Cook with Wema Sepetu - S07E03 Niffer
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Jinsi ya kuangalia video hii yote, unatakiwa ku Download Wema Sepetu App ambayo inapatikana kwenye link hii bit.ly/wemaApp ili uweze ku download Wema App
Connect with me;
Instagram - @wemasepetu
Twitter - @wema_sepetu
Click here bit.ly/wemaApp Download Wema App on Playstore
Click here bit.ly/wemaApp to Download Wema App on Appstore
#CookWithWemaSepetu #WemaApp #Bestizzo
Niffer much love na roho yake nzuri ❤❤❤
Ukiona mtu anafanikiwa jua anaroho nzuri,Mungu humuinua atakayekuja kuinua wengine
❤❤
Leta nandy na nenga❤️❤️❤️🇰🇪
Mmmh mara akamchukua nenga😂
Niffer pizza ya tambi naipenda iyo 😂😂😂😂
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu uko vizuri Mtoto❤
Itsa awesome online tv show but it's very short
Jennifer ulivyo shika kisu sjuwi kama utaweza kufanya haraka😊
Macho yangu yote yapo kwenye kukata vitunguu😅😅😅
😂😂
Umependeza dear
Wema hanaga bays❤❤❤❤❤
Ila linifffer lizuri balaaa❤❤❤❤❤❤❤❤
Wema Wangu Jamani Love U Mamy
😂nandos wee English ni noma🇰🇪
Jamani niffe kawa staa mpaka anaitwa na wema
Ndomana wanamuonea wivu
achana na niffah anahera Sana akiwa mudogo ana Hera hata wema hafiki
much love wema❤
Leta diamond na zuchuuuu😂😂😂😂😂
Diamond platnumz atakuja liniiii
Niffer ❤❤❤
Keerrtyi.....kumbe ndo karoti.........😂😂😂😂😂😂
Wema be like "nandoz "ndo nini😂😂😂😂
😂😂😂😂nando nini nando 😂😂😂😊
So you people don't know the difference between spaghetti 🍝 and noddles🍜
Nandos😂noodles bana wabongo hamjui kizungu
Hata wazungu hawajui Kibongo tuache kuwa watumwa wa jazba ahahahaha
Jeniffaah mbon ujui kukata kitunguu
Hahhaha napenda samaki na fish kachumbari 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣 mbavu zang
😆😆😆😆😆
Hello Wema i love you baby 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Nifa kaomuomba wema interview
@@munirahassan5969 hujambo munira.
Hata ana Haya ya kutamka hiyo neno noddles
Niffer mbona humwamkii dada yako😂😂😂😂
Here from dullvani😂😂
Nandos au noddles😂😂
Rose 😂😂😂
Nandos ni nandos na noodles ni noodles
Ivyo ivyo ndo tz hiyo
Hiyo ni slung ya Tz My fellow 254 acheni Mashemeji Wapumue angalau kidogo
😂😂eeh! Leoo niffer 🙆ujiandae kuchukuliwa patric 😂😂muulize tunda mwenzako😂🏃🏽♀️nondoziii 😮😂😂
🇾🇪🇾🇪🇾🇪🇾🇪❤️
😢😢😂😂😂😂😂
Ilo liniferr linavo jifnya Lina aibu ovyooo kumbe kenge maji
Kipindi kizuri ila nawashauri mkakifanyie uingereza maana kinge huko ndo watawaelewa zaidi nakupenda wema nakupenda nifa
🤣🤣🤣
😂😂😂😂jamani
Nimecheka 😂😂😂😂🤣🙌
😂😂😂😂
Hawa ndo ndugu zamgu wa tanzania😅😅
Niffer mrembo nyieeee
Wema rudisha mwiliwako umekua kama skeleton
Ifike mahali watu muachana na maisha ya watu
Hizo tabi za pizza zikoje
Ur very beautiful lady waooo
Ipo siku wema atatembea na patrik kanumba amini nachokwambia
Hahaha kwann
Chuki ya nini?
Mmmh hata kama
Hayakuhusu weww umetembea na wangapi
Ovyo
Kama ni tambi zinaitwa noodles sio nandos😆😆😆
Mmmh tambi ni spaghetti na sio noodles. Noodles ni tambi zilizo jikuja Kama springs ambazo zimeshachanganywa na viungo tofauti tofauti
Noodles ni tambi lkn ziko tofauti kama ivo spaghetti , ramen, instant noodle, zote ni noodles ila ni types tu tofaut.
@@kautharsalum6743 ndio types zinatofautia
@@fatumasalumu2869 tambi zipo za aina mbalimbali
😂😂😂😂😂😂😂
Wema i want you to cook with diamond
Waooo
Nifa anapua jamaniii uwiii🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂Iko vipi nzr sana😂😂😂
😂😂😂😂
Naipendaga sana sana
Nandos 😅😅😅
Hina looks dashliness 😂😂
Ati nondoziii ndo nini wajuajiii
Wema nadozi ndo nini😂😂😂
😂😂
❤️
Jmn c ni noodles😫😫😂
Niffer haangalii kabsa camera 📷
Vingereza vimekutana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌 jamaniii atari
@@fatmaally7252 😁😁
Its spaghetti omelette 🥰not tambi za pizza
🤣🤣🤣
Hiii nchi ukitafuta tu kiki wallah unakuwa msanii ,uyo dem mi simfaham anusanii gani 😂😂kutembea tu na Patrick ashakuwa msaniii nyie 😄😄😄
Nchi ya wenye nchi
Nandos 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 😂😂😂😂😂😂😂 kichwani 0 brain
❤❤
Atakuchukulia your boyfriend Stephen kanumba very soon vile alichukua whozu from Tunda
Eti Stephen kanumba😂😂😂 looh pole sana
Stephen Kanumba alishakufa.
It's Patrick Kanumba.😂
App haipatikani kwenye Play store
sasa uyu si amewekewa chakukatia vitunguu mbn anakata ivo ss😮au mie ndo mshamba
Unapo andaliwachakula nakijiko silazima ukitumie kama hujazoea ❤
Unapo andaliwachakula nakijiko silazima ukitumie kama hujazoea ❤
@@mwajumakilobwa6237 oooh asante ila si wataniona mshamba au😎
Hapana kwani hujui mjini kulianzapoli kukawa kijijini kukawa nmjini ktk dunia siwote wanajua na siwote hawajui ndiomaana ki2kimoja kinawezakua na majina zaidi ya 1 usijali my🥰
Muendelezo wap
Nnudlles
Kingereza kingi mpk unaongea nonsense 😁😁nikimaliza darasa la seven ndo nn😁😁😁😁
Samaki na fish😂😂😂😂
Bora niongeee kiha chang
❤
❤❤❤❤
❤️❤️❤️
❤❤❤❤❤❤❤
Wema tunaomba kipindi usikatishe uoneshe mwanzo mwisho tuone mapishi
@@khadijasalum2889 in shaa allah dear