Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

Wastara aeleza kwanini ndoa yake na Mbunge imevunjika ndani ya siku 80

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 апр 2016
  • Mwigizaji Wastara anavyo vichwa vya habari Tanzania kutokana na ndoa yake kuvunjika ndani ya siku 80 akiwa kaolewa na Mbunge wa Zanzibar, hii ndio ndoa yake iliyowahi kukaa kwa muda mfupi zaidi.

Комментарии • 455

  • @marciakassimkassim9275
    @marciakassimkassim9275 8 лет назад

    Katwa wasii wote bongo...wasatra nakupenda.....coz unajieshim ..sana...nii mvumilivu sjapata kuona....Masha Allah.....yote yalo semwa kuusu kuvunjka kwa ndoa sikuamn...kher umesema kwa kinywa chako..pole kwa mitian....Yataisha in sha Allah..Nakuomba wastra kaa umepona na unanguvu...nenda ukafanye Hajji..uenda Allah anaeza itikia dua zako...mitan ikaisha in sha Allah...

  • @fainerjabil5343
    @fainerjabil5343 8 лет назад +7

    pole sana Wastara Allah akupe Subra na Akujalie Mme mwingine atakayejua thamani yako

  • @leahpeter8815
    @leahpeter8815 7 лет назад +7

    pole sana,bora kupata mume anayejua kubembeleza coz hela zinatafutwa..pole sana dada'ke

  • @jumakhamisi5588
    @jumakhamisi5588 8 лет назад

    pole sana my dear sister Wastara. nimeumia sana saaana ila naamini Mola yupo pmja nawe na malipo ni hapa hapa duniani atakulipia In sha Allah. HUKUMU yake ataipata hapa hapa duniani kwakukudhalilisha, kukukashifu, kukunyanyasa nakukuumiza moyowako, hakika kuna Wanaume wengine hawajui kupendwa wanaipata bahati lkn wanazichezea. hakuna kitu kimeniuma km kukuita screpa hlfu kuja kukukashifu na kukusingizia uongo imeniuma sana kwani naamini hakuna binaadamu aliekamilika na hujafa huhaumbika na wala wewe hukuomba uwe hivyo. M/Mungu atakufariji habibty. atakupa stara km jina lko lilivyo In sha Allah. Love you so muuuch my sister. shukran Kaka Ayo kwakutujuza.

    • @ibrahimfilipo5489
      @ibrahimfilipo5489 6 лет назад

      Alikuita skrepa
      Huyo
      Ni
      Mwanaume
      Kweli

    • @khadijatwahir9743
      @khadijatwahir9743 5 лет назад

      Jaman tuelewe uwez kumlaumu wastara kadakia mume wa mtu wakati dini yake inaruhusu tujitahidi kumpa pole

  • @saidikobossa7489
    @saidikobossa7489 8 лет назад +17

    Wastara you need my kind of husband.
    Nimeshaoa na sitaongeza mke but tuko wachache sana INSHA ALLAH, Utapata.
    Utapata mwenye uwezo wa kawaida na mtashiriki wote kujenga Maisha.
    INNA LLAHA MAASWABIRIIN

    • @ayubnsajigwa1037
      @ayubnsajigwa1037 6 лет назад +2

      wewe ni bora kuliko wanaume wanne waliyomshinda

    • @phinakamugisha6074
      @phinakamugisha6074 4 года назад

      @@ayubnsajigwa1037 kila Jambo linalotokea Lina sababu

  • @edinaedward9144
    @edinaedward9144 8 лет назад +8

    Da wastara pole mungu akuepushie kila lililo baya nakupenda sana

  • @janetbernad5258
    @janetbernad5258 8 лет назад +3

    pole sana wastara dada yangu nimekuona huruma sana .yote maisha .utazoea .ndo maisha ya kuolewa yalivyo

  • @janeedward8723
    @janeedward8723 8 лет назад +14

    Mdogo wangu Wastara, wewe ni mzuri umeumbwa ukaumbika. Pole sana kwa story zako zote, zinatia huruma, zinafundisha na kwa ukweii mhhuuu! pole na hongera. Ila wewe ni simba jike simama mwenyewe maisha unayaweza. Usiruhusu kujipa maumivu tena! Maisha yako si ya kuwafanya wengine kutajirika kwa kuandika na kuuza story juu yako. You are unique my dear, you are worthy my darling. stop counting marriages. Let God be your husband kama neno lake lisemavyo yeye ni mume wa wajane na baba wa yatima... Nakupenda sababu uko na moyo mkuu stop matatizo katika matatizo yako allow God to take control over your life.

