Pole sana dadaangu iyo historia imenipa tumaini kubwa zaidi kwa Mola wangu Allah akufanyie wepesi Leo na kesho kiama baada ya hii story yako sasa nimekuelewa ummtu mwema uliepitia magumu
Usijar mungu yupo pamoja nawe kwakuamini ilo iyoajari ilikua. Kama gar ingekupiga kichwani ungekufa watoto wako wasinge pata mapenzi yako mungu ndio wakushukuliw Mimi mwezio Nina watoto yatima ambao nimeachiwa na ndunguzangu awajui hata mapez yawzz wao Kila siku kilio kwangu nakupenda wastara mungu akuzidishie uwezo
Ndo maana hukuwahi kumsahau marehemu, sasa ninakuelewa wastara, unahaki umkumbuke marehemu sajuki, tumuombee Allah amlaze pema peponi ameen,amfutie dhambi zake,🙏ni kweli mtu upo kamili tu na watu hawana uelewano iweje wewe unaupungufu wa kiungo, sajuki haikutakiwa kuondoka mapema hivyo, lakini Allah ana sababu kubwa ndio anajua zaidi tumshukuru Allah kwa kila jambo Alhamdullah🙏Du'a ni muhimu dear
Nimekupenda dear unaeleza vyema hapa wakujifunza zaidi ni wanaume , mjali familia zenu na kua na heshima ndani ya familia zenu ,pia wanawake hapa tujifunze kutafuta mana ukiachwa upate kwa kuanzia mnao tukana wote ni makinda wa uwezo wa kufikir ,mana hakuna alipo tukana bali anaelezea hisai zake na huenda ikamsaidia yy moyo wake kua huru na kupunguza hata presha
Jamani tuache kujidhalisha tumuongope mungu ufanye machafu yk kisha uje ujisifu kwenye media unajishusha thamani yk haswa mtu ambaye ameshakufa sio vizuri kumtaja Kwa mabaya
Haswaa! Kila Interview Wastara lazima amtaje Sajuki, hovyooo! Amemaliza kazi yake amwache apumzike kwa amani Kijana wa Watu. Wastara unatuchosha na ninaamini unaikera Familia ya Sajuki pia. Achana na maujinga yako mara umeng'ang'ania Wanaume, wanakutenda lkn hukomi. Wewe vipi? Halafu bila aibu unaeleza "Ushubwada " mtupu. Nimeamini Shule ni muhimu sana ktk kupambanua mambo. Uliwahi kueleza Process za kujifungua sasa hiyo inakusaidia nini kama si kujiumbua!!??.Bibi tupumzishe. Ulikuwa unamtishia Binti Kiziwi eti utamrudisha Gerezani China, kwanza wewe ni nani?. Z Anto alikuwa hakupendi alikutumia kama Daraja tu, kwa ufahamu wako finyu ukaingia mazima. Mwishowe Z kakukimbia. Ushauri: Tulia lea Watoto wako, vinginevyo utaendelea kupigwa Matukio kila uchao. Bye.
WASANII WETU WA BONGO MUVI NA BONGO FLEVA WANAFANANA....SASA HIVI WOTE WANAJIVUNA NA NGONO.....HATA HIVI VITIVII VYETU KUTWA KUZUNGUMZIA NGONO...BAHATI MBAYA SANA NDO WANAFUATILIWA SANA......
