FULL INTERVIEW MKE WA MZEE YUSUPH,KIFO CHA MKE MDOGO,KUACHA MZIKI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 107

  • @maria_mutondioriginal5
    @maria_mutondioriginal5 2 месяца назад +9

    Beautiful malkia Leila Rashid ❤ wewe ni mke mwema kwa mzee Yusuf 👍

  • @jacobmurai6447
    @jacobmurai6447 3 месяца назад +8

    Tokea 🇰🇪 nampenda sana Malkia Leila. Mwanamke mkweli sana na mrembo mwenye heshima zake ❤❤ maisha marefu mama

  • @OmnSinijdi22
    @OmnSinijdi22 4 месяца назад +15

    Reytox napenda sana interview zako hongera sana unajua kumhoji mtu ❤❤

    • @reytox
      @reytox 4 месяца назад +1

      Asante sana

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 2 месяца назад +1

      Ndef lkn mpka niimlze yote aimlz utam

  • @hindukasimu525
    @hindukasimu525 2 месяца назад +2

    Allah ndio ajuae hatma yetu uwezi jua maisha yao hlf mzee aliacha mziki ghafla

  • @halimashaban7637
    @halimashaban7637 3 месяца назад +4

    The interviewer is doing a great job. Asking point by point

  • @JaneMshana-qn9xi
    @JaneMshana-qn9xi 2 месяца назад +2

    Yaani mko vizuri mnoo nimempenda Laila.anajieleza vizuri safi sana kazi njema

  • @SubiraShaaban
    @SubiraShaaban 2 месяца назад

    Hongerah sana mwanangu umekua na kazi nzuri sana pia, lyk mom lyk daughter❤

  • @chumuali9468
    @chumuali9468 2 месяца назад +2

    Kwa vile ashafariki usimtajie kuhusu hao wa awake wa nje. Kwa sababu ashafariki. Na huko oliko ni mbele ya haki. Muombe dua mw/Mungu amsamehe

    • @barbiepixie92
      @barbiepixie92 11 дней назад

      Lazima amtaje kwasababu ni mtu ambae walikua wameolewa na Mme mmoja

  • @AsiaSaleh-c4l
    @AsiaSaleh-c4l 29 дней назад

    Mashallah unajua kujibu sana ♥️❤️

  • @MwajumaFadhili-l8p
    @MwajumaFadhili-l8p 2 месяца назад +1

    Nakupenda san leyla kwa ajili ya Allah ❤❤❤❤

  • @FaridaFarida4
    @FaridaFarida4 3 месяца назад +5

    Hongera sana rey

  • @momsash9210
    @momsash9210 3 месяца назад +6

    Leyla ndo mm,ukija kweny himaya yangu kwa mbwembwe sitoki,kukukomesha

  • @phronimouslady1653
    @phronimouslady1653 4 месяца назад +10

    Anacheko zuriii mashallaaah 👌🏼❤️

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 2 месяца назад +3

    Nmpenda Rayla pengo lke jmn🔥🥰

  • @rukiaissa5180
    @rukiaissa5180 4 месяца назад +11

    Nampenda sana leyla❤

  • @jadetoto
    @jadetoto 3 месяца назад +15

    Leila ni mrembo wa Asili

    • @HafsaAlly-qw7mx
      @HafsaAlly-qw7mx 2 месяца назад

      Asili ipi hapo, manake nywele zina dawa, cream anatumia au ww huoni . Kwa mrembo ni mrembo hasaaaa ila sio wa asili km kina Monalisa na Shamsa Ford

    • @Niget-us1np
      @Niget-us1np 2 месяца назад

      ​@@HafsaAlly-qw7mxushamuon bab yake au ndg wa zake leila Ni murabu Ni rang yake acha makasiriko

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 2 месяца назад +3

    😂😂😂😂😂😂😂 Wallah nimecheka hapo pa kumchagua Dida '