  • @mendeadui5111
    @mendeadui5111 8 лет назад +2

    yaani wastra we kiboko...nimekuheshimu dadangu....kweli kabisa mume wa mtu who mtamu kabisa..hongera sana.

  • @lasoitantoya4260
    @lasoitantoya4260 8 лет назад

    Pole sana Wastara mimi nimekupata nikiwa Kenya kijijini Samburu.Nimejunza mengi sana .Huyo Mbunge ana mashetani ya mbunge pia anatatizo kubwa anahitaji si maombi tuu bali uhauri wa kimatibabu. Tafathali Millard huyu dada apewe Ulinzi wakutosha...huyo mbunge siamini aenda

  • @rosemsemwa2421
    @rosemsemwa2421 4 года назад

    Ushaur wangu kwa wastar hupaswi kumchukia uyo baba muombee maisha malefu ni mungu tu alikuunganisha nae ili upate sapota ya matibabu tu bas na sio vingine wacha maisha yaendelee

  • @marthalazaro1719
    @marthalazaro1719 6 лет назад

    pole Sana wastara uyomwanaume nijibu amekudhalilisha kwawatu kakufatamwenyewe alafuanashidwa kukuheshim. Mungu yupo usikurupuketena piausisikilize ushauliwawatu utakuponza.

  • @luckyasa3960
    @luckyasa3960 7 лет назад +10

    pole saana Mumy mungu atkuonyesha njia RIP sajuki

  • @sophiealexander8703
    @sophiealexander8703 8 лет назад +6

    Muombe mungu akupatie mume mwema kama marehemu sajuki. Pumzika kwa amani kaka sajuki

    • @violamosha5802
      @violamosha5802 6 лет назад

      Sophie Alexander kweli hakuna mume mwema kama Sajuki

  • @sakinasheidhan4642
    @sakinasheidhan4642 5 лет назад +2

    Pole sana wastara Allah atakusaidia utapata mume bora

  • @memoriserichard7193
    @memoriserichard7193 8 лет назад +1

    nakupenda sana wastara n pole kwa yaliyokukuta dada angu Mungu akubariki

  • @rehemakhamishassan9940
    @rehemakhamishassan9940 5 лет назад +1

    Daah.
    dada pole sana my dia na hilo dada lilikukuta kwa kuwa una stress dada ndio maana hukuchagua.
    lakini pia heshima ya familia na kujiheshimu kwako ndo kulifanya ukubali kuolewa.
    Napenda kukushauri kuwa usikate tamaa yupo aliyepangwa na akakuoa na akawa zaidi ya sajuki Mola hakuondishei ila hukuwekea kilicho kizuri zaidi.
    Nakupenda sana dada
    Natamani niwe na namba yako ya simu

  • @shamsakenya3093
    @shamsakenya3093 8 лет назад +2

    Subhana'Allah.Pole sana Dada
    .Usijali mungu atakupa mume mwenye imani InshaAllah usikate tamaa.

  • @mariakarey701
    @mariakarey701 8 лет назад +1

    pole Sana dada wastara Mungu yupo hutapata mwenye kukuthamini take time

  • @mickeyladyilikeyourvoice7851
    @mickeyladyilikeyourvoice7851 8 лет назад +3

    wastara twakuombea inshaallah Mungu atakujaalia upate mume unaemuhitaji kama sajuki inshaalla

  • @joycemartin5306
    @joycemartin5306 4 года назад

    pole Sana dada wastara.kiukweli Usio fichika Uyo mtu alitegemea kupata mafanikio kupitia ww. ila Mungu atakulipa kwa alio yafanya. namchukia Kiukweli maana yupo kama muuwaji hayo maneno sio kabisa

  • @mayadahassan357
    @mayadahassan357 8 лет назад +1

    Pole sana Dada yng. Ndo maisha inshaallh allh atakuajaalia Mwenye kher na ww

  • @mariammahaba5661
    @mariammahaba5661 8 лет назад +1

    mackini dadangu pole sana.hadi nahisi machoz.eti anakuita scrap?hukupenda ww uwe hivyo.ila hata yy ajafa ajaumbika.jipe moyo dada.na ulichukua uwamuzi wa sawa kabisa.ata MUNGU aliona.na in shaa ALLAH utayasahau yote hayo.pole sana kipenzi.

