KANUMBA ALINITONGOZA |NIKACHEZA NAE |SAJUKI |KANSA NDO MGUU UKAOZA NIKAKATWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 160

  • @halimahbwelele694
    @halimahbwelele694 2 года назад +2

    Mwenyezi mungu atakupa wepesi kwa kla jambo

  • @hellacredis5555
    @hellacredis5555 3 года назад +3

    Super woman,,wastara,,mwanamke na nusu,,,Mungu akuweke,,sweetheart

  • @asifiwekitunga4655
    @asifiwekitunga4655 3 года назад +3

    Pole sana wastara nimetoa hadi machozi 😭 jitahidi jirekebishe ayo mapungufu yanayoshusha personality yako nakupenda sana

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 Год назад +1

    Pole Sana Wastara kwa kuondokewa na mumeo

  • @hellacredis5555
    @hellacredis5555 3 года назад +1

    Very romantic,,sajuki mlipendana saaaaaaanaaa,,Ndio maana huwezi msahau,,ni sawa dear vumilia

  • @gracemahugi4380
    @gracemahugi4380 Год назад

    Nakupenda sana huwa nakufatilia sana mdogo wg pole

  • @ummuwawili
    @ummuwawili Год назад

    Mimi nakuelewa zaidi Dada yangu......pole ucjali Yamepita Allah akulindw akuongoze na akujaalie afya njema wewe na familia yako.....

  • @abdullaabdulla8618
    @abdullaabdulla8618 3 года назад

    Hayo maneno ya mwishoni yamenigusa sana,unayatoa kwa hisia kubwa sana,Pole sana wastara

  • @isihakanyirenda8474
    @isihakanyirenda8474 3 года назад

    Pole sana dadaangu iyo historia imenipa tumaini kubwa zaidi kwa Mola wangu Allah akufanyie wepesi Leo na kesho kiama baada ya hii story yako sasa nimekuelewa ummtu mwema uliepitia magumu

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk Год назад

    Pôle dadangu nakupenda sana na manenoyako yanamafunzondani mwake nauzuli ukishajiona .mkubwa mambomengine unastafunayo maana yanatia aibu kilasiku ndoa

  • @omeerrasheed7192
    @omeerrasheed7192 3 года назад +1

    Pole sana

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 7 месяцев назад

    WEWE MWANAMKE MBAYA SANA MZINIFU NA UNAJIDAI MGANGA LAANAT LAH

  • @salamanauthar5261
    @salamanauthar5261 2 года назад

    Pole sana' Wastara

  • @bintforogo6781
    @bintforogo6781 3 года назад

    Usijar mungu yupo pamoja nawe kwakuamini ilo iyoajari ilikua. Kama gar ingekupiga kichwani ungekufa watoto wako wasinge pata mapenzi yako mungu ndio wakushukuliw Mimi mwezio Nina watoto yatima ambao nimeachiwa na ndunguzangu awajui hata mapez yawzz wao Kila siku kilio kwangu nakupenda wastara mungu akuzidishie uwezo

  • @asianfadhil4282
    @asianfadhil4282 3 года назад +14

    Nyie mnotoa mipovu mliitwa humu subirini izo habari mnozitaka mtizame sisi mwengine tuna penda👌

    • @swaumujuma6333
      @swaumujuma6333 3 года назад

      Tena watuache me unajua siwaelewi

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 3 года назад +1

      👏👏👏😍😍Umetoa doz nzuri sana wacha wajitafute wakija humu na adabu zao,hawa kulazimishwa kuingia huku,na hupendi story ya mtu kaa kimya au ondoka

    • @asianfadhil4282
      @asianfadhil4282 3 года назад

      @@aairraahseif5648 😂🤣🤣🤣wamezidi

    • @asianfadhil4282
      @asianfadhil4282 3 года назад +1

      @@swaumujuma6333 wanataka kila siku mambo ayo ayo tuu sifibadilishe habari

    • @swaumujuma6333
      @swaumujuma6333 3 года назад

      @@asianfadhil4282 sindo apo sasa hii dunia mambo mengi kilasiku tunatangaza misada tu tuwatumzishe kidogo wanao changia🙏🙏🙏

