kaka Zahiri kwa kuweza kumsaidia huyu kaka akaweza kumpata mtoto wake,Witness naye kumpata baba yake na kuweza kupata raha zote za Duniani,ni kweli umesema umefika mwisho ila tungeona maisha ya Sulemani akiwa na mtoto wake pamoja na maisha ya angalau ya kuanzia naamini ingependeza zaidi
Mama witi huyo kama mzazi mwezako kwa Sasa mheshimu Mme wako uliyekuwa naye Kaka Zahir hongera kwa kazi yako nzuli Mungu azidi kukuinua zaidi na timu yako yote
JIUNGE KWENYE GROUP LETU LA WHATSAPP KWAAJILI YA TEAM NZIMA YA SAD MOMENT
chat.whatsapp.com/GutkVc90rvg56f4mZ5pCTu
GUSA LINK HYO HAPO KUJIUNGA
🤣🤣🤣Wachawe
Mungu awatetee familia ya mama witness wana upendo sana. Huyo shangazi Mungu amsamehe sana
Br ....kipindi chako ni kizuri sana ila tafadhali angalia utavunja ndoa ya mama wit maswali unayomuuliza hayafai kuwemwa mtandaoni jitahidi uwe una edit vingine ...na kuvunja ndoa unajua ni dhambi
Kaka zahir mrejesho VP huyo baba amerudi dar au bado yupo uko kw mama witness
Mashallha mtt amechangamka kama mamake
Mimi nipo Congo Lubumbashi zahir asante sana 🇨🇩
Selemani kafanana na mtoto wake maashalah
Mashallah hongera Zahir
Hivi yule afisa elimu aliyemfunga Suleiman anajisikiaje kwasasa
Mungu hakawii wala hachelewi
Alimkatili sana mtoto wake maana anaonyesha anapenda Suleiman kuliko kawaida
Huyo shangazi alikua ana mtaka huyo kija sio bure
@@neemakilomoni4258 yaani nimefikiria sana kumbe mama witi wala hakuwa mwanafunzi amemkosesha furaha yake bila sababu za msingi zambi sana pia ni funzo kwa walezi wengine kama mtoto hasomi na mwanaume amekubali majukumu acha aolewe tu
Sema likuepikalo linakheri baba wity mungu atampa uhai na rizki Za ajabu kamtesa sana wity kukaa bila wazazi wawili mtihani Sana
Baba wity pesa zipo lkn anamipango mingi sana hawezi kutumia pesa vby kajifunxa mengi
@@faridaiddi104 ni kweli mdogoangu Mungu ndio mjuzi wa yote
Mama witness amenifurahisha kwa sanaaa
Sanaaa mcheshi sana mama witi
Zahir hongera kwa kazi nzuri . Mungu atakulipa. Ila usiweke hasira juu ya Seleman. Sele amekaa sana gerezani hivyo bado hajakaa sawa ndio maana anamaamuzi ya haraka sana. Nakisihi endelea kumdaidia kadri Mungu atakavyokujalia
Kalibu kigoma binti yetu damu haipotei
Maskin witnes bado kabint kadogo ALLAH akukuze mtoto nzur upate maisha mazur na umri mrefu
Pole kaka sele mwenyezi mungu akutie nguvu katika maisha yako yote.
Barikiwa sanaa zahiri kwa kazi nzuri Ila zahiri amini mama witi ndoa hakuna hapo anamtaka baba witi sijui kama atatuliana kwenyendoa yake
Ila kweli sele mzur mashaallah 😁😁
Mme huyo shoga angu wew humtaki 😂
Mwezangu emsam kabisa
Umeonaeee
@@ummutaswaufi3980 😁😁😁naogopa kukaa roho juu mana sio kwa hb huo
@@naamohamed1042 Naa bado upogo kumbe?
Dah Kuna mapenzi yanatengwanisha na watu wakati wenyewe wanapendana dah mtihan
😃😃😃
Umeona 😂
Yaan wenyewe wanaoendana mama wit, ndio mume wake wa ujana, hapo anakumbuka.mengi
Umeona eeeh wata rudiana hao muda sio mrefu kaka mwenyewe handsome kweli 😂😂
@@janemsamati6700 naanumiya saana nijutuawezi sema chunga sasa baba witi.awo.kishaukute.ndoa.imenoga.kishakwamaman.witi.ukute.uwandoa.niyafujo.lawamazote ataangushiya wazazi
Sele kamwambia hivyo mama wit ili asijisikie vibaya ila baado yupo na msimamo wake tu wakuowa mke mungine 🙏🙏🙏🙏musipaniki jaman munajuwa lazima sele afanye hivyo ili awe kule hulu kabsa 🙏🙏🙏
Mashallahu ZAHR nakupenda Kwa ajili ya Allah mungu awabar wote
Mama witi Yuko njia panda masikini ya Mungu,
Masha allah hongera sana Zahir kwa kazi nzuri
Mama wittines amezeeka
@@bensonnahkdgks2119 hongela san kaka
@@bensonnahkdgks2119 ajazeek sema maisha tyu
WOW jamani,kumbe Aliwapata💃💃💃💃
Wallah mama amefurahii😂😂😂
ruclips.net/video/rYgJ7IL9sPQ/видео.html
Kaka ongera sana kwa kazi nzuri mungu akubariki sana
Mungu akubariki sana kazi yako pia una vichekesho saana
Hongera zaher kwa kuikutanisha hii family
Hawa hawakuashana kwa kutaka kwao bali waliachaniswa so bado kila mtu ana hamu na mwenzie sio wa kulaumiwa walai
Mashalha Mungu Akufanyie wepesi kaka kwa moyo wako ukuzidishie umli mlefu
Tumerudi tena kwa Msiba wa Suleman Allah Amsamehe makosa yake Allah Amlaze mahali pema peponi Amiin
Kwan huyu kaka Suleiman alifariki?