Itakuwa ndio kisa cha sajuki na shija kukosana maana walikuwa mabest ghafla wakakata mawasiliano kumbe walikuwa wanakutaka wote sajuki akamzidi bao mwenzie
NYIE NYOTE NI WAZINIFU WASHENZI NA MNAONA NI KITU CHA KAWAIDA KUZINI LAAANATU LAH MMESHA LAANIWA NA MUNGU NA SIKU YA KIAMA PIA MVAE HIZO NGUO ZA NDANI ZA KIKE WAAALANIFU WAKUBWA
Wastara honey,wanaume siku hizi pia wamegeuka wanataka kulelewa japo sio wote,lakini kwa ni hasara kumlisha mtu mzima na wala hana manufaa yeyote kwako,,afadhali huo upendo ujipe wewe na watoto,atakaye kupenda atakujali na kama hakujali atembee maana unawafanyia wema wanaku hurt,,,
Wastara tulia usitafute wanaume angalia maisha yako na watoto wako mahusiano hayana maana wanaumizwa watu wazima nakila kitu chao kuwa mgumu saivi fanya biashara yazo mahusiano usiyape kipaumbele
Yan ww wastara kama mm ata mm nikiwaza kitu au nikimtamkia mtu kitu lazima kimtokee kweli ata nikijiwazia mwenyewe lazima itokee sijui kwann mpaka huwa naogopaga sometime au naweza nikatabir labda mwez fulan siku fulan itatokea ivi na ivi na kweli ikifika siku inatokea kama nilivowaza huwa najiuliza ni kwann niko hivi sielewag kwa kweli
Wastara dear kila Jambo huwa na sababu zake,kama haukupata Akali isingejulikana cancer lakini ukapata Ajalii ndiyo cancer ikajitokeza,usingejuea hata ilikuwa ishapanda sana yote Nipangobya mungu kwani apangalo mungu Hakuna makosa na kila kitu kina sababu yake Kwa hiyo ajali ikaonekama ugonjwa mwengine,
Kuna watu humu ndani na makasiriko bt mm binafsi kama mwanamke nimejifunza kitu kutoka kwako wastara wewe ni muwazi kuna wengine wakifanyiwa interview wanashinda wakificha cjui ndo faida gani bt wewe kwa kusema ukweli wako toka moyoni wengine wanacomment na makasiriko c mfumbe macho msione akiongea sele
Unajuwa itavyu zingine izi mtizame Sasa sisi tukusaidie nn kusema abariya bikra yani Wana wake tunapenda kujizalilisha sijuwi kwann siuseme menginetu adiuseme bikra🙄 mjiongeze wadada Sema yote manenoyamapezi Sasa Yann
Yani analeta maisha yake binafsi mtandaoni sijui tufanyeje tatiz hawa watangazaji njaa wanatakiwa watuletee habari za maana na kuelemisha sasa hapa tunajifunza nn 🙄🙄upuuzi tu
Kwani alikwambia anaomba msaada wako,Nani kakuita humu kama hujapenda story yake na kuvutiwa nae,mijitu mingine haijitambui uliitwa na inakuuma wapi nawe upelekwe hospital, bikra yake inakusumbua wapi 🤔au wewe hukuwa nayo ndo maana bikra ya wastara inakuumiza🤔,nawe njoo utoe story yako kuwa hukuwa nayo hiyo bikra, humpendi mtu sasa watakiya nini Kuijua story yake???pita wende usitusumbue tupo busy na story ya wastara hebuuu!!
@@aairraahseif5648 awa Che upuuzi wake waa Sasa kunamtukazaliwa bila yabikra apa eti oomimi bikra yangu imetokea aritaka ikae adirini waache maneno yawatoto apo
Usitudanganye kwa wewe enzi hizo usingemkataa,usituongope, sasa zaman hukuwa rahisi na sasa? Bwana tabia ningozi usitudanganye ndo ilikuwa tabia yako ya u cheep, utaachwa Sanaa usipojirekebisha, saluki alikuvumilia tu ili maisha yaende
Mtu mzma ovyo huyu nae kajishushia heshima yake mwenywe tuleteeni mambo ya maana bana sio maisha ya wasanii wa bongo hakuna hata mmoja ambae ni mfano wa kuigwa wote awaeleweki tu hawa
Jamani kama hampendi why mnaingia kuharibu bando zenu, kuna vitu vingi vya kuangalia huku itwa huku, hupendi waweza sepa acheni ushamba, kila mtu ako na story ya maisha yake,hata wewe pia upo na story yako tena pengine zaidi yake,hutaki kujua why unasikiza?aaaaaa grow up weweeeee utamkataza mtu amependa ku share basi tuwe wasikilizaji wazuri 😄
Huyu nae Wastara tumekuchoka na maujinga yake. Mambo ya Wanaume anayapenda kuliko chakula. Tulia ulee wanao, hizo Interview zinakudhalilisha. Eti hutaki Wasanii wanapenda kulelewa!! Mbona Z Anton ulimlea na mwisho wa siku AKAKUMWAGA, jifunze kutulia ulee wanao. Tumekuchoka na maujinga yako. Shikamoo Z Anton, umetunyooshea huyu bi mkubwa, Wastara.
