Cook with Wema Sepetu - S07E03 Niffer

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Jinsi ya kuangalia video hii yote, unatakiwa ku Download Wema Sepetu App ambayo inapatikana kwenye link hii bit.ly/wemaApp ili uweze ku download Wema App
    Connect with me;
    Instagram - @wemasepetu
    Twitter - @wema_sepetu
    Click here bit.ly/wemaApp Download Wema App on Playstore
    Click here bit.ly/wemaApp to Download Wema App on Appstore
    #CookWithWemaSepetu #WemaApp #Bestizzo

Комментарии • 127

  • @diva_20162
    @diva_20162 6 месяцев назад +2

    Niffer much love na roho yake nzuri ❤❤❤

  • @tupokigwemarco7584
    @tupokigwemarco7584 Год назад +5

    Ukiona mtu anafanikiwa jua anaroho nzuri,Mungu humuinua atakayekuja kuinua wengine

  • @mwanashoogobo1785
    @mwanashoogobo1785 Год назад +11

    Leta nandy na nenga❤️❤️❤️🇰🇪

    • @mozuu1260
      @mozuu1260 11 месяцев назад +1

      Mmmh mara akamchukua nenga😂

  • @ziadamauwa4196
    @ziadamauwa4196 11 месяцев назад +2

    Niffer pizza ya tambi naipenda iyo 😂😂😂😂

  • @HawaHatungimana45
    @HawaHatungimana45 5 месяцев назад +1

    Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu uko vizuri Mtoto❤

  • @yusuphakule6041
    @yusuphakule6041 Год назад +4

    Itsa awesome online tv show but it's very short

  • @abdulschannel7937
    @abdulschannel7937 Год назад +3

    Jennifer ulivyo shika kisu sjuwi kama utaweza kufanya haraka😊

  • @kanghanhankang1440
    @kanghanhankang1440 Год назад +7

    Macho yangu yote yapo kwenye kukata vitunguu😅😅😅

  • @PatnumAndrea
    @PatnumAndrea 2 месяца назад

    Umependeza dear

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 7 месяцев назад

    Wema hanaga bays❤❤❤❤❤

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 Год назад +1

    Ila linifffer lizuri balaaa❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @officialidakeys
    @officialidakeys Год назад +5

    Wema Wangu Jamani Love U Mamy

  • @lizahadongo1801
    @lizahadongo1801 Год назад +2

    😂nandos wee English ni noma🇰🇪

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Год назад +8

    Jamani niffe kawa staa mpaka anaitwa na wema

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Год назад

      Ndomana wanamuonea wivu

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 7 месяцев назад

      achana na niffah anahera Sana akiwa mudogo ana Hera hata wema hafiki

  • @Queenwolper9728
    @Queenwolper9728 Год назад +1

    much love wema❤

  • @judywambui3409
    @judywambui3409 Год назад +2

    Leta diamond na zuchuuuu😂😂😂😂😂

  • @BJOKER-ef7zi
    @BJOKER-ef7zi Год назад +3

    Diamond platnumz atakuja liniiii

  • @Offical_neyvoice
    @Offical_neyvoice Год назад +3

    Niffer ❤❤❤

  • @maimunaulotu2075
    @maimunaulotu2075 Год назад +1

    Keerrtyi.....kumbe ndo karoti.........😂😂😂😂😂😂

  • @anithamaganga
    @anithamaganga 10 месяцев назад +1

    Wema be like "nandoz "ndo nini😂😂😂😂

    • @rusijuju3845
      @rusijuju3845 7 месяцев назад

      😂😂😂😂nando nini nando 😂😂😂😊

  • @doreenrabera
    @doreenrabera Год назад +2

    So you people don't know the difference between spaghetti 🍝 and noddles🍜

  • @aliseif564
    @aliseif564 Год назад +1

    Nandos😂noodles bana wabongo hamjui kizungu

    • @azorindege2556
      @azorindege2556 Год назад +3

      Hata wazungu hawajui Kibongo tuache kuwa watumwa wa jazba ahahahaha

  • @fahidashishi255
    @fahidashishi255 Год назад

    Jeniffaah mbon ujui kukata kitunguu

  • @siamnyone8403
    @siamnyone8403 Год назад +4

    Hahhaha napenda samaki na fish kachumbari 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @elisabertateresadenielmwek8836
    @elisabertateresadenielmwek8836 Год назад +3

    Hello Wema i love you baby 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @rukiakazungu6431
    @rukiakazungu6431 Год назад

    Hata ana Haya ya kutamka hiyo neno noddles

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 Год назад

    Niffer mbona humwamkii dada yako😂😂😂😂

  • @jane712
    @jane712 11 месяцев назад

    Here from dullvani😂😂

  • @Rose-ue2ho
    @Rose-ue2ho Год назад +7

    Nandos au noddles😂😂

  • @BINTIwaKITANGA
    @BINTIwaKITANGA Год назад +8

    😂😂eeh! Leoo niffer 🙆ujiandae kuchukuliwa patric 😂😂muulize tunda mwenzako😂🏃🏽‍♀️nondoziii 😮😂😂

  • @aishahassan-cl2zf
    @aishahassan-cl2zf 11 месяцев назад

    Ilo liniferr linavo jifnya Lina aibu ovyooo kumbe kenge maji

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 Год назад +5

    Kipindi kizuri ila nawashauri mkakifanyie uingereza maana kinge huko ndo watawaelewa zaidi nakupenda wema nakupenda nifa

