MAMA WITTNESS AMNG'ANG'ANIA SELEMAN MFUNGWA ASIONDOKE |SELE MZURI KULIKO MUME WANGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 722

  • @maximumtvonline
    @maximumtvonline  3 года назад +15

    JIUNGE KWENYE GROUP LETU LA WHATSAPP KWAAJILI YA TEAM NZIMA YA SAD MOMENT
    chat.whatsapp.com/GutkVc90rvg56f4mZ5pCTu
    GUSA LINK HYO HAPO KUJIUNGA

    • @thwibhaalfgyur3390
      @thwibhaalfgyur3390 3 года назад

      🤣🤣🤣Wachawe

    • @benedictjoyce9828
      @benedictjoyce9828 3 года назад

      Mungu awatetee familia ya mama witness wana upendo sana. Huyo shangazi Mungu amsamehe sana

    • @hawaramadhani6954
      @hawaramadhani6954 3 года назад +1

      Br ....kipindi chako ni kizuri sana ila tafadhali angalia utavunja ndoa ya mama wit maswali unayomuuliza hayafai kuwemwa mtandaoni jitahidi uwe una edit vingine ...na kuvunja ndoa unajua ni dhambi

    • @lucylucy3678
      @lucylucy3678 3 года назад

      Kaka zahir mrejesho VP huyo baba amerudi dar au bado yupo uko kw mama witness

    • @يوسف-ح1ل9ن
      @يوسف-ح1ل9ن 3 года назад

      Mashallha mtt amechangamka kama mamake

  • @eliemumba1568
    @eliemumba1568 3 года назад +10

    Mimi nipo Congo Lubumbashi zahir asante sana 🇨🇩

  • @habibaselemaniasantesana9774
    @habibaselemaniasantesana9774 3 года назад +24

    Selemani kafanana na mtoto wake maashalah

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 3 года назад +13

    Mashallah hongera Zahir
    Hivi yule afisa elimu aliyemfunga Suleiman anajisikiaje kwasasa
    Mungu hakawii wala hachelewi
    Alimkatili sana mtoto wake maana anaonyesha anapenda Suleiman kuliko kawaida

    • @neemakilomoni4258
      @neemakilomoni4258 3 года назад +2

      Huyo shangazi alikua ana mtaka huyo kija sio bure

    • @mwanajumaomahundumla6504
      @mwanajumaomahundumla6504 3 года назад +3

      @@neemakilomoni4258 yaani nimefikiria sana kumbe mama witi wala hakuwa mwanafunzi amemkosesha furaha yake bila sababu za msingi zambi sana pia ni funzo kwa walezi wengine kama mtoto hasomi na mwanaume amekubali majukumu acha aolewe tu

    • @faridaiddi104
      @faridaiddi104 3 года назад +1

      Sema likuepikalo linakheri baba wity mungu atampa uhai na rizki Za ajabu kamtesa sana wity kukaa bila wazazi wawili mtihani Sana
      Baba wity pesa zipo lkn anamipango mingi sana hawezi kutumia pesa vby kajifunxa mengi

    • @mwanajumaomahundumla6504
      @mwanajumaomahundumla6504 3 года назад

      @@faridaiddi104 ni kweli mdogoangu Mungu ndio mjuzi wa yote

  • @munirachangawa2928
    @munirachangawa2928 3 года назад +15

    Mama witness amenifurahisha kwa sanaaa

  • @rosenaheka7100
    @rosenaheka7100 3 года назад +3

    Zahir hongera kwa kazi nzuri . Mungu atakulipa. Ila usiweke hasira juu ya Seleman. Sele amekaa sana gerezani hivyo bado hajakaa sawa ndio maana anamaamuzi ya haraka sana. Nakisihi endelea kumdaidia kadri Mungu atakavyokujalia

  • @zakiamsafiri123zakiamsafir7
    @zakiamsafiri123zakiamsafir7 3 года назад +11

    Maskin witnes bado kabint kadogo ALLAH akukuze mtoto nzur upate maisha mazur na umri mrefu

  • @remmymatonya1592
    @remmymatonya1592 2 года назад +1

    Pole kaka sele mwenyezi mungu akutie nguvu katika maisha yako yote.