Mwenyezi mungu atakupa wepesi kwa kla jambo
Super woman,,wastara,,mwanamke na nusu,,,Mungu akuweke,,sweetheart
Pole sana wastara nimetoa hadi machozi 😭 jitahidi jirekebishe ayo mapungufu yanayoshusha personality yako nakupenda sana
Pole Sana Wastara kwa kuondokewa na mumeo
Very romantic,,sajuki mlipendana saaaaaaanaaa,,Ndio maana huwezi msahau,,ni sawa dear vumilia
Nakupenda sana huwa nakufatilia sana mdogo wg pole
Mimi nakuelewa zaidi Dada yangu......pole ucjali Yamepita Allah akulindw akuongoze na akujaalie afya njema wewe na familia yako.....
Hayo maneno ya mwishoni yamenigusa sana,unayatoa kwa hisia kubwa sana,Pole sana wastara
Pole sana dadaangu iyo historia imenipa tumaini kubwa zaidi kwa Mola wangu Allah akufanyie wepesi Leo na kesho kiama baada ya hii story yako sasa nimekuelewa ummtu mwema uliepitia magumu
Pôle dadangu nakupenda sana na manenoyako yanamafunzondani mwake nauzuli ukishajiona .mkubwa mambomengine unastafunayo maana yanatia aibu kilasiku ndoa
Pole sana
WEWE MWANAMKE MBAYA SANA MZINIFU NA UNAJIDAI MGANGA LAANAT LAH
Pole sana' Wastara
Usijar mungu yupo pamoja nawe kwakuamini ilo iyoajari ilikua. Kama gar ingekupiga kichwani ungekufa watoto wako wasinge pata mapenzi yako mungu ndio wakushukuliw Mimi mwezio Nina watoto yatima ambao nimeachiwa na ndunguzangu awajui hata mapez yawzz wao Kila siku kilio kwangu nakupenda wastara mungu akuzidishie uwezo
Nyie mnotoa mipovu mliitwa humu subirini izo habari mnozitaka mtizame sisi mwengine tuna penda👌
Tena watuache me unajua siwaelewi
👏👏👏😍😍Umetoa doz nzuri sana wacha wajitafute wakija humu na adabu zao,hawa kulazimishwa kuingia huku,na hupendi story ya mtu kaa kimya au ondoka
@@aairraahseif5648 😂🤣🤣🤣wamezidi
@@swaumujuma6333 wanataka kila siku mambo ayo ayo tuu sifibadilishe habari
@@asianfadhil4282 sindo apo sasa hii dunia mambo mengi kilasiku tunatangaza misada tu tuwatumzishe kidogo wanao changia🙏🙏🙏
Mungu akupe ujasiri kweli umepitia mengi magumu sana
Ndo maana hukuwahi kumsahau marehemu, sasa ninakuelewa wastara, unahaki umkumbuke marehemu sajuki, tumuombee Allah amlaze pema peponi ameen,amfutie dhambi zake,🙏ni kweli mtu upo kamili tu na watu hawana uelewano iweje wewe unaupungufu wa kiungo, sajuki haikutakiwa kuondoka mapema hivyo, lakini Allah ana sababu kubwa ndio anajua zaidi tumshukuru Allah kwa kila jambo Alhamdullah🙏Du'a ni muhimu dear
P
Mungu hawezi kumsamehe mwanadamu ambae hajatubu ye mwenyewe! Sahau, Mungu sio mwenyekiti wa mtaani kwenu!