  • @fedrickhaule8943
    @fedrickhaule8943 3 года назад +1

    Mungu akupe ujasiri kweli umepitia mengi magumu sana

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 3 года назад +11

    Ndo maana hukuwahi kumsahau marehemu, sasa ninakuelewa wastara, unahaki umkumbuke marehemu sajuki, tumuombee Allah amlaze pema peponi ameen,amfutie dhambi zake,🙏ni kweli mtu upo kamili tu na watu hawana uelewano iweje wewe unaupungufu wa kiungo, sajuki haikutakiwa kuondoka mapema hivyo, lakini Allah ana sababu kubwa ndio anajua zaidi tumshukuru Allah kwa kila jambo Alhamdullah🙏Du'a ni muhimu dear

  • @edwardmakonge3371
    @edwardmakonge3371 3 года назад +2

    Daa pole sana dada .

  • @sapnaabdallah1084
    @sapnaabdallah1084 3 года назад

    Pole dadaangu wastara Kwa mitihani ulioipitia mtangazaji nnaomba muendelezo maana nampenda Sana dada wastara najifunza Kitu kutokana na histori yake

    • @fidesbenard2836
      @fidesbenard2836 3 года назад

      Pia mimi nampendaga sana wastara namuombea kwa Mwenyezi mungu aendelee kumlinda tuu

  • @salmaluhombero8466
    @salmaluhombero8466 3 года назад +1

    Yesu wangu pole na ajali mamaa

  • @abubakarminya2329
    @abubakarminya2329 3 года назад +1

    Wastara pole sana,nakupenda kwaajili allaah

  • @neemamtangi368
    @neemamtangi368 3 года назад +2

    Pole my sister mungu azidi kukutia nguvu

  • @Ikkiyoongi
    @Ikkiyoongi 3 года назад

    Pole mpnz mungu anasababu zake...🥰🥰🥰😍😍🥰 Allah akulinde mwayaa

  • @fidesbenard2836
    @fidesbenard2836 3 года назад +2

    Pole wastara story yako inanisikitishaga sana mpendwa mungu aendelee kujulinda ivyo ivyo....

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 3 года назад +3

    Wewe ni mwanamke jasiri' Mungu yupo nawe 'pole kwa uliyoyapitia Wastara.

  • @aishaaboud4406
    @aishaaboud4406 3 года назад

    Point taken
    Wanapenda kulemewa

  • @fadmediatz
    @fadmediatz 3 года назад +2

    kazi nzuri sana

  • @theceefamily7764
    @theceefamily7764 3 года назад +2

    Wastara ishi maisha yako,watoto wako,familia yenu pia na Mungu peke yake,Wacha mausiano Kwanza🇰🇪

  • @theceefamily7764
    @theceefamily7764 3 года назад +3

    Duh!!!,pole sana dadaangu,Mungu mbele🌞🙏🇰🇪.

  • @nurukhalifa9413
    @nurukhalifa9413 3 года назад +4

    Ila wastara kila siku nasema mwili mkubwaaa saut nzuriiii maneno yakitoto tena yakipuuzii kabisa😀😀😀😀

    • @yahyahamad1802
      @yahyahamad1802 3 года назад +1

      Hahahaha ni kweli kabisa uyu dada anakua mwili ila akili zake zipo tu allah amzindue

    • @evasaimon6764
      @evasaimon6764 3 года назад +1

      Ameathirika kisaikolojia

  • @idayamataifakey7813
    @idayamataifakey7813 2 года назад

    Hadi nimelia pole sana

  • @bisafumaguy7959
    @bisafumaguy7959 3 года назад

    Pole sana dada yangu

  • @delefantasticali8377
    @delefantasticali8377 3 года назад

    Pole my dear

  • @kassimramadhani7903
    @kassimramadhani7903 Год назад

    Jamani mbona tupo unafeli wapi????? inauma

  • @zainabumbondei8635
    @zainabumbondei8635 3 года назад

    Pole sana dada kwamitihani

  • @sarahadam4535
    @sarahadam4535 3 года назад +1

    Anasimulia umalaya wao Allah atuhifadhi

    • @fidesbenard2836
      @fidesbenard2836 3 года назад

      Umemtamkia neno baya niheri kama wewe ni mkamilifu ukamwombea abadilike kuliko kutamka udhaifu wa mtu