  • @esperancenathali
    @esperancenathali Год назад +1

    Niffer mrembo nyieeee

  • @hadijasharifu1463
    @hadijasharifu1463 Год назад +2

    Wema rudisha mwiliwako umekua kama skeleton

    • @zakiakusaja8603
      @zakiakusaja8603 Год назад

      Ifike mahali watu muachana na maisha ya watu

  • @faizaally347
    @faizaally347 10 месяцев назад

    Hizo tabi za pizza zikoje

  • @shamlimah5682
    @shamlimah5682 Год назад

    Ur very beautiful lady waooo

  • @rosemaryphilipo3009
    @rosemaryphilipo3009 Год назад +10

    Ipo siku wema atatembea na patrik kanumba amini nachokwambia

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 Год назад +28

    Kama ni tambi zinaitwa noodles sio nandos😆😆😆

    • @fatumasalumu2869
      @fatumasalumu2869 Год назад +8

      Mmmh tambi ni spaghetti na sio noodles. Noodles ni tambi zilizo jikuja Kama springs ambazo zimeshachanganywa na viungo tofauti tofauti

    • @kautharsalum6743
      @kautharsalum6743 Год назад +3

      Noodles ni tambi lkn ziko tofauti kama ivo spaghetti , ramen, instant noodle, zote ni noodles ila ni types tu tofaut.

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Год назад +2

      @@kautharsalum6743 ndio types zinatofautia

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Год назад +2

      @@fatumasalumu2869 tambi zipo za aina mbalimbali

    • @arwaaref9519
      @arwaaref9519 Год назад +3

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @sherylachieng4660
    @sherylachieng4660 10 месяцев назад

    Wema i want you to cook with diamond

  • @Sabrinaclement-ri3ck
    @Sabrinaclement-ri3ck 6 месяцев назад

    Waooo

  • @esthershaban240
    @esthershaban240 Год назад +2

    Nifa anapua jamaniii uwiii🤣🤣

  • @rhodamshana1794
    @rhodamshana1794 Год назад +1

    Nandos 😅😅😅

  • @ashatybella8641
    @ashatybella8641 Год назад +1

    Hina looks dashliness 😂😂

  • @venny4876
    @venny4876 Год назад

    Ati nondoziii ndo nini wajuajiii

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 Год назад +1

    Wema nadozi ndo nini😂😂😂

  • @nzosabimananzosabimana438
    @nzosabimananzosabimana438 Год назад

    ❤️

  • @y.g17
    @y.g17 Год назад

    Jmn c ni noodles😫😫😂

  • @esterdoriye8377
    @esterdoriye8377 Год назад +1

    Niffer haangalii kabsa camera 📷

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Год назад +2

    Vingereza vimekutana

  • @subiraomar6700
    @subiraomar6700 Год назад +1

    Its spaghetti omelette 🥰not tambi za pizza

  • @faithlucas1723
    @faithlucas1723 Год назад +1

    Hiii nchi ukitafuta tu kiki wallah unakuwa msanii ,uyo dem mi simfaham anusanii gani 😂😂kutembea tu na Patrick ashakuwa msaniii nyie 😄😄😄

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 Год назад +2

    Nandos 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 😂😂😂😂😂😂😂 kichwani 0 brain

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah7079 Год назад

    ❤❤

  • @victoriamatei7757
    @victoriamatei7757 Год назад

    Atakuchukulia your boyfriend Stephen kanumba very soon vile alichukua whozu from Tunda

  • @azza4988
    @azza4988 11 месяцев назад

    App haipatikani kwenye Play store

  • @aishaibrahim5607
    @aishaibrahim5607 Год назад +2

    sasa uyu si amewekewa chakukatia vitunguu mbn anakata ivo ss😮au mie ndo mshamba

    • @mwajumakilobwa6237
      @mwajumakilobwa6237 Год назад +1

      Unapo andaliwachakula nakijiko silazima ukitumie kama hujazoea ❤

    • @mwajumakilobwa6237
      @mwajumakilobwa6237 Год назад

      Unapo andaliwachakula nakijiko silazima ukitumie kama hujazoea ❤

    • @aishaibrahim5607
      @aishaibrahim5607 Год назад

      @@mwajumakilobwa6237 oooh asante ila si wataniona mshamba au😎

    • @mwajumakilobwa6237
      @mwajumakilobwa6237 Год назад +1

      Hapana kwani hujui mjini kulianzapoli kukawa kijijini kukawa nmjini ktk dunia siwote wanajua na siwote hawajui ndiomaana ki2kimoja kinawezakua na majina zaidi ya 1 usijali my🥰

  • @officialleonia1234
    @officialleonia1234 Год назад

    Muendelezo wap

  • @linnerphilip4260
    @linnerphilip4260 Год назад

    Nnudlles

  • @maggienjau6508
    @maggienjau6508 Год назад

    Kingereza kingi mpk unaongea nonsense 😁😁nikimaliza darasa la seven ndo nn😁😁😁😁

  • @fafafafa7175
    @fafafafa7175 Год назад +1

  • @bigirumanalululouise4540
    @bigirumanalululouise4540 Год назад

    ❤❤❤❤

  • @Babyzay178
    @Babyzay178 Год назад

    ❤️❤️❤️

  • @maryamanalisi197
    @maryamanalisi197 Год назад

    ❤❤❤❤❤❤❤

    • @khadijasalum2889
      @khadijasalum2889 Год назад

      Wema tunaomba kipindi usikatishe uoneshe mwanzo mwisho tuone mapishi

    • @maryamanalisi197
      @maryamanalisi197 Год назад

      @@khadijasalum2889 in shaa allah dear