Dah usimuone tu Niffer tu kafanikiwa? Asimulia stori yake hapa! Utatoka machozi! Kuuza Mitumba,

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 июн 2023
  • Alifukuzwa nyumbani kisa tu alishindwa kuuza Chakula! akaanza na mtaji wa Tsh 40,000/= kuuza MITUMBA! Baadae akawa anachukua nguo Kariakoo anauza kama dalali, leo hii anamiliki duka lake kubwa la nguo Niffer Fits na lina-trend sana, Sasa hivi yupo China anakuja na bidhaa zake mwenyewe na kafungua Niffer interiors. Stori hii ya Niffer lazima ikusisimue, unaweza kutoa machozi!
    Anngalia Part 1 hapa, kuna part 2 pia ambayo kaongelea mambo yote, Mahusiano yake, Kupewa mtaji na Mwanaume na kila kitu.
    Fanya ODA ya Big Boss Pizza 🍕 kwa website uletewe popote ulipo Dar bure + SODA KUBWA kwa Bei ya Offer Tsh 35,000/= tu, utatumia Promo Code ya BOSSLAO, Bonyeza link hii hapa, www.pizzahut.co.tz/orders/dea...
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 104

  • @neemawekab2306
    @neemawekab2306 Год назад +11

    Her natural beauty is everything ❤

  • @natashasuleiman962
    @natashasuleiman962 Год назад +11

    Role model wngu 💯💯 go go girl babygirl❤️ proud of u Niffer🥰

  • @user-qv2rc5nm5s
    @user-qv2rc5nm5s Год назад +9

    Proud of her always pamoja ni mwana Yanga

  • @swariotibi6134
    @swariotibi6134 Год назад +2

    Mashaallah nimejifuza mengi dd asante

  • @issatwaha2768
    @issatwaha2768 Год назад +2

    Nakupenda

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official Год назад +4

    She's amazing, Bk moja hakutokagi mjinga

  • @SalimRashid-cq2pi
    @SalimRashid-cq2pi Год назад +3

    Mashallah mdada mzuri

  • @StephenWambua-qz1bb
    @StephenWambua-qz1bb 11 месяцев назад +1

    Am so proud of her,yaani kila kitu anasema,she ahad to focuse on,,

  • @Incrediblejona
    @Incrediblejona 16 дней назад +1

    Beautiful inside out

  • @sayeedfellah4706
    @sayeedfellah4706 Год назад +3

    Niffer keep it up we love from kenya 🇰🇪 👏

  • @pendojeremiah1023
    @pendojeremiah1023 Год назад +3

    I love you Niffer,I’m Christian but I like your 🧠 ❤

  • @shaanaseeb9423
    @shaanaseeb9423 Год назад +4

    Mashaalah 😍

  • @swariotibi6134
    @swariotibi6134 Год назад +1

    Nikweli kabisa🎉🎉

  • @aznatfrida5577
    @aznatfrida5577 Год назад +2

    Gogoooo gooooo girl, keep t up

  • @mgenikheri8006
    @mgenikheri8006 Год назад +1

    Very smart

  • @christinachazy8644
    @christinachazy8644 Год назад +3

    Wew mzuri niffer acha Mungu akubaliki zaidi sio binadamu

  • @IsHenryTz
    @IsHenryTz 8 месяцев назад +1

    Real talk than but humble plus hustle

  • @rahymaaa4357
    @rahymaaa4357 Год назад +3

    Apa kizungu tutakijua tu sio Kwa point izo niffer❤

  • @esterdoriye8377
    @esterdoriye8377 Год назад +5

    Namkubali Niffer Tuletee shilole amefanyiwa interview sana ila hachoshi

  • @carolinejosephmnyaga8869
    @carolinejosephmnyaga8869 11 месяцев назад

    Good work.

  • @user-nj2zh1sv2o
    @user-nj2zh1sv2o Год назад +5

    Very Smart lady, hongera kwake sana sana ...

  • @farajamlonganile2601
    @farajamlonganile2601 11 месяцев назад

    Dada mpambanaji hongera sana❤

  • @DamianAlphonce-ju4qw
    @DamianAlphonce-ju4qw Год назад

    Keep on sister,you wanna be someone special in this world,promise you 🙏

  • @OrgenessMassawe
    @OrgenessMassawe 2 месяца назад +1

    Good

  • @fatumadiriye6162
    @fatumadiriye6162 Год назад +2

    Well done niffer.