  • @agnesmpangile6959
    @agnesmpangile6959 3 года назад +1

    Barikiwa sanaa zahiri kwa kazi nzuri Ila zahiri amini mama witi ndoa hakuna hapo anamtaka baba witi sijui kama atatuliana kwenyendoa yake

  • @naamohamed1042
    @naamohamed1042 3 года назад +31

    Ila kweli sele mzur mashaallah 😁😁

  • @kabintmpase1544
    @kabintmpase1544 3 года назад +28

    Dah Kuna mapenzi yanatengwanisha na watu wakati wenyewe wanapendana dah mtihan

    • @credo7837
      @credo7837 3 года назад +1

      😃😃😃

    • @yusrasalum
      @yusrasalum 3 года назад +1

      Umeona 😂

    • @janemsamati6700
      @janemsamati6700 3 года назад +4

      Yaan wenyewe wanaoendana mama wit, ndio mume wake wa ujana, hapo anakumbuka.mengi

    • @neemakilomoni4258
      @neemakilomoni4258 3 года назад +3

      Umeona eeeh wata rudiana hao muda sio mrefu kaka mwenyewe handsome kweli 😂😂

    • @aishadjumaphones8877
      @aishadjumaphones8877 3 года назад

      @@janemsamati6700 naanumiya saana nijutuawezi sema chunga sasa baba witi.awo.kishaukute.ndoa.imenoga.kishakwamaman.witi.ukute.uwandoa.niyafujo.lawamazote ataangushiya wazazi

  • @amour5535
    @amour5535 3 года назад +7

    Sele kamwambia hivyo mama wit ili asijisikie vibaya ila baado yupo na msimamo wake tu wakuowa mke mungine 🙏🙏🙏🙏musipaniki jaman munajuwa lazima sele afanye hivyo ili awe kule hulu kabsa 🙏🙏🙏

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 3 года назад +11

    Mashallahu ZAHR nakupenda Kwa ajili ya Allah mungu awabar wote

  • @womanofsteel1402
    @womanofsteel1402 3 года назад +3

    Mama witi Yuko njia panda masikini ya Mungu,

  • @manasadunia3458
    @manasadunia3458 3 года назад +22

    Masha allah hongera sana Zahir kwa kazi nzuri

  • @wahidasalim5070
    @wahidasalim5070 3 года назад +15

    Wallah mama amefurahii😂😂😂

  • @EdinaMwakalinga-k8l
    @EdinaMwakalinga-k8l Месяц назад

    Kaka ongera sana kwa kazi nzuri mungu akubariki sana

  • @faridaelias7137
    @faridaelias7137 3 года назад +5

    Mungu akubariki sana kazi yako pia una vichekesho saana

  • @fatumahengo6849
    @fatumahengo6849 3 года назад +5

    Hongera zaher kwa kuikutanisha hii family

  • @mamafeisal2546
    @mamafeisal2546 3 года назад +10

    Hawa hawakuashana kwa kutaka kwao bali waliachaniswa so bado kila mtu ana hamu na mwenzie sio wa kulaumiwa walai

  • @zuhurakhamiss5412
    @zuhurakhamiss5412 3 года назад +2

    Mashalha Mungu Akufanyie wepesi kaka kwa moyo wako ukuzidishie umli mlefu

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 2 года назад +3

    Tumerudi tena kwa Msiba wa Suleman Allah Amsamehe makosa yake Allah Amlaze mahali pema peponi Amiin

    • @GfgGgh-v5z
      @GfgGgh-v5z 5 месяцев назад

      Kwan huyu kaka Suleiman alifariki?