  • @likanari
    @likanari 3 месяца назад +10

    Leyla mke mwerevu sana❤

  • @caritasmushi8896
    @caritasmushi8896 3 месяца назад +9

    Leyla anajibu vizuri na ni mkweli

  • @ElizabethWamcha
    @ElizabethWamcha 3 месяца назад +6

    😂😂😂apo kwa dida kutokaa kwenye ndoa chukua🎉🎉yko

  • @aureliakaijage1211
    @aureliakaijage1211 4 месяца назад +3

    Interview nzuri ❤

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 4 месяца назад +8

    Interview pambe hatar asante mtoto wa Sakina waliyoka kwa kipindi kizuli

    • @reytox
      @reytox 4 месяца назад

      Asantee sana

  • @MariamIbrahim-h7p
    @MariamIbrahim-h7p 3 месяца назад +3

    Nampenda lela

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 2 месяца назад +2

    Ndiomana Leyla haachwi na mzee Yusuf anajielewa sana

  • @LindaMbilinyi-n3n
    @LindaMbilinyi-n3n 3 месяца назад +15

    Uke wenza ni Kaz nyie asikwambie mtu,,,,namuelewa sana leila😢

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 2 месяца назад +1

      Mungu atuepushie aki😂😂

    • @pengefeza2563
      @pengefeza2563 2 месяца назад +2

      Tena ni dhambi.
      Mungu alimuumba mme mmoja na mwanamke mmoja tu.
      Mengine ni tamaa ya mwili na pupa ya ngono.
      Acheni kuchangia ngono ni uchafu mbele za Mungu.
      Mungu hapendi kuona watu wake wawe na uzuni.

    • @kissamwamunyange1018
      @kissamwamunyange1018 Месяц назад

      Uke wenza ni mzuri haswaa. Yaani wewe UKIONA mwenzio ana mdomo wewe kazi yako kukaa kimyaa tuuu. Yaani wewe zidisha ibada dharau Kwa kila kitu

    • @barbiepixie92
      @barbiepixie92 11 дней назад

      @@kissamwamunyange1018 hayajakukuta shoga😥 uke wenza usikie tu huko

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 2 месяца назад +2

    Leila, Punguza uzito magoti yatapona

  • @ZaynabZubeir
    @ZaynabZubeir 2 месяца назад

    Mtihani huu

  • @مريمزكواني
    @مريمزكواني 2 месяца назад

    Mashallah ❤

  • @ziadasalimu1730
    @ziadasalimu1730 4 месяца назад +4

    Ukewenza una uweza alikia

  • @JackIbra-b3f
    @JackIbra-b3f 4 месяца назад +3

    Hii imeenda rey

  • @JackIbra-b3f
    @JackIbra-b3f 4 месяца назад +4

    Akili mingi😂eti dida😂❤

  • @zenasalum2231
    @zenasalum2231 3 месяца назад +6

    Usipende kuzungumzia mabaya ya mtu alokufa unapata dhambi samehe nawe utasamehewa unapenda sana kumuongelea

    • @bintmrisho3526
      @bintmrisho3526 3 месяца назад +6

      Hajamsema kwa mabaya

    • @Thisisgrace979
      @Thisisgrace979 3 месяца назад

      Yani Kuna watu sio waelewa kabisa.​@@bintmrisho3526

    • @nashnene6326
      @nashnene6326 3 месяца назад +6

      Uzushi huo na majungu! Wewe ndio unae mzungumzia vibaya

    • @queenmichael5319
      @queenmichael5319 2 месяца назад

      Lakini na yeye ameolewa mke wa pili

    • @halimatutupa3149
      @halimatutupa3149 2 месяца назад +2

      Mbona makasiriko nduguyo nini hajamsema bibi waswahili tunakwambia sikiliza maneno😂😂😂

  • @annamussa185
    @annamussa185 2 месяца назад

    Mbona ushungi hautulii muda wote unaushika shida nn leila😊

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 3 месяца назад

    Jaman chiku alkua na vishindo
    Mungu amsamehe makosa yke
    😢😢😢
    Ila leyla utamchagua dida😂😂😂😂ili atoke kwa ndoa ubaki mwenyewe. HAKUNA MTU ANATAKA UKEWENZA

  • @sauda4505
    @sauda4505 3 месяца назад +4

    Yaan nimechekaaa leila weweeee😂😂😂

  • @zuenampandeni3347
    @zuenampandeni3347 2 месяца назад

    Ukewenza ni shida

  • @mrsmumewangu4907
    @mrsmumewangu4907 4 месяца назад +4

    Huyo Kaka ako sheikh ubwabwa mpe mtu ukweli Kisha atajua yy chakuchagua na nilichogundua nilikua nahisi leo nimepata ukweri mwanamke anaweza kukuingiza motoni Kisha unaongea kwafuraha unaona umetenda jema nakusema nishawazoea waja utakuja kujibu hayo mbere ya Allah Kuna wangapi wanapitia magumu kushinda ww na wapo pamoja na Mungu dah makonde limeniuzi leo

    • @barbiepixie92
      @barbiepixie92 11 дней назад

      Utalisha watoto wake akiamua kushinda msikitini?