    • @deelissa2746
      @deelissa2746 3 года назад

      @@fidesbenard2836 baya lipo wapi hapo 😂

  • @hadijamwekilinga1969
    @hadijamwekilinga1969 3 года назад +1

    Jamani anayehukumu ni Mungu sio sisi viumbe binafsi nimejifunza kitu kuhusu Wastara

  • @janepopular889
    @janepopular889 3 года назад

    Pole mamie

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 2 года назад

    Huyo Sajuki ndo chanzo cha we kuumia vibaya! Hivyo vijineno vya ajabu hutakiwi kumtamkia mwenzio! Alikutabilia mabaya!

  • @robbyissack8575
    @robbyissack8575 3 года назад +1

    pole sana dada

  • @bernadethacharles7913
    @bernadethacharles7913 3 года назад

    Nimekupenda dear unaeleza vyema hapa wakujifunza zaidi ni wanaume , mjali familia zenu na kua na heshima ndani ya familia zenu ,pia wanawake hapa tujifunze kutafuta mana ukiachwa upate kwa kuanzia mnao tukana wote ni makinda wa uwezo wa kufikir ,mana hakuna alipo tukana bali anaelezea hisai zake na huenda ikamsaidia yy moyo wake kua huru na kupunguza hata presha

  • @joycemagessa350
    @joycemagessa350 3 года назад +1

    Uyu dada anahitaji msaada muna tatizo

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 3 года назад +16

    Jamani tuache kujidhalisha tumuongope mungu ufanye machafu yk kisha uje ujisifu kwenye media unajishusha thamani yk haswa mtu ambaye ameshakufa sio vizuri kumtaja Kwa mabaya

    • @rehemasalim4590
      @rehemasalim4590 3 года назад +2

      😢😢😢😢

    • @kessynurutajiri4940
      @kessynurutajiri4940 3 года назад +1

      Haswaa! Kila Interview Wastara lazima amtaje Sajuki, hovyooo! Amemaliza kazi yake amwache apumzike kwa amani Kijana wa Watu. Wastara unatuchosha na ninaamini unaikera Familia ya Sajuki pia. Achana na maujinga yako mara umeng'ang'ania Wanaume, wanakutenda lkn hukomi. Wewe vipi? Halafu bila aibu unaeleza "Ushubwada " mtupu. Nimeamini Shule ni muhimu sana ktk kupambanua mambo. Uliwahi kueleza Process za kujifungua sasa hiyo inakusaidia nini kama si kujiumbua!!??.Bibi tupumzishe. Ulikuwa unamtishia Binti Kiziwi eti utamrudisha Gerezani China, kwanza wewe ni nani?. Z Anto alikuwa hakupendi alikutumia kama Daraja tu, kwa ufahamu wako finyu ukaingia mazima. Mwishowe Z kakukimbia. Ushauri: Tulia lea Watoto wako, vinginevyo utaendelea kupigwa Matukio kila uchao. Bye.

    • @athanaziakamana5300
      @athanaziakamana5300 3 года назад +1

      Wastara pole sana

    • @flayarkikala1453
      @flayarkikala1453 3 года назад

      Lmlllmpl

    • @clausemsemwa297
      @clausemsemwa297 3 года назад +2

      WASANII WETU WA BONGO MUVI NA BONGO FLEVA WANAFANANA....SASA HIVI WOTE WANAJIVUNA NA NGONO.....HATA HIVI VITIVII VYETU KUTWA KUZUNGUMZIA NGONO...BAHATI MBAYA SANA NDO WANAFUATILIWA SANA......