P PPP
Daa pole sana dada .
Pole dadaangu wastara Kwa mitihani ulioipitia mtangazaji nnaomba muendelezo maana nampenda Sana dada wastara najifunza Kitu kutokana na histori yake
Pia mimi nampendaga sana wastara namuombea kwa Mwenyezi mungu aendelee kumlinda tuu
Yesu wangu pole na ajali mamaa
Wastara pole sana,nakupenda kwaajili allaah
Pole my sister mungu azidi kukutia nguvu
Pole mpnz mungu anasababu zake...🥰🥰🥰😍😍🥰 Allah akulinde mwayaa
Pole wastara story yako inanisikitishaga sana mpendwa mungu aendelee kujulinda ivyo ivyo....
Wewe ni mwanamke jasiri' Mungu yupo nawe 'pole kwa uliyoyapitia Wastara.
Point taken
Wanapenda kulemewa
kazi nzuri sana
Wastara ishi maisha yako,watoto wako,familia yenu pia na Mungu peke yake,Wacha mausiano Kwanza🇰🇪
😂😂😂😂
Duh!!!,pole sana dadaangu,Mungu mbele🌞🙏🇰🇪.
Ila wastara kila siku nasema mwili mkubwaaa saut nzuriiii maneno yakitoto tena yakipuuzii kabisa😀😀😀😀
Hahahaha ni kweli kabisa uyu dada anakua mwili ila akili zake zipo tu allah amzindue
Ameathirika kisaikolojia
Hadi nimelia pole sana
Pole sana dada yangu
Pole my dear
Jamani mbona tupo unafeli wapi????? inauma
Pole sana dada kwamitihani
Anasimulia umalaya wao Allah atuhifadhi
Umemtamkia neno baya niheri kama wewe ni mkamilifu ukamwombea abadilike kuliko kutamka udhaifu wa mtu
@@fidesbenard2836 baya lipo wapi hapo 😂
Jamani anayehukumu ni Mungu sio sisi viumbe binafsi nimejifunza kitu kuhusu Wastara
Pole mamie
Huyo Sajuki ndo chanzo cha we kuumia vibaya! Hivyo vijineno vya ajabu hutakiwi kumtamkia mwenzio! Alikutabilia mabaya!
pole sana dada
Nimekupenda dear unaeleza vyema hapa wakujifunza zaidi ni wanaume , mjali familia zenu na kua na heshima ndani ya familia zenu ,pia wanawake hapa tujifunze kutafuta mana ukiachwa upate kwa kuanzia mnao tukana wote ni makinda wa uwezo wa kufikir ,mana hakuna alipo tukana bali anaelezea hisai zake na huenda ikamsaidia yy moyo wake kua huru na kupunguza hata presha
Uyu dada anahitaji msaada muna tatizo
Jamani tuache kujidhalisha tumuongope mungu ufanye machafu yk kisha uje ujisifu kwenye media unajishusha thamani yk haswa mtu ambaye ameshakufa sio vizuri kumtaja Kwa mabaya
😢😢😢😢
Haswaa! Kila Interview Wastara lazima amtaje Sajuki, hovyooo! Amemaliza kazi yake amwache apumzike kwa amani Kijana wa Watu. Wastara unatuchosha na ninaamini unaikera Familia ya Sajuki pia. Achana na maujinga yako mara umeng'ang'ania Wanaume, wanakutenda lkn hukomi. Wewe vipi? Halafu bila aibu unaeleza "Ushubwada " mtupu. Nimeamini Shule ni muhimu sana ktk kupambanua mambo. Uliwahi kueleza Process za kujifungua sasa hiyo inakusaidia nini kama si kujiumbua!!??.Bibi tupumzishe. Ulikuwa unamtishia Binti Kiziwi eti utamrudisha Gerezani China, kwanza wewe ni nani?. Z Anto alikuwa hakupendi alikutumia kama Daraja tu, kwa ufahamu wako finyu ukaingia mazima. Mwishowe Z kakukimbia. Ushauri: Tulia lea Watoto wako, vinginevyo utaendelea kupigwa Matukio kila uchao. Bye.
