Pole saana luludiva allah akupe subra katika kipindi hiki kigumu🙏🥰🥰 wangapi wamefurahi kuona interview ya kijanjanja ya mirad ayo ♥ twakupenda kaka uyu ndiyo King 🤴 of interviews ♥ 👌 🇴🇲 🇹🇿
Kwenye comments wengi wanalaumu Lulu kujibizana na hao waliomsimanga kuwa hajajenga kwao....lakini kiuhalisia hii story kwa upande wangu iko kifasihi Sana. Na ni story ya kitaaluma zaidi na Millard Ayo umeiendesha vizuri Sana. Kweli wewe umeiva kuinterview watu wa kila carrier. Kwa ujumla ukiisikiliza hii story Ina vitu vingi mno vya kujifunza. Mimi ninayependa fasihi nashauri Lulu kwa kushirikiana na Millard Ayo iwekeni kwenye kitabu ili jamii ijifumze zaidi. Nakupongeza Sana Lulu kwa kuamua kuleta hii story juu ya marehemu Mama yako. Inatufundisha mengi hata maisha yako ulimopita pia ni funzo tosha. Na yule atakayekuoa atakuwa amepata donge nono. Wewe ni malkia wa nguvu na ni wa mfano.
Napenda sana Diva akitabasamu anakua mzuri sana na anaongea vzr sana in short nampenda sana na Mungu amjalie maisha marefu na mazuri pia kajitoa sana kwa mamake
Take a heart Lulu, it's really painful and heartbreaking I feel your pain let's her soul rest in internal peace Pole Sana You're a strong woman according to what you passed through.
Pole sana wajna Lulu! Umeniliza wallah! Allah Amrehemu, Amsamehe Alipokosea na Amjaaliye jannat firdaus mama yako ameen. Nawe Allah Akuzidishie wepesi ameen
Pole mwanangu M/Mungu akupe Subra. Hio njia ni yetu soote. Kwake tumetoka na kwake ni marejeo. Kila nafsi itaonja mauti. M/Mungu akujaalie mume mwema wa dunia yako na akhera yako na pia akujaalie kizazi chema cha kike na kiume chenye kheri na wewe.
Pole Sanaa dadangu Lulu .... Allah atakulipa ujra wako na mamako Insha Allah huko kuugua kwake iwe ndoo msamaha wake kwa Allah na ndoo njia yake ya peponi ... Allah awasamehe wazazi wetu .. Allahuma Ameen
Millard ye so professional🙏I love yur sense of humor🙏Lulu may God bless ye ❤️I started following ye th day I spotted yur video n yur mom 👏I loved ye from that day 🙏❤️sending ye enough love from Zambia 🇿🇲
Mamako alifariki siku moja na mamangu mzazi na pia wametoshana umri na waliuguwa kwa miaka sawa😢😢😢😢inauma sana Mungu awampumzishe marehemu wote kwa amani
Watu Wanazungumza Tuu Coz Midomo Hailipiwi Vat Hawatizami Hata Age Ya Mtu Wanatiririka Tuu Sasa Umri Wa Lulu Ni Wakujenga Kwao Amepambana Lini Na Ajenge Lini Jamani Tuwe Na Kiac👐👐👐
Lulu katika umri mdogo miaka 27 ila umepitia mengi Mungu ampumzishe pema peponi mama lulu Umempambania sana mzazi wako ila Mungu kampenda zaidi😭😭😭😭ila interview yako imeniliza sana
Kuna watangazaji alafu kuna "MILLARDAYO"... interview ni ndefu but unatamani isifike mwsho, kama ilivyo siku zote..hongera sana mtu wetu wa nguvu Millard, Mungu azidi kukupa nguvu. Kuhusu Lulu, pole sana sana kwa kumpoteza mama yetu hyo ni mipango ya Mungu ata ungefanya nn bado ingefika mda, so pole sana. Kuhusu wewe ni shujaa na malkia wa nguvu wala hahitaji kutumia nguvu nyng sana kuwaonyesha/kuwaelekeza watu ulichokifanya kwenye maisha yako na kwa mama kiujumla..ata ungefanya kipi sisi wanadamu hatujawahi kukosa la kusema..so..usikate tamaa endelea kupambana utafika unapopataka Kwa uwezo wa wake Mola. Jinsi unavyojieleza inatosha sana kuonyesha uwezo wako mkubwa wa kujitambua km kuna mapungufu hyo ni kawaida Kwa ss binadamu, hakuna aliyekamilka.