  • @ashagrills1319
    @ashagrills1319 8 лет назад +2

    duuuuuhhhh pole sana mungu atakujaalia utapata mume mwema

  • @eunicehemed9097
    @eunicehemed9097 8 лет назад +2

    pole sana wastara..poleee sanaaa

  • @athumannambombe4334
    @athumannambombe4334 8 лет назад +4

    Pole sana Ndugu ya Wastara unachopaswa kukielewa ni kwamba hizo ni Changamoto unazotakiwa Uzibadili ziwe Fursa, Usife Moyo!

  • @samsonpeter1891
    @samsonpeter1891 7 лет назад +7

    aki pole wastara. sikujui sana but have followed your history. for sure its painful but trust in God

  • @graciousjerry1322
    @graciousjerry1322 8 лет назад +1

    ooooooops!! 😢😢😢😢 am speechless! pole sana. wastara ww ni shujaa wangu! yaan ww ni kioo changu

  • @salvakimati1944
    @salvakimati1944 8 лет назад +1

    pole sana wastara. maisha ndivyo yalivyo na challenges zake

  • @ashapearubart2624
    @ashapearubart2624 8 лет назад +1

    Pole sana.mwenyezi mungu atakuletea mema.

  • @angelsjg2683
    @angelsjg2683 8 лет назад +3

    wastara na kupenda sana mama, pole sana

  • @anethlucas4045
    @anethlucas4045 7 лет назад

    pole mpenz wangu wastara mungu akupe itaji lamoyo wako nalipo usijali hata

  • @suleimanhega4982
    @suleimanhega4982 8 лет назад

    Pole sana; Bi. Wastara.
    Lakini hupaswi kukataa ndoa na juwa kuwa Binaadamu wote sio sawa. Ndoa ni jambo la heri na baraka ikiwa Mume au Mke watadumisha mambo haya; Upendo, Imani, Kuthaminiana, Kujaliana na Subra.
    Ushauri wangu kwako, Bado unaomuda kwavile wewe bado kijana mrembo sana, unapendeza si busara kukaa bila ya kitulizo cha moyo na nafsi kitakachokupa faraja. "Nacho ni Mume" Pole sana. ..Kwa kawaida wenye pesa au wanaopata pesa 'Huharibika kwa Jeuri, Kibri, Dharau na Kutokujali' Inatokana na kutokujielewa, anachoona yeye ni pesa tu ndio kila kitu. Pole sana. ...
    Nakukaribisha nyumbani Zanzibar na mimi naitamani hiyo nafasi ya (5).
    Kosa la Mpumbavu asiyejielewa lisitukoseshe wengine wenye nia na upendo wa dhati.
    "Inshaallah Mungu Akubariki na akulinde na husda pia akupe afya njema" AMIN. ..AMIN (0777481516)

  • @amosnyanda7848
    @amosnyanda7848 2 года назад

    Pole njoo mm nikuowe mwaya

  • @rafanasadiki1110
    @rafanasadiki1110 8 лет назад

    Wastara my sister katika maisha tunakutana na watu tofauti Sana

  • @marashtv8555
    @marashtv8555 8 лет назад +1

    pole sana dada wastara mungu atakupa mwengine insha allah

  • @saumuabdallah7484
    @saumuabdallah7484 8 лет назад

    hkna dhiki wa dhiki @wastara kuwa na subra in shaa allah utapata alobora zaid ya uyo.muombe mola kwa sna.maamuzi yko sio mabaya coz unajitahidi kuepukana na zinaa allah akufanyie wepec

    • @zuhuraali9983
      @zuhuraali9983 8 лет назад

      ishallah tunazidi kukuombea kwa allah take time ya kuolewa kwa allah hatupi mja wake

  • @johnjackson4363
    @johnjackson4363 5 лет назад +9

    Wasanii mnajua kiongea sana sikuamini 100% yafaa milad ayo tusikie na upande wapili

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr 3 года назад

      Upande wa pili tumeshasikia😁😁😁

  • @michaelmasijah724
    @michaelmasijah724 6 лет назад

    Wastara, you're a super woman kwa upande wangu nakuelewa sana!

  • @sirielsamweli5688
    @sirielsamweli5688 4 года назад +1

    Wastara pole hata mie nilikiona hicho kwa mume wangu,,,yaaaniii anakuja anakuta wageni ndani, anaingia kwa dharau anasema zima TV ,,, yaaaniii Mungu nisimamie ktk hili,,,wanawake tunapitia mambo mengi sanaaaaaaaa.

