Dah usimuone tu Niffer tu kafanikiwa? Asimulia stori yake hapa! Utatoka machozi! Kuuza Mitumba,
HTML-код
- Опубликовано: 1 июн 2023
- Alifukuzwa nyumbani kisa tu alishindwa kuuza Chakula! akaanza na mtaji wa Tsh 40,000/= kuuza MITUMBA! Baadae akawa anachukua nguo Kariakoo anauza kama dalali, leo hii anamiliki duka lake kubwa la nguo Niffer Fits na lina-trend sana, Sasa hivi yupo China anakuja na bidhaa zake mwenyewe na kafungua Niffer interiors. Stori hii ya Niffer lazima ikusisimue, unaweza kutoa machozi!
Anngalia Part 1 hapa, kuna part 2 pia ambayo kaongelea mambo yote, Mahusiano yake, Kupewa mtaji na Mwanaume na kila kitu.
Fanya ODA ya Big Boss Pizza 🍕 kwa website uletewe popote ulipo Dar bure + SODA KUBWA kwa Bei ya Offer Tsh 35,000/= tu, utatumia Promo Code ya BOSSLAO, Bonyeza link hii hapa, www.pizzahut.co.tz/orders/dea... Развлечения
Her natural beauty is everything ❤
Role model wngu 💯💯 go go girl babygirl❤️ proud of u Niffer🥰
Proud of her always pamoja ni mwana Yanga
Mashaallah nimejifuza mengi dd asante
Nakupenda
She's amazing, Bk moja hakutokagi mjinga
Mashallah mdada mzuri
Am so proud of her,yaani kila kitu anasema,she ahad to focuse on,,
Beautiful inside out
Niffer keep it up we love from kenya 🇰🇪 👏
I love you Niffer,I’m Christian but I like your 🧠 ❤
Mashaalah 😍
Nikweli kabisa🎉🎉
Gogoooo gooooo girl, keep t up
Very smart
Wew mzuri niffer acha Mungu akubaliki zaidi sio binadamu
Real talk than but humble plus hustle
Apa kizungu tutakijua tu sio Kwa point izo niffer❤
Namkubali Niffer Tuletee shilole amefanyiwa interview sana ila hachoshi
Good work.
Very Smart lady, hongera kwake sana sana ...
Dada mpambanaji hongera sana❤
Keep on sister,you wanna be someone special in this world,promise you 🙏
Good
Well done niffer.
Mungu akujalie, upo kama dada yangu Mwanaisha unajiamini💪💪💪
Nifffe nakupenda
Think about insurance
The #MVP
Niffer una akiri mno👍🏽👍🏽👍🏽😘😘😘
Niffer una akili sana... Kuna kitu nimekipata kwako hongera sana
Woooooooow wooooòw
Mtaji w masikini n nguvu zak, Big up san
❤❤❤So smart
Mungu mkubwa watu wanao kussema awakujuwi
intevw ya kinyama
Niffer ni mmoja tu
Haniffa nakukubali sana kila sku nakuangalia na kukubali umepambana sana siwez amini umejitoa sana zidi kupambana na jitahid kuwa karbu na Alwa
😢pole walikupiga treadmill ni laki 2-3 china
Hizi story bhana jaribu ushangazwe
😂
Bukoba kwetu Kagera moja
Wow it's amazing interview,I get something that can push me forward
Kwani omy wcb aliondoka
Ingia sasa ndio uone😭😭😭
Uki amuwa ku vaa stara va kisawasawa
Mungu aendeleye kukusimamiya😘
I.
Na me muuzaji wa vpoz nilifukuzwa kama ww iwish unisapot ni move on like u
Naipenda story yako lakini kingereza kingiiiii, ila hongera tu
GONGA LIKE TWENDE SAWA🎉
Kwani hiii interview inafanyika ulaya mbn kizungu sn
Sasa we so mtoto no jitu zima mbona
Kuna mtu nyuma yke anaye msapoti
Yes👍🏽
Anakitu ndo mana mtu yyte anaweza kumsapoti coz anajua she can do it
@@hopedaniel7360 sure kabsa
Home boy najivumia sana kuwa na mnyamwezi mwenzangu pande za usafini na kila kona maana umetokambali hadi hapo ulipofika tangu CG fm
No cyo CG FM alikuwa VOT FM ya rage
Wadada WA bongo Kwa kubuni umri WA Miaka Yao hawajambo,but mashaaala ila mupunguze kudanganya Miaka yenu please
Haya unaejua umri wake sasa ila binadamu bwana unataka akudanganye ndo uujue ukweli
Hajadanganya umri huyo, tumekua nae since mdogo na kweli ana 24 yrs
dada we waaajab kwa ulicho comment au umeenda age ww😂
Kisura ukimuangalia nizaidi ya 24
@@madinamahuba nikwel yuko na hyo miaka
Nikija dar nataman nifike dukan kwako lkn sijui lipo wapi nifahamishe
Mwananyamala A
Mbona kama 30-32 ivo Wa bongo wanapenda miaka 24😂
Hivi niffer kafanikiwa? Duhhh nchi ngum san hii
😁😁😁😁😁🤔bongo mtu ukitrend tu tayari umefanikiwa🤣🤣🤣🤣
Mafanikio ni subjective, wewe unaweza kuona sio mafanikio kutokana na utofauti wa vision zako ila kwa wengine wanamuona amefanikiwa coz hawajafika alipofika. Kwahiyo kuwa positive mpongeze na wewe utapongezwa katika yako
@@priscamwabulanga5294 bora hata umemjibu vizuri mie ningemuwakia aisee sipendagi watu wasio apriciate moves za wenzao its not fair at all
@@priscamwabulanga5294 upo na akili kubwa
Amefanikiwaaa kuwa na watyu wanaomuamini na kusimama nae kwakila Hali hayo nayo ni mafanikio na sidhan khama hela aliyonayo we unayooo kafanikiwa alivokua zaman so sawa na saivi unatakiwa support na khama hutaki ungeachaa tyu usicomment
Miaka 24ni mtu mzima huwez kusema mtoto wa miaka 24 sasa ulibadilisha kusema mwanamke nn 😅 kawaida niffer we ni mwanamke hatakama hujazaa bado
anapenda kujiita mtoto sijui utoto gan? alionao🙄🙄 na hilo li mwili
@@sifatiiman hawataki kukua mbona Kama vile ana miaka 30?
@@sifatiiman simpendi huyu mdada me Kwa misifaa
@@joycenicodemus.2232 Jitu zima tu mbona
@@mwanaherhussani7425 😂😂😂😂umeona kila mara anapenda sana kujiita mtoto kwa utoto gan sasa
Civics, 🫱GS -General Studies,🫱DS -Development Studies tukae humo 🫴.
😂😂
N mbona huyu dada amekomaa uso hivyo alafu anasema anamiaka 24 khaaa😂😂😂😂
Me Nina miaka 25 ila ukiniona utadhani Nina 30 so ni Kweli asemacho
@@pendojeremiah1023 watoto wa sku hzi japo nkwel nmiaka yake sio mkubwa mm namfaham ila wanakomazwa mambo ya kikubwa mapema
Sasa hivi anauza tako tu asitudanganye ana hasooo😂😂😂😂😂
Namsaidia anayejisaidia naomba hayo maandiko yako kitabu kipi katika biblia
Kumbe kana akili nyingi haka katoto, japo nimekazidi mwaka mmoja lakini kana maarifa