Wastara pole sana
Lmlllmpl
WASANII WETU WA BONGO MUVI NA BONGO FLEVA WANAFANANA....SASA HIVI WOTE WANAJIVUNA NA NGONO.....HATA HIVI VITIVII VYETU KUTWA KUZUNGUMZIA NGONO...BAHATI MBAYA SANA NDO WANAFUATILIWA SANA......
Pore sana
Kwa nini usje nikuoe mimi hapa?
Ndoo Maan kila Siku unaachwa
leo nimenjarimbu niko wa.pili nipewe. likes
Jamani musimuone mujinga nimema alio tendewa nasajuki
Itakuwa ndio kisa cha sajuki na shija kukosana maana walikuwa mabest ghafla wakakata mawasiliano kumbe walikuwa wanakutaka wote sajuki akamzidi bao mwenzie
Sasa uyo wastala mi simwelewi jamani hao ndo ume kua chiz au ndo kulogwa
Hujakosea chochote anaongea ilivyokuwa pia hafufui makubarii kila mtu ataondoka
Wakwanzaa nipen like
Ila mtu ameshafariki bora usiyaseme maovu yake jaman....... hzo zinaa mara pombe muombee Mume wako uyaseme mazuri yake tu pole lkn
Ila mange alikwambia ww 😂 wasanii bana ila pole mwaya nasisi watizamaji tunajifunza kupitia ww
Inafanana na zainabu awezo mke wa jumaa awezo
Kiukwel mahusiano yana mateso jmn pole na ongera maana umejifunza teal
Vp kwasasa unmume
Wastara unaonekana ukipenda unapenda kweli nikingine wewe nimuwazi huficagi siri
Inalilah wainah rajuun badili yakumuombea dua leo unayasema mambo yke
Hongera sana dada yangu
Km ckuelewi huyu mtu jamani
Wakristu tungesema unahitaji delivarance. Sio kawaida. Pata maombi upate mahusiano yakisawasawa
NYIE NYOTE NI WAZINIFU WASHENZI NA MNAONA NI KITU CHA KAWAIDA KUZINI LAAANATU LAH MMESHA LAANIWA NA MUNGU NA SIKU YA KIAMA PIA MVAE HIZO NGUO ZA NDANI ZA KIKE
WAAALANIFU WAKUBWA
Wastara honey,wanaume siku hizi pia wamegeuka wanataka kulelewa japo sio wote,lakini kwa ni hasara kumlisha mtu mzima na wala hana manufaa yeyote kwako,,afadhali huo upendo ujipe wewe na watoto,atakaye kupenda atakujali na kama hakujali atembee maana unawafanyia wema wanaku hurt,,,
Jamaan
Sasa hivi wanaume wazuri wachache mno yamebaki magube gube tu ni kweli hawajali wanawake wao wako very selfish
Huyu naee hovyooo anatafuta kiki tuu kasahaulika sasa anaamua kuja kwa kasi za ajabu
Wastara tulia usitafute wanaume angalia maisha yako na watoto wako mahusiano hayana maana wanaumizwa watu wazima nakila kitu chao kuwa mgumu saivi fanya biashara yazo mahusiano usiyape kipaumbele
Kheri yako uko na ushauri mzuri my dear, ndivyo inapendeza kumpa ushauri🙏Sio wale wanapita kutukana haifai, ukimtukana waonekana wewe ndo hujielewi
Acheni kanumba apumuzike kwa amani nimiaka mingisasa
Wewe muongo semakweli
Huku unaongea ukweli wastara
Yan ww wastara kama mm ata mm nikiwaza kitu au nikimtamkia mtu kitu lazima kimtokee kweli ata nikijiwazia mwenyewe lazima itokee sijui kwann mpaka huwa naogopaga sometime au naweza nikatabir labda mwez fulan siku fulan itatokea ivi na ivi na kweli ikifika siku inatokea kama nilivowaza huwa najiuliza ni kwann niko hivi sielewag kwa kweli