Daah pole sana luludiva umepitia wakati mgumu sanaa sio kazi rahisi MWENYEZI MUNGu atakufuta machozi na atakupa furaha ya moyoni MUNGu ampunguzie adhabu ya kaburi 🙏🏼❤️
Pole Sana Lulu Allah amlaze mahala pema insha allah napia Allah akupatie Afya njema naww napia umepata Baraka zote za mama amini utaishi Maisha Mazuri Sana hapa Duniani lolote utakalo kulifanya litakua bila kipingamizi kwa uwezo Wa Allah ila umenitoa machozi lulu 😭😭😭
😭😭😭😭😭pole lulu .insh mungu atakupa mume mwenye kheri na ww..🙏💟.dah umejua kumpambania mama ako.uko na pepo yko kesho insh.insh mungu atakupa mume bora .
Kuna vitu vingi Sana nimejifunza kutoka kwako dada Lulu,umenifanya nimekuwa na nguvu ya kutokata tamaa, nimekupenda Sana na pole kwa matatizo kipenz🙏🙏🙏😓
Pole sana mrembo wetu ❤usijali mama amepumzika ameteseka sana mahali yuko hateseki tena.wewe pambana na maisha dadangu mwenyezi Mungu atazidi kukupa nguvu.
Watoto wakike wanakumbukwa tu wakifanikiwa ili wapeleke maendeleo kwenye miji ambayo wala siyo yao. Urithi hawapewi lakini wanangojewa wajenge ili wataifishwe. Big up Diva usijenge kijijini kama hujapewa eneo lako hapo.
Hiki kitu sio kizuri, kama unapenda mtoto wako wakike akifanikiwa asaidie nyumbani muwape pia sehemu ya urithi. Kama ww ni wakike hujapewa urithi kwa vile ni wakike usipojenga kwenu na una uwezo hakuna laana. Wasaidie mambo mengine kama chakula, matibabu n.k. kujenga watajenga wanaume wao walioona wanapaswa kupewa urithi
Kufiwa kufiwa kufiwa aisee hili neno lione na ulisikie kwa mwenzio omba yasikukute tena kufiwa na mama jamani nyie mama anauma 😭😭😭 niliuguza mama yangu hadi nikafikia hatua ya kukufuru naona bora afe apumzike mateso ya dunia ila leo hii natamani hata angekuwepo niwe namuona tu... Pumzikeni salama mama zetu😭😭😭😭
Chozi uliolimwaga mungu atakufuta kwa namna yake na hongera Sana umekuwa mdada jasiri na mwenye upendo na ninaimani upambanaji wako utakufisha mbali Sana pia unabaraka za mama hatuna cha kusema zaidi ya pole mungu akutie nguvu usimame imara kazi iendelee
😭😭😭😭💔💔Pole sana diva 😭Hakika mungu ni mwema wa kila jambo Allah amrehemu 😭hii ni safari ya kila mmoja kila nafsi itaonja umauti Allah atujalie mwisho 🙏🙏💔💔Allah awarehemu wazazi waliotangulia 😭 😭😭😭😭😭😭💔💔💔
Jaman me nakupenda sana kaka angu #Millard unamfariji mwenzio na kujitahidi kumuelewesha😊 na penda pia kazi zako and pole sana #Lulu kwa msiba wa Mama ww nimfano wakuiga japo kuna wazazi wengine sijui wapije unawafanyia wema hawaoni but Mungu atakulipa na nzuri zaidi ulikua unaelewana sana na Mama❤
O Allah, forgive Mwanaidi Ramadhan and elevate her station among those who are guided. Send her along the path of those who came before, and forgive us and her, O Lord of the worlds. Enlarge for her her grave and shed light upon her in it. ... Amin, Pole Sana dia Lulu
very touching story..safi sana lulu..pole sana kwa kufiwa na mama..Mungu ampumzishe kwa amani🙏..u are so courageous na umempigania mama sana..Mungu akupe nguvu dear its not easy🙏💪