    • @mamiibatenga617
      @mamiibatenga617 4 года назад

      😢😢😢😢wengi wanakuwa ni maskini wakubwa,wamepata pesa ukubwani

  • @rehemasharriff7494
    @rehemasharriff7494 8 лет назад +1

    pole sana.wastar kwakujari usijali

  • @fatmajakamwalela7842
    @fatmajakamwalela7842 8 лет назад

    Pole sana dadaa mungu yuko pamoja nawe....wanao Sema mume wa mtu sumu sioni kama mko sawa kwani mume ana haki ya wake wa 4

  • @lasoitantoya4260
    @lasoitantoya4260 8 лет назад +1

    Hadi Saa Sita usiku12:00pm aah vipi mgeni alikuwa na shida kweli. Wastara your the Best#Kenya

    • @ashleyissa6483
      @ashleyissa6483 3 года назад

      Wanaume wa dizain hiyo wapo da wastar

  • @rizham6442
    @rizham6442 8 лет назад

    Subhana Allah!!! Pole Sana Wastara wengine SI wanaume magumegume ndio kama hayo

  • @fat-hiahuwel6206
    @fat-hiahuwel6206 8 лет назад +1

    Pole sn dada Wastara Mungu yupo pamoja nawe

  • @sanayairani222love2
    @sanayairani222love2 8 лет назад

    Pole sana wastara kwa mitihani inayokutokezea nausiache kumshukuru mungu kwani yote nimajaribio yake tu anatuangalia waja wake vp tutamshukuru au la

  • @janethjoseph5240
    @janethjoseph5240 4 года назад +1

    Pole sana wastara kwa janga hilo

  • @38wahida
    @38wahida 8 лет назад +12

    sijui kwann wastara alikubali kuolewa na yule jamaa ,jamaa ana matusi yule kama barazuli ,tabia zake yaan nadhan hakumjua tabia zake .ila ndio maisha .

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr 3 года назад

      😆😆😆😆😆😆

  • @annewetungumusuya9213
    @annewetungumusuya9213 8 лет назад +3

    Wastara ulipata wapi ujasiri wa kuenda moja kwa moja kuonana Na mke wa huyu jamaa? I fear to be a 2nd yf really cz matokeo ni machungu.pole Dada Gods time is the best

  • @marymugure2231
    @marymugure2231 8 лет назад

    pole dada, mungu amekubariki dada tafuta kijana mwenye hana...hakuna ndoa tamu kama hiyo. ..bt umheshimu kama mme ata kama hana ...

    • @annewetungumusuya9213
      @annewetungumusuya9213 8 лет назад

      Umenena my dia.Mume atabaki kuwa kichwa cha nyumba.awe maskini ama tajiri

  • @mergorethshirima1681
    @mergorethshirima1681 8 лет назад +1

    Pole sana dada nakupenda sana.

  • @sumaiyaabdi7078
    @sumaiyaabdi7078 7 лет назад +9

    Eti ameanguka kwa pikipiki mara amekwaruzwa jicho hahahahaha. what kind of a man was he? Those were not good signs & Who is this guy by the way? Daah tanzanian politicians are entertainers & entertainers are politicians.Sio mume yule wallah what a mess!
    Thank you millard for letting Wastara tell her story without interruption.its the best thing ive watched on YT today

  • @husseinkhassim5693
    @husseinkhassim5693 7 лет назад +5

    hv wanaume wenye dini wamekosa kwelii au ndo hvo unatafta wat maarufu dada maisha hayana rewind tafta mume mwenye dini ukae ktk mising ya dini ili uendeleee kumuombea kwa allah sajuki amuepushe na adhabu ya moto lakini naona unatembea kichwa waz sjakuelewa kiukweli Allah akujaalie uishi ktk misingi ya dini

  • @carrenkapia3921
    @carrenkapia3921 7 лет назад +6

    i love this lady so much

  • @twoten2547
    @twoten2547 8 лет назад

    Its true am one of your new supporter....... get back on your feet and move on....life is very short to let such scenes pull you back. Also be happy you made him love his wife back... yaani haukuvunja familia yake, atleast mahali popote walipo sasa wanajua tu ni wewe ndio ulisuluhisha matatizo ya ndoa yao. I salute you Big