Naomba unitabirie kabla ya mwez wa sita kama ntapata dem mwaminifu wa kuoa
@@ladislausngoyinde4384 hahaha fala wee nimecheka
@@beautyibrahim8428 serious, usicheke
@@beautyibrahim8428 hata kama utabir utarudi kwako mwenyew poa tu
Mbona kumsema vibaya marehemu vip umeshamuongelea z anto bado umerudi kwa kanumba kah dada ww sikuwez
Maneno yanaumba Allah mkari
Kumbe sajuki alikua domo zege 😂
Yani unanikumbusha series moja ya kihindi mwanaume alikuwa domo zege
Eeeeeee huna atauvivu yani mwanzo paka mwisho wstara akuna ata ulico jificiya
Eti huna uviv
Rudi kwa baba mtoto wako wa mwanzo ndiye aliye kutenda
Huyu kazi yake ni wanaume tu
Mtangazaji unaboa maswali yako hayana hata mashiko kama vip kaa kimyaa asimulie tuu
Wastara dear kila Jambo huwa na sababu zake,kama haukupata Akali isingejulikana cancer lakini ukapata Ajalii ndiyo cancer ikajitokeza,usingejuea hata ilikuwa ishapanda sana yote Nipangobya mungu kwani apangalo mungu Hakuna makosa na kila kitu kina sababu yake Kwa hiyo ajali ikaonekama ugonjwa mwengine,
Uyu dada anaoenda skendo mhhh
Kuna watu humu ndani na makasiriko bt mm binafsi kama mwanamke nimejifunza kitu kutoka kwako wastara wewe ni muwazi kuna wengine wakifanyiwa interview wanashinda wakificha cjui ndo faida gani bt wewe kwa kusema ukweli wako toka moyoni wengine wanacomment na makasiriko c mfumbe macho msione akiongea sele
Eti wastara kamkataa kanumba! Hata akimvulia chu** jamani ndo atatueleza sisi! Kanumba kashamvuruga huyu.
Huyu wastara huyu yaani story zingine kuongea saiv zinakusaidia nini za kanumba ameshafariki unaongea wewe tu
Huyu nae kaishiwa jitu zima hivyo
.
Duu atali sana
Inasikitisha maskini dada wawatu
Mpemba wa mwanzo ndio kamtia mikosi
Unajuwa itavyu zingine izi mtizame Sasa sisi tukusaidie nn kusema abariya bikra yani Wana wake tunapenda kujizalilisha sijuwi kwann siuseme menginetu adiuseme bikra🙄 mjiongeze wadada Sema yote manenoyamapezi Sasa Yann
Yani analeta maisha yake binafsi mtandaoni sijui tufanyeje tatiz hawa watangazaji njaa wanatakiwa watuletee habari za maana na kuelemisha sasa hapa tunajifunza nn 🙄🙄upuuzi tu
Kwani alikwambia anaomba msaada wako,Nani kakuita humu kama hujapenda story yake na kuvutiwa nae,mijitu mingine haijitambui uliitwa na inakuuma wapi nawe upelekwe hospital, bikra yake inakusumbua wapi 🤔au wewe hukuwa nayo ndo maana bikra ya wastara inakuumiza🤔,nawe njoo utoe story yako kuwa hukuwa nayo hiyo bikra, humpendi mtu sasa watakiya nini Kuijua story yake???pita wende usitusumbue tupo busy na story ya wastara hebuuu!!