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 2 месяца назад +1

    ❤❤️❤️

  • @MariamSaid-rk3qx
    @MariamSaid-rk3qx 2 месяца назад +2

    Kama hawa alimshawishi adamu kulatunda yeye ni nani? Tumuombe mungu atusamehe kwaKweli

  • @mercynadia3140
    @mercynadia3140 3 месяца назад +4

    Nampenda Leyla kufa

  • @rizikiabdalla2501
    @rizikiabdalla2501 2 месяца назад

    Huyo kaka akoo hajui dini

  • @fauziasultanikilewa7602
    @fauziasultanikilewa7602 3 месяца назад +3

    Huyu na dida tena😂😂

  • @kissamwamunyange1018
    @kissamwamunyange1018 Месяц назад

    Dida jamani😅😅😅😅😅😅😅kwanini hakai kwenye ndoa?

  • @witnessmlay7415
    @witnessmlay7415 4 месяца назад +2

    Umejibu kiakili sana kwa Dida hapo😂😂

  • @Ukhtyzuhura
    @Ukhtyzuhura 2 месяца назад

    Inna Lilahi Wa Inna Ilayhi
    rajiuun...huu msiba
    yaani unamshawishi aendelee kufanya maasia
    kwa ajili ya manufaa ya kidunia, hakika
    Allah awaongoze nyinyi
    pamoja na sote

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 3 месяца назад +1

    Reytox una macho mazuri na kadomo kako kazuri na kamwanya😂

  • @nathalieswedy3653
    @nathalieswedy3653 2 месяца назад +1

  • @alicesamson6316
    @alicesamson6316 3 месяца назад +2

    😂😂😂hapo kwenye dida

  • @AsiaSaleh-c4l
    @AsiaSaleh-c4l 29 дней назад

    Ila Leyla didaaaaa

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 2 месяца назад

    Me nampenda huyu dada nyie hata bila kuimba me nampenda tu alivyo anavyoongea na anaonekana ni mtu mwenye roho safi

  • @HabibaHassan-t2u
    @HabibaHassan-t2u 2 месяца назад +3

    Hapo kwa dida leila😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 2 месяца назад +1

      😂😂😂😂😂😂nmecheka mno😂😂😂

  • @salhawaziri1668
    @salhawaziri1668 3 месяца назад +1

    Sasa hilo shungi au kizibao ?

  • @Zainab-r8v1t
    @Zainab-r8v1t 2 месяца назад

    Sijui kesho mbele za Allah SW utasemaje???

  • @marymbogamboga8364
    @marymbogamboga8364 4 месяца назад +1

    Sidaa kuna ujumbee wako hukuuuu😂😂😂😂😂 nimejikuta nacheka kwa nguvuuuu😂😂😂

  • @amina-st4ol
    @amina-st4ol 4 месяца назад +2

    ❤❤❤❤❤❤

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 3 месяца назад +1

    Hahaha umejua kutuchekesha malkia

  • @lucymtui8680
    @lucymtui8680 3 месяца назад +3

    Jibu kwa didaa😂😂😂😂
    Hatari

  • @rosemarykipesha4242
    @rosemarykipesha4242 2 месяца назад

    Mtu huyu mkweli

  • @SalmaSheha
    @SalmaSheha 3 месяца назад +9

    Tatzo ww lela hujielewii kunatabu zaid yamoto wamung ww hujielew unamtia mwezio mattzoni uyokakaoko ndohajui mungu wala dini mtu mwenyedin atakwambia urud kwamziki hujielew lela hiiduniya achana nakuwapoteza watu