  • @farajaalex1603
    @farajaalex1603 7 лет назад +4

    Edith umenifurahisha sana safi sana ubaguz sio mzuri ikiwa sote ni watoto Wa baba mmoja

  • @usnahbakary3770
    @usnahbakary3770 6 лет назад

    pole.sana.dd.wastara.mungu.atakupa.mume.mwema.vumilia2

  • @serodaflorans9249
    @serodaflorans9249 8 лет назад +1

    pole xana my dear mungu atakupatia wako just trust in God

  • @deusijohn3863
    @deusijohn3863 3 года назад

    Pole sana kwa mkasa ulipitia dada mungu atakusimamia

  • @miriamfritsi9183
    @miriamfritsi9183 8 лет назад

    pole,aunt nafurahi kwa kuwa unaongea kwa kujiamini sana,na kwa kweli wanawake yanatukuta sana kwenye ndoa zetu.hiyo ni changamoto kwenye maisha,muonbe sana mungu atakuletea mume wa ukweli,uchali ndugu yangu,wanawake kika kukicha tunajifunza mambo mengi sana ya wanaume.ila kitu kikubwa zaidi ni kuwa na afya bora,na maisha yaendelee mbele,wewe ni mwanamke shupavu .jiamini na utafanikiwa.29.4.16.

  • @sirialemmy37
    @sirialemmy37 8 лет назад

    Sajuki Sajuki!!!!! Lahaulaa, namani sana kuwa na mwanamke wa namna hii! duuuu God bless u my dia

  • @sabrinahkizzer5245
    @sabrinahkizzer5245 8 лет назад +1

    Mungu yupo atakulipa tu usiumie sana Dada angu 👏👏

  • @harunroyce161
    @harunroyce161 8 лет назад +2

    pole sana wastara

  • @hamedaabdultaleb635
    @hamedaabdultaleb635 8 лет назад +1

    Mh pole Dada mungu akujaalie subrah IPO siku utapata kitulizo cha moyo wako

    • @valentinemtei2927
      @valentinemtei2927 4 года назад

      Mambo ya kiundani sii vizuri kuyapeleka kwenye midia

  • @reginabwija1204
    @reginabwija1204 8 лет назад +1

    Nakupenda sana dada wastara

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie7443 4 года назад

    Pole sana dadangu love u

  • @dhatiaramadhani2200
    @dhatiaramadhani2200 8 лет назад +1

    pole sana Dada wastara love u

    • @asmaamornassor3446
      @asmaamornassor3446 3 года назад

      Pole mummy insha allah kua na subira utapata mume mwema muombe sana mwenyezi mungu

  • @sophiatesha9696
    @sophiatesha9696 7 лет назад

    pole xana Dada yangu mungu akupunguzie maumivu

  • @hawahamisi6237
    @hawahamisi6237 8 лет назад +2

    pole sana my dada mungu yupa moja nawe 😭

  • @bintirashidantybaby8146
    @bintirashidantybaby8146 8 лет назад +2

    subhanallah kweli majanga yani mpaka millard ameshikwa na baridi dooh

  • @shinatamar9727
    @shinatamar9727 8 лет назад

    pole sana ..mola yuko nawe dia wala usiwe na uchungu shukuru mola amekutibu hata kama sio pesa zake ipa ume tibika na kama aliona ata kuzazilisha basi aibu kwake maana hata mkewe mama watoto wake wame achana sebuse wewe nibora kwa mamuzi yako umefanya vyema sana

  • @shamimubinkhamisi8719
    @shamimubinkhamisi8719 8 лет назад +1

    subwanAllah pole sana dadangu mungu atakupa mume mtakae endan tabia kwa kwel Inshaa Allah and inaliza kwel
    umetufunza pia ss wadogo zako asnt
    tnx millard ayo god bless you bro

  • @nasrayahya2885
    @nasrayahya2885 6 лет назад +2

    du pole sana wasitala kiukweli unatia imani ktk hii ndoa yako ya huyo mweshimiwa kiukweli si wanawake tunapata mitihani sana ktk ndoa zingine tunazozipitia huyo hakuwa mwanaume bali nimtihani ulikufika hakuwa mwanaume wa thati kwako

  • @rashidarajabu7288
    @rashidarajabu7288 8 лет назад

    pole sana wastara mola atakujaalia wako wa pekeyako ,unakila kitu umejaaliwaa

  • @saadalacha8950
    @saadalacha8950 8 лет назад +2

    Da!!! pole sana dada

  • @scorpiorising_
    @scorpiorising_ 8 лет назад +1

    pole sana mama!!!!!