@@zuleyvendor6577 siupite uende umelazimishwa , kama hupendi kusikiza vipi unapenda kusikiza habari zake,hebu pisha huko tuache wenyewe tusikize tuondolee kelele, chuki zingine hazina msingi
@@aairraahseif5648 awa Che upuuzi wake waa Sasa kunamtukazaliwa bila yabikra apa eti oomimi bikra yangu imetokea aritaka ikae adirini waache maneno yawatoto apo
Huyu dada nimeamini nimugonjwa wa hakri
Kwann unasema ni mgonjwa wa akili?
Umekwama wewe huna damu wala maji...usitufufulie makaburi ya watu wewe.. Nkt... jike chafu.
Usitudanganye kwa wewe enzi hizo usingemkataa,usituongope, sasa zaman hukuwa rahisi na sasa? Bwana tabia ningozi usitudanganye ndo ilikuwa tabia yako ya u cheep, utaachwa Sanaa usipojirekebisha, saluki alikuvumilia tu ili maisha yaende
Bint yangu wa kazi 17yrs😀😀😀anauliza huyu mtu mzima mbona anaongea mambo ya ajabu
Mwambie aache umbea afanye kazi😂😂😂😂
@@euniceulomi6135 hahahahhhhhhahhhah
@@nasoursaleh1662 naona kama kamsingizia we beki tatu yuko bize u tube angemwacha salama??
@@euniceulomi6135 hahhhhh kw kweli hahh
Atakua atayaona asiwe na haraka
Mtu mzma ovyo huyu nae kajishushia heshima yake mwenywe tuleteeni mambo ya maana bana sio maisha ya wasanii wa bongo hakuna hata mmoja ambae ni mfano wa kuigwa wote awaeleweki tu hawa
🤣🤣🤣😂😂😂😂
@@mariamsuma3003 Hawa maximum tv wameishiwa sasa wanatupotezea muda tu
🤣🤣🤣🤣
Wenawe kama hutaki kusikilza fumba macho
@@zuleyvendor6577 kwani mmelazimishwa kuangalia
Acha ujinga mama jitu zima wewe mshenzi mkubwa wewe acha kujidhalilisha kwa mitandao ulishakuwa kila siku ni wewe tu
Hahaha toba
Jamani kama hampendi why mnaingia kuharibu bando zenu, kuna vitu vingi vya kuangalia huku itwa huku, hupendi waweza sepa acheni ushamba, kila mtu ako na story ya maisha yake,hata wewe pia upo na story yako tena pengine zaidi yake,hutaki kujua why unasikiza?aaaaaa grow up weweeeee utamkataza mtu amependa ku share basi tuwe wasikilizaji wazuri 😄
Usitukane Sio sawa, yeye kama mshenzi wewe tukuite nani kutukana kama hivi tukuite taahira basi! kama yeye ni mshenzi au 🤣🤣
Haters uku mnafanya nini???mnaharibu bando bure😏😏😏
Tusimlie yako Basi ya jitu dogo
Huyu nae Wastara tumekuchoka na maujinga yake. Mambo ya Wanaume anayapenda kuliko chakula. Tulia ulee wanao, hizo Interview zinakudhalilisha. Eti hutaki Wasanii wanapenda kulelewa!! Mbona Z Anton ulimlea na mwisho wa siku AKAKUMWAGA, jifunze kutulia ulee wanao. Tumekuchoka na maujinga yako. Shikamoo Z Anton, umetunyooshea huyu bi mkubwa, Wastara.
Ahahahahhaha yan anapenda mambo yakufanywa huyu ahahahh
Hapati hitaji la moyo wake sajuki alimpenda kweli ndio maana hamsahau kila anapoumizwa anamkumbuka
Wastara dear pole saana my siser kwa yoote yalo kufika mungu akupe moyo wa kusubiri
Ni binaadam jaman ana hisia
Pole sana