  • @lailajeremia1259
    @lailajeremia1259 3 года назад +3

    Mashaallah Hongera baba Witi kwa kumpata mwanao

  • @abdulazizalqamshoaui8421
    @abdulazizalqamshoaui8421 3 года назад +7

    masha Allah nachek mwenyewe kwa sauti zahari na mama witi

  • @husnamwaikaro1291
    @husnamwaikaro1291 3 года назад +3

    Hapa mungu asimame tu mama witi na seleman I sijui

  • @sas7728
    @sas7728 3 года назад +5

    Hongereni maximum tv kwakazi nzuri 😍😍😍😍

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 3 года назад +14

    Hahahahahahaaaaaa yaani nimecheka na maneno ya mama whit eti wa Dubai hamtaki ananitaka mm Hahahahahahahaaaa.

    • @chainbre275
      @chainbre275 3 года назад +1

      True love banana

    • @ziadakisanga1011
      @ziadakisanga1011 3 года назад +1

      🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂yaan mie nimecheka kijinga mama kweli uyo mweu chezea kupenda wee

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 3 года назад +6

    Mashaaallah hongera sana Mama witness pamoja Na Baba mtoto wako

  • @osmanaliz235
    @osmanaliz235 3 года назад +4

    Mashallah zahir kwa kazi yako Allah akujalie kila la kheri inshallah

  • @zuhuraomar8849
    @zuhuraomar8849 3 года назад +6

    Mungu atawalipa kheri

  • @aminanahimana7346
    @aminanahimana7346 3 года назад +5

    Wow ama kweli Mungu ni mwema asante sana kwa kazi nzuri maximum team tunawapenda sana

  • @habibahadithi5080
    @habibahadithi5080 3 года назад +7

    Ila mama witi Amna kitu

  • @mamunote3507
    @mamunote3507 3 года назад +4

    Mashallah Mashallah
    Hongera sana Zahir Alwah awabarikie Ameen

  • @faithfulphilemon9890
    @faithfulphilemon9890 3 года назад +16

    Jamani Leo nimecheka sana aisee ,hii voice inaweza leta mtafaruko jmn

    • @hawababuu4350
      @hawababuu4350 3 года назад +3

      😂😂😂Umeona ee ila zahir anachekesha ati machozi hayakukutoka😂big up bro.

    • @aishafarzanah8172
      @aishafarzanah8172 3 года назад +1

      Umeonaeee

    • @mamanbinwashadrack2257
      @mamanbinwashadrack2257 3 года назад +1

      Umeona eee, yaani kanichekesha sana, MUNGU akulinde baba

  • @ellenmbota1241
    @ellenmbota1241 3 года назад +5

    Wewe zahir unavituko my son Mungu akubariki na timu yako

  • @timaosthman2304
    @timaosthman2304 3 года назад +11

    Kaka zahiri unafanya kazi vizuri sana mungu akulende na macho ya watu

  • @pilikhamis2924
    @pilikhamis2924 3 года назад +2

    Jamani uuuuiiiii nimecheka atari mungu awazidishie amina

  • @vero57
    @vero57 3 года назад +15

    Machine, 😂😂 we mama witi weee kazi kweli kweli 😀😀

    • @aminaali792
      @aminaali792 3 года назад

      🤣🤣🤣🤣

    • @hamidaala2832
      @hamidaala2832 3 года назад

      😃😂😃😂

    • @rahmaabdulla4949
      @rahmaabdulla4949 3 года назад +1

      Wala haogopi kama mumewake atasikia aikimsifia mume mwenzie. anaoneka mama witi kiumbe na rohoyake

    • @daishajumanne5990
      @daishajumanne5990 3 года назад

      @@rahmaabdulla4949 hajatulia huyu mama looh ngoja kimkute kitu

  • @hawa-luumiwrty3144
    @hawa-luumiwrty3144 3 года назад +7

    Mashaallah , Jambo jema- Wallahi

  • @RizikiMakayaShabani
    @RizikiMakayaShabani 3 месяца назад

    Safi sana kbs ❤❤❤❤❤

  • @barack1729
    @barack1729 3 года назад +12

    Hawa watu watakuja kurudiana maana inaonekana mke anampenda balaaáaaaa baba witness,