Mashaallah Hongera baba Witi kwa kumpata mwanao
masha Allah nachek mwenyewe kwa sauti zahari na mama witi
Yaani. Zahiri kanichekesha sana
Maashaallah had I raha jamani mungu akuzidishiye zahiri
Hapa mungu asimame tu mama witi na seleman I sijui
Kwakweli😂
Hongereni maximum tv kwakazi nzuri 😍😍😍😍
Hahahahahahaaaaaa yaani nimecheka na maneno ya mama whit eti wa Dubai hamtaki ananitaka mm Hahahahahahahaaaa.
True love banana
🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂yaan mie nimecheka kijinga mama kweli uyo mweu chezea kupenda wee
Mashaaallah hongera sana Mama witness pamoja Na Baba mtoto wako
Mashallah zahir kwa kazi yako Allah akujalie kila la kheri inshallah
Mungu atawalipa kheri
Wow ama kweli Mungu ni mwema asante sana kwa kazi nzuri maximum team tunawapenda sana
Ila mama witi Amna kitu
Mashallah Mashallah
Hongera sana Zahir Alwah awabarikie Ameen
Jamani Leo nimecheka sana aisee ,hii voice inaweza leta mtafaruko jmn
😂😂😂Umeona ee ila zahir anachekesha ati machozi hayakukutoka😂big up bro.
Umeonaeee
Umeona eee, yaani kanichekesha sana, MUNGU akulinde baba
Wewe zahir unavituko my son Mungu akubariki na timu yako
Ka zairu na wewe atari sana😂😂😂
Kaka zahiri unafanya kazi vizuri sana mungu akulende na macho ya watu
Amiin yaraby
Amiiin yarab Amiiin
Jamani uuuuiiiii nimecheka atari mungu awazidishie amina
Machine, 😂😂 we mama witi weee kazi kweli kweli 😀😀
🤣🤣🤣🤣
😃😂😃😂
Wala haogopi kama mumewake atasikia aikimsifia mume mwenzie. anaoneka mama witi kiumbe na rohoyake
@@rahmaabdulla4949 hajatulia huyu mama looh ngoja kimkute kitu
Mashaallah , Jambo jema- Wallahi
Bado wanapendana
Safi sana kbs ❤❤❤❤❤
Hawa watu watakuja kurudiana maana inaonekana mke anampenda balaaáaaaa baba witness,
Nahata baba witin pia anampenda juu Wali fanya kutenganishwa
@@chainbre275 hawa warudiane tu, na mama witness kashaona jamaa anakaa mjini 😃😃😃 Tena dar, lazima mtu arudishwe tu
@@barack1729 mm kwangu naona Sawa tu ila itakua changa moto kwa mume wa mama witin
@@chainbre275 ni kweli jamaa ataumia Sana Yani
@@chainbre275 wametenganishwa uku bado wanapendana♥️
God is good be blessed zahir 🥰❤️
Woyoooooo Mola awasimamie bro Zahir na wenzio wote
Kaka yangu zahr mungu akujaalie maisha marefu na yenye mwisho mwema ishaaalah
Niliwaikuambia hawa watu watarudiana
Maashaallah zahir wewe peke yako good job
Barikiwa sana
Mama Wity Mngoni mwenzangu unanifurahisha sana jamani @zahir naomba no ya Mama Wity nataka nimpongeze Wakunyumba ndugu yangu, Mwenyezi Mungu akuzidishie kheri Zahir na Familia nzima ya Maximum Tv
Amiin inshaallah
Zahir una dhambi ww wallai🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ila asante kwa kukutanisha selemani na whitney...bravoo👏👏👏👏👏👏
Mashaallah ALLAH Akuzidishie kaka Zahir
Mashaallah hongera sana kaka 💛💛💛😍😍😍
🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka hatari ,yani hii ni mwisho wa mawazo 🤣🤣yani Huyu mama Witt asije haribu mahusiano ya sule ,na mama Witt achunge asiharibu ndoa yake
yaani kweli kama huyo mume wake anaangalia kipindi ndoa iko mashakani
@@carolinemariki4029 😂😂😂😂hatarini kidogo
Kaka Zahir hongera kwa kazi nzuri.