Yeyote anae muuliza au msema hakujenga,kwanza huyo hajawahi uguliwa au fiwa na mama,uguliwa na mama miaka 7 sidhani hata kama waeza kua na wazo lakujenge ,ambe ana mkejeli lulu naye mzazi wake na augue tuje tumuone akisimamia mafundi wajenge.hebu kueni na utu. Kufiwa na mama siyo mchezo,mimi nilifiwa na mama najua uchungu wa mama,siwezi msema lulu zaidi ya kumuhurumia yatakauo mkuta akiwa hana mama,maisha si rahisi.🇰🇪
Maskin inahuzunisha 😭 Allah akuzidishie subra na akupe faraja baada ya mtihani na allah akujaalie upate mume mwenye kheri na wewe naamini ukishazaa na ukawa na familia watoto wako ndo watakuwa wanakufariji,najua kusahau ni vigumu sana Allah akutie nguvu maskini 😭 Allah ampe kauli thabiti mama 😭 Allahumma ighfirlaha warhamhaa waskanhaa fii janna yaa kareem 😭👏
Pole saana luludiva allah akupe subra katika kipindi hiki kigumu🙏🥰🥰 wangapi wamefurahi kuona interview ya kijanjanja ya mirad ayo ♥ twakupenda kaka uyu ndiyo King 🤴 of interviews ♥ 👌 🇴🇲 🇹🇿
Pole lulu wewe Ni shujaa sana una baraka zote za mama yako …. Mungu amlaze mahala pema peponi amina Amina
Allaahuma Ameeeeeeeeeeeen 🤲 😭 😭 😭
Pole Sana 😭😭,tuliofiwa na mama tunaumia na mengi tukiyaelezea yao,pumzikeni mama zetu wote mliotangulia mbele ya haki na marehemu wote🙏🏽
Aisee inauma sana miaka 20 sasa tangu kuondekewa na mama ni mambo mengi tu magumu lakini mungu yupo pamoja nasi🙏🏻
Allaahuma Ameeeeeeeeeeeen 🤲
😭😭😭😭😭😭
Amiin thuma amiin
ALLAAHUMMA AAAMIIN YAA RABBI 🤲
Kwenye comments wengi wanalaumu Lulu kujibizana na hao waliomsimanga kuwa hajajenga kwao....lakini kiuhalisia hii story kwa upande wangu iko kifasihi Sana. Na ni story ya kitaaluma zaidi na Millard Ayo umeiendesha vizuri Sana. Kweli wewe umeiva kuinterview watu wa kila carrier. Kwa ujumla ukiisikiliza hii story Ina vitu vingi mno vya kujifunza. Mimi ninayependa fasihi nashauri Lulu kwa kushirikiana na Millard Ayo iwekeni kwenye kitabu ili jamii ijifumze zaidi. Nakupongeza Sana Lulu kwa kuamua kuleta hii story juu ya marehemu Mama yako. Inatufundisha mengi hata maisha yako ulimopita pia ni funzo tosha. Na yule atakayekuoa atakuwa amepata donge nono. Wewe ni malkia wa nguvu na ni wa mfano.
Kweli pole Lulu
Sana
Abdul atafaidi eeeh
😍👏
Mwalimu wangu
Nimekupenda kwakweli,sio kutamani kuzaa tu , Mungu akupe ndoa ktk jina la Yesu, mpate watt wazuri!
Kwani UYo christu
Napenda sana Diva akitabasamu anakua mzuri sana na anaongea vzr sana in short nampenda sana na Mungu amjalie maisha marefu na mazuri pia kajitoa sana kwa mamake
Pole sana Lulu wang Mungu akupe maisha marefu 🙏i love you 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
God will see you through Lulu . My prayers 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Take a heart Lulu, it's really painful and heartbreaking I feel your pain let's her soul rest in internal peace Pole Sana
You're a strong woman according to what you passed through.
Ata Sielewi Ni Andike Nini Lulu Ume jua Kuniliza Mdogo Wang 😭😭😭😭😭Mungu Afanyike Faraja Kwako Ww Ni Shujaa Sana Nakupenda Sana 💕💕💕💕
Pole sana wajna Lulu! Umeniliza wallah! Allah Amrehemu, Amsamehe Alipokosea na Amjaaliye jannat firdaus mama yako ameen. Nawe Allah Akuzidishie wepesi ameen
Amen
Mirlad nakupenda saan kwaajili ya ALLAH 🥰 🥰 na Lulu umependeza mashaa Allah pole na 🤲🤲nakuombea
Pole sana Lulu Allah akupe subra na muombee dua kila cku Allah atakulipa kw upendo ulompa mama yko nakupenda sana.