  • @mujibumuskula1786
    @mujibumuskula1786 Год назад

    Mungu akujalie, upo kama dada yangu Mwanaisha unajiamini💪💪💪

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Год назад +1

    Nifffe nakupenda

  • @fadhiliradjab4860
    @fadhiliradjab4860 11 месяцев назад

    Think about insurance

  • @charlesmasele8454
    @charlesmasele8454 Год назад +1

    The #MVP

  • @chany9950
    @chany9950 Год назад

    Niffer una akiri mno👍🏽👍🏽👍🏽😘😘😘

  • @annethelias4351
    @annethelias4351 Год назад +3

    Niffer una akili sana... Kuna kitu nimekipata kwako hongera sana

  • @aznatfrida5577
    @aznatfrida5577 Год назад +1

    Woooooooow wooooòw

  • @user-yv1tk7kp8c
    @user-yv1tk7kp8c Месяц назад

    Mtaji w masikini n nguvu zak, Big up san

  • @iddiali6982
    @iddiali6982 Год назад

    ❤❤❤So smart

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 Год назад +5

    Mungu mkubwa watu wanao kussema awakujuwi

  • @mmn7480
    @mmn7480 Год назад +1

    intevw ya kinyama

  • @sunrisekitchen1
    @sunrisekitchen1 Год назад

    Niffer ni mmoja tu

  • @bbsahl1242
    @bbsahl1242 11 месяцев назад +1

    Haniffa nakukubali sana kila sku nakuangalia na kukubali umepambana sana siwez amini umejitoa sana zidi kupambana na jitahid kuwa karbu na Alwa

  • @flackomasterbaddest4155
    @flackomasterbaddest4155 Год назад +4

    😢pole walikupiga treadmill ni laki 2-3 china

  • @broka_genius3615
    @broka_genius3615 Год назад +4

    Hizi story bhana jaribu ushangazwe

  • @mujunvicta6379
    @mujunvicta6379 Год назад +2

    Bukoba kwetu Kagera moja

  • @user-mi7gh6xy1l
    @user-mi7gh6xy1l 11 месяцев назад

    Wow it's amazing interview,I get something that can push me forward

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 Год назад

    Kwani omy wcb aliondoka

  • @AbdulSalim-wu8wo
    @AbdulSalim-wu8wo Год назад +1

    Ingia sasa ndio uone😭😭😭

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 Год назад

    Uki amuwa ku vaa stara va kisawasawa
    Mungu aendeleye kukusimamiya😘

    • @user-sq5yi3zd7t
      @user-sq5yi3zd7t 2 месяца назад

      I.
      Na me muuzaji wa vpoz nilifukuzwa kama ww iwish unisapot ni move on like u

  • @scollantandu2350
    @scollantandu2350 Год назад

    Naipenda story yako lakini kingereza kingiiiii, ila hongera tu

  • @Heisdivan
    @Heisdivan Год назад +3

    GONGA LIKE TWENDE SAWA🎉

  • @elizamichael8073
    @elizamichael8073 Год назад

    Kwani hiii interview inafanyika ulaya mbn kizungu sn

  • @mwanaherhussani7425
    @mwanaherhussani7425 Год назад

    Sasa we so mtoto no jitu zima mbona

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 Год назад +6

    Kuna mtu nyuma yke anaye msapoti

    • @chany9950
      @chany9950 Год назад

      Yes👍🏽

    • @hopedaniel7360
      @hopedaniel7360 11 месяцев назад +1

      Anakitu ndo mana mtu yyte anaweza kumsapoti coz anajua she can do it

    • @nancymdemeka1876
      @nancymdemeka1876 11 месяцев назад

      @@hopedaniel7360 sure kabsa

  • @mtaakwamtaa4425
    @mtaakwamtaa4425 Год назад +2

    Home boy najivumia sana kuwa na mnyamwezi mwenzangu pande za usafini na kila kona maana umetokambali hadi hapo ulipofika tangu CG fm

  • @rizoibrahimovich605
    @rizoibrahimovich605 Год назад +13

    Wadada WA bongo Kwa kubuni umri WA Miaka Yao hawajambo,but mashaaala ila mupunguze kudanganya Miaka yenu please

    • @mwanaidhamad8720
      @mwanaidhamad8720 Год назад +1

      Haya unaejua umri wake sasa ila binadamu bwana unataka akudanganye ndo uujue ukweli