Zahiri mkali ww acha tuu unanifurahisha sana nilikuwa na hasira nilipoona hii nimefurahi na kucheka kwakweli uko vizuri kaka yangu
Khadija
Mashaallah kafana na mtoto wake
Hongera maximum tv kazi nzuri
Afu Zahir nimengudua kwamba ww ndo unamuunganisha Sulaiman n'a n'a huyo binti wa Dubai si vibaya ila, Sulaiman anahitaji mwanamuke wa karibu wakumufariji c wa mbali aanze Tena kuumizwa n'a dry spells n'a ako Uhuru
Huyo aliye watenganisha hawa wawili Mungu ndie atamhukumu, hawa watu walipendana sana
Yaan aendi mbinguni atakidogo
SANAAA
Asante kaka
mashallah wenyewe walipendana nuksi ni yule mama
Nakupenda sana kaka zahiri kwa kazi yako Mungu akulinde kwa mabaya yote,
Mashaallah mashaallah
Mungu wangu nimecheka sana mama witi wewe kiboko
Maashallah maashallah maashallah maashallah
Mwamba uko vizuri sana
Usihitimishe Zahir mpaka huyo kaka apate shughuri ya kufanya pls
Ni kwel
Mashallhaaa
Zahir unanogesha sana stories😅. Napenda unavyo wapasua vichwa, so funny walah. Well done. Jua ama you number one fan. Love from Sverige
Força zaher iam from Moçambique 🇲🇿🇲🇿 Moçambique
M/mungu anaweza saf sana
FURAHA japo maumivu yapo kidogo mama witi bado anampenda mwenzie
We utaharibu ndoa za watu kama kusaidia kashasaidiwa sasa hayo mengine ungeyaacha
MashaAllah MashaAllah. hinterland nyote time zahir.hayo mengine yamchumba wake alitanianatu na aliye kua mwanzawake sidhani kama nikweli unampenda huyo bint.inshaAllah kila kitu kitakua sw
Honger kaka nataman na mim iwe hivy mungu akijali kaz nzur
Hii kitu kweli san nilitama sana kusikia nimefurah sana kusikia mama witness baba witness mashine hatar nimecheka mbk naumwa hatari kwel ila inauma san n ongera sana mama witness mungu akutangulie uishi milele n family yako ,kaka zahir nitakup zawad kubwa kw hili mungu azidi kukupenda milele daima.
Haaaaaaaha aki zahir utagombanisha ndoa za watu 😂😂😂😂😂😂
Ni hatari
Yooo nimegundua kitu hapa hawa hawaku Hachana isipokua huyo shangazi yake ndie alie mfungisha ila walikua wamependa sasa walipo kutana nilazima wafurahiane
Hongera sana zahiri kwa kuwa kits nisha
Mashaa llaah
Waooooh yani nimefurahi sana
Wow mashallah 😍
Hongera sana zahir Kila la kheri unajitahidi
Mama witi woyooooooooo
Maswali yako ya Mitego, Zahir yatakuja vunja Ndoa za watu🤣
Yaani nimecheka sana mama Witt umenifurahisha sana mnatamaniana na baba chanja jamani mapenzi yanatatiza mhhhhhhhh
Ogera kaka kaz saaaaaf sana
MashaAllah mama wit kafurah sana kwakweli Alhamdulillah familia imekutana tena
Mama weeeeeeeeeee zahiri weeeeeeeeeee kapendwa mama mtto
Zahir kaka yng una maswali ya kuchekesha eti kumbe mwanaume wke Wa Kwanza
Mwenzetu keshakuwa star kwa kweli🤣🤣
Huyo kaka atafute biashara ya kufanya,mke atampata hukohuko kwenye mihangaiko ya maisha
Ahahaha nimecheka huyu mama ana visa jmn😂😂😂😂
Eti maji ya kuoga Baba watoto daaa hii kaliii🤣🤣🤣🤣
🤣😂
Tunashukuru kaka Zahiri kwa kuweza kumsaidia huyu kaka akaweza kumpata mtoto wake,Witness naye kumpata baba yake na kuweza kupata raha zote za Duniani,ni kweli umesema umefika mwisho ila tungeona maisha ya Sulemani akiwa na mtoto wake pamoja na maisha ya angalau ya kuanzia naamini ingependeza zaidi
😂 😂 😂 zahir jamani kwakuengeza chumvi
😂😂😂
Zahir safi sana
Sio vizuri
Mashaallah🥰🥰😍🤩
Mashaallah
MashaaAllah rahasana jaman
Hahaha kazi nzur timu maxmamu wote hahaha mama witines taratibu
Mama witi bd mdada xema maisha tu
🤗🤗🤗Mama witi amechangamkaa
Sana hadi raha yani
Mama witi huyo kama mzazi mwezako kwa Sasa mheshimu Mme wako uliyekuwa naye
Kaka Zahir hongera kwa kazi yako nzuli Mungu azidi kukuinua zaidi na timu yako yote
Mawifi zangu tu hao wangoni ni shidaaa😂😂
Usifanye hivyo zahiri tutahitaji MREJESHO hapo baadae kujua maisha yake
Kweli
Mashallah raha jamani