    • @AishaOmaromar-w2t
      @AishaOmaromar-w2t 3 месяца назад +5

      Sasa we ndio wajielewa sana kuliko wengine nyefu

    • @salemarahbi9171
      @salemarahbi9171 3 месяца назад +3

      Hivi ww umekamilika waacheni wajitafute riziki..Tatizo waislam mnaipa sana uzito dini ndiyo maana masikini

    • @halimashaban7637
      @halimashaban7637 3 месяца назад

      😂😂😂​@@AishaOmaromar-w2t

    • @AishaOmaromar-w2t
      @AishaOmaromar-w2t 3 месяца назад

      @@halimashaban7637 🤣Yani nyani haoni kundule

    • @halimashaban7637
      @halimashaban7637 3 месяца назад +1

      @@AishaOmaromar-w2t ndio maanake. Anatoa uchafu kwa jicho la mwingine ilhali hajioni jicho lake

  • @summayessayah8584
    @summayessayah8584 2 месяца назад

    Nimecheka alivyosema atamchagua Didah 🤣🤣🤣🤣

  • @KhadijaMzuri
    @KhadijaMzuri 3 месяца назад +1

    Kumbe leyla umeisha zowea waume zako ww ni wenye pesa tu

  • @azizirania63
    @azizirania63 Месяц назад

    Wee nawe wamchokonoa mwenzako,si ameshasema hataki kumuongelea marehemu😏

  • @ShemsaKiobya-x8h
    @ShemsaKiobya-x8h 3 месяца назад +1

    Acheni kumuongelea marehemu mbona ni kitambo amekufa

    • @nashnene6326
      @nashnene6326 3 месяца назад +1

      Na wewe kitulize hukoo, kufa kupo lkn duniani aliishi haiwezi futika hiyo

  • @ARAFATVSHOW
    @ARAFATVSHOW Месяц назад

    😂😂😂😂😅😅😅😅

  • @kessynurutajiri4940
    @kessynurutajiri4940 3 месяца назад +1

    Leila ww Mwanamke wa Kiislam, kuacha minywele wazi ndo nini? Hovyooo!

    • @HadiaAme-x5f
      @HadiaAme-x5f 2 месяца назад

      Uislamu sio jina ni tabia zà kiislamu huyo hana kabisa uislamu si masihara hata kidogo

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 2 месяца назад

    Huyu mama iblis kwelkwel 😢

  • @alsam4881
    @alsam4881 3 месяца назад

    Interview ni nzuri ila inapofika dakika kama ya 35:25 kuna makelele yanasikika ya kupigwa nyundo kwa nyuma, kwakweli inakera sana.

  • @mrsmumewangu4907
    @mrsmumewangu4907 4 месяца назад +1

    Mh ulianza kuchononolewa ukiwa mdogo mno miaka 16 hao wazazi wk walizidi duh

    • @fettymilly7664
      @fettymilly7664 3 месяца назад +3

      Mbna yeye kachelewaa sanaa😂😂😂😂😂😂

    • @ElizabethWamcha
      @ElizabethWamcha 3 месяца назад +1

      Kajitahid watu wameanza na miaka 10 qta ungo qwajavunja wamevunjwa kilazima na mijamqa yenye uchu😢

    • @munirahassan5969
      @munirahassan5969 3 месяца назад

      Kauri gani iyo

    • @africa7479
      @africa7479 3 месяца назад +2

      16 mdogo vp vitot vinavyojiuza vya miaka 10 si bora yeye aliolewa wew vip ulitaka azini mpaka afkishe miaka 40

  • @Ukhtyzuhura
    @Ukhtyzuhura 2 месяца назад

    Mtihan huu
    Allah alimvua kwenye maovu wewe ukamshawishi arudie??
    hakuna mkamilifu
    Allah anasamehe madhambi yote
    hamjachelewa kutubia
    hivi ukifikwa na mauti
    sasa hivi huo mziki
    uakusaidia nini huko
    akhera?? unakoka moto
    wa kwenda kuingia mwenyewe

  • @WahidaHilaly
    @WahidaHilaly 4 месяца назад +4

    ❤❤❤❤

  • @zeyanaalhabsi8636
    @zeyanaalhabsi8636 4 месяца назад +2

    ❤❤❤❤

  • @AshuraMnubi-qe4vy
    @AshuraMnubi-qe4vy 3 месяца назад +1

    ❤❤