Pole mwanangu M/Mungu akupe Subra. Hio njia ni yetu soote.
Kwake tumetoka na kwake ni marejeo.
Kila nafsi itaonja mauti.
M/Mungu akujaalie mume mwema wa dunia yako na akhera yako na pia akujaalie kizazi chema cha kike na kiume chenye kheri na wewe.
Pole Sanaa dadangu Lulu .... Allah atakulipa ujra wako na mamako Insha Allah huko kuugua kwake iwe ndoo msamaha wake kwa Allah na ndoo njia yake ya peponi ... Allah awasamehe wazazi wetu .. Allahuma Ameen
Amen
Weww ni shujaa wangu wa 2021 ulinipa hisia sana ktk kumuuguza mpk kufariki kwa mama yako.Mungu aendelee kumpa pumziko la milele.
Millard ye so professional🙏I love yur sense of humor🙏Lulu may God bless ye ❤️I started following ye th day I spotted yur video n yur mom 👏I loved ye from that day 🙏❤️sending ye enough love from Zambia 🇿🇲
Pole sana dada Lulu, najua jinsi gan umeumia, umenitoa machozi 😭😭😭😭
Pole sana dada,
Nina kumbuka shida nilio pitia kwaku mchunga Baba yangu alipo vunjika hip.
Machozi ime toka sana. Jipe moyo dada
Mamako alifariki siku moja na mamangu mzazi na pia wametoshana umri na waliuguwa kwa miaka sawa😢😢😢😢inauma sana Mungu awampumzishe marehemu wote kwa amani
amina sorry for your loss
Watu Wanazungumza Tuu Coz Midomo Hailipiwi Vat Hawatizami Hata Age Ya Mtu Wanatiririka Tuu Sasa Umri Wa Lulu Ni Wakujenga Kwao Amepambana Lini Na Ajenge Lini Jamani Tuwe Na Kiac👐👐👐
Lulu katika umri mdogo miaka 27 ila umepitia mengi Mungu ampumzishe pema peponi mama lulu
Umempambania sana mzazi wako ila Mungu kampenda zaidi😭😭😭😭ila interview yako imeniliza sana
Pole lulu Mungu awe nawe akupe neema ya moyo
Wewe safi sana
Wema safi sana😍😍
Kuna watangazaji alafu kuna "MILLARDAYO"... interview ni ndefu but unatamani isifike mwsho, kama ilivyo siku zote..hongera sana mtu wetu wa nguvu Millard, Mungu azidi kukupa nguvu. Kuhusu Lulu, pole sana sana kwa kumpoteza mama yetu hyo ni mipango ya Mungu ata ungefanya nn bado ingefika mda, so pole sana. Kuhusu wewe ni shujaa na malkia wa nguvu wala hahitaji kutumia nguvu nyng sana kuwaonyesha/kuwaelekeza watu ulichokifanya kwenye maisha yako na kwa mama kiujumla..ata ungefanya kipi sisi wanadamu hatujawahi kukosa la kusema..so..usikate tamaa endelea kupambana utafika unapopataka Kwa uwezo wa wake Mola. Jinsi unavyojieleza inatosha sana kuonyesha uwezo wako mkubwa wa kujitambua km kuna mapungufu hyo ni kawaida Kwa ss binadamu, hakuna aliyekamilka.
Muchlove Justine
Daah pole sana luludiva umepitia wakati mgumu sanaa sio kazi rahisi MWENYEZI MUNGu atakufuta machozi na atakupa furaha ya moyoni MUNGu ampunguzie adhabu ya kaburi 🙏🏼❤️
Hongera dada kwa kumpambania mama. Mwenyezi Mungu akupe ujasiri wa kulikubali hili. Wewe ni mama jasiri na mbeba majukumu.