  • @ntungwanayoodette752
    @ntungwanayoodette752 10 месяцев назад

    Pore sana

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 2 года назад

    Kwa nini usje nikuoe mimi hapa?

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 3 года назад +4

    Ndoo Maan kila Siku unaachwa

  • @virginiakibe1846
    @virginiakibe1846 3 года назад +9

    leo nimenjarimbu niko wa.pili nipewe. likes

  • @halenejohn7789
    @halenejohn7789 3 года назад +1

    Jamani musimuone mujinga nimema alio tendewa nasajuki

  • @beautyibrahim8428
    @beautyibrahim8428 3 года назад +1

    Itakuwa ndio kisa cha sajuki na shija kukosana maana walikuwa mabest ghafla wakakata mawasiliano kumbe walikuwa wanakutaka wote sajuki akamzidi bao mwenzie

  • @jonasjohn1384
    @jonasjohn1384 3 года назад

    Sasa uyo wastala mi simwelewi jamani hao ndo ume kua chiz au ndo kulogwa

  • @fatumamakwaia1126
    @fatumamakwaia1126 8 месяцев назад

    Hujakosea chochote anaongea ilivyokuwa pia hafufui makubarii kila mtu ataondoka

  • @jamalhamad2132
    @jamalhamad2132 3 года назад +2

    Wakwanzaa nipen like

  • @ummuwawili
    @ummuwawili Год назад

    Ila mtu ameshafariki bora usiyaseme maovu yake jaman....... hzo zinaa mara pombe muombee Mume wako uyaseme mazuri yake tu pole lkn

  • @asianfadhil4282
    @asianfadhil4282 3 года назад +3

    Ila mange alikwambia ww 😂 wasanii bana ila pole mwaya nasisi watizamaji tunajifunza kupitia ww

  • @theodorapeter7698
    @theodorapeter7698 2 года назад

    Inafanana na zainabu awezo mke wa jumaa awezo

  • @mayaindeed4864
    @mayaindeed4864 3 года назад +1

    Kiukwel mahusiano yana mateso jmn pole na ongera maana umejifunza teal

  • @JumaAbdala-eg5nt
    @JumaAbdala-eg5nt Месяц назад

    Vp kwasasa unmume

  • @mwamininyabenda5950
    @mwamininyabenda5950 3 года назад +2

    Wastara unaonekana ukipenda unapenda kweli nikingine wewe nimuwazi huficagi siri

  • @fatmaalwy4853
    @fatmaalwy4853 3 года назад +1

    Inalilah wainah rajuun badili yakumuombea dua leo unayasema mambo yke

  • @abdallaabeid2951
    @abdallaabeid2951 3 года назад

    Hongera sana dada yangu

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 3 года назад +3

    Km ckuelewi huyu mtu jamani

  • @Kakwasi
    @Kakwasi 3 года назад

    Wakristu tungesema unahitaji delivarance. Sio kawaida. Pata maombi upate mahusiano yakisawasawa

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 7 месяцев назад

    NYIE NYOTE NI WAZINIFU WASHENZI NA MNAONA NI KITU CHA KAWAIDA KUZINI LAAANATU LAH MMESHA LAANIWA NA MUNGU NA SIKU YA KIAMA PIA MVAE HIZO NGUO ZA NDANI ZA KIKE
    WAAALANIFU WAKUBWA

  • @hellacredis5555
    @hellacredis5555 3 года назад

    Wastara honey,wanaume siku hizi pia wamegeuka wanataka kulelewa japo sio wote,lakini kwa ni hasara kumlisha mtu mzima na wala hana manufaa yeyote kwako,,afadhali huo upendo ujipe wewe na watoto,atakaye kupenda atakujali na kama hakujali atembee maana unawafanyia wema wanaku hurt,,,

  • @janepopular889
    @janepopular889 3 года назад

    Jamaan

  • @salmaluhombero8466
    @salmaluhombero8466 3 года назад

    Sasa hivi wanaume wazuri wachache mno yamebaki magube gube tu ni kweli hawajali wanawake wao wako very selfish