    • @hamed_nassoro
      @hamed_nassoro Год назад +5

      Hajadanganya umri huyo, tumekua nae since mdogo na kweli ana 24 yrs

    • @davidkashaga5389
      @davidkashaga5389 Год назад +2

      dada we waaajab kwa ulicho comment au umeenda age ww😂

    • @madinamahuba
      @madinamahuba Год назад +1

      Kisura ukimuangalia nizaidi ya 24

    • @joyousjackson8352
      @joyousjackson8352 Год назад

      @@madinamahuba nikwel yuko na hyo miaka

  • @bbsahl1242
    @bbsahl1242 11 месяцев назад

    Nikija dar nataman nifike dukan kwako lkn sijui lipo wapi nifahamishe

  • @kibibisafi3331
    @kibibisafi3331 Год назад +1

    Mbona kama 30-32 ivo Wa bongo wanapenda miaka 24😂

  • @josephinemosha5234
    @josephinemosha5234 Год назад +5

    Hivi niffer kafanikiwa? Duhhh nchi ngum san hii

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Год назад +2

      😁😁😁😁😁🤔bongo mtu ukitrend tu tayari umefanikiwa🤣🤣🤣🤣

    • @priscamwabulanga5294
      @priscamwabulanga5294 Год назад +6

      Mafanikio ni subjective, wewe unaweza kuona sio mafanikio kutokana na utofauti wa vision zako ila kwa wengine wanamuona amefanikiwa coz hawajafika alipofika. Kwahiyo kuwa positive mpongeze na wewe utapongezwa katika yako

    • @georgerichard4902
      @georgerichard4902 Год назад +3

      @@priscamwabulanga5294 bora hata umemjibu vizuri mie ningemuwakia aisee sipendagi watu wasio apriciate moves za wenzao its not fair at all

    • @fatumakiwera7145
      @fatumakiwera7145 Год назад +2

      @@priscamwabulanga5294 upo na akili kubwa

    • @irenekarume1470
      @irenekarume1470 Год назад +2

      Amefanikiwaaa kuwa na watyu wanaomuamini na kusimama nae kwakila Hali hayo nayo ni mafanikio na sidhan khama hela aliyonayo we unayooo kafanikiwa alivokua zaman so sawa na saivi unatakiwa support na khama hutaki ungeachaa tyu usicomment

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 Год назад +12

    Miaka 24ni mtu mzima huwez kusema mtoto wa miaka 24 sasa ulibadilisha kusema mwanamke nn 😅 kawaida niffer we ni mwanamke hatakama hujazaa bado

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Год назад +3

      anapenda kujiita mtoto sijui utoto gan? alionao🙄🙄 na hilo li mwili

    • @joycenicodemus.2232
      @joycenicodemus.2232 Год назад +1

      @@sifatiiman hawataki kukua mbona Kama vile ana miaka 30?

    • @mwanaherhussani7425
      @mwanaherhussani7425 Год назад

      ​@@sifatiiman simpendi huyu mdada me Kwa misifaa

    • @mwanaherhussani7425
      @mwanaherhussani7425 Год назад

      ​@@joycenicodemus.2232 Jitu zima tu mbona

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Год назад +1

      @@mwanaherhussani7425 😂😂😂😂umeona kila mara anapenda sana kujiita mtoto kwa utoto gan sasa

  • @oneclick2023
    @oneclick2023 Год назад +1

    Civics, 🫱GS -General Studies,🫱DS -Development Studies tukae humo 🫴.

  • @user-sp9px6ov8e
    @user-sp9px6ov8e Год назад

    N mbona huyu dada amekomaa uso hivyo alafu anasema anamiaka 24 khaaa😂😂😂😂

    • @pendojeremiah1023
      @pendojeremiah1023 Год назад

      Me Nina miaka 25 ila ukiniona utadhani Nina 30 so ni Kweli asemacho

    • @joyousjackson8352
      @joyousjackson8352 Год назад

      @@pendojeremiah1023 watoto wa sku hzi japo nkwel nmiaka yake sio mkubwa mm namfaham ila wanakomazwa mambo ya kikubwa mapema

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 15 дней назад

    Sasa hivi anauza tako tu asitudanganye ana hasooo😂😂😂😂😂

  • @JacquelineMayowa-th3dm
    @JacquelineMayowa-th3dm 3 месяца назад

    Namsaidia anayejisaidia naomba hayo maandiko yako kitabu kipi katika biblia

  • @Babygirl758
    @Babygirl758 Месяц назад

    Kumbe kana akili nyingi haka katoto, japo nimekazidi mwaka mmoja lakini kana maarifa