Pole Sana Lulu Allah amlaze mahala pema insha allah napia Allah akupatie Afya njema naww napia umepata Baraka zote za mama amini utaishi Maisha Mazuri Sana hapa Duniani lolote utakalo kulifanya litakua bila kipingamizi kwa uwezo Wa Allah ila umenitoa machozi lulu 😭😭😭
😭😭😭😭story inaumiza jamani hakika umepambana Mdg Wang Mungu awapumzishe mama zetu kwa amani
This is really heartbreaking and ☹️ sad and painful to loss someone you love 💔 Pole da Diva
Lulu wangu Allah akupe afya njema na Umri mrefu InshaAllah ♥️♥️♥️♥️🙏🙏🙏🙏
Congratulation Lulu ..... Mama apumzike kwa amani ,,,,big up sana Millard nampenda one day ntafanyiwag interview na ww tu
lulu wewe ni jasiri hongera, pia pole Allah atakupa mume mwema na watoto wema
Usiombe yakukute,hapa utaona kawaida but ni hali ngumu,ngumu zaidi MUNGU AMSAIDIE SANA LULU DIVA NA ALLAH AMPOKEE MAMA YETU
Your strong woman lulu Mey Allah grant her in jannah
Pole sana Lulu 😢 Mungu yuko nawe na mama amekuachia baraka zake nyingi
😭😭😭😭😭pole lulu .insh mungu atakupa mume mwenye kheri na ww..🙏💟.dah umejua kumpambania mama ako.uko na pepo yko kesho insh.insh mungu atakupa mume bora .
Kuna vitu vingi Sana nimejifunza kutoka kwako dada Lulu,umenifanya nimekuwa na nguvu ya kutokata tamaa, nimekupenda Sana na pole kwa matatizo kipenz🙏🙏🙏😓
Pole lulu diva nakupenda kweli mdada unayejielewa mungu akutangulie katika shughuli zako upate watoto waige tabia yako
Exactly
She’s a Super woman 💪❤️
Mungu atakuwezesha inshallah lulu inauma xnaa muombe Dua mama ilo ndo la muhimu
The voice of truth says do not be afraid, u gonna be alright I promise ❤️
Mambo Uliyapitia na umri wako ni makubwa mno, Mwenye Ezi Mungu ajalie mema ya dhunia na akhera
Allah amrahamu mama na hakika unaradhi zake mutakutana kiyama
Pole sana Lulu Wewe ni shujaaa! Umepambana sana Mungu aendelee kukusimamia siku zote akupe mume mwema akujalie watoto♥️♥️♥️
Pole sana mrembo wetu ❤usijali mama amepumzika ameteseka sana mahali yuko hateseki tena.wewe pambana na maisha dadangu mwenyezi Mungu atazidi kukupa nguvu.
😭😭😭😭😭Pole sanaa mamy, Allah akufanyie wepesi kwenye kipindi hiki kigumu.
Daaah Pole sana lulu 😢, umepambana sana , Mungu akupe faraja kwa kweli
Mungu wa mbinguni pekee ndiye faraja yetu, mungu mpe faraja sana Lulu Diva
AMIIIN
Bless nyng mrembo wetu yamungu mengi Allah akupenda muombee inxhaallah huko aliko😢
Huyu msichana anapepo ya mama ake utaokuta Kesho Kwa allah my
Lulu natamani nikukumbatie kwa nguvu yu are so special lady Lulu
Pole sana Lulu Diva hakika Allah atakulipa kheri Inshallah 🙏🙏🙏
Pole mamii.....Mungu alikupatia usingiz mzito....ili2 usishuhudie mama akikata roho pole sana
The interviewer, what a beautiful man and a great listener. Lulu is gorgeous. My deepest love and comfort sis. ❤️
Pole sana lulu, Mungu atakulipa mema kupitia mazuri uliyomtendea Mama
Watoto wakike wanakumbukwa tu wakifanikiwa ili wapeleke maendeleo kwenye miji ambayo wala siyo yao. Urithi hawapewi lakini wanangojewa wajenge ili wataifishwe. Big up Diva usijenge kijijini kama hujapewa eneo lako hapo.