  • @augustinomakome4866
    @augustinomakome4866 3 года назад

    Huyu naee hovyooo anatafuta kiki tuu kasahaulika sasa anaamua kuja kwa kasi za ajabu

  • @asianfadhil4282
    @asianfadhil4282 3 года назад +4

    Wastara tulia usitafute wanaume angalia maisha yako na watoto wako mahusiano hayana maana wanaumizwa watu wazima nakila kitu chao kuwa mgumu saivi fanya biashara yazo mahusiano usiyape kipaumbele

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 3 года назад +1

      Kheri yako uko na ushauri mzuri my dear, ndivyo inapendeza kumpa ushauri🙏Sio wale wanapita kutukana haifai, ukimtukana waonekana wewe ndo hujielewi

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 3 года назад +1

    Acheni kanumba apumuzike kwa amani nimiaka mingisasa

  • @ndayizeyefredina-ni8uf
    @ndayizeyefredina-ni8uf 8 месяцев назад

    Wewe muongo semakweli

  • @asianfadhil4282
    @asianfadhil4282 3 года назад +4

    Huku unaongea ukweli wastara

  • @beautyibrahim8428
    @beautyibrahim8428 3 года назад

    Yan ww wastara kama mm ata mm nikiwaza kitu au nikimtamkia mtu kitu lazima kimtokee kweli ata nikijiwazia mwenyewe lazima itokee sijui kwann mpaka huwa naogopaga sometime au naweza nikatabir labda mwez fulan siku fulan itatokea ivi na ivi na kweli ikifika siku inatokea kama nilivowaza huwa najiuliza ni kwann niko hivi sielewag kwa kweli

  • @beautyibrahim8428
    @beautyibrahim8428 3 года назад

    Mbona kumsema vibaya marehemu vip umeshamuongelea z anto bado umerudi kwa kanumba kah dada ww sikuwez

  • @habibahamis5532
    @habibahamis5532 3 года назад

    Maneno yanaumba Allah mkari

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 3 года назад +1

    Kumbe sajuki alikua domo zege 😂

    • @bigirimanaflorence9099
      @bigirimanaflorence9099 3 года назад

      Yani unanikumbusha series moja ya kihindi mwanaume alikuwa domo zege

  • @alimashabani2252
    @alimashabani2252 3 года назад

    Eeeeeee huna atauvivu yani mwanzo paka mwisho wstara akuna ata ulico jificiya

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 2 года назад

    Rudi kwa baba mtoto wako wa mwanzo ndiye aliye kutenda

  • @emyemy2229
    @emyemy2229 3 года назад +3

    Huyu kazi yake ni wanaume tu

  • @irenemwakalinga4350
    @irenemwakalinga4350 3 года назад

    Mtangazaji unaboa maswali yako hayana hata mashiko kama vip kaa kimyaa asimulie tuu

  • @aminamarie2387
    @aminamarie2387 3 года назад +1

    Wastara dear kila Jambo huwa na sababu zake,kama haukupata Akali isingejulikana cancer lakini ukapata Ajalii ndiyo cancer ikajitokeza,usingejuea hata ilikuwa ishapanda sana yote Nipangobya mungu kwani apangalo mungu Hakuna makosa na kila kitu kina sababu yake Kwa hiyo ajali ikaonekama ugonjwa mwengine,

  • @irenejustine2765
    @irenejustine2765 3 года назад +1

    Uyu dada anaoenda skendo mhhh

  • @sarahbintimasibo7676
    @sarahbintimasibo7676 3 года назад +1

    Kuna watu humu ndani na makasiriko bt mm binafsi kama mwanamke nimejifunza kitu kutoka kwako wastara wewe ni muwazi kuna wengine wakifanyiwa interview wanashinda wakificha cjui ndo faida gani bt wewe kwa kusema ukweli wako toka moyoni wengine wanacomment na makasiriko c mfumbe macho msione akiongea sele

  • @salmaseif6284
    @salmaseif6284 2 года назад

    Eti wastara kamkataa kanumba! Hata akimvulia chu** jamani ndo atatueleza sisi! Kanumba kashamvuruga huyu.