  • @sallykanze
    @sallykanze 8 лет назад +18

    Umeongea vizuri sana wastara,pole sana dadangu na nakupenda bure

  • @salmazena7388
    @salmazena7388 8 лет назад

    pole sana wastara uxijali mungu upamoja nawe dadaaa

  • @annananna7622
    @annananna7622 8 лет назад

    duh pole sana my dear hiyo ni hali ya dunia and God gives you strength

  • @ashamohammedashamohammed7401
    @ashamohammedashamohammed7401 8 лет назад +7

    pole my hakuwa mume huyo lilikuwa gumegume

  • @calvinmbwana1143
    @calvinmbwana1143 7 лет назад +3

    dah wastara hakika wewe nimwanamke unayejitambua. nmeumizwa sana na maelezo yako.

  • @barakalukosi2251
    @barakalukosi2251 3 года назад +1

    Sajuki ndo alikuwa mume wako tu mungu ampumzishe tu

  • @bihimomasemo4651
    @bihimomasemo4651 8 лет назад +1

    pole sana dada wastara

  • @rudphyneric1446
    @rudphyneric1446 5 лет назад

    Pole sana dada wastara kaa t ulee watoto wak wanaume akili hawana

  • @mamashakira3580
    @mamashakira3580 8 лет назад +1

    Usiwaze mamy mitihani tumeumbiwa mshukuru mungu kakuacha mzima

  • @jasminmoshi6851
    @jasminmoshi6851 4 года назад

    Nakupenda bure dadangu,uko muwazi sana

  • @carenewera1709
    @carenewera1709 8 лет назад

    Pole wastara God is there for you dear.

  • @erickjohn9787
    @erickjohn9787 8 лет назад +4

    duh huyo jamaa inabidi tumuite MIKWARUZO MAN.😀😀😀

  • @anisiamedard3775
    @anisiamedard3775 8 лет назад

    pole my sister maisha ni safari ndefu usikate tamaa pia mtegemee Mungu kwa kila jambo

  • @mohd46xmohd94
    @mohd46xmohd94 3 года назад

    Nakupenda wastara

  • @ernestjohanes9087
    @ernestjohanes9087 8 лет назад

    duh pole sanaaaa usijali dada tunakupenda wewe una roho nzuri

  • @jaystar1004
    @jaystar1004 8 лет назад

    pole xn mungu atakulipia..

  • @sudykamonongo5246
    @sudykamonongo5246 7 лет назад +1

    daah pole sana stara

  • @nuruhussein5318
    @nuruhussein5318 6 лет назад

    sikilizeni wastara hawezi kuka na mwanaume yoyote kwakua sajuki nikiboko yake hakuna atakae shika pezi ya sajuki Ilove you wasitara

  • @jacklinmacha5471
    @jacklinmacha5471 6 лет назад +7

    dada pole sana wanaume ni mbwa tena mbwa achana nao bora uishi peke yako

    • @jafferyphysics4025
      @jafferyphysics4025 6 лет назад

      Jacklin Macha
      baba ako umempa mifupa ale
      vp anabweka usiku

    • @khadijatwahir9743
      @khadijatwahir9743 5 лет назад

      Pole sana kwa majaribu mungu atakuvusha inshallaw

    • @norahponsiano1135
      @norahponsiano1135 5 лет назад

      Wanaume ni watu wa baya sana nibora uishi pekeako my dear wastara

  • @maggymm7302
    @maggymm7302 2 года назад

    Si hakuwah kukupenda kabisa ww ulikuaga project tuu kwake.

  • @shadrackgeorge4119
    @shadrackgeorge4119 6 лет назад

    Nakupongez sana dada kwa uwamuz uliouchukua, hakuna ktu kibaya Kama kunyanyasika na kudharauliwa, pia una busara sana na hekima.

  • @sophiamwambi5395
    @sophiamwambi5395 8 лет назад +1

    pole sana that's life u will move on

  • @veevictorius5116
    @veevictorius5116 3 года назад

    Wewe ni mrembo sana. Usifikirie Mambo ya ulemavu. Kuna walemavu wengi wanao mahusiano mazuri

  • @masharama1848
    @masharama1848 5 лет назад

    Pole sana mpenzi