Huyu msichana ni mwema na mtiifu lkn wapo wasichana wengine wabaya na urithi kwa dini y kiislamu wanapata hata kama umri wake ni dakika moja
@@shifaaal-baity4503 Kuna mila hawazingatii dini.,mila nyingi za Kiafrica unakuta watoto wa kiume wanapewa, wakike wanaachwa
Hiki kitu sio kizuri, kama unapenda mtoto wako wakike akifanikiwa asaidie nyumbani muwape pia sehemu ya urithi. Kama ww ni wakike hujapewa urithi kwa vile ni wakike usipojenga kwenu na una uwezo hakuna laana. Wasaidie mambo mengine kama chakula, matibabu n.k. kujenga watajenga wanaume wao walioona wanapaswa kupewa urithi
@@trayfosaharrison9199 💯
Lulu umeniliza sana coz nilipoteza mama kwa kushindwa kumudu matibabu, Hii ya kwako imenikimbusha mbali sana😭😭
Kufiwa kufiwa kufiwa aisee hili neno lione na ulisikie kwa mwenzio omba yasikukute tena kufiwa na mama jamani nyie mama anauma 😭😭😭 niliuguza mama yangu hadi nikafikia hatua ya kukufuru naona bora afe apumzike mateso ya dunia ila leo hii natamani hata angekuwepo niwe namuona tu... Pumzikeni salama mama zetu😭😭😭😭
Ni maombi yang kwa Mungu ampe kila mwanamke mtoto wake hii interview imenigusa sana
tuloondokewa na mama ndo tunao jua chungu na mamumivu pole mamy hat mim imenigusa
Pole sana lulu ukilia namimi nalia nalia kwauchungu umasikini mbaya mbele zao nyuma yetu sote tusio na mama au tusio na wazazi
Polesana kwauliyoyafanya Allah atakulipa lnshallah Sasa ukae uswali umuombe Dua Allah. Amsamee amuingize peponi lnshallah
Malaika walikutoa nje uingie ndani kumuwekea mama Yasin akiwa kwenye sakaratulmait jazakallah kher
Chozi uliolimwaga mungu atakufuta kwa namna yake na hongera Sana umekuwa mdada jasiri na mwenye upendo na ninaimani upambanaji wako utakufisha mbali Sana pia unabaraka za mama hatuna cha kusema zaidi ya pole mungu akutie nguvu usimame imara kazi iendelee
Pole sana mamy, Mungu akutie nguvu kwa kipindi hiki kigumu🙏
Pole sana lulu may God give u strength you are a strong woman
Duu pole sana lulu mwenyez Munqu azid kukutunza na kukufunqaa❤️
Ulimpenda sana mama yako Mungu akubariki sana sana
Strong woman Luludiva ❤
I love you Lulu, no matter what they say nakuombea mamy
Daaaaah Mungu amtie nguvu huyu dada😭😭
Mwamamke kama huyuu ukimpta rahaa kwasababu keshamaliza kila kitu na hana kigeni tena huyuu mke washoka lulu WEEE ntafutee 😂😂😂😂
lulu allah akupe subra dadangu nasi sote tuliopoteza wazazi wetu allah awarahamu wazazi wote waliotagulia najikuta2 nalia wallah kuondokewa nikuzito
😭😭😭😭💔💔Pole sana diva 😭Hakika mungu ni mwema wa kila jambo Allah amrehemu 😭hii ni safari ya kila mmoja kila nafsi itaonja umauti Allah atujalie mwisho 🙏🙏💔💔Allah awarehemu wazazi waliotangulia 😭 😭😭😭😭😭😭💔💔💔
Dada lulu pole sana! Mwenyezi Mungu akutie nguvu!! Apumzike kwa Amani!!!