  • @priscaoscar9263
    @priscaoscar9263 3 года назад

    Huyu wastara huyu yaani story zingine kuongea saiv zinakusaidia nini za kanumba ameshafariki unaongea wewe tu

  • @mariamgodfrey53
    @mariamgodfrey53 3 года назад +3

    Huyu nae kaishiwa jitu zima hivyo
    .

  • @swaumujuma6333
    @swaumujuma6333 3 года назад

    Duu atali sana

  • @genovivakaijage8336
    @genovivakaijage8336 3 года назад

    Inasikitisha maskini dada wawatu

  • @halimafazeli52
    @halimafazeli52 3 года назад +2

    Unajuwa itavyu zingine izi mtizame Sasa sisi tukusaidie nn kusema abariya bikra yani Wana wake tunapenda kujizalilisha sijuwi kwann siuseme menginetu adiuseme bikra🙄 mjiongeze wadada Sema yote manenoyamapezi Sasa Yann

    • @zuleyvendor6577
      @zuleyvendor6577 3 года назад

      Yani analeta maisha yake binafsi mtandaoni sijui tufanyeje tatiz hawa watangazaji njaa wanatakiwa watuletee habari za maana na kuelemisha sasa hapa tunajifunza nn 🙄🙄upuuzi tu

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 3 года назад

      Kwani alikwambia anaomba msaada wako,Nani kakuita humu kama hujapenda story yake na kuvutiwa nae,mijitu mingine haijitambui uliitwa na inakuuma wapi nawe upelekwe hospital, bikra yake inakusumbua wapi 🤔au wewe hukuwa nayo ndo maana bikra ya wastara inakuumiza🤔,nawe njoo utoe story yako kuwa hukuwa nayo hiyo bikra, humpendi mtu sasa watakiya nini Kuijua story yake???pita wende usitusumbue tupo busy na story ya wastara hebuuu!!

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 3 года назад

      @@zuleyvendor6577 siupite uende umelazimishwa , kama hupendi kusikiza vipi unapenda kusikiza habari zake,hebu pisha huko tuache wenyewe tusikize tuondolee kelele, chuki zingine hazina msingi

    • @halimafazeli52
      @halimafazeli52 3 года назад

      @@aairraahseif5648 awa Che upuuzi wake waa Sasa kunamtukazaliwa bila yabikra apa eti oomimi bikra yangu imetokea aritaka ikae adirini waache maneno yawatoto apo

  • @sabinashabani1165
    @sabinashabani1165 3 года назад

    Huyu dada nimeamini nimugonjwa wa hakri

    • @salmaseif6284
      @salmaseif6284 2 года назад

      Kwann unasema ni mgonjwa wa akili?

  • @calisterbosibori151
    @calisterbosibori151 3 года назад +2

    Umekwama wewe huna damu wala maji...usitufufulie makaburi ya watu wewe.. Nkt... jike chafu.

  • @sumayahfathi9413
    @sumayahfathi9413 3 года назад +1

    Usitudanganye kwa wewe enzi hizo usingemkataa,usituongope, sasa zaman hukuwa rahisi na sasa? Bwana tabia ningozi usitudanganye ndo ilikuwa tabia yako ya u cheep, utaachwa Sanaa usipojirekebisha, saluki alikuvumilia tu ili maisha yaende

  • @nurukhalifa9413
    @nurukhalifa9413 3 года назад

    Bint yangu wa kazi 17yrs😀😀😀anauliza huyu mtu mzima mbona anaongea mambo ya ajabu

    • @euniceulomi6135
      @euniceulomi6135 3 года назад +2

      Mwambie aache umbea afanye kazi😂😂😂😂

    • @nasoursaleh1662
      @nasoursaleh1662 3 года назад

      @@euniceulomi6135 hahahahhhhhhahhhah

    • @euniceulomi6135
      @euniceulomi6135 3 года назад

      @@nasoursaleh1662 naona kama kamsingizia we beki tatu yuko bize u tube angemwacha salama??