    • @chainbre275
      @chainbre275 3 года назад

      Nahata baba witin pia anampenda juu Wali fanya kutenganishwa

    • @barack1729
      @barack1729 3 года назад +3

      @@chainbre275 hawa warudiane tu, na mama witness kashaona jamaa anakaa mjini 😃😃😃 Tena dar, lazima mtu arudishwe tu

    • @chainbre275
      @chainbre275 3 года назад +1

      @@barack1729 mm kwangu naona Sawa tu ila itakua changa moto kwa mume wa mama witin

    • @barack1729
      @barack1729 3 года назад

      @@chainbre275 ni kweli jamaa ataumia Sana Yani

    • @janethkomba4485
      @janethkomba4485 Год назад

      @@chainbre275 wametenganishwa uku bado wanapendana♥️

  • @marryjackson6080
    @marryjackson6080 3 года назад +4

    God is good be blessed zahir 🥰❤️

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah1333 3 года назад +13

    Woyoooooo Mola awasimamie bro Zahir na wenzio wote

  • @ashaaaa3513
    @ashaaaa3513 3 года назад +1

    Kaka yangu zahr mungu akujaalie maisha marefu na yenye mwisho mwema ishaaalah

  • @abdulmustafa2148
    @abdulmustafa2148 3 года назад +11

    Niliwaikuambia hawa watu watarudiana

  • @aymanalharthy954
    @aymanalharthy954 3 года назад +6

    Maashaallah zahir wewe peke yako good job

  • @faridamkesso97
    @faridamkesso97 3 года назад +4

    Mama Wity Mngoni mwenzangu unanifurahisha sana jamani @zahir naomba no ya Mama Wity nataka nimpongeze Wakunyumba ndugu yangu, Mwenyezi Mungu akuzidishie kheri Zahir na Familia nzima ya Maximum Tv

    • @amour5535
      @amour5535 3 года назад

      Amiin inshaallah

  • @saidahj2543
    @saidahj2543 3 года назад +3

    Zahir una dhambi ww wallai🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ila asante kwa kukutanisha selemani na whitney...bravoo👏👏👏👏👏👏

  • @salamanauthartanzania6301
    @salamanauthartanzania6301 3 года назад +4

    Mashaallah ALLAH Akuzidishie kaka Zahir

  • @zuwena1zuwena114
    @zuwena1zuwena114 3 года назад +3

    Mashaallah hongera sana kaka 💛💛💛😍😍😍

  • @rukiakhamsin9220
    @rukiakhamsin9220 3 года назад +8

    🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka hatari ,yani hii ni mwisho wa mawazo 🤣🤣yani Huyu mama Witt asije haribu mahusiano ya sule ,na mama Witt achunge asiharibu ndoa yake

    • @carolinemariki4029
      @carolinemariki4029 3 года назад +2

      yaani kweli kama huyo mume wake anaangalia kipindi ndoa iko mashakani

    • @halimaburusi1776
      @halimaburusi1776 3 года назад

      @@carolinemariki4029 😂😂😂😂hatarini kidogo

  • @frolawihenge2078
    @frolawihenge2078 3 года назад +10

    Kaka Zahir hongera kwa kazi nzuri.

  • @lall2037
    @lall2037 3 года назад

    Zahiri mkali ww acha tuu unanifurahisha sana nilikuwa na hasira nilipoona hii nimefurahi na kucheka kwakweli uko vizuri kaka yangu

  • @3azxtv843
    @3azxtv843 3 года назад +2

    Khadija
    Mashaallah kafana na mtoto wake

  • @zainakuzenza759
    @zainakuzenza759 3 года назад

    Hongera maximum tv kazi nzuri

  • @chainbre275
    @chainbre275 3 года назад +6

    Afu Zahir nimengudua kwamba ww ndo unamuunganisha Sulaiman n'a n'a huyo binti wa Dubai si vibaya ila, Sulaiman anahitaji mwanamuke wa karibu wakumufariji c wa mbali aanze Tena kuumizwa n'a dry spells n'a ako Uhuru

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 3 года назад +4

    Huyo aliye watenganisha hawa wawili Mungu ndie atamhukumu, hawa watu walipendana sana

  • @RaimondiRukas
    @RaimondiRukas 4 месяца назад

    Asante kaka

  • @halimamiss8878
    @halimamiss8878 3 года назад

    mashallah wenyewe walipendana nuksi ni yule mama

  • @rahmamungu2nusulunatamaaza404
    @rahmamungu2nusulunatamaaza404 3 года назад

    Nakupenda sana kaka zahiri kwa kazi yako Mungu akulinde kwa mabaya yote,

  • @rehemaathhmani357
    @rehemaathhmani357 3 года назад +1

    Mashaallah mashaallah

  • @neemashabani8431
    @neemashabani8431 3 года назад

    Mungu wangu nimecheka sana mama witi wewe kiboko

  • @matatomlik1846
    @matatomlik1846 3 года назад +6

    Maashallah maashallah maashallah maashallah

  • @ZhukuJunior
    @ZhukuJunior Месяц назад

    Mwamba uko vizuri sana

  • @saudambinga3832
    @saudambinga3832 3 года назад +12

    Usihitimishe Zahir mpaka huyo kaka apate shughuri ya kufanya pls

  • @nussah3158
    @nussah3158 3 года назад +1

    Zahir unanogesha sana stories😅. Napenda unavyo wapasua vichwa, so funny walah. Well done. Jua ama you number one fan. Love from Sverige

  • @ismailinussoinusso6613
    @ismailinussoinusso6613 3 года назад +2

    Força zaher iam from Moçambique 🇲🇿🇲🇿 Moçambique

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule5312 3 года назад

    M/mungu anaweza saf sana

  • @zettyhassani2244
    @zettyhassani2244 3 года назад +1

    FURAHA japo maumivu yapo kidogo mama witi bado anampenda mwenzie

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 3 года назад +4

    We utaharibu ndoa za watu kama kusaidia kashasaidiwa sasa hayo mengine ungeyaacha

  • @جنيتكينيا
    @جنيتكينيا 3 года назад

    MashaAllah MashaAllah. hinterland nyote time zahir.hayo mengine yamchumba wake alitanianatu na aliye kua mwanzawake sidhani kama nikweli unampenda huyo bint.inshaAllah kila kitu kitakua sw

  • @neemamlope7155
    @neemamlope7155 3 года назад

    Honger kaka nataman na mim iwe hivy mungu akijali kaz nzur

  • @lucylucy3678
    @lucylucy3678 3 года назад

    Hii kitu kweli san nilitama sana kusikia nimefurah sana kusikia mama witness baba witness mashine hatar nimecheka mbk naumwa hatari kwel ila inauma san n ongera sana mama witness mungu akutangulie uishi milele n family yako ,kaka zahir nitakup zawad kubwa kw hili mungu azidi kukupenda milele daima.

  • @grandmaempiresecret
    @grandmaempiresecret 3 года назад +6

    Haaaaaaaha aki zahir utagombanisha ndoa za watu 😂😂😂😂😂😂

  • @Iragibarune1.
    @Iragibarune1. 3 года назад +1

    Yooo nimegundua kitu hapa hawa hawaku Hachana isipokua huyo shangazi yake ndie alie mfungisha ila walikua wamependa sasa walipo kutana nilazima wafurahiane
    Hongera sana zahiri kwa kuwa kits nisha

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 3 года назад +7

    Mashaa llaah

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 3 года назад +4

    Wow mashallah 😍

  • @kulusumhamis392
    @kulusumhamis392 3 года назад +1

    Hongera sana zahir Kila la kheri unajitahidi

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 3 года назад +6

    Mama witi woyooooooooo

  • @burundishallsmile1day109
    @burundishallsmile1day109 3 года назад +13

    Maswali yako ya Mitego, Zahir yatakuja vunja Ndoa za watu🤣

  • @allenmwambije8119
    @allenmwambije8119 2 года назад

    Yaani nimecheka sana mama Witt umenifurahisha sana mnatamaniana na baba chanja jamani mapenzi yanatatiza mhhhhhhhh

  • @SarumShamsu-yb7ur
    @SarumShamsu-yb7ur Год назад

    Ogera kaka kaz saaaaaf sana

  • @lavenalol5944
    @lavenalol5944 3 года назад

    MashaAllah mama wit kafurah sana kwakweli Alhamdulillah familia imekutana tena

  • @munamuna7488
    @munamuna7488 3 года назад +1

    Mama weeeeeeeeeee zahiri weeeeeeeeeee kapendwa mama mtto

  • @monadinadi5295
    @monadinadi5295 3 года назад +3

    Zahir kaka yng una maswali ya kuchekesha eti kumbe mwanaume wke Wa Kwanza

  • @leylahleylah4599
    @leylahleylah4599 3 года назад +1

    Mwenzetu keshakuwa star kwa kweli🤣🤣

  • @witneyjerry1293
    @witneyjerry1293 3 года назад +7

    Huyo kaka atafute biashara ya kufanya,mke atampata hukohuko kwenye mihangaiko ya maisha

  • @leylahbillah4876
    @leylahbillah4876 3 года назад +5

    Ahahaha nimecheka huyu mama ana visa jmn😂😂😂😂

  • @happynesskibona6658
    @happynesskibona6658 3 года назад +8

    Eti maji ya kuoga Baba watoto daaa hii kaliii🤣🤣🤣🤣

  • @theresias5289
    @theresias5289 3 года назад

    Tunashukuru kaka Zahiri kwa kuweza kumsaidia huyu kaka akaweza kumpata mtoto wake,Witness naye kumpata baba yake na kuweza kupata raha zote za Duniani,ni kweli umesema umefika mwisho ila tungeona maisha ya Sulemani akiwa na mtoto wake pamoja na maisha ya angalau ya kuanzia naamini ingependeza zaidi

  • @reemiiomar9386
    @reemiiomar9386 3 года назад +10

    😂 😂 😂 zahir jamani kwakuengeza chumvi

  • @charlesmatesorehani5012
    @charlesmatesorehani5012 3 года назад +1

    Zahir safi sana

  • @mamunote3507
    @mamunote3507 3 года назад +1

    Sio vizuri

  • @billylovebillybillylovebil580
    @billylovebillybillylovebil580 3 года назад +2

    Mashaallah🥰🥰😍🤩

  • @khdijahalmudhairb2147
    @khdijahalmudhairb2147 3 года назад +4

    MashaaAllah rahasana jaman

  • @zakiamsafiri123zakiamsafir7
    @zakiamsafiri123zakiamsafir7 3 года назад +1

    Hahaha kazi nzur timu maxmamu wote hahaha mama witines taratibu

  • @kihandamulomo8291
    @kihandamulomo8291 3 года назад +1

    Mama witi bd mdada xema maisha tu

  • @husnamwaikaro1291
    @husnamwaikaro1291 3 года назад +8

    🤗🤗🤗Mama witi amechangamkaa

    • @mariyaal5366
      @mariyaal5366 3 года назад

      Sana hadi raha yani

    • @sweetluc2660
      @sweetluc2660 3 года назад

      Mama witi huyo kama mzazi mwezako kwa Sasa mheshimu Mme wako uliyekuwa naye
      Kaka Zahir hongera kwa kazi yako nzuli Mungu azidi kukuinua zaidi na timu yako yote

    • @taturajabukhalfani7953
      @taturajabukhalfani7953 3 года назад

      Mawifi zangu tu hao wangoni ni shidaaa😂😂

  • @saudambinga3832
    @saudambinga3832 3 года назад +6

    Usifanye hivyo zahiri tutahitaji MREJESHO hapo baadae kujua maisha yake

  • @felistersmejumaa5188
    @felistersmejumaa5188 3 года назад +4

    Mashallah raha jamani