Jaman me nakupenda sana kaka angu #Millard unamfariji mwenzio na kujitahidi kumuelewesha😊 na penda pia kazi zako and pole sana #Lulu kwa msiba wa Mama ww nimfano wakuiga japo kuna wazazi wengine sijui wapije unawafanyia wema hawaoni but Mungu atakulipa na nzuri zaidi ulikua unaelewana sana na Mama❤
Masha llah Lulu mdogo wangu umeongea vzr sana raha ya watt uwepo kwenye ndoa
Pole Sana Mungu akutie nguvu 😭😭😭
Pole sana lulu kufiwa na mzazi alafu ukiangalia
U mezaliwa pekeako ni machungu sana wenye hali hii tunaijua vizuri ila nikumuombea kwa mungu
Mpare mwenzngu karibu uparen 🤲🙏❤️❤️❤️❤️🥰🥰🥰💯💯
Brother Millard ni no one
O Allah, forgive Mwanaidi Ramadhan and elevate her station among those who are guided. Send her along the path of those who came before, and forgive us and her, O Lord of the worlds. Enlarge for her her grave and shed light upon her in it. ... Amin,
Pole Sana dia Lulu
Allahuma Amiin
Pole umefanya bidii sana hiyo ndio ibada yako muombee mungu apumzike kwa amani wewe ni jasiri.sana wewe ninshujaa mdogo
Amin
Pole Saana Kwa Yote Lulu
M/MUNGU Aendelee Kukufunga Mkanda Ktk Nyakati Hizi Ngumu Kumpoteza Mzazi Mama Kwa Kweli Ni Zaidi Ya Maumivu
Pole sana lulu na mshukuru Mungu umemuuguza Mama yako
Tuliopitia hii hali tunakuelewa lulu mungu akupe nguvu zaidi
Lost my dad 12/9/21 due to pneumonia, i know what Lulu is feeling... Ain't easy at all.. Mungu atupe nguvu sote jemeni
Amen !!
Pole sana
Achana nao jukumu lako umemuuguza Mama na unatakiwa kujenga kwako na sio kwa babu
Mcheza kwao hutunzwa..my brothers..kwa moyo wa huyu dada ataweza yoote na mwenyezimungu atamtunza kuwa msaada wa familly zote...God is good...at all.
Big up madame Wema
very touching story..safi sana lulu..pole sana kwa kufiwa na mama..Mungu ampumzishe kwa amani🙏..u are so courageous na umempigania mama sana..Mungu akupe nguvu dear its not easy🙏💪
Shida zote ambazo amepitia lulu Kuna mbwa ya mtu inakuja kuhoji et kwann hakujenga kwao asee nimejikuta nalia asee Poole lulu mungu akupe nguvu
Yeyote anae muuliza au msema hakujenga,kwanza huyo hajawahi uguliwa au fiwa na mama,uguliwa na mama miaka 7 sidhani hata kama waeza kua na wazo lakujenge ,ambe ana mkejeli lulu naye mzazi wake na augue tuje tumuone akisimamia mafundi wajenge.hebu kueni na utu. Kufiwa na mama siyo mchezo,mimi nilifiwa na mama najua uchungu wa mama,siwezi msema lulu zaidi ya kumuhurumia yatakauo mkuta akiwa hana mama,maisha si rahisi.🇰🇪
Pole Lulu kwa msiba ..... Mungu akubariki kipenz Nakupenda wewe ni mwanamke shujaa
Umepambna Sana Lulu mungu niwawote kilam2 anachance yake kwenye maisha🙏
Maskin inahuzunisha 😭 Allah akuzidishie subra na akupe faraja baada ya mtihani na allah akujaalie upate mume mwenye kheri na wewe naamini ukishazaa na ukawa na familia watoto wako ndo watakuwa wanakufariji,najua kusahau ni vigumu sana Allah akutie nguvu maskini 😭 Allah ampe kauli thabiti mama 😭 Allahumma ighfirlaha warhamhaa waskanhaa fii janna yaa kareem 😭👏
Lulu pole sana ulilopitia nakijua wanaosema awajui uchungu wa kufiwa na mama
Dah! Pole Lulu. Mama is in a better place and free from pain🙏🙏
May lulu mum soul rest in peace...we love you so much our sister lulu.nairobi kenya tuko na wewe kwa prayers
Machozi yamenimwagika Lulu umenitonesha maumivu ya Mama hayaelezeki 😭, MUNGU akutie NGUVU kama alivofanya kwangu 💔😭 wapumzike salama Mama zetu 😭🙏
wema ana roho safi sana♥️♥️♥️
Saana mwenyezimungu amlinde
God will reward u Lulu. You did your part as a human, but God saw it good for her to rest.
This is so touching I’m so sorry LUlu May Lord gives you strength and rest your Mama in heaven Amen , I’m so sorry my dear 🙏❤️🙏🇬🇧
Pol sana Sana mamy 😭😭😭😭 MUNGU akupe moyo waimani na alaze mahapema pepuni 🙏🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Malikia wa nguvuu nakupenda sana wew dada allah akutunze