    • @nasoursaleh1662
      @nasoursaleh1662 3 года назад

      @@euniceulomi6135 hahhhhh kw kweli hahh

    • @salha.d5060
      @salha.d5060 3 года назад

      Atakua atayaona asiwe na haraka

  • @zuleyvendor6577
    @zuleyvendor6577 3 года назад +3

    Mtu mzma ovyo huyu nae kajishushia heshima yake mwenywe tuleteeni mambo ya maana bana sio maisha ya wasanii wa bongo hakuna hata mmoja ambae ni mfano wa kuigwa wote awaeleweki tu hawa

    • @mariamsuma3003
      @mariamsuma3003 3 года назад

      🤣🤣🤣😂😂😂😂

    • @zuleyvendor6577
      @zuleyvendor6577 3 года назад +1

      @@mariamsuma3003 Hawa maximum tv wameishiwa sasa wanatupotezea muda tu

    • @mariamgodfrey53
      @mariamgodfrey53 3 года назад

      🤣🤣🤣🤣

    • @asianfadhil4282
      @asianfadhil4282 3 года назад +3

      Wenawe kama hutaki kusikilza fumba macho

    • @semenimohamed8156
      @semenimohamed8156 3 года назад +3

      @@zuleyvendor6577 kwani mmelazimishwa kuangalia

  • @caslidajosephat8912
    @caslidajosephat8912 3 года назад +1

    Acha ujinga mama jitu zima wewe mshenzi mkubwa wewe acha kujidhalilisha kwa mitandao ulishakuwa kila siku ni wewe tu

    • @happylusinde9215
      @happylusinde9215 3 года назад +1

      Hahaha toba

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 3 года назад +1

      Jamani kama hampendi why mnaingia kuharibu bando zenu, kuna vitu vingi vya kuangalia huku itwa huku, hupendi waweza sepa acheni ushamba, kila mtu ako na story ya maisha yake,hata wewe pia upo na story yako tena pengine zaidi yake,hutaki kujua why unasikiza?aaaaaa grow up weweeeee utamkataza mtu amependa ku share basi tuwe wasikilizaji wazuri 😄

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 3 года назад +2

      Usitukane Sio sawa, yeye kama mshenzi wewe tukuite nani kutukana kama hivi tukuite taahira basi! kama yeye ni mshenzi au 🤣🤣

    • @euniceulomi6135
      @euniceulomi6135 3 года назад +1

      Haters uku mnafanya nini???mnaharibu bando bure😏😏😏

    • @salha.d5060
      @salha.d5060 3 года назад

      Tusimlie yako Basi ya jitu dogo

  • @kessynurutajiri4940
    @kessynurutajiri4940 3 года назад +2

    Huyu nae Wastara tumekuchoka na maujinga yake. Mambo ya Wanaume anayapenda kuliko chakula. Tulia ulee wanao, hizo Interview zinakudhalilisha. Eti hutaki Wasanii wanapenda kulelewa!! Mbona Z Anton ulimlea na mwisho wa siku AKAKUMWAGA, jifunze kutulia ulee wanao. Tumekuchoka na maujinga yako. Shikamoo Z Anton, umetunyooshea huyu bi mkubwa, Wastara.

    • @nurukhalifa9413
      @nurukhalifa9413 3 года назад

      Ahahahahhaha yan anapenda mambo yakufanywa huyu ahahahh

    • @theresiacostantine132
      @theresiacostantine132 3 года назад +1

      Hapati hitaji la moyo wake sajuki alimpenda kweli ndio maana hamsahau kila anapoumizwa anamkumbuka

    • @zaincocargo75
      @zaincocargo75 2 года назад

      Wastara dear pole saana my siser kwa yoote yalo kufika mungu akupe moyo wa kusubiri

    • @ummuwawili
      @ummuwawili Год назад

      Ni binaadam jaman ana hisia

  • @sophicatesalim9757
    @sophicatesalim9757 3 года назад +